Hongereni sana kwa kazi nzuri na ya kutia moyo. Kila kanisa linatakiwa kuiga mfano huu kwa faida ya kesho
@user-bm8du6bt6m5 ай бұрын
Hongereni sana viongozi wetu kwa wazo la kuotesha miti ya mitiki hii ni hazina ya kudumu katika shirika Mungu awabariki aendelee kuwajalia afya njema
@user-ru1in1sl9d5 ай бұрын
Big up viongozi wetu! Nimependa sana huu uwekezaji mahili Mungu awabariki sanaaaa na kuwazidishia❤
@lovenessmvara13535 ай бұрын
Hazina ya wana COLU hongereni sana viongozi wetu kwa ubunifu mzur sana.
@elizamavoa86385 ай бұрын
Mungu awabariki kwa juhudi hii.Mmeliwekea Shirika urithi usoisha,ni imani yangu/yetu mtaweka msingi imara kwa Viongozi wajao kuwa na mpango mkakati kwa kuliendeleza Shirika.Mungu awabariki na Asanteni kwa yote mlotatenda wakati wa uongozi wenu
@theresiamushi50945 ай бұрын
Asante sana Mama Mkuu wetu Sr Gaspara pamoja na Mama Maura ( Mama Mkuu kipindi kilichopita) tunawashukuru kwa kutuelimisha juu ya miti hii ya mitiki. Kwakweli ni urithi kwa shirika na jamii. Nashukuru kwa kujali na kupenda shirika letu. MUNGU awabariki