Dudu baya huwa napenda Sana ufahamu wake mzuri kuhusu maisha
@lazarojoseph75412 ай бұрын
Unajuwa ukishapotea jaribu kukubaliana na hali
@kennethjunior6071Ай бұрын
Dudu baya nahitaji namba yangu
@molexevelist813Ай бұрын
Hujawai kuwa mnafki kaka uko wazi ubarikiwe sanaaaaa🎉🎉🎉🎉🎉
@lameckmathias11882 ай бұрын
Konki! Nakuelewa vzr, unaelimisha kadri uwezavyo.
@Pacificano20002 ай бұрын
Upendo,Amani na Furaha ina tosha ,
@yusuphabel55302 ай бұрын
Nakukubali Konki unamadini sana.
@christinewomanoffaith5479Ай бұрын
Ila pamoja na yote huyu kaka ana uelewa sn ht wa mambo ya kiroho
@kilogreekachananawatuwasio40542 ай бұрын
Huyu jamaa Anaelimu ya vizazi vijavyo❤
@issakobakimanga7738Ай бұрын
Dudu baya kwa kweli ni mkweli sana
@JoalAlma-ci1hi2 ай бұрын
Dude had a point
@mchaujlАй бұрын
Dudubaya ana akili sana huyu jamaa...uelewa mpana sana wa mambo ya mziki,kitaifa na kimataifa
@ramadhanmasiku41052 ай бұрын
Amani Upendo na furaha 👉🏾
@ladislausmoris9638Ай бұрын
Kaka serikali yetu ingekuwa na uelewa ungepewa uongoz maana una mawazo mazuri,utu na upendo.
@twaahbrown10422 ай бұрын
Dudu baya kumbe ndio maana hapendwi ni smart sana ukiwa na akiri nyingi unapigwa vita sana big up sana
@vicentyherman62192 ай бұрын
Huyu jamaa anaongea fact
@mugendigeorge77042 ай бұрын
Safi Sana konki
@kajaymopao16722 ай бұрын
dudu baya konky master big up
@Tito-dc6vy2 ай бұрын
Safi sana kaka dudubaya kwa ma neno yako nayapende sana broo
@JULIUSOLUOCH-xf8kiАй бұрын
Great man of God
@bromanfexxaofficial935Ай бұрын
Very brilliant 😂😂😂😂
@RespiciousRwetabula2 ай бұрын
Nakukubari sn bro, nakufatilia sn una madini mengi sn
@user-vm5bv3od7pАй бұрын
Nakukubali dudu baya
@nicolasaugustino84492 ай бұрын
Huyu jamaa 😅 😅
@Bboy-ek8vn2 ай бұрын
Mungu akubariki mchungaji
@starjay30529 күн бұрын
P diddy 😁😁
@detectivejeffrey6401Ай бұрын
Huyu jamaa Mungu amtunze
@nelsonnyamle2 ай бұрын
Bana wile nakukubali sana
@rukiangilla3113Ай бұрын
Dudu baya Yuko vizur 🎉🎉🎉 ana ufahamu Sana
@FatumaIssa-kw3vv2 ай бұрын
Thanks ❤❤
@bobmakes70682 ай бұрын
Mtu yeyote mkweli brother huwa hapendwi,angalia hata ndg yangu makonda anavyopingwa vita na watu wliyomo hata ktk chama chetu.
@user-tz8zu2gt6u2 ай бұрын
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉 nikweli bro
@hamadmhchande5633Ай бұрын
Dudu baya ungejitahidi huo ufahamu ujikwamue kwa hali ulonayo lakini kumuongelea pdidy ni kama mbingu na ardhi hivo pambania hali yako kifedha kwanza tujue uwezo wako kimtazamo
@bobdutchbobdutch84432 ай бұрын
Good speech msemakweli uchaguliwa kuwa diwani
@Direct-00002 ай бұрын
yapo ya nyuma ya pazi watu hawajayajua kuhusu uyo
@user-ll5lx9hi7e2 ай бұрын
Mugu akubariki
@user-nb9bf6rt3r2 ай бұрын
Good messages bro konki
@EmmanuelMaganga-be7blАй бұрын
Unyamaaa sana mwamba
@YorandaBonephas2 ай бұрын
Mungu azidi kukulenda namaaduwi japo tunakupenda Sana Ila wapo mawakala washetani wakupinga Ila pamoja nakukuchukia nakukupinga Ila wataendelea kushindwa kwajina la yesu Kristy wanazaleti Alie hai amina
@richardsimbeye92072 ай бұрын
Hahahaha duuu shikamo kaka ingawa ukwel unauma ila songwe napapenda
@user-wk2bg8zf3lАй бұрын
kweli kabisa
@emmanuelrambo8864Ай бұрын
Akili.kubwa sana hiii
@user-dr6bm7eu5uАй бұрын
Dudu baya anamzungumzia p didi kama anakaanae mtaa mmoja ubungo livasaid
@christinewomanoffaith5479Ай бұрын
😂
@maxwellvangulinja27 күн бұрын
😂sema jamaa linafacts sanaa💪💪🤜
@user-pu6pr5jt4nАй бұрын
Dudubaya ❤❤❤❤
@christinewomanoffaith5479Ай бұрын
😮😢ila jmn
@nelsonnyamle2 ай бұрын
Baba wile nakukubali sana
@MexiTanix2 ай бұрын
Jay Z hajaacha hizo mambo, Jigga ni chicha mwiba kama Diddy, na alikuwa anaenda kwenye hayo maparty na mkewe, Sijui kama huko bongo mnajua kuwa Beyonce ni teja, na Jigga ndio anayemletea madawa.
@ivanyydaniel24872 ай бұрын
halafu jigga scandal kama hizo alishajipanga kitambo ndo maana ananunua sana wanasheria wakubwa kulinda utu wake ndo maana jamaa ni bonge la shetani
@allybobsaith2 ай бұрын
mbona wewe hukuenda 😂😂😂😂 kwa p didy
@dsgroup60932 ай бұрын
Naipataje
@issakobakimanga7738Ай бұрын
Download
@vernongoodvibes99Ай бұрын
Msenge hyo dudubaya na hii media pia
@abiboseleman1649Ай бұрын
Kaka mkubwa mbona mijasho minhimingi siuvue hilo prova
@adamkapolo8817Ай бұрын
Ushaidi??
@Tiffanuhran2 ай бұрын
Nampenda sana puff
@IdrisaMpumbe2 ай бұрын
Uko makini sana mjomba dudu
@RichardRobert-gh6ztАй бұрын
Saw
@user-xc5or1ph8x2 ай бұрын
hahahaaaa et shetan kamkimbia uwiii tumtegemee munguu tyu bc
@muksinimbaruku1233Ай бұрын
Diamond kaliwa tayari
@MessiBaba-xf2sb2 ай бұрын
Dudu baya n mtu wa maana sana. Sijui kwa nn Diamond alimwacha huyu mtu.hawa watu ndo wanatakiwa kuwa karibu na dangote.sio akina naniii hii
@frankhoffa83562 ай бұрын
Angalia anachoongea ni hatari kwa Diamond. Diamond anauhusino na Satan halafu Dudubaya kama unavoona anaponda hivi unafikiri atamwacha?
@emanuelleopod39492 ай бұрын
Huyo Dangote mwenyew wahuni wanakwambia huenda P Didy alijisevia
@dsgroup60932 ай бұрын
Nina shida na namba ya hyu mwamba dudu baya
@HappyEel-wg4qx2 ай бұрын
Acha kufuru mziki ni haramu
@geofreymongi54032 ай бұрын
Kwako ndio haramu
@bakariomary5781Ай бұрын
Chochote ni haramu kulingana na utakavyokiendea wapo mashekhe na wachungaji mbona hudhurumu watu kwa kigezo cha dini hiyo sio Haramu????
@angelanaftael79652 ай бұрын
Long live Konki
@monicakimati46192 ай бұрын
Matayo 10:26-27
@madahaboytzАй бұрын
Kaka njoo tuimbe Gospel unaonekana umeokoka, MUNGU katutoa huko.
@user-ut3gf1tg2nАй бұрын
jembe umejaa vitu vizuri sichok kukusikiliza
@kichuchu-saloon2 ай бұрын
Kwanza Kuna kitu watu hawajui . Diddy ni FED pia ni CIA so mtaongea sana ila atofungwa
@afropatriot77692 ай бұрын
Hata CIA wanaangaliaga reaction ya public ,wakiona ni kubwa kuna mawili au wakumalize wao au ushtakiwe ili serikali i win public , kina epistein walikua na nguvu sana mzee
Dudu baya😅😅😅😅ila Sasa badilisha jina kuwa Dudu zuri😅😅😅
@landmadvdmbeyacity95612 ай бұрын
Konk mastaa
@paulojohn55042 ай бұрын
Ubalikiwe mtumishi wa mungu sana
@onionpeeling5822Ай бұрын
DIAMOND NA YEYE SI ALIJIPELEKA KWENYE JUMBA LA PDIDDY EMBU NYIE WAANDISHI MUULIZENI DIAMOND KAMA NA YEYE ALIGUSWA NA PUFF DADDY ! MEEK MILLS ALIGUSWA CHA KUNYEA
@raggysingo49832 ай бұрын
Yanaitwa Limousine sio tour bus😂😂😂
@RabihuHussein2 ай бұрын
ww ndo huyafahamu. Limousine ni magari yale ya milango sita.
@amirkhamis8250Ай бұрын
Yanitwa tour bus Dudubaya yupo sawa. We ndio utakuwa hujui. Limousine ni kitu kingine kabisa.
@emanuelndembeka6959Ай бұрын
Limousine ni gari ya milango sita
@onuleonard61602 ай бұрын
Nchi hii hatar mtu anamsemea mpaka asiyemjua
@lazarojoseph75412 ай бұрын
Kweli mambo ya US mbongo anajifanya anajuwa 😂
@mohdkhatib2232 ай бұрын
Dunia sasa hivi ipo kwenye kiganja cha mkono. Wewe wa wapi?
@jamesjoseph6825Ай бұрын
Wewe ndo hujui namna ya kuwafuatilia na kuwajua, tambua kuwa Dudu baya unsmdharau kwa hivyo alivyo kwa sasa lkn elewa kuwa Alikuwa staa mkubwa africa mashariki so kujua habari za mastaa wenzake ni rahisi
@user-ib1kp5ch4m2 ай бұрын
Muulize dudu,Wile yupo wapi?
@billjames12162 ай бұрын
Huyu anasema nini Kwani amekuwa akiishi chini ya mawe???
@user-um8xn4ge4i2 ай бұрын
Huyu nae chizi kumbe, P DIDDY kapewa nguvu na wazungu, na kwa taarifa yako P DIDDY haendi jela wazungu wanamlinda waliomchoma weusi wenzie na mkewe baada y kumnyima pesa alizomuaidi! Acha uongo
@MackameHassani2 ай бұрын
Elewa nn anachikiongea kwanza huyu jamaa kaka, kwani wazungu hawapo ktk list ya wanaoabudu shetani?
@user-we7uq1qh7p2 ай бұрын
Www kenge kuwa na adabu mm naushi Amarican Soo kweli unachokisema
@user-sg6nc1is3j2 ай бұрын
Shetani anapenda kumgeuza mtoto wa kiume awe Maji ya tamu
@MexiTanix2 ай бұрын
Sasa kwa taarifa yako, blacks wamekuwa wakimsema Diddy miaka nenda rudi lakini nothing happened, Ila Diddy alipojaribu kuwatunishia msuli wale jamaa wanaomiliki Ciroc drinks 🍷 ambao ni wazungu, hapo ndio pila likamgeukia yeye.
@mbarakajummadindamadinda4912 ай бұрын
Anafugwa yule wewe mda wake umeisha we ndo haujui kitu Sasa wazungu hao hao ndo wanammaliza
@moshimaganga66832 ай бұрын
Acha upuuzi
@jacksonmsendo34782 ай бұрын
Dudubaya akili nyingi sana
@JandaalHaqeem2 ай бұрын
Dudu baya kuimba hujui
@mustafarajabu40052 ай бұрын
Dudu baya umeishiwa.hivyo vitabu vyawapi mungu anataka mziki wadunia.mungu anataka mziki wakumsifu yy na sio mziki hunaosema ww konki x3.oll chafu😂😂
@user-zz5uj6gs4mАй бұрын
Weyee ndo hjafaham
@user-rk9gr9yf3i2 ай бұрын
wacha mipasho majungu umeyatupa wakati wenu kulikuwa hakuna pesa kilicho baki choyo wivu unaomba watu waharibikiwe ulichokusudia ni wasanii wa Tanzania wewe ni mchawi ropokwa huna jambo wenzako wanakula bata mjinga wewe
@abuuhafsah96302 ай бұрын
Ukiwa choko lazima umpinge dudu
@Allyhujjat2 ай бұрын
Pumbavu unajua nn wewe ebu kakojoe ukalale mjinga mkubwa huyu ipo siku mtajua kwanini namwita mjinga ajui kitu
@prof.abusakelsaleh35242 ай бұрын
Wewe unayejua hongera ila bora ujinga unaosaidia kuliko akili isio na msaada