Nimependa saana intro yenye uchambuzi kwa kina japo sauti naona zinamuingiliano na muonekano wa video kwwnye simu yangu mwanga upo afifi kidogo. Mtangazaji very good !!
@adamomary19643 жыл бұрын
zitto kabwe unaakili sana,serikal ilipaswa kuwa naviongozi wenye weledi kama zitto kabwe
@husseinmillans37943 жыл бұрын
The best interview ever!!
@dunstannyange75092 жыл бұрын
Edwin Odemba, bonge la mtangazsaji, Mungu akuinue utukufu had utukufu
@mtudidaniel95853 жыл бұрын
Zitto ni mwanasiasa mweredi sana, anaongea point zinazoeleweka.
@dvjbingo80282 жыл бұрын
Yaaan kama humu ndan hakuna anaelewa hoja za mh zitto Bax ujue anamatatizo ktk ubongo wake akafanyiwe check up
@jastinesamboto46743 жыл бұрын
Akili kubwa hii, majibu konki. Wachache watakuelewa wengine hata kupata tu mwanga wa kile kilichotokea kwenye uchaguzi hawawezi.
@Nganico2 жыл бұрын
Zitto amezungunza vizuri sana. Heshima kwake
@dannymwamba58482 жыл бұрын
nakukubali sana mr kabwe
@shukurupetro9018 Жыл бұрын
Naona umepiga kombati za chadema nahisi bado ipo kwenye damu!?
@husseinmillans37943 жыл бұрын
Bado tunakuhitaji big brother Zitto kabwe. Tumeona Halmashauri ya Manispaa ya kigoma town ulivyo i-shape! Again in the year 2025
@superbillionairea59872 жыл бұрын
Nikweli yupo sawa Sana.
@ibrahimdabo71632 жыл бұрын
Zito uko vizuri aduwi yako usimkimbiye kula nae sahani mojaa akikomba ugali unakomba mboga mpaka kieleweke sawa
@justuswaziri30933 жыл бұрын
Mama msikilize huyu kiumbe, since day one binafsi pamoja na mapungufu yake mengi lakini anajitahidi saana kwenye tasinia ya Siasa, Nchi yetu bila viombe kama Lissu, Mbowe, Zitto na wengineo wenye akili yenye ajenda za kitaifa.
@allysingle24462 жыл бұрын
Yani kweli ACT ni chama tawala kwenye nchi hii ooooh hiii ndo siasa wacha tuendelee kujifunza zaidi
@olewangaparmitoro13952 жыл бұрын
Mh.Zitto sio kiongozi wa kawaida kabisa kuwahi kutokea,siku zoto utabakia kati historia kwa kazi yako iliyotukuka hususan kwa kuishauri serikali katika nyanja mbalimbali 1-Kiuchumi 2-Kisiasa 3-kijamii 4-kitandawazi Mungu akujalie afya njema uendelee kuishi kama zawadi ya pekee kwa watanzania wote Nakumbuka ulipokuwa mwenyekiti wa kamati ya bunge hesabu za serikali uliongeza uwajibikaji kwa taasisi zetu za kifedha.
@ritamutoka77682 жыл бұрын
Kuna wabunge walioingia Bungeni KIMAGUMASHI. Umenena kweli Ndugu Kabwe !
@ablestclemence73823 жыл бұрын
Good
@petermgaya38123 жыл бұрын
Big brain..he is very composed.
@khalfanmlala50933 жыл бұрын
Safi sana
@bashkidana94043 жыл бұрын
Sichoki kukusikiliza mwami wetu wanakigoma
@clementkivegalo26043 жыл бұрын
Mhe. Zitto kwa ubungo, hapana, umekosea. Lazima tukubali kwamba kuna maeneo ambayo wapinzani wangeshindwa hata kama hiyo inayoitwa Tume Huru ingekuwepo.
@sulymansalymaly38593 жыл бұрын
Lkn sio kiasi kile mzee 😀😂😂
@baruanijuma64052 жыл бұрын
Bro uyo alshndwa kihalal
@alijuma72042 жыл бұрын
Mtangazaji una interact
@King_Of_Everything2 жыл бұрын
🇹🇿🇹🇿🇹🇿👍✌
@matukiomedia1912 жыл бұрын
Ni uongo ulishindwa ......hawampend ni mwongo na ni tapeli huyo
@sagandamalechampullo6592 жыл бұрын
NDIYO MAANA WALIZIMA MITANDAO YA KIJAMII. KUMBE ILI WAINGIZE KURA BANDIA
@petermwanyondo53702 жыл бұрын
Yani bunge bira watu Kama halinogi kabxa
@yusuphmagetta79692 жыл бұрын
Zitto umesahau kuwa mbowe yuko ndani? Au nivile kuna mkono wako serikalini?
@minyarothomas81673 жыл бұрын
Zitto na chama chake mara nyingi wanashauri rais na serikali jinsi ya kuongoza nchi hata bila kuombwa asiwe mnafiki kama hashauriani na mbunge wa sasa asitafute siasa aseme tu kua ni mbinafsi kwa sababu hakushinda
Wasipo kukusikiliza watakua hawana kili kabisa chama kimoja kinajiona njechenyewe amna vyama vingine vya upinzani
@otiatobakari7523 жыл бұрын
Hainiingii akilini mpinzani akisema rais atuite tusikilizane hivi maana ya upinzani ni nini. Kwa sababu ninavyoelewa upinzani kazi yake ni kukosoa na kupinga sasa wakiwa wanaongea positively na uongozi wao kazi yao ya msingi itakuwa ni nini naomba kujuzwa
@richardkitwe75182 жыл бұрын
Zitto kabwe ni kiongozi mahiri kwa ss wakazi wa kigoma tunapengo kubwa mpaka sasa wabunge wa kigoma ni viti maalumu ninavyo amini ,gwajima msukuma wangekua na zitto tz ingekuwa vizuri nb kilicho niudhi kwa zito ni kumusema magufuli hapo amenichafua asinge kuwa magufuli Tanzania tungeuzwa kwa magu tutakosana
@ishengomanelson2 жыл бұрын
Mwandishi boresha jinsi ta kuhoji sio kukatizakatiza tu au kutaka majibu nusunusu
@wazirie40702 жыл бұрын
I was thinking about the exactly thing.
@matukiomedia1912 жыл бұрын
Swal zur kwa nn wanaendelea kushirik ktk chaguz wakat huwa wanasema uchaguz sio huru...............wanatafuta hela hao Si wangeliviacha Huyo kizito kwa kuroga na kutoa kidogo ili achaguliwe ni balaaaa
@minyarothomas81673 жыл бұрын
Mbowe hayuko juu ya sheria amefanya mambo akijua vizuri sheria ila hiko kiburi cha kua mwenyekiti wa chama kikuu cha upinzani kisimfanye aone kua hawezi wajibika na sheria. Wanachama wa upinzani wanaona ni kosa kumshtaki kiongozi mkuu wa chama kana kwamba yeye ni rais wao ila wakati kiongozi huyo anavunja sheria wanakua hawaoni maovu yake hizo ni double standards. Mama chapa kazi na vyama vya upinzani vielewe hata wateule wako wenyewe wakifanya kosa wanawajibishwa kisheria, asiyetaka kuhukumiwa na aheshimu sheria na katiba