No video

Kiongozi wa ACT WAZALENDO ZITTO KABWE Ndani ya MEDANI ZA SIASA. Na Chief Odemba.

  Рет қаралды 24,804

Star TV Habari

Star TV Habari

3 жыл бұрын

Powered by Restream restream.io/

Пікірлер: 40
@leoncealex7343
@leoncealex7343 9 ай бұрын
Nimependa saana intro yenye uchambuzi kwa kina japo sauti naona zinamuingiliano na muonekano wa video kwwnye simu yangu mwanga upo afifi kidogo. Mtangazaji very good !!
@adamomary1964
@adamomary1964 3 жыл бұрын
zitto kabwe unaakili sana,serikal ilipaswa kuwa naviongozi wenye weledi kama zitto kabwe
@husseinmillans3794
@husseinmillans3794 3 жыл бұрын
The best interview ever!!
@dunstannyange7509
@dunstannyange7509 2 жыл бұрын
Edwin Odemba, bonge la mtangazsaji, Mungu akuinue utukufu had utukufu
@mtudidaniel9585
@mtudidaniel9585 3 жыл бұрын
Zitto ni mwanasiasa mweredi sana, anaongea point zinazoeleweka.
@dvjbingo8028
@dvjbingo8028 2 жыл бұрын
Yaaan kama humu ndan hakuna anaelewa hoja za mh zitto Bax ujue anamatatizo ktk ubongo wake akafanyiwe check up
@jastinesamboto4674
@jastinesamboto4674 3 жыл бұрын
Akili kubwa hii, majibu konki. Wachache watakuelewa wengine hata kupata tu mwanga wa kile kilichotokea kwenye uchaguzi hawawezi.
@Nganico
@Nganico 2 жыл бұрын
Zitto amezungunza vizuri sana. Heshima kwake
@dannymwamba5848
@dannymwamba5848 2 жыл бұрын
nakukubali sana mr kabwe
@shukurupetro9018
@shukurupetro9018 Жыл бұрын
Naona umepiga kombati za chadema nahisi bado ipo kwenye damu!?
@husseinmillans3794
@husseinmillans3794 3 жыл бұрын
Bado tunakuhitaji big brother Zitto kabwe. Tumeona Halmashauri ya Manispaa ya kigoma town ulivyo i-shape! Again in the year 2025
@superbillionairea5987
@superbillionairea5987 2 жыл бұрын
Nikweli yupo sawa Sana.
@ibrahimdabo7163
@ibrahimdabo7163 2 жыл бұрын
Zito uko vizuri aduwi yako usimkimbiye kula nae sahani mojaa akikomba ugali unakomba mboga mpaka kieleweke sawa
@justuswaziri3093
@justuswaziri3093 3 жыл бұрын
Mama msikilize huyu kiumbe, since day one binafsi pamoja na mapungufu yake mengi lakini anajitahidi saana kwenye tasinia ya Siasa, Nchi yetu bila viombe kama Lissu, Mbowe, Zitto na wengineo wenye akili yenye ajenda za kitaifa.
@allysingle2446
@allysingle2446 2 жыл бұрын
Yani kweli ACT ni chama tawala kwenye nchi hii ooooh hiii ndo siasa wacha tuendelee kujifunza zaidi
@olewangaparmitoro1395
@olewangaparmitoro1395 2 жыл бұрын
Mh.Zitto sio kiongozi wa kawaida kabisa kuwahi kutokea,siku zoto utabakia kati historia kwa kazi yako iliyotukuka hususan kwa kuishauri serikali katika nyanja mbalimbali 1-Kiuchumi 2-Kisiasa 3-kijamii 4-kitandawazi Mungu akujalie afya njema uendelee kuishi kama zawadi ya pekee kwa watanzania wote Nakumbuka ulipokuwa mwenyekiti wa kamati ya bunge hesabu za serikali uliongeza uwajibikaji kwa taasisi zetu za kifedha.
@ritamutoka7768
@ritamutoka7768 2 жыл бұрын
Kuna wabunge walioingia Bungeni KIMAGUMASHI. Umenena kweli Ndugu Kabwe !
@ablestclemence7382
@ablestclemence7382 3 жыл бұрын
Good
@petermgaya3812
@petermgaya3812 3 жыл бұрын
Big brain..he is very composed.
@khalfanmlala5093
@khalfanmlala5093 3 жыл бұрын
Safi sana
@bashkidana9404
@bashkidana9404 3 жыл бұрын
Sichoki kukusikiliza mwami wetu wanakigoma
@clementkivegalo2604
@clementkivegalo2604 3 жыл бұрын
Mhe. Zitto kwa ubungo, hapana, umekosea. Lazima tukubali kwamba kuna maeneo ambayo wapinzani wangeshindwa hata kama hiyo inayoitwa Tume Huru ingekuwepo.
@sulymansalymaly3859
@sulymansalymaly3859 3 жыл бұрын
Lkn sio kiasi kile mzee 😀😂😂
@baruanijuma6405
@baruanijuma6405 2 жыл бұрын
Bro uyo alshndwa kihalal
@alijuma7204
@alijuma7204 2 жыл бұрын
Mtangazaji una interact
@King_Of_Everything
@King_Of_Everything 2 жыл бұрын
🇹🇿🇹🇿🇹🇿👍✌
@matukiomedia191
@matukiomedia191 2 жыл бұрын
Ni uongo ulishindwa ......hawampend ni mwongo na ni tapeli huyo
@sagandamalechampullo659
@sagandamalechampullo659 2 жыл бұрын
NDIYO MAANA WALIZIMA MITANDAO YA KIJAMII. KUMBE ILI WAINGIZE KURA BANDIA
@petermwanyondo5370
@petermwanyondo5370 2 жыл бұрын
Yani bunge bira watu Kama halinogi kabxa
@yusuphmagetta7969
@yusuphmagetta7969 2 жыл бұрын
Zitto umesahau kuwa mbowe yuko ndani? Au nivile kuna mkono wako serikalini?
@minyarothomas8167
@minyarothomas8167 3 жыл бұрын
Zitto na chama chake mara nyingi wanashauri rais na serikali jinsi ya kuongoza nchi hata bila kuombwa asiwe mnafiki kama hashauriani na mbunge wa sasa asitafute siasa aseme tu kua ni mbinafsi kwa sababu hakushinda
@barakamsabaha8141
@barakamsabaha8141 2 жыл бұрын
Zito acha uwongo kigoma wamekuchoka acha kumzushia uwongo miaka 15 ungeshinda uchaguz ulikua halali acha izo
@ramadhanbakarimtambo2024
@ramadhanbakarimtambo2024 2 жыл бұрын
Ziti amesema ukweli igp alimkosea kujibu hadharani
@eliudimwakasenga9754
@eliudimwakasenga9754 3 жыл бұрын
Wasipo kukusikiliza watakua hawana kili kabisa chama kimoja kinajiona njechenyewe amna vyama vingine vya upinzani
@otiatobakari752
@otiatobakari752 3 жыл бұрын
Hainiingii akilini mpinzani akisema rais atuite tusikilizane hivi maana ya upinzani ni nini. Kwa sababu ninavyoelewa upinzani kazi yake ni kukosoa na kupinga sasa wakiwa wanaongea positively na uongozi wao kazi yao ya msingi itakuwa ni nini naomba kujuzwa
@richardkitwe7518
@richardkitwe7518 2 жыл бұрын
Zitto kabwe ni kiongozi mahiri kwa ss wakazi wa kigoma tunapengo kubwa mpaka sasa wabunge wa kigoma ni viti maalumu ninavyo amini ,gwajima msukuma wangekua na zitto tz ingekuwa vizuri nb kilicho niudhi kwa zito ni kumusema magufuli hapo amenichafua asinge kuwa magufuli Tanzania tungeuzwa kwa magu tutakosana
@ishengomanelson
@ishengomanelson 2 жыл бұрын
Mwandishi boresha jinsi ta kuhoji sio kukatizakatiza tu au kutaka majibu nusunusu
@wazirie4070
@wazirie4070 2 жыл бұрын
I was thinking about the exactly thing.
@matukiomedia191
@matukiomedia191 2 жыл бұрын
Swal zur kwa nn wanaendelea kushirik ktk chaguz wakat huwa wanasema uchaguz sio huru...............wanatafuta hela hao Si wangeliviacha Huyo kizito kwa kuroga na kutoa kidogo ili achaguliwe ni balaaaa
@minyarothomas8167
@minyarothomas8167 3 жыл бұрын
Mbowe hayuko juu ya sheria amefanya mambo akijua vizuri sheria ila hiko kiburi cha kua mwenyekiti wa chama kikuu cha upinzani kisimfanye aone kua hawezi wajibika na sheria. Wanachama wa upinzani wanaona ni kosa kumshtaki kiongozi mkuu wa chama kana kwamba yeye ni rais wao ila wakati kiongozi huyo anavunja sheria wanakua hawaoni maovu yake hizo ni double standards. Mama chapa kazi na vyama vya upinzani vielewe hata wateule wako wenyewe wakifanya kosa wanawajibishwa kisheria, asiyetaka kuhukumiwa na aheshimu sheria na katiba
Slow motion boy #shorts by Tsuriki Show
00:14
Tsuriki Show
Рет қаралды 10 МЛН
Sigma girl and soap bubbles by Secret Vlog
00:37
Secret Vlog
Рет қаралды 15 МЛН
НЫСАНА КОНЦЕРТ 2024
2:26:34
Нысана театры
Рет қаралды 1,6 МЛН
Викторина от МАМЫ 🆘 | WICSUR #shorts
00:58
Бискас
Рет қаралды 5 МЛН
#MEDANIZASIASA:RAIS WA TLS WAKILI BONIFACE MWABUKUSI-03/08/2024
1:13:50
Star TV Habari
Рет қаралды 10 М.
Zitto Kabwe aliposimama kuuaga mwili wa Samuel Sitta
8:02
Millard Ayo
Рет қаралды 315 М.
HOJA MEZANI || Historia ya uongozi ya Zitto Kabwe
1:25:25
UTV Tanzania
Рет қаралды 817
Slow motion boy #shorts by Tsuriki Show
00:14
Tsuriki Show
Рет қаралды 10 МЛН