KIPYENGA CHA MWISHO | Kazi asawazisha utata goli la Guede, Kipre Junior na lile la Tabora United

  Рет қаралды 69,789

Azam TV

Azam TV

28 күн бұрын

Kipindi cha Kipyenga cha Mwisho na matukio mbalimbali yenye utata wa maamuzi katika michezo mbalimbali ya NBC Premier League likiwemo goli la Joseph Guede lililokataliwa dhidi ya Kagera Sugar kuna goli la Kipre Junior pia wa Azam FC alilolifungwa dhidi ya Mtibwa Sugar.
Mwamuzi Mstaafu wa Kimataifa, Osman Kazi akisawazisha utata wote wa matukio hayo.

Пікірлер: 101
@chiefnumborecords4819
@chiefnumborecords4819 26 күн бұрын
Mwalimu wangu kazi Uko vizuri sikupingi auna baya
@davidchirimi2013
@davidchirimi2013 25 күн бұрын
Huyo muamuzi ashukuru sikuwepo chamazi ningekuwepo tungeomuona angepitia wapi kwenda nyumban kwake ckuiyo ndo tungemfundisha sheria kama alikua haijui ana bahati sana alituumiza sana mioyo yetu nilitaman nimmeze
@ahmedalsaadi7108
@ahmedalsaadi7108 26 күн бұрын
Kiukweli waamuzi wanaumiza sana watu wengine
@muhammadmuhammad5043
@muhammadmuhammad5043 26 күн бұрын
Nimeisikia Salam Ya Baba Mzazi Ushauri Mzuri..
@lucymsheshi5871
@lucymsheshi5871 26 күн бұрын
Msiwape kichaka waamuzi pakujificha kuwa makosa ya kibinadam
@alexndihokubwayo8010
@alexndihokubwayo8010 26 күн бұрын
I’m alex ndihokubwayo I’m living in USA 🇺🇸 Cleveland city 🏙 Ohio hawa ma refari wa Tanzania 🇹🇿 wanatia aibu kweli
@proisolution7166
@proisolution7166 26 күн бұрын
KUTOKUPENDEZEWA NA KOCHA NAYE NI BINADAMU HAINA TOFAUTI NA NINYI MLIOTETEA RED CARD YA LAWI NDIYO MNAONGEZA HASIRA TUKIO ZIMA LA LAWI NI UPENDELEO WA TFF PALE MR KIPENGA CHA MWISHO HIZO SHERIA ZINAANGALIA TUKIO NOT JUST LAST DEFENDER WEWE UNA TO MISLEAD NA INCIDENCE YA MWISHO,HUYO MTOTO ALIKUWA DIS POCESSED MPIRA NA TIMU YOTE ILIKUWA IMEVUTIKA INAWEZEKANA AZIZ ANGEPIGA MOJAMOJA KWA MOJA MAY BE KIPA ALIKUWA OFFLINE, AU ACHEZE NA GUEDE CSE ILIKUWA NI ALMOST TWO STRIKER AGAINST 1 DEFENDER,NASHANGAA NA NITASHANGAA KAMA SHERIA INARUHUSU ETI MTU ANYANGANYWE MPIRA AJE AFANYE KAMA YULE LAWI ETI APEWE NJANO KISA HE WAS NOT LAST DEFENDER ,LABDA KWA MUJIBU WA TFF HILO NI SAHIHI NA SIYO SHERIA ZA SOKA.KULE KWA MBWENI JKT ULE MPIRA ULIGUSA NYAVU ZA JUU SASI AKASEMA SIYO GOLI-HATA WEWE UKIWA COACH UKIPANDWA HASIRA SAWA.HAPA CONFLICT OF INTEREST INAHARIBU KILA SEKTA TANZANIA,WACHAMBUZI.MAREFA,VIONGOZI.NK.
@roudhamahmoud763
@roudhamahmoud763 26 күн бұрын
Kocha gamondi hakuwa na kosa hapo ameteteya haki ya kazi yake
@godfreymussa2953
@godfreymussa2953 24 күн бұрын
Marefa wabadilike waache kuwa mashabiki wa timu zinachocheza lkn pia Sheria iboreshwe nao marefa walipe faini kwa makosa wanayofanya Kwan bado wanavunja Sheria za kazi zao
@user-ce3tx7mr8v
@user-ce3tx7mr8v 26 күн бұрын
AMINA KYANDO NI UKOO WETU LAKINI ANAHUSIKA MECHI NYINGI ANAIBEBA SIMBA
@beatricemlay4801
@beatricemlay4801 26 күн бұрын
Mpira wa Africa hususani bongo umeoza
@emanuelyohani59
@emanuelyohani59 25 күн бұрын
Mambo
@emanuelyohani59
@emanuelyohani59 25 күн бұрын
Mambo
@GeradinaJohn-xh8pw
@GeradinaJohn-xh8pw 26 күн бұрын
Nimeumia sana😢😢😢
@yunusimchala6569
@yunusimchala6569 26 күн бұрын
Tatizo ni mazoezi hawafanyi hawana kasi
@ManzabaySalim
@ManzabaySalim 26 күн бұрын
TFF NA FAT WAFUKUZWE WOTE HIO MIPANGO YA KARIA
@mosesgasana7109
@mosesgasana7109 26 күн бұрын
Tukisema nchi imejaa vilaza tueleweke. Yaani kila sector ni vilazaaa tuiuuu. Imagine ni sheria 17 tu za soka zinazotakiwa kutafsiriwa vzr ili kutenda haki lakini wapi. Marefa wengi ni vichwa vya panzi😂😂😂
@muhammadmuhammad5043
@muhammadmuhammad5043 26 күн бұрын
Mfahamishe Vizuri Huyo Jamaa Anaonesha Haelewi
@christianjohnmwalugaja8090
@christianjohnmwalugaja8090 26 күн бұрын
Hapo kazi umechemsha kipre alivuta nilikuwa naheshimu sana maoni yako sasa naanza kuwa na doubt
@vicentsagudasheyi564
@vicentsagudasheyi564 26 күн бұрын
Watu Wa natumia gharama, pesa, muda na nguvu kuandaa timu halafu unadhulumiwa kiraisi
@muhammadmuhammad5043
@muhammadmuhammad5043 26 күн бұрын
Zanzibar Kutoka Wachezaji Wengi Wazuri ila Bara Wanabana Sana
@MatronaThomas-wz5si
@MatronaThomas-wz5si 24 күн бұрын
Swafi sanaaa ❤❤❤VAR ije
@emmanuelmodest7457
@emmanuelmodest7457 26 күн бұрын
WAAMUZI WANAHARIBU MPIRA WETU SANA, GAMONS ALIPATA HASIRA KWA ANAYOYAONA KWA WAAMUZI
@user-gi2tx2gv2t
@user-gi2tx2gv2t 26 күн бұрын
Waamuzi waache ushabiki wafanye kazi Yao shida muamuz anachezesha mechi lakini ni mshabiki wa timu Fulani anaendekeza ushabiki nawachukia kinoma waamuzi kama hai
@mhebhoamoskisimple2095
@mhebhoamoskisimple2095 26 күн бұрын
mna chambua kinafiki mno..gamond yupo sahihi kabisa 😊.sema nyie mlitaka somba abebe ubingwa
@divaimafuru6844
@divaimafuru6844 23 күн бұрын
Somba ndio nani wewe mandazi
@jeshihassan7120
@jeshihassan7120 26 күн бұрын
Hata tukiwa na VAR kwenye ligi TANZANIA bas haiwez kusaidia kwa sababu waamuzi wanaamua kutokana na maamuzi yao (Utashi wao) na sio kuamua kutokana na sheria ya uamuzi.
@lucymsheshi5871
@lucymsheshi5871 26 күн бұрын
Mmeanza siasa sikuizi Azam Yani mpaka kwenye magoli ya highlight goli la mudathiri hawajaweka
@christianjohnmwalugaja8090
@christianjohnmwalugaja8090 26 күн бұрын
Ni kweli alichofanya Gamondi akikuwa suala la mchezo lakini kumbukeni huyu ni Mwajiriwa anataka kumshawishi mwajiri ili apate donge nono hivyo suala hili linauma kwa upande wake anapoona anakosa bargaining power katika mkataba mwingine.
@hamishassan6784
@hamishassan6784 24 күн бұрын
Nadhani Sheria ziboreshwe pale ambapo itakapothibitika pasi na shaka kuwa Mchezo ulikuwa na goli halali lililokataliwa ikiwemo wenye goli kupewa na matukio yaliyopelekea goli kukataliwa kama yatapelekea goli kwa timu shindani kuondolewa. kwani hii itaondoa mihemuko kwa waliodhulumiwa goli halali na kuweka utulivu wa kutosha kwani marejeo yatakuwa yanathibitisha yote na kuchukuliwa uwamuzi wake kuwa sahihi. Vinginevyo itakuwa kama Kaka Kazi hapo anaposema ".... najua inauma But but !!!!!"
@IdaAdek
@IdaAdek 26 күн бұрын
Gamond ako Sawa waamzi waache ujinga kabisa
@linnusaloyce6559
@linnusaloyce6559 26 күн бұрын
Kikubwa naona azabu wanazo pewa wachezaji na benchi la ufundi marefa nao wapewe hivyo hivyo maana wote wapo kwenye kazi moja haiwezekani wapumzishwe tu iyo cyo azabu wahazibiwe kwa faini na kufungiwa kama wachezaji na benchi la ufundi wanavyo fanyiwa huo ujinga utaisha kingine kuboresha kwenye basi la azam wawepo waamuzi wa ziada kwaajili ya kungamua badala ya VIR
@user-tb5gp4wi4e
@user-tb5gp4wi4e 26 күн бұрын
Tff ndo wanawatuma marefa kuchezesha uwo ujinga ili yanga akose matokeo mazur aandaliwe mtu ubingwa
@reubenmzengi4589
@reubenmzengi4589 26 күн бұрын
acheni ujinga au nanyi ni wapanga matokeo. Yanga tunadhulumiwa Dana mechi na Azam, Kagera na zingine nyingi. Tabora wamedhulumiwa yote haya kumbeba Simba Kila mtu anajua.
@jonathanmwakabuku4714
@jonathanmwakabuku4714 26 күн бұрын
Kaze alichofanya Gamond ni sawa kabisaa coz malefa wa bongo wamezidi kujiamulia kwa ushabiki badala ya professionalism
@leomika8473
@leomika8473 26 күн бұрын
Ata ukiweka sawa Kuna kitakacho badirika
@thadeylyimo9772
@thadeylyimo9772 26 күн бұрын
haibadilishi kitu ila hapo utajua uko upande wa kubwebwa au timu yako inauwezo
@obedkalinga9704
@obedkalinga9704 18 күн бұрын
display ya matukio very poor, improve by introducing a slow motion. kwa munavyoonyesha ni ngumu mtu kuelewa mnachoongea
@chinaaudax6459
@chinaaudax6459 26 күн бұрын
Wewe ni Refali mkongwe jaribu kukaa na wamuzi wape semina
@reginaldmapunda6702
@reginaldmapunda6702 26 күн бұрын
Hawa marefa wana taaluma ya kutosha na hayo makosa wanafanya kwa makusudi na kwa maekekezo ya wanaowasimamia. Dawa nzuri ni Ile ya kuwachomea moto nyumba za marefa wanaofanya ujinga huo maana TFF inawalinda hao marefa. Hii ilisaidia sana miaka ya 70 na 80. Inazigharinu sana timu zinazofanyiwa hujuma hizo za makusudi na kuwaondolea burudsni maelfu ya watu wanaofuatilia mchezo huo Kwa viingilio halali na muda wao wa kufuatilia Mpira na badala yake wanawaangalia marefa wakilinda rushwa zao. Hawa ni watu wa kupotezwa kabisa ktk. Soka letu.
@lucymsheshi5871
@lucymsheshi5871 26 күн бұрын
Na niwaombe hizo video clips wekeki angel zote sio nyuma ya wachezaji na kamera ziwekwe kote na wakati matukio yanaelezwa zoom TV TU tuone matukio yote
@AllanKinyunyu
@AllanKinyunyu 26 күн бұрын
Alipanga kuinyonga yanga huyo hajui kazi kazi yake huyo alilewa
@chinaaudax6459
@chinaaudax6459 26 күн бұрын
Unawashaulije wamuzi wanao fanya hivyo kila Mara
@JuhudiKasanga-yq5ks
@JuhudiKasanga-yq5ks 26 күн бұрын
Kwani hawa marefa wanaandaliwa na nani au wanaokotwa TU kwasababu wanamasilahi na Wana tff wanaopanga matokeo ili watu wakipani kwa makusudi ya marefa wapige faini wapate hela wanazotaka kwa hujuma hizo.
@bmkaskazinib4363
@bmkaskazinib4363 25 күн бұрын
Waamuzi wengine wanao uwezo lkn wana mapenzi ya timu Fulani hawaezi kuwa waadilifu
@alikomwakajegela4198
@alikomwakajegela4198 26 күн бұрын
Kazi unazingua eti kuweka mkono sio kosa, tunakujua uko upande gani. Simamia sheria kiuweledi kama mstaafu
@stevenghambi3471
@stevenghambi3471 26 күн бұрын
Kuvuta au kusukuma ndo kosa mwelewe
@iddiyrashid1682
@iddiyrashid1682 26 күн бұрын
Kwanini marefa hawapigwi faini wanafungiwa mechi 2 ama 3 halafu yamekwisha lakini kocha anafungiwa na faini pia anapigwa
@SalimAthuman-xh7ci
@SalimAthuman-xh7ci 26 күн бұрын
Akuna mchambuzi apo ushuzi mtupu
@daudkhatib-qn5tr
@daudkhatib-qn5tr 24 күн бұрын
Na ndiomaana wabongo hakuna waamuzi wanao haguliwa kuchezesha mashindano ya njee
@richardnganya2311
@richardnganya2311 26 күн бұрын
Mtangazaji unaweka visifa vya hovyo hovyo..
@user-qg1iy5ov3u
@user-qg1iy5ov3u 26 күн бұрын
Hii inatokana na mapemzi ya marefa kwa kiongozi mkuu wa t f f
@cletusmwampinzi
@cletusmwampinzi 25 күн бұрын
hiki kipindi hakina maana, tunaomba uwafundishe hao waamuzi.fundisha
@Zuberigangisa-dk9ne
@Zuberigangisa-dk9ne 25 күн бұрын
WAZO LAKO KIPYENGA LIKO SAWA. Lakin Nini kazi huyo kamii saa anaye simama mbele
@user-rr5ld5hp5q
@user-rr5ld5hp5q 25 күн бұрын
Nyi awa waamuzi mnawachukua mtaani au maana ata siwaelewi wanacho kifanya
@frankmkumboelias8265
@frankmkumboelias8265 26 күн бұрын
Maneno mengi kuliko vitendo!
@HusseinIsmairy-gj5ux
@HusseinIsmairy-gj5ux 26 күн бұрын
Mi naulizaga kilasiku hamnijibu baada yahapa nini kinatokea kama faida ya waonewa
@bmkaskazinib4363
@bmkaskazinib4363 25 күн бұрын
Acha tu zsimba wadeke hatshangai hats ligi kuakhiridhwa
@leonardjohn6481
@leonardjohn6481 26 күн бұрын
Ok nimegunduwa leo wa chambuzi uchwara Tanzania nimama nishuke 😅
@chinaaudax6459
@chinaaudax6459 26 күн бұрын
Kama ni goal wewe Kama kipenga Cha Mwisho anawasaidiaje wamuzi waache kukaa Mbali na matukio
@user-iu2cm5um6e
@user-iu2cm5um6e 26 күн бұрын
Pumbavu zako,umezeeka hadi macho yako, hata kipofu anaweza kuchambuwa ukweri, DU,huu ujinga wawamuzi hauwezi kuisha,kumbe kuna wantu wanafuga huu ujinga. Ndo kama hawa.
@adamamin8148
@adamamin8148 24 күн бұрын
Anaitwa fala sofia
@abeidrashid2574
@abeidrashid2574 25 күн бұрын
Hiyo ni faulo ya waz muwamuzi yupo sahii
@deokibona2835
@deokibona2835 26 күн бұрын
Adhabu Kwa waamuzi zitazamwe upya. Kama mtu kama manara ambaye anakuwa jukwaani anaweza kufungiwa bila kikomo na faini ya million 10 kwanini mwamuzi apumzishwe tu wakati kakataa goli? Makosa mengine yanaweza kuvumiliwa lakini sio kukataa goli halali au kukubali goli Haram.
@user-sb2oj6pl5f
@user-sb2oj6pl5f 26 күн бұрын
E bwanae wacheni ayo yalopita yamepitq
@GeradinaJohn-xh8pw
@GeradinaJohn-xh8pw 26 күн бұрын
Kwaio kama yamepita ndo tuachane nayo ili yaendelee tu au unamaanisha nini
@user-yk8gf2zi2b
@user-yk8gf2zi2b 26 күн бұрын
Acha kutetea ujinga watu wanatumia gharama gamondi Yuko sawa yaani nyinyi waamuzi wetu wakikosea eti makosa yakibinadamu lakini wakifanya wengine Wana bigwa faini waamuzi wetu wamezidi huo sio ubinadamu nimaandalizi tabora wamedhulumiwa yanga pia nawengine afu tff wamekaankimya tumechoshwa nawaamuzi Bora tucheze bila waamuzi
@ce-08
@ce-08 26 күн бұрын
😂😂 sasa mnunue marobot yachezeshe maana Kila timu especially hizo kubwa zmenufaika na hayo makosa
@hsanomohamed4543
@hsanomohamed4543 26 күн бұрын
Wewe mwehu Gori rawa Kagera rachirwa umerisahau
@user-kk3tv6kw1o
@user-kk3tv6kw1o 26 күн бұрын
Mechi ya ngapi hiiii Yanga wanaonewa? Ni mpango wenu na hiyo TFF kuinyong'onyeza Yanga? Na huyo Kazi wao lazima atie dosari kwa Yanga tuu, Acheni unazi,
@claretedwardngoye2283
@claretedwardngoye2283 26 күн бұрын
Mwamuzi alifungiwa​@@hsanomohamed4543
@paulinevedastus7621
@paulinevedastus7621 24 күн бұрын
Wewe umebebwa mechi ngapi unajisahaulisha au tukutajie
@user-qg1iy5ov3u
@user-qg1iy5ov3u 26 күн бұрын
T f f imejs viongozi wa simba tu tunaomba serikali iingilie kati maana huu ni ukabila kwenye michezo
@EdifonceSylvester
@EdifonceSylvester 25 күн бұрын
Sauti ya mchambuzi ipo chini
@user-qg1iy5ov3u
@user-qg1iy5ov3u 26 күн бұрын
Viongozi wa t f f muda wao wa kuongoza utaisha lini?
@user-px7jf7xs6k
@user-px7jf7xs6k 26 күн бұрын
Huyu muandish koloooooooo
@iddiyrashid1682
@iddiyrashid1682 26 күн бұрын
Warefa wa mchongo watu wamo na wao wamo
@juliuslawi8983
@juliuslawi8983 26 күн бұрын
Hawa marefa wanasoma nini huko chuoni kwao,aibu tupu
@peterkapeople7103
@peterkapeople7103 26 күн бұрын
Maoni yangu ili kuondoa utata wa mambo na matukio yanayoendelea kujitokeza kwanini kusiwepo na referee mwingine awe anakaa kwenye basi la Azam ilikuweza kuona matukio Kwa njia ya picha za marudio Kwa sababu uwanjani huwezi kuzipata itasaidia kwakua hatuna VAR
@linnusaloyce6559
@linnusaloyce6559 26 күн бұрын
Point mkuu
@user-zh5tp2yq6f
@user-zh5tp2yq6f 25 күн бұрын
Tubadlishieni waamuzi
@user-yk7ff9ks6q
@user-yk7ff9ks6q 26 күн бұрын
Tff wanahusika chini ya karia
@josephshishira6301
@josephshishira6301 23 күн бұрын
Kwanini VAR na goal line technology viliwekwa, sidhani kama uchambuzi huu una maana yeyote, ni kupoteza muda na kuleta sintofahamu kwa waamuzi pia wapenzi wa mpira bila sababu.
@user-rh5yn3bc1o
@user-rh5yn3bc1o 26 күн бұрын
Kipyenga kwa sasa ni kipyongp.....useless commentary
@stevenhaule6786
@stevenhaule6786 24 күн бұрын
Refaree hakuwa lain position Sasa ameona vip kama ni offside?unatuzingua wochu
@rtp9010
@rtp9010 24 күн бұрын
Kuzeni matukio mnayojadili. Acheni uninafsi. Mnaona poke yenu tu
@user-sm4jq6hq1t
@user-sm4jq6hq1t 24 күн бұрын
Hàlina akili kabisa eti kipenga Cha mwisho
@ezrajoseph3666
@ezrajoseph3666 24 күн бұрын
hivi nyie mnaotukana humu, mnaingia kujifunza au ? hebu chukueni ifa ya mpira na so ushæbík
@stevenhaule6786
@stevenhaule6786 24 күн бұрын
We nawe kazi unazingua umesema inauma;Sasa hujapenda nin Sasa Wew mwenyew ulikuwa na changamoto zako enzi za urefaree wako kwani hatujui acha kutetea kuwa timamu bro
@user-bo5qp9gz8m
@user-bo5qp9gz8m 24 күн бұрын
Ujinga tu mnaongea.tutokeeni.apo.mbele
@alfredrutaguza7506
@alfredrutaguza7506 26 күн бұрын
Huyu na kahaba wa manzese anajishauwa wakati enzi zake alikuwa anahujumu waziwazi
@muhammadmuhammad5043
@muhammadmuhammad5043 26 күн бұрын
Maisha Magumu Tanzania Wanapokea Wote Hao Marefa
@hamisibeya8959
@hamisibeya8959 26 күн бұрын
Marefa wa mchongo wanarudisha nyuma vipaji vya watu
@user-qg1iy5ov3u
@user-qg1iy5ov3u 26 күн бұрын
T f f imejs viongozi wa simba tu tunaomba serikali iingilie kati maana huu ni ukabila kwenye michezo
@YonahShao
@YonahShao 25 күн бұрын
Sasa mkishasema haikua penati nini kinafanyika, sioni kama kuna maana ya hiki kipindi maana ninini faida yake,mnaongeza maumivu kwa wahusika tu
@EmmanuelMsangi-kb3vv
@EmmanuelMsangi-kb3vv 24 күн бұрын
Inasaidia kuondoa ushabik maandazi
@EmmanuelMsangi-kb3vv
@EmmanuelMsangi-kb3vv 24 күн бұрын
Inasaidia kuondoa ushabik maandazi
@ManzabaySalim
@ManzabaySalim 26 күн бұрын
Acheni zenu nyinyi mnajua kua madunduka wanabebwa mnajua yote karia huyo
Can you beat this impossible game?
00:13
LOL
Рет қаралды 53 МЛН
🍟Best French Fries Homemade #cooking #shorts
00:42
BANKII
Рет қаралды 42 МЛН
UFC 302 : Махачев VS Порье
02:54
Setanta Sports UFC
Рет қаралды 1,3 МЛН
LEONARDO ALIVYOWAVUNJA MBAVU WAFANYAKAZI WA CRDB!
17:39
Visit Tanzania
Рет қаралды 208 М.
Highlights: Al Ahly v Real Madrid - FIFA Club World Cup Semi-Final
6:49
DIAMOND Afunguka ALIKIBA kutaka KUMUIBIA watangazaji wake
9:29
Rick Media
Рет қаралды 29 М.
PILIPILI (Ep 01)
13:02
kicheche
Рет қаралды 135 М.
MSHIKEMSHIKE VIWANJANI - AZAM TV 05/06/2024
22:32
Azam TV
Рет қаралды 10 М.
Whatever You Land On, Take The Penalty!⚽️😱
0:38
Joris
Рет қаралды 20 МЛН
guess the football player by pictures
0:29
Levin’s
Рет қаралды 13 МЛН