WAZIRI SILAA USO KWA USO NA MUSHI ALIE JENGA GHOROFA ENEO LA WATU | WEWE NI TAPELI NA.......

  Рет қаралды 61,409

RAI TV

RAI TV

27 күн бұрын

MUSHI ATUHUMIWA KUJENGA GHOROFA KWA MTU
•WAZIRI SILAA AELEKEZA ARUDISHIWE MWENYEWE
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Jerry Silaa amesema ghorofa lililojengwa katika kiwanja namba 487 Mikocheni jijini Dar es salaam litarudishwa kwa mwenyewe Bw. Fatael Anderson baada ya uchunguzi wa nyaraka uliofanyika kubaini kuwa limejengwa na Kampuni ya Jued Homes Limited inayomilikiwa na Bw. Paul Meenda Mushi ambaye awali alitajwa kama tapeli namba moja wa viwanja jijini Dar es salaam.
Waziri Silaa ametoa kauli hiyo wakati alipofanya ziara katika eneo hilo akiambatana na mmiliki halali wa eneo hilo Bw. Fatael Anderson ambapo amekuta kiwanja hicho kimejengwa Ghorofa na limekuwa likitumika kwa biashara na ofisi mbalimbali.
Amesema Kiwanja hicho kiliandaliwa hati namba 52250 ya miliki ya miaka 33 kuanzia tarehe 01/01/1984. Hata hivyo Fatael Anderson hakuwahi kusaini rasimu ya hati wala kuchukua hati hiyo ambapo tarehe 12 Machi 2004 Mushi alighushi nyaraka zote kwa kutayarisha hati na kisha kufanya uhamisho wa miliki hiyo kutoka jina la Ndg Fatael Anderson kwenda Kampuni ya Jued Homes Limited.
Silaa amesema tarehe 15/02/2010 kampuni ya Jued Homes Limited walitoa tangazo la kuomba kubadilisha matumizi ya kiwanja kutoka Makazi Kwenda Makazi na Biashara. Mabadiliko hayo yaliidhinishwa na Mkurugenzi wa Mipango Miji na Vijiji tarehe 20/07/2012.
Katika uchunguzi wa nyaraka imebainika kuwa Kampuni ya Jued Homes Limited (inayomilikiwa na Bw. Paul Meenda Mushi) ilighushi nyaraka zote kwa kutayarisha hati kwa jina la mmiliki Ndg Fatael Anderson na kisha kufanya uhamisho wa miliki hiyo.

Пікірлер: 133
@imraniqbal00765
@imraniqbal00765 25 күн бұрын
Ktk serikali ya mama samia kuna vijana watatu mimi nawakubali sanaa Mama hakukosea kabisa kuwa chagua Jery slaa,bashe,makonda
@kristofuraha3369
@kristofuraha3369 25 күн бұрын
Yani nimegundua hata Lukuvi wakati akiwa waziri wa ardhi hakuwahi kufikoa viwango vya utendaji wa JERY SLAA.
@user-yu1xi7dh4o
@user-yu1xi7dh4o 25 күн бұрын
Mtoe bashe kabisa ni msanii ni kwa vile humjui tu ni fundi kujieleza na kupangilia hoja zake ndo pale anawachanganya watu ila ni mwizi mzoefu na mwizi fundi timu mwiguru nchemba.
@paschalpaul3862
@paschalpaul3862 24 күн бұрын
Kwa upande wa bashe kuna ukakasi wa tuhuma mbalimbali kwenye tenda za kilimo na hivyo ipo siku Bashe atapigwa spana japo kwa macho ya nyama anaonekana mtendaji mzuri lakini kuna harufu za ubadhirifu zinamzunguka
@mohammedibrahim1629
@mohammedibrahim1629 24 күн бұрын
Awesu waziri wa maji
@gandeone1585
@gandeone1585 24 күн бұрын
Waziri wa Ujenzi Umemsahau
@user-qh2bx5em6j
@user-qh2bx5em6j 24 күн бұрын
Silaa napenda tu unavyoongea unamwelewesha Mtu jambo mpaka anaelewa Mungu akubariki Sana
@RobertCollinskc
@RobertCollinskc 25 күн бұрын
Haki siku zote huzunguka na kumtafuta mwenye haki, hatimaye kapata haki yake, miaka 40 ya subra na maombi, mungu kamjibu.
@johnmalembo6464
@johnmalembo6464 25 күн бұрын
Umekula bonasi ya jumba Bure baba....haki ya mwenye haki Huwa haki
@froma3732
@froma3732 24 күн бұрын
Na kodi alokuwa akichukuwa alipe
@zillytash693
@zillytash693 13 күн бұрын
Mshamba mkubwa unapaswa kupigwa Risas tisa kichwani ufe miaka yote hiyo Bado wasema amepata jumba Bure stupid u
@thomastemu3332
@thomastemu3332 25 күн бұрын
Hongera sana waziri wangu Jerry slaa..mama samia alichagua jembe
@gideonchilongani3421
@gideonchilongani3421 24 күн бұрын
p😊0nl9
@gideonchilongani3421
@gideonchilongani3421 24 күн бұрын
😊
@Josephineexsuper
@Josephineexsuper 25 күн бұрын
Mungu akulinde waziri wetu... Wananchi waone sasa huyu Paul Mushi ni tapeli kweli...watu waliona anaonewa lkn sasa ndo muone...wezi wa ardhi wana roho ngumu sana na wakavu kweli wakichukua mali ya mtu
@christinewomanoffaith5479
@christinewomanoffaith5479 24 күн бұрын
Yaani wezi wa ardhi wengi kwann ni wa kasikazini? Ht yule wa Tanga the same. Huko Arusha nako makonda anawanyoosha ila wengi ni walewale
@user-uh7to2kw2z
@user-uh7to2kw2z 24 күн бұрын
Huyo Moshi kila sehemu anatajwa laana mkubwa huyo Ila mwisho wake umefika amewatapeli wengi Sana muheshimiwa Slaha tunakupenda tunakuombea 🙏♥️mtetezi WA wanyonge🎉🎉
@angellomarcel5677
@angellomarcel5677 16 күн бұрын
Makonda Bashe na Silaa waache tu hawa watu ni Noma akili nyingi alafu no Longo longo..Big up sana kwaoo
@j6sitta
@j6sitta 11 күн бұрын
Amen
@user-ii6gs2jg4g
@user-ii6gs2jg4g 25 күн бұрын
Mi naona serikalin kuna wachapa kazi ni wawili tu. Makonda na wewe silaa mungu awaongoze kwa mno
@femidayahaya4882
@femidayahaya4882 22 сағат бұрын
Kabla hata cjazaliwa Mzee kadhulumiwa😢😢 Ndo haki yake anaipata Leo...Nimeamini riziki ya Mtu haipotei hata kama ikichelewa ila itarudi kwake...Mungu ni mwenye Nguvu.
@hamisJuma-lx2cc
@hamisJuma-lx2cc 25 күн бұрын
Ndug waziri tunaonewa sana na watendaji wako wa Aridhi tunanyaganywa haki zetu hivi hivi kwa7butu niusomi wa kijanja
@christinewomanoffaith5479
@christinewomanoffaith5479 24 күн бұрын
Mtafute makonda
@emanuelmaraki9758
@emanuelmaraki9758 25 күн бұрын
Duuu Mzee umelambaaa nyumbaa
@deusdeditswebe8930
@deusdeditswebe8930 18 күн бұрын
Uje na Mwanza ...
@OmanOman-dn6dj
@OmanOman-dn6dj 25 күн бұрын
Jery slaa Yeye kazini ni mashati meupe tu
@mwanaidimussa
@mwanaidimussa 25 күн бұрын
Iviii anayo mangapiiii jmn !!! Havaiiiii rangiii nyingneee y????
@OmanOman-dn6dj
@OmanOman-dn6dj 25 күн бұрын
@@mwanaidimussa Itakuwa Anayo Mengi..Anakuwa Anabadilisha tu
@zuwenasalim2794
@zuwenasalim2794 24 күн бұрын
Huvaa mashat meupe huamaanisha yeye nimsafi wa roho mpk kwenye kazi
@ramadhanimtetu3656
@ramadhanimtetu3656 24 күн бұрын
Mashati meupe Yana maanisha hataki rushwa kabisa
@user-kz7ys5qw2h
@user-kz7ys5qw2h 23 күн бұрын
Ni msafi Jamn huyo Mwirag
@ezehabari947
@ezehabari947 25 күн бұрын
Huyu waziri Mh Rais Samia amuwekee Ulinzi vinginevyo atauwawa
@dignakanje4508
@dignakanje4508 25 күн бұрын
Yaani mungu àkubariki sana waziri
@sudymgeni701
@sudymgeni701 24 күн бұрын
Yani waziri kunanafasi yako kwa mungu amini usiamini.mungu akulinde maisha yako yote
@neemareuben311
@neemareuben311 24 күн бұрын
Jery nakupendaaaaa wallah ww na makonda ❤❤❤❤❤❤
@user-nn3py9nj8l
@user-nn3py9nj8l 25 күн бұрын
Duuuuh....... Kwaiyo mzee anapata kiwanja na bonus ya gorofa....🤔😆 Uyo Mushi amekwishaa🙌🙌
@mwanaidimussa
@mwanaidimussa 25 күн бұрын
Yaan apooo kaz anayoooo ,, huyooo mzeee ni boss anatakiwaaa amuoneee kam mungu wakee ili wakaeee wayajengeee bila ivo abomoeee
@user-nn3py9nj8l
@user-nn3py9nj8l 25 күн бұрын
@@mwanaidimussa .... Yaa wake wakubaliane.... Atlist ampe pesa ya kufidia kiwanja chake....
@chumamasunga8855
@chumamasunga8855 24 күн бұрын
​@@mwanaidimussakumbuka amefanya biashara hapo kwa miaka 40, bila kulipa chochote
@user-ry8xf1no2s
@user-ry8xf1no2s 23 күн бұрын
Mueshimiwa laisi wangu mpendwa Samia suluhuhasani Kwa kutupa wazili Bomba sana jeli silaa Brother na kupenda sana Alha akufanyiewepesi inshallah kwenye uongoziwako
@geey7893
@geey7893 24 күн бұрын
Nenda Morogoro eneo la Mkundi kwa Masister kuna Mtu anajiita Almas Mvungi, ameshatesa sana Watu. Ni ziaid ya Paul Mushi
@christinewomanoffaith5479
@christinewomanoffaith5479 24 күн бұрын
Yaani Majina yaleyale🙌 Ni mushi,mvungi,kimaro nk Hawa watu Wana roho ngumu jmn Hebu basi tafuteni namna ya kufikisha hizi taarifa Kwa waziri au makonda hapa sio rahisi kusoma sbb acc zinazorusha taarifa ni nyingi! au kwa AYO
@walinaziontime7300
@walinaziontime7300 24 күн бұрын
Samia Mama kwa karata bya ya Makonda na Silaa Sina Ubaya na Wewe
@user-ex9sd8wm4l
@user-ex9sd8wm4l 25 күн бұрын
Allah aqbaru jamaani mbona watu wengine wanaroho mbaya hivi kweli unakuwa unakiwanja halafu mtu mwongine anajenga dah!!!
@user-qt5tx7xu8f
@user-qt5tx7xu8f 24 күн бұрын
MAMA.samia umechanguwa majembe.matatu.wakwanzajery Sarah wailing nimakonda.watatu.nichalamila.hao nimajembe wa tanzania
@HanifaOman-oo4pl
@HanifaOman-oo4pl 24 күн бұрын
Allhamdulillah. BBa unmepataakiyako. Silaa,Allahakupe itajiola moyowako❤❤
@afraeliazaelayo
@afraeliazaelayo 25 күн бұрын
Asante Mungu Wetu,Kutupa Uongozi wa Nchi yetu yenye Baraka zako,wenye Roho Mtakatifu wako,wa kutenda na Kusimamia Haki. Mungu Tunakuomba,Ummbariki Rais wetu na Viongozi wote waliyo chini yake kwenye nafasi mbalimbali,aidha kwa Uteuzi wake au kwa kuchaguliwa ,Waweze kuendelea kutenda na kusimamia Haki,hasa kwa wanyonge na hata wengine wowote waliodhulumika katika kupata haki zao. Hakika Mungu Atatubariki Wa-Tanzania. Utawala wowote Ukishajali kutendea Wananchi wake haki,na kusimamia sheria ki-haki, Mungu Atatulinda nayote mabaya. Mpe Rais Wetu Timu ya kufanya kazi naye wenye hofu ya Mungu,wapende kutenda haki,na Mungu Atawabariki tu, wasiwe naharaka ya kutamani maisha ya kudhulumu. Mungu Atawahangaikia,na wao wahangaikie haki za Wa-Tanzania. Mungu Muongoze Rais Mama Samia Suluhu Hassan, Muinulie Timu ya Kusaidiana na Wateule wake wakazidi kuteda na kusimamia haki. Mungu Ibariki Tanzania. Hofu Ya Mungu Ikatawale. Amen.
@SHARIFF799
@SHARIFF799 25 күн бұрын
This guy should be next president of Tanzania....SILAA
@lusticabernad9982
@lusticabernad9982 24 күн бұрын
Nakufuatilia sana mh, ila uko vizuri sana, Mungu akutangulie Jerry❤
@RubenMtuwaMungu-bz8ee
@RubenMtuwaMungu-bz8ee 25 күн бұрын
Mbona nchi kubwa kwanini upore eneo la mwingine?
@mishiabdu7478
@mishiabdu7478 24 күн бұрын
Mweshimiwa mungu akuweke.nina imani na mm iko siku nitakuona utanisadia
@MichaelmotikaLaiser-dl6wm
@MichaelmotikaLaiser-dl6wm 24 күн бұрын
Waziri hongera sana mungu atakulinda
@shariffsagaf2305
@shariffsagaf2305 25 күн бұрын
Mungu akulendi nasema ndani ya moyo
@selemankishema5780
@selemankishema5780 25 күн бұрын
Do!!! Injii hii hii kali
@TitoRufizi-xb2ub
@TitoRufizi-xb2ub 21 күн бұрын
Nchi hii Makonda akiwa Rais na Jery waziri mkuu nchi itaenda vizuri sana
@user-yu1xi7dh4o
@user-yu1xi7dh4o 21 күн бұрын
Waziri mkuu tulienae Majaliwa ni mzuri mno ila walioko juu yake akitaka kufanya kitu anaambiwa shatap ndo maana wakaamua kumpa msaidizi wa kukoroga mambo
@adamapollo9859
@adamapollo9859 19 күн бұрын
Kweli ila amiamuwa kuwa raisi atapita bila vikwazo maana tuna mpenda makonda awe makamo wake❤
@Theironrod9373
@Theironrod9373 24 күн бұрын
Good job 👍
@polycarpykavishe9001
@polycarpykavishe9001 18 күн бұрын
Kuna watu wanajua kuchezesha balaa huyu mushi ni nuksi
@jimmyfrankie8301
@jimmyfrankie8301 21 күн бұрын
Huyu mzee wangu wa kilimanjaro za chini ya kapeti naskia ni balaa kwenye haya mambo ya viwanja na ardhi kwa ujumla ni nomaa hongera mh kwa kurudisha furaha ya huyo baba😂
@NeemaElisante-zd2dt
@NeemaElisante-zd2dt 23 күн бұрын
Mheshimiwa ubarikiwe sana tunaomba uje na kimara
@kivuswahilitv6833
@kivuswahilitv6833 25 күн бұрын
Kisha utasikia watu fulani eti CCM haifanyi kazi ila wanampongeza waziri wa CCM Nawahakikishia hakuna Tanzania bila CCM
@comfortmunuo5545
@comfortmunuo5545 23 күн бұрын
Kwani Kuna chama kingine kilishaongoza hii nchi Kwa hiyo nyie Ma ccm ndio mmeharibu nchi hii kwa kuhifanya maskini na ularushwa kila mahali. Mkishafikia uchaguzi tuu mnajua jinsi ya kuwatapeli wananchi. Ila Slaa,Makonda,Bashe ,Chalamila na Mpina hawastahili kuwa ndani CCM
@kleofacejerome
@kleofacejerome 25 күн бұрын
Watu n majasiri Asee Mushi shikamoo
@thomastemu3332
@thomastemu3332 25 күн бұрын
😅mushi amekuja moshi
@thomastemu3332
@thomastemu3332 25 күн бұрын
Mushi amekua moshi 😅
@johnchuwa2888
@johnchuwa2888 17 күн бұрын
Ndugu yangu silaa naomba usitishe zoezi linaloendelea bagamoyo.kwani kuna wahuni wakishirikiana na mahakama wavunja nyumba za watu ovyoovyo tuu kana kwamba hakuna serekali huku?naomba mtumie busara kutatua mgogoro hiyo ya aridhi mapinga.
@MrKhatibu
@MrKhatibu 25 күн бұрын
Paul Moshi inabidi watu wa film industry wanunue story yake na kufanya movie. Jamaa ni gangster anawaibia mpaka watu wasioibika
@grationkato7658
@grationkato7658 7 күн бұрын
Tanzania 🇹🇿 Tanzania 🇹🇿 tuna watu bwana
@MrishoHussein-oz9nr
@MrishoHussein-oz9nr 25 күн бұрын
Mmungu atakulinda maana kupambana na manyangau sio kazi ndogo usirudi nyuma mh mmungu yupo pamoja na ww na ss zulmiwa tupo nyuma Yako utashinda hivi vita ishaall
@user-nm2jq7xo5f
@user-nm2jq7xo5f 24 күн бұрын
Mheshimiwa siomachozi ya andason yatakulinda sio hivyo nimachozi ya wstanzania wengi wslipo dhulumiwa yatakulinda mheshimiwa waziri tetra hakiya wanyonge wapate hakizao mungu akulinde daima
@batapoint
@batapoint 22 күн бұрын
This movie will change my life
@salomejohn7963
@salomejohn7963 24 күн бұрын
hakika haki yamtu haipotei
@user-xn8jh1yw1h
@user-xn8jh1yw1h 21 күн бұрын
Lila ma Fila havitengamani! Walisema za Mwizi ni Harobaini! 1984 - 2024...... ni miaka 40! A m e n.
@dayana5513story
@dayana5513story 24 күн бұрын
Hakika Mungu nimwema
@BIGBOSS-hl3bu
@BIGBOSS-hl3bu 25 күн бұрын
P MUSHI ANAMENGI MABAYA KAWAFANYIA WATU
@erickwanjarajr5707
@erickwanjarajr5707 21 күн бұрын
Mzee alikuwa anapita kwa miguu jirani na kiwanja chake duu! Maisha haya.
@user-ex9sd8wm4l
@user-ex9sd8wm4l 25 күн бұрын
Lakini hakiyako lazima utaipata tu sasa mzee wawatu leo amekipata kiwanja chake
@user-iw5hu3mc7l
@user-iw5hu3mc7l 25 күн бұрын
Wachaga wameibiana hahaha haha na slaa mwenyewe mchaga
@MiriamAbdallah
@MiriamAbdallah 25 күн бұрын
😂😂😂😂 washenzi sana 😂😂😂😂😂
@albertjames6845
@albertjames6845 25 күн бұрын
Acha ukabila wewe
@Mpakauseme
@Mpakauseme 14 күн бұрын
Si ukabila wapo wengi ni wezi katika kabila ilo wanatabia za tamaa tamaa sana ​@@albertjames6845
@AngerusLijuja-bg6sb
@AngerusLijuja-bg6sb 24 күн бұрын
RAISI SAMIA UKUKOSEA KWA VIJANA HAWA MAKONDA JERY SILAA HALI API BASHE NA APA IRINA MJINI KUNA ASIKARI MMOJA YUPO UPELELEZI ANATENDA HAKI SANA JINA TU LINANITOKA YEYE NI MFUPI KIDOGO MNENE IVI KAJAZIA UKWELI NI MTENDA HAKI UYU KIJANA MPANDISHE JUU
@chizcom4229
@chizcom4229 23 күн бұрын
KICHWA CHA HABARI MBONA KAMA MMKURUPUKA "WAZIRI SILAA USO KWA USO NA MUSHI ALIE JENGA GHOROFA ENEO LA WATU | WEWE NI TAPELI "
@user-sj3wf5vz7l
@user-sj3wf5vz7l 24 күн бұрын
Gorofaa hilo baba Analipata
@vankumw3ndatalk2friends29
@vankumw3ndatalk2friends29 24 күн бұрын
Hivi ni mimi tuu ndo nasikia hiyo engine ya LC300 huko nyuma 😅
@hatibumohamedi3471
@hatibumohamedi3471 23 күн бұрын
Uyo mzee awekewe ulinzi wakutosha
@wadeelegbogun3015
@wadeelegbogun3015 20 күн бұрын
Mushi ndo jambazi wa kutupwa, hata viwanja vya NYERERE kaviiba, hata nyerere imetishiwa ni mwizi na muuji
@salamasefu5494
@salamasefu5494 25 күн бұрын
Wachaga noma wameibiana hahaha.hawa watu sio wote wengi ni mhhhjh
@user-nm2jq7xo5f
@user-nm2jq7xo5f 24 күн бұрын
Mheshimiwa tegua mitego yate yawazulumaji waende mahakamani
@abbashussein-hz4dr
@abbashussein-hz4dr 24 күн бұрын
Jamani tunateseka weng naomben conection ya kumpata muheshimiwa namba yke anisaidie aliye nayo maana nahis kunywa sumu mm
@MrKhatibu
@MrKhatibu 24 күн бұрын
Paul Mushi wewe sio tapeli ila ni mwizi jambazi wa ardhi.ona sasa unaiabisha family yako na wapendwa wako
@hajjiomary2383
@hajjiomary2383 23 күн бұрын
Narudia kuomba mheshimiwa fanya mpango sech zetu ziwe na picha tumepigwa uku mtaani coz of sech
@wadeelegbogun3015
@wadeelegbogun3015 20 күн бұрын
WAZIRI slaa mkatae mushi ni jambazi
@njeyabox7788
@njeyabox7788 21 күн бұрын
Sawa ila chuma inaunguruma muda mrefu..
@HBI-TV
@HBI-TV 24 күн бұрын
Tenda haki
@Charlzlomo
@Charlzlomo 24 күн бұрын
Mwisho wa matapeli umefika
@katabaroonlinetv9688
@katabaroonlinetv9688 23 күн бұрын
Mwamba kapata ghorofa😅😅😅mali ya mkosaji
@jeremiahngoka4980
@jeremiahngoka4980 24 күн бұрын
Maigizo
@azizamvungi1871
@azizamvungi1871 24 күн бұрын
Ila mushi jamani unataka utajiri kwa kudhulumu.ili wiitwe tajiri?
@ismailmasoud6001
@ismailmasoud6001 24 күн бұрын
Ndio maana hakuna kitu kibaya kama RUSHWA, yaani huyo mushi ni pesa yake imemfanya apoke kiwanja cha mtu Kwa miaka 40..! Ndugu Zangu tupige vita sana RUSHWA, Kwa sababu RUSHWA ni ADUI wa HAKI ,Tena Kwa watu MASKINI
@msafirimaulidi5054
@msafirimaulidi5054 18 күн бұрын
Uyu jamaa anaitaj ulinz mkubwa sana maama majail ao lazm wanamuwinda
@angellomarcel5677
@angellomarcel5677 16 күн бұрын
Sana huyu na Makonda wasipolindwa itakuwa Shida dhidi yao
@hasaabdi7199
@hasaabdi7199 22 күн бұрын
Haki haizami
@JayJay-qc1ky
@JayJay-qc1ky 23 күн бұрын
Nina kesi kama hii hii mwanza, watu wa aridhi walimpora mzee wgu kiwanja chake, ila wameshindwa kuchange umiliki mpk sasa, ukienda kulipia kiwanja jina la mzee lina appear kama ana viwanja wi2 kimoja ni hicho tunacho ishi na kingine ndio hicho walicho mpora, mara ya mwisho tumemtuma mtu akalipe akapewa control number ya kulipia ila wakampa control number ya kiwanja kilichopolwa na akalipia ndio sisi kujua kama bdo kipo na mpk kesho kina jina cha mzee. Nimejaribu kuntumia msg sana waziri slaa ila ajajibu wala ku acknowledge kama anapata msg , nadhani ni kwa sababu ana kazi nyingi ila nntaendelea kupambana mpk kieleweka. Yani nchi hii ni kama hakuwahi kua na waziri wa aridhi aisee.. bwana jerry anapambana mmno kuwarudishia watu furaha.
@JayJay-qc1ky
@JayJay-qc1ky 23 күн бұрын
Mm kama nntakipata hicho kiwanja maana jamaa kashajenga, nntataka tuelewane tu na tumalizane wala sio kumpola nyumba aliyojenga kwenye kiwanja chetu.. ila pia itategemea na yeye uelewa wake akizengua nntamwmabia aivunje nyumba atuachie kiwanja chetu.
@nickylyanga2139
@nickylyanga2139 25 күн бұрын
asee
@abdullayahya8717
@abdullayahya8717 25 күн бұрын
Huyu pacha wa Hashim Rogwe
@rayisadesigns2646
@rayisadesigns2646 25 күн бұрын
HASHIM RUNGWE
@hollymore4904
@hollymore4904 25 күн бұрын
​@@rayisadesigns2646ni yeye
@rehemakanyere4188
@rehemakanyere4188 25 күн бұрын
Kbsaa
@digitalworld5577
@digitalworld5577 22 күн бұрын
Ni kweli kabisa😅....wakati naiona picha ya clip hii nilidhani Mzee Hashum Rungwe
@user-iw5hu3mc7l
@user-iw5hu3mc7l 25 күн бұрын
Kwahiyo atabomoa au gorofa lake?
@KyandoSpareparts
@KyandoSpareparts 25 күн бұрын
ILO lake
@FredMwamgogwa-td6ni
@FredMwamgogwa-td6ni 24 күн бұрын
Akiamua anabomoa ni pake
@digitalworld5577
@digitalworld5577 22 күн бұрын
Hii kesi yake ni complex sana, kwa sababu inahusisha utapeli na rushwa ndani yake. Inaweza ikawa ikaamuliwa mzee atakuwa anakula % fulani na mtu aliyejenga nae anakula % fulani. Huyo mwizi Paul mushi angeweza kuwa smart kabla ya kufanya huo wizi angeweza kupata lease agreement na mmiliki halisi kwa miaka ambayo wangekubaliana then mwisho wa siku jengo linarudi kwa huyu mzee mmiliki halali.
@user-iw5hu3mc7l
@user-iw5hu3mc7l 25 күн бұрын
Huyu waziri atakua na bifu na mushi
@emmanuelbernard9552
@emmanuelbernard9552 25 күн бұрын
Bifu gani hapo ? Hivi ww unafahamu kweli maana ya haki,haki ya mtu.
@ruhindacostantine2092
@ruhindacostantine2092 25 күн бұрын
Kwahiyo wewe hujaona makosa ya paul
@rehemakanyere4188
@rehemakanyere4188 25 күн бұрын
@@emmanuelbernard9552 hafahamu
@niffonlinetz7214
@niffonlinetz7214 25 күн бұрын
ITAKUWA JERRY UMEANZA KUMFATILIA JANA KAKA POLE SANA
@salimmalaka256
@salimmalaka256 25 күн бұрын
MPUMBAVU MKUBWA USI ONGEE PUMBA KWA HIYO NA HAKIMU PIYA ANA BIFU NA MUSHI???
@edwardmkwelele
@edwardmkwelele 23 күн бұрын
apewe tu kiwanja KINGIne sheria nazo
@sss3s867
@sss3s867 24 күн бұрын
kwa hio unaenda kujenga rasili mali fedha kuzika kwenye nyumba ba kiwanja sio cha kwako. hii akili au matope. hebu tujalidiane hapa. yaani mzee ameramba dume kiwanja plus majengo ndio fidia yake
Please be kind🙏
00:34
ISSEI / いっせい
Рет қаралды 184 МЛН
Became invisible for one day!  #funny #wednesday #memes
00:25
Watch Me
Рет қаралды 9 МЛН
Must-have gadget for every toilet! 🤩 #gadget
00:27
GiGaZoom
Рет қаралды 11 МЛН
DO YOU HAVE FRIENDS LIKE THIS?
00:17
dednahype
Рет қаралды 31 МЛН
ПРИДУМАЛ ВЫХОД (@inaciomundoafora - Instagram)
0:21
В ТРЕНДЕ
Рет қаралды 6 МЛН
Когда все обошлось 😮‍💨 | Королева Двора
0:16
Аминка Витаминка
Рет қаралды 2,3 МЛН
когда повзрослела // EVA mash
0:40
EVA mash
Рет қаралды 2,9 МЛН
Идеальный день ребёнка😂
0:11
МишАня
Рет қаралды 3,1 МЛН
Время летит быстро 😱
0:19
НЕБО - СПОРТ И РАЗВЛЕЧЕНИЯ
Рет қаралды 1,7 МЛН
NERF WAR HEAVY: Drone Battle!
0:30
MacDannyGun
Рет қаралды 25 МЛН