Nimeipenda Sana kazi yako mdogo'angu Kiredio na Mr. UK...Nilifikiri mnachekesha tu, kumbe mnaisaidia jamii pakubwa kiasi hiki...!! Be blessed, please keep it up..!
@prettymasha24309 ай бұрын
Uyo Ben pia hamtaki tena uyo mwanamke 😮😮😮kishamjua wakuruka ruka
@publicityzone95839 ай бұрын
Sema mie naungana na kiredio ✊✊✊✊ bora hujamsanua maana mademu wa jini wanaringa sana asee
@dostovan51429 ай бұрын
Wadada wa chuo tunawajua, wanapenda magari
@user-jd8lu1bk8k9 ай бұрын
Duh wanawake sis jamani😢tutuliage na mmoja sasa
@princemallya40859 ай бұрын
Rekebishen sauti wakuu ipo chini sanaa
@nancyg86649 ай бұрын
Duh ila uyo kaka anampenda sana mpaka kamnunulia gari.
@babitojnr48869 ай бұрын
Hawa mabinti wa University wachana nao kabisaa yani hadi ana graduate anakuwaga na mahusiano lukuki 😂😅😅
@YuliaPeter4 ай бұрын
Jamaa inaonekena ilikua yuko kama hana hela na mwanamke alimchukulia poa,dharau sio nzur
@mkuluwaukae22219 ай бұрын
Ahsante kiredio, ulifanya kazi nzuri kaka! Ben endelea na mke wako bhana! Kiredio shukrani gari liko yard right now!
@sabrinamkandawile60179 ай бұрын
Ila sisi wanawake dahhh
@magerebudodi84719 ай бұрын
Anasema ben jina la baba ake . Au sio
@shamsamikidadi16629 ай бұрын
Jina la baba ake wapi tumepigwa hapa🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@user-vz4xv7lg3x8 ай бұрын
@Sabrinamkandawile6017 kuna time mnazingua sana😂
@sabrinamkandawile60178 ай бұрын
@@user-vz4xv7lg3x kweli kabsa
@sleyumngolo9 ай бұрын
Kama unakubali huu uokovu wa huyu jamaa gonga like apo
@charlesmwambinga43559 ай бұрын
Ukitaka presha ikumaluze..hawa wa 2000s na wanafunzi watafika Wamechoka Sana.
@wilonderby9 ай бұрын
Mmekomesha kabisa sema Mr UK anacheko ya kinafiki Sana 😂😂😂
@BikyeombeInnocent-vd3pg9 ай бұрын
Wanawake awajatulia nishida
@superkarimBenzema2 ай бұрын
Kiredio upo sawa sana watu wengi watajifunza kuptia hivi vitu mana mapenz yanauma sana..😢😢...kuna ishu umesema kua unaweza kumchek mtu kidizain kua kuna mchongo km iyo ishu ya gari kua afanikiwe mm nakushaur ucmpe mtu ukwel iyo ni kaz yko.
@shery-bf8xh9 ай бұрын
We the daughters of eve😂😂😂😂😂😂😂😂weeeeeh
@graceambrose87579 ай бұрын
sio mbaya alipata ata maua na cake😂😂😂
@LydiaStephano9 ай бұрын
Sjawahi kuona mtu mbea Kama Mr UK😂😂😂😂
@BintiMkinga2 ай бұрын
😄😄😄😄
@msafirisaimoni95618 ай бұрын
Hiv karibu nakupa kazi 😂😂😂😂😂
@ClarabelleWilliams-uw5pm9 ай бұрын
Kuna huyu mshika kifeni ameniua anavyokifanyia kaz
@RamadhanRunyange-by6fx9 ай бұрын
Hiyo Gali ilikuwa imefungwa kwenye mkia wa chui😅😅😅😅
@PrinceBonnyTz89 ай бұрын
Dem mwenyewe badala ya kusema mwanaume anasema mwanyaume😅😅😅
@akhaly53879 ай бұрын
Bro notification hizo zinakeraaa
@neemaabdu10919 ай бұрын
Dah nimeumia pole yake
@maryamtanzania97439 ай бұрын
Mi napenda unachofanya
@zainab-yb7tt14 күн бұрын
We Kiredio nitafute
@BikyeombeInnocent-vd3pg9 ай бұрын
Ivi ndojisi munavyo tuma video kwenye mtandao mbona bovu ivi
@halima22869 ай бұрын
Mimi nacheka sana wakija kwa sisi madereva wa morori duh ndoa zitakufa
@user-gg3on2hh7s9 ай бұрын
Mmh Ila vyama vingi nooumaaaaa
@msafirisaimoni95618 ай бұрын
Aiseeeee so painfull wadada wa chuo siyo waaaminifuuu kabisa😂😂😂😂😂😂😂😂 Hata ukiwa na mke wako anasoma chuo tambua umempotezaaaaaaa😂😂😂
@meshack32669 ай бұрын
Kakuma tu ako kwanza kanaitwa et mekap yangu itaalibika wanawake bhana
@esterstaphord51849 ай бұрын
Alf kanajitetea ety Ben baba akee nyoooo 😂😂😂 .. wanawake tuache kucheat 😅
@foncetecelectricalandelect349 ай бұрын
Huyu dada mbona anamtumia kwenye video nyingi tu? Hayo ni maigizo tu
@suleimansaid7699 ай бұрын
Demu mashauzi kibao kumbe analist ya mabwana
@yustakipenya62318 ай бұрын
Dada si umpe nafasi ajielezee unamkatisha maneno
@marthageorge50439 ай бұрын
💞💞💞💞
@hassanikombe90539 ай бұрын
Duuu uyoo jamaa tunaomba uwojiane nae alie nunua ilo gar 😂😂😂😂 akil mingi sana ilo bepari
@998said9 ай бұрын
Alf mwamba ndio alikuwa analipa ghalama😂😂😂
@Rizikialiamechannel7639 ай бұрын
Sasa uyo mikelele ya nn
@sistertrashid24889 ай бұрын
Ndio shida ya kutokua na mwanaume mmoja
@malilaebayoth57769 ай бұрын
Kuna ishu nashindwa Elewa,maelezo unasema ungemsanua ungejua kakosea,Sasa alipotaja Beni,s alikosea ungefany namn ya kumsaidia😂😂 maana yaonesha jina la mwamba ulikuwa walifaham ndo mana ukampigia na kusema" we jina lingne ni Beni" Anyway sio kwamb natetea sema ulivoeleza.... Japo Kiukwel keep it up bro unaokoa weng Amini Zen watu mdogomdgo watabadirik na kuwa waaminifu tuombe ziende Viral hizi video
@julianagowele91639 ай бұрын
Kunsaidia ninkuendeleza ujinga. Tujifunze kutulia
@anjelmoses6249 ай бұрын
Ivi una akili wewe huyu kapewa kazi unazani huyo boss awezi kumuambia jina sababu anajua angemwambia ili demu asikose gari
@AyishaOman-cw4xs2 ай бұрын
❤❤
@CathyMathias-bx4ft9 ай бұрын
Kwendra zenu ningesema sina xx ht kidogo nipo single, bdae ukijanicheki. Ntajitetea mahusiano yangu sio maonyesho bora nikose zawad kuliko nitaje ma x xx xxx
@aishamziray79199 ай бұрын
Kwel cathy
@sarahgaula22209 ай бұрын
Wanawake mashauzi
@edwinalexander11709 ай бұрын
Eti mim ninaitwa Beni kweli?????
@hadijaissaally68589 ай бұрын
Yaani ulimwambia kabisa mwenye hera lkn hajastuka
@lulumasangwa99629 ай бұрын
🤣🤣🤣huwenda jamaa alikuwa hajionyesh km anapesa😂😂
@linnerphilip42609 ай бұрын
Aaah wap baba unamtajaje kifupi buyo mcgeluko ni ben
@julianagowele91639 ай бұрын
Eti babake! Kwa hiyo babake ni boyfriend wake. Makubwa haya
@msafirisaimoni95618 ай бұрын
Huyoooo jamaa lakin n mwamba duuuuuu
@mosesjohnswilla99269 ай бұрын
Hakataki kutoka nje eti kuna jua kali
@ShizaAlly2 ай бұрын
Hadi nimelia
@amosmutasa34549 ай бұрын
Jamaa umekuja kutuokoa
@prettymasha24309 ай бұрын
😅😅😅😅😅😅😅
@albamyucom5 ай бұрын
If u don fear women bado hujajua dunia 😂
@user-no7pz1bz4y2 ай бұрын
Dha!
@kendrickoffset9819 ай бұрын
😂😂🤣😂😂🤣😂🤣
@Rosemaryhamisi9 ай бұрын
It's sad
@pendomushi63519 ай бұрын
Huyo ben mwenyewe huenda hata ni mume wa mtu ni danga lake na ameshangaa kuskia katajwa😂😂😂
@shamirahassan81179 ай бұрын
😂😂
@ashuramhandoashuramhando67989 ай бұрын
Duh sisi wanawake ni wajanja wa Mbinu imekueje wewe kulikosa Gari? Duh umeniangusha sana ila najua utalipata tu kwa huyu alieleta Zawadi😂 mbona wanaume kwetu Maboya tu😁
@nicholausmbilinyi35879 ай бұрын
Ataenda kulichukua tu gari lake..mtu mpaka katoa gari..hachomoi hapo..wadada wajanja..atamwambia hakutaka kumuweka hadharani..hahaha..jamaa atatoa tu gari
@ChristopherDaniel-zk1lx9 ай бұрын
Labda ukutane na boya
@SelemanModestmmass-vk2xd9 ай бұрын
Eti atapewa tu gari unazani matako yako hayo..kashasema Beni akapewe na Beni wake sasa.