Naposikia haya namkumbuka hayati magufuli aliko mungu amuraze pema makonda big up sana magufuli wa pili anakuja
@khadjamhozyaАй бұрын
anakuja arakini😭😭😭 arakini uhhhmmmmmm😭😭😭😭😭
@killingmleke18105 ай бұрын
Makonda mungu akuweke sana mimi nakuahidi mungu atakusimamia na endelea ktk hilo
@leonardkinanda32845 ай бұрын
Muheshimiwa Makonda! Nakufurahia sana! Bado namuomba Mungu akulinde na macho ya husda
@nurumwenkale72785 ай бұрын
Hamna mkuu wa mkoa hapo huyo mama yupo upande wa wawekezaji si aseme tu na Hana mpango wa kusaidia wananch
@user-ee5ph1tm9n5 ай бұрын
Fanya kazi baba makonda uko Safi unaweza ukawa kiongozi bora sana brother
@mrsab3035 ай бұрын
Makonda you reminded me Magufuli good job ❤❤❤❤
@selemanimchana35985 ай бұрын
He fight for the next election 2025, haya maisha bhana Mimi nimechill tu
@lilianeerica33184 ай бұрын
@@selemanimchana3598Akichaguliwa na akafanya hivi ndipo tutajua kwamba ni mzuri ama mbaya
@elinipendokarisha95705 ай бұрын
Mh. Makonda ni chuma cha pua....he is a man of the peple
@mms91584 ай бұрын
Mr makonda Alla akupe umuri uendelee hivohibo kuwasaidia wananchi ❤
@ashangonyani79895 ай бұрын
Mama Asante sana, Mungu akupe umri mrefu Kwa kumrejesha Makonda. Msamehe na kumkumbuka Tena katika ufalme wako, ALI HAPI na SABAYA. 🙏🙏
@alexandersangi17245 ай бұрын
Mm nazani makonda baada ya mama ufate wewe kuwa Raisi.
@margarethpolepole74385 ай бұрын
Walipoona Magufuli amekufa amemdhulumu huyo Mkuu wa Mkoa
@Obasaniyo5 ай бұрын
Mkuu wa mkoa hovyo kabisa. Anajifanya anahasira.
@rosesilio900826 күн бұрын
Da ila hii nchi ni ngumu watu wanaonewa wanadhulumiwa hatari
@user-mx8tp2li8e5 ай бұрын
Ama kweli makonda nimekukubali upo vizuri kaka piga kazi
@asajileraphael19515 ай бұрын
Bado Kuna Mt anaitwa ALLY HAPPY apewe nafasi mchapa Kaz kweli naye, wakiunganishwa na huyu mwamba itakuwa
@josephineokama22005 ай бұрын
kwel kabisa yaani ni watu ninaowatamani jumlisha sabaya nchi ingekua mwake
@hopehealthcs32945 ай бұрын
Wow true
@aishaabrahaman99575 ай бұрын
Yulee yupo busy na ukulima abaki tuuuh uko uko
@user-zr1mk3xd2x5 ай бұрын
Anhaa! Kaka umemsahau LENGAI OLE SABAYA! Na yeye arudi serikalini
@abdulmelele73225 ай бұрын
Ally Hapi mwamba namkubali sana mrangi yule ni kichwa kwel kwel
@emmanuelkyandochali9905 ай бұрын
Eti muogope mungu yaan limekaa Limama linawatetea wawekezaji linaumiza wananchi wake sa sijui linawaongoza wawekezaji au wananchi
@JophasJohn-oh8zu5 ай бұрын
Si kapewa hela mbwa huyu mama
@user-eu6ql9zl7nАй бұрын
Ana mgao wake Kwa wawekezaji
@user-sq5mb2gd6x5 ай бұрын
Wewe mwanamke huna haya hata kuzungumza uongo humuogopi mungu.
@AbdulmalikFedrick-ct7nb5 ай бұрын
Mueshimiwa makonda Alha akulinde Na Kila adui CCM oyeeee
@lucyjeremia13815 ай бұрын
Ni huzuni Sana Tanzania yangu 😢😢😢😢😢kila kona ni kilio dhuruma imetawala
@nishaabdula50155 ай бұрын
Yn ni haibu nchi ya hamani tunajulikana dunia nzima lkn ndan ya mchi akuna hamani imejaa zuruma tupu
@grayjordan39005 ай бұрын
Kwa nini wanateuliwa watu hovyo namna hii nivigezo gani wanatumia kuteua watu wa hovyo, mkuu wa mkoa anadiriki kutishia wanainchi kweli
@boniphacewambura14275 ай бұрын
Ndio maana mm huwa huwa sipend hizi nafasi za kutwuliwa maa hawana hofu na wananchi wao huwa wanahofu na aliyewateuwa
@ilynpayne74915 ай бұрын
Kusema kweli watendaji wa serikali huwa hawana msaada kwa wananchi😢
@user-uo8xw9kr4b5 ай бұрын
Tena wanadharau ukiwa maskin wanahis huna haki hat yakuishi ni majinga sana.
@Muuzambuzi5 ай бұрын
Makonda oeeeeeee big up sana.
@ashangonyani79895 ай бұрын
ALI HAPI! ALI HAPI! ALI HAPI! Mama mkumbuke huyu kijana mzalendo na jasiri kama Makonda.
@denisyohana81045 ай бұрын
nimemmic sana ALI HAPI ,asant MAKONDA
@user-fr6rv2yb4s4 ай бұрын
Maghufuli left a great legacy, he set the pace and I'm glad seeing this going on after his death. Initially I thought it was during the lifetime of president Maghufuli but seeing the poster of Mama Samia behind assured me that she's truly followed the footsteps of her predecessor. But please I wish Mama Samia too went round to directly listen to her people's problems like Maghufuli did. Thank you Tanzania and Tanzanians for your uzalendo and being true to your country. God bless Tanzania
@user-kp3ii4et3v5 ай бұрын
Nawapata vizuri nikiwa dar. Tanzania
@user-br7sf6ey9t5 ай бұрын
Mkuu mkuu shikamoo uzidi kubarikiwa aseee kwanzia leo nimeamini mungu nimkubwa sana ivi ayayote unayaoteshwa mkuu????? Maana unaoji mpaka mtu anajikuta ametubu zambi bilakujuwa aseee
@salimalaquimane30775 ай бұрын
Kwan sheria ai ruhusu wwe kua rais toka alivyo kufa JPM ckuwah kua na matumain 🎉
@laylayl51665 ай бұрын
Huyo mama mmmmhhh
@jacobmwashambwa48935 ай бұрын
Nakufuatilia sana Comrade Makonda najifunza mengi
@lucaschipanga44665 ай бұрын
Makonda kaka ukovizuri mungu tuuu akuride honja zingine mariza hapo hapo tuone mfano
@isaacmambwe65475 ай бұрын
Tanzania yangu shikamooooooo
@johnbernad39905 ай бұрын
Wizala ya ardhi inashida sana yaani imejaa zurma sana nyambafu sana hawa
@MtegekiKaijage5 ай бұрын
Kwani shinyanga si kuna uchawi wanasubili nini kuroga hawa watu kuanzia muwekezaji, mkuu wa mkoa na afsa/kamishna wa ardhi
@denismnubi70015 ай бұрын
Nimepda hiii
@Obasaniyo5 ай бұрын
Hahahahahaha😅😅😅
@chomasongidion60475 ай бұрын
Mefari tayari huyo mwwkezaji
@rivadodeniss19602 ай бұрын
😂😂😂
@daudisaimon74665 ай бұрын
Huwezi miliki leseni bila kulipa watu fidia za maeneo husika
@HamadiMgaluka-ld7hv5 ай бұрын
tunataka viongozi kama mh makonda. mama kamaitawapendeza mpeni kitengo Ally Happy nae ni mzuri kwenye kazi
@costantinochibago97685 ай бұрын
Tungepata watumishi japo 10 kama mh.p makonda kwenye taifa letu tungeishi kama wafalume Mungu akulinde sana maana hhhh
@user-nv4li8of1s5 ай бұрын
Hii nchi watu wanaonewa wengi asa Kwan viongoz wengine wanalala tu
@martinisadru98995 ай бұрын
Huyo mkuu wa mkoa anaonekani ni m'babe sana, atakua mkorofi sana, anaweza kumpiga makofi huyo jamaa, baada ya mwenezi kutoka hapo.
@mot.tvmsamvu67705 ай бұрын
hawa ndoo waaribifu ktk nchi hii hawajuo chochote kile
@user-go6xm3ef1o5 ай бұрын
Angefukuzwa kaz akajifunze upendo na nidhamu Hawa awajawakiliwa na jua la maisha
Yani huyo mama anaongea kama vile anachambana na wanawake wenzake kwenye vikoba
@thieryniyonkuru50235 ай бұрын
Da mama Mkuu wa mkao huyo, hajui mkono wake wa kulia wala wa kushoto.🙆😂🤷♂️
@SAIDSAID-zb8xr5 ай бұрын
Hawa viongozi wanateuliwa kwa vigezo gani Yani mkuu wa mkoa mzima anakuja na hoja hazieleweki hii nchi ngumu Sana
@Obasaniyo5 ай бұрын
Mimi kanishangaza. Huyo hawezi kuwa mtetezi wa wanyonge
@laylayl51665 ай бұрын
Dunia simama nishuke wanawake muogopeni mungu nyie
@user-mp4yt7ps5q5 ай бұрын
Huyo mkuu anatumia jaziba hata mbele yako makonda je akuwa nawanyonge tu si kesi
@issaabdallah76605 ай бұрын
Hawa watendaji mda mwingine huwa wanaichonganisha serikali na wananchi
@mihayokakwimba95245 ай бұрын
watu wa bara kwa uongozi wapo vzr❤
@bazarakimayenga3572Ай бұрын
Ni majembe
@emanuelgella82015 ай бұрын
Kunayo muda viongozi wanao wateuwa hawa wakuu wa mikoa na wilaya wanapsswa kijitathmini sana, hivi kwa jins mkuu wa mkoa alivyo anza kuongea kwa jazba na kwa mkwara utafikiri ni kweli jamaa hana haki, kumbe ni kujihami,, waweke watu sahihi jamani kwenye hizi nafasi za uamuzi
@evaristmbuya62205 ай бұрын
Ofisi za Umma zimejaa wala Rushwa na matapeli
@user-zi1gp6dc2q5 ай бұрын
Ilo limama linafika lishakula pesa limalaya likubwa ilo sura kama bundi
@hamishassan67845 ай бұрын
ki ukweli nakiona kile kilichomfanya Mzee Magufulina hata sasa Mama Samia kukuteua Jamani Weye unaweza Mungu akuweke kiongozi wetu maaana sio kwa busara hizo ulizonazo
@SaidHassan-wz1px5 ай бұрын
MAKONDA ANAFAA KUA WAZIRI MKUU
@neemanziku54035 ай бұрын
Waandishi na wanahabar peleken hisia zetu kwa mama Samia kwamba Tunampenda sana Makonda tena apewe ulinzi mkal
@mrrockboy95085 ай бұрын
Makonda baada ya mitano tena ya mama. Aki Mungu iposiku utaiyongoza ii nchi japo silaisi kazaa
@mariammalendeja3705 ай бұрын
mitano ya nini tena tumpe makonda tu
@user-wi8og3sv4j5 ай бұрын
Kuweka matumbo hofisini tu na kutumbua tu pesa ndowanaotia serekalihasarana wananchi
@nadiatanzaniaАй бұрын
I miss you daddy magufuli but nimefarijika kumona mwanao makonda amefuata nyayo zako😢
@adieldennis13164 ай бұрын
This man Makonda seem to be a good person,he speak well ,he communicate with common mwananchi with a lot of humility,To my opinion he has great future,but on the other hand am wondering how come there's rumours that he was involved on assassination attempt of Tundu Lisu.?
@raymondkaria145129 күн бұрын
Huku ndiko kurudishiwa vilivyoliwa na madumadu na tunutu na parare Bwana Yesu asifiwe Katibu mwenezi,, Mungu akulinde
@user-wg2gd2nl6c24 күн бұрын
Amina
@ErickPazia19 күн бұрын
Wewe ni kiongozi mzuri usiogope jitie moyo mkuu na mungu atakuwezesha❤
Huyu bwana kamuita raisi samiya wala siyo mama samia kimu mkazi atasaidiwa kweli
@aishaabrahaman99575 ай бұрын
😂😂😂😂
@mwanaidimussa4 ай бұрын
😂😂😂
@user-wi8og3sv4j5 ай бұрын
Chama cha mapinduzi tunaomba huu utatuzi anaufanya makonda uendelee maana tatizo kati ta w
@user-wi8og3sv4j5 ай бұрын
Mnapokeza uongo tu watu mlioaminiwa na serika na wananchi
@doricecyprian72465 ай бұрын
Yani mwekezaji na hekari mia sita zote 600 na wananchi wanangaika😂😂
@EliasMalendeja5 күн бұрын
Mungu akubariki sana jembe makonda na jembe la ilinga mungu awalinde
@user-wi8og3sv4j5 ай бұрын
Acha uwongo mama karatas kazipata wapi
@giftmusa65435 ай бұрын
Mie karatasi ya serikali sishiki wala sisomi sasa,mkuu wa wilaya ndio ataisoma😅
@neema-ee6qm5 ай бұрын
😂😂😂😂s
@giftmusa65435 ай бұрын
@@neema-ee6qm hatari
@user-oq3dd5xj9m5 ай бұрын
People fighting for the land. Land is listening to them whilst takes all the weight of human being when they walk and stand on it. BUT, when Land hit back and swallow human being, everyone is crying and forgot what they have done to the land before.
Jaman viongoz wa ccm mbn mna matatizo namnaiharibu ccm iv wachawi nyinyi bora makonda umeanza kazi yamungu
@SayyidAhmadBaalawy4 ай бұрын
Huyo Mama Muongo Hasemi Ukweli! Mweke Sawa
@esthermwikali5403Ай бұрын
Mimi ni mkenya Rakini makonde achopanya ana mwenzake mungu akulinde na akupatie maisha marefu
@EmanuelMusa-qp5jeАй бұрын
Mungu akulinde makonda upo sahihi kibisa 🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@user-wp3yc6vv1fАй бұрын
Mungu akulinde miaka za milele ,
@mihayokakwimba95245 ай бұрын
raisi 2025 huyu anatufaa
@billgussy60995 ай бұрын
dhuluma zime jaa sana hii nchi
@juliusmogaka27355 ай бұрын
I wish for this man to be the next Tz president
@annakapolondo77715 ай бұрын
Me too
@oswaldiranyibuka4857Ай бұрын
Kaka Makonda hongera,niko Bujumbura
@jamesmgimba74035 ай бұрын
Muwekezaji anamikikishwaje eneo la mtu bila fidia kwa mwenye eneo?
@fidelismwakanyamale67875 ай бұрын
Shinyanga ni shida huyu mkuu wa mkoa ni tabu tupu
@shijamakoye65445 ай бұрын
Ccm itang'olewa madarakani na wateuliwa wake yani ccm inateua wawakilishi wenye nia ovu na chama sasa mfano huyo mkuu wa mkoa na huyo kamishina hawajawahi kufika kwenye eneo na wala hawalijui harafu wanakomaa kumtetea muwekezaji kwa maana hiyo tayari walishapewa hongo
@user-lh8uc4re6o28 күн бұрын
Baba pambana tupo pamoja mungu atakusimamia Mimi msukuma mweupe nuu tabu turio pamoja
@madinajamada91804 ай бұрын
Dhuruma sio nzuri tuogope allah tutaulizwa siku ya mwisho
@shijamakoye65445 ай бұрын
Daaah yani jamaa wanatatua mgogoro bila kufika field aiseee hii ajabu sana
@user-wi8og3sv4j5 ай бұрын
Kwanini akae ofisini tu?
@bwagizoselemani84345 ай бұрын
Daah hii nnch inamajanga Sana kwakwel sijui tutafanya nn kila siku majanga viongoz wetu changamoto
@WinfridaMdemuАй бұрын
We mama mungu anakuona kuwa makini utapigwa pigo kubwa sana
@rosesilio900826 күн бұрын
Camera man unavyommulika huyo mdaiwa huyo mzee ni noma mzee anavyoshangaa jaman kanyoosha shingo hiyo😂😂😂🤣🤣🤣
@gloryedson9311Ай бұрын
Akupenda Sana makonda mungu akulindee❤❤
@issakwisamwasanjobe5415 ай бұрын
Rc WA aina hiyo ajitathimini au chama kimtathimini
@user-jz7td8kb6n5 ай бұрын
Makonda akijakugombea urais 2030 atapita
@gibsonjosephat63525 ай бұрын
Ukionesha kiherehere cha uongozi hutoboi. Wanapita wengine.
@margarethpolepole74385 ай бұрын
User anapita bila kupinga
@aaa64sa135 ай бұрын
Kabisaaaaa🎉
@chomasongidion60475 ай бұрын
Mkuu wa mkoa aondoke hana mahusiyano mazuri na watu,tazama qnavyozomewa
@user-ze6lx9ng6s5 ай бұрын
Hawa wa serikali ni wezi Sana,viva makonda,
@juchaonline40845 ай бұрын
Mi ningependa inch iongozwe na Wasukuma 😂😂
@barakamachard19445 ай бұрын
Wasukuma wako vizuri
@Anna-jl2ie5 ай бұрын
asaante makonda
@makulanangale71865 ай бұрын
Wasukuma wengi roho safi
@ngusamalegi45775 ай бұрын
Haswaaaa😅😅
@dorcaskidoti2495 ай бұрын
Yaani Nawapenda sana Wasukuma hawapend ubabaifu
@AmosJuma-wp2pe5 ай бұрын
Makonda bona kama unataka nikupe kula nyingi naomba ugombe chochotee
@JophasJohn-oh8zu5 ай бұрын
Huyu mwamba akigombea kiti cha urais Asubuh na mapema yaani anashinda na hana mpinzani kabisa
@user-wi8og3sv4j5 ай бұрын
Mwenezi sikupendi lakini leo maswali yako kwa hao wahuni nimeayakubali had unanishawishi nianze kukuba sera zako
@user-xh5qf1pf3c3 ай бұрын
makondo yawezekana wew u mmoja wa yesu kristo mnazareti mungu akulinde siku zote
@kissakayuni7675 ай бұрын
Mhe. Makonda Mungu akubariki sana kutujali maskini .halafu anasema angalia mbele kwa wananchi sio kwangu.
@AminaRamadhani-gx8yr5 ай бұрын
Mimi nahisi kama wagombea wanatengenezewa mazingira ya kuombea kura, mana katibu anamaliza kwakutoa pesa na kukabidhiwa kwa wanyanyasaji walewale,
@bobg6115 ай бұрын
Watching from Kenya
@AminaRamadhani-gx8yr5 ай бұрын
Mbona anateteka, waziri mwenye dhamana apeleke takukuru uovu mwngi atauona
@elizalutiga62875 ай бұрын
Asanteeeeee Makonda
@user-wi8og3sv4j5 ай бұрын
Chama cha mapinduzi tunaomba huu utatuzi anaufanya makonda uendelee maana tatizo kati ta wa
@user-ko4dk4po3q5 ай бұрын
Daah ... Allah lhe abençoe homem, você é credível 🙏 x Off Maguful X Moçambique uanguikuigueuenii nyie tungui endelea sana lâkini Moz pabovu🇲🇿