ALIYEPEWA SHAMBA NA MAGUFULI ADAI KUDHULUMIWA NA MKOA, MKUU WA MKOA AWAKA "ACHAKUMDANGANYA MWENEZI"

  Рет қаралды 249,268

Millard Ayo

Millard Ayo

5 ай бұрын

Пікірлер: 488
@daudbulba9153
@daudbulba9153 5 ай бұрын
Naposikia haya namkumbuka hayati magufuli aliko mungu amuraze pema makonda big up sana magufuli wa pili anakuja
@khadjamhozya
@khadjamhozya Ай бұрын
anakuja arakini😭😭😭 arakini uhhhmmmmmm😭😭😭😭😭
@killingmleke1810
@killingmleke1810 5 ай бұрын
Makonda mungu akuweke sana mimi nakuahidi mungu atakusimamia na endelea ktk hilo
@leonardkinanda3284
@leonardkinanda3284 5 ай бұрын
Muheshimiwa Makonda! Nakufurahia sana! Bado namuomba Mungu akulinde na macho ya husda
@nurumwenkale7278
@nurumwenkale7278 5 ай бұрын
Hamna mkuu wa mkoa hapo huyo mama yupo upande wa wawekezaji si aseme tu na Hana mpango wa kusaidia wananch
@user-ee5ph1tm9n
@user-ee5ph1tm9n 5 ай бұрын
Fanya kazi baba makonda uko Safi unaweza ukawa kiongozi bora sana brother
@mrsab303
@mrsab303 5 ай бұрын
Makonda you reminded me Magufuli good job ❤❤❤❤
@selemanimchana3598
@selemanimchana3598 5 ай бұрын
He fight for the next election 2025, haya maisha bhana Mimi nimechill tu
@lilianeerica3318
@lilianeerica3318 4 ай бұрын
​@@selemanimchana3598Akichaguliwa na akafanya hivi ndipo tutajua kwamba ni mzuri ama mbaya
@elinipendokarisha9570
@elinipendokarisha9570 5 ай бұрын
Mh. Makonda ni chuma cha pua....he is a man of the peple
@mms9158
@mms9158 4 ай бұрын
Mr makonda Alla akupe umuri uendelee hivohibo kuwasaidia wananchi ❤
@ashangonyani7989
@ashangonyani7989 5 ай бұрын
Mama Asante sana, Mungu akupe umri mrefu Kwa kumrejesha Makonda. Msamehe na kumkumbuka Tena katika ufalme wako, ALI HAPI na SABAYA. 🙏🙏
@alexandersangi1724
@alexandersangi1724 5 ай бұрын
Mm nazani makonda baada ya mama ufate wewe kuwa Raisi.
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 5 ай бұрын
Walipoona Magufuli amekufa amemdhulumu huyo Mkuu wa Mkoa
@Obasaniyo
@Obasaniyo 5 ай бұрын
Mkuu wa mkoa hovyo kabisa. Anajifanya anahasira.
@rosesilio9008
@rosesilio9008 26 күн бұрын
Da ila hii nchi ni ngumu watu wanaonewa wanadhulumiwa hatari
@user-mx8tp2li8e
@user-mx8tp2li8e 5 ай бұрын
Ama kweli makonda nimekukubali upo vizuri kaka piga kazi
@asajileraphael1951
@asajileraphael1951 5 ай бұрын
Bado Kuna Mt anaitwa ALLY HAPPY apewe nafasi mchapa Kaz kweli naye, wakiunganishwa na huyu mwamba itakuwa
@josephineokama2200
@josephineokama2200 5 ай бұрын
kwel kabisa yaani ni watu ninaowatamani jumlisha sabaya nchi ingekua mwake
@hopehealthcs3294
@hopehealthcs3294 5 ай бұрын
Wow true
@aishaabrahaman9957
@aishaabrahaman9957 5 ай бұрын
Yulee yupo busy na ukulima abaki tuuuh uko uko
@user-zr1mk3xd2x
@user-zr1mk3xd2x 5 ай бұрын
Anhaa! Kaka umemsahau LENGAI OLE SABAYA! Na yeye arudi serikalini
@abdulmelele7322
@abdulmelele7322 5 ай бұрын
Ally Hapi mwamba namkubali sana mrangi yule ni kichwa kwel kwel
@emmanuelkyandochali990
@emmanuelkyandochali990 5 ай бұрын
Eti muogope mungu yaan limekaa Limama linawatetea wawekezaji linaumiza wananchi wake sa sijui linawaongoza wawekezaji au wananchi
@JophasJohn-oh8zu
@JophasJohn-oh8zu 5 ай бұрын
Si kapewa hela mbwa huyu mama
@user-eu6ql9zl7n
@user-eu6ql9zl7n Ай бұрын
Ana mgao wake Kwa wawekezaji
@user-sq5mb2gd6x
@user-sq5mb2gd6x 5 ай бұрын
Wewe mwanamke huna haya hata kuzungumza uongo humuogopi mungu.
@AbdulmalikFedrick-ct7nb
@AbdulmalikFedrick-ct7nb 5 ай бұрын
Mueshimiwa makonda Alha akulinde Na Kila adui CCM oyeeee
@lucyjeremia1381
@lucyjeremia1381 5 ай бұрын
Ni huzuni Sana Tanzania yangu 😢😢😢😢😢kila kona ni kilio dhuruma imetawala
@nishaabdula5015
@nishaabdula5015 5 ай бұрын
Yn ni haibu nchi ya hamani tunajulikana dunia nzima lkn ndan ya mchi akuna hamani imejaa zuruma tupu
@grayjordan3900
@grayjordan3900 5 ай бұрын
Kwa nini wanateuliwa watu hovyo namna hii nivigezo gani wanatumia kuteua watu wa hovyo, mkuu wa mkoa anadiriki kutishia wanainchi kweli
@boniphacewambura1427
@boniphacewambura1427 5 ай бұрын
Ndio maana mm huwa huwa sipend hizi nafasi za kutwuliwa maa hawana hofu na wananchi wao huwa wanahofu na aliyewateuwa
@ilynpayne7491
@ilynpayne7491 5 ай бұрын
Kusema kweli watendaji wa serikali huwa hawana msaada kwa wananchi😢
@user-uo8xw9kr4b
@user-uo8xw9kr4b 5 ай бұрын
Tena wanadharau ukiwa maskin wanahis huna haki hat yakuishi ni majinga sana.
@Muuzambuzi
@Muuzambuzi 5 ай бұрын
Makonda oeeeeeee big up sana.
@ashangonyani7989
@ashangonyani7989 5 ай бұрын
ALI HAPI! ALI HAPI! ALI HAPI! Mama mkumbuke huyu kijana mzalendo na jasiri kama Makonda.
@denisyohana8104
@denisyohana8104 5 ай бұрын
nimemmic sana ALI HAPI ,asant MAKONDA
@user-fr6rv2yb4s
@user-fr6rv2yb4s 4 ай бұрын
Maghufuli left a great legacy, he set the pace and I'm glad seeing this going on after his death. Initially I thought it was during the lifetime of president Maghufuli but seeing the poster of Mama Samia behind assured me that she's truly followed the footsteps of her predecessor. But please I wish Mama Samia too went round to directly listen to her people's problems like Maghufuli did. Thank you Tanzania and Tanzanians for your uzalendo and being true to your country. God bless Tanzania
@user-kp3ii4et3v
@user-kp3ii4et3v 5 ай бұрын
Nawapata vizuri nikiwa dar. Tanzania
@user-br7sf6ey9t
@user-br7sf6ey9t 5 ай бұрын
Mkuu mkuu shikamoo uzidi kubarikiwa aseee kwanzia leo nimeamini mungu nimkubwa sana ivi ayayote unayaoteshwa mkuu????? Maana unaoji mpaka mtu anajikuta ametubu zambi bilakujuwa aseee
@salimalaquimane3077
@salimalaquimane3077 5 ай бұрын
Kwan sheria ai ruhusu wwe kua rais toka alivyo kufa JPM ckuwah kua na matumain 🎉
@laylayl5166
@laylayl5166 5 ай бұрын
Huyo mama mmmmhhh
@jacobmwashambwa4893
@jacobmwashambwa4893 5 ай бұрын
Nakufuatilia sana Comrade Makonda najifunza mengi
@lucaschipanga4466
@lucaschipanga4466 5 ай бұрын
Makonda kaka ukovizuri mungu tuuu akuride honja zingine mariza hapo hapo tuone mfano
@isaacmambwe6547
@isaacmambwe6547 5 ай бұрын
Tanzania yangu shikamooooooo
@johnbernad3990
@johnbernad3990 5 ай бұрын
Wizala ya ardhi inashida sana yaani imejaa zurma sana nyambafu sana hawa
@MtegekiKaijage
@MtegekiKaijage 5 ай бұрын
Kwani shinyanga si kuna uchawi wanasubili nini kuroga hawa watu kuanzia muwekezaji, mkuu wa mkoa na afsa/kamishna wa ardhi
@denismnubi7001
@denismnubi7001 5 ай бұрын
Nimepda hiii
@Obasaniyo
@Obasaniyo 5 ай бұрын
Hahahahahaha😅😅😅
@chomasongidion6047
@chomasongidion6047 5 ай бұрын
Mefari tayari huyo mwwkezaji
@rivadodeniss1960
@rivadodeniss1960 2 ай бұрын
😂😂😂
@daudisaimon7466
@daudisaimon7466 5 ай бұрын
Huwezi miliki leseni bila kulipa watu fidia za maeneo husika
@HamadiMgaluka-ld7hv
@HamadiMgaluka-ld7hv 5 ай бұрын
tunataka viongozi kama mh makonda. mama kamaitawapendeza mpeni kitengo Ally Happy nae ni mzuri kwenye kazi
@costantinochibago9768
@costantinochibago9768 5 ай бұрын
Tungepata watumishi japo 10 kama mh.p makonda kwenye taifa letu tungeishi kama wafalume Mungu akulinde sana maana hhhh
@user-nv4li8of1s
@user-nv4li8of1s 5 ай бұрын
Hii nchi watu wanaonewa wengi asa Kwan viongoz wengine wanalala tu
@martinisadru9899
@martinisadru9899 5 ай бұрын
Huyo mkuu wa mkoa anaonekani ni m'babe sana, atakua mkorofi sana, anaweza kumpiga makofi huyo jamaa, baada ya mwenezi kutoka hapo.
@mot.tvmsamvu6770
@mot.tvmsamvu6770 5 ай бұрын
hawa ndoo waaribifu ktk nchi hii hawajuo chochote kile
@user-go6xm3ef1o
@user-go6xm3ef1o 5 ай бұрын
Angefukuzwa kaz akajifunze upendo na nidhamu Hawa awajawakiliwa na jua la maisha
@jackiefredrick586
@jackiefredrick586 5 ай бұрын
​@@user-go6xm3ef1oafukuzwe na nani
@user-ei2ud7gh5h
@user-ei2ud7gh5h 4 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂kwamba mwenezi akitoka jamaa anakipigo😂😂😂😂imebidi nicheke
@EmmanuelMwanza-ef9bf
@EmmanuelMwanza-ef9bf 5 ай бұрын
Yani huyo mama anaongea kama vile anachambana na wanawake wenzake kwenye vikoba
@thieryniyonkuru5023
@thieryniyonkuru5023 5 ай бұрын
Da mama Mkuu wa mkao huyo, hajui mkono wake wa kulia wala wa kushoto.🙆😂🤷‍♂️
@SAIDSAID-zb8xr
@SAIDSAID-zb8xr 5 ай бұрын
Hawa viongozi wanateuliwa kwa vigezo gani Yani mkuu wa mkoa mzima anakuja na hoja hazieleweki hii nchi ngumu Sana
@Obasaniyo
@Obasaniyo 5 ай бұрын
Mimi kanishangaza. Huyo hawezi kuwa mtetezi wa wanyonge
@laylayl5166
@laylayl5166 5 ай бұрын
Dunia simama nishuke wanawake muogopeni mungu nyie
@user-mp4yt7ps5q
@user-mp4yt7ps5q 5 ай бұрын
Huyo mkuu anatumia jaziba hata mbele yako makonda je akuwa nawanyonge tu si kesi
@issaabdallah7660
@issaabdallah7660 5 ай бұрын
Hawa watendaji mda mwingine huwa wanaichonganisha serikali na wananchi
@mihayokakwimba9524
@mihayokakwimba9524 5 ай бұрын
watu wa bara kwa uongozi wapo vzr❤
@bazarakimayenga3572
@bazarakimayenga3572 Ай бұрын
Ni majembe
@emanuelgella8201
@emanuelgella8201 5 ай бұрын
Kunayo muda viongozi wanao wateuwa hawa wakuu wa mikoa na wilaya wanapsswa kijitathmini sana, hivi kwa jins mkuu wa mkoa alivyo anza kuongea kwa jazba na kwa mkwara utafikiri ni kweli jamaa hana haki, kumbe ni kujihami,, waweke watu sahihi jamani kwenye hizi nafasi za uamuzi
@evaristmbuya6220
@evaristmbuya6220 5 ай бұрын
Ofisi za Umma zimejaa wala Rushwa na matapeli
@user-zi1gp6dc2q
@user-zi1gp6dc2q 5 ай бұрын
Ilo limama linafika lishakula pesa limalaya likubwa ilo sura kama bundi
@hamishassan6784
@hamishassan6784 5 ай бұрын
ki ukweli nakiona kile kilichomfanya Mzee Magufulina hata sasa Mama Samia kukuteua Jamani Weye unaweza Mungu akuweke kiongozi wetu maaana sio kwa busara hizo ulizonazo
@SaidHassan-wz1px
@SaidHassan-wz1px 5 ай бұрын
MAKONDA ANAFAA KUA WAZIRI MKUU
@neemanziku5403
@neemanziku5403 5 ай бұрын
Waandishi na wanahabar peleken hisia zetu kwa mama Samia kwamba Tunampenda sana Makonda tena apewe ulinzi mkal
@mrrockboy9508
@mrrockboy9508 5 ай бұрын
Makonda baada ya mitano tena ya mama. Aki Mungu iposiku utaiyongoza ii nchi japo silaisi kazaa
@mariammalendeja370
@mariammalendeja370 5 ай бұрын
mitano ya nini tena tumpe makonda tu
@user-wi8og3sv4j
@user-wi8og3sv4j 5 ай бұрын
Kuweka matumbo hofisini tu na kutumbua tu pesa ndowanaotia serekalihasarana wananchi
@nadiatanzania
@nadiatanzania Ай бұрын
I miss you daddy magufuli but nimefarijika kumona mwanao makonda amefuata nyayo zako😢
@adieldennis1316
@adieldennis1316 4 ай бұрын
This man Makonda seem to be a good person,he speak well ,he communicate with common mwananchi with a lot of humility,To my opinion he has great future,but on the other hand am wondering how come there's rumours that he was involved on assassination attempt of Tundu Lisu.?
@raymondkaria1451
@raymondkaria1451 29 күн бұрын
Huku ndiko kurudishiwa vilivyoliwa na madumadu na tunutu na parare Bwana Yesu asifiwe Katibu mwenezi,, Mungu akulinde
@user-wg2gd2nl6c
@user-wg2gd2nl6c 24 күн бұрын
Amina
@ErickPazia
@ErickPazia 19 күн бұрын
Wewe ni kiongozi mzuri usiogope jitie moyo mkuu na mungu atakuwezesha❤
@user-wi8og3sv4j
@user-wi8og3sv4j 5 ай бұрын
Mwenezi ruhusu waoneshe karatasi zao ndomuse serekali sikuzi inatoa mihuri feki?
@Gamba81
@Gamba81 5 ай бұрын
Huyu bwana kamuita raisi samiya wala siyo mama samia kimu mkazi atasaidiwa kweli
@aishaabrahaman9957
@aishaabrahaman9957 5 ай бұрын
😂😂😂😂
@mwanaidimussa
@mwanaidimussa 4 ай бұрын
😂😂😂
@user-wi8og3sv4j
@user-wi8og3sv4j 5 ай бұрын
Chama cha mapinduzi tunaomba huu utatuzi anaufanya makonda uendelee maana tatizo kati ta w
@user-wi8og3sv4j
@user-wi8og3sv4j 5 ай бұрын
Mnapokeza uongo tu watu mlioaminiwa na serika na wananchi
@doricecyprian7246
@doricecyprian7246 5 ай бұрын
Yani mwekezaji na hekari mia sita zote 600 na wananchi wanangaika😂😂
@EliasMalendeja
@EliasMalendeja 5 күн бұрын
Mungu akubariki sana jembe makonda na jembe la ilinga mungu awalinde
@user-wi8og3sv4j
@user-wi8og3sv4j 5 ай бұрын
Acha uwongo mama karatas kazipata wapi
@giftmusa6543
@giftmusa6543 5 ай бұрын
Mie karatasi ya serikali sishiki wala sisomi sasa,mkuu wa wilaya ndio ataisoma😅
@neema-ee6qm
@neema-ee6qm 5 ай бұрын
😂😂😂😂s
@giftmusa6543
@giftmusa6543 5 ай бұрын
@@neema-ee6qm hatari
@user-oq3dd5xj9m
@user-oq3dd5xj9m 5 ай бұрын
People fighting for the land. Land is listening to them whilst takes all the weight of human being when they walk and stand on it. BUT, when Land hit back and swallow human being, everyone is crying and forgot what they have done to the land before.
@user-uk9vm5jn9d
@user-uk9vm5jn9d 5 ай бұрын
Mheshimiwa makonda tusaidie mloganzira kibamba tusaidie tusaidie tusaidie
@selemanimchana3598
@selemanimchana3598 5 ай бұрын
🙏👊👊
@selemanimchana3598
@selemanimchana3598 5 ай бұрын
Deeply fact user🎉
@user-zi1gp6dc2q
@user-zi1gp6dc2q 5 ай бұрын
Jaman viongoz wa ccm mbn mna matatizo namnaiharibu ccm iv wachawi nyinyi bora makonda umeanza kazi yamungu
@SayyidAhmadBaalawy
@SayyidAhmadBaalawy 4 ай бұрын
Huyo Mama Muongo Hasemi Ukweli! Mweke Sawa
@esthermwikali5403
@esthermwikali5403 Ай бұрын
Mimi ni mkenya Rakini makonde achopanya ana mwenzake mungu akulinde na akupatie maisha marefu
@EmanuelMusa-qp5je
@EmanuelMusa-qp5je Ай бұрын
Mungu akulinde makonda upo sahihi kibisa 🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@user-wp3yc6vv1f
@user-wp3yc6vv1f Ай бұрын
Mungu akulinde miaka za milele ,
@mihayokakwimba9524
@mihayokakwimba9524 5 ай бұрын
raisi 2025 huyu anatufaa
@billgussy6099
@billgussy6099 5 ай бұрын
dhuluma zime jaa sana hii nchi
@juliusmogaka2735
@juliusmogaka2735 5 ай бұрын
I wish for this man to be the next Tz president
@annakapolondo7771
@annakapolondo7771 5 ай бұрын
Me too
@oswaldiranyibuka4857
@oswaldiranyibuka4857 Ай бұрын
Kaka Makonda hongera,niko Bujumbura
@jamesmgimba7403
@jamesmgimba7403 5 ай бұрын
Muwekezaji anamikikishwaje eneo la mtu bila fidia kwa mwenye eneo?
@fidelismwakanyamale6787
@fidelismwakanyamale6787 5 ай бұрын
Shinyanga ni shida huyu mkuu wa mkoa ni tabu tupu
@shijamakoye6544
@shijamakoye6544 5 ай бұрын
Ccm itang'olewa madarakani na wateuliwa wake yani ccm inateua wawakilishi wenye nia ovu na chama sasa mfano huyo mkuu wa mkoa na huyo kamishina hawajawahi kufika kwenye eneo na wala hawalijui harafu wanakomaa kumtetea muwekezaji kwa maana hiyo tayari walishapewa hongo
@user-lh8uc4re6o
@user-lh8uc4re6o 28 күн бұрын
Baba pambana tupo pamoja mungu atakusimamia Mimi msukuma mweupe nuu tabu turio pamoja
@madinajamada9180
@madinajamada9180 4 ай бұрын
Dhuruma sio nzuri tuogope allah tutaulizwa siku ya mwisho
@shijamakoye6544
@shijamakoye6544 5 ай бұрын
Daaah yani jamaa wanatatua mgogoro bila kufika field aiseee hii ajabu sana
@user-wi8og3sv4j
@user-wi8og3sv4j 5 ай бұрын
Kwanini akae ofisini tu?
@bwagizoselemani8434
@bwagizoselemani8434 5 ай бұрын
Daah hii nnch inamajanga Sana kwakwel sijui tutafanya nn kila siku majanga viongoz wetu changamoto
@WinfridaMdemu
@WinfridaMdemu Ай бұрын
We mama mungu anakuona kuwa makini utapigwa pigo kubwa sana
@rosesilio9008
@rosesilio9008 26 күн бұрын
Camera man unavyommulika huyo mdaiwa huyo mzee ni noma mzee anavyoshangaa jaman kanyoosha shingo hiyo😂😂😂🤣🤣🤣
@gloryedson9311
@gloryedson9311 Ай бұрын
Akupenda Sana makonda mungu akulindee❤❤
@issakwisamwasanjobe541
@issakwisamwasanjobe541 5 ай бұрын
Rc WA aina hiyo ajitathimini au chama kimtathimini
@user-jz7td8kb6n
@user-jz7td8kb6n 5 ай бұрын
Makonda akijakugombea urais 2030 atapita
@gibsonjosephat6352
@gibsonjosephat6352 5 ай бұрын
Ukionesha kiherehere cha uongozi hutoboi. Wanapita wengine.
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 5 ай бұрын
User anapita bila kupinga
@aaa64sa13
@aaa64sa13 5 ай бұрын
Kabisaaaaa🎉
@chomasongidion6047
@chomasongidion6047 5 ай бұрын
Mkuu wa mkoa aondoke hana mahusiyano mazuri na watu,tazama qnavyozomewa
@user-ze6lx9ng6s
@user-ze6lx9ng6s 5 ай бұрын
Hawa wa serikali ni wezi Sana,viva makonda,
@juchaonline4084
@juchaonline4084 5 ай бұрын
Mi ningependa inch iongozwe na Wasukuma 😂😂
@barakamachard1944
@barakamachard1944 5 ай бұрын
Wasukuma wako vizuri
@Anna-jl2ie
@Anna-jl2ie 5 ай бұрын
asaante makonda
@makulanangale7186
@makulanangale7186 5 ай бұрын
Wasukuma wengi roho safi
@ngusamalegi4577
@ngusamalegi4577 5 ай бұрын
Haswaaaa😅😅
@dorcaskidoti249
@dorcaskidoti249 5 ай бұрын
Yaani Nawapenda sana Wasukuma hawapend ubabaifu
@AmosJuma-wp2pe
@AmosJuma-wp2pe 5 ай бұрын
Makonda bona kama unataka nikupe kula nyingi naomba ugombe chochotee
@JophasJohn-oh8zu
@JophasJohn-oh8zu 5 ай бұрын
Huyu mwamba akigombea kiti cha urais Asubuh na mapema yaani anashinda na hana mpinzani kabisa
@user-wi8og3sv4j
@user-wi8og3sv4j 5 ай бұрын
Mwenezi sikupendi lakini leo maswali yako kwa hao wahuni nimeayakubali had unanishawishi nianze kukuba sera zako
@user-xh5qf1pf3c
@user-xh5qf1pf3c 3 ай бұрын
makondo yawezekana wew u mmoja wa yesu kristo mnazareti mungu akulinde siku zote
@kissakayuni767
@kissakayuni767 5 ай бұрын
Mhe. Makonda Mungu akubariki sana kutujali maskini .halafu anasema angalia mbele kwa wananchi sio kwangu.
@AminaRamadhani-gx8yr
@AminaRamadhani-gx8yr 5 ай бұрын
Mimi nahisi kama wagombea wanatengenezewa mazingira ya kuombea kura, mana katibu anamaliza kwakutoa pesa na kukabidhiwa kwa wanyanyasaji walewale,
@bobg611
@bobg611 5 ай бұрын
Watching from Kenya
@AminaRamadhani-gx8yr
@AminaRamadhani-gx8yr 5 ай бұрын
Mbona anateteka, waziri mwenye dhamana apeleke takukuru uovu mwngi atauona
@elizalutiga6287
@elizalutiga6287 5 ай бұрын
Asanteeeeee Makonda
@user-wi8og3sv4j
@user-wi8og3sv4j 5 ай бұрын
Chama cha mapinduzi tunaomba huu utatuzi anaufanya makonda uendelee maana tatizo kati ta wa
@user-ko4dk4po3q
@user-ko4dk4po3q 5 ай бұрын
Daah ... Allah lhe abençoe homem, você é credível 🙏 x Off Maguful X Moçambique uanguikuigueuenii nyie tungui endelea sana lâkini Moz pabovu🇲🇿
THEY made a RAINBOW M&M 🤩😳 LeoNata family #shorts
00:49
LeoNata Family
Рет қаралды 31 МЛН
Incredible magic 🤯✨
00:53
America's Got Talent
Рет қаралды 57 МЛН
| UKUMBI | Mikakati ya Rais Ruto baada ya maandamano ya Gen Z [Part 1]
29:22