KUKATAA KUPATA MISUKO SUKO KATIKA DA'WAH NI DALILI YA KWENDA NA HAWAA ZA WATU

  Рет қаралды 4,837

IHSAAN TV

IHSAAN TV

3 ай бұрын

💫 KALIMA BAADA YA KHUTBA YA IJUMAA
‼ KUKATAA KUPATA MISUKO SUKO KATIKA DA'WAH NI DALILI YA KWENDA NA HAWAA ZA WATU ‼
▪️ Kupata Misuko suko katika D'aawa ni Suna ya Mitume na Wema Waliotangulia
▪️ Hakuna Da’wah ya kweli kama Mlinganiaji anakwepa Misuko suko kwa ajili ya kuogopa lawama
▪️ Si Mlinganiaji wa kweli yule anejisifu kwamba yapata Miaka Kumi na Tano hajapata misuko suko kwenye Ulinganiaji
🎤🎙
SHEIKH SALIM BARAHIYAN 🇹🇿
(حفظه الله ورعاه)
📍📍 Masjid Ansaar - Br. 19
🗓 26 - Ramadhan - 1445H
🗓 05 - April - 2024M
✨✨✨✨✨✨✨✨✨✨
📡🎥📸📰
IDARA YA HABARI NA UTANGAZAJI - MARKAZ KUU
ANSAAR MUSLIM YOUTH CENTRE

Пікірлер: 72
@user-yj5on8cz3e
@user-yj5on8cz3e 3 ай бұрын
❤❤nakupenda shekhe barahyani kwaajili ya Allah wachape hawo wanafiki wamevaa vazi la sunna kwa nje kwa ndani huficha usufi moja wapo kishki na kaka yake Abdul lkdadir anatowaga fatuwa za kupendwa na kuonekana wazuri mbele za watu wananyonga nyonga hakki ili masufi wawaone wazuri.
@bagalucha
@bagalucha 3 ай бұрын
BarakAllahu feek,haya uliyoyasema ni kweli ndio yaliyokuweko kwa sasa,hızı ni dalili za Ahrul zamanı ,mtume aliyasema haya yatakuja katika zama za mwisho,ya udhaifu katika mioyo ya waislamu
@JumaOmar-ku6cr
@JumaOmar-ku6cr 3 ай бұрын
Wallahi namshuru Alla kuwa ni mtu wa sunna nantajitahidi sanna femilia yangu yote iwe ni watu wa sunna inshaalla
@JumaOmar-ku6cr
@JumaOmar-ku6cr 3 ай бұрын
Alla akupe nguvu ya kutangsza suna kutukanywa ndo sunna ya manabii ndojumla ya misukosuko katika dini haki itakuja juu tu
@user-od1xx3tk9y
@user-od1xx3tk9y 3 ай бұрын
Maashallah ukweli wauma shekh nikweli maneno hayo yatawauma watu wanaowakumbatia mashia
@user-sf3jq7wo5e
@user-sf3jq7wo5e 3 ай бұрын
Shekh mashaallah uko sahihi saan nawoote walochukizwa na nasaha zako niwanaafik tena tunawajua
@kimchinakucha834
@kimchinakucha834 3 ай бұрын
Allah akuhifadhi sunna umeitangaza sana Tanzania 🇹🇿
@user-jk7sm1dl7p
@user-jk7sm1dl7p 3 ай бұрын
Shukran sana sheikh wetu Allah akuhifazi sheikh Sehemu zote kuna ugonjwa wa masheikh walikuwa na sura mbili, Kama Burundi hivi sasa kuna sheikh alijificha siku nyingi nyuma ya sunna siku nyingi Aliibuka kuwa na maibazi na kwenda kwenye bidah ya maulid Congo
@musarashid-xw1qm
@musarashid-xw1qm 3 ай бұрын
Allah Akuhifadh
@sulemanealisaide217
@sulemanealisaide217 3 ай бұрын
Mashallah allah akuhifadhi na husda chekhe tuko pamoja na ww
@MohamedAhmed-yi1yf
@MohamedAhmed-yi1yf 3 ай бұрын
Sheikh salim shukran
@user-kq7mp8qz9e
@user-kq7mp8qz9e 3 ай бұрын
Allah akuhifadhi sheikh salim
@mnubisaidi
@mnubisaidi 3 ай бұрын
Allah akuhifadhi
@AbubakarAlly-th6op
@AbubakarAlly-th6op 3 ай бұрын
Ndugu waislamu chungeni comment zenu kumbukeni mtume wetu swalallahu alayhi wasallam ametuhusia tuwaheshimu watu wazima
@aminaosman3315
@aminaosman3315 3 ай бұрын
,wewe uko juu Sheria kwa hayad uliyowanyia famili marehem said yatima na mjane Allah atawalipia hapa duniani insha'Allah haki
@user-yj5on8cz3e
@user-yj5on8cz3e 2 ай бұрын
Marehemu alikuachia madai nini ukamda shekhe kamfungulie kesi mahakamani basi ndugu maana povu linakutoka ahahahahaha asalaala
@user-yj5on8cz3e
@user-yj5on8cz3e 3 ай бұрын
Nikweli shekhe,wapo mashekhe hao wanaojifanya wana sunna ndevu kubwa,ukaa na masufi na kuwahimiza waendelee kufanya bidaa❤❤ penda xana shekhe barahyani unalingania hakki
@hilalkhalfan1452
@hilalkhalfan1452 3 ай бұрын
WANA SUNNA NI NYIE MAWAHABI WEZI WAKUBWA. HAO WEZI KAMA BARAHIANI TU. HAPA HAPATOSHI MWAKA HUU, KARIYAKOO NYUMBA ITAPATIKANA ACHA WAHANGAIKE. HAPA HAKUNA SUNA NA BIDA'A NA SUFI NA UWAHABIYA ACHA UKHANITHI. HAPA MWENYE HAKI ASIMAME NA YULE MWANAMKE NA MWENYE DHAMBI ASISAME NA HAWA WEZI. HIKO TU NDIO CHA SASA. HATA YULE MWANAMKE ANAETETEA HAKI NI SUFI NA BABAAKE NI SUFI MWENYE HAKI. KWAHIO HATA WATOTO WA MITUME PIA WAPO WALIOPOTOKA NA TAMAA
@abakibibi9917
@abakibibi9917 3 ай бұрын
WAMEFANYA HAO MASHEIKH IBADA YA KUFUTURISHA KAMA MCHEZO WANAALIKWA NA WASIOKUWA WAISLAM NA WANAKWENDA MA WAFUASI WAO WANAONA NI SAHIHI WAKIMALIZA KULA SAMBUSA WANAOMBEA DUA WASIOKUWA WAISLAM KWENYE IBADA SIO YAO
@ashrafhashim2116
@ashrafhashim2116 3 ай бұрын
Nimesoma coment nyingi nimeona mnamtukana huyu shaykh mimisijaona alipokosea nachokiona niushabikitu Nikweli mashekh wengi wanaficha misimamoyao.
@banihashim5347
@banihashim5347 3 ай бұрын
WEWE BABU USHAISHIWAAAAA
@hafidhwajina6718
@hafidhwajina6718 3 ай бұрын
Ameishiwa nini?
@mohamednyuni2631
@mohamednyuni2631 3 ай бұрын
Hikma
@user-yj5on8cz3e
@user-yj5on8cz3e 2 ай бұрын
Aliishiwa unga kaja kuomba kwako maskinii mnafiki ww shekhe kaishiwa ndo adabu ulofunzwa na wazazi wako
@aminaosman3315
@aminaosman3315 3 ай бұрын
,haki na batili wa mayatima marhum said janjira kuongea utazani MTU wasuna kumbe hamna suna NI zulma kwenda mbelejua ungeijua usingewadhulumu 😮
@banihashim5347
@banihashim5347 3 ай бұрын
BIRIYANI WEWE HUJATAMAKKAN KATIKA ILMU. HILI LIPO WAZI SANA
@hafidhwajina6718
@hafidhwajina6718 3 ай бұрын
Thibitisha kama umo
@user-yj5on8cz3e
@user-yj5on8cz3e 3 ай бұрын
Ongera xana usijali matusi ya watu mtume alitukanwa xana na majahili ukweli unauma hawakuwezi hata hao kina mafuta na kikundi chao wanakuchukia kisa unabomoa kikundi chao cha kijadida na kueleza usalafi wa kweli
@HiteshkumarDhirajlal-nh3ly
@HiteshkumarDhirajlal-nh3ly 3 ай бұрын
Lakini MUNGU hana dini,huwa anaangalia IMANI tu 😂
@banihashim5347
@banihashim5347 3 ай бұрын
TATIZO LAKO WEWE UNA HANGAIKA SANA NA SHEIKH KISHKI
@salumsimai642
@salumsimai642 3 ай бұрын
Unauhakika kua anahangaika na Kishki wacha uchonganishi hakumtaja mtu hata ww kama unadalili alizozitaja basi la msingi ni kubadilika na sio kunyooshea kidole mtu
@user-yj5on8cz3e
@user-yj5on8cz3e 2 ай бұрын
Ninyi hata mkimchukia shekhe barahyani ukweli utasemwa tuu na sunna itasonga mbele ansari sunna itazidi kustawi hapa tz na kunawiri nyuso za nuru
@ellyndaprincess3235
@ellyndaprincess3235 3 ай бұрын
Kwahyo pepo imeandaliwa kwaaajili ya buruhuyan na genge lake la ki hizb la kihuni😂😂😂😂😂😂
@user-yj5on8cz3e
@user-yj5on8cz3e 2 ай бұрын
Ahaaa tunawajuwa ninyi mnaoita watu mahizbi mmekuja na sura ya usalafi ila ndani yake amna kitu mmekuja kuvunja umoja wa watu wa sunna hizbi ninyi mloanzisha kikundi cha kujeruhi watu wa sunna mkivaa vazi la usalaf kama ngozi ya kondoo kumbe ndani mbwa mwitu wabaya
@hilalkhalfan1452
@hilalkhalfan1452 3 ай бұрын
UNAJILIWAZA BARAHIANI BAADA KUJIBIWA UTUMBO WAKO UNAJIDAI ATI MISUKO SUKO KWENYE DAAWA KUMBE JITU ZIMA HUNA HATA AIBU KWA UNAYO YA FANYA . WEWE UNA FEDHEHA NA SIO MISUKO SUKO. NA WANAFUNZI WAKO WOTE NI WASHENZI KAMA WEWE
@khamiskhamis9947
@khamiskhamis9947 3 ай бұрын
WEWE USIPO MCHA ALLAH JUU YA MANENO YAKO MABAYA UTAKUJA JUTIA, ALLAH ANAHIFADHI UYASEMAYO. ACHA AU ENDELEA LAKINI ALLAH YUPO NAWE.
@hilalkhalfan1452
@hilalkhalfan1452 3 ай бұрын
@@khamiskhamis9947 na maneno ya BARAHIANI pia Allah sw anayahifadhi na ataukuta upotovu wake siku ya kiama
@khamiskhamis9947
@khamiskhamis9947 3 ай бұрын
KWA HIYO NA WEWE UPO UNA BAINISHA HUO UPOTOFU WAKE AU SHAITWAAN ANAKUSUKUMA KUTAMKA MANENO MAZITO YA KASHFA? KILA MMOJA ATABEBA MZIGO WAKO, KWA HIO NA WEWE ANDAA MAJIBU KWA NINI SHEIKH SALIM NA WANAFUNZI WAKE WOTE NI WASHENZI, LAA UTASHINDWA KUNYOOSHA HOJA, BASI DHULMA UNAYOIFANYA KWA NDUGU ZAKO NI KUBWA NA NI HATARI KWAKO PINDI USIPO TUBIA.
@manixawadh7198
@manixawadh7198 3 ай бұрын
Kuwa mtu Jahil ni shida sana... twawajua nyie ni wale mnaoomba makaburi na kuhuisha uzushi katika dini... mkiambiwa ukweli harara zawatoka... vumilia chukua dozz kwa Sheikh Barahyan.
@salumsimai642
@salumsimai642 3 ай бұрын
Muogope muumba wako ww usitukane watu ww unamangapi maovu unayoyafanya
@ellyndaprincess3235
@ellyndaprincess3235 3 ай бұрын
Wewe hizb umuwez kishk endelea kubweka na kujamba hovyo hovyo 😂😂😂
@pavillioncry5241
@pavillioncry5241 3 ай бұрын
We mwenyewe ghurafi
@ellyndaprincess3235
@ellyndaprincess3235 3 ай бұрын
​​@@pavillioncry5241 alama yenu kubwa nyie Mawahabi mahizb ni watu wenye midomo kunuka michafu mnavaa sket za dada zenu mnaita suna kukata nguo 😂😂
@Zainabnoor0087-ze
@Zainabnoor0087-ze 3 ай бұрын
ALLAH subhana akupe umri mrefu na afya njema na daawa iendelee shk Salim barahiyan, mufti wa majadida kipindi unalingania Sunnah yy alikua anaimba kasida tamta
@abdoumadiousseni4835
@abdoumadiousseni4835 3 ай бұрын
Ww kweli nimujiga 😢😢😢 hunaakili atakidogo mpubavu
@Zainabnoor0087-ze
@Zainabnoor0087-ze 3 ай бұрын
@@abdoumadiousseni4835 we kweli jadidah
@ellyndaprincess3235
@ellyndaprincess3235 3 ай бұрын
Yani ili roho ikuume vizur dunian nchi zinazoongoza sana kukua kwa dhehebu la ushia tanzania ni ya nne na hapa arusha wapo wengi sana kwa hiyo na bado hujasema 😂😂
@abdalashah3292
@abdalashah3292 3 ай бұрын
Of course hatuwezi kushangaa na izo statistics coz ni kwa sababu ya njaa tu!
@user-yj5on8cz3e
@user-yj5on8cz3e 2 ай бұрын
Utuume nini sisi na ushia ni mbalimbali kabisa kwani shia ni watu wa ahlu nnari ni watu wa motoni wale si makafiri tuu kama mayauhidi au mama jusi wanauislamu gani wale kudanganya watu kuvaa vilemba vikubwa kama tahili za gari ili watu waone ni waislamu kumbe moyoni wameficha ukafiri ww ukiwa shia ni motoni tuu hilo halipingiki mbona arafu ushia ulianza na watu weupe wafursi irani huko lakini kama ww wajiita mshia mswahili imekula kwako na afrika mashariki hii walikuwa mashia ni wahindi sabu leo ya njaa za waswahili mkajiunga uko wenyew wawachukulia wajinga .
@user-yj5on8cz3e
@user-yj5on8cz3e 2 ай бұрын
Alokuambia ushia ni dhehebu katika uislamu ni nani kunadhebu katika uislamu la mtukana mtume na maswahaba shia ni makafiri tuu ni ahlu nnari ni watu wa motoni na ni dini kama dinni zingine mayahudi ,mamajus ukristo, budha au uislamu sasa kuvaa vilemba vikubwa kama tahili za gari haimaniishi ninyi ni waislamu hata wanafiki wakati wa mtume wakivaa vilemba na kama ww ni shia mswahili umeangamia ndugu pole yako.
@AbuuAnwar-hg8qw
@AbuuAnwar-hg8qw 3 ай бұрын
Basi sisi twasema kuwa ANSWAR SUNNA ndo dhehebu pekee ambalo nisahihi hayo mengine yote nibatwil sawa? Maana kila kukicha nimambo hayohayo tuuuu hakuna mawaidha mengine kama mijinga vile 😡😡
@user-yj5on8cz3e
@user-yj5on8cz3e 2 ай бұрын
Nikweli wanafata hakki ili kundi kadiri mnavyochukia ansari suna inanawili hapa tz na inazidi kuwa na nuru kama mbalamwezi
@user-yj5on8cz3e
@user-yj5on8cz3e 2 ай бұрын
Kwahiyo pasukeni sasa ni uwezo wa Allah so sisi
@MkindiRama-lp6hy
@MkindiRama-lp6hy 3 ай бұрын
Kwa hiyo sheikh ww wasubir tu kwenda pepon maana makundi yote ni ya upotofu ww upo sahihi
@user-kq7mp8qz9e
@user-kq7mp8qz9e 3 ай бұрын
Ufahamu wako nimdogo kakaae nawapiga madufu
@saidimkwinzu9106
@saidimkwinzu9106 3 ай бұрын
Mzee WA bidaa unataka kusema MADA hujaielewa
@AliSalim-yu4mo
@AliSalim-yu4mo 3 ай бұрын
Wacha ushabiki ktk dini Fanya hivyo ktk mipira munayoishabikia
@user-tw4nf6bv8b
@user-tw4nf6bv8b 3 ай бұрын
Allah akufanyie wepesi usome dini hutapata tabu kabisa kuwaelewa mashekh wa makundi yote nn wanachokisema lkn kwa sasa itakua ngumu sana kumuelewa Shekh hapo Tusome Ramadhani Mahmoud
@AliSalim-yu4mo
@AliSalim-yu4mo 3 ай бұрын
Jitahidi kusoma Kwa Masheikh tofauti na Kwa Nia ya kufahamu na sio Kwa kubishana,Kwa hakika utapata majibu sahihi ya haki na batil na ni yupi Yuko sahihi na yupi WA peponi(Allah atujaalie ktk kundi Hilo)na yupi WA motoni(Allah atunusuru na Hilo)
@aminaosman3315
@aminaosman3315 3 ай бұрын
,haki na batili wa mayatima marhum said janjira kuongea utazani MTU wasuna kumbe hamna suna NI zulma kwenda mbelejua ungeijua usingewadhulumu 😮
@aminaosman3315
@aminaosman3315 3 ай бұрын
,haki na batili wa mayatima marhum said janjira kuongea utazani MTU wasuna kumbe hamna suna NI zulma kwenda mbelejua ungeijua usingewadhulumu 😮
@user-yj5on8cz3e
@user-yj5on8cz3e 2 ай бұрын
Alikuzulumu ww mkeo nyumbani kwako??
@aminaosman3315
@aminaosman3315 3 ай бұрын
,haki na batili wa mayatima marhum said janjira kuongea utazani MTU wasuna kumbe hamna suna NI zulma kwenda mbelejua ungeijua usingewadhulumu 😮
@user-yj5on8cz3e
@user-yj5on8cz3e 2 ай бұрын
Wew dada mbona umemuandama shekhe ww alimzulumu bwana ako nini kafungue kesi mahakamani basi povu linakutoka so lazima mumpende wote sabu ata mtume wakitokea watu kama ninyi kumpinga
MUOMBENI ALLAH KWA MAJINA YA KE MAZURI SHEKHE NASSORO BACHU
45:38
Madrasatulfurqani Tv
Рет қаралды 4 М.
Best KFC Homemade For My Son #cooking #shorts
00:58
BANKII
Рет қаралды 66 МЛН
New model rc bird unboxing and testing
00:10
Ruhul Shorts
Рет қаралды 29 МЛН
A clash of kindness and indifference #shorts
00:17
Fabiosa Best Lifehacks
Рет қаралды 134 МЛН
Каха заблудился в горах
00:57
К-Media
Рет қаралды 8 МЛН
ndoa hii huwezi barikiwa acha kumtesa mkeo na ndio maana hubarikiwi
1:12:34
OTHMAN MICHAEL ONLINE
Рет қаралды 18 М.
"MUNGU HANA MKE." PASTOR NDACHA AKIELEZEA YESU NI NANI.
1:25:25
Straight Path Dawah
Рет қаралды 14 М.
NABII IBRAHIM NA BI HAJRAH
2:57:46
ADELINK HABARI
Рет қаралды 61 М.
Best KFC Homemade For My Son #cooking #shorts
00:58
BANKII
Рет қаралды 66 МЛН