Ma Sha Allah umeelezea vizuri Dr. Sulle. Allahu Musta'an
@AnithaMuvurwaneza27 күн бұрын
Shee ayo ni maubiri ambiya waislamu Kama ni masmdiko kwenye Bibliya ukifundisha sema mahi coroani....,Mwanzo... Njo mtumishi Yesu anakutaka karibu
@user-it6zi7zw8yАй бұрын
mashallah mashallah mashallah doctor sule umelimisha vizur sana wanao taka kufata dini ya kislam wafate wasio taka kazi kwao ukweli ndo huo mmeisha alimishwa
@listonjiwe34677 ай бұрын
Anawahadisia maamuma hawa ndio wanaopotosha kweli ya mungu wanajalibu kupambana na mungu wakiwa hapa duniani
@hemedbamja31977 ай бұрын
Google sensa ya Israel ya 2021(religion structure) uone wakristo ni 1.9%; na Judaism ni 78%. Sasa sijui huwa mnabariki Israel yupi asiyemkubali yesu,ewe usiye maamuma
@J4UPro7 ай бұрын
Huyu hajui chochote
@NgengeMkeni-uo5hq7 ай бұрын
Hawa ndio wapinga Kristo wenyewe
@frankjohn87067 ай бұрын
Mungu amesema abarikiwe anaembariki Israel na alaaniwe anaemlani Israel
@hemedbamja31977 ай бұрын
@@frankjohn8706 : ndipo nami nikauliza ni yupi haswa?hawa kina netanyahu? Maana 78% ya wayahudi hawamuamini Yesu na wanapinga Imani ya kikristo. Je ndo hao mnaotakiwa kuwabariki ama kuna wengine?
@user-yj5on8cz3e3 ай бұрын
Ishallah Allah akujaalie kuwaelimisha wasojuwa
@MichaelDonaldnchingaMichaelDon18 күн бұрын
Tunajua toka zamani kabla uislamu haujazaliwa,Wayaudi ni ndugu zetu kwa jinsi ya Roho ndivyo maandiko yanavyo sema Dr sele
@EliasyNgitoriacheupeАй бұрын
Gaza ni taifa ambalo halikuhesabiwa walimuhasi Mungu.na maandiko yanatimia kuwa atamalizwa siku za mwishon.mungu n moja.tuwasomeshe watto wetu maandiko waelewe wasiidanganywe
@elizabethdamas-zp9xl2 ай бұрын
ifike mahali kila mtu aongelee din yke na kila mtu aishi kwa kadri ya imani yake sababu dini haimpeleki mtu mbinguni bali ni matendo yetu 🙌
@ramadhanjuma610Ай бұрын
Toa andiko linalo sema Dini aimpeleki mtu mbinguni acheni kuropoka wakristo
@MohamediOmari-nz4vvАй бұрын
Wakristo wenyewe awaiamini dini yao
@user-fz5ff7rg1l7 ай бұрын
Napenda darsa zako doctor sile
@Kassimmbawala3 ай бұрын
Mwenyezi mungu akupe maisha marefu
@gracefilipo57286 ай бұрын
Ahsante kwa kutufafanulia hili hwa ndugu. wanatakiwa.kupatana.wenyewe.
@jacobkihanga54557 ай бұрын
Naelewa sn uislamu ee mwenyezi mungu nijarie roho yakuingia ktk uislamu
@NgengeMkeni-uo5hq7 ай бұрын
Yaani ukiziainisha sifa za Mudi na Yesu Kristo wallah ni wazi kuwa Yesu ni Bwana. Mfano mdogo tu; > Mudi alioa mtoto wa miaka 6 (Bi. Aisha) na alijamiiana nae akiwa na miaka 9. > Mudi aliuwa watu zaidi ya 3,000 katika vita zake za Jihad. > Mudi alielekezwa Waislamu waoe wake wanne (4) ila yeye alikuwa na wake zaidi ya kumi na tatu (13). > Mudi alikuwa anamiliki watumwa na alikuwa akifanya nao ngono kila anapojisikia. > Mudi aliruhusu waislamu kutumia uongo (taqiyya) pasipo kujali kuwa ni dhambi. > Mudi aliruhusu maswahaba wake kuwabaka na kuwachukuwa utumwa wanawake waliowapata mara baada ya kupiga vita za Jihad. KWA HAYA MACHACHE TU WAWEZA KUONA MUDI ALIKUWA NI MTU WA AINA GANI😂
@user-mc2xd4eu2p5 ай бұрын
@@NgengeMkeni-uo5hqmoyo wako umejaa chuki za ukafiri huwezi kuzuia nuru ya uislam hata ukiangalia wanaosilimu duniani ni wengi na huyo yesu unaemuita mungu wako sisi ni ndugu yetu muislam mwenzetu nabii wa mungu
@NgengeMkeni-uo5hq5 ай бұрын
@@user-mc2xd4eu2p Kwanini Mtume Muhammad alimwingilia mtoto wa miaka 9 kama sio ubakaji?? Jibu swali acha blah blah.. yaani kweli kwa akili zako timamu unaweza kumuozesha mtoto mdogo kama huyo? Nuru ipi hiyo unazungumzia? Ya kubaka watoto au?
@user-mc2xd4eu2p5 ай бұрын
@@NgengeMkeni-uo5hqadam alimuingilia mtoto wa siku moja kuzaliwa hawa alizaliwa siku hiyo hiyo akamuingilia siku hiyo hiyo akapata mimba siku hiyo hiyo mambo ya nabii unataka yawe kama wewe tatizo lako
@user-mc2xd4eu2p5 ай бұрын
@@NgengeMkeni-uo5hq ukijibu kwa nini adam alimpa mimba mtoto wa siku moja utapata jibu kama utaacha jazba
@DevidsLema7 ай бұрын
katika jina la yesu kristo mwogopeni mungu acheni uongo
@teamallyracing17807 ай бұрын
Sasa uongo ni upi na hii hata kwenye biblia ipo waulize mapadri zenu wanaolewa
@gatekanene57537 ай бұрын
DevidsLema: hujuwi kama hawa wafuasi wa mudi kusema uongo kwa ajili ya dini ni halali kwao?? Afazali adanganye kwa kujionesha kuwa anaweza na anajuwa kila kitu kumbe uongo mtupu😂😂😂😂😂😂
@jobmwakipesile99037 ай бұрын
Hii ni Miongo hatari
@ywydhhd79417 ай бұрын
Devidslema ,jifunze kwanza kuandika majina ya Mungu au MUNGU herufi kubwa, Yesu au YESU , Mungu au MUNGU
@pendosharif-kw4gl6 ай бұрын
Hakuna kiongo hapo. Mimi ni mkristo na naamini yote haya
@shabanikipundile83577 ай бұрын
Ukisoma vizuri utagundua kuna tofauti kati ya wayahudi na waisraeli aliowateua mungu. Kuweni makini ondoeni jazma na murudi mezani musome mtagundua hilo.
@user-yv7ij4zh4k7 ай бұрын
Wayahudi ni maanake ni Waisrael waliokuwa katika Ufalme wa Yuda (Soma kitabu cha Wafalme). Ufalme wa Yuda ni Makabila mawili ya Yuda na Benjamin na ndio Wayahudi. Kumbuka baada ya Mfalme Suleimani kufariki Ufalme wa Israel chini ya mwanae Rehoboamu uligawanyika katika sehemu mbili ambazo ni Ufalme wa Yuda (Uliokuwa kusini na makao makuu Yerusalem) na Ufalme wa Israel ulikuwa Kaskazini (Makabila 10) ambao Makao Makuu yao yalikuwa ni Samaria.
@nicksonlyimo15627 ай бұрын
Hahaha myahudi na muisraeli ni sawa na kusema Kuna malapa na kandambili, hakuna tofauti ndugu sijui umesoma kwa kitabu Gani hiyo ? Jaribu kua makini Sana .
@jannfferАй бұрын
May the holy spirit take control of everything
@musapfute66087 ай бұрын
Mara 100000000000, nibadili iman niwe myaud kuliko kua iman fln imejaa ubinafsi na chuki iliyopindukia
@faithfaith-zr6gz7 ай бұрын
Kawaida ya watoto wa kijakazi, Wala hata usije maaana huku hakuna kufuga maruhani, Wala kuchoma ubani kuwaita mashetwani kuongea. . Huku ni free from GOD
@faithfaith-zr6gz7 ай бұрын
Chuki mnazo nyinyi mnaochinjana chinjana na kujilipua lipua eti thawabu.
@mkude5 ай бұрын
@@faithfaith-zr6gzwewe unachuki sanaa na muongo sanaa kwanza dini ya muislamu Haina sifa hizo unazosema wewe,je ningetoa sifa ya dini yenu na vituko vya viongozi wenu patakuwa hapatoshi hapa,halafu huyo unaemjibu ni mkiristo kama wewe sio muislamu
@faithfaith-zr6gz5 ай бұрын
@@mkude Jiteteeee Mtukuze MUNGU JUA,, Mambo gani ya kufuga maruhani na kufusha fusha miudi,ubani, Mara Pete,chano, maoepo mnautwa malaika wazuri,, hivyo vinavyopandaga kichwani mnavipa ubani au zafalani Ni vitu gani!?? Wewe tushatoka Huko sisi,, Kama unaona kwako Kuna faida na kuzuri Kaa kimya, usijihesabie haki eti upo salama, Mbinguni atuendi kwa dini yoyote ni matendo yako,, Dini ni taasisi tu za kutuweka ktk kujua kanuni za MUNGU, Wote tuna haki mbele ya MUNGU... Angalia moyo wako Na Imani yako c dini.
@faithfaith-zr6gz5 ай бұрын
@@mkude Mimi sitishwi na mtu kujiita mkristo, Anaiweza kuwa mkristo jina na hana kanuni za UKRISTO.
@AnnaSanga-bs7pl7 ай бұрын
Ubarikiwe kwa kufundisha ukristo
@gosbertmuta54217 ай бұрын
🤣
@LastdayJesu41536 ай бұрын
Shekh wetu huyu khakika anajuwa njia iliyonyoka atakuja kwa Yesu miaka siyo mingi❤
@user-ts8po9rz1n7 ай бұрын
Mungu awa Rehemu na atusaidie kuijua kweli ya Mungu wa kweli
@samuelmbisu35697 ай бұрын
What do say he is yourself? He i the prince of life and peace. he holds your life in his fingers. Good thing he fights for himself
@user-hf7sr5bk5h7 ай бұрын
Pure truth. Articulate and explicitly narrated.
@mdudufilms72087 ай бұрын
Sahihi..
@jannfferАй бұрын
I love the way you teach
@jannfferАй бұрын
May God take control of everything
@estermgoma74517 ай бұрын
Nyie lumbaneni tuu ila yale mengine tunayo jiuliza majibu anyone Mungu cha msingi tuu Mungu atusaidie twende hapoo anapo hitaji tufike
@LastdayJesu41536 ай бұрын
Nimependa hiyo ...anapotaka tufike
@mussamssuya30514 ай бұрын
Hamjielew nyie
@sadri_khan93193 ай бұрын
Hata na wewe pia unayo majibu maana umefanywa kua ni kiumbe bora na ukapewa akili utakosaje majibu
@ramadhanwilbard81963 ай бұрын
Kila mtu anayo akili na maarifa lakini ufahamu unatofautiana kila mtu anajifunza kwa mtu anaemuona anamzidi maarifa!
Genesis 16:1-9 Hajiri ni mjakazi wa Sarah,hakuwa bibi mwenza
@salumsodangu13727 ай бұрын
Elewa we kijana hajakataa kwamba Hajira si mjakazi.Alikua Mjakazi lakin Sara alimuamulu Nabii Ibrahimu Amchukue awe mkewe ili mzalie mtoto
@hassangalgallo84967 ай бұрын
@@salumsodangu1372 wewe ndio uelewi soma MWANZO 21:8-21, inasema Abraham alimfukuza hajiri naye akapotea katika janga la Ber-sheba
@jannfferАй бұрын
Mungu akupe miaka mingi uhubili ukweli wote
@paulosamwel98537 ай бұрын
Anachokiongea kipo sahihi ndio agano la kale katika kitabu Cha Musa kiitwacho Musa. Yupo sahihi
@user-xy9ze1od3w7 ай бұрын
Muda mingine fundisha watu kuhusu imani maana wewe umekazana kuhubiri dini kuna mambo mengine nikazi ya Mungu mwenyewe
@user-ig3en2jq5xАй бұрын
Wayahudi ni watumishi wa kweli wa Mungu
@eunicegerminus1936 ай бұрын
Tunashukuru sana suleshi kwa kuutangaza ukristo asante akubless Mungu maana 😂😂😂
@user-os7jo6wp1o7 ай бұрын
Sio kweli Salah ndie aliemwambia iburahimu mfukuze mjakazi maana moto wa mjakazi hatarisi pamoja na mwanangu
@usaynmakumbo73947 ай бұрын
Kajifunze kwanza kiswahili ukishajua ndio uje kwenye mjadala
@mkude5 ай бұрын
@@usaynmakumbo7394😂😂😂
@abduawesu91653 ай бұрын
Nynyi wa kristo mutajuwa wapi dini wakati vitabu vyenu v imejaa propa ganda
@dicksondkaganga12906 ай бұрын
This is like studying the book of CIVICS while preparing to do the exam of PHYSICS! 🤣
@abadzeidmohd-kl3bk6 ай бұрын
You who say that😬😬
@samuelmbisu35697 ай бұрын
Continue and we shall watch this space
@jannfferАй бұрын
Kuna mungu binguni mwenye uwezo na mamulaka
@MaryMuigai-zj8fz7 ай бұрын
Yesu ni Bwana Tena sana waliumba viote viliyomo mbiguni na nduniani pamonja na Bake so Kaa ukinjua ni viote Tena vyote.Amen God Almighty bless you.Jina la Bwana limbarikiwe milele Amina
@AnyimikeKajeti-fl3os7 ай бұрын
Wewe ni mongol tu hunalolote
@stevensosipita7 ай бұрын
Ndugu yangu unakosea mungu aliumba ulimwengu na vitu vyote vilivyomo kisha akaumba Adam na eva wakati huyo yesu bado hajazaliwa mungu hana mshirika yoyote walieshirikiana kuumba nchi yesu ni mwana wa mungu na si mungu someni bibliothèque.
@kbmsouth7 ай бұрын
We 𝐌𝐂𝐎𝐍𝐆𝐎 kajifunze kuandika vizur alafu uje tuongee..
@J4UPro7 ай бұрын
Jifunze kwanza Kiswahili
@daudinyello40337 ай бұрын
Acha uongo bana Marry
@samwelmbonea73357 ай бұрын
Bibilia neno la mungu. Lazima ukubali tu
@shabbymakapane7 ай бұрын
TORATI , ZABURI , INJILI , Ndio Neno La MUNGU Sio BIBILIA 😜😜😜
@Ronkiroo7 ай бұрын
na bibilia ni nini? wajua maana yake?😁😁😁😁😁@@shabbymakapane
@shabbymakapane7 ай бұрын
@@Ronkiroo mh 🤷♂️ Cjui Mie Naona Ugalagala Tu , 😜😜😜 Labda Uwaulize Wale MATAIFA 10 Waliokaa Mezani Na Kutunga Hilo Neno BIBILIA ,😂😂😂. MUNGU wala YESU Hwajjui BIBILIA ,😜😜😜 ,
@Ronkiroo7 ай бұрын
unajielewa kweli ama ni mafunzo potofu ya mohammad imekudanganya🤣🤣 aliye waambia dunia ni flat🤣mnayaamini hayo?🤣🤣poleni sana @@shabbymakapane
@NgengeMkeni-uo5hq7 ай бұрын
@@shabbymakapaneSasa hivyo vitabu vinatoka wapi🤣🤣🤣.. juha kalulu mkubwa wewe
@jrgongo63487 ай бұрын
Zungumzeni Sifa za Mungu wenu kwenye uislam wenu Acheni Kuwapotosha Wakristo
@SELEMANISHAIBU-eq8vf7 ай бұрын
Wakristu wanadai kuwa mungu wao yesu aliuliwa na wayahudi, wayahudi waliwauwa mitume, nk sishangai kuona wanaendelea kuwaua wakristu na waislam. Kinachonisangaza kuona wakristu kuwafanya ni marafiki zao.
@nemeskulaya39627 ай бұрын
@@SELEMANISHAIBU-eq8vf aliyekwambia sisi marafiki wa wayahudi nani? Rafiki yetu ni yeyote anayemkiri Yesu kuwa ni Bwana na Mokozi wetu. Awe myahudi au la. Ht muislam atakayemkiri Yesu ni rafiki yetu. Na ukristo ni matendo sio maneno ndo mana huwezi kuta Askofu au mchungaji anahubiri akaongelea uislam. Lkn hotuba 10 za waislam 8 lazima ziongelee ukristo. Ukweli ni kwamba wanaupinga lkn wanauogopa. Wakilinganisha matendo wanaona dhahiri wakristu ndo wanayaishi mapenzi ya Mungu na ndo wanaobarikiwa. Shekhe hapo anashangaa kwann waislam ndo wanamiliki mali nyingi lkn stil wao ndo maskini wa kutupwa. Jibu ni kuwa hakuna baraka ktk matendo yenu maovu lkn pia ni ahadi ya Yesu kumuweka juu yeyote atakayemfuata na kumshusha chini yule atakayempinga. Acha wakristu tuendelee kula bata kwa kumkiri Yesu kuwa ni Mwana wa Mungu na ni Mungu kweli kweli!
@npiperito196 ай бұрын
Wakristo awapotochui, ila wanatolewa kwenye opotovu
@SaidAhmed-rc6hm6 ай бұрын
Na waambie mungu anamrueisha yesu kwa mara ya pili Ile awanyooshe vizuri
@newgarden80367 ай бұрын
Shekh nikusaidie. Waliotumwa kupeleleza nchi ni 12 siyo 24
@MaryWuantet7 ай бұрын
Thank you for the point of correction
@NgengeMkeni-uo5hq7 ай бұрын
Tatizo anatumia Biblia asiyo hata ijua😂.. yaani ukweli ni kwamba Uislamu bila Biblia na Hadith za mtume za kutungwa hautoboiii
@singanoatanasi19947 ай бұрын
hajiri hakua wa agano shehe alie wa agano ni sarai shehe utaratibu unaokwenda nao sio sahihi shehe . nasikitika sana mkiwa mmefungwa ufahamu aise una tetea dini kwa namna unayoijua shehe
@nehemiaayo95277 ай бұрын
Nashagaa iyo anayo yasema akuna katika icho kitabu chawo uyu kasoma Bible tu
@stevensosipita7 ай бұрын
Uko sahihi muda umekaribia waendelee kumponda yesu KRISTO
@NgengeMkeni-uo5hq7 ай бұрын
Hawa ni wapotoshaji ndugu. Ndio wapinga Kristo waliotabiriwa hata kwenye Biblia. Yaani wanapindisha mpango wa Mungu tokea kwenye chimbuko la imani (Abrahamu) mpaka kwa Yesu mwenyewe. Ndio maana wanapinga hata kufa na kufufuka kwa Yesu.
@hassanisaidi54227 ай бұрын
Ahadi alipewa Ibrahim siyo Sara Wala hajiri, Ibrahim aliambiwa kizazi chake,Sasa ISMAIL ni kizazi Cha nani..
@NgengeMkeni-uo5hq7 ай бұрын
@@hassanisaidi5422 Umeelezea kwa mtazamo wa imani yako. Imani yetu sisi Wakristo inatueleza Agano la Mungu kwa Ibrahimu lilipitia kwa uzao wa Isaka na sio Ishmaeli. Hii imeelezwa vizuri katika kitabu cha Mwanzo 25:19-34 ambapo tunaona uzao wa Ufalme wa Daudi ukipitia kwa Isaka.
@festinamwakipale39197 ай бұрын
Yaan mnaandika yesu ni.mtoto wa zinaa kizazi cha nyoka Wana wa manyoka hata angekuja leo akaanza Moja kukataa dhambi mtaungana mumuuwe tena mmetia.aibu na mwandishi.wako mm kama mwandishi siwezi kubali kuandika daa.dunia imelaaniwa
@stevensosipita7 ай бұрын
Hakika
@edwardouma16302 ай бұрын
Amen ubarikiwe shehe
@emilemukolo7 ай бұрын
Kweri itadjulikana kwa wote n'a Jérusalem ni ya wana wa yakub kwa mujibu wa cheikh
@NgengeMkeni-uo5hq7 ай бұрын
Wnalielewa hilo sana tu. Jerusalem ni ya Bani Israel hata Quran yao inasema
@user-um7wk5fp9q7 ай бұрын
Wenye imani za chuki nyinyi someni biblia na mutafahamu neno la kweli la mwenyezi Mungu Israel litabaki daima kuwa taifa la mwenyezi Mungu
@BeatriceBahati-op6gl7 ай бұрын
Muche mungu mwenyewe atapeganiya taifalake yéyé anilijuwa hakuna wakati yakujeteteya
@user-rl1vr1fd1r2 ай бұрын
Kwendraaaaa Yesu ni myahudi na hao ni ndugu zake full stop
@pastorjully36577 ай бұрын
Tatizo ni kuwa Mungu aliwaambia waisrael waangamize wote wasibakize hata mmoja.na kama watabakiza basi watakuwa miiba kwao nayo hiyo miba itawachoma.
@MohamedAhmada-ie7ke7 ай бұрын
Dah ndio kitabu icho kina amrisha kuuliwa watu wasio na hatia eety wauliwe wte, sjawah kuona watu wajinga kwma nyie dah
@frankdanford82457 ай бұрын
@@MohamedAhmada-ie7keukisema hivyo je historia ya lusifa kwenye Quran inasemaje? Jibrii si alimuonea huruma lusifa akamchukua na kumpeleka mbinguni akiwa mdogo Mbona amekuwa ni mwiba wa ulimwengu huu? Au Quran haisemi hivyo???
@ramsodjsautiasili78227 ай бұрын
Mungu hajaagiza jambo kama hilo ila hayo ni maneno ya mtu aliyeamua kuandika katika biblia kwa manufaa yao binafsi
@ramsodjsautiasili78227 ай бұрын
NAKUPA FAIDA YA BURE KAMA KWELI UNATAKA KUELIMIKA GOOGLE VIONGOZI WOTE WA ISRAEL ALAFU ANGALIA KAMA KUNA KIONGOZI WAKISERIKALI AMBAE NIMUISRAEL NIKO HAPA NAKUSUBIR ALAFU UJE NA MAJIBU KWANII IPO HIVYO NAJE KWANN TAIFA LA ISRAEL LIMEPIGA MARUFUKU RAIA YEYOTE WA ISRAEL KUPIMA DNA WANAOGOPA NINI
@benjaminmunyao43016 ай бұрын
@@MohamedAhmada-ie7kewe do mjinga zaidi
@eppiemodest7 ай бұрын
Shekh Sule napenda mafundisho yake. Ni sawa na ya Bibilia.
@bibisalim86667 ай бұрын
Shukrani shehe uko sawa
@benjaminlijongwa3715Ай бұрын
USITUDANGANYEEE WAYAHUDI WAPO WKRISTO PALE JERUSALEMU MAREKANI ULAYA YOTE NA DUNIANI. NA WAUMINI WAKWANZA WA UKRISTO NI WAYAHUDI WAARABU WAAJEMI WAZUNGU NA KISHA SISI WEUSI. SASA HAKUNA MKRISTO ANAEAMINI HUO UJINGA
@Aishamrembo-pk7tl7 ай бұрын
Allahu Akbar
@NgengeMkeni-uo5hq7 ай бұрын
Yaani ukiziainisha sifa za Mudi na Yesu Kristo wallah ni wazi kuwa Yesu ni Bwana. Mfano mdogo tu; > Mudi alioa mtoto wa miaka 6 (Bi. Aisha) na alijamiiana nae akiwa na miaka 9. > Mudi aliuwa watu zaidi ya 3,000 katika vita zake za Jihad. > Mudi alielekezwa Waislamu waoe wake wanne (4) ila yeye alikuwa na wake zaidi ya kumi na tatu (13). > Mudi alikuwa anamiliki watumwa na alikuwa akifanya nao ngono kila anapojisikia. > Mudi aliruhusu waislamu kutumia uongo (taqiyya) pasipo kujali kuwa ni dhambi. > Mudi aliruhusu maswahaba wake kuwabaka na kuwachukuwa utumwa wanawake waliowapata mara baada ya kupiga vita za Jihad. KWA HAYA MACHACHE TU WAWEZA KUONA MUDI ALIKUWA NI MTU WA AINA GANI😂
@emmanuelben33746 ай бұрын
Acha kulalama piga kazi mungu anabariki. Wivu husuda hazisaidii.
@LastdayJesu41537 ай бұрын
❤❤❤ safi sana shekh
@ahmedykatimba7685 ай бұрын
Siku zote mjinga huwa anatuka na kupinga hata kama anajua ukweli shehe uko sawa huwezi ongea haya kwa uwongo allah akujalie kwa elimu uliyonato
@AnnastaziaJeremiah-ch3vx7 ай бұрын
Tena Yesu anawapenda wayahudi sana
@mwaisamwaisa76197 ай бұрын
Huyu nae muongomuongo sana
@shabbymakapane7 ай бұрын
Lakini MAYAHUDI Hawajawahi KumpendacYESU ,😁😁😁 ndio Maana Mnaamini WALIMUUA ,
@NgengeMkeni-uo5hq7 ай бұрын
@@shabbymakapaneYesu alituelekeza tuwapende mpaka maadui zetu❤.. nenda kasome Injil tena utaelewa dogo Shabani madobe😂
@shabbymakapane7 ай бұрын
@@NgengeMkeni-uo5hq Alikuelekeza Weqe Au Aliwaeleza WAYAHUDI ???😜😜😜 Kwanza WAKRISTO MUELEWE KITU KIMOJA , YESU Hawajueni Nyinyi Wala UKRISTO Haujui ,😀😀😀 Yesu Anasema SIKUTUMWA ILA KWA KONDOO WALIOPOTEA WA NYUMBA YAAA ISRAELI 😅😅😅 Bisha Nikupe Andiko , 😬😬😬😜😜😜 Nyie UKRISTO Mmeletewa Na PAULO Mzungu Kutoka ITALY 😁😁😁 Soma hiyo MATENDO YA MITUME 11:25-26 😀😀😀 Halafu 1 WAKORINTHO 4:14-17 😅😅😅😜😜😜 Haleluya 👏👏👏 .
@fredrickjohnson26927 ай бұрын
Hayo unayo ongea , ni sawa na kusimulia habari au historia za wavamizi. Kanaani aikuhusiana na historia za kuchonga, historia ya kanaani ni ahadi ya mungu kwa wana israel tangu nyakati za Musa. Leo hii watu wanakaa kutoa hadithi za uongo wanasahau kuwa , Mungu ni mkuu kuliko maagano ya kibinaadamu. Kufulu kubwa ni akili ya mwanadamu kutaka kuwa juu ya ukuu wa mungu, kutaka kupindua Maagano ya mungu wa kweli na kufuata technologia ya Ulimwengu. Wansdamu tumepewa utashi, ambao haupo mbali naapenzi ya Mungu, ila kwasababu ya dhambi watu hutawanya uhakika wa Mungu
@wanguwangu347 ай бұрын
Huyo mtu kalewa maharage na hajui hata ahadi za Mungu, vyovyote vile hata wafanyeje hawawezi kubadili alichosema Mungu, bora mnyamaze kumjibu mtu asiyejua kitu.
@user-lr4pj1hr8h7 ай бұрын
Hiyo historia unaijua wewe Tu? Acha ujinga
@sportsreviews95526 ай бұрын
Umeongea Kwa hekima na busara.
@joharifarahani27396 ай бұрын
Mungu yupi alietoa ahadi maana nyie mnamiungu mitatu..mungu baba mungu mwana na mungu roho mungu yupi huyo ndugu...
@fredrickjohnson26926 ай бұрын
@@joharifarahani2739 sawa, huyo allah wenu kipofu anawasaidia nini? Tunajua allah ni neno la kiarabu maana yake mungu, lakini , mtume wenu aliwalisha mkenge. Sioni faida hata moja ktk wislamu , labda , kwa wale wanao penda ushirikina, au ngono zembe basi wataingia huko
@user-gi3io1ew8e7 ай бұрын
Wa Amina pst that is true of God 🙏 and Haven hallelujah 🙏 mwokozi wetu yesu Amina na mutume wetu Muhammad Amina kabisa true true
@simonjoshua12337 ай бұрын
Uchochezi kwenye dini sio nzuri uzuri wakristo ni wapole hawana uchochezi
@user-oh6pc7zd4s2 ай бұрын
Ni kweli wskristo no wastaarabu na watu wa amani kwa kule kumuua Sadam Hussein kwa k7mshingizia uongo na mwisho wa siku ikajulikana kuwa ni uongo. Kuwa hakuwa na silaha za maangamizi.Jee kule kumuua Gadaffi jee?Jee Wakristo wamarekani kuunda na kudhamini makundi ya kigaidi na kuwasingizia waislamu hiyo ni amani na ustaarabu.Hakika katika watu washenzi na wahuni ni nyinyi wakristo wauwaji wakubwa muliwauwa wajapani kule mamilioni ya watu,wafilipino,waajentina,na wengi wengi sana.
@mfukunyuzi83357 ай бұрын
Siku si nyingi YESU ANARUDI,mtakuja kumuelewa tu
@singanoatanasi19947 ай бұрын
kweli watamuelewa ndugu maana ufahamu wao mdogo kihistoria mpaka kidini na kiroho
@JeanMuzaliwa-bs6qh7 ай бұрын
barikiwa sana mpendwa umenena vyema!
@swafiirbulbul8197 ай бұрын
Sote tunaamini kuwa Yesu anarudi.. WAISLAMU na WAKRISTO. Tumsubiri arudi 😂😂 .. Aje atueleweshe YEYE ni Mungu, Mwana au Nabii ... 🖊 ... Atueleweshe pia, Je alikufa na kukufuka .. (Nani alimuuwa na kumfufua) ... 🎉 Bila Shaka majibu atakuwa nayo..
@SelestinaHamisi-ju8rx7 ай бұрын
Waache kudadeki iyo siku naitamani wamezidi kumsimaga YESU
@swafiirbulbul8197 ай бұрын
@@SelestinaHamisi-ju8rx Siku unayoitamani, ni hiyo Siku ambayo Yesu atakukana kwa nguvu zote kuwa hajui utokako.. Msitie aibu vijana Born again Christians, Waislamu wanataka kujibiwa hoja zao zenye mashiko.. Huwez kusema: "Ngoja tu, Yesu anarudi, ngoja tu" Hii ni kuonyesha udhaifu wa hoja, ufahamu na Maarifa.. KAENI MSOME, MUMJUE MNAEMUABUDU.. (Yesu au Baba yake ..??!!) Au wote wawili or 2 in 1..🖊
@festinamwakipale39197 ай бұрын
Sioni wanadamu mnachojivunia mm sion kinachowapelekea kuandika yesu ni mtoto wa zinaa what?
@hilfigermnungu16896 ай бұрын
Swadakta 😊 Baarakallahu fiika 🤲
@HamazaMataar-kr7iv7 ай бұрын
Allahu Akbar ya Allah waidie wafalstin from barawa sml
@NgengeMkeni-uo5hq7 ай бұрын
Yaani ukiziainisha sifa za Mudi na Yesu Kristo wallah ni wazi kuwa Yesu ni Bwana. Mfano mdogo tu; > Mudi alioa mtoto wa miaka 6 (Bi. Aisha) na alijamiiana nae akiwa na miaka 9. > Mudi aliuwa watu zaidi ya 3,000 katika vita zake za Jihad. > Mudi alielekezwa Waislamu waoe wake wanne (4) ila yeye alikuwa na wake zaidi ya kumi na tatu (13). > Mudi alikuwa anamiliki watumwa na alikuwa akifanya nao ngono kila anapojisikia. > Mudi aliruhusu waislamu kutumia uongo (taqiyya) pasipo kujali kuwa ni dhambi. > Mudi aliruhusu maswahaba wake kuwabaka na kuwachukuwa utumwa wanawake waliowapata mara baada ya kupiga vita za Jihad. KWA HAYA MACHACHE TU WAWEZA KUONA MUDI ALIKUWA NI MTU WA AINA GANI😂
@AnnCelina-fl5lh7 ай бұрын
Ukweli uriopo,ata mtu akubali ama asikubali ,yesu ni mwana wa mungu,na irikua mpango wa mungu kumleta duniani, vita vya jana,na Israel, aviwezi,zuia ufaurume wa yesu,huederee bele.
@mohammedimshihiri44357 ай бұрын
Wewe upeo wako ni mdogo sana ndio mana wale mapastor ni rahisi kuwapotosha kila siku hata maswali hamjawahi kuuliza huko makanisani ili muujue ukweli .
@gatekanene57537 ай бұрын
@@mohammedimshihiri4435 kwaiyo nyinyi wa fuasi wa marehemu mudi ndo munazo akili?? Kwa akili gani izo za kumuombeya rehema kila swala kwa mtu ambaye tayari kashakuf mwiaka mingi?? Na kwa nini mumuombeye rehema ilihali ni ninabii wa allah wenu kama munavyo dai kama munazo akili ao munapewa ruksa ya kuuliza swali kwa nini musiulize kuhusu hilo kwa nini aombewe rehema kwa allah na ni nabii munae mu kubali?? Ulizeni alitenda zambi gani zilizo mufanya aombewe rehema kila swala??kujiona wakamilifu na kujiona kama MUNGU ni mjomba wenu .
@user-yv7ij4zh4k7 ай бұрын
@@mohammedimshihiri4435 ukweli upi unaozungumza? Muhammad Mkureish alikuja miaka 600 baada ya Kristo tena akiwaambia mkiwa na shaka na utume wake waulizeni watu wa vitabu ambao ni Wakristo na Wayahudi. Sasa ukweli unaouzungumzia ni upi? Muhammad mzinzi na mwenye tamaa ya wanawake kamwe hawezi kuwa mkweli.
@listonjiwe34677 ай бұрын
Waislam wanapotoshana sana mpaka wanawachanganya waimini wao kila shehe anakuja na uongo wake na hadidhi zake tatizo si kwamba hawajui ukweli bali hawautaki kwa sababu ya imani yao israel itasimama kama taifa milele
@hajiameir86887 ай бұрын
Shekhe Kwa taarifa yako hakitasimama kama mpaka mpigane na mayahudi na mtawashinda kwahivyo ndugu taifa la izraeli litaangamia tu
@NgengeMkeni-uo5hq7 ай бұрын
@@hajiameir8688Mmerithi chuki toka kwa Hagar (kijakazi wa Sarah) mpaka leo mnapambana kuangamiza kizazi cha mteule wa Mungu Isaka. Sasa kwa taarifa yenu, mtapambana sana ila hawatashinda. Walishindwa tawala za Babylon, Persia, Pharao na kina Hitler sembuse nyie😂
@AnnaSanga-bs7pl7 ай бұрын
Mbona hamfundishi kutengeneza majii makata na jini maimuna
hebu waelezee vizuri wenzako hao waebusi wahiti na wakanaani kiundani zaidi shehe usijione unajua sana unafahamu hao waliondolewa kwanini? mara nyingi una wadanganya waislamu wenzio shehe
@MichaelKweka-eh6gw7 ай бұрын
Kenge weye
@singanoatanasi19947 ай бұрын
@@MichaelKweka-eh6gw sawa hata ivo ukisema ivo kwani kweli
@neemamajana30787 ай бұрын
Huo ndio ukweli kabisa
@paschalkija-gg6lr5 ай бұрын
kunavitu mwislm anajion sana lla pow
@paschalkija-gg6lr5 ай бұрын
Mazinge naye amesha batizwaaa sasaaaaaa
@jrgongo63487 ай бұрын
Acheni Mambo ya kizushi hapa, mnapotosha watu live, wakristo simameni imara ! Hizi ni nyakati za Hatari mno, Udini unaleta Vita ya kiroho
@salumsodangu13727 ай бұрын
Acha uvivuu soma inaoneka we bado huna elimu ya din vilivyo
@user-wq6fy2lo6t7 ай бұрын
Israel kweli imefanya jambo.Leo wameamua kuhubiri kwa kiswahili,si Alah Wakubar. Bwana Yesu asifiwe sana.
@pilotclassic44687 ай бұрын
Wewe una chuki ya kidini. Waisraeli unaowapenda wewe wengi ni wayahudi hawamuamini hata huyo Yesu, hawamtambui kama ni mtu wa imani wanachoamini wao alikuwa jambazi tu mpotoshaji, ufunguke uone japo kidogo usiwe na chuki ya kidini, uislam unamkubali kristo kama masihi wa Mungu na mkombozi halali wa wana wa Israeli katika nyakati za utawala wa warumi Yerusalemu ukombozi wa kifikra na kiimani kupitia injili, ila wewe unajifanya unawajua saana waisraeli
@user-xd7uj8sz5w7 ай бұрын
Why is that our brothers Muslims keep on telling us about our Saviour ?? Let them keep on believing their prophet
@agneslozi8677 ай бұрын
😂😂😂ndio wanapenda kubishana na cc na cc tumetulia tuli
@NgengeMkeni-uo5hq7 ай бұрын
Yaani ukiziainisha tu sifa za Mudi na Yesu Kristo wallah ni wazi kuwa Yesu ni Bwana. Mfano mdogo tu; > Mudi alioa mtoto wa miaka 6 (Bi. Aisha) na alijamiiana nae akiwa na miaka 9. > Mudi aliuwa watu zaidi ya 3,000 katika vita zake za Jihad. > Mudi alielekezwa Waislamu waoe wake wanne (4) ila yeye alikuwa na wake zaidi ya kumi na tatu (13). > Mudi alikuwa anamiliki watumwa na alikuwa akifanya nao ngono kila anapojisikia. > Mudi aliruhusu waislamu kutumia uongo (taqiyya) pasipo kujali kuwa ni dhambi. > Mudi aliruhusu maswahaba wake kuwabaka na kuwachukuwa utumwa wanawake waliowapata mara baada ya kupiga vita za Jihad. KWA HAYA MACHACHE TU WAWEZA KUONA MUDI ALIKUWA NI MTU WA AINA GANI.
@fayverenah7 ай бұрын
Jamani why are muslims concerned about our faith🙄mbona kila mtu akae kwa lane yake na aamini tu katika imani take tuache kuchambana and yet nobody knows the truth hata huyu anayeongea hamna anachokijua yeye pia
@NgengeMkeni-uo5hq7 ай бұрын
@@fayverenah Shida ni moja, Waislamu walio wengi wanalazimisha kila mtu pasipo kujali imani yake kuamini kuwa Uislamu ndio Dini sahihi. Tofauti na Ukristo kwa mfano ambao unatambua utofauti baina ya imani za watu na kujikita zaidi kwenye kuhimiza *UPENDO* over everything.. regardless of our differences Inshort Wakristo hawana time na Uislamu ila Waislamu wako busy kukosoa Ukristo wakiamini ni jukumu lao la msingi kuhakikisha wanawabadili wengi kufuata Uislamu.
@sikujuachonya7 ай бұрын
@@agneslozi867❤
@user-ec8rf2bp3b7 ай бұрын
Hujamuelewa ww sikiliza Kwa making,hajasema wakristo amesema mayahudi!!!
@NgengeMkeni-uo5hq7 ай бұрын
Chuki zenu dhidi ya Wayahudi kamwe haiwezi kushinda upendo wa Mungu. Mtapambana sana ila hamtashinda
@moshe6697 ай бұрын
Hao maaarabu mnaodhani ni ndugu zenu "waisramu " mtajua hamjuii ni mabwana zenu ninyi weusi wa afrika yaaani ninyi watumwaaaa waooooo! Hamna undugu hapo!
@mkude5 ай бұрын
Na hao wazungu mnaowafuata na kuwapenda sasa hivi wanawafundisha ushoga na usagaji wanawaaribu nyinyi,wanataka kuja kuwaoa nyinyi wanaume
@saidumuru52326 ай бұрын
Mungu ni mukumbwa
@ismailjuma36927 ай бұрын
Laa ilaha illa llah
@amidoissa40497 ай бұрын
Muhammad rasulu llah
@NgengeMkeni-uo5hq7 ай бұрын
Yaani ukiziainisha sifa za Mudi na Yesu Kristo wallah ni wazi kuwa Yesu ni Bwana. Mfano mdogo tu; > Mudi alioa mtoto wa miaka 6 (Bi. Aisha) na alijamiiana nae akiwa na miaka 9. > Mudi aliuwa watu zaidi ya 3,000 katika vita zake za Jihad. > Mudi alielekezwa Waislamu waoe wake wanne (4) ila yeye alikuwa na wake zaidi ya kumi na tatu (13). > Mudi alikuwa anamiliki watumwa na alikuwa akifanya nao ngono kila anapojisikia. > Mudi aliruhusu waislamu kutumia uongo (taqiyya) pasipo kujali kuwa ni dhambi. > Mudi aliruhusu maswahaba wake kuwabaka na kuwachukuwa utumwa wanawake waliowapata mara baada ya kupiga vita za Jihad. KWA HAYA MACHACHE TU WAWEZA KUONA MUDI ALIKUWA NI MTU WA AINA GANI😂
@gatekanene57537 ай бұрын
@@NgengeMkeni-uo5hq ndomana hata mimi uwa simukubali uyu marehemu mudi hata robo kwa sababu ya vituko zake ndomana hata wanamuswaliya kila swala eti wanamuombeya rehema ilihali ni marehemu izo rehema alishindwa kujitafutiy akiwa hai anafanya maovu mengi yakiwemo nahayo uliyo andika hapo alafu anawaaciya kazi ya kumuombeya rehema kwa allah wao 😂😂😂😂😂😂 iyo ni akili ao matope daah ama kweli. Ila sisi wafuasi wa KRISTO tunaombewa kila siku ili tupate uzima wa milele.
@rizikiMfano-xn5my7 ай бұрын
na nyinyi yesu hakuna vipi mbona na nyinyi Muna mabibi zenu kisha na mipango ya kando mbona musikae kama yesu yesu hakuwafundisha kuona na kuzaa sasa nyinyi munamuiga nani hii kuoa na kuzaa kama huelewi dini nyamaza ama soma vizuri dini uielewe ndo uongee porojo tena ukome kumsingizia mtume wetu Muhammad maneno ya urongo
@NgengeMkeni-uo5hq7 ай бұрын
@@rizikiMfano-xn5my Kwahiyo wanaochepuka ni Wakristo tu?😆.. Nyie mko na wake wanne na bado mnachepuka, yaani hiyo ni tamaa iliyopitiliza Mudi mwenyewe aliyeshushiwa hizo sheria ndio akawa wa kwanza kuzivunja.. wake zaidi wa 13 si mchezo. Na uone alivyolaaniwa sasa, katika wote hao *hakupata mrithi wa kiume hata mmoja* Wote walifariki wakiwa vichanga astaghfirullah😬
@mariamrajabu74587 ай бұрын
We Salma mwang umesikia wakristo au wayahud usikilize vizur
@Moon-1467 ай бұрын
Pole kweli hatuko sawa
@MuhamediWaziri7 ай бұрын
Ww kama huamini usitukane nakushauri usome ujuwe sahihi ninaimani ukisoma naukafahamu utatamka Laila ha illallah
@user-gb1ey7cs4k7 ай бұрын
Alhamndulilah
@NgengeMkeni-uo5hq7 ай бұрын
Halohaloo chuki yenu haiwezi kushinda upendo wa Mungu😂😂
@NgengeMkeni-uo5hq7 ай бұрын
Hamuwezi kutupandikizia chuki kama mlizo nazo nyie dhidi ya Waisraeli. Sisi tunaongozwa kwa upendo❤ wa Yesu Kristo🙏🏿. Mtapambana sana lakini hamtashinda
@Erik-kj5no7 ай бұрын
Wewe funguka tumedanganywa sana kama kweli Israel ni taifa la mungu lile la makabila 12 kwa Nini wanaushirika na marekani wakati marekani inasapoti ushoga pia Israel Kuna kitu kinaitwa guy palled Yani sherehe za mashoga
@RamadhaniMtoro-jb5kb7 ай бұрын
Waisrael wenyewe wameshalaaniwa
@NgengeMkeni-uo5hq7 ай бұрын
@@RamadhaniMtoro-jb5kb Mmelaaniwa Watanzania kwa *UJINGA*, *UMASKINI* na *MARADHI*
@yahayaannu36636 ай бұрын
Toka gizani huko ulikojifungia 😅
@NgengeMkeni-uo5hq6 ай бұрын
@@yahayaannu3663 Gizani yupo Mtume wenu Mudi ndio maana akawaachia msala wa kumuombea mara tano kwa siku😂... madhambi aliyotenda mpaka anaogopa mwisho wake mwenyewe Shaytan mkubwa yule
@user-jx5nu6mt6s5 ай бұрын
Mtumishi mzuri wa mungu atawafundisha watu kutubu na kuacha dhambi na dini ya kweli niya moyo wa huruma na kupendana acheni kutafuta kiki Bora mwimbe nyimbo mtoke kimuzik ya mungu amuyajui
@user-po8hz7xw9j5 ай бұрын
Kasome dini hpo anaongea historia yakale
@VailethBugali-sr8gx7 ай бұрын
Pole sanaa
@NgengeMkeni-uo5hq7 ай бұрын
Wamerithi chuki toka kwa Hagar (kijakazi wa Sarah) mpaka leo wanapambana kuangamiza kizazi cha mteule wa Mungu Isaka. Watapambana sana ila hawatashinda.
@IbrahimGwaya7 ай бұрын
Acheni upuuz na hisia za upotovu somen,mjue ukweli wamambo,she yupo sahih
@user-yv7ij4zh4k7 ай бұрын
Usahihi wake ni upi kwanza kila kitu anachukua kwenye Biblia maana habari hizo Koran haina. Anajaribu kuchanganya Story kijanja kijanja hana jipya.
@user-xd7uj8sz5w7 ай бұрын
Kizuri chajiuza kimbaya chajitembeza
@azamsp0rtshd2kiangi37 ай бұрын
Sijakuelewa umesema mungu aliwauwa wale waongo 22 walioleta tarifa ya uongo walio tumwa kuwapeleleza wafilisti wameamkalini Tena wakawa majasusi halo tu sijakuelewa mwalimu.
@zahraalbaloochi28416 ай бұрын
Allah atuhifadhi waisilamu
@peterrevocatus1997 ай бұрын
Yesu christu mwana wa mungu wa kweli akubariki uendelee kutafuta uchochezi wa kidini wewe vita inakuhusu
@swafiirbulbul8197 ай бұрын
Mbona hamueleweki.. Yesu ni Mwana au Mungu ..!??
@neemamajana30787 ай бұрын
Haya maislamu muda wote yanawaza vita, sasa huyu Sure sijui anapigana na nini? Walimtukana Yesu akina na ni na Imeandikwa wapi?
@swafiirbulbul8197 ай бұрын
@@neemamajana3078 Hueleweki ulichokiandika ..
@agneslozi8677 ай бұрын
@@swafiirbulbul819yesu mwana wa mungu sio mungu nani alikwambia ni mungu Jamani
@agneslozi8677 ай бұрын
@@neemamajana3078yani hawa wangekua mungu cjui watu wangekua vipi yani wanajitia kujua dini sanaa
@bellimarwa54547 ай бұрын
Mungu mwenyewe ndiye aliyewatambulisha kwamba ni taifa teule la Mungu
@SELEMANISHAIBU-eq8vf7 ай бұрын
Mungu yupi au yule yesu wa wakristu wanadai kuwa aliuliwa na wayahudi
@sammarley14137 ай бұрын
Tanzania ni taifa la Nani?
@whymendieearly2 ай бұрын
Israel nitaifa la MUNGU ukipigana nalo unapigana na MUNGU kama utak kajaribu kama hamasi walivyo jaribu
@KelvinKarisa-ov4xl7 ай бұрын
Mungu anatambua ndoa ya kwanza ukiongeza bibi mungu haijui kwa hivyo watoto wa bibi wa pili wamelaniwa
@LastdayJesu41536 ай бұрын
😅😅😅😅
@SidiCharo6 ай бұрын
Ma Sha Allah
@lucksonsikaona5057 ай бұрын
Wayahudi tunao wasoms kwenye bibilia ndio hao hata mungu ukifanya zambi anakuazibu ndio maana mungu amewaazibu waparestina Kwa kutenda zambi ya kuivamia Israeli hapo waislamu munapigana na mungu wa Israeli aliye hai na mutahangaika sana na jibu hamutapata ila mutaishia kuchapwa na wayahudi taifa teule la mungu
@ndekemwaifyusi84997 ай бұрын
Unaongea kama upo usingizini Israel bila Wazungu hawana kitu. Wapalestina hawana silaha. Itokee waruhusiwe kuwa na silaha sawa. Hawezi Mziki wa Wapalestina. Na unaposema Wayahudi ni Taifa teule vipi Hitler aliweza kuwateketelza zaidi ya Milioni 7.
@ahmedhamis7 ай бұрын
Israel hii si taifa la mungu.maana haimuamini mungu
@keardadam81267 ай бұрын
Hakuna hiyo hata wayahudi wenyewe wanasema yesu ni mwana wa mungu
@ShafiunaWaziri-vz7bi7 ай бұрын
Mungu ana mtoto mungu anaumba watoto sisi binadam ndio tunatumia jina la mwanangu Ila mungu anaumba wote tumeumbwa na mungu
@tonyjames66587 ай бұрын
Kaka inaonekana mwisho wako wa kufatilia mambo ni kwenye biblia tu .....uko Islael wayahudi wakijua ww ni Mkristo wanakutemea mate chini
@yahayaannu36636 ай бұрын
Wayahudi wanamtambua Yesu km mtoto wa zinaa km hujui hilo 😊😊😊 tatizo hata hyi Bible yenu huisomi yote mnaifunua vipengele pengele
@keardadam81266 ай бұрын
Na wewe nenda kafunue vipengele vya Quran, huwezi kunibadilisha msimamo wangu,
@rasakakaombwe2 ай бұрын
Kweli histolia yamana mungu akuongezee
@WiliamMasalu-gs2ov7 ай бұрын
Asante sheikh ubwabwa tumekusikia, lakini ukweli utabaki palepale tu, Ishimael ni mtoto wa kijakazi. Mmelikoroga huko Israel na mlinywe tu.
@Muhammad1Suleiman2 ай бұрын
William
@JoshuaJ-hk4cg7 ай бұрын
Maneno mengi ni ya ukweli machache ni ya uongo
@daudinyello40337 ай бұрын
MENGI UNAYOJUA NDIO YA UKWELI ILA MACHACHE USIYOJUA NDIO Ya AUONGO....Hahahaa
@NgengeMkeni-uo5hq7 ай бұрын
Naamini huyu sheikh atampokea Yesu kuwa Bwana na mwokozi wa maisha yake siku si nyingi. Kwa maana tayari anatambua ukuu wake sema tu ni roho ya chuki ipo juu yake. Sema itakwenda kushindwa na atakuwa huru🙏🏿😇
@gatekanene57537 ай бұрын
@@NgengeMkeni-uo5hq AMEN kubwa MUNGU akiamuwa hilo ni sekunde sufuri tu na atamutukuza KRISTO duniyani kote subir kivumbi ca mukutano uyo selle alijipiga kifuwa akajicanganya akaomba mujadala na Ndacha so anajuw labda atamushinda Ndacha. Mazinge na kujiweka juu kote kule ametulizwa tulii hasikiki tena sas tunamusubiri uyo selle naye kimukute kitu 😂😂😂😂😂
@neemamajana30787 ай бұрын
Matoto ya kijakazi ndivyo yalivyo, yanajaribu kuitafuta haki kwa nguvu isiyowezekana.
@NgengeMkeni-uo5hq7 ай бұрын
Wamerithi chuki toka kwa Hagar mpaka leo wanapambana kuangamiza kizazi cha mteule wa Mungu Isaka. Watapambana sana ila hawatashinda.
@jumamgwami-px7ls7 ай бұрын
Mkiambiwa ukweli mnasimamia ujinga wenu, yesu angekuwa anathaminiwa na wayahud wangemuua kama mnavyoamini, eleweni kuwa wakristo pale Israel ni asilimia tatu tu.
@frankdanford82457 ай бұрын
@@jumamgwami-px7lskwani tunagombea au wanagombea dini au aridhi wewe uislamu wako mpaka saahizi umekunufaisha nini? Umerithi nini wewe kwenye uislamu mpaka sasa?
@pilotclassic44687 ай бұрын
@neemamajana3078 wewe ni mpotevu wa fikra, unaakili ndogo kama za mabinti wa Lutu.
@pilotclassic44687 ай бұрын
@@frankdanford8245 unaongelea manufaa yapi? Manufaa ya uislam yapo ahera tu wala sio fahari za dunia. Sipo kwaajili ya kubishana ila nataka nikueleweshe zaidi alichomaanisha huyo ndugu hapo juu. Wakristo wengi wanahisi kuwa waisraeli wanaambatana kiimani pamoja na wao kitu ambacho si kweli, wengi wa waisraeli ni wayahudi, imani za wayahudi na wakristo juu ya Yesu ziko mbali saana ila imani ya waislam na wakristo juu ya Yesu zinashabiiana kwa mambo mengi ya msingi. Muislam anaamini kuwa Yesu alikuwa ni masihi mteule wa Mungu na alizaliwa kwa muujiza na mama yake, mwanamke bikira Mariamu. Muislam anaamini kristo alizaliwa kwa muujiza na aliweza kuponya wakoma viwete viziwi na kufufua hata wafu kwa Uweza wa Mwenyezi Mungu. Myahudi aliamini kuwa kristo aliyafanya yote haya kwa msaada wa beelzebuli, hakuwa mtoto wa muujiza isipokuwa zinaa, hakuwa nabii wala mwana wa Mungu isipokuwa jambazi, ndio maana walimshusha thamani walipomthaminisha na baraba (mhalifu). Sasa hii ndio taswira halisi ya hawa waisraeli. Israeli ya leo asilimia chache ni wakristo na waislam. takriban asilimia 73.8 ya wakazi ni Wayahudi, asilimia 18 Waislamu, asilimia 1.9 Wakristo, na asilimia 1.6 druze. Sasa wewe unahisi kuwa waisraeli ni ndugu zako wa Damu unaleta chuki ya kidini mpka unauliza manufaa ya uislam. Manufaa ni matunda ya ahera ya kile ulichokipanda hapa duniani. Kwangu kuwa muislam ni zawadi tosha, sihitaji muujiza kuamini Mungu yupo kwani Qur'an tukufu ni muujiza tosha kwangu.
@user-ig3en2jq5xАй бұрын
Mungu yupo
@FatnaAlly-go7ytАй бұрын
Allah atujaalie kauli thabiti
@JacklineDaudi-tf2du7 ай бұрын
Unaingia alafu unatokaa...ninyi wote mmetokana na mtoto wa nje ya ndoa KWA Ibrahim
@lavieestbelle32637 ай бұрын
Yani kitabu kilicho ingizwa mkono wa mwanadamu lazima kiwe na kasoro tuu... hivi kwaakili yako nabii wa mwenyezi Mungu anaweza kutenda dhambi kubwa kama ya uzinifu???? Acheni kuwachafua manabii huyo ni Ibrahimu sio mwamposa, luka ama zumaridi ikichunguze upya kitabu chako.
@SELEMANISHAIBU-eq8vf7 ай бұрын
Yaani wee unathubutu kusema nabii Ibrahim ni minifu? Subhanallah
@nemeskulaya39627 ай бұрын
@@lavieestbelle3263 hakuna nabii asiyekuwa na dhambi. Suala la kuzini sio ajabu kwa nabii. Yesu mwenyewe walimwita mwema akawajibu hakuna aliyemwema ila Mungu peke yke. Shida yenu manataka kuhalalisha uzinifu wa nabii ili muwe watoto halali wa ndoa, hilo halipo. Subirini Yesu arudi ndo mtajua hamjui!
@zahraalbaloochi28416 ай бұрын
Kwanza kasome jifunze dini yko sio kupayuka ovyo tu
@mussaissa67964 ай бұрын
MWEHU WEWE UNA MAANA IBRAHIM ALIKUWA MALAYA SIO!! HUO UTAKATIFU ANGEUPATAJE KWA KUVUNJA AMRI ZA MUNGU!! WEE UNADHANI MUNGU NI KAMA MJOMBA WAKO TU, KIASI KWAMBA ANAWEZA KUKUACHA UHARIBU MAMBO HALAFU UWE MTAKATIFU!! NDIO MAANA KWA KUCHUKULIA MAMBO KIRAHISI RAHISI TU, UNAZINI, UNAUA, UNAIBA HALAFU UNATEGEMEA JUMAPILI UKAMWAMBIE PADRE AKUFUTIE MIDHAMBI YAKO, NA KUKUTANGAZIA MSAMAHA!! YAANI WEE MZINIFU UKAFUTIWE MAKOSA YAKO NA MZINIFU MWINGINE!! NDIO MAANA DINI YENU NI RAHISI SANA KWA AJILI YA KUCHUKULIA MAMBO KIRAHISI RAHISI TU.
@user-ts2rd8my3y7 ай бұрын
Wayahudi Hawana Din???
@mariammanyama72907 ай бұрын
Swali lako nimelipenda ....anaejua aje ajibu tuelewe
@Harrison-zh9sb7 ай бұрын
@@mariammanyama7290 wayahudi ndio dini Yao Wana wa Israeli yaani Hilo neno uyahudi ndio dini Yao kama vile useme ukristo au uislamu wao wanaita wayahudi au dini yakiyahudi