TOA MAONI YAKO KWA KUTUMA SMS AMA KUPIGA KWA KUTUMIA SIMU NAMBA 0773 95 35 31 AU 0777 94 54 74 AU 0777 37 37 87 FACEBOOK PAGE TIFU TV ZANZIBAR ,TIFU TV KIJAMII ZAID. #Tifutv #zanzibar #kijamiizaidi
Пікірлер: 22
@user-sc4ql5kf9vАй бұрын
Nzuri
@zahiribrahim8319Ай бұрын
Kweli hili baraza la wawakilishi ni sehemu nzuri dunia nzima hakuna kama utafuatilia vizuri kwa makini! 😮 lazima utachanganikiwa tu hahaha 😂 na njaa utatuliaaa ! Na utatafuta bakuli la urojo na juisi ya mua! 🎉 Zanzibar, Tanzania 🇹🇿 ♥️
@abdallaali8173Ай бұрын
Kumbuka tu mheshimiwa kuwa kuna sehemu hawajawahi kuona lami kwny barabara zao kwa muda usiopungua miaka hamsini ikiwemo Msuka na Makangale . Na umeme haujawahi kaa siku tatu bila kukatika mara 10 au zaidi,peleleza utaona.
@nassorseif7907Ай бұрын
Miaka 60 bado inchi inajengwa tu hata mupewe miaka 10000 hamna kitu jazeni matumbo musubiri presha mufe
@lusakaone7782Ай бұрын
pole sana
@alimau7939Ай бұрын
Hayo ni maendeleo au ni huduma za jamii
@RamadhaniMussa-xs5ukАй бұрын
Tupikie nini gesi njaa kali
@BinshakbuHemed-gb2ziАй бұрын
Huyu. Wazir. Au. Wazera. Walewaimbaji
@hafidhhemed1514Ай бұрын
Baraza limekua sehem ya kampeni, jibuni hoja mnazoletewa acheni kupiga kampeni na na kutoka mapovu, Uchawa hautotufikisha mbali
@RamadhaniMussa-xs5ukАй бұрын
Miaka 60 bado barabara tu
@AnnoyedChickens-eg5pbАй бұрын
Jamaa yangu hujatembea nn maendeleo yapi tembea wacha kujificha donge ukija mjini unaona umefika
@attaysaid2224Ай бұрын
Acheni ujinga c nguvu ya mtu Bali ni nguvu ya wananchi
@AliSalim-yu4moАй бұрын
Huyu kweli anatoka Donge!Karne hii unazungumzia maendeleo ya umeme na Maji?😂😂😂
@user-qz2cs5wm5uАй бұрын
Kumbeunajitetea kwakua nimkabiziwa
@saidabdala4980Ай бұрын
Wasenge . Wakumbavu
@AnnoyedChickens-eg5pbАй бұрын
Ww CCM tafuta pombe unywe baba Yako alikuwepo wapi
@lusakaone7782Ай бұрын
Jamaa mbona kipovu kinakutoka, nenda kasikilize bajet ya Singapore hautasikia jina la Rais ww unajipendekeza utaondoka huna msaada wowote ni mzigo tu. Yote unayosema ni huduma muhimu zinatakiwa ziwepo kwa kila eneo.
@AliSalim-yu4moАй бұрын
Al jununu fununu!Kwa Hali hii tutafika kweli?
@AliSalim-yu4moАй бұрын
Hawa Mawaziti wote wa Unguja wakijibu madusli ya Wawakilishi wa Pemba lazima waingize chuki sijuwi kwanini?yasni ni ubaguzi juu ya ubaguzi!wanakwepa hoja na badsla yake wanaleta porojo!
@salimalrumhy7575Ай бұрын
Kila Waziri akisimama na kumtomtaja rais atleast mara 5 kwa hesabu, Basi anaulizwa vp wewe kulikoni😂
@Pemba680Ай бұрын
Mjinga sana uyu jamaa Anavyoongea tu unapata picha safi kbsa kuthibitisha kuwa ni mjinga