Barikiwa sana Mtumishi, nimebarikiwa sana na mafundisho haya Mungu ayape kibali ktk maisha Yangu yaishi ndani Yangu na yazae Matunda Ameen
@PhiloKayombo3 күн бұрын
Nakupata mtumishi wa mungu
@nickomtweve57482 жыл бұрын
Asante mtumishi nimebarikiwa sana namasomo Yako Mungu akutie nguvu uokoe wengi
@NsabiyunvaLouise2 ай бұрын
Naomba kuombewa nimepata ndiyo n'a pita Maji macafu Nani kayamwa
@evalineakinyi75132 жыл бұрын
Naomba number yako mchungaji nina shida
@PhiloKayombo3 күн бұрын
Ameni
@zenaahmad-ki7wuАй бұрын
🎉🎉amin mtumish
@angle3600 Жыл бұрын
Amiin, na ubarikiwe,
@DinnaIsmail6 күн бұрын
Amen
@selinafrank91452 жыл бұрын
Amina
@suzanne9517 Жыл бұрын
Asante sana
@user-ie7uy8rc8o5 ай бұрын
Bwana yesu asifiwe mtumishi wa mungu,mm naitwa julieth,mm nimeota natembea bila viatu kwny maji machafu.
@suzanne9517 Жыл бұрын
Amen amen
@zaridilan4733 Жыл бұрын
Amen nakupata mtumishi wa mungu
@NsabiyunvaLouise2 ай бұрын
Amin
@careenkawiche5587 Жыл бұрын
Ameen
@nancykissiri-yn9hm Жыл бұрын
Aminaa
@lucywambui7725 Жыл бұрын
Amen🙏
@deuswambura5974 Жыл бұрын
Amina mtumishi
@AnneNdabila-uv2qh3 ай бұрын
Bwana yes asifuwe baba! Nimeota nachota maji kwenye kisiman machafu na gari anatembea juu ya maji machafu barbarian na mafuriko mbele ya gar ni meng sijaelewa
@user-xx9wg8el4y9 ай бұрын
Barikiw mtumisho wa MUNGU nimeota upepo unaovuma ukija ukapita karibu yangu nikakaa ndan yake, nikaanza kuita damu ya yesu upepo ukakata, ukaanza kuvuka Moshi, nikaa pemben. Kikatoka kipande cha Moto kikawasha majani yaliyokuwepo
@annastaziabega44747 ай бұрын
Mtumishi wa Mungu , nimeona mafuriko makubwa mnoo yale mafuriko yanakuja n binti mmoj nikapigàkelele kuomba msaada asaidiwe wakatokea wakaka wakajipanga kumuokoa wakamtoa kisha nikashtuk, hii n nn tafadhl
@user-kx2wn9jm3p8 ай бұрын
Amene
@user-jg2dt2cc7c5 ай бұрын
Amin❤🙏🙏🙏
@user-ze4sc1fh6p5 ай бұрын
Shalom shalom baba ❤❤Niko nakuskiliza
@lorenandawa51616 ай бұрын
Nimeota nilikuwa nimesha Chota maji Kwa mitungi miwili weupe,then wakati nataka kupita nikaota mto umekuwa na maji xhafu.kando yake nikaona mzee mmoja amejificga Kwa matawi alikuwa anayachafua.
@alexrwabigene75117 ай бұрын
Amina nakupata
@merinambwambo36962 жыл бұрын
Sikh za nyuma kama wiki hivi, japo sikumbuki vizuri nimeota Niko na MTU mmoja tunatembea kwenye Maji lakini Mimi nikitembea naangukia Yale Maji ambayo ni machafu. Nikiamka nikianza kutembra tu naanguka.
@cynthiakilunda94172 жыл бұрын
Mimi naota tu nikiogelea kwa maji chafu tangu 2018 mpaka leo nimeota sijui hiyo ni nini
@julianasulle178910 ай бұрын
Mtumishi wa mungu me nimeota asubuh ya leo maji machafu yanaingia ndani kwangu yalikuwa mengi kiasi cha kujaa nyumba lakn mtu nisiyemjua akanisaidia kufunga mlango ndo nkazuia lakn yashaingia ndani kiasi
@TatuIdi4 ай бұрын
Uko sehemu gan na maombi unafanyia mtu kwa bei gan
@revpeternjihia3 ай бұрын
Niko Kenya maombi ni Bure.
@ronasapura35176 ай бұрын
Emen Mtumishi wa Mungu
@user-sp8iz3td3h3 ай бұрын
Uko Sawa endelea
@judithfred236610 ай бұрын
amina
@sophias3334 Жыл бұрын
Amen nimekuelewa mutumishi
@patriciafabiani1938 Жыл бұрын
Ubarukiwe mtumishi
@merinambwambo36962 жыл бұрын
Kila Sikh nikilala usiku, pale ndio usingizi unaanza,naota nimepoteza kitu na ninaamka kukitafuta lakini ghafla nashtuka kutoka usingizini lakini naendelea kutafuta lakini pale akili zinarudi naendelea kutafuta kitu ambacho sikioni na sielewi natafuta nini. Hata leo nimeota hivyo mpaka nikatafuta chini ya MTO niliolalia
@maulokasuga213 ай бұрын
Mtumishi mbona huongei
@revpeternjihia3 ай бұрын
Sikuelewi.
@lydiajosephine4149 ай бұрын
Mimi nimeota nilikuwa kwenye basi limeshakaa na basi lilivyokuwa linatembea nikaona mto wa maji machafu kadri basi lilivyokuwa linatembea baadae nikaona mto mzuri wa maji masafi nini maana yake
@addydajaneth7259 Жыл бұрын
Mm nimeota nipo nabatizwa kwenye maji machafu baada yamda naona matope nika toka ila nikiangalia lile tope alini gusu linani kimbia
@kathrennekesasimiyu2594 Жыл бұрын
emen 🙏 🙏 🙏
@aminagau33442 жыл бұрын
Ameeen
@solsimaniakanam7843 Жыл бұрын
Asifiwe yesu mimi nimeota namwanga majimschafu kwa sinki daniyamaji yalemachafu kunatembeza zeituni nikamwanga majizikabaki palehazikupita kwenyetundu lamajimachafu anika amuka
@jenniferchannelmathekachan931 Жыл бұрын
Amen na hio maji chafu ikatoka kwa tap kwanza alafu ikaanza kutoka safi badae?but kwa tap
@PurityPure-cm9re4 ай бұрын
Je ukiota maji chafu yanategezewa njia yapite alaf nkaenda kuvuka huo mtaro ukiota yanapita
@neemamwalende97409 ай бұрын
Amen mtumishi asante
@FaithPeter-ix1jo8 ай бұрын
Pastor nisaidie nimeota nafua na maji yakabadrika yakawa machafu nikasema ngoja nisubiri yawe masafi ndio nimalize kufua nisaidie pastor mana yake
@jm7enterprises76311 ай бұрын
Mimi naitwa julieth. Nimeota mfereji unapitisha maji machafu sana lkn yakabeba ndala yangu.lkn nikaikimbilia ile ndala nikaikota ndani ya yale maji machafu sana.
@marionnthenya6182 Жыл бұрын
Mtumishi naimba unijibu nini maana ya hii ndoto,niliota nimeoga alafu maji niliyotumia kuiga mlevi akatokea huko na kuyachukua na kujimwagilia mwilini wake wote kisha yakatirirka hadi kwa nyumba yangu chini ya kitanda na yaligeuka kuwa machafu sana.
@milkapaulmugila24792 жыл бұрын
Nimekuelewa sana nitakupgia nikueleze Zaid ili unisaidie
@AmosiThomasi-no5sd19 күн бұрын
Nimeota nakunywa maji ndani Kuna wadudu
@revpeternjihia19 күн бұрын
Wadudu wako hai ama wamekufa? Maji ni uhai, ndoto hii ina kuzungumzia kuwa uko na uwezo wa mafanikio maishani,hila angalia sana ushauri unao upata kwa mtu flani, inaweza kuboresha maisha yako ama ika haribu. Pia angalia afya yako sana.
@petronillamwikhu3789 Жыл бұрын
Na ukiota unaongelea ndani ya maji machafu ina maana gani
@stellamwali1848 Жыл бұрын
Nilota na mazi chafu na nikanguka kwamtaro Larkin kuangalia nyuma akuna mtu ama mtoto
@user-ci5tk1kh6h3 ай бұрын
Ukiota unakanyaga maji machafu
@atugonzalugemalila51428 ай бұрын
Nimeota nampa binti yangu maji masafi akaoge lkn anapoyashika tuu yanachafuka na anayamwaga iko na maana gani?
@kathrennekesasimiyu2594 Жыл бұрын
mutumishi mimi niliota nikuwa na chota maji chavu niki mwaka
@dorcasmueni32212 жыл бұрын
Naomba please unijibu hii if possible niliota kwenye ndoto nmeomba mama kikombe ili ninywe maji akanipa but Chajabu maji alikua yanatoka kwa mti sio kwa mto so nkawa nakunywa maji Yale alikua yanatoka kwa mtu bt yalikua sio masafi kabisa na sio machafu hiii inashiria nn pst
@revpeternjihia2 жыл бұрын
@Dorcas mueni mungu akubariki niandikie kwa WhatsApp+254706945821 nitakujibu
@stellamwali1848 Жыл бұрын
Na pia ngombe mingi mushanganyiko na ni zamaziwa
@janemhagama99289 ай бұрын
Derivarance inanihusu
@fridayuda9577 Жыл бұрын
Mimi nimeota ktk Nyumba nimefungua chemba bahati mbaya maji machafu yakawa yanatililika ndani na watu wakiwa wamelala chini, nikawa nahangaika kuziba chemba baada ya hapo maji masafi yakaanza Kutoka kwenye koki nikawa nahangaika namna ya kuisafisha Nyumba