NDOTO NA TAFSIRI ZAKE ~ UKIOTA UNAOGELEA KATIKA BAHARI AU SEHEMU YEYOTE ~ SHEIKH KHAMIS SULEIMAN

  Рет қаралды 14,379

MASJID MTORO ONLINE TV

MASJID MTORO ONLINE TV

Жыл бұрын

Пікірлер: 15
@VickKulekana-si1ib
@VickKulekana-si1ib 10 ай бұрын
Mimi nimeota naogelea lakin sio baharin Yani Bahar kubwa sijui ni wapi pale na maji hayakuwa ni mengi sana
@user-pt4uf3he7d
@user-pt4uf3he7d 7 күн бұрын
Ostzaz mm nililala naota usiku nipo usingizin ila naota Kuna watu wabaya wamekuja ila nawafukuza nikiwa nimelala natukana ama mda mwingine najua noonge kialabu wakat sijasoma
@VickKulekana-si1ib
@VickKulekana-si1ib 10 ай бұрын
Mimi juzi juzi nimeota naogelea
@VickKulekana-si1ib
@VickKulekana-si1ib 10 ай бұрын
Mtihani
@marynamachanja1836
@marynamachanja1836 Жыл бұрын
Sasa mimi nauliza niliota nikiogelea kichali chali lakini kwenye maji machafu inamanisha nini?
@kadeejakadeeja1929
@kadeejakadeeja1929 9 ай бұрын
Mim nimeota niko naogelea baharini bahari imetuliy kish niko na mtoto mgongoni
@UmmyMgawe-pj1zb
@UmmyMgawe-pj1zb Жыл бұрын
Unapoota unaoga baharini kisha unapomaliza kuoga unataka kutoka unakuta wenzio wamekukimbia ila unaogopa kutoka unaona simba wapo pembeni wawili kulia wawili kushoto unabaki ktk maji Mara unaona gari ndogo inakuja unaomba msaada lkn na wao wanaona simba wanakuacha Ina maana gn
@user-pt4uf3he7d
@user-pt4uf3he7d 7 күн бұрын
Pila nililala nikiota nachota maj.ama.navuka mto basi aikai sk tatu msiba unatokea ndugu au mtu wakalubu ama julani.inamaana Gani ostaz
@VickKulekana-si1ib
@VickKulekana-si1ib 10 ай бұрын
Halafu sikuwa peke yangu niliota naogekea nipo na watu
@VickKulekana-si1ib
@VickKulekana-si1ib 10 ай бұрын
Ndio Inatakiwa qfanyiwa duwa shekhe duww kwani unasomaga Bei gani na unapatikana wapi
@user-pt4uf3he7d
@user-pt4uf3he7d 7 күн бұрын
Tatu naota nipo naoga njee nikiwa mwenyewe gafla watu wamejaa najua Sina chakujiifazia mala nastuka
@user-wx6qb3fh3m
@user-wx6qb3fh3m 5 ай бұрын
nimeota naogerea na huo mto ninao oga uko nyumbani kwetu
@user-ck3ii9im7l
@user-ck3ii9im7l 6 ай бұрын
Ukiota upo kwenye maji na unachukua udhu na tena maji yanachumvi maana yake ni nn
@issakhalid8512
@issakhalid8512 Жыл бұрын
Nini tafsiri ya ndoto ukiwa unaota unapanda mlima kabla hujafika kileleni unaporomoka na kudondoka chini .kisha unarejelea tena.?
@nyumbayatibanadua737
@nyumbayatibanadua737 Жыл бұрын
Kupabda mlima kunajulisha kufanikiwa katika maisha yako, lakini inapokuja nukita ya kutofika kileleni na ukaporomoka, hiyo hujulisha kusha mafanikio yako.
Kuota Uko Kwa Matope Ina Manisha Nini?
1:32:56
REV PETER NJIHIA
Рет қаралды 7 М.
Summer shower by Secret Vlog
00:17
Secret Vlog
Рет қаралды 13 МЛН
TAFSIRI ZA NDOTO ZA BAHARINI / Imamu Mponda
4:16
Mponda Media
Рет қаралды 6 М.
Ndoto Ya Ng'ombe, Tafsiri Zake Ni Hizi -  Shekh khamis Suleyman
32:59
MASJID MTORO ONLINE TV
Рет қаралды 129 М.
TAFSILI YA NDOTO YA MTO! Ibn sirin
6:36
NGARIBA ONLINE TV
Рет қаралды 9 М.
KUOTA NDOTO ZA KIFO AU MAITI // MAANA NA TAFSIR ZAKE  // SHEIKH ABUU JADAWI
10:02
Kuota Na Maji Machafu Ina Manisha Nini?
1:56:46
REV PETER NJIHIA
Рет қаралды 10 М.
UKIOTA NDOTO UKAONA ALAMA HIZI | JUA NDOTO HIYO NI YAKWELI | SHEIKH SHARIFF MAJINI
32:41