No video

KUTANA NA KIJANA WA DARASA LA SABA ALIYEUNDA HELIKOPTA

  Рет қаралды 383,627

Mwananchi Digital

Mwananchi Digital

Күн бұрын

Kijana aliyemalizaelimu ya msingi (Darasa la saba) na kushindwa kuendelea na elimu ya sekondari atengeneza ndege Kibiti, Mkoani Pwani.
MCL Digital imefanya mahojiano na kijana huyo baada ya kuiona ndege aliyoiunda kando kando ya barabara ya kuelekea kibiti, Pwani

Пікірлер: 195
@wilma1866
@wilma1866 4 жыл бұрын
I would love to get an update on this guy’s progress. What a BRILLIANT MIND. I’d love to get in touch.
@marconzilankoma7581
@marconzilankoma7581 5 жыл бұрын
Hongera sana kijana Mungu akutangulie sana ufanikiwe zaidi na marengo yako yatimiee 🙏🏾🙏🏾🙏🏾💕😍💕🥰
@LugomboMaKaNTa
@LugomboMaKaNTa 5 жыл бұрын
Vipaji kama hivi vinapatikana katika taifa maskini kifikra. Siasa chafu. Daaah God bless
@afratrad7214
@afratrad7214 5 жыл бұрын
Nimependa uthubutu wa kijana wetu ila kuna kitu watu tunakikosa hasa tunapofikilia kutengeneza ndege. Tunapo ongelea ndege tunaongelea kuweza kucontrol mawimbi pamoja na uzito wa chombo chenyewe kuelea angani yani law of axis. Hizi ndizo principal zinazo govern ndege kuruka. Kutengeneza umbo LA ndege LA nje sio mafanikio kutengeneza ndege, tukiwekeza nguvu kwenye kutengeneza ndege inaho fuata law of axis tutakuwa tumefanikiwa sana.
@msamgunda7684
@msamgunda7684 3 жыл бұрын
Bora kujaribu ukashindwa kuliko kutojaribu kabisa. Mwanzo wake unaelekea kushindwa. Ametumia njia ndefu sana. Akijitahid atafikia lengo lake. Inshaallah.
@richardphilipo312
@richardphilipo312 5 жыл бұрын
Kama Umemuona madenge mtukutu...... gonga like hpo chin
@Moses-Kuria
@Moses-Kuria 4 жыл бұрын
Hapo kweli umenena
@tatoorashedi1787
@tatoorashedi1787 Жыл бұрын
Hongera sana muone waziri Majaliwa ataweza kukupa sapoti
@mimanatamelchior3825
@mimanatamelchior3825 5 жыл бұрын
Mungu azidi kukupa ufahamu tz Sasa inakuja juu yapasa serikali uchukue vijana kama kuwaendeleza sio mpka kitu kitoke Kwa mzungu wtz tunaweza
@neemakilomoni4258
@neemakilomoni4258 5 жыл бұрын
Woooow!! Mtu mwenye kipaji kama hicho ndio wana hitaji msaada sio mnatuletea habari za wasenge tu wapelekeni jela waka wasaidie wafungwa
@bbw95tanzania68
@bbw95tanzania68 5 жыл бұрын
Hatari Sana angekua ulayau bc angepata bonge ya shavu yani wangemwendeleza na sisi tungekua na kiwanda cha kutengeza ndege👏👏👏
@lewandowskinazanzibarze7763
@lewandowskinazanzibarze7763 5 жыл бұрын
kasida
@dn.n4983
@dn.n4983 5 жыл бұрын
Safi sana rais msaidia hivi ndio viwanda vyetu
@saumuhassan6365
@saumuhassan6365 5 жыл бұрын
Mashallah, uyu kijana anakipaji sana.
@olathom7ya756
@olathom7ya756 5 жыл бұрын
kinacho endelea mioyoni mwa watu wengi ni ukimya;tena ukimya wa uzuni.hamu ya kutaka kusikia japo neno moja hamu ya kua nawe japo siku moja;hamu ya kuona japo tabasamu moja na hamu ya uwepo wako japo mara moja;hakika hatuna jibu ni kwanini umeiacha hii dunia mapema hivi,tena kwa wakati ambao wengi hawakujiandaa kukuambia na kukuaga kwa neno kwaheri;lakini taratibu tena kwa hakika tunaanza kukumbuka si habari ya kifo chako tuu;bali pia habari ya maisha uliyoyaishi.Na kizuri zaidi,stori za maisha yako hutupatia kumbukumbu nzuuuri ambazo hakika si rahisi kuzisahau.MZEE MENGI PUMZIKA AMANI.
@user-mr1hk2ed2w
@user-mr1hk2ed2w 2 күн бұрын
Serikali yetu aiangalii vipaji hata sisi tungekuwa mbali kimaendeleo 😢😢
@yohanalaiser2667
@yohanalaiser2667 5 жыл бұрын
Watanzania na waafrika kwa ujumla tusidharau shule. Huyu kijana asomeshwe kwanza ili kipaji chake kizae matunda. Shule kwanza !
@athumanomary1171
@athumanomary1171 5 жыл бұрын
Mwenyez MUNGU amzidishie ubunifu mkubwa zaidi
@alexjeremia7686
@alexjeremia7686 5 жыл бұрын
kaza mwana ipo siku utatusua Mungu sio Asuman
@ramadhaniallysigalatena8124
@ramadhaniallysigalatena8124 5 жыл бұрын
Hawa kwenye vipaji wakusanywe watengewe sehem marum
@sophiamfikwa7340
@sophiamfikwa7340 3 жыл бұрын
Hivi viongozi wa sanaa wako wapiii hawaonii au
@mariamukajiru1898
@mariamukajiru1898 5 жыл бұрын
Huyu kijana serikali ikimsaidia kumsomesha na kumuendeleza kipaji chake kuwa engineer wa Ndege tutakuwa tumepata hazina nzuri kwenye nchi yetu.
@hermankoba4970
@hermankoba4970 5 жыл бұрын
Jmn wenye uwezo ambao mungu kawajalia heb wasaidien ao vjana daaah ninge kuwa na uwezo wa kifedha ningewatafuta watu kama awa
@emanuelchidobi8121
@emanuelchidobi8121 4 жыл бұрын
Kutengeneza ndege sio kazi kazi ni kuiwezesha ipae juu
@tozzaalexandar4905
@tozzaalexandar4905 5 жыл бұрын
Mungu amuongoze kajitahidi sanaa
@wilsonjohn1919
@wilsonjohn1919 5 жыл бұрын
Inchi za wenzetu kipaj kingeendelezwa lakin kwetu tz ni siasa za ovyo mpaka misibani
@kalelehamad6702
@kalelehamad6702 5 жыл бұрын
MTU kam huyu angekuwa ulay angekuwa mtu mmoj mzul
@mikapmwalimu4555
@mikapmwalimu4555 5 жыл бұрын
Safi sana domi piga kaza
@asiahamisi3880
@asiahamisi3880 5 жыл бұрын
Hongera sana mungu atakuinua inshaallah
@hamisjuma543
@hamisjuma543 5 жыл бұрын
not for this country, watakupoteza mda c mrefu
@homemediatanzania
@homemediatanzania 4 жыл бұрын
HAHAHA
@maticsleokas1785
@maticsleokas1785 5 жыл бұрын
imesemwa kuwa ukifanya kitu kwa kutumia kipaji chako utatengeneza pesa nyingi zaidi ya kufanya kile unachosoma
@dalshmak_tv
@dalshmak_tv 2 жыл бұрын
Hongera fahari yet kijana
@hasanially9384
@hasanially9384 2 жыл бұрын
Hongera kijana
@hans_tech0015
@hans_tech0015 3 ай бұрын
Hyo ndege haiwez kupaa
@omaryyusuph7868
@omaryyusuph7868 5 жыл бұрын
Hongera kwa kipaji lakini usijidanganye wala kudanganya wengine kurusha ndege ni sayansi lazima usome ili ufanye kitu cha uhakika coz ni usafiri hatari hauhitaji kubahatisha Unastshili support kwa sababu unapenda na umejaribu
@erickzephania1030
@erickzephania1030 2 жыл бұрын
Serikali inawekeza kwa wasomi, wanaishia kutuibia tu wananchi na kutoka vitambi..! Ebu tubadilike Wa Afrika
@seffsamwel5649
@seffsamwel5649 2 жыл бұрын
Good yummy
@gombatv7046
@gombatv7046 5 жыл бұрын
tangu mmeanza kutengeneza haya mandege mbona hayarukiiiiiii, mimi huku ninalo trekta linavuna karanga lakini halitembei njooni
@rehemasengwira3610
@rehemasengwira3610 4 жыл бұрын
GOMBA TV
@Moses-Kuria
@Moses-Kuria 4 жыл бұрын
Duh hamna kitu hapo
@Alikibainblood1994
@Alikibainblood1994 5 жыл бұрын
msifanye masihara na injini ya ndege jaman huwez tumia vifaa vya pikipiki na magari kuunda ndege na ukategemea iruke
@selestinmussa5202
@selestinmussa5202 5 жыл бұрын
Alikiba in blood anataka injini ya pikipiki yenye plopera tena cckubwa kwa iman yangu inawezekana maana mimi mwenyewe ni mtaaram ya ayo mambo kingine chakuongezea iyo panga ya juu ni nyepesi sana inaweza kichomoka kama ikiwezekan kuruka ivyoo tu
@fidelisludago3372
@fidelisludago3372 5 жыл бұрын
Anaruka kaka itategemeana na mtengenezaji ametengenezaje hapo tu ndio shida, maana wapo wanaofauru kudizin bodi la nje lakini matekeo ya utendaji kazi wake wanakwama.
@MRTECH-er1zo
@MRTECH-er1zo 5 жыл бұрын
uyo dalasa la saba kwel mbaba huyo sema safi 2
@nellywizzy7034
@nellywizzy7034 5 жыл бұрын
Yani kaishia la saba
@salimmoha7962
@salimmoha7962 5 жыл бұрын
Elewa kiswahili sio anasoma darasa la saba ila ameishia darasa LA saba
@kirobotonzuusi3246
@kirobotonzuusi3246 5 жыл бұрын
Atakamatwa na kuswekwa ndani huyo! Sheria zetu nazijua mwenyewe😅😅
@kamiliusalbert9778
@kamiliusalbert9778 5 жыл бұрын
Kiroboto nzuusi hahahaaa
@christinamjema262
@christinamjema262 4 жыл бұрын
Tatizo serikali haiwapi support kuendeleza ubunifu wao
@oprahmpondela2898
@oprahmpondela2898 5 жыл бұрын
safi sana tunakimbilia siasa jamani
@dastunluswaga5182
@dastunluswaga5182 5 жыл бұрын
Huyu mpelekeni hata ufundi body wa ndege tu..pelekeni Jkt
@alvangidion9366
@alvangidion9366 5 жыл бұрын
I like the innovation
@allymkamba1115
@allymkamba1115 5 жыл бұрын
Hiii bungu kibiti iraa safiii Sana kijana
@dicksonulotu9717
@dicksonulotu9717 5 жыл бұрын
Hongera sana kijana,serikali nadhani wamekuona
@janethedward7967
@janethedward7967 5 жыл бұрын
yn uyu angekuwa ulaya daah kwanza angethaminika nakuendelea kupewa kipaumbele ila kwakiwa ni tz bx atapuudhia na kudharaulika na ndomana tz inaweza tokea mtu anakipaji lakini kipaji kikapotea ivi,ivi
@mussaelikana6477
@mussaelikana6477 4 жыл бұрын
daaaah good idea
@ernestsinje9221
@ernestsinje9221 5 жыл бұрын
usijali kaka Bongo wakizinguwa siku hizi maskolaship kibao ulichokifanya tuhapo tosha ila ndo hawachelewi kukubadilisha uraiya
@johngavile5106
@johngavile5106 5 жыл бұрын
Usi cheze na Tz kuna vijana wenye uwezo lakin utawala una pewa madaraka katika inch ya tz una tuzingua vijana na shaur wana siasa .waache sifa za kusifia chama vijana tuna wajibika alafu wazee wa vyama wana tunyonya wana tupa ujira mdogo Sana kwenye ajira zao serikalin ......kila siku ni misifa tu.
@user-de6ys8dj5j
@user-de6ys8dj5j 10 ай бұрын
Tanzania vipaji vingi ila serikali yatu sijuh haion haya yan huwa inatuumiza sana watu kama hawa wanakuja kupotea sababu ya poor management an
@mussakituku4190
@mussakituku4190 5 жыл бұрын
Yaani kuna watu wengine wapo kwa ajili ga kukatisha watu tamaa tu, tubadilike.
@rahmarahmaa4929
@rahmarahmaa4929 4 жыл бұрын
K
@petrombilinyi9063
@petrombilinyi9063 5 жыл бұрын
Hapo tatizo niku zariwa tanzania alafu ukawana kipaji
@erickmwangonda7814
@erickmwangonda7814 5 жыл бұрын
Aswaaaaaaa🙄🙄
@witnesssamuel4907
@witnesssamuel4907 5 жыл бұрын
Kijana yupo vizuri, swala lakuruka ni lingine acheni unafki na wivu bana, mshaanza mambo yenu, nyie hata hiyo mmeiwezaaaa
@mustafakalyan8008
@mustafakalyan8008 5 жыл бұрын
Mwambieni aionyeshe inapaa BP sio alete maneno anatamaa sana huyu
@mangulymanguly139
@mangulymanguly139 4 жыл бұрын
Watu kama awa walikua wapangiwe fungu lao kwa aji ya maendeleo ya baadae Co fungu wanapangiwa kina ndugai kutibiwa India mamilion ya pesa Africa bhana
@afrikayetu6554
@afrikayetu6554 5 жыл бұрын
anazungua ilo niumbo la ndege suo ndeg
@altheboss5722
@altheboss5722 4 жыл бұрын
waafrica tuacheni huu ujinga jameni. shule kwanza !!hapa hamna helicopter tusidanganyane !!!!
@kuswaimsumali5755
@kuswaimsumali5755 5 жыл бұрын
Big up sana dogo wangu
@silverrichard2975
@silverrichard2975 5 жыл бұрын
watu wajuzi wapo lakin promo anapewa mtu kama pierre mlevi duh Tz bado sana
@thetycoon8799
@thetycoon8799 5 жыл бұрын
Silver Richard tulia ww kama unaweza na ww toka ki vyako acha wivu
@jimmymnuano7165
@jimmymnuano7165 5 жыл бұрын
Haya tena wenye mapikipiki makubwa mmesikia huyo kijana basi chungeni mapikipiki yenu jamaa anataka injini huyo
@luckychanneltv8762
@luckychanneltv8762 5 жыл бұрын
shafti inayozungusha propera ya helcopter lazima iwe ni chuma iliyochanganywa na almasi ,bila hiyo itaruka lakini haitahimili its lets Atari, chungulia kwenye u tube andika hivi how helcopter fly utajionea mwenyewe
@TALLUBOY
@TALLUBOY 5 жыл бұрын
Wew Dada fala maik uwa MTU unavyo muoj unampa sjielez vzl sasa ona mpaka unaboa
@reshinebakery2846
@reshinebakery2846 4 жыл бұрын
Alitaka aonekane
@emmanuelmlowe-ew7gx
@emmanuelmlowe-ew7gx Жыл бұрын
Huyu ni la 7 tuu lkn wanaojiita wasomi hata njiti za kiberit hawajui
@asafubuheri6900
@asafubuheri6900 5 жыл бұрын
mfadhili akasome FANI aipendayo
@bafaello2619
@bafaello2619 5 жыл бұрын
Talented boy
@georgembugua1882
@georgembugua1882 5 жыл бұрын
Hili haliwezi likapaa maana hajaelewa misingi ya aeronautics. Panga sio panga tu, sharti liwe na shepu fulani liweze kuti pressure tofauti juu na chini. Vijana kama hawa wanafaa wachukuliwe kwenye shule za taaluma za ufundi maana wana interest na bidii ya mchwa.
@felisterapornary2612
@felisterapornary2612 5 жыл бұрын
Hongera
@dandystar9971
@dandystar9971 5 жыл бұрын
huyu jamaa ni nomaa sana
@mussaabdiel9797
@mussaabdiel9797 5 жыл бұрын
Angeenda bungeni badala ya piere liguid
@jojo_linkissabiny5238
@jojo_linkissabiny5238 5 жыл бұрын
woooooh nice jamani pia hongera
@princehancesam9892
@princehancesam9892 5 жыл бұрын
daaah huyu noma
@asiaissa8712
@asiaissa8712 5 жыл бұрын
Prince hance Sam
@hassaniomary5262
@hassaniomary5262 5 жыл бұрын
Serekali impe sapoti kwani magufuli alisema tanzania ya viwanda ndio hivyo sas
@clementsapanjo9159
@clementsapanjo9159 5 жыл бұрын
duuh saaf saana
@mosesdidiovfx3098
@mosesdidiovfx3098 5 жыл бұрын
hapo uko vizuri
@saiclassicofficial3138
@saiclassicofficial3138 4 жыл бұрын
noma sana kijan
@mirajramadhan151
@mirajramadhan151 5 жыл бұрын
Sawa mzee baba
@fadhilkhamis8971
@fadhilkhamis8971 5 жыл бұрын
Dah!! Mungu akuongezee Akali ufike Mbali na kipaji chako hicho..
@samjcb7896
@samjcb7896 5 жыл бұрын
ubarikiweeeeee sanaaaa kjanaaaaa
@mariethamagoti1338
@mariethamagoti1338 5 жыл бұрын
Kwa Tanzania wangewaangalia awa vijana wana kitu ndani yake
@japhetleonard9224
@japhetleonard9224 5 жыл бұрын
inaruka kweli au nibox tu linalo fanana na ndege? maana nimekuwa nikisikia habari kama hizo
@abdullymussa6418
@abdullymussa6418 5 жыл бұрын
ukitaka iruke tengeneza yakwako bege wewe
@roidatadey8656
@roidatadey8656 5 жыл бұрын
@@abdullymussa6418 😂😂😂😂😂😂😂
@michaeleustach8742
@michaeleustach8742 5 жыл бұрын
😁😁😁😁😁😁😁
@adillhabib2006
@adillhabib2006 5 жыл бұрын
kwa Tz hata uya fanye mavi kua chakula hakuna kitu
@myambaallan4523
@myambaallan4523 5 жыл бұрын
Japhet Leonard hilo box wwet huwez kutengenezatu
@albertremmy3479
@albertremmy3479 5 жыл бұрын
sawa ameunda, je atakaetoa kibali chakuirusha angani yupo? au niurembo tu.
@japhethgeriad4519
@japhethgeriad4519 5 жыл бұрын
Hapo sasa ndo shda inaanzia
@thamanihalisi381
@thamanihalisi381 5 жыл бұрын
MUNGU BABA ndani ya taifa lake takatifu anaonekana na anazidi kufuta aibu ya umaskini na hatma tuliyokuwa tumepewa ya kuonekana tuko bara la giza
@user-pf6sq3jf3w
@user-pf6sq3jf3w 5 жыл бұрын
Ongera Sana mungu akuongoze
@brakahhamis6621
@brakahhamis6621 5 жыл бұрын
mungu akubariki kaka
@erickmnyalu553
@erickmnyalu553 5 жыл бұрын
Haya wale wa kuunda helcopt kule chuo cha science vipi isharuk mwezenu std 7 tuu anakalibia kuirusha ya kwake na ishatolewa nje 😀😀😀🤣🤣🤣
@roidatadey8656
@roidatadey8656 5 жыл бұрын
Duuuuuuh safi sana
@bahatinyagawa302
@bahatinyagawa302 5 жыл бұрын
hongera
@bjzee1981
@bjzee1981 5 жыл бұрын
Yani tayari Tutakua tuna ndege ngapi sasa
@worldrapamako3960
@worldrapamako3960 5 жыл бұрын
ila wa tz mnakatisha tamaa sana juzi tu nimechimba bahari tukaifanya choo ila sijataka kuwambia make mnakejeri
@Moses-Kuria
@Moses-Kuria 4 жыл бұрын
Nimecheka hadi baas yaaani hamna kitu hapa, msekule tuu
@daudimpulumba6742
@daudimpulumba6742 4 жыл бұрын
Hv kwanini watu kama hawajawawezeshwi tunakalia kusoma physics theory na kufanya mitihani kwa vitu vilivyopita ma huku kuna watu wenye vipaji kama hawa
@adilkher6170
@adilkher6170 2 жыл бұрын
Tengezeni na mabomu hee
@ismailgerald6282
@ismailgerald6282 4 жыл бұрын
Yupo vizur
@omarijumaa8786
@omarijumaa8786 5 жыл бұрын
Angekuwa ni w nchi Kama Kenya angewezeshwa lakini Tz subutu
@athumanihassan8328
@athumanihassan8328 4 жыл бұрын
Omari Jumaa
@ernestpascal3168
@ernestpascal3168 5 жыл бұрын
Serikali tumia huyu kijana for our benefit.
@masnondofundi9215
@masnondofundi9215 5 жыл бұрын
saruti babu mungu ata kusaidia
@midoseneta4780
@midoseneta4780 5 жыл бұрын
hiyo siyo helkopta ni bodi la helkopta... kuirusha hiyo ni mpaka yesu arudi... hiyo inarushwa na kani mwinuko. cha kukushauri ni kujuana na wadau wa hizo mbishe wakusogeze kipaji unacho mdogo wangu ila matirio changamoto.
@mabubakitambi1612
@mabubakitambi1612 5 жыл бұрын
Hahhahaaha tz Hamna kituu,,wanaongea sanaa
@robathzingu1650
@robathzingu1650 5 жыл бұрын
Billy Gates bilionea mkubwa wa dunia hana elimu kubwa, ni darasa la pili tu lakini ndiye inventor wa kompyuta tunayotumia leo. Huyu kijana anahitaji guidance ndogo tu + mtaji (fedha na vitendea kazi vingine) ili aweze kutoa kilichoko ndani yake kwa ajili ya manufaa ya watu wengi!
@iddyfaudy4120
@iddyfaudy4120 4 жыл бұрын
Nimegundua una dream kubwa lakini mazingiRa sio rafiki sema komaaa tu
@petrojohn8250
@petrojohn8250 3 жыл бұрын
Punguza sauti ya muziki
@rajabumapunda416
@rajabumapunda416 4 жыл бұрын
Apo ndipo unapojua umuhimu wa ulaya na afrika
@emmanuelnyembela719
@emmanuelnyembela719 4 жыл бұрын
👏👏
EXCLUSIVE   ZUCHU AMNUNULIA GARI LA ZAIDI YA MIL 20 ANJELA
6:09
Wasafi Media
Рет қаралды 3,7 М.
HII NDIYO HELIKOPTA ILIYOUNDWA ZANZIBAR
10:50
KTV TZ ONLINE
Рет қаралды 819 М.
Kids' Guide to Fire Safety: Essential Lessons #shorts
00:34
Fabiosa Animated
Рет қаралды 14 МЛН
WANANCHI WAFUNGUKA SABABU KUFUNGA BARABARA, KUZINGIRA KITUO CHA POLISI
4:43
BABA YANGU KIPOFU Full episode /29/ #love
43:38
BabaJoan
Рет қаралды 251 М.
Wabunifu wa Injini ya ndege (Jet Engine)
4:29
COSTECH Tanzania
Рет қаралды 14 М.