No video

HII NDIYO HELIKOPTA ILIYOUNDWA ZANZIBAR

  Рет қаралды 819,938

KTV TZ ONLINE

KTV TZ ONLINE

Күн бұрын

~-~~-~~~-~~-~
Please watch: "LIVE:SHUHUDIA WAZIRI MKUU AKIWASILI UKEREWE"
• LIVE:SHUHUDIA WAZIRI M...
~-~~-~~~-~~-~ #hakikahiinifahariyetu #hakikahiinifahariyetu

Пікірлер: 386
@khaledrashid2825
@khaledrashid2825 5 жыл бұрын
Allah akuwezesheni waznz amin musiwaachie wazungu tu
@fatumahamadi1379
@fatumahamadi1379 4 жыл бұрын
Mashaallah Hongera Tunaweza Wakati umefika wenye vipaji wasaidiwe tupaye songa mbele
@katobesi123marco3
@katobesi123marco3 5 жыл бұрын
Mungu akubaliki kipaji chacko kidumu
@phixp6799
@phixp6799 6 жыл бұрын
Najivunia Nchi yangu ya Tanzania kwa kubarikiwa kwa vipaji tofauti tofauti.
@khamishassan8603
@khamishassan8603 6 жыл бұрын
hongera Allah akujaalie kila lakheri
@skyleralmasi3252
@skyleralmasi3252 5 жыл бұрын
Mungu ibariki Tanzania 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@sophemsuya7062
@sophemsuya7062 4 жыл бұрын
Natumaini serikali hii ni tofauti sana na zilizopita. Naiomba itoe nafasi kwa watu hawa kwa kuwapa mafunzo ya ziada ili nasi tunufaike na rasilimali watu wetu! Ni jambo kujivunia kabisa kuwa na watu hawa. Mungu wasaidie wapewe nafasi hiyo!
@mastzube9342
@mastzube9342 6 жыл бұрын
Hongereni sana KTV TZ kwa vipindi vyenu vya kuelimisha jamii ila jaribuni sana kwa watangazaji wenu wawe wanaelimisha jamii kwa kila kitu sikupendezwa na mtangazaji kukata mkato wa nywele kama ilivyo hapo hii ni kupotosha maadili AHSANTENI .
@shukranjovin2321
@shukranjovin2321 6 жыл бұрын
Nice
@mariumchima8098
@mariumchima8098 6 жыл бұрын
ingekua ulaya angesha zaminiwa
@mariumchima8098
@mariumchima8098 6 жыл бұрын
apewe sapota
@TheChidonline
@TheChidonline 6 жыл бұрын
na vidani
@salmakhalifa3657
@salmakhalifa3657 6 жыл бұрын
Mast Zube
@allyissalipawe2118
@allyissalipawe2118 5 жыл бұрын
Mashallah ndugu yangu umekua imani yako ndio itayokufanya usifike mbali ungekua upande wa pili wangekusapoti na kuendeleza kipaji chako kwani walioanza kubuni vitu ilikuaje lazima wajalibu waone kama inafanya kazi na walikuwa wanafanikiwa Allah akujalie kwa ubunifu wako
@thomasmallya2972
@thomasmallya2972 4 жыл бұрын
Peleka udini pimbi ww
@shamsahaji6202
@shamsahaji6202 6 жыл бұрын
Mashaallah Allah amzidishie maarifa...wazanzibari tujifunze kupeana moyo...na serekali mtu km huyu ni wa kuwa nae kabisaa hakuna kisichowezekana kwani waliotengeneza ndege..gari..jet ..na vyenginevyo sio wanyama bali ni binaadamu kwa hio tusidharau mtu kila kitu kinawezekana sana tu hongera mr sugu nakuombea mafanikio na ujuzi zaidi ipo siku watakuelew tu.
@homelifesports6668
@homelifesports6668 5 жыл бұрын
Safi sana kwa moyo wako
@abdulrazakyussef3177
@abdulrazakyussef3177 6 жыл бұрын
Sawa, Ahsante sana. Sote tumshukuru Mola. Nawatakia kheri sana Ndugu Sheni na Maalim Seif, Wazanzibari na Watanzania wote kwa ujumla.
@vicentsamuel9716
@vicentsamuel9716 5 жыл бұрын
Hongera sana bwana sugu lakin serikali ndo wenye dhamana kwaajili ya usalama wako na watanzania wote
@vicentsamuel9716
@vicentsamuel9716 5 жыл бұрын
Hongera sana bwana sugu lakin serikali ndo wenye dhamana kwaajili ya usalama wako na watanzania wote
@ruwaidatabdallah2769
@ruwaidatabdallah2769 6 жыл бұрын
Hongera kaka kwa kuiwakilisha Zanzibar yenu
@adnanidarous3117
@adnanidarous3117 6 жыл бұрын
Duh!! Mashallah Hays serikali kazi kwenu SSA watu wanataka seaport yenu tuu waiinue tz...
@neemaabdul9553
@neemaabdul9553 6 жыл бұрын
Ana kipaji kikubwa mashaallah! Ila bahati mbaya umezaliza tz. Usikate tamaa na Rehma za ALLAH. ALLAH akufikishe mbali aamin.
@asamandhiry8648
@asamandhiry8648 6 жыл бұрын
Hongera ndugu Said Sugu kwa ufundi wako wa kuigiza helicopter. Mungu akuzidishie kipawa cha kuweza kuvumbua kitu kitakacho saidia taifa kimaendeleo. hapo ulipofika tosha kuwa unao uwezo wa kufanya hivyo. chekecha akili serikali itakuinua kwa mawazo mbadala ya kutatua matatizo ktk jamii. Allah yupamoja nawe
@isayamichael597
@isayamichael597 5 жыл бұрын
Mungu nimwemA sana amina
@jtnuhaliro8856
@jtnuhaliro8856 5 жыл бұрын
Mshkaji hongera mzee baba uko poa mwanangi
@hidayamussa4273
@hidayamussa4273 6 жыл бұрын
Masha Allah, hongera sana Best wangu, Coach mwenzangu Mr Sugu Allah akuongezee zaid yahapo ulipo kaka
@khatibomar408
@khatibomar408 6 жыл бұрын
hongera bwana said sugu mungu akuzidishie ujuzi na utaalamu.
@fababindawood5842
@fababindawood5842 6 жыл бұрын
Suguuu we noma serikali mpeni fursa mzanzibar mwenzitu mungu amempa kipaji.
@aliabdallasaid3174
@aliabdallasaid3174 6 жыл бұрын
Tunaiomba serikali impe support kubwa miheshimiwa sugu na wafadhili pia wampe nguvu ili aweze kua miongoni mwa watu wahistoria ktk dunia hii mungu akubariki sana?
@hassanbinally7127
@hassanbinally7127 3 жыл бұрын
Sio serekali ya tanzania
@samsonkusupa8115
@samsonkusupa8115 6 жыл бұрын
hongera sna lakn kwa inch kama hii mtakufa na vpaji vyenu
@qaltumsaid3095
@qaltumsaid3095 Жыл бұрын
MashaAllah hongera sana hakika hiki ni kipaji kikubwa sanaaaa
@irutingabojoel1060
@irutingabojoel1060 4 жыл бұрын
Good job bwana sugu
@petermakau6436
@petermakau6436 3 жыл бұрын
Ikiruka juu mkae mbali Sana,... Odd do change
@syksyk7295
@syksyk7295 5 жыл бұрын
Hongera broo
@khalfanshahabakar7439
@khalfanshahabakar7439 2 жыл бұрын
Hongera
@abalhassan7794
@abalhassan7794 6 жыл бұрын
Hongera sana Mr sugu kutokana na kazi yako nzuri
@norahmajaliwa3841
@norahmajaliwa3841 4 жыл бұрын
Mungu Tunakushukuru kwa ajili yake
@khalfanshahabakar7439
@khalfanshahabakar7439 2 жыл бұрын
Mashallah nakukumbuka jang'ombe 1979-80 hongera
@amribudi7870
@amribudi7870 4 жыл бұрын
Na mimi nitatengeneza ndege ya ajabu ambayo itaizunguka Dunia ndani ya mda mfupi tu.
@salemkambuteh1409
@salemkambuteh1409 6 жыл бұрын
hongera kwa bw.sugu na mwanae ingawa sioni sababu ya kukupa hongera mtangazaji cz kwanza umetudanganya sana kwa kusema itaruka. umezimgua boy. .
@frankalexander5608
@frankalexander5608 4 жыл бұрын
Mungu akulinde
@mnzavachris5423
@mnzavachris5423 6 жыл бұрын
tufikie muda TZ tupeleke ama kuwekeza pesa pahala husika kama huku kwenye mafunzo haya siyo kila kukicha kuziweka kwenye siasa tuu..!!
@salimkheri3057
@salimkheri3057 6 жыл бұрын
Mashallah sugu
@iddibama6819
@iddibama6819 5 жыл бұрын
TALENTED
@salumumohamed3344
@salumumohamed3344 6 жыл бұрын
Big up xn kaka
@smiletv6373
@smiletv6373 6 жыл бұрын
Big up..God bless Africa
@abdusalum5072
@abdusalum5072 6 жыл бұрын
Tuko pamoja Sana ndugu yetu mtanzania mwenzetu umeonyesha uwezo uliokuwa nao Mungu akusimamie hadi mwisho wa jambo lako kwa uhakika unaitangaza nchi ya Tanzania kimataifa zaidi
@meshackenock7495
@meshackenock7495 6 жыл бұрын
Abdu Salum acha ujinga wewe
@ignatuskaigi31
@ignatuskaigi31 4 жыл бұрын
I like hlcpt
@ahmedhemedmohammed4564
@ahmedhemedmohammed4564 6 жыл бұрын
Blessed
@bonychange3304
@bonychange3304 3 жыл бұрын
Good
@s.ranger573
@s.ranger573 6 жыл бұрын
sugu yuko imara✅namkubal
@josephshangawima1585
@josephshangawima1585 6 жыл бұрын
du! big up saidy
@alfatahmadmohammed3091
@alfatahmadmohammed3091 4 жыл бұрын
God bless you
@bitkkanmarketplace5830
@bitkkanmarketplace5830 6 жыл бұрын
VERY GOOD AND COOL
@samwelikaiga3096
@samwelikaiga3096 4 жыл бұрын
Jamani serekali tunahitaji support
@umydaddy4697
@umydaddy4697 6 жыл бұрын
Hongera sana. Allah atakufungulia kila la kheri. In sha Allah atokee mtu aione clip hii na awe na hamu ya kuja kuonana na wewe na uwe mwanzo wa kufungukana. Analolitaka mungu mja hapangui. Iwe ni kheri yako in sha Allah
@shabanamir2793
@shabanamir2793 6 жыл бұрын
umejitahidi saana mzee hongera nimeipenda
@twaibumikidadi7377
@twaibumikidadi7377 Жыл бұрын
Chına 1990's ilianza hiv hiv serikali iliwaruhusu wabunifu na leoo hii china ni level nyingne
@saeedmassoud256
@saeedmassoud256 5 жыл бұрын
Mwenyezi Mungu ni Mkubwa
@josedaud5676
@josedaud5676 6 жыл бұрын
mtangazaji mtindo wa nywele brother so maadili.
@lalidamasage2363
@lalidamasage2363 6 жыл бұрын
ukovizuli
@ashakombo1821
@ashakombo1821 5 жыл бұрын
Mapicha
@capacityinc2574
@capacityinc2574 5 жыл бұрын
mzee uuni ni nikujishushia dhamani ...wewe ni journalist ..mbona unanyoa kama mwanamziki eshimu unacho kifanya
@kahalekindy6438
@kahalekindy6438 6 жыл бұрын
Safi sana
@bahatimuhamedi631
@bahatimuhamedi631 6 жыл бұрын
Hongera Sana'a kaka yangu
@dotomohamedi3791
@dotomohamedi3791 4 жыл бұрын
namkubsli
@yasinamiri7649
@yasinamiri7649 5 жыл бұрын
Mashaallah
@hemedymasoud6936
@hemedymasoud6936 4 жыл бұрын
Mashallah
@alexjackson5960
@alexjackson5960 2 жыл бұрын
Taarifa haijakamilika bila ya kuirusha hewani watu wakaprove ikiwa angani kwa kuruka na kutua salama. Lakini nampongeza kwa body niliyoiona ikiwa chini.
@ashminaabdullah5626
@ashminaabdullah5626 6 жыл бұрын
Serikali muda mwengine mnaboa kamsomesheni huyu baba tuwe na watu hawa nyinyi mko kwenye ujinga tu
@tumainmapesa1584
@tumainmapesa1584 5 жыл бұрын
Big shaq
@saeedmassoud256
@saeedmassoud256 5 жыл бұрын
Wallah yakh wao wamo tu kalba aswad
@mwibatraining4736
@mwibatraining4736 5 жыл бұрын
we ndo mjinga kweli, huo ni ubunifu au kuiga ? kungekuwa duniani hakuna kitu kama hicho ndo ungekuwa ubunifu,
@maremidundo6997
@maremidundo6997 4 жыл бұрын
@@mwibatraining4736 kamanikuiga siuige nawewe wivu unaitafuna bongo watukamanyie hukukwetu nikuwapotezatu
@mosesmwingira3780
@mosesmwingira3780 4 жыл бұрын
@@mwibatraining4736 yaan wewe
@FrancisRM-ex8vf
@FrancisRM-ex8vf 5 күн бұрын
Tanzania kuwawekea vikwazo watu kama hawa, ni ukosefu wa maarifa na siku zote tutabaki nyuma siku zote.... Elimu ya darasani haitufundishi kujitegemea ila watu wanatafuta vyanzo vya wao kujitegemea et sheria inawazui kufanya hivyo.... hakika sheria kama hizi ni mbovu sana na kunakila sababu sheria hizi kufanyiwa marekebisho
@salehgoldberg7237
@salehgoldberg7237 5 жыл бұрын
Nchi ya Tanzania kwenye visiwa vya Zanzibar.... damnnn now
@mwanaz3110
@mwanaz3110 6 жыл бұрын
Zanzibar stand up
@emanuelngodoki4664
@emanuelngodoki4664 6 жыл бұрын
Mko vizuri sana ktv
@fatmasalima3847
@fatmasalima3847 5 жыл бұрын
Masha Allah
@chrissenciambwilo3097
@chrissenciambwilo3097 5 жыл бұрын
Mnaishia kuwapa vyeti baada ya kuwasomesha wafundishe wengine?
@ahmadsayyeed7910
@ahmadsayyeed7910 3 жыл бұрын
Nasubiri nione itaruka 😘💞💝
@leonardebumbuli1768
@leonardebumbuli1768 6 жыл бұрын
Big up
@safiyasafiya5014
@safiyasafiya5014 5 жыл бұрын
Kwakweli ni nchi kukosa maendeleo na kuwapa sapot watu kama hawa wagekua mbali sana
@hamadimwasa1889
@hamadimwasa1889 5 жыл бұрын
Unataka kuuwa watu wewe hiyo kama una test weka toy usipandishe mtu kesi hiyo
@deodatusmagagura6793
@deodatusmagagura6793 2 жыл бұрын
God help Africans.Glory to God
@ibrahimwerejuma4816
@ibrahimwerejuma4816 6 жыл бұрын
Nchi za Africa tunataka watu kama hawa Hongera sana.
@abdulyabdunuru1476
@abdulyabdunuru1476 5 жыл бұрын
Hercopter zote za Africa hua haziluki chunguza tu uone vtuko ipo ya Kenya Uganda Ghana Zimbabwe ivory cost Tanzania nk zoote ni vituko
@michaelluvinga556
@michaelluvinga556 6 жыл бұрын
very nice
@noelkaaya2433
@noelkaaya2433 4 жыл бұрын
tatizo sijaona ikiruka kilasiku wanahojiwa ipo chini warushe kwanza
@tareqmazrui4783
@tareqmazrui4783 4 жыл бұрын
Big up Tanzanians.
@msethihamisi2739
@msethihamisi2739 5 жыл бұрын
TZ vijana tukiwezeshwa tunaweza
@mousslihoudineahmedimani6714
@mousslihoudineahmedimani6714 4 жыл бұрын
ugera sana
@flyboyalpha4039
@flyboyalpha4039 6 жыл бұрын
Hongera sana Sugu pia hongra sana mtangazaji hakika Kupitia hii video fupi nimejionea vipaji viwili adi vitatu ambavyo vitafika mbali sana ktk maisha First wewe mwenyewe ndugu mtangazaji! Yani sio siri ndugu yngu Your the Best! Keep it up utafika mbali sana but the best thing cha kukushauri ni appearance yko kidogo Uizidishe like Those hair apo juu, I know bdo ujana Unakuendea but unaweza kupata nafas ya kutangaza katika mashirika makubwa Tanzania adi duniani lkn Ukafail kwa sababu ya appearance yako tu! But keep it up I believe utafika mbali!💪 then Mh. Sugu Kuhusu Helkopta yko Hauwez kurusha kwasababu Tanzania kuna kitu kinaitwa Mamlaka ya Anga Ambayo ni Tanzania Civil Aviation Authority (T.C.A.A) hawa majamaa kazi yao kubwa ni kulinda maisha ya wana anga na abiria like kwann hawajakuruhusu kurusha iyo Helkopta coz hawajui km ipo salama kuruka ama vipi hawataki kuona mtu apoteza maisha kizembe kwa kutumia vitu vya angali that why wanaangalia safety yko! Cha msingi nenda TCAA ukaombe Permission ya kuja kukikagua Chombo chako then wakakuelekeza jinsi ya kufanya alafu lazima kuna vitu wakufahamishe like wtu angani wanazungumza lugha ambayo ni tofauti na lugha za kawaida kwa mtu wa kawaida hauwez kuelewa so fanya ivo ndugu yngu! Naamini utafika mbal inshallah!👏👏✈💪
@AnaniaJunior
@AnaniaJunior 6 жыл бұрын
Ahsante sana nimekuelewa na nitayafanyia kazi
@kalamuyantajajr2605
@kalamuyantajajr2605 6 жыл бұрын
T.man fatah umejitahidi kutoa maoni mazuri
@saidaabdullah8094
@saidaabdullah8094 6 жыл бұрын
Iruke isiruke ila hongera uo ndo mwanzo jamani wazanzibar tuna vipaji. Serikali watu kama hawa watumieni hata ao waliotengeneza magar tunayopanda na meli na kila kitu walianza hivyo uo ndo mwanzo, hongera sana
@medamichael5960
@medamichael5960 6 жыл бұрын
DAH kiukwel uyo jamaa jembe ama nn mdada sema nao selikali wanazingua tu pia cjui kma italukaaa lkn itaruka
@hajijuma6052
@hajijuma6052 3 жыл бұрын
Big up kaka ww ni mfano wakuigwa na vijana wetu
@gsmligoonlinetvonlinetv7726
@gsmligoonlinetvonlinetv7726 4 жыл бұрын
Naomba namba zake huyu engineer,,tuongee tupange tushinde
@salehkhalif3708
@salehkhalif3708 2 жыл бұрын
salute sana
@silvestandaizeye3970
@silvestandaizeye3970 5 жыл бұрын
meri iriopata ajar evi nyerere
@suleimansaid769
@suleimansaid769 5 жыл бұрын
Najivunia kua mzanzibar
@ezekielmwadomba4675
@ezekielmwadomba4675 6 жыл бұрын
ZANZIBAR MKO VIZURI
@abubakarsuleiman4099
@abubakarsuleiman4099 6 жыл бұрын
Big up kaka
@lilozmudi8758
@lilozmudi8758 5 жыл бұрын
Wil Q
@mwanatz5980
@mwanatz5980 4 жыл бұрын
Hongera Sana.
@mwanatz5980
@mwanatz5980 4 жыл бұрын
Mashaallah .
@AamSurname
@AamSurname 4 ай бұрын
Nyinyi ndio mnatakiwa kuwa watu wa mwanzo kusaporti vipaji lkini ndio Kwanza mnazidi kuwapa changamoto ili wakate tamaa
@edwinalexander1170
@edwinalexander1170 5 жыл бұрын
Hawa watu wanaojitahidi kutengeneza helicopter waangaliwe wasaidiwe,nchi zote zinazotengeneza vitu vikubwa kwa sasa walianza hivi hivi mdogo mdogo mpaka wakafanikiwa, Korea ya kaskazini ilikuwa haina trchnolojia ya kutengeneza makombora, ikaanza mdogo mdogo wakajaribu zikawa zinaanguka hovyo, wakitengeneza tena zinaanguka, lakini mpaka sasa wameshafanikiwa kutengeneza zinazo aminika, ile kujaribu jaribu na kushindwa ndo kunakoleta mafanikio baadae.
@princegabytv7251
@princegabytv7251 6 жыл бұрын
Tunaweza
@kingQueen-tl5jk
@kingQueen-tl5jk 4 жыл бұрын
akiruhusiwa kuendesha asisahau kuvaa parachuti
@ntutapaliji9396
@ntutapaliji9396 6 жыл бұрын
Safii hongeren
@shadrackjacob800
@shadrackjacob800 18 күн бұрын
Hata ulaya hawakuanza na insurance ndo maana wakafanikiwa , so endelea mbele na majaribio.
@wazirimakua8769
@wazirimakua8769 5 жыл бұрын
Ana kipaji kizuri cha kutengeneza kengeneza bodi ya helicopter. Je, amefunga injini ya bajaj ama!
@justinemangi5844
@justinemangi5844 4 жыл бұрын
😀😀😀😀😀
@user-ws2uw5rd8i
@user-ws2uw5rd8i 9 ай бұрын
Serikali watu kama hao Kwa Nini mnawaacha tu watu kama Hawa ingekuwa nchi nyingine wangekuwa mbali sisi sijui nani alietuloga
@reginaldmanga7241
@reginaldmanga7241 Жыл бұрын
Zanzibar sio nchi
@abdulazizmohamed2805
@abdulazizmohamed2805 7 ай бұрын
Ayo ndio mambo unayo yataka haswa sio majungu,
@hagaimartin604
@hagaimartin604 4 жыл бұрын
Haya bhana
@masnondofundi9215
@masnondofundi9215 5 жыл бұрын
hongera babu
@ussikhamisussi4882
@ussikhamisussi4882 6 жыл бұрын
Hongera sana.
@alliymohamedalliy6524
@alliymohamedalliy6524 Жыл бұрын
AkiliMtuwangu 😇
@user-re3zl1uj2c
@user-re3zl1uj2c 8 ай бұрын
Matajiri wetu wanahela saana na wanazika vipaji vya wazawa wetu mchan kweupeee, kusapot wabunifu wetu sio kazi ya serikali hapana kabisa, ni kazi ya matajiri wetu wazawa, pia wabunifu wetu wajitahidi kuwahusisha matajiri walio karibu nao na cha muhimu jamani tuheshimiane, mambo ya ahhh tajiri gani yule hana kitu au mbunifu gani yule hata shule hajaenda, Jamani serikali haitupeleki popote kwenye mambo haya ya ubunifu na kuendeleza vipaji vya raia,
🩷🩵VS👿
00:38
ISSEI / いっせい
Рет қаралды 18 МЛН
女孩妒忌小丑女? #小丑#shorts
00:34
好人小丑
Рет қаралды 49 МЛН
SCHOOLBOY. Последняя часть🤓
00:15
⚡️КАН АНДРЕЙ⚡️
Рет қаралды 13 МЛН
WHO CAN RUN FASTER?
00:23
Zhong
Рет қаралды 42 МЛН
GARI NYUMBA LILILO NA SEBULE, JIKO NA CHOO CHA NDANI ZANZIBAR
19:34
KUTANA NA KIJANA WA DARASA LA SABA ALIYEUNDA HELIKOPTA
8:38
Mwananchi Digital
Рет қаралды 383 М.
BOMOA BOMOA  YAZUA VURUGU ZANZIBAR
8:03
AL FATAH TV ONLINE
Рет қаралды 62 М.
🩷🩵VS👿
00:38
ISSEI / いっせい
Рет қаралды 18 МЛН