Allahu Akbar ☝️ HasbunAllah wa nemal wakil ☝️ mola awape ma ndugu wetu Palestine amani ya Allah 🤲 JaskAllah kheiran ndugu yangu Bora tufate kwingne Saudi sai his against Islam FREE FREE PALESTINE ☝️ Mimi mungu akinijalia In shaa Allah nitafaa iskafi ya Palestine wanishiki
@mohamedS-yd9wh4 ай бұрын
Sheikh Izudin Allah akuhifadhi wape ukweli masheikh na viongozi wa Saudia ni laana kubwa wanayofanya
@bagalucha3 ай бұрын
Allah anakuona na uchochezi wako na upotoshaji.
@athmanchimerah33793 ай бұрын
Kama waabudu waarabu utapinga
@ndarochibingu3 ай бұрын
@@athmanchimerah3379 Ushasema uyu hawajui mm nko uku
@ringsnflashestv80673 ай бұрын
Amechochea au anaongea ukweli? Fuatilia yanayoendelea hivi sasa huko saudia ndugu yangu
@salimdzuya54803 ай бұрын
Anaongea ukweli sana tena,ingia KZfaq msome mfalme wa saudia anaitwa Mohammed bin salman,alafu urudi tena hapa.SPIKA ZA MISKITINI ZINATAKA KUEKWA ZILE ZA SOUND PROOF ETI ADHAN ZINAKELELE,ALIKATAZA WAISLAMU KUFTURU MISIKITINI RAMADAN HII,WASNII WAKINA SHAKIRA WANAPIGA SHOW KAMA KAWA,BOXING MATCHES ZOTE SIKU IZI ZINAFANYIKA SAUDIA NA WATU WANAVAA NUSU UCHI.
@user-lt1bi5nr1x3 ай бұрын
Tembea ujue
@lalijimmylalijimmy18574 ай бұрын
Wewe peke yako Sheikh Ezudeen unaozumgumza uwazi na ukweli...Allah atuhifaidhie akupe umri wa baraka..Shukran
@Khalidniya3804 ай бұрын
Nakuelewa Sheikh kwa hayo unayoyasema Saudia wamekua na muenendo mbaya ila Mwezi ukionekana ni kufunga tu ALLAH ndie mjuzi mimi leo nimefunga na Allah ndie atakaenilipa kwa swaum sio hao wasaudi
@AbdallaMwagora-sm1rj4 ай бұрын
Kweli ndugu yangu ktk Imani kufunga ni Imani ya mtu lkn mtume ameweka utaratibu na suna juu ya kufunga.mtume amesema atakae funga siku inayo tiliwashaka ni sawa mtu huyo amekufuru yalioteremshwa Kwa Abu kasim ambae ni yy mtume.hadithi hiyo ni murtafaq.ni hadithi imepokelewa na imamu wawili.kisha mtume amesema Tena fanya usilo na shaka nalo ulilo na shaka nalo liache.
@mohamedabdallah22124 ай бұрын
Hao ni maneno %100 on point Sheaikh 😮
@zeitunMohammed4 ай бұрын
Yani unafunga mwezi haujaonekana popote Kisha wataka kulipwa na mungu?alafu ajabu jumamosi alfajiri kila moja aliona mwezi haukupotea alafu jumq pili Tena ikaandama Ajabu ya dunia
@LuqmanAndrew-nu9rx4 ай бұрын
Mashallah Allah akupe umry mrefu wenye manufaa Sheikh wetu, na atujaalie sote mwisho mwema Inshallah ❤❤🙏
@ibrahimmusa95184 ай бұрын
Sheikh huu ni mpotovu kabisa
@user-ji2nf3tk8b3 ай бұрын
MashaAllah kama Sheikh Yussuf Ali swabu masjid nurein❤❤
@ringsnflashestv80673 ай бұрын
@@ibrahimmusa9518 sheikh kaongea kwa hoja imekuuma unaanza kumkosea heshima we kama unaona kakosea weka point yako usiongee pumba kwenye comment za watu kwa nukuu zako sheikh kannena😂
@halimaali11574 ай бұрын
Allah ikrimuka ya Ustadh
@user-ws6ev5lg4c4 ай бұрын
Mungu akubariki inshallah ukweli mtupa
@shabanramadhan76324 ай бұрын
Bora sheikh uwazindue Hawa wanaowafuata suudia
@user-xr2rp2vx4g4 ай бұрын
Wafuata mwezi unaoandama popote si lazima Suudia tu
jielewe Mwezi Unafuatwa popote Utaandama Sio Suudia tu
@MaryamAhmed-qt5ey4 ай бұрын
Kikubwa ni kuombeana khairat Anaejua ni Allah peke ake Yaa Rabby tuongeze ktk njia ilionyoooka na uctujaalie tukawa miongoni mwa watakaotufarakanika😢
@amisafaraji57963 ай бұрын
Allahumma aamin 🤲
@bagalucha3 ай бұрын
Tatizo propaganda za maadui wa Uislamu kuichukia Saudia,na kuzidisha mambo,zaidi ya namna ukweli ulivyo,takribani asilimia 90 yanayozushwa kuhusu saudia ni uwongo,uhalisia unapokwenda huko,ni tofauti na ukweli wenyewe,tunawaambia hawa wazabizabina,ambao hutumia dini ndio maslahi yao ya maisha katika huu ulimwengu,kwa kuchafua dini ya Allah Subhana wataala,na wengine wanaochangia kwa kuchochea wasiyoyajua,basi wajuwe,Jalla Jallalu yupo,mwenye kuyajua tusiyoyajua,na kila mmoja atabeba alilolichangia kulipotosha,ushabiki wa kuropokwa na wamelishwa ya uchochezi ya wapotoshaji na maadui wa Allah,alama zao za unafiki,Allah Atazihukumu, tahadhari mengi yanayosemwa hayana ukweli.
@alihirbo38753 ай бұрын
Poleni kwa siyasa duni wacheni siyasa na dini ya Allah
@bakaribakari64443 ай бұрын
Sasa kati ya huyu na saudia wakina nani wamechanganya siasa na dini?
@user-lt1bi5nr1x3 ай бұрын
Fuatilia ujue
@hassanovajunior69723 ай бұрын
Asa ukweli pia hutaki khaa😅😅
@mustayoo4 ай бұрын
Hayo yao hayatuhusu.Allah atawahukumu kwa yao ila sisi mwezi ukionekana tutafunga
@kazuhan_thobes4 ай бұрын
ukionekana wapi sasa unafunga
@hussenmzaganya10814 ай бұрын
mfano ukionekana kenya tunafunga.
@user-ui8ul3jy3n4 ай бұрын
Pamoja sana mbona tu naenda kuhiji huko
@HemedSerious4 ай бұрын
Wew mwehu kweli ndugu mm nimekuita mwehu km hujui kwann njoo nitakuelewesha
@abubakarbwika83974 ай бұрын
@@user-ui8ul3jy3n sasa wataka watu wakahiji wapi ??!! 😂😂😂
@lukmanabdi20154 ай бұрын
Hata kenya kuna mashoga na watu hutembea uchi kila leo mpk unaona tabu kutoka ukiwa una swaum sasa kemeeni ya hapa kwetu kwanza hata nyinyi mashekh munaendeshwa na makafiri tu...
@athmanchimerah33793 ай бұрын
Utukufu wa Saudi n sawa n Kenya? Kitovu Cha Muhammad s.a.w kipo Saudi n mahali pakufananisha n Kenya?
@ringsnflashestv80673 ай бұрын
@@athmanchimerah3379 yan huyu jamaa na wenzake woote point zao ni pumba hizi hizi na wala hutawaweza hawa😅
@user-lt1bi5nr1x3 ай бұрын
Sio wote
@user-gr3kq5vc5u3 ай бұрын
Masha'Allah
@broumaiyyah80184 ай бұрын
Naam afadhar umesema sheikh barakallahu fiikiii .Serikari ya saudia n mtihan mzito san
@almarwazyahaythamy49054 ай бұрын
Iyo serikali ya kwenu ndo inamtihan nwrpes au
@ringsnflashestv80673 ай бұрын
@@almarwazyahaythamy4905 usifananishe Kenya au Tanzania na alipozaliwa mtume muhammad(s.a.w).sehem ambayo kuna chimbuko lake hata serikali ilikua ikifata nyayo zake kwa kipindi hicho😢. Anayoyasema sheikh ni ukwel unaouma ila haupingiki
Kwaiyo kumbe kuna siasa kwny uislam? Pinga hoja za sheikh kwa hoja zako unazoziamini kama wewe ni kidume kweli😅
@user-lt1bi5nr1x3 ай бұрын
Ukweli unauma pole
@swahilitherapytv38463 ай бұрын
Acheni uwongo na mcheni Allah kwa maneno yenu kuhusu SAUDIA ARABIA
@ndarochibingu3 ай бұрын
Wanafnya sna Aya yte ww unawlamba sna
@husseinhassan2633 ай бұрын
hayo maneno yote ni kweli kabisa
@ringsnflashestv80673 ай бұрын
Huo ni ujahil uliopitiliza ndugu yangu nenda kaatilie kws umakini yanayoendelea saudia kisha urudi ufute comment yako. Uislam sio ubishi😢
@AhmadSalim-dm4uk3 ай бұрын
Shekhe suudia uijuayo ww sio hii ya Leo . ni juz tuyh hapa limefunguliwa Duka lakuuza tembo shekhe msiba mzito
@alvinsafi27333 ай бұрын
King wa Saudia si muislam yule ni zionist ana support Israel bali ya hapo anapiga na kuua nduguze Yemen..Sasa uislam unasemaje kuhusu hilo...Yule kijana pale saudia haamini kabisa kwenye Uislam na pia si Muislam asiwapumbaze na vazi lile..
@user-gr3kq5vc5u3 ай бұрын
Sheikh pia zungumzia mazuri ya Saudia. Masha'Allah
@user-ts1kz1lw9p3 ай бұрын
عن زيد بن ثابت رضي الله عنهما قال: قال رسول الله صلى الله عليه وسلم: "إنها -أي المدينة- طيبة تنفي الذنوب، كما تنفي النار خبث الفضة".
@mohamedjackson55933 ай бұрын
Tatizo siasa imeingia kwenye Dini..nchi za kiislamu zina uadui kiasi cha kwamba hawawezi kubal kufuata mwezi wa mwingine
@user-do3fo8ei4c3 ай бұрын
Sheikh kaongea kweli kabisa
@user-bk2de8ov6c4 ай бұрын
Bismillah subhanallah
@shamzone3884 ай бұрын
Sisi wa oman ni karibu sana na suudia kwa ndege na gari lakini hatufuati suudiatwaangalia mwezi kama tulivyo amrishwa na allah
@selemankishema57804 ай бұрын
Huo ni upumbavu wenu wa ushabiki wa madhehebu yaani baina ya inchi zenu mbili mwezi ukiandama kati yenu hamfuati mwingine?
@broumaiyyah80184 ай бұрын
@@selemankishema5780we ndo mpuuz soma dini we acha mihemuko
@johnlobuin42124 ай бұрын
Matusi nayo unatoa wapi?
@sabihaibrahim1434 ай бұрын
@@selemankishema5780upuuzi wako
@sabihaibrahim1434 ай бұрын
@@johnlobuin4212mjingaa kuna la kutukana hapa
@adilmansur41774 ай бұрын
Mtaichukia sana saudia... Kinachowauma zaidi nyinyi watu wa bida'ah ni kuwa hamuezi ata siku moja kufanya upuuzi wenu ndani ya haramain... Ingekuwa huo upuzi mnaoufanya ni ibada kweli basi Allah angewafungulia kuzifanya ndani ya ardhi tukufu.. lakini kwa kuwa ni bida'ah na shirki tupu ndio maana Allah akajaalia kuzihifadhi haramain kupitia ulamaa na viongozi wa sunnah... Alhamdulillah
@khaalidcheo53834 ай бұрын
Nikweri
@abiabi93534 ай бұрын
Kweli sisi hatuwezi kufanya lolote lakini mabwana zenu makafiri wakimarekani hufanya watakalo.Hapo ndo utathibitisha ujahili wa mawahabi
@adilmansur41774 ай бұрын
@@abiabi9353 hao wazungu ndio mnaowaangalia kwenye tv zenu nyumbani usiku na mchana.. mwavaa kama wao mwaongea kama wao mwanyoa kama wao.. mnafanya maulidi kama wao.. mnazusha katika uislamu kama wao walivyozusha katika dini yao... Lakini kwenu ni halali kufanya hivyo.. tujirekebishe mm na wewe kabla ya kuwaangalia watu wengine... Heri hizi pombe waislamu wote walosoma na ambao hawajasoma wajua ni haraam.. ata anaelewa ukimuuliza atakubali ni haraam... Lakini mambo mnayoyafanya nyinyi ni mbaya zaidi kwani mpaka mtu awe na ilmu ndio ajue kuwa ni makosa makubwa.. mnawapoteza wengi ambao hawana ilmu.. Hauezi kumdanganya mtu yeyote kuwa pombe ni dini lakini waeza kuwadanganya wengi kuwa maulidi ni dini
@abdulhalim59504 ай бұрын
Bora makafiri kuliko waabudu makaburi nyny masufi
@abiabi93534 ай бұрын
@@abdulhalim5950 makafiri wapi wakati nyinyi pia ni makafiri.kwa hadith sahihi ya mtume mpenzi yeyote wa mnafiki ibn taymiyah na yeye pia ni mnafiki na kafiri
@Allybinamour4 ай бұрын
mashallah,umeeleweka sheika. kwa hio hata hija ni bora watu tufuate jamaica tusende tena saudia.
@Mummy-ri5fk4 ай бұрын
😂😂😂😂😂 mtihan huu
@user-co1wz9tz4n4 ай бұрын
Sawa
@user-co1wz9tz4n4 ай бұрын
Sawa
@ahz69074 ай бұрын
Hujamwelewa sheikh!😅
@wadantz1234 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@kimeajuma32674 ай бұрын
Mimi nimekuelewa Sana, Mmarekani ndio anaongoza Saudia
@zuberihamza-pd3cm3 ай бұрын
SUALA LA KUWA NA ELIMU HALIFANANI NA SUALA LA KUWA NA UFAHAMU, ALLAH TUNAMUOMBA ATUHIFADHI TUWE WENYE KUKATAZA MABAYA NA KUAMRISHA MEMA NA SI KUTANGAZA MABAYA YA WATU PASI NA KUANGALIA MEMA YAO.
@faimstech4 ай бұрын
Very True
@rama_kajenza.3 ай бұрын
Messenger of Allah, (ﷺ), said, "The worst person is someone who is two-faced. He is the person who comes to one group of people with one face and another group of people with another face."
@watchenyoyyourday26694 ай бұрын
Kesho Ramadan
@lukmanabdi20154 ай бұрын
Mashekh ya saiv kila shekh anajua yeye kuliko mwenzake wakati sote waislamu mtume wet mmoja na muongozo wetu quran
@ringsnflashestv80673 ай бұрын
Weweee nenda katafte ilm acha kuongea pumba mtoto wa kiislam
@muhammadnassibu77064 ай бұрын
Hayo maneno unayozungumza sheikh izudin ujue utaulizwa mbele ya Allah nakukumbusha tuh
@hemedjackson22614 ай бұрын
Ataulizw wkt anazungumz ukweli, saudia Arabia kil kit wanaamua wanasiasa sio viongoz w dini, n hiy clip y hiy sheikh ipo ifuatilia mm niliiona kavaa scaf sheikh kawekwa ndan yaani ni narufuku kuzungumz masuala y Palestinia sharia kali utachukuliwa, itafute clip y sheikh mkuu wa makkah Sheikh Sudais anavoongea juu y Palestina nd utajua, saudia Arabia ni hovyo saiv sio kwamb hmn viongoz w dini ila wamebanw mnoo
@alishally61974 ай бұрын
Cc bos tuko suudya twayaona sio yuwazua
@KhamisOmar-kt4kz4 ай бұрын
Kwan Kuna la uongo Kaseya hapo ww ndio uzinduke
@broumaiyyah80184 ай бұрын
Hamtak kuambiwa ukwl saudia so nchi inayoendeshwa na sheria za kiislam nizakikafir
@mohamedrashid78644 ай бұрын
Kaongea ukweli shekh izuddin ila mawahabi hawapendi kusikia haya
@user-iz2dw8rp2i4 ай бұрын
Mashaallah bora ufungue watu masikio.ni sawa na kujipendekeza na mtu asie kuja kufata ya kwako ht iweje
@iddimohamed2544 ай бұрын
Mbona hijja mnaenda acheni ubishoo tunawajua watu wa twarika kwa kupoteza watu..
@ogenylaurent79614 ай бұрын
Kama Mwenyezi Mungu angetuwekea Hijja sehemu mbili basi tungeenda sehemu nyingine kuliko kwenda Saudia@@iddimohamed254
@ringsnflashestv80673 ай бұрын
@@iddimohamed254sasa tuende america ndipo ilipokua alkaaba au?. Pointless wallah
@iddimohamed2543 ай бұрын
@@ringsnflashestv8067 we fuata vile unataka ,,laa ikraa fi ddin....
@user-pp7ur5uf6z4 ай бұрын
Sheikh mche Allah ! Kila suidia ilivo mbaya lakn kufadhilisha Jamaica kuliko suudia sio sawa shekh.ebu yarudi maneno yako.
@leilamsafiri83204 ай бұрын
Kwani Jamaica imeumbwa na nani?
@ismyhugo86394 ай бұрын
@@leilamsafiri8320lakini sio nchi ya kislam
@leilamsafiri83204 ай бұрын
@@ismyhugo8639 Uislamu si nchi ni mtu au watu na Imani zao kama sisi hivi.
@ringsnflashestv80673 ай бұрын
Ndugu yangu saudia imezid kufru yaaan wanayoaanya sasa ni kuudhalilisha uislam,upotoshaji na hata kumdhalilisha mtume wetu(s.a.w) kwaiyo sheikh ameongea ukwel bora ufate unaowajua wahuni kuliko wale wanaojificha ficha ila ni dhshir zaid ya wahuni
@leilamsafiri83203 ай бұрын
@@ismyhugo8639 UISLAMU ni watu si nchi
@imamumohamedmalina69954 ай бұрын
Jazaak LLAHU khairan 🙏
@bakarhamadhassan44844 ай бұрын
SHEIKH Umesema kweli . Kwa wale ambao wameshakwenda hijja wanavyoteswa kuingia mckitini na maaskar . Chini nafasi zipo wanalazimisha waumini wapande ngazi wakaswali juu na maaskari hao wanaweza kuondosha mswala au kukusukuma ukiwa tayari umesha hirimia swala. Kwakweli uislam wa saudia mtihani tayari wanafungua kumbi za starehe . Kwa 7bu SHEIKH amesema ukweli endelea.kumtukan nakumdharau
@hafidhwajina67184 ай бұрын
Na ukiwa na irizi askari nimeskia wanakutimua,hilo ujaskia?
@ringsnflashestv80673 ай бұрын
@@hafidhwajina6718kwaito unapitisha hoja iyo kuhalalisha maovu yao? Yale masanamu wanayotaka kuyajenga saivi je? Si kama hiyo hirizi tu
@hafidhwajina67183 ай бұрын
@@ringsnflashestv8067 sisi hatuchukui dini kwa viongozi wa dora ya saudia,wanavyuoni wa soudia si viongozi wa nchi,
@user-ts1kz1lw9p3 ай бұрын
فقال مخاطباً مكة: (واللَّه إنَّك لخيرُ أرض اللَّه، وأحبُّ أرض اللَّه إلى اللَّه، ولولا أنِّي أُخرجت منك ما خرجتُ)
@bensonamusavi-hy4yt4 ай бұрын
Allah akurehemu
@adilsaleh38674 ай бұрын
Kenya pia kadhi apangiwa cha kusema. Dini si team kushabikia kama mpira. اللهم أرنا الحق حقا وارزقنا اتباعه
@ringsnflashestv80673 ай бұрын
Kwaiyo kenya na saudia ni sawa?😅😂😂😂
@user-bg2yc4kw9k4 ай бұрын
Subhanallah
@mbwanarajab72384 ай бұрын
Subhaanallhah..
@prettynayally21774 ай бұрын
Ingekuwa makkah inawez Hamsha tugeihamisha Africa 😊
@azizayassin36234 ай бұрын
😢😢😢😢kwa kwali
@mohammedsiga72024 ай бұрын
Wa makka waliukataa uislamu.. waa Africa ndio tuliukubali mwanzo .. Alhamdulillah ❤️
@ismaelmwinyi9214 ай бұрын
Africa yenyewe inaendeshwa na wazungu,viongozi wa nchi za Africa wanafuata matakwa ya wazungu,nchi hazijitegemei zenyewe,we unafikiri Raisi wa nchi yeyote ya kiafrica akienda kinyume na wao atabaki madarakani?
@WaridiTambi4 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂
@user-ts1kz1lw9p3 ай бұрын
إن الله تعالى قيّض لها ملائكة يحرسونها، فلا يستطيع الدجال إليها سبيلا؛ بل يلقي إليها بإخوانه من الكفار، والمنافقين، كما أن من لوازم دعاء النبي صلى الله عليه وسلم بالصحة ورفع الوباء ألا ينزل بها الطاعون، كما أخبر بذلك المعصوم صلى الله عليه وسلم. (البر، 1997، ص 158
@hassanovajunior69723 ай бұрын
Naam sheikh wangu yani umeongea facts Saudia imepoteza mwelekeo kabisa hata mm sipo pamoja nao hata robo
@user-bz1rc1yk3y4 ай бұрын
Ed nimeelewa vizur
@mamuomar57494 ай бұрын
Sai hata hairusiwi kutowa sadaka msikitini ukishikwa watowa sadaka msikitini watiwa ndani SubhanAllah
@najimnagy60203 ай бұрын
Safi sana ustadh.
@KassimEdrisa-dd7zh12 күн бұрын
Wewe ni shekh hamnazo
@saddamzy3 ай бұрын
Saudia ardhi ya TAWHEED .Ndo uislamu umezaliwa pale.sasa wazungumzaji kama hawa wakuhamasisha ndo suluhisho? Anavomaanisha chemchemi yetu ya dini iwe Jamaica.Subhanallah
@awatifalghanim11064 ай бұрын
Amin
@mwanakombokalamu70094 ай бұрын
Ni kweli kabsaa sheikh hata sai marufuku kula iftar misikitini huu mwezi wa Ramadhan
@user-lt1bi5nr1x3 ай бұрын
Shekhe upo sawa saudia dini imeyumba sana. Wamebaki na ufalme wao tu
@musasaid79174 ай бұрын
Karibuni sasa utaskia wanafuata Saudia ni dhambi kufuturi mskitini, kuwaombea wapalestina kwenye qunuti na pia kuswali kwa speaker. Hayo hayako mbali.
@ChiringaLwambi-mi7bz4 ай бұрын
Mwenyezi Mungu ndio anae jua ushindi wa wapalestine wakati dakika na sekunde Insha Allah
@husseinally66994 ай бұрын
Kweli kabisa saudi asaiv imeharibika sanaaa tena sana ikiwemo na zanzibar yetu , ila hapo kwenye kufunga mimi nafunga mwezi ukithibiti kuandama popote hata ukiandama mabwe pande
@MuhamedYussuf4 ай бұрын
Mashallah
@user-yu9gy6dg3g4 ай бұрын
nchi yangu hiyo saudia 😎🤓✌🏻
@user-fk6mt5ib6g3 ай бұрын
Kumbe we msaudia? Ebu tuone pass yako.
@user-yu9gy6dg3g3 ай бұрын
ni nchi ya kila muislamu @@user-fk6mt5ib6g
@ringsnflashestv80673 ай бұрын
😂😂😂😂
@mrok2843 ай бұрын
Masha Allah
@abdullahmasakata1704 ай бұрын
Mimi Niliwambia hao Wasaudia Arabia walisha tekwa na mayahudi na marekani, Alafu hao viongozi Wa nchi hio ni Mawahabi. Alafu huku kwetu ndio waislam wanao ongoza kuradi waislam wengine, Kwanini hawawaradi mawahabi wenzao wa Saudia?
@DawoudMohamed3864 ай бұрын
Naomba Nikuulize Swali ndugu yangu. (1) Saudia imekukosea Nini? (2) wewe Nchi Yako uliyopo Kiongozi ni Muislamu? (3) Saudia ni Nchi kama Nchi nyengine, na Ni Nchi ya Kiislamu, na kupatikana Makosa ndani yake Lazima Kwa Sababu wanaoiendesha ni Wanadamu sio Malaika...Mbona Lawama zote mnazipeleka Saudia?
@abdullahmasakata1704 ай бұрын
@@DawoudMohamed386 Kuhusu swali lako la kwanza Saudi Arabia wamenikosea nini, Kwanza elewa mimi similiki nchi, Pili elewa nchi ya Saudia ili ionekane kunikosea kwanza Umesema mwenyewe ni nchi ya kiislam sasa makosa yanaanzia hapo nchi ya kiislam kutofuata misingi na sheria za kiislam, Saivi viongozi Wa dini wa Saudia hawana mamlaka yoyote zaidi ya kutii sheria na amri za kifalme na sio Quran. Hapo ndipo makosa yao yalipo na kwakitendo hicho hata Allah hapendi na hivyo mimi ninani niungane nao? Siwezi.
@abdullahmasakata1704 ай бұрын
@@DawoudMohamed386 Kuhusu swali lako la pili, Jee nchi Niliyopo kiongozi ni mwislam? Jibu ndio ni mwislam tena anaitwa Samia Suluhu Hassan, Au ulimanisha kiongozi wa dini? Kama ni kiongozi wa dini yupo anaitwa shekh ABBAKAR ZUBERY. Kama hukuwa na maana hii rudia kuuliza swali vizuri.
@abdullahmasakata1704 ай бұрын
@@DawoudMohamed386 Swali lako la tatu unasema kwanini lawama zote tunazipeleka Saudia? Wakati na yenyewe ni nchi Kama nchi zingine na unaongozwa na wanadamu Sio malaika. Majibu ni kwamba ili nchi iwe ya kiislam Shariti kwanza itimize hukumu zote za kiislam na ifuate misingi yote Quran na uislam sahihi kwa ujumla wake.
@thuweinmassoud90624 ай бұрын
@@DawoudMohamed386 Hhh kama imekuuma mfuate dm lakini ukweli umesha semwa
@shabanramadhan76324 ай бұрын
Kuna umuhimu wa kuikomboa Tena makka
@joycelinelyimo-fenske87454 ай бұрын
Huyu kapikwa na Wazungu. Saudi Arabia amemfungia mafuta Mmarekani. Sasa Mmarekani aliyekuwa rafiki yake hapo zamani za kale ndio anamfunua Uchida na kumsingizia ili Waislamu wote Duniani wawachukie haswa kwa mfalme na mabinfalme. Huyu ni kibaraka pia...! Ushindwe katika jina la YESU.
@user-fk6mt5ib6g3 ай бұрын
Pambana kujikomboa kama mwafrika, wasaudia sio nduguzenu Wala hawakukubali hata kidogo.
@fatmaahmed86374 ай бұрын
BASI HIVYO WAFUNGE WAO KATIKA MAJUMBA YAO..KUIKOSEA DINI NI KUMKOSEA ALLAH
@jamalalnadhir40584 ай бұрын
Kweli kabisa
@simakhsimai35794 ай бұрын
😢 allahu akbar
@mohammadswaleh69004 ай бұрын
Mufti kwenu lamu Mashkhe wenu wakubwa wanajulikana kwa uchafu Mbona mwayanyamazia?Au kwasababu ni Family zenu munawastiri Kuweni na inswaf na dini. Shida mwasubiri pesa za KZfaq za hao hao makafiri SubhanaAllah
@user-wz4iz9xv8t4 ай бұрын
Ww shekh muogope mung ww sisi sote tuna muomba mungu tuu acha kuwakejer waisilaam wezako
@omarsakawa20703 ай бұрын
Kwani lipi limekukera?
@bagalucha3 ай бұрын
Tatizo wengi ya hawa washihiri/wayemen wanaochikia saudia,ujuaji na ushindani Ndo khalaka zao,ndio maana ujuaji wao haweshi kupigana vita wenyewe kwa wenyewe,nchi wameitia ufukara kwa ujuaji wao,mashia/houthi nia wao,masufiya waabudu mawalii Ndo wao,almradi hawa watu mtihani mtupu wa ujuaji,wasiokuwa nao,ama kwa kusema huwawezi na utoaji makosa,Allah keshaijalia Kaaba ipo Makka Saudia,sasa mnataka hilo Kaaba liondoshwe liende wapi,kazi asubuhi na jioni kupotosha tu,elimu hamna,ama ujuaji mnao
@@gasperjohnson3388kwa fikra na imani yako lakini kwa imani yetu maneno yake ni Qur-an😊
@ismailmohamed413 ай бұрын
MZUSHI MSANII CHIZIDINI UMEFEDHEHEKA NA URONGO NA UCHIZI WAKO. ALLAH NDIYE ATAKAE KULIPA KWA UOVU NA UPUMBAVU.
@batwalasiraji17294 ай бұрын
Shekh pole sana rudi shuleni labda kuna kitu ulisahau kusoma
@nassirzamzam93123 ай бұрын
Sehemu kama kuna tawheed hakuna mtu ataiharibu dini ya mwenyezimgu mohd bin seleman ata akafanya mbinu gani kuiharibu dini ya mwenyezimgu dini itakua palepale lakini ikiwa bidaa dini itaenda maji.
@gamarmahsan82543 ай бұрын
Allahu Akbaar jambo la kuskitisha
@abdusalamrugami35204 ай бұрын
Allah atuhifadhi na matendo ya sudia
@khadijaabdalla86523 ай бұрын
❤❤
@ppandenassoro66663 ай бұрын
Ukowapi uwiano wa Saudia na Jamaica .Allah akuongoze ni hasadi ya watu waovu kuwasemea masheikh wa Saudia wakati wenyewe wapo .Ulamaa wanafanya duruusu na wanatoa Fatawa mbalimbali
@furahangumbao4 ай бұрын
Kweli
@user-fq3zu9pc4b4 ай бұрын
Anachozungumza Sheikh Ni sahihi...na kiukweli Saudia imeharibiwa Sanaa na Utawala wa kifalme ...Lakin hoja ya Mwezi sio kweli hua unaandama Saudia tu...Nchi nyingi tu huonekana
@mohamedalawy61723 ай бұрын
Tatizo hapa Kenya , mwezi unakubalika ukionekana sehemu fulani , lakini ukionekana maeneo mengine haukubaliki .
@user-yq8jf1ue7o4 ай бұрын
Sheikh izzu ddyn maashallah
@hemedihussein92084 ай бұрын
Nikweli kabisa
@mamitomamita62844 ай бұрын
Sheikh ww umeongea ukweli Kabisa sasa mtu akitaka kusikia ni sawa na wasipotaka wao na MUNGU wao
@mnolamanyendi49564 ай бұрын
Acheni kulalama kwani wakati Saudia haijaja badilika mlikuwa mnaifuwata kama kubadilika nijuzi tu miyaka yote mbona mlikuwa hamfuwati
@ringsnflashestv80673 ай бұрын
Mskilize vizur shekhe punguza mihemko sawa
@zanzibar-hf7vh4 ай бұрын
takbiir
@ubamwamkoba30544 ай бұрын
Allahu Akbar
@irtshisekedikhamis56484 ай бұрын
Allahu Akbarullahu Akbar
@hamadiomari68394 ай бұрын
Allah Akbar
@babanusayba36004 ай бұрын
هداك الله
@mastermacheni9324 ай бұрын
Kumbe wajuwa hatufati soudia tunafunga mwezi ukionekana duniani kote
@abdalla0033 ай бұрын
Huyu shekhe anatumia hekma kuhalalisha yasiyofaa,ni km hajui kuna tofauti ya UISLAM na MUISLAM 1)Wanayoyafanya saudia km makosa isiwe sababu ya kukosa kufata Quran na Sunah maana hata ww unafata sheria za Kenya ambazo nyingi ni za kikafiri 2) Mwezi hata ukionekana sehemu zingine huwa hamufati ila lawama linasukumwa kua 'mwezi ni wa saudia' 3) Anasema Saudia ilikua kitambo kwa maana ilikua katika mwelekeo wa sawa Je hiyo zamani mlikua mnafata wakiwaambia kuhusu mwandamo wa mwezi??? Ni bora uendelee na mawaidha yako ya zinaa hiyo sekta ndio uko active sana huku kwengine mmmh ata siamini na iyo elimu unaeza bwabwaja hivo...
@abdulykahera42734 ай бұрын
Hawa masufi kazi yao kubwa nikuiponda saudia sisi wengine tushajua nijuhudi zamashia kuidondosha suna
@Nuru_ya_sunnah.official4 ай бұрын
piga kelele lakin saudia itabaki kua dola ya kiislam na dola ya tawhiid...
@hassanboru4 ай бұрын
Dola ya kiislamu na Kila kitu Iko against Islam awasaidie ndugu wetu Palestine tuwe na Taqwa zamani lakini sio sai
@Nuru_ya_sunnah.official3 ай бұрын
@@hassanboru iko against na kipi? we hufikirii kama saudia ikianza kuingia vitani nini kitawatokea? au unadhan kukurupuk ndo soln? acheni kuituhumu saudia na ni makosa kusema saidia na jamaica bora Jamaica!! huko ni kukosa kujua thaman ya uislam lkn nendeni huko jamaica mkale mirungi
@abdinoormohameddido49504 ай бұрын
Si sawa sheikh unavyosema ila ni kupotosha,,,bado hajj na umrah utaenda huko saudia
@abdab84664 ай бұрын
Hajasema makosa saudia kulikua na Halloween,hata Kenya nchi ya kikristo pia hatujasherehekea halloween
@abdab84664 ай бұрын
Mambo yanayofanyika saudia hayapendezi kama kiigizo chema kwa waislamu
@DafiMohamed-dz8xk4 ай бұрын
Saudi Arabia hamna kitu walishasaini mkataba na mayahudi kutokuiunga mkono Palestine muda mwingi sna kwa hiyo ndio maana hawataki mambo yeyote kuhusu Palestine mtihani mkubwa
@mharamimntoro49394 ай бұрын
Ww unausingizi kajisaidie ulale Maana hujui unachokisem
Yaanni saudia ina kiongozi anaipeleka atakavyo. Masheikh hawana la kusema. Mtihani. Ni kweli ni bora kufuata jamaika hawana lao jambo.
@msamgunda76844 ай бұрын
Lengo kuu ni kuutawanya umma wa kiislaam.lengo linatimia sasa.
@joycelinelyimo-fenske87454 ай бұрын
Ndio. Na ndio wameingia pale kitovuni. Western. Ni weupe tu lakini ni Evils 😈.
@joycelinelyimo-fenske87454 ай бұрын
Mimi ni mkristo. Lakini dini ya Kiislamu ndio iliyokita kutoka mawaidha ya hapo zamani za kale. Sasa wazungu hawa walioiandika biblia haswa kwa upande wa Agano jipya ndio wako sambamba na shetani.
@asiahamis78934 ай бұрын
@@joycelinelyimo-fenske8745unaonaje rafik yang ukasilimu ukawa muislam ❤
@sheikhhassanahmad84654 ай бұрын
Hiyo Zamani simulikua mukiupinga huo uislamu Saudia,sasa mwatambia afadhali Zamani ilikua ikiendeshwa kislamu
@abduwahabi70194 ай бұрын
Na kila mtu anapenda aishi suudia ndio maana wanazuia njia yoyote ya kuingia kiholela holela ili uingie lazima uwe na tiketi ya hoteli unayofikia ili ukimaliza siku zako uondoke,ila nyie masufi hamyajui hayo kazi kuipondatu suudia.
@makendemakende3 ай бұрын
Safari hii HAJJ na UMRAH tutaangalia JAMAICA 🇯🇲 , tusisahau kupitia mskiti wa bob Marley
@ringsnflashestv80673 ай бұрын
Kwa hilo jina lako hata comment section haikuhusu . Hivi kumbe wewe ukienda hijja unstakiwa uifate saudia na sio alkaaba kwa sharia za Allah? 😅
@laylayl51664 ай бұрын
MashaAllah mungu akulipe kheri nyingi nyingi
@user-ym3yy4oz1c4 ай бұрын
We shehe mnafiki
@MOHAMEDYUSUPH-oq1th3 ай бұрын
Haraamu kumuita muislamu mwenzio mnafiki c vizuri
@ringsnflashestv80673 ай бұрын
Tena Sio muislam wa kawaida tu yaan ameita mnaafik aalim sheikh mkubwa tu east Africa 😢 dah @@MOHAMEDYUSUPH-oq1th
@LuluLillies-vv2rl4 ай бұрын
Saudia is the holy place that why we follow as sunnis
@alwyjahdhamy80944 ай бұрын
He its holy but the leaders are making us to question their Islamic movements. Especially on moon sighting
@KassimEdrisa-dd7zh12 күн бұрын
Hatuwezi kuiacha haki na kuwafuata Masufi wa dini mseto