Рет қаралды 15,857
Katika video hii nimeelezea tabia tatu ambazo kama mfugaji unahitaji kuwa nazo ili kuongeza utagaji wa kuku wako
kama tunavyojua wafugaji wengi wakiona kuku hawatagi huwa wanakimbilia kwenye chakula na magonjwa lakini ukweli ni kwamba kuku wanaweza wasiumwe na wakapewa chakula kizuri na bado utagaji ukawa chini.
Hivyo nitoe wito kwa wafugaji wa kuku kwamba wakati mwingine ni wewe mwenyewe ndo unasababisha kuku wako wasitage hivyo ni vyema kujirekebisha
kama umependa kipindi usiache kulike pia weka comment yako hapo utuambie kama kuna tabia nyingine za kuacha tuzidi kujifunza
kwa mawasiliano zaidi nitafute kupitia
Email; abasiawazi075@gmail.com
Instagram;
/ abasi_alfani
whatsap
+972 552 726 444
Asante.