Kwenye video hii nimeelezea mbinu zitakazokusaidia kuzuia magonjwa kwa kuku unaweza weka maswali yako kwenye comment au pia unaweza nichek kupitia instagram Natumia abasi_alfani whatsup number +972 5527 264 44
Пікірлер: 134
@philistermito12114 жыл бұрын
Kuku wangu walikuwa wanataga wakaacha kutaga kwa nini?
@bwanashamba74974 жыл бұрын
asante kwa swali zuri zipo sababu nyingi zinazoweza pelekea kuku wako astop kutaga 1. umri 2.chakula 3.magonjwa 4.pia inaweza sababishwa na kipindi cha baridi ambapo mwanga wa jua unapungua emb niambie kama kuna dalili ya kuumwa wanaonyesha ili nikuambie cha kufanya
@mohamedyabdallah27624 жыл бұрын
Naomba formula ya kuchanganya chakula Bora Cha kuku wa kienyej wanaokua na wanaotaga
@user-ob4tb2tu3v27 күн бұрын
😅😮😮😅😅
@deofurniture77004 жыл бұрын
Shukrani kwa majibu ndugu tuko pamoja katika kulisongesha gurudum la maisha
@mkufunzimbaraka55252 жыл бұрын
Kuku wangu anataga halafu anaacha Alalii nimfanyaje
@kulwamadaha31904 жыл бұрын
Ndugu na omba formula ya kuchanga chakula cha kuku wa kienyeji kuanzia siku ya kwanza mpaka miezi sita na kuendelea
@michaelyona95734 жыл бұрын
Wouh ahsante nimekupata
@sadifata21604 жыл бұрын
Asante Sana kwa majibu mazuri
@user-uc9do2gu2m2 ай бұрын
Mimi viranga wakifikisha mwezi miwili wanaanza kuumwa nifanyeje happ😊
@user-pk2fp8hf7iКүн бұрын
Mm nataka kuja huko izraeli kufanyakazi za kufuga ili nijifunze zaidi nasaidie nifki huko
@Kmaryam4 жыл бұрын
Asante kwa elimu hii bwana Shamba
@saidimhando2701 Жыл бұрын
Assalaamualaykum...mm naitaji kujua njia rahis yenye garama nafuu katika kilimo cha nyanya... shamba langu lipo eneo zuri lenye asisili ya bonde na maji yanapatkana kwa wepesi ukichimba ksima kwaajli ya umwagiliaji
@salmamohammedyahaya60983 жыл бұрын
Asantee kwakutuelimisha Kwa ufasaha zaidi ,
@frankbella1964 жыл бұрын
Tupe somo tunakufatilia bwana shamba
@bwanashamba74974 жыл бұрын
Asante Sana ndugu yangu
@tabumasumbuko72134 жыл бұрын
Hongera bro na asante kwa kutufundisha
@hopedavid44293 жыл бұрын
Habari nafurahishwa na masomo yako kuku wangu wa kienyeji wakiingia kutaga wanachuka mda mrefu anachukua masaa nawili hadi manne Hadi atage
@patrickmdemu70263 жыл бұрын
Hongera kwa ufugaji mzuri
@hamiloyusufu19824 жыл бұрын
Bwana shamba🙌🙌
@theodoramukungu30114 жыл бұрын
Habari.. Kuna kuku wengi wa kufuga kienyeji na chotara. Swali langu Kuna vijogoo haviongelewi Sana Naomba kujua faida na hasara ya kufuga vijogoo na aina ya chakula chakuwapa
@bwanashamba74974 жыл бұрын
Ntajibu swali kupitia kipindi Wiki hii kuwa tu mfuatiliaji
@mwl.zabronbatega67174 жыл бұрын
Formula ya kuchanganya chakula cha kuku Aina ya layers
@user-uf3fz6vg7b7 ай бұрын
Nimefurahishwa na kipindi chako na swali langu ni ili Je??ni sababu gani zinapelekea kuku kutaga yai ambalo halina layer ya juu (I mean anataga kiini tu)
@zubedadahalgould88092 жыл бұрын
Ninaomba kujuwa na kiutaalamu kuwa kuku wanyama ukiwa unawapa starter, grower na finisher 600 wanakula gunia ngapi kwa week na mpaka wawe tayari kuwauza
@selemanhassan3604 Жыл бұрын
Habar mtaalam naomba kuuliza suali maan kuku wangu wanatabia ya kudonoana na kutoana manyoya sasa je nichukue hatua gani kwa kuweza kusolve tatizo hilo ndani ya shamba langu?
@mecktridachanila3741 Жыл бұрын
Nashukuru kwa elimu changamoto ya ufugaji ni masoko kwa Tanzania unaweza tusaidia?
@khalfanmwarab99423 жыл бұрын
1.Naomba kujua njia bora za kulea vifaranga. 2. Naomba kujua vipimo halisi vya Namna ya kutengeneza banda la kuku ( cages) urefu, upanda na idadi ya kuku kwa cage 1..kuku chotara
@changamkiafursa4 жыл бұрын
Kazi nzuri kaka mkubwa
@josephathur45092 жыл бұрын
Kuku akiwa anapumua kwa shida na kuishiwa nguvu tatizo inakua nin?
@maamumakubwaa86762 жыл бұрын
Asante sana bwana shamba swali langu namna ya kujenga banda kama hiro naje ? Mtu akitaka kununua vifaranga inawezekana
@agetamaeba61264 жыл бұрын
Nataka kujua size na design mzuri kwa kuku 200 a kienyeji. Mimi Niko Kenya
@efremmgaya72443 жыл бұрын
Banda bora laufugaji wa kuku linakuaje? Je? Spacing kati ya mche wa cabbage moja na nyingine ni ipi? Na nimiche mingapi inatakiwa kupandwa ndani ya eka moja? Asante.
@faithkutai51654 жыл бұрын
Hi?Swali langu ni moja.kila kuku wangu wanapoanguliwa wanafura macho,na midomo.kila ninapouliza naambiwa chanjo ya gumboro.nisaidie.wanafura kabla ya siku Saba kufika
@godfreyobadiah78922 жыл бұрын
Nataka kujua namna ya kugundua ubora wa chanjo unapoipata ktk Agro pharmasys.
@AlodiaAdlofu-lb7fw Жыл бұрын
Je? Nahitaji kuwa na mtaji kiasi gani kuanzisha bishara ya ufugaji wa kuku?
@fraternitesecondaire707311 ай бұрын
Ni chakula gani bora yakuipa kuku ? Na namnagani yaku tengeneza chakula cha kuku ?
@fanihama50314 жыл бұрын
Good
@hassanally4464 жыл бұрын
Asante sana, Swali langu ni kwamba Nafanyaje ili nisiuze kuku kwa hasara?
@seifali8554 жыл бұрын
Seif jinsi gan unaweza kujenga banda bora
@aljabery.binruz4 жыл бұрын
Vifaranga wangu wamepata ugonjwa ya makoti na kusinzia, na kukaa juani kila muda na haya yameanza baada ya kuwapa chanjo ya kwanza. Nipe sababu na namba ya kuwatibu na kupona haswa hio ugonjwa ya makoti unasumbua mno pls jibu na dawa gani tuwape
@ramaaibu47073 жыл бұрын
Ni hv bwana shamba kuku wa kienyeji anaweza kuanza kutaga akiwa na umri gan
@douglasamanzi45253 жыл бұрын
I like your Advice, Let me have your CANTACT !!
@lukmanbakari23184 жыл бұрын
Habari kaka Khalfan, naomba kujua ni namna gani unaweza kuwapa kuku chanjo na je, kuna njia ngap za kuwapa chanjo kuku. Plz naomba utuelezee
@fadifadifadi97764 жыл бұрын
Tunaomba utujibu na hili bwana shamba
@bwanashamba74974 жыл бұрын
asante kwa swali zuri naliandalia kipindi ila nitakujibu pia private nichek instagram au kupitia email yangu
@joelurio2777 Жыл бұрын
Tatizo linalosababisha kuku kuwa na magamba kwenye miguu ni nini?
@alfredassey67944 жыл бұрын
kulipa wangu wameota sugu kwenye viungo kati ya paja na miguu kisha kumeota uvimbe unaopasuka pasuka kwenye nyayo na kumfanya kuku asisimame kwa urahisi. Hii inasababishwa na nini?
@msafirizephania53813 жыл бұрын
Bro ndokwanza naanza ufugaj kuku wangu niwadhoof cjui ttzo ni nn please masaada wakoo
@geraldndila51725 ай бұрын
He chanjo ya tatu moja inatakiwa uchanje mara Ngapi
@salumyussuf21404 жыл бұрын
Jee vipi unaweza kuchanganya kwa pamoja kuku wachanga ( vifaranga ) wenye umri uliopitana kwa siku kumi naitwa Salum Yussuf au Mr Machano poultry farm enterprises
@bwanashamba74974 жыл бұрын
Asante Sana kwa swali zuri Kitaalam huwez ukachanganya kuku wadogo na wakubwa kwasababu itapelekea wadogo kukua kwa kusuasua kutokana na competition ya chakula yaan wakubwa watakua wanawazuia wadogo kula asante
@atubeka93174 жыл бұрын
Safi sana kiongozi
@abdilfertterhomary72884 жыл бұрын
Hivi vifaranga wakiwa wana jikunja Sana na wana muda wa wiki mbili inakua nin?
@hamidajilo57924 жыл бұрын
Ni kweli kukiwa na barid wanapunguza kutaga msaada hapo
@anithahosea94724 жыл бұрын
Feeders hizo zimapatikana wapi? Zilizopo hapa kwetu siyo za hivo..
@modestakatala23843 жыл бұрын
Natafuta soko la kuku wa kienyeji
@sadikisadiki3604 жыл бұрын
Tunakungoja tz
@fakijukalo32174 жыл бұрын
Huyu jamaa anajua
@mwl.zabronbatega67174 жыл бұрын
Naomba kuelimishwa namna Bora ya kuchanganya chakula cha vifaranga
@lucasmsuka82524 жыл бұрын
Asante bro, nimekuelewa na ntaendelea kukufuatilia kaka, Mie pia nafuga kuku na mifugo mingine
@allymussa24204 жыл бұрын
Kuku mkubwa wakutaga unaluhusiwa kumpga chanjo
@alfasinda62404 жыл бұрын
SoMo lako zur
@upendosanaagroup8906 Жыл бұрын
Saf kija but can you do thamongi for me?
@mwacharotandara4103 жыл бұрын
Tueleze Aina za Chanjo na no lini tunawaza kuzipeana Bwana Abbass
@viviancharles23074 жыл бұрын
Nataka kufuga kuku nami...jina lako la instragram ni ipi,na waweza nielimisha jinzi ya kuoparate incubator please
@bwanashamba74974 жыл бұрын
Instagram abasi_alfani
@barakalema72742 жыл бұрын
Ni vipi Nina weza kutengeneza black soldier fly au insects kwa chakula cha kuku
@jumannejumaa77324 жыл бұрын
🤗🤗
@manyindafrida82724 жыл бұрын
Vifaranga vyangu nilivitoa inje baada ya miwili, ktk kuoKota vijidudu, vinaharisha je nivipe Dawa gani?
@hamisahanip15534 жыл бұрын
Mi nampenda bwana shamba
@gideontv88444 жыл бұрын
ASante nashukuru kwa somo
@emanuelimollelkilusu52063 жыл бұрын
Ni njia IPI rahisi ya kuzuia viroboto kwa kuku?
@delphinnguru52424 жыл бұрын
Delphin toka DRC, mutuel funze vile kwa luga la kifasa kwani Sisi tuna tatizo kubwa Haru elewi vizuri swahili tanyania kwa muna ichanga na kingerera
@bwanashamba74974 жыл бұрын
Don't worry we will also put the subtitles
@abubakarmzee33744 жыл бұрын
Tuko pamoja kaka
@kmndeme90912 жыл бұрын
Niaje sheki miye ni kange nisaidie contact zako shek
@arnoldmwenda93483 жыл бұрын
Je ni eneo lenye ukubwa gani naweza fuga kuku 100?
@bernbern14214 жыл бұрын
Nipo sumbawanga na ni sehemu ya joto kwa miezi iliyomingi.naomba kujuwa dawa ya kideli inayoweza kuzuia na kutibu ugonjwa wa kideli mana ndio ugonjwa wenye changamoto iliyokubwa kwangu
@bonanemichel62254 жыл бұрын
Asante sana kwa somo hili, sasa Chakula cha protein ni kipi?
@winifridamlungu69012 жыл бұрын
Dagaa na soya
@basiopolio33034 жыл бұрын
Huyu ndo bwana shamba tuliekua tukimngoja unamuuliza swali then anakujib
@fadifadifadi97764 жыл бұрын
Tumekuelewa bwana shamba
@deofurniture77004 жыл бұрын
Piakuana ambacho bado sikijui kuhusu chanjo ya mareks huwa inapelekea vifo vya vifaranga
@bwanashamba74974 жыл бұрын
usjali nitaelezea kwenye video ya chanjo
@iddtunutu66094 жыл бұрын
Bwana shamba mimi nauliza jinsi ya kutunza vifaranga wakienyejii kwa ni ndani ya wiki nimepoteza vifaranga kumi'please msaada bwana shamba
@trippleepluse3303 жыл бұрын
Natumiaje mkaa kwa kuku wenye mafua wanavimba macho
@mercyngaeje54003 жыл бұрын
Naomba kuelekezwa namna ya utunzaji wa ng'ombe wa maziwa ili aweze kutoa maziwa mengi
@agapesiaminjaa50753 жыл бұрын
Hizo carge bei gani
@anithaligambas31313 жыл бұрын
Akika wewe ni bwana shamba upo vizuri usichoke kutupa somo
@AbernegoKikungwi8 ай бұрын
Oya et maana ya neno " check pea" ni nn
@chedielmasinga1934 Жыл бұрын
Upo viziri , NASHAURI KAMA UTAWEZA ANDAA VITABU VYA MAFUNZO HAYA, KWAAJILI YA WAKULIMA WASIO NA UWEZO WA KUMILIKI SIMU JANJA
@furahamuywanga24273 жыл бұрын
Dawa nzuri ya ndui kwa kuku Ni ipi?
@onoratonorat27034 жыл бұрын
Kwann kuku wanatokwa na vidonda kichwan
@hamidabmj84704 жыл бұрын
Kuku wangu wanyama wanasumbuliwa na mafua
@hamisimusaa16984 жыл бұрын
Zipi mbinu za ufungaji wa kuku
@twalibsaid95734 жыл бұрын
Kuku wangu wanamadhi ya kupepesuka wakitembea. Unanisaidiaje mkubwa
@bwanashamba74974 жыл бұрын
hapo kuna mengi eidha ni magonjwa kama vile fungus pia inaweza ikawa hawapati madini ya calcium kwenye chakula hakikisha banda lako ni kavu kuzuia fungus pia hakikisha chakula kina calcium
@shazzamumremi81134 жыл бұрын
Bwana Shamba nauliza kuhusu vifaranga, Vifaranga vyangu vinaumri wa wiki mbili vimepata ugonjwa ambao siujui na sijui nitumie dawa gani ugonjwa huu niwakuanguka kama kifafa vile akianguka analala chali na anatupatupa miguu na akijitahidi kuamka ana angukia upande wapuli kama alikuwa ameamkia mkono wakushoto ataangukia kulia nk na haponitena atakaa siku moja ama mbili atakufa sasa niugonjwa gani huu najee nitumie dawa ganiii nani chanjo ama tibaa ahsant nipo manyata
@bwanashamba74974 жыл бұрын
@@shazzamumremi8113 asante kwa swali zuri vp kuna dalili yoyote nyingine wanaonyesha kabla ya kuanguka?
@enockmati60634 жыл бұрын
Mbinu za kutoa na kuzuia viroboto vyekundu kwenye Kuku
@selemanhassan3604 Жыл бұрын
Naomba namba zako za wasap ambazo unaweza kupatikana maan ulizoeka siwezi kukupata
@dakahuop12554 жыл бұрын
Mi Sina swali ila siwez acha kucomment
@allymussa24204 жыл бұрын
Kuku wa miez mitatu unaruhusiwa kuwapga chanjo
@mandelajames54734 жыл бұрын
Swali lang ni kwamba, ili nipate mafanikio ya haraka na mengi, kati ya kuku chotara na kienjeji pure, ni wapi wanafaa ??
@bwanashamba74974 жыл бұрын
chotara
@msafiriduwiya77652 жыл бұрын
@@bwanashamba7497 safi
@25matonya4 жыл бұрын
Hiv hakuna mbinu yoyote Ya kumfanya Kuku aendelee kutaga wakati wa baridi
@harounamaemmoune72923 жыл бұрын
Naweza kupata contact zako samahani
@gagasima95064 жыл бұрын
Nimefurahi kwa majibu naomba utujibu na hilo baridi
@shariftwahir84932 жыл бұрын
Kama unatumia cages
@nassraal-riyyami83874 жыл бұрын
Kuku wakidokoana ni tatizo gani?
@bwanashamba74974 жыл бұрын
hilo ni tatizo lla kawaida ambalo hutokea endapo kuku wanakosa madini ya iron (chuma ) kwenye chakula hivyo wanajaribu kutafuta kwa kudonoana solution yake ni kuwaekea mchanga lakin pia unaweza wawekea majani kuwafanya wawe busy na kuacha kudonoana naliandalia kipindi nitajibu kiundani
@harounamaemmoune72923 жыл бұрын
Hi samahani naweza kupata contact zako
@tatuathmani8834 жыл бұрын
nasubili video nyingine
@antonyngowa83294 жыл бұрын
Kuna kuku wangu hawakuli wanaka kama anasizia
@a2gmgimwa34 жыл бұрын
Maelezo nie ya mada
@aleqchupack43054 жыл бұрын
Nata kufuga Kuku wakienyeji 2000 banda liwaje nn heka 1
@bwanashamba74974 жыл бұрын
safi sana jambo zuri eneo la heka moja ni kubwa na linatosha sana kwamaana kwa kuku wakienyeji 1000 wanahitaji banda la urefu wa futi 60 na upana wa 34 hivyo ukijenga mabanda mawili na fens nje kwani utatenga eneo lao la kutembeatembea nitaandaa video namna ya kujenga banda ili kujibu swali hili kiundani
@amanijm7464 жыл бұрын
@@bwanashamba7497 mi ndio naingia leo. Hili suala la Banda lilishajibiwa??
@clemenciaassenga90903 жыл бұрын
Je kuku wa layers wanaweza kuoewa majani? Na je ni majani gani yanafaa?
@simonkasato76174 жыл бұрын
Toa namba
@bwanashamba74974 жыл бұрын
Sawasawa naiweka hapo kwenye description mda si mrefu