MBINU 3 KUZUIA MAGONJWA YA KUKU/kilimo na mifugo israel

  Рет қаралды 41,145

Bwana Shamba

Bwana Shamba

4 жыл бұрын

Kwenye video hii nimeelezea mbinu zitakazokusaidia kuzuia magonjwa kwa kuku
unaweza weka maswali yako kwenye comment au pia unaweza nichek kupitia instagram
Natumia abasi_alfani
whatsup number +972 5527 264 44

Пікірлер: 134
@philistermito1211
@philistermito1211 4 жыл бұрын
Kuku wangu walikuwa wanataga wakaacha kutaga kwa nini?
@bwanashamba7497
@bwanashamba7497 4 жыл бұрын
asante kwa swali zuri zipo sababu nyingi zinazoweza pelekea kuku wako astop kutaga 1. umri 2.chakula 3.magonjwa 4.pia inaweza sababishwa na kipindi cha baridi ambapo mwanga wa jua unapungua emb niambie kama kuna dalili ya kuumwa wanaonyesha ili nikuambie cha kufanya
@mohamedyabdallah2762
@mohamedyabdallah2762 4 жыл бұрын
Naomba formula ya kuchanganya chakula Bora Cha kuku wa kienyej wanaokua na wanaotaga
@user-ob4tb2tu3v
@user-ob4tb2tu3v 27 күн бұрын
😅😮😮😅😅
@deofurniture7700
@deofurniture7700 4 жыл бұрын
Shukrani kwa majibu ndugu tuko pamoja katika kulisongesha gurudum la maisha
@mkufunzimbaraka5525
@mkufunzimbaraka5525 2 жыл бұрын
Kuku wangu anataga halafu anaacha Alalii nimfanyaje
@kulwamadaha3190
@kulwamadaha3190 4 жыл бұрын
Ndugu na omba formula ya kuchanga chakula cha kuku wa kienyeji kuanzia siku ya kwanza mpaka miezi sita na kuendelea
@michaelyona9573
@michaelyona9573 4 жыл бұрын
Wouh ahsante nimekupata
@sadifata2160
@sadifata2160 4 жыл бұрын
Asante Sana kwa majibu mazuri
@user-uc9do2gu2m
@user-uc9do2gu2m 2 ай бұрын
Mimi viranga wakifikisha mwezi miwili wanaanza kuumwa nifanyeje happ😊
@user-pk2fp8hf7i
@user-pk2fp8hf7i Күн бұрын
Mm nataka kuja huko izraeli kufanyakazi za kufuga ili nijifunze zaidi nasaidie nifki huko
@Kmaryam
@Kmaryam 4 жыл бұрын
Asante kwa elimu hii bwana Shamba
@saidimhando2701
@saidimhando2701 Жыл бұрын
Assalaamualaykum...mm naitaji kujua njia rahis yenye garama nafuu katika kilimo cha nyanya... shamba langu lipo eneo zuri lenye asisili ya bonde na maji yanapatkana kwa wepesi ukichimba ksima kwaajli ya umwagiliaji
@salmamohammedyahaya6098
@salmamohammedyahaya6098 3 жыл бұрын
Asantee kwakutuelimisha Kwa ufasaha zaidi ,
@frankbella196
@frankbella196 4 жыл бұрын
Tupe somo tunakufatilia bwana shamba
@bwanashamba7497
@bwanashamba7497 4 жыл бұрын
Asante Sana ndugu yangu
@tabumasumbuko7213
@tabumasumbuko7213 4 жыл бұрын
Hongera bro na asante kwa kutufundisha
@hopedavid4429
@hopedavid4429 3 жыл бұрын
Habari nafurahishwa na masomo yako kuku wangu wa kienyeji wakiingia kutaga wanachuka mda mrefu anachukua masaa nawili hadi manne Hadi atage
@patrickmdemu7026
@patrickmdemu7026 3 жыл бұрын
Hongera kwa ufugaji mzuri
@hamiloyusufu1982
@hamiloyusufu1982 4 жыл бұрын
Bwana shamba🙌🙌
@theodoramukungu3011
@theodoramukungu3011 4 жыл бұрын
Habari.. Kuna kuku wengi wa kufuga kienyeji na chotara. Swali langu Kuna vijogoo haviongelewi Sana Naomba kujua faida na hasara ya kufuga vijogoo na aina ya chakula chakuwapa
@bwanashamba7497
@bwanashamba7497 4 жыл бұрын
Ntajibu swali kupitia kipindi Wiki hii kuwa tu mfuatiliaji
@mwl.zabronbatega6717
@mwl.zabronbatega6717 4 жыл бұрын
Formula ya kuchanganya chakula cha kuku Aina ya layers
@user-uf3fz6vg7b
@user-uf3fz6vg7b 7 ай бұрын
Nimefurahishwa na kipindi chako na swali langu ni ili Je??ni sababu gani zinapelekea kuku kutaga yai ambalo halina layer ya juu (I mean anataga kiini tu)
@zubedadahalgould8809
@zubedadahalgould8809 2 жыл бұрын
Ninaomba kujuwa na kiutaalamu kuwa kuku wanyama ukiwa unawapa starter, grower na finisher 600 wanakula gunia ngapi kwa week na mpaka wawe tayari kuwauza
@selemanhassan3604
@selemanhassan3604 Жыл бұрын
Habar mtaalam naomba kuuliza suali maan kuku wangu wanatabia ya kudonoana na kutoana manyoya sasa je nichukue hatua gani kwa kuweza kusolve tatizo hilo ndani ya shamba langu?
@mecktridachanila3741
@mecktridachanila3741 Жыл бұрын
Nashukuru kwa elimu changamoto ya ufugaji ni masoko kwa Tanzania unaweza tusaidia?
@khalfanmwarab9942
@khalfanmwarab9942 3 жыл бұрын
1.Naomba kujua njia bora za kulea vifaranga. 2. Naomba kujua vipimo halisi vya Namna ya kutengeneza banda la kuku ( cages) urefu, upanda na idadi ya kuku kwa cage 1..kuku chotara
@changamkiafursa
@changamkiafursa 4 жыл бұрын
Kazi nzuri kaka mkubwa
@josephathur4509
@josephathur4509 2 жыл бұрын
Kuku akiwa anapumua kwa shida na kuishiwa nguvu tatizo inakua nin?
@maamumakubwaa8676
@maamumakubwaa8676 2 жыл бұрын
Asante sana bwana shamba swali langu namna ya kujenga banda kama hiro naje ? Mtu akitaka kununua vifaranga inawezekana
@agetamaeba6126
@agetamaeba6126 4 жыл бұрын
Nataka kujua size na design mzuri kwa kuku 200 a kienyeji. Mimi Niko Kenya
@efremmgaya7244
@efremmgaya7244 3 жыл бұрын
Banda bora laufugaji wa kuku linakuaje? Je? Spacing kati ya mche wa cabbage moja na nyingine ni ipi? Na nimiche mingapi inatakiwa kupandwa ndani ya eka moja? Asante.
@faithkutai5165
@faithkutai5165 4 жыл бұрын
Hi?Swali langu ni moja.kila kuku wangu wanapoanguliwa wanafura macho,na midomo.kila ninapouliza naambiwa chanjo ya gumboro.nisaidie.wanafura kabla ya siku Saba kufika
@godfreyobadiah7892
@godfreyobadiah7892 2 жыл бұрын
Nataka kujua namna ya kugundua ubora wa chanjo unapoipata ktk Agro pharmasys.
@AlodiaAdlofu-lb7fw
@AlodiaAdlofu-lb7fw Жыл бұрын
Je? Nahitaji kuwa na mtaji kiasi gani kuanzisha bishara ya ufugaji wa kuku?
@fraternitesecondaire7073
@fraternitesecondaire7073 11 ай бұрын
Ni chakula gani bora yakuipa kuku ? Na namnagani yaku tengeneza chakula cha kuku ?
@fanihama5031
@fanihama5031 4 жыл бұрын
Good
@hassanally446
@hassanally446 4 жыл бұрын
Asante sana, Swali langu ni kwamba Nafanyaje ili nisiuze kuku kwa hasara?
@seifali855
@seifali855 4 жыл бұрын
Seif jinsi gan unaweza kujenga banda bora
@aljabery.binruz
@aljabery.binruz 4 жыл бұрын
Vifaranga wangu wamepata ugonjwa ya makoti na kusinzia, na kukaa juani kila muda na haya yameanza baada ya kuwapa chanjo ya kwanza. Nipe sababu na namba ya kuwatibu na kupona haswa hio ugonjwa ya makoti unasumbua mno pls jibu na dawa gani tuwape
@ramaaibu4707
@ramaaibu4707 3 жыл бұрын
Ni hv bwana shamba kuku wa kienyeji anaweza kuanza kutaga akiwa na umri gan
@douglasamanzi4525
@douglasamanzi4525 3 жыл бұрын
I like your Advice, Let me have your CANTACT !!
@lukmanbakari2318
@lukmanbakari2318 4 жыл бұрын
Habari kaka Khalfan, naomba kujua ni namna gani unaweza kuwapa kuku chanjo na je, kuna njia ngap za kuwapa chanjo kuku. Plz naomba utuelezee
@fadifadifadi9776
@fadifadifadi9776 4 жыл бұрын
Tunaomba utujibu na hili bwana shamba
@bwanashamba7497
@bwanashamba7497 4 жыл бұрын
asante kwa swali zuri naliandalia kipindi ila nitakujibu pia private nichek instagram au kupitia email yangu
@joelurio2777
@joelurio2777 Жыл бұрын
Tatizo linalosababisha kuku kuwa na magamba kwenye miguu ni nini?
@alfredassey6794
@alfredassey6794 4 жыл бұрын
kulipa wangu wameota sugu kwenye viungo kati ya paja na miguu kisha kumeota uvimbe unaopasuka pasuka kwenye nyayo na kumfanya kuku asisimame kwa urahisi. Hii inasababishwa na nini?
@msafirizephania5381
@msafirizephania5381 3 жыл бұрын
Bro ndokwanza naanza ufugaj kuku wangu niwadhoof cjui ttzo ni nn please masaada wakoo
@geraldndila5172
@geraldndila5172 5 ай бұрын
He chanjo ya tatu moja inatakiwa uchanje mara Ngapi
@salumyussuf2140
@salumyussuf2140 4 жыл бұрын
Jee vipi unaweza kuchanganya kwa pamoja kuku wachanga ( vifaranga ) wenye umri uliopitana kwa siku kumi naitwa Salum Yussuf au Mr Machano poultry farm enterprises
@bwanashamba7497
@bwanashamba7497 4 жыл бұрын
Asante Sana kwa swali zuri Kitaalam huwez ukachanganya kuku wadogo na wakubwa kwasababu itapelekea wadogo kukua kwa kusuasua kutokana na competition ya chakula yaan wakubwa watakua wanawazuia wadogo kula asante
@atubeka9317
@atubeka9317 4 жыл бұрын
Safi sana kiongozi
@abdilfertterhomary7288
@abdilfertterhomary7288 4 жыл бұрын
Hivi vifaranga wakiwa wana jikunja Sana na wana muda wa wiki mbili inakua nin?
@hamidajilo5792
@hamidajilo5792 4 жыл бұрын
Ni kweli kukiwa na barid wanapunguza kutaga msaada hapo
@anithahosea9472
@anithahosea9472 4 жыл бұрын
Feeders hizo zimapatikana wapi? Zilizopo hapa kwetu siyo za hivo..
@modestakatala2384
@modestakatala2384 3 жыл бұрын
Natafuta soko la kuku wa kienyeji
@sadikisadiki360
@sadikisadiki360 4 жыл бұрын
Tunakungoja tz
@fakijukalo3217
@fakijukalo3217 4 жыл бұрын
Huyu jamaa anajua
@mwl.zabronbatega6717
@mwl.zabronbatega6717 4 жыл бұрын
Naomba kuelimishwa namna Bora ya kuchanganya chakula cha vifaranga
@lucasmsuka8252
@lucasmsuka8252 4 жыл бұрын
Asante bro, nimekuelewa na ntaendelea kukufuatilia kaka, Mie pia nafuga kuku na mifugo mingine
@allymussa2420
@allymussa2420 4 жыл бұрын
Kuku mkubwa wakutaga unaluhusiwa kumpga chanjo
@alfasinda6240
@alfasinda6240 4 жыл бұрын
SoMo lako zur
@upendosanaagroup8906
@upendosanaagroup8906 Жыл бұрын
Saf kija but can you do thamongi for me?
@mwacharotandara410
@mwacharotandara410 3 жыл бұрын
Tueleze Aina za Chanjo na no lini tunawaza kuzipeana Bwana Abbass
@viviancharles2307
@viviancharles2307 4 жыл бұрын
Nataka kufuga kuku nami...jina lako la instragram ni ipi,na waweza nielimisha jinzi ya kuoparate incubator please
@bwanashamba7497
@bwanashamba7497 4 жыл бұрын
Instagram abasi_alfani
@barakalema7274
@barakalema7274 2 жыл бұрын
Ni vipi Nina weza kutengeneza black soldier fly au insects kwa chakula cha kuku
@jumannejumaa7732
@jumannejumaa7732 4 жыл бұрын
🤗🤗
@manyindafrida8272
@manyindafrida8272 4 жыл бұрын
Vifaranga vyangu nilivitoa inje baada ya miwili, ktk kuoKota vijidudu, vinaharisha je nivipe Dawa gani?
@hamisahanip1553
@hamisahanip1553 4 жыл бұрын
Mi nampenda bwana shamba
@gideontv8844
@gideontv8844 4 жыл бұрын
ASante nashukuru kwa somo
@emanuelimollelkilusu5206
@emanuelimollelkilusu5206 3 жыл бұрын
Ni njia IPI rahisi ya kuzuia viroboto kwa kuku?
@delphinnguru5242
@delphinnguru5242 4 жыл бұрын
Delphin toka DRC, mutuel funze vile kwa luga la kifasa kwani Sisi tuna tatizo kubwa Haru elewi vizuri swahili tanyania kwa muna ichanga na kingerera
@bwanashamba7497
@bwanashamba7497 4 жыл бұрын
Don't worry we will also put the subtitles
@abubakarmzee3374
@abubakarmzee3374 4 жыл бұрын
Tuko pamoja kaka
@kmndeme9091
@kmndeme9091 2 жыл бұрын
Niaje sheki miye ni kange nisaidie contact zako shek
@arnoldmwenda9348
@arnoldmwenda9348 3 жыл бұрын
Je ni eneo lenye ukubwa gani naweza fuga kuku 100?
@bernbern1421
@bernbern1421 4 жыл бұрын
Nipo sumbawanga na ni sehemu ya joto kwa miezi iliyomingi.naomba kujuwa dawa ya kideli inayoweza kuzuia na kutibu ugonjwa wa kideli mana ndio ugonjwa wenye changamoto iliyokubwa kwangu
@bonanemichel6225
@bonanemichel6225 4 жыл бұрын
Asante sana kwa somo hili, sasa Chakula cha protein ni kipi?
@winifridamlungu6901
@winifridamlungu6901 2 жыл бұрын
Dagaa na soya
@basiopolio3303
@basiopolio3303 4 жыл бұрын
Huyu ndo bwana shamba tuliekua tukimngoja unamuuliza swali then anakujib
@fadifadifadi9776
@fadifadifadi9776 4 жыл бұрын
Tumekuelewa bwana shamba
@deofurniture7700
@deofurniture7700 4 жыл бұрын
Piakuana ambacho bado sikijui kuhusu chanjo ya mareks huwa inapelekea vifo vya vifaranga
@bwanashamba7497
@bwanashamba7497 4 жыл бұрын
usjali nitaelezea kwenye video ya chanjo
@iddtunutu6609
@iddtunutu6609 4 жыл бұрын
Bwana shamba mimi nauliza jinsi ya kutunza vifaranga wakienyejii kwa ni ndani ya wiki nimepoteza vifaranga kumi'please msaada bwana shamba
@trippleepluse330
@trippleepluse330 3 жыл бұрын
Natumiaje mkaa kwa kuku wenye mafua wanavimba macho
@mercyngaeje5400
@mercyngaeje5400 3 жыл бұрын
Naomba kuelekezwa namna ya utunzaji wa ng'ombe wa maziwa ili aweze kutoa maziwa mengi
@agapesiaminjaa5075
@agapesiaminjaa5075 3 жыл бұрын
Hizo carge bei gani
@anithaligambas3131
@anithaligambas3131 3 жыл бұрын
Akika wewe ni bwana shamba upo vizuri usichoke kutupa somo
@AbernegoKikungwi
@AbernegoKikungwi 8 ай бұрын
Oya et maana ya neno " check pea" ni nn
@chedielmasinga1934
@chedielmasinga1934 Жыл бұрын
Upo viziri , NASHAURI KAMA UTAWEZA ANDAA VITABU VYA MAFUNZO HAYA, KWAAJILI YA WAKULIMA WASIO NA UWEZO WA KUMILIKI SIMU JANJA
@furahamuywanga2427
@furahamuywanga2427 3 жыл бұрын
Dawa nzuri ya ndui kwa kuku Ni ipi?
@onoratonorat2703
@onoratonorat2703 4 жыл бұрын
Kwann kuku wanatokwa na vidonda kichwan
@hamidabmj8470
@hamidabmj8470 4 жыл бұрын
Kuku wangu wanyama wanasumbuliwa na mafua
@hamisimusaa1698
@hamisimusaa1698 4 жыл бұрын
Zipi mbinu za ufungaji wa kuku
@twalibsaid9573
@twalibsaid9573 4 жыл бұрын
Kuku wangu wanamadhi ya kupepesuka wakitembea. Unanisaidiaje mkubwa
@bwanashamba7497
@bwanashamba7497 4 жыл бұрын
hapo kuna mengi eidha ni magonjwa kama vile fungus pia inaweza ikawa hawapati madini ya calcium kwenye chakula hakikisha banda lako ni kavu kuzuia fungus pia hakikisha chakula kina calcium
@shazzamumremi8113
@shazzamumremi8113 4 жыл бұрын
Bwana Shamba nauliza kuhusu vifaranga, Vifaranga vyangu vinaumri wa wiki mbili vimepata ugonjwa ambao siujui na sijui nitumie dawa gani ugonjwa huu niwakuanguka kama kifafa vile akianguka analala chali na anatupatupa miguu na akijitahidi kuamka ana angukia upande wapuli kama alikuwa ameamkia mkono wakushoto ataangukia kulia nk na haponitena atakaa siku moja ama mbili atakufa sasa niugonjwa gani huu najee nitumie dawa ganiii nani chanjo ama tibaa ahsant nipo manyata
@bwanashamba7497
@bwanashamba7497 4 жыл бұрын
@@shazzamumremi8113 asante kwa swali zuri vp kuna dalili yoyote nyingine wanaonyesha kabla ya kuanguka?
@enockmati6063
@enockmati6063 4 жыл бұрын
Mbinu za kutoa na kuzuia viroboto vyekundu kwenye Kuku
@selemanhassan3604
@selemanhassan3604 Жыл бұрын
Naomba namba zako za wasap ambazo unaweza kupatikana maan ulizoeka siwezi kukupata
@dakahuop1255
@dakahuop1255 4 жыл бұрын
Mi Sina swali ila siwez acha kucomment
@allymussa2420
@allymussa2420 4 жыл бұрын
Kuku wa miez mitatu unaruhusiwa kuwapga chanjo
@mandelajames5473
@mandelajames5473 4 жыл бұрын
Swali lang ni kwamba, ili nipate mafanikio ya haraka na mengi, kati ya kuku chotara na kienjeji pure, ni wapi wanafaa ??
@bwanashamba7497
@bwanashamba7497 4 жыл бұрын
chotara
@msafiriduwiya7765
@msafiriduwiya7765 2 жыл бұрын
@@bwanashamba7497 safi
@25matonya
@25matonya 4 жыл бұрын
Hiv hakuna mbinu yoyote Ya kumfanya Kuku aendelee kutaga wakati wa baridi
@harounamaemmoune7292
@harounamaemmoune7292 3 жыл бұрын
Naweza kupata contact zako samahani
@gagasima9506
@gagasima9506 4 жыл бұрын
Nimefurahi kwa majibu naomba utujibu na hilo baridi
@shariftwahir8493
@shariftwahir8493 2 жыл бұрын
Kama unatumia cages
@nassraal-riyyami8387
@nassraal-riyyami8387 4 жыл бұрын
Kuku wakidokoana ni tatizo gani?
@bwanashamba7497
@bwanashamba7497 4 жыл бұрын
hilo ni tatizo lla kawaida ambalo hutokea endapo kuku wanakosa madini ya iron (chuma ) kwenye chakula hivyo wanajaribu kutafuta kwa kudonoana solution yake ni kuwaekea mchanga lakin pia unaweza wawekea majani kuwafanya wawe busy na kuacha kudonoana naliandalia kipindi nitajibu kiundani
@harounamaemmoune7292
@harounamaemmoune7292 3 жыл бұрын
Hi samahani naweza kupata contact zako
@tatuathmani883
@tatuathmani883 4 жыл бұрын
nasubili video nyingine
@antonyngowa8329
@antonyngowa8329 4 жыл бұрын
Kuna kuku wangu hawakuli wanaka kama anasizia
@a2gmgimwa3
@a2gmgimwa3 4 жыл бұрын
Maelezo nie ya mada
@aleqchupack4305
@aleqchupack4305 4 жыл бұрын
Nata kufuga Kuku wakienyeji 2000 banda liwaje nn heka 1
@bwanashamba7497
@bwanashamba7497 4 жыл бұрын
safi sana jambo zuri eneo la heka moja ni kubwa na linatosha sana kwamaana kwa kuku wakienyeji 1000 wanahitaji banda la urefu wa futi 60 na upana wa 34 hivyo ukijenga mabanda mawili na fens nje kwani utatenga eneo lao la kutembeatembea nitaandaa video namna ya kujenga banda ili kujibu swali hili kiundani
@amanijm746
@amanijm746 4 жыл бұрын
@@bwanashamba7497 mi ndio naingia leo. Hili suala la Banda lilishajibiwa??
@clemenciaassenga9090
@clemenciaassenga9090 3 жыл бұрын
Je kuku wa layers wanaweza kuoewa majani? Na je ni majani gani yanafaa?
@simonkasato7617
@simonkasato7617 4 жыл бұрын
Toa namba
@bwanashamba7497
@bwanashamba7497 4 жыл бұрын
Sawasawa naiweka hapo kwenye description mda si mrefu
@bwanashamba7497
@bwanashamba7497 4 жыл бұрын
tayar kwenye description
@liliannyambo9209
@liliannyambo9209 3 жыл бұрын
@@bwanashamba7497 naomba namba ,nataka kuja islael mafunzo, +255756511312
@joshuajeremiah7845
@joshuajeremiah7845 4 жыл бұрын
Tufanyaje kipindi cha baridi kuku wanapunguza utagaji
@bwanashamba7497
@bwanashamba7497 4 жыл бұрын
asante kwa swali zuri nimelipokea naandalia kipindi
@bwanashamba7497
@bwanashamba7497 4 жыл бұрын
ila kwa majib binafs nichek kwa mawasiliano yangu kwenye description
@husnahussain1906
@husnahussain1906 4 жыл бұрын
Samahani naomba namba yako kwa mawasiliano zaidi please kaka ninayo idea ya kuanza ufugaji wa kuku au tuwasiliane kwa no yangu hii +98690238203
@bwanashamba7497
@bwanashamba7497 4 жыл бұрын
Namba nshaweka kwenye description your all welcome
@daudmkumbukwa7037
@daudmkumbukwa7037 4 жыл бұрын
JOSHUA JEREMIAH
@erickkabuga5223
@erickkabuga5223 Жыл бұрын
Disfactate nn bosi
@ruhayalast6641
@ruhayalast6641 2 жыл бұрын
Mammbo vp bro kwa majina n i2wa busy man kuku wangu cjawahi kuwapa chanjo lakini nimeku eliwa ntafanya bdi
Amazing weight loss transformation !! 😱😱
00:24
Tibo InShape
Рет қаралды 60 МЛН
НЫСАНА КОНЦЕРТ 2024
2:26:34
Нысана театры
Рет қаралды 1,1 МЛН
Clowns abuse children#Short #Officer Rabbit #angel
00:51
兔子警官
Рет қаралды 78 МЛН
How Many Balloons Does It Take To Fly?
00:18
MrBeast
Рет қаралды 192 МЛН
MAAJABU YA MKAA Katika Kutibu KUKU Wa KIENYEJI
8:07
Kuku Village
Рет қаралды 172 М.
JIFUNZE KUTENGENEZA KITOTOLESHI KINACHOTUMIA MAFUTA YA TAA   PART 2
17:38
IJUE CHANJO YA TATU MOJA
11:38
farmers centre
Рет қаралды 10 М.
BANDA BORA ENEO DOGO#Kuku Uchumi
11:46
Kuku Uchumi
Рет қаралды 47 М.
ULEAJI WA VIFARANGA WA KIENYEJI KWA NJIA YA KISASA
10:27
Changamkia Fursa
Рет қаралды 291 М.
Amazing weight loss transformation !! 😱😱
00:24
Tibo InShape
Рет қаралды 60 МЛН