kwenye video hii nimeelezea njia 4 unazoweza kutumia ili kuzuia kuku wako kupunguza utagaji kipindi cha baridi
Пікірлер: 92
@user-jr2hs3hh5f2 ай бұрын
Hongera sana kwa mafundisho mazuri yenye kuimarisha uchumi
@georgemelkiad68204 жыл бұрын
Bwana shamba asante kwa masomo mazury. Nlikuwa naomba utufahamishe formula nzuri ya kutengeneza chakula cha kuku kuanzia starter, grower na layers mash kwa kuku chotara au kienyeji
@bwanashamba74974 жыл бұрын
Asante Sana Kwa swali zuri nitaandaa kipindi kitakacho elezea hayo pia nataka nikutane na mtaalam wa huku Israel ili niwapatie mambo mazuri Zaid.
@johnalphonce86004 жыл бұрын
George Melkiad mim pia nahitaj hio formul
@hoseatv92564 жыл бұрын
Hata mm nina kuku wa miezi 3
@pauljoseph83742 жыл бұрын
@@hoseatv9256 mimi pia nahitaji hiyo formula
@neemamwambene39634 жыл бұрын
Bwana shamba Abas,hongera sana kwa kazi nzuri Naomba no yako
@bwanashamba74974 жыл бұрын
+972 552 726 444 ntafute kupitia whatsap, pia ni kwa ajili ya ushauri na maswali kuhusu ufugaji tu
@emmanueleddiemwamakula339810 күн бұрын
Mwanga ni kitu muhimu sana ukiondoa chakula bora
@astonishmbwambo1854 жыл бұрын
Masomo mazuri Sana kaka yamenifungua
@momumofarms4 жыл бұрын
Kazi nzuri ndugu yangu, hongera sana aisee
@bwanashamba74974 жыл бұрын
Asante Sana ndugu yangu
@sandacksai2502 жыл бұрын
@@bwanashamba7497 Kuku wang anaonekana kuwa kama ana baridi na hata kula hali tatizo ni nn , na tiba yake ni ipi naomba msaada
@manaselutungulu62004 жыл бұрын
Bwanashamb aaasant sanaa kwa elim yako . LKN mm Ninaomb kujua namna ya kutengnez chakla cha kuku ngaz zoot 03 .vifaranga .wanaokua na .wanaotaga.
@elibarikishukya-lf3skАй бұрын
Good
@fakijukalo32174 жыл бұрын
Kama we unapeleka mbele kuangalia emb sema tu gonga like hapa
@josephjrm9795 Жыл бұрын
Nimelipenda somo lako Bwana shamba
@ModestGeorgeRenge-hf6bd Жыл бұрын
Bwana shamba uko vizuri, sasa naomba kujua mchanganyo wa chakula cha kuku kulingana na makundi husika
@lutagatejumanne62544 жыл бұрын
Inakuaje bro m na swali liko nje ya mada kidogo etii kama nataka nkanunue vfaranga broiler uzito gm ngap kwa kifaranga kimoja 1 na nitegeneze banda kubwa kiasigani kwa vfaranga 200 naomba mchanganuo Ahsante
@yungtzafricanby35244 жыл бұрын
Asante kwa kunipa elimu
@davydany96484 жыл бұрын
Nitarudia tena na tena kaka nenda moja kwa moja kwenye mada,alafu jiandae vya kutosha kabla ya kuwasirisha mada,kuepuka makosa yasiyo ya lazima,but keep it IPO bro
@bwanashamba74974 жыл бұрын
Nimekuelewa Sana Kaka ila hii video ni ya muda kidogo kabla hukanipa ushauri ila kuanzia sasa na kuendelea utaona mabadiliko Thanks sana
@davydany96484 жыл бұрын
Kila LA her mdogo wng mafanikio yetu yapo ktk juhud zetu baada ya kupewa baraka na mungu ktk hilo tunalolifanyia juhudi
@lwitikomwakasamila67844 жыл бұрын
nimeipenda na kujifunza sana
@eliaskarisha59073 жыл бұрын
Shukrani sana
@sadikisadiki3604 жыл бұрын
Good job
@fridahjohn57234 жыл бұрын
Good job ,,mzee mpana na team Israel wote,,,
@bwanashamba74974 жыл бұрын
Thanks sana
@gabrielmayo31483 жыл бұрын
Asantee sana
@gabrielmayo31483 жыл бұрын
Samahani nilikuwa b aomba kujua chokaa zakuchanganya kwenye chakula Cha kuku niipi nainapatikana wapi
@afrieagle8314 Жыл бұрын
New subscriber ✔️ masomo yako n mazur sana cio mchoyo wa maarifa ✔️Naomba uandae video ya vipimo vya chakula kwa kuku chotara tafadhar
@hosianamollel3162 жыл бұрын
Mimi niko Arusha, naanza ufugaji wa kuku wa mayai ya kisasa yaani layers. Naomba kuongezewa elimu juu ya hili kuanzia ujenzi wa banda mpaka kuanza kuweka kuku. Nitaanza na kuku 500
@makamejumanne43134 жыл бұрын
Habari bwana shamba, naomba kujua inasemekana kuku akinenepa sana anapunguza utagaji au kutotaga kabisa na akipungua uzito au kukonda sana ni tatizo kwenye utagaji!! Je nitajuaje uzito/unene sahihi kwa kupata utagaji mzuri?? Ahsante
@bwanashamba74974 жыл бұрын
Asante kwa swali zuri kiujumla ni kweli kuku atakiwi kuwa na uzito mkubwa kupitiliza lakini pia asiwe na uzito mdogo na vyote hivi vina endeshwa na kiasi cha chakula unachowapatia kuku anaetaga vizuri kwa wastani awe na 1.5kg ila sasa inaweza ikabadilika kulingana na aina ya kuku
@makamejumanne43134 жыл бұрын
@@bwanashamba7497 ok, thanx...
@elibarikishukya-lf3skАй бұрын
Kuku kuingiliana kwenye kuatamia ,je utafanyaje
@jumannejumaa77324 жыл бұрын
Tumeelewa
@fadifadifadi97764 жыл бұрын
Kipindi kipo mkao ukumbuke na maswali yetu wengine
@basiopolio33034 жыл бұрын
Jamaa anawaza msosi Tu Hahahahaha
@dastanikiondo41873 жыл бұрын
Kipindi kizuri sana kaka unatuelimisha mengi kuhusu ufuga.ji
@botorewere16644 жыл бұрын
nice
@frankbella1964 жыл бұрын
Tunakuelewa na tunauzuria vipindi
@bwanashamba74974 жыл бұрын
Thanks sana
@sadifata21604 жыл бұрын
Bwana shamba tuambie kifaranga cha bata kinaitwaje
@zainamnzava53573 жыл бұрын
Asante
@hisexcellencyhon.dandabeni844 жыл бұрын
safi
@bwanashamba74974 жыл бұрын
Asante Sana mheshimiwa
@bigirimanatresor-tm3fm Жыл бұрын
Sawasawa
@user-nd1ym9hb9n6 ай бұрын
Kuku Anataga kwa miaka mingapi ili tuseme kuku amezeeka na hatagi Tena?
@hamidajilo57924 жыл бұрын
Bwana shamba has a farm........ Ia ia ooooooooo
@mchmwal...z.a.ndelwa78384 жыл бұрын
Barikiwa mana kuku zangu zimesimama zilikuwa ndo zimeanza kutaga sasa zimesimama gafula
@mustaphsimba45134 жыл бұрын
Je mlonge una weza kusaga ktk blenda na juice iyo VP km ukiweka ktk fliji itafaa kuendelea ku2mika
@majaliwamaingu28254 жыл бұрын
Je, chakula cha Black soldier fly larvae aka Mafindo mfindo yafaa kwa ina ipi ya kuku.
@zilpahinyula24184 жыл бұрын
Asante sana ila namba yako sijaiona kuna kitu nataka unifafanulie kuhusu ufigaji
@hamiloyusufu19824 жыл бұрын
Menejaaa
@jacksonmangula35784 жыл бұрын
Kama ni tatizo la baridi unasemaje iwapo nitaweka joto ndani ya chumba?
@mohamedhaji26142 жыл бұрын
Kwa nini kuku anapumua kwa shida Sana . Hili Ni tatizo gani. na nini nifanye
@zaidimakuka48824 жыл бұрын
Ebwana nipo iringa Nina ng'ombe wa maziwa lakin Kila siku anapungua shida nn
@jumakilindi67324 жыл бұрын
Tunaomba elimu ya Hydroponic
@bwanashamba74974 жыл бұрын
Sawasawa nalifanyia kaz
@marymangwela77372 жыл бұрын
Kuku wangu wanataga mayai madogo
@sameersaid50584 жыл бұрын
Kama kukuza vifaranga ningumu nini ufanye baada ya hao vifaranga kukototolewa, plz nisaidie kwa hili
@emmanuelmkongwa11082 жыл бұрын
kuku kuonana xana mpka kulana XHIDA ni nini??
@elly60144 жыл бұрын
Keep it up Broo
@bwanashamba74974 жыл бұрын
One love
@othumanilema382911 ай бұрын
Tufanye nn ili kuku atotoe mayai yot
@nicolemariehubertine5249 Жыл бұрын
Nina kuku wa mayai, naweza kuwatoa nje?
@emmanuelmkongwa11082 жыл бұрын
Kama kuku hawatagi VIZUR nafanyaje???
@issamgangaissa59053 жыл бұрын
Je kuku wa mayai lazima apewe majani
@salimumroki15293 жыл бұрын
Naomb namb Zak tu
@clarakilonzo91784 жыл бұрын
Je kama kuku wapo kwenye kejesi
@bwanashamba74974 жыл бұрын
samahani clara kejesi sijaelewa unamaanisha nini ili nikujibu vizuri
@rechomwasile85332 жыл бұрын
Asanteeeeeeeeeee kwa elimu nzuri bwana shambaa, mm naomba namba yako ya watsap
@hassanally4464 жыл бұрын
Kwanini kuku mda mwingine anapenda kulala juani na kujimwagia michanga mwilini?
@petromikaeli32142 жыл бұрын
Anapata vitamin akiwa Juan
@zawadimlelwa43734 жыл бұрын
Hao kuku weupe wanapatikana wapi
@gynambena87794 жыл бұрын
Mayai yakilowa maji na kuku akahatamia anaweza kutonoa?
@bwanashamba74974 жыл бұрын
hapana
@halimamwambe97994 жыл бұрын
Je kuku uwa anapata magonjwa wangap na ni yap
@nicholasslegaray46584 жыл бұрын
Kwann video zako ukirudisha nyuma haikubali?
@bwanashamba74974 жыл бұрын
litakua tatizo la kimtandao kwenye simu yako
@nicholasslegaray46584 жыл бұрын
@@bwanashamba7497 zingine zinakubali kiongozi eb jaribu kutafiti maana inatusaidia kurudia na kurudia mafundisho yako,ahsante sana
@bwanashamba74974 жыл бұрын
Usjali ndugu yangu ngoja nichunguze tujue shida
@hellenomar21774 жыл бұрын
.habari bwana shamba, mimi nna kuku watano ,shida moja wakitamia mayai karibu kutotoa wanakula mayai je je nifanyeje, niko arusha
@bwanashamba74974 жыл бұрын
asante kwa swali zuri sasa hapa kuna njia mbili waweza zitumia kufanya, ya kwanza unaweza ukachukua yai moja ukalitoboa kisha weka kitu kichungu wakila hilo yai wataacha kula mayai tena ila pia unaweza ukawakata midomo yaan debeaking
@astonishmbwambo1854 жыл бұрын
Masomo mazuri Sana kaka yamenifungua
@dakahuop12554 жыл бұрын
Good
@Sifa_film_tv724 жыл бұрын
Ni dawa gani nzuri inayoweza kumaliza tatizo LA mafua na kuvimba macho?
@gummeomaggan4 жыл бұрын
HI.Nimefulahi kwa musada wako tafazari Nlikuwa naomba utufahamishe formula nzuri ya kutengeneza chakula cha kuku kuanzia starter, grower na layers mash kwa kuku 0046706778915
@khamisali15243 жыл бұрын
Habari bwana shamba tunaskuru kutupatia talimu na cc mimi kukuwangu aina ya leas wako na mizi mitano lakini mpaka leo hawaanza kutaga tatizo ni kitu gani