KWA TANZANIA NIMEKUWA ASKOFU MKUU WA KWANZA KUHAMISHWA | HII ILINIUMIZA SANA | MUNGU ANAJUA

  Рет қаралды 36,807

Tumaini_Tv

Tumaini_Tv

2 ай бұрын

Askofu Mkuu Jude Thaddaeus Ruwa'ichi OFMCap akielezea safari ya Miaka 25 katika Utume wa Uaskofu ndani ya Kanisa Katoliki | Picha hizi zinatengenezwa na TUMAINI MEDIA. Matumizi yoyote ya picha hizi ni marufuku bila idhini kutoka TUMAINI MEDIA
Hakimiliki © Tumaini Television - Haki zote zimehifadhiwa.Tafadhali Endelea Ku- Subscribe akaunti hii na bonyeza alama ya Kengele ili kupata taarifa zetu kwa wakati sahihi.

Пікірлер: 39
@FredrickKabura-gd7hg
@FredrickKabura-gd7hg Ай бұрын
Mwenyezi MUNGU akujaalie afya njema baba askofu, aponye maradhi yako akunyooshee mapito yako, mapaji ya roho mtakatifu daima yawe pamoja nawe amina.
@fredynyandoro4266
@fredynyandoro4266 Ай бұрын
Amin Baba Adkofu. Tunakuombea afya njema na mafanikio mema katika Utume.
@user-zq7gw4ik7g
@user-zq7gw4ik7g 2 ай бұрын
Mungu akutune Askofu wetu .wewe ni mtu wa maendeleo sana.
@FredrickKabura-gd7hg
@FredrickKabura-gd7hg Ай бұрын
Karibu unyamwezini Baba askofu.
@TheresiaAndrea-hv9dg
@TheresiaAndrea-hv9dg 2 ай бұрын
Nakubaliana na maneno yako kuwa baba we myamwezi. Mungu azidi kukulinda na kulilinda Kanisa, na zaidi Yeye aongezeke kwa nyakati zote Amina
@eudesjonasbukhay9437
@eudesjonasbukhay9437 Ай бұрын
Kweli Mungu ana jua...Tulikupenda sana Mbulu...binafsi nilikupenda sanaa Mwl wangu wa mwaka wa malezi(Chief formator wangu)Nakuombea afya njema na utume mwema wakutukukuka daima...nayakumbuka maneno yako"Bidii kama mwanzo" na "Mungu yupo tumtumainie"
@rogathesarwatt
@rogathesarwatt 2 ай бұрын
Nakukumbuka Sana Tulifanya kazi nikiwa karibu na wee
@maxmilliannoel2605
@maxmilliannoel2605 2 ай бұрын
Amina .
@rahelmsuya7271
@rahelmsuya7271 2 ай бұрын
Authentic speech
@user-cf4cs9qp1k
@user-cf4cs9qp1k 2 ай бұрын
Amina baba
@simonmaziku4235
@simonmaziku4235 Ай бұрын
Alitaka saana ukadinali ila ndo hivyo @
@user-uk4bd4eq7z
@user-uk4bd4eq7z Ай бұрын
🙏🏾🙏🏾🙏🏾
@rogathesarwatt
@rogathesarwatt 2 ай бұрын
Hii imetokana na Mama Kwenda kwa papa
@YohanaMbano
@YohanaMbano 2 ай бұрын
🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@FrankAloyce-ic6rq
@FrankAloyce-ic6rq 2 ай бұрын
Safi Baba askofu
@irenelyimo4443
@irenelyimo4443 2 ай бұрын
Mungu aendelee kukupigania kukulinda na kukuheshimisha.Alichokiweka Mungu ndani yk uyatekeleze anakusidi nawe.Hongera sn Mh. Bb Askofu mMkuu❤
@nzioka.n1675
@nzioka.n1675 2 ай бұрын
Mhashamu askofu usijali
@JohnLewanga
@JohnLewanga 2 ай бұрын
Ruwa'ichi. Baba Mhashamu Askofu jina hili ndiyo njia kwako na kwetu Waumini! Mungu awapokee wazaizi mikonono, ama vipi awape Kila tunalo takiwa kama wako hai. Ila awape vyote. Amina!!!
@user-so9fo5tv3j
@user-so9fo5tv3j 2 ай бұрын
Stay blessed Askofu Mkuu Ruwaichi
@frankngajilo7137
@frankngajilo7137 2 ай бұрын
Ana akili mingi sana .anakaa kimya muda mrefu akiongea tu neno moja kamaliza
@erastuskajuna812
@erastuskajuna812 2 ай бұрын
Hivi tukumbushane! Askofu mkuu Rugambwa hakuhamishiwa DSM toka Bukoba? Kama alihamishwa kwa kuwa alipata ukadinari mbona Rugambwa wa sasa bado yuko Tabora?
@user-jd8nr1ub7o
@user-jd8nr1ub7o 2 ай бұрын
Lakini Cardinali Rugambwa alipata ulardinali 1960 na alihamia Dar es Salaam 1968 (miaka 8 baadae). Inaonekana kabisa kilichompeleka Dar siyo ukardinali. Ingekuwa ukardinali isingechukua miaka 8. Pili, hakuwahi kutamgazwa kuwa Askofu mkuu- niliwahisikia hii.
@richardboniphace1305
@richardboniphace1305 Ай бұрын
Sio lazima kuhamia Dar maana kila jimbo lina mamlaka yake.
@JohnLewanga
@JohnLewanga 2 ай бұрын
UKWELI wa kuishi dunia. Amina
@sylvestercameo6263
@sylvestercameo6263 2 ай бұрын
Baba Askofu Mkuu Thadeus ni baba wa mikakati. Mbulu uliacha ujenzi wa Kanisa kuu, Jimbo kuu la Mwanza umetuachia ujenzi wa Kanisa Kuu (cathedral), Jimbo kuu la Dsm mmeanza harakati za ujenzi wa Cathedral mpya badala ya St. Joseph. Ni dhahiri kila ulipokanyaga umeacha alama ya unyayo wa Bwana wetu Yesu Kristu! Hakika Ruwa`chi MUNGU ANAJUA !
@gishigrace97
@gishigrace97 2 ай бұрын
Yes exactly may Almighty God bless Ruwaichi abundantly in Jesus name
@olivasafari1059
@olivasafari1059 2 ай бұрын
Kanisa kuu la kupalizwa Bikira Maria Mbulu, lilijengwa na Askofu Nikodemus Hhando wa Mbulu na sio Thadeus.
@sylvestercameo6263
@sylvestercameo6263 2 ай бұрын
@@olivasafari1059 Ubarikiwe kwa ufafanuzi huo,, ahsante sana
@pacetimer6441
@pacetimer6441 2 ай бұрын
Kanisa Biashara siku hizi
@josephatevarist1822
@josephatevarist1822 2 ай бұрын
Inaonekana dodoma ulipata changamoto kubwa....but hongera sana Baba🎉
@georgekilwa2051
@georgekilwa2051 Ай бұрын
wakubwa walikuona pale ulipomtendea vibaya yule wa haki na aliekua mtu wa upande wako mimi binafsi sitakuekewa kabisa
@CANAANTZ_TV
@CANAANTZ_TV 2 ай бұрын
TYK Jipatie vitabu vya maombi ya kiroho bureee Kwa njia ya WhatsApp 1=Maombi ya kuvunja madhababu za kichawi 2=Maombi ya kuzima mashambulizi ya kuzimu 3=Maombi ya vita vya kiroho Bonyeza picha kushoto mwa comment hii
@ebenezerlawuo6667
@ebenezerlawuo6667 2 ай бұрын
runda meku
@godfreymokoki1027
@godfreymokoki1027 2 ай бұрын
Kondoa ulitupenda sana, pamoja na uchache wetu kumbe ulikuwa na mchakato wa Kondoa kuwa JIMBO KATOLIKI na ikawa hivyo na hatutakuangusha kamwe kusudi lako jema na takatifu..
@francisngalimoto7552
@francisngalimoto7552 Ай бұрын
Vijana tunasema wewe n jembe
@emmanuelmlowe-ew7gx
@emmanuelmlowe-ew7gx 2 ай бұрын
Kwani hutaki kuhamishwa umejenga au
@user-ex9sd8wm4l
@user-ex9sd8wm4l 2 ай бұрын
Aaaahahahaaa unajuwa ukiwa kiongozi haitakiwi kujipangiya mahali popote wewe nikutumikiyatu
@rogathesarwatt
@rogathesarwatt 2 ай бұрын
We SI mkatoliki huwezi elewa.
@TheresiaAndrea-hv9dg
@TheresiaAndrea-hv9dg 2 ай бұрын
Nakubaliana na maneno yako kuwa baba we myamwezi. Mungu azidi kukulinda na kulilinda Kanisa, na zaidi Yeye aongezeke kwa nyakati zote Amina
"MAGUFULI HAKUNIELEWA KUHUSU COVID 19" ASKOFU RUWA'ICHI AFUNGUKA MSIMAMO WAKE WA COVID 19
4:25
Doing This Instead Of Studying.. 😳
00:12
Jojo Sim
Рет қаралды 24 МЛН
Why Is He Unhappy…?
00:26
Alan Chikin Chow
Рет қаралды 74 МЛН
MISS CIRCLE STUDENTS BULLY ME!
00:12
Andreas Eskander
Рет қаралды 21 МЛН
MFAHAMU ASKOFU MTEULE MWASEKAGA WA JIMBO KUU MBEYA ATAKAYEWEKWA WAKFU MEI 25
15:36
KANISA KATOLIKI TANZANIA TEC
Рет қаралды 15 М.
Doing This Instead Of Studying.. 😳
00:12
Jojo Sim
Рет қаралды 24 МЛН