Hakika somo la leo limejua kunigusa, kunamtu aliwai kunitendea wema nikamlipa maovu ila mpaka Sasa najutiaga Sana makosa yangu Hua najiskia nakosa amani moyoni kila nikikumbuka wema wake na maovu niliyomtendeaga, tatizo nawazaga kumfata nimuombe msamaha inaniwea ngumu, Mungu anisameh najuitaga kila iitwayo leo
@kimbulikambale51503 жыл бұрын
Ndugu acha Mungu akupe nguvu ya kumuendea na kuomba usamaha, ubarikiwe na Bwana.
@gooddeeds1623 жыл бұрын
Kama kuna ugumu ningeomba niunganishe nae nizungumze nae then nikuwezeshe na wewe kukutana nae ili haya yaishe uishi kwa amani, Unaonaje ?
@clarencewilbat85983 жыл бұрын
Daaah kaka hakika Leo somo lako limenipiga kwenye mshono. Asantee sanaaaa
@elibarikimollel71493 жыл бұрын
Ni kweli, wengi wao ni polisi ambao ktk Utendaji wao wamenyang'anya,rushwa,na hata kuwabambikia watu kesi mbaya! Wengi wanaishia maisha ya shida na mikosi
@mickidadyplanet64763 жыл бұрын
You’re so smart enough for your education...imenigusa sana point ya”madhara ya kujinenea maneno mabaya inavyoathiri...never happen...one day yes...be blessed...!!!!
@fedharmmark63983 жыл бұрын
Ahsante kwa Elimu hii Brother,maana nakumbukaga nilijitabiliaga kumbe ni kweli kikatokeaga na nimeona watu wa karibu yangu nao imewatokea walivyo nitenda, ahsante kwa kuendelea kunifunza kila siku Ubarikiwe sana Brother
@mrsdeborahurio2 жыл бұрын
Huo ni ukweli kabisa! Mungu akubariki Sana, Maneno huumba.
@abrahammwambije2769 Жыл бұрын
Mungu aendelee kuku kumbuka katika kazi yako tuendeleee kujifunza zaidi kupitia wewe.
@murryamnema96813 жыл бұрын
Mkuu Mungu akupe maisha marefu ili kupitia wewe watu wafanikiwe wengine wabali mitizamo yao ikiwemo mimi
@everkivuyo8596 Жыл бұрын
Umenifurahisha sana mt wa Mungu umeongea kweli kabisa vingine n vya kiroho
@nshimirimanadjamilla72703 жыл бұрын
Masha allah shukran
@Mwamba673 жыл бұрын
Asante, mwalimu wangu kwa somo zuri,,,!
@samuelsulle73492 жыл бұрын
Nothing but blessing Thank you
@gildasnyaki38123 жыл бұрын
Asante Sana mwalimu.Mungu akubariki.
@helenamusa4323 жыл бұрын
Asante kwa somo Joel kwaa mie Nashukul Mungu wangu huwa najisemea mazur
@binally27963 жыл бұрын
Leo nimekuwa wakwanza kutazama na kucomment
@prosperndondole15093 жыл бұрын
Me wa kwanza kureply
@rstudionaberera97883 жыл бұрын
Iyo nafasi inakuwaga yangu
@estermathias83543 жыл бұрын
Kaka umeongea kweli kbs😢.mmi Sina mkosi hata kidogo had huwa wananiambia we mwenzetu una nyota ss najifikiria nyota gn .leo ndo nimepata jibu huwa sipend kuongea uongo au kumsingizia mtu .au kutetea uovu sipend kbs 🙏🙏🙏🙏ndio Mana nabarikiwa ##mtoto wa magufuri
@bukheribukheri7983 жыл бұрын
Mnhuuuu umeharibu hapo mwisho
@uswegebenasi23913 жыл бұрын
Asante sanaa mwalimu wangu. Kwa kutufundisha.
@tanzaniatourismboard83953 жыл бұрын
AHSANTE Sana Joel. Ahsante Sana Mwalimu. Umezidi Kuwa Mkombozi.
@lukasamberu79643 жыл бұрын
Mimi naomba nikuone kama itawezekana maana umenisemea Mimi kwa asilimia 💯
@elishalameck1791 Жыл бұрын
Mmh!
@paullazalo64643 жыл бұрын
Ntawezaje kutoka katika hiyo maana familia yangu wanaiyo imani tatizo kidogo wamesha kimbilia huko
@EmanueliMartin-zl5sk Жыл бұрын
Asante kwaushauli god san
@ussiussi34133 жыл бұрын
Ahsante sana mwalimu kwa mafunzo.
@sophiasophia69453 жыл бұрын
Ahsante sana kwa somo muhimu sana kwa maisha
@faudhiasalum72793 жыл бұрын
Ooh thank sir 📝😍🙌
@bettykageza19643 жыл бұрын
Ubarikiwe sana
@abditech143 жыл бұрын
Jah bless you
@kharifasiraji34463 жыл бұрын
Asante sana joel
@faudhiasalum72793 жыл бұрын
Una ni barikiwa sana 😘
@eshyndibalema15293 жыл бұрын
Asante Sana kutujuza na ni kweli unayoyaongea
@aminaabdull74793 жыл бұрын
mungu akubariki Sana Kaka kwakutuelimisha
@markkenneth39372 жыл бұрын
Barikiwa sana ndugu umekua wa msaada kwangu kupitia mafunzo yako
@rahmaamiri9743 жыл бұрын
Kakaa Joel Asante sana your the best
@guadenciamapunda65932 жыл бұрын
Thank you for sharing.
@bahatijanvier63573 жыл бұрын
You're the best coach
@upendo6009 Жыл бұрын
Dah nimejifunza sana sana
@lovedleonard83983 жыл бұрын
Amen Amen
@eliasmamba99243 жыл бұрын
Nakukubari' mafundisho mazur kak
@winfridajohn6566 Жыл бұрын
Asante sana
@kalollamapunda61423 жыл бұрын
Ubarikiwe
@habibumruma41823 жыл бұрын
Yeah asilimiaa kubwa kuna ukweli ndani yakee
@augusttesha87963 жыл бұрын
Nimependa
@kimagotv25862 жыл бұрын
Ok nimekuelewa
@frednandmagige882011 ай бұрын
Somo zuri sanaaa
@rachealmwale38973 жыл бұрын
Ubarikiwe sana..somo nzuri sana.
@abelntobi3823 жыл бұрын
kzfaq.info/get/bejne/ibqDd8SU3cvFl6M.html
@washirakesaga71893 жыл бұрын
Asante
@zaujiasadiq83473 жыл бұрын
mashaAllah kwa kutujuz
@abelntobi3823 жыл бұрын
kzfaq.info/get/bejne/ibqDd8SU3cvFl6M.html
@stephanopetro29173 жыл бұрын
Big up mentor
@saimonisolomon47523 жыл бұрын
Dah! Toka nianze kukufuatilia Leo umezungumia maisha yangu kabisa. Nilishawahi kutamkiwa maneno ya hovyo na mjombangu nikiwa bado mdogo, hiyo hali inanitesa hadi leo. Mimi ni mtumishi, lakini naona katika hili bado sijafanikiwa kujisaidia, pamoja na kwamba Mungu amenitumia mara kadhaa kusaidia wengine. Naendelea kusubiri.
@childrengospelmissiontanza14743 жыл бұрын
Mungu akufungue katika hilo.
@RoiderMWaseba-li7nv Жыл бұрын
Anza kujiona uko huru kwenye hilo, mpende huyo mjomba kwa moyo wako wote, geuza hilo neno, kama alitamka mikosi ww tamka baraka, kama alitamka vifo ww tamka uzima, mara nyingi uwezavyo, Kila siku, jibariki
@farajhassan17753 жыл бұрын
Thanks brother 🙏❤️
@abelntobi3823 жыл бұрын
kzfaq.info/get/bejne/ibqDd8SU3cvFl6M.html
@user-cb8ru8pw5s Жыл бұрын
Asant kaka
@ethoriecywilliams23213 жыл бұрын
Bro naomba nawasiliano yako
@rimepeter7893 жыл бұрын
Awesome revelation, God bless you sir ❤🙏
@abelntobi3823 жыл бұрын
kzfaq.info/get/bejne/ibqDd8SU3cvFl6M.html
@hawamasoud5068 Жыл бұрын
Mungu atuweke nanauka
@letionnews3103 жыл бұрын
👏👏
@hammyyombe52292 жыл бұрын
🙏
@cleopatraadolf64923 жыл бұрын
Kweli joel, ili linakumba watu wengi sana namimi nikiwemo
@mohammedrashid29063 жыл бұрын
Mkuu upo sawa kabisa
@abelntobi3823 жыл бұрын
kzfaq.info/get/bejne/ibqDd8SU3cvFl6M.html
@seifal-jahour12423 жыл бұрын
Kwakweli umenigusa kabisa brother thanks so much. Mungu akupe afya njema akulinde na mabaya.
@zelfat49563 жыл бұрын
Gud bro
@daudhabona88973 жыл бұрын
Kusahau wazazi. Hili ni jambo zito sanaa. Kuna watu wamefanikiwa na wakawasahu wazazi ama wanawasaidia kiwango cha chini sana. Unakuta mtu pesa anayomtumia mzazi kwa.mwezi ni ndogo kuliko mshahara wa housegirl wake.
@jessekusipa73253 жыл бұрын
Good job
@abelntobi3823 жыл бұрын
kzfaq.info/get/bejne/ibqDd8SU3cvFl6M.html
@ednasalum39823 жыл бұрын
Somi zuri
@khadijasalehe32613 жыл бұрын
Duh, uko vzr xana brother
@mohammedrashid2906 Жыл бұрын
Mimi. Naweza. Sana
@kelvinarnold Жыл бұрын
Ni kwel kabsa wema ni akiba na ubaya ni akiba
@OficialKanza2 жыл бұрын
Ni kweli kabsa mtumishi vipi kuhusu wale ambao wanakusemea mabaya ili waongee hao inakuwajee???
@barakakajange73353 жыл бұрын
Kaka nimeshosha mikono.mungu akibariki
@abelntobi3823 жыл бұрын
kzfaq.info/get/bejne/ibqDd8SU3cvFl6M.html
@lukasamberu79643 жыл бұрын
Naomba mawasiliano yako kaka
@gmaemba223 жыл бұрын
Kaka unachoongea ni kweli kabisa na ukweli usiopingika. Nimefurahi kwamba unajua kua nguvu za kiroho zinavyowatesa watu katika maisha ya kila siku na kupata mikosi. Mimi pia nimekua na changamoto nyingi I am living example wa hizo changamoto na nimezifanyia kazi nyingi bado chache tuu. Hizo za kupatana na walionisaidia kwa wema najitahidi ili nifanye upatanisho na Hawa wapedwa walioni nijali na kwa moyo wakanisaidia
@mkuurditv42273 жыл бұрын
Mfano halisi ni mwenyewe wala sio mbali ,naandamwa sana mikoso ya mambo kutoenda sawa ,japo natumia akili kubwa maarifa mengi na juhudi zote ktk kutafta lkn hola
@yaseenbaltazar4320 Жыл бұрын
Jnanauka kuna mahusiano au tofauti gani kati ya hisia na akili?
@aidanmbilinyi81843 жыл бұрын
Aisee kuna ndgu yangu huyo mtot Wa Mamkubw wangu dah ana mkosi San kila jmbo anlofny aliend kasom mpk form 6 lkn kila ck nkufail anrdia anfeli hat Pesa akipt azkai yn n mikos now tyr ana watt wawili mar mke kamkimbia aliend kutoa mahari mar mwanmke wazaz wake walikul Mali mtot wakmuozesh MTU mwngne yn xjajua ndg yng nmsaidiaje saiz kaamua kwend machimbon kaend ziwan n hvo HVO dah nmuonea hurum San nhis n mambo ya rohon dah nmuonea hurum San
@vincyber-yt7ie Жыл бұрын
Vinny kutoka Kenya.Hili somo limefanya nimebubujikwa na machozi.
@user-dq3op3gs2d20 күн бұрын
Pole sana Mungu yupo
@ladslauspius48453 жыл бұрын
Naomba nishare hii video ya leo iwafikie ndgu zangu..maana .....
@venturebown69833 жыл бұрын
More years to you...tujifunze mengi toka kwako Bro..
@ziyadanyandwi29083 жыл бұрын
Nikweli mdomo unaumba
@rosemdegela62523 жыл бұрын
Mimi naomba nikuone mtoto wangu umsaidie
@ashuraisihaka35243 жыл бұрын
Uyo wa pili ni kondeboy😂😂😂
@stellakins37703 жыл бұрын
Jamani Mimi nimesingiziwa mambo ambalo sijalifanya mpaka nimeachana na Mume Wangu ... Unacho kiongea nikweli ..mpaka Leo ninamaumivu makubwa ... Ila nimewasamehe
@RoiderMWaseba-li7nv Жыл бұрын
Kama umewasamehe acha kuumia
@hassansimba36803 жыл бұрын
nimelikubali som kwl nitumie no unaumuimu kwangu san
@heriethnyaki48163 жыл бұрын
Suluhu LA maneno yaliyotamkwa plz kaka
@abelntobi3823 жыл бұрын
kzfaq.info/get/bejne/ibqDd8SU3cvFl6M.html
@wilfredelimeleki45433 жыл бұрын
Ingia kwenye maombi kukataa na kuyafuta hayo maneno.Tumia jina la Yesu kukataa
@neemarajabu94322 жыл бұрын
Sisi tumeshatamkiwaga atutofanikiwa,wala kuoa wala kuolewa,kipindi hicho mimi sikuwepo,kulikuwa na ugomvi babu na familia nyingine na kunamambo yalifanyika,,kweli mpaka leo atuna mafanikio akuna aliyeolewa wala kuoa,nikuzalisha/kuzalishwa na kuachwa
@RoiderMWaseba-li7nv Жыл бұрын
Anza kuiona ndoa yenye furaha na amani, Anza kuona mafanikio, fikiri zaidi kuhusu kufanikiwa, tupilia mbali maneno mabaya, tabiri mema Kila siku, usiku na mchana, utatobia tuu
@azizawadh59733 жыл бұрын
Na kulogwa vipi hayo yote simo lakini nnamikosi mwanzo mwisho
@benjux26453 жыл бұрын
Daaaah, asante brother maana cc familia zetu zinamikosiii ila nishagundua nn vyanzo daaaah nashukuru sana
@estermathias83543 жыл бұрын
Pole kk
@florakankutebe39873 жыл бұрын
Fundi
@ramadhanikiwave52793 жыл бұрын
siamini kama Kuna mikosi ila ni mambo hayajakaa sawa
@mamanaanabil1478 Жыл бұрын
Mikos ipo Tena sana omba isikukute
@rstudionaberera97883 жыл бұрын
Mmmmh! Mahubiri mazuri kaka
@heriethnyaki48163 жыл бұрын
Asante kaka 2ko pamoja
@nzaliglobal3 жыл бұрын
Tutumie email yako Kaka ya mawasiliano
@abelntobi3823 жыл бұрын
kzfaq.info/get/bejne/ibqDd8SU3cvFl6M.html
@abelntobi3823 жыл бұрын
Somo NI zuri kiukweli....MIKOSI ni NOMA saña
@rahimaaaaa86993 жыл бұрын
Kweli kaka
@seifal-jahour12423 жыл бұрын
Sorry brother nikuombe kitu naomba suluhisho la maneno yaliotamkwa