MUNGU akupe maisha marefu kaka joel, najifunza mengi sanaaaaaaaaa na masomo yako
@shamimually14843 жыл бұрын
Ni Kweli kabisa mwalimu, ila kuna wanaume wengine ambao hawana maamuzi na misimamo yao
@shukuru97922 жыл бұрын
Daar ume nigusa
@nickrose95609 күн бұрын
Mungu akuweke we baba hii ni zaid ya point mamas boy hii inatesa mnoo
@khadijajuma71423 жыл бұрын
Aisee hawa Perfect ni shidaaa. Nishakutana nae aisee na juzi tu nimeamua kunyanyua mikono aende japo Nampenda sana. Ila kila ukizoom huko mbele itakuaje ni mtihani. Maana kila kitu utakua ww ndo chanzo,simu unapiga ww hapokei, ukiuchuna unakuja kuambiwa Una kiburi kisa hujamcheki 😁😁😁na atakuambia nakupigia simu hupokei wakati hakuna simu yake iliyoingia kha 🤣🤣🤣Akiwa na tatizo ww uwe bize nae, na usipokua bize nae anaona humjali, ila ww ukiwa na tatizo hata ukiumwa hana mda wakukucheki hata kukujulia hali mpk akijisikia. Jamani mahusiano na hawa viumbe ni magumu mweeeh. Na ukilalamika kwa kutokujali kwake kibao kinarudishwa kwako unajikuta ww ndo unaomba msamaha 🤣🤣🤣🤣🤣🤣Ubinafsi mwingi mno kwa hawa viumbe. Hadi unajiuliza kama ww tu hakujali ndo atajali ndugu zako, jibu unapata hakuna. Mwee Haya maisha stress tupu,bora niendelee kupata stress yakutafuta pesa. Watoto wa mama mkwe ni ugonjwa wa moyo.
@salehsaleh5483 жыл бұрын
Hehehe aisee hii hatariii
@khadijajuma71423 жыл бұрын
@@salehsaleh548 😂😂😂😂😂Hatari kweli, unaweza kufa huku umesimama. Yaani mpenzi wa hivi ni kwikwiii, hawatakagi kuambiwa wamekosea, afu wasiri waliopitiliza, hawapendi kuulizwa sana 🤣🤣🤣ugomvi tu ndo hawawezi ila kununa mtashindana hata kama kosa lake. Hawajui kubembeleza, wanachojua wao ni wao tu wabembelezwe, aidha umemkosea au kakukosea utarudi ujishushe ww, ktk wanaume hawajui kuomba msamaha ni hawa!!! Yaani akili yake inamtuma yuko Perfect kila kitu kukuomba msamaha kwake dhambi. Na kusamehe kwa dhati ile nimekusamehe yaishe kweli huo ni mtiti mwengine 😂😂😂😂😂Anaorodhesha makosa balaaa, unakuja kushangaa kitu cha miaka ulishasahau yeye kipo stoo kipyaaaa,unakumbushwa hadi unashangaa afu eti mlishaongea akadai yameisha 🤣🤣🤣afu wanakuaga na fake smile.Yaani nilimsoma tabia zake kama kitabu, afu nikimuangalia nacheka.
@salehsaleh5483 жыл бұрын
@@khadijajuma7142 nimekueelwaa sasa kwa sasa umeamuwa kuwa peke yako au umrpata mwingine😀😀😀
@khadijajuma71423 жыл бұрын
@@salehsaleh548 😅😅😅saa hizi nirudie tena stress. Acha tu niangalie maisha yangu kwakweli nisijekufa kabla ya mda loh.
@salehsaleh5483 жыл бұрын
@@khadijajuma7142 ukipata kama mm utafurahi na maisha yako😊😊😊
@faridaaloyce76722 жыл бұрын
Hapo kwa badboy...uwiii nimeamua kumuepuka watoto watano kila mtu na mama yake...mmi hapana.
@josephkashalu41732 жыл бұрын
Daaaah ahsante Sana kwa mafundisho pia mm ni mmoja wa wanaume niliepoteza mwanamke nmpendae kwa tabia zangu na mifumo yangu ya maisha
@patrickkomu31983 жыл бұрын
Yaan mume wangu ni wa Mama's boy, Mr right, egonomic, controlling ni matatizo kwa kweli, inabidi unamfanya mtu mwanaume wa mbegu tu hakuna lingine
@anthonywilliam39773 жыл бұрын
Hahahahahahahaha msaidie
@bennycaleb55832 жыл бұрын
Oo oh😥msaidie bhna
@petronilakimario85332 жыл бұрын
hahaha
@matrugnawangaeli48153 жыл бұрын
Asante Joe, katika mafunzo inepata fundisho tosha. kwani uuhusiano sio kitu rahisi. Ikiwa ina deal na ndungu, jamaa na marafiki. hakika uuhusiano wa ndoa una changamoto nyingi. Hawa wanaume wa aina hii tukonao katka safari. Je una ushauri gani. Naomba uelezee tu kijumla.
@mariahungwi63522 жыл бұрын
Halafu kuna wazembe na wasiotambua nafasi zao kwenye maisha ya mwanamke na familia
@ladymarry2 жыл бұрын
Asante saana kaka Joel Nanauka kwa Elimu nzuri.wapo saana na wengne tunapata taabu kuwarudisha kwenye mstari kwan wameshikiria wanavyomin wao kuwa ndio viko sahihi na wasijue ht kama wanaumiza wenza wao ht jamii iliyowazunguka pia..na wanajichelewesha hata bila kujua, ni neema ya Mungu tuu ndo huwafanya waelewe baadae na wengne hufungwq ufahamu kabisa mpk wanazingua kaburini.🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽shukran kwako na Mungu akubariki hujawahi niboa kwenye mafundisho yako..
@akshots_tz3 жыл бұрын
hahaha hawa bad boy nimecheka sana, asante kwa somo mwalimu..
@rachellyeme30973 жыл бұрын
Yaani ni aliyekua mume wangu kabisa na nimemkimbia kweli si utani japo hatujadivoce bado na sitegemei kurudiana kabisaaa
@mohamedsuleiman72153 жыл бұрын
njoo kwangu bac.
@devothasimbi64953 жыл бұрын
Same to me 😂😂 kabisa
@josephsimpamba85283 жыл бұрын
I now know where I stand time for change
@mwalimudismasherman3 жыл бұрын
Mpaka mnasherekea Anniversary ya miaka23 ni lazima atakuwa ameshatambulisha watoto 14, Bad boys wote wakimbiwe tu😂😂😂
@kumekuchaonlinetv3 жыл бұрын
Haaaa! Haaa! Mada nzuri sana hii,saluti kwako aisee!
@shukranikapange6082 жыл бұрын
mamaz boy
@rosemarygelas14732 ай бұрын
Asante kwa elimu nzuri , wakwangu ni no 4 na tano uwii ni mtihani sana
@farajhassan17753 жыл бұрын
Asante kwa ujumbe mzuri Mungu akubariki kaka Joel 🙏
@sweetbertmligo96373 жыл бұрын
Wambie na wadada hao,nao wapo wanaosumbua balaa!
@mndambacomedian41273 жыл бұрын
joel master of life me sipo kati ya haina hizo ila nimeona watu wa namna ya aina ya mwisho na asante mungu akubalik
@joelnanauka3 жыл бұрын
Nashukuru kwa Kujifunza
@godfreymkilindi20223 жыл бұрын
Tuish nao kwa akili tuu ,Mungu akubariki kwa message unazo fundisha
@furahairene18293 жыл бұрын
Hawa watu kweli n wanaume wabaya Sana,lakn wenye wako tyr kubadilika Basi hudumu katika ndoa pia
@user-oq4fv5ed7u28 күн бұрын
Emeen Mungu nisaidie
@magdalenacharles56152 жыл бұрын
Aisee ....
@vicentndiholeye10672 жыл бұрын
kweli kaka tutajilekebisha asnte sana kwaushauli
@meshackevance99593 жыл бұрын
Iv hii clip ulilekodi mwanzo mwisho 🤣🤣🤣 maana penye bad boy nimecheka kwa saut 🤣🤣 Ahsante mwalimu 🙏🙏👏👏👏
@dianahonge85122 жыл бұрын
Mwanang hilo neno man kuna wanaume wanakeraaaaaaaaa uuuwiiiii
@claramrosso2566 Жыл бұрын
Jamoni imebidi nicheke manake kila aina ilotajwa yupo Mungu akubariki brother
@nursechunga44703 жыл бұрын
Asante Kaka Joel, wanaume Hawa wapo kaka
@hawanamanga90972 жыл бұрын
Asante sana kaka Joel nami pia ni mhanga wa hapo kwenye bad boy na egomatic kweli ni shida sana nimevumilia sasa nimechoka namwache aendelee na maisha yake
@mcnyoka64203 жыл бұрын
First Joel nijibu nivimbe
@joelnanauka3 жыл бұрын
Haya MC Nyoka
@joycehaule97172 жыл бұрын
Nanauka mawasiliano yako wapi?
@sarahjackson87552 жыл бұрын
Yaani hizo sifa zoote ulizodadavua hapo zinamuhusu Mr right wangu😭zoote jamanii
@estherndola4900 Жыл бұрын
Kuna mwamba mmoja yeye ni controlling type of a person, Mr right na egocentric Harafu ndo mume sasa.. hali inakuwa ngumu sana.. 🙌🏼🙌🏼🙌🏼
@Alama_Tv_online3 жыл бұрын
Hao bad boys jamani.🤣🤣🤣🤣 jamaa anarudi kwa miguu wakati nyumbani alitoka na gari
@rumdeesonsoa18113 жыл бұрын
Hiyo ni mbaya sana
@emmanuelmadata Жыл бұрын
@@rumdeesonsoa1811 ppppp
@emmanuelmadata Жыл бұрын
P
@emmanuelmadata Жыл бұрын
@@rumdeesonsoa1811 ppp
@CKMO3 жыл бұрын
Yaaaah sijui nisemeje ili nifahamike yani mimi mume wangu ni gubu yani ni lawama tuu 24/7
@fhyubhhh28812 жыл бұрын
Pole mtu asieridhika ujue pia hana huruma
@mhizavinyangaza6243 жыл бұрын
Bro, ukitoa hao mum’s boy hizo tabia zingine hata wanawake pia wanazo, au siyo kweli?
Yes no 4 na no 5 imeshanifikiya Ma Shaa Allah Asante sana Nashkuru nimepata faida sana
@ashaally58832 жыл бұрын
Asante kaka mume wangu alikua na sifa ya kwanza na ya pili sana nashukur mungu nilishajitoa kwake now niko napambana na hali yangu natafuta kuliishi kusudio langu 😊😊😊😊😊
@kumekuchaonlinetv2 жыл бұрын
Asha Alli kwa nn usimsamehe ili maisha yaendelee?
@heno10brown992 жыл бұрын
Daa Safi sana bro uko sawa udanganyi mana mi nilimpoteza mwanamke niliye kuwa nampenda saaana mpakaleo kwa tabia zangu za kipuzi wape soma na wanawake wawe wanatukweka wazi mapema siyo mtu mmeisha achana kaisha olewa ndipo ana kwambia ulikuwa una nimela 123 inauza sana
@janephernyakire6495 Жыл бұрын
🤣🤣
@daniekasenga46782 жыл бұрын
Aiseee ndiooo maaana , No: 3 Self Righteous & No:4 , Sasa namba 2 huyu tunamsaidiaje sababu namjua jamaa yangu mmoja yupo hivi .
@PiusJusta2 жыл бұрын
Jamani me ninae uyu mwenye tabia ya mwisho nikishindwa nitaleta majibu
@RahmaYusuph-eh4ry6 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂 mimi cna lakusema ila mada ya leo nimzuri sanaaa
@janethjames6514 Жыл бұрын
jaman mme wangu iyo nne na tano jaman nateseka san 😢😢😢
@erikalutevele83622 жыл бұрын
Mmh Mungu tu ndo anajua maana ni shida
@user-wk1ix1gm1p2 жыл бұрын
Mmoja anayote hayo kaka Joel , nimekutana nae vyote hivyo anavyo
@ambrose_vevo1372 жыл бұрын
we moto ulikuwakia hakii 😂😂😂
@user-wk1ix1gm1p2 жыл бұрын
@@ambrose_vevo137 😆😆😆
@user-dk3ss9ts7n4 ай бұрын
Njoo.chukue huyu wakwang anamsikiliza mama yk
@neemamsaki1111 Жыл бұрын
My coach Mungu akubariki
@asmaalhabsiya96522 жыл бұрын
Shukran sana kaka joel mungu akubariki maneno yako mazur sana
@njekutyleyan Жыл бұрын
😂😂😂bad boy ni watu wa kuogopa Sana 🤣
@luciasoko902613 күн бұрын
,Mimi ninaye mwenye Tabia kama hiz karibia zote
@ashudahiza78712 жыл бұрын
Nimefanyiwa hayo mengi sana na huyo yote nashukur nimetoka
@teychriss32483 жыл бұрын
No 4&5 ndiye niyenae Sasa ! Keeeero
@hidayakisensi27472 жыл бұрын
🤣
@johnsonkibadeni50533 жыл бұрын
Bad boy balaa aiseee😂😂
@mwakalukwafredy37203 жыл бұрын
Nakushukuru sana kwa elimu hii nzuri ila nami nimecheka hapo kwa badboy
@langatkipkikrui20473 жыл бұрын
Eee!!wapo kabisaa kaka,hasa hapo pa egomaniac mam😁😁😁😁
@fridahk96 Жыл бұрын
Sidhaani Kama wanajiona kuwa wako hivyo Ila ni wengi sana
@glorianyambua13482 ай бұрын
MUNGU akubariki sana,, tangu njue channel yako nmesaidika sana na kujua aina za watu na category zao
@keniajama3631 Жыл бұрын
Asante Sana kaka kwa mafunzo mazuri mimi nilikimbia kulingana na tabia kama izo.
@revolutionfilmsproduction9643 Жыл бұрын
😅 umenifurahisha Sana kaka, kweli hayo yapo. Mimi nilijionea hao watoto wa Mama
@jonaskahatano72492 жыл бұрын
No.4 ya kwangu kabisaa.
@enockshayo96882 жыл бұрын
Vijana ambao hawajaoa basi wajifunze kwa hili ndio wajitoe kwa miguu ya mama zao na wasimamie nyumba zao wenyewe.
@gracejonh40222 жыл бұрын
Hapo kwa akina bad boy ni kituko mh bora na mama 's boy 😄😄😄😄
@akidasalim38593 жыл бұрын
Kwa hiyo kosa ni karibu na mama yk
@lydiaedwin39983 жыл бұрын
Huyo mume wangu kabisaa, anajali yakwako tuu, hata misiba ikitokea kwetu atakama amepokea mshahara. Hawezi kusapot chochote Ila itokee jiran wa Kijijin kwao kaumwa ata kukopa atakopa
@mahmoodalghefeili53703 жыл бұрын
yaan we acha tu
@ggvv9970 Жыл бұрын
Minajipata kila nimpataye nimoja waapo sijui nifanyenje 😂😂😂😂 ndio uwa nakufatilia ili nijiliwaze❤
@pacyntirampeba46203 жыл бұрын
Asante sana mwalimu
@jaccquelinemakungu1777 Жыл бұрын
Kuna wanaodharau wanawake na kuwapa maneno mabaya
@stephenthuranira5619 Жыл бұрын
Nina chembèchembe za 3 and 4 wooi mungu saidia
@rayansaldivar2796 Жыл бұрын
Mimi nikutana na number 5. Aise ............ Nipo karibu ya kukimbia
@teklakibamtura2534 Жыл бұрын
Perfect man kama Adam hawa wapo wengi.
@rahmahalhaithamiy24323 жыл бұрын
Ni kwel kabisa
@sarahcharles2473 Жыл бұрын
Asant kwa somo zr
@rahmahrr4471Ай бұрын
Aise kaka wankumbusha nlvyo mpiga vibao vya uso mme wangu alvyo ni chit akaenda kusema na mamake😅😅😅 wafanya mchezo na asira
@emeraldmaeda67922 жыл бұрын
JOEL am married to the last on the list and its a nightmare najaribu kuwaeleza ndugu ninacho pitia ina kuwa ngumu nime shukuru ume fafanuwa kwa kiswahili kizuri ili niki share waelewe halafu hawa shauriki watu wa namna hiyo ni ngumu sana
@anthonywilliam39773 жыл бұрын
Hongera sana
@MariamBahat3 ай бұрын
Mimi ni huyo no5 nifanyeje hayuko care katika mambo yangu lakini yako anataka yawe no1 kwangu mm hataki kujua
@emmymo26833 жыл бұрын
Mimi ndoa yangu ndoivoivo Yani Kama ulikuwepo nyumbani kwangu
@isayamaswayaga5914 Жыл бұрын
Bro umetisha Mungu aendelee kukusaidia
@pendojeremiah91112 жыл бұрын
Me nilishawahi kukutana na Mama's boy kiukweli nilimwacha ndani y mwezi mmoja,for sure wanakera🤣🤣
@emmamoshi8552 жыл бұрын
Umenigusa nimemkimbia mume wangu kwa tabia ya Mama's boy
@kumekuchaonlinetv2 жыл бұрын
Emma msamehe bana ili maisha yaendelee!! 😁😁😋😋
@neemangali86743 жыл бұрын
Uwiii, he has all five
@hadijahamza85672 жыл бұрын
Yaani kweli kabisa kaka
@salmanoorhashim54503 ай бұрын
Kweli kabisa
@magrethjohn4929 Жыл бұрын
Duuuh uncle joel huyo Mr perfect ni hatar sana siyo uongo sikujal km nlmpeleka kwe2 kudadeki yaliponishinda nikasepa na tulikaa kwenye relationship kwa 6 years tangu chuo lakin sikujal
@kitengealmas4085 Жыл бұрын
Hiyo ya mwisho yamenikuta mimi nilivumilia kwa miaka 17 nimeshindwa nimeondoka asante mtumishi
@liberatusjackson50458 ай бұрын
Huna hakiri m17 yote sasa. Unaenda wp
@great-african9032 жыл бұрын
Hapo hapo kwa badest boy
@derrikdesertman45643 жыл бұрын
Sasa avae kama kina Cardi B na Nicky Minaj nimwabgalie tu... Nampiga mikanda.. Anatakiwa avae kama Mwanamke wa Kiafrika wa zamani
@kitengealmas4085 Жыл бұрын
Iyo ya mwisho ni majanga nimemuacha nimeshindwa
@SonySony-hx5yd Жыл бұрын
Yeah nlikutan namwanaume ,anokufanya mtumwa,anauza viwanja nammbo kibao hkushrikishi ,taarifa unaziskia kwa mama ake au dada zake,au rafiki yake,nliona haina haja tulimwagikana
@ahz69073 жыл бұрын
Ututumie na ya aina ya wanawake wanaokimbiwa na wanaume
@joelnanauka3 жыл бұрын
Sawa Sawa
@glorianyambua13482 ай бұрын
Kweli kuna watu wana tabia hizo, mimi nlikuwa na mume Ana tabia hizo zote ilibidii nmtoroke
@magrethmushi97313 жыл бұрын
Nimejifunza kitu mwalimu
@OdenGreen21 күн бұрын
Ukweli mtupuu
@tausimatala15292 жыл бұрын
Jamani mume wangu yupo ivyo ila inauma
@naomimwahosi81773 жыл бұрын
☹️☹️☹️ aiseeee kuna watu wavumilivu jamani.....kwa haya nimesikia mh
@annajohn19782 жыл бұрын
Hizo zote anazo mume wangu nasasa hivi nimemkimbia Mana inakufanya ujione mfu.
@ninjaisma79833 жыл бұрын
Ongelea kuhusu wanawake sasa wanaokimbiwa na wanaume..utakuwa umefanya haki
@amissasifa38263 жыл бұрын
Nikweli kabsa mwalimu
@mwanashahussein6829 Жыл бұрын
Hi yaani nilipitia nanishakimbia tayari nasasa naongopa kudeti tena maana sijui nitapata waaina ngani tena
@kizymussa62023 жыл бұрын
Kaka me nimetokea kupenda Sana masomo yako Kaka nakuombea maisha malef
@devothasimbi64953 жыл бұрын
Jamani Mimi wangu anazo zoooote nimemkata tena mahakamani na Hana hâta rushusa ya kufika kwangu,hasa na nne na ya mwisho Kwa ujumla vyote anavyoa anavyo sio rahisi kuishi na mwanamme wa aina hiyo.
@kumekuchaonlinetv2 жыл бұрын
Devotha kwa nn usimsamehe ili maisha yaendelee? Hamkubahatika kupata watoto?
@kumekuchaonlinetv2 жыл бұрын
Devotha kwa nn usimsamehe ili maisha yaendelee? Hamkubahatika kupata watoto?
@devothasimbi64952 жыл бұрын
@@kumekuchaonlinetv Nina watoto naye wawili n'a wa tatu wake kutokea kwa mwanamke mwingine.tena WA kwake Hugo ninayebkuanzia akiwa na miaka Saba SASA ana miaka kumi naa Tano je huo si msamaha . Ada Kula maradhi mimi n'a shule sio lelemama .Mama wa moto Hana habari.
@kumekuchaonlinetv2 жыл бұрын
@@devothasimbi6495 Duuuhh! Kwa kweli wewe ni mke mwema sana,yaani umeweza kulea hata mtoto wa mwenziyo-MWENYEZI MUNGU ATAKULIPA MARA ELFU ZAIDI!! 👏👏👏👏🙏🙏🙏🙏🙏
@devothasimbi64952 жыл бұрын
@@kumekuchaonlinetv Amina sio kwa uwezo wangu ni nguvu ya Mungu .
@aash4145 Жыл бұрын
Jaman badboy ndo sitak hata kumuona ktk mahusiano heee😂😂😂😂majanga