Wanaume Wanaokimbiwa na Wanawake - Joel Nanauka

  Рет қаралды 69,569

Joel Nanauka

Joel Nanauka

3 жыл бұрын

🔥🔥🔥 Unataka KUJIFUNZA Zaidi? Nenda hapa: joelnanauka.selar.co 🔥🔥🔥

Пікірлер: 268
@meryanmwailakale670
@meryanmwailakale670 3 жыл бұрын
MUNGU akupe maisha marefu kaka joel, najifunza mengi sanaaaaaaaaa na masomo yako
@shamimually1484
@shamimually1484 3 жыл бұрын
Ni Kweli kabisa mwalimu, ila kuna wanaume wengine ambao hawana maamuzi na misimamo yao
@shukuru9792
@shukuru9792 2 жыл бұрын
Daar ume nigusa
@nickrose9560
@nickrose9560 9 күн бұрын
Mungu akuweke we baba hii ni zaid ya point mamas boy hii inatesa mnoo
@khadijajuma7142
@khadijajuma7142 3 жыл бұрын
Aisee hawa Perfect ni shidaaa. Nishakutana nae aisee na juzi tu nimeamua kunyanyua mikono aende japo Nampenda sana. Ila kila ukizoom huko mbele itakuaje ni mtihani. Maana kila kitu utakua ww ndo chanzo,simu unapiga ww hapokei, ukiuchuna unakuja kuambiwa Una kiburi kisa hujamcheki 😁😁😁na atakuambia nakupigia simu hupokei wakati hakuna simu yake iliyoingia kha 🤣🤣🤣Akiwa na tatizo ww uwe bize nae, na usipokua bize nae anaona humjali, ila ww ukiwa na tatizo hata ukiumwa hana mda wakukucheki hata kukujulia hali mpk akijisikia. Jamani mahusiano na hawa viumbe ni magumu mweeeh. Na ukilalamika kwa kutokujali kwake kibao kinarudishwa kwako unajikuta ww ndo unaomba msamaha 🤣🤣🤣🤣🤣🤣Ubinafsi mwingi mno kwa hawa viumbe. Hadi unajiuliza kama ww tu hakujali ndo atajali ndugu zako, jibu unapata hakuna. Mwee Haya maisha stress tupu,bora niendelee kupata stress yakutafuta pesa. Watoto wa mama mkwe ni ugonjwa wa moyo.
@salehsaleh548
@salehsaleh548 3 жыл бұрын
Hehehe aisee hii hatariii
@khadijajuma7142
@khadijajuma7142 3 жыл бұрын
@@salehsaleh548 😂😂😂😂😂Hatari kweli, unaweza kufa huku umesimama. Yaani mpenzi wa hivi ni kwikwiii, hawatakagi kuambiwa wamekosea, afu wasiri waliopitiliza, hawapendi kuulizwa sana 🤣🤣🤣ugomvi tu ndo hawawezi ila kununa mtashindana hata kama kosa lake. Hawajui kubembeleza, wanachojua wao ni wao tu wabembelezwe, aidha umemkosea au kakukosea utarudi ujishushe ww, ktk wanaume hawajui kuomba msamaha ni hawa!!! Yaani akili yake inamtuma yuko Perfect kila kitu kukuomba msamaha kwake dhambi. Na kusamehe kwa dhati ile nimekusamehe yaishe kweli huo ni mtiti mwengine 😂😂😂😂😂Anaorodhesha makosa balaaa, unakuja kushangaa kitu cha miaka ulishasahau yeye kipo stoo kipyaaaa,unakumbushwa hadi unashangaa afu eti mlishaongea akadai yameisha 🤣🤣🤣afu wanakuaga na fake smile.Yaani nilimsoma tabia zake kama kitabu, afu nikimuangalia nacheka.
@salehsaleh548
@salehsaleh548 3 жыл бұрын
@@khadijajuma7142 nimekueelwaa sasa kwa sasa umeamuwa kuwa peke yako au umrpata mwingine😀😀😀
@khadijajuma7142
@khadijajuma7142 3 жыл бұрын
@@salehsaleh548 😅😅😅saa hizi nirudie tena stress. Acha tu niangalie maisha yangu kwakweli nisijekufa kabla ya mda loh.
@salehsaleh548
@salehsaleh548 3 жыл бұрын
@@khadijajuma7142 ukipata kama mm utafurahi na maisha yako😊😊😊
@faridaaloyce7672
@faridaaloyce7672 2 жыл бұрын
Hapo kwa badboy...uwiii nimeamua kumuepuka watoto watano kila mtu na mama yake...mmi hapana.
@josephkashalu4173
@josephkashalu4173 2 жыл бұрын
Daaaah ahsante Sana kwa mafundisho pia mm ni mmoja wa wanaume niliepoteza mwanamke nmpendae kwa tabia zangu na mifumo yangu ya maisha
@patrickkomu3198
@patrickkomu3198 3 жыл бұрын
Yaan mume wangu ni wa Mama's boy, Mr right, egonomic, controlling ni matatizo kwa kweli, inabidi unamfanya mtu mwanaume wa mbegu tu hakuna lingine
@anthonywilliam3977
@anthonywilliam3977 3 жыл бұрын
Hahahahahahahaha msaidie
@bennycaleb5583
@bennycaleb5583 2 жыл бұрын
Oo oh😥msaidie bhna
@petronilakimario8533
@petronilakimario8533 2 жыл бұрын
hahaha
@matrugnawangaeli4815
@matrugnawangaeli4815 3 жыл бұрын
Asante Joe, katika mafunzo inepata fundisho tosha. kwani uuhusiano sio kitu rahisi. Ikiwa ina deal na ndungu, jamaa na marafiki. hakika uuhusiano wa ndoa una changamoto nyingi. Hawa wanaume wa aina hii tukonao katka safari. Je una ushauri gani. Naomba uelezee tu kijumla.
@mariahungwi6352
@mariahungwi6352 2 жыл бұрын
Halafu kuna wazembe na wasiotambua nafasi zao kwenye maisha ya mwanamke na familia
@ladymarry
@ladymarry 2 жыл бұрын
Asante saana kaka Joel Nanauka kwa Elimu nzuri.wapo saana na wengne tunapata taabu kuwarudisha kwenye mstari kwan wameshikiria wanavyomin wao kuwa ndio viko sahihi na wasijue ht kama wanaumiza wenza wao ht jamii iliyowazunguka pia..na wanajichelewesha hata bila kujua, ni neema ya Mungu tuu ndo huwafanya waelewe baadae na wengne hufungwq ufahamu kabisa mpk wanazingua kaburini.🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽shukran kwako na Mungu akubariki hujawahi niboa kwenye mafundisho yako..
@akshots_tz
@akshots_tz 3 жыл бұрын
hahaha hawa bad boy nimecheka sana, asante kwa somo mwalimu..
@rachellyeme3097
@rachellyeme3097 3 жыл бұрын
Yaani ni aliyekua mume wangu kabisa na nimemkimbia kweli si utani japo hatujadivoce bado na sitegemei kurudiana kabisaaa
@mohamedsuleiman7215
@mohamedsuleiman7215 3 жыл бұрын
njoo kwangu bac.
@devothasimbi6495
@devothasimbi6495 3 жыл бұрын
Same to me 😂😂 kabisa
@josephsimpamba8528
@josephsimpamba8528 3 жыл бұрын
I now know where I stand time for change
@mwalimudismasherman
@mwalimudismasherman 3 жыл бұрын
Mpaka mnasherekea Anniversary ya miaka23 ni lazima atakuwa ameshatambulisha watoto 14, Bad boys wote wakimbiwe tu😂😂😂
@kumekuchaonlinetv
@kumekuchaonlinetv 3 жыл бұрын
Haaaa! Haaa! Mada nzuri sana hii,saluti kwako aisee!
@shukranikapange608
@shukranikapange608 2 жыл бұрын
mamaz boy
@rosemarygelas1473
@rosemarygelas1473 2 ай бұрын
Asante kwa elimu nzuri , wakwangu ni no 4 na tano uwii ni mtihani sana
@farajhassan1775
@farajhassan1775 3 жыл бұрын
Asante kwa ujumbe mzuri Mungu akubariki kaka Joel 🙏
@sweetbertmligo9637
@sweetbertmligo9637 3 жыл бұрын
Wambie na wadada hao,nao wapo wanaosumbua balaa!
@mndambacomedian4127
@mndambacomedian4127 3 жыл бұрын
joel master of life me sipo kati ya haina hizo ila nimeona watu wa namna ya aina ya mwisho na asante mungu akubalik
@joelnanauka
@joelnanauka 3 жыл бұрын
Nashukuru kwa Kujifunza
@godfreymkilindi2022
@godfreymkilindi2022 3 жыл бұрын
Tuish nao kwa akili tuu ,Mungu akubariki kwa message unazo fundisha
@furahairene1829
@furahairene1829 3 жыл бұрын
Hawa watu kweli n wanaume wabaya Sana,lakn wenye wako tyr kubadilika Basi hudumu katika ndoa pia
@user-oq4fv5ed7u
@user-oq4fv5ed7u 28 күн бұрын
Emeen Mungu nisaidie
@magdalenacharles5615
@magdalenacharles5615 2 жыл бұрын
Aisee ....
@vicentndiholeye1067
@vicentndiholeye1067 2 жыл бұрын
kweli kaka tutajilekebisha asnte sana kwaushauli
@meshackevance9959
@meshackevance9959 3 жыл бұрын
Iv hii clip ulilekodi mwanzo mwisho 🤣🤣🤣 maana penye bad boy nimecheka kwa saut 🤣🤣 Ahsante mwalimu 🙏🙏👏👏👏
@dianahonge8512
@dianahonge8512 2 жыл бұрын
Mwanang hilo neno man kuna wanaume wanakeraaaaaaaaa uuuwiiiii
@claramrosso2566
@claramrosso2566 Жыл бұрын
Jamoni imebidi nicheke manake kila aina ilotajwa yupo Mungu akubariki brother
@nursechunga4470
@nursechunga4470 3 жыл бұрын
Asante Kaka Joel, wanaume Hawa wapo kaka
@hawanamanga9097
@hawanamanga9097 2 жыл бұрын
Asante sana kaka Joel nami pia ni mhanga wa hapo kwenye bad boy na egomatic kweli ni shida sana nimevumilia sasa nimechoka namwache aendelee na maisha yake
@mcnyoka6420
@mcnyoka6420 3 жыл бұрын
First Joel nijibu nivimbe
@joelnanauka
@joelnanauka 3 жыл бұрын
Haya MC Nyoka
@joycehaule9717
@joycehaule9717 2 жыл бұрын
Nanauka mawasiliano yako wapi?
@sarahjackson8755
@sarahjackson8755 2 жыл бұрын
Yaani hizo sifa zoote ulizodadavua hapo zinamuhusu Mr right wangu😭zoote jamanii
@estherndola4900
@estherndola4900 Жыл бұрын
Kuna mwamba mmoja yeye ni controlling type of a person, Mr right na egocentric Harafu ndo mume sasa.. hali inakuwa ngumu sana.. 🙌🏼🙌🏼🙌🏼
@Alama_Tv_online
@Alama_Tv_online 3 жыл бұрын
Hao bad boys jamani.🤣🤣🤣🤣 jamaa anarudi kwa miguu wakati nyumbani alitoka na gari
@rumdeesonsoa1811
@rumdeesonsoa1811 3 жыл бұрын
Hiyo ni mbaya sana
@emmanuelmadata
@emmanuelmadata Жыл бұрын
@@rumdeesonsoa1811 ppppp
@emmanuelmadata
@emmanuelmadata Жыл бұрын
P
@emmanuelmadata
@emmanuelmadata Жыл бұрын
@@rumdeesonsoa1811 ppp
@CKMO
@CKMO 3 жыл бұрын
Yaaaah sijui nisemeje ili nifahamike yani mimi mume wangu ni gubu yani ni lawama tuu 24/7
@fhyubhhh2881
@fhyubhhh2881 2 жыл бұрын
Pole mtu asieridhika ujue pia hana huruma
@mhizavinyangaza624
@mhizavinyangaza624 3 жыл бұрын
Bro, ukitoa hao mum’s boy hizo tabia zingine hata wanawake pia wanazo, au siyo kweli?
@khadijaal6548
@khadijaal6548 3 жыл бұрын
Ahaha wanaume mmezid mnatukatisha tamaa saana wapenzi wenu 😒😔
@saikolojiaonline8403
@saikolojiaonline8403 3 жыл бұрын
Kongole kwako brother kazi nzuri barikiwa sana
@hamidaa3886
@hamidaa3886 2 жыл бұрын
Yes no 4 na no 5 imeshanifikiya Ma Shaa Allah Asante sana Nashkuru nimepata faida sana
@ashaally5883
@ashaally5883 2 жыл бұрын
Asante kaka mume wangu alikua na sifa ya kwanza na ya pili sana nashukur mungu nilishajitoa kwake now niko napambana na hali yangu natafuta kuliishi kusudio langu 😊😊😊😊😊
@kumekuchaonlinetv
@kumekuchaonlinetv 2 жыл бұрын
Asha Alli kwa nn usimsamehe ili maisha yaendelee?
@heno10brown99
@heno10brown99 2 жыл бұрын
Daa Safi sana bro uko sawa udanganyi mana mi nilimpoteza mwanamke niliye kuwa nampenda saaana mpakaleo kwa tabia zangu za kipuzi wape soma na wanawake wawe wanatukweka wazi mapema siyo mtu mmeisha achana kaisha olewa ndipo ana kwambia ulikuwa una nimela 123 inauza sana
@janephernyakire6495
@janephernyakire6495 Жыл бұрын
🤣🤣
@daniekasenga4678
@daniekasenga4678 2 жыл бұрын
Aiseee ndiooo maaana , No: 3 Self Righteous & No:4 , Sasa namba 2 huyu tunamsaidiaje sababu namjua jamaa yangu mmoja yupo hivi .
@PiusJusta
@PiusJusta 2 жыл бұрын
Jamani me ninae uyu mwenye tabia ya mwisho nikishindwa nitaleta majibu
@RahmaYusuph-eh4ry
@RahmaYusuph-eh4ry 6 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂 mimi cna lakusema ila mada ya leo nimzuri sanaaa
@janethjames6514
@janethjames6514 Жыл бұрын
jaman mme wangu iyo nne na tano jaman nateseka san 😢😢😢
@erikalutevele8362
@erikalutevele8362 2 жыл бұрын
Mmh Mungu tu ndo anajua maana ni shida
@user-wk1ix1gm1p
@user-wk1ix1gm1p 2 жыл бұрын
Mmoja anayote hayo kaka Joel , nimekutana nae vyote hivyo anavyo
@ambrose_vevo137
@ambrose_vevo137 2 жыл бұрын
we moto ulikuwakia hakii 😂😂😂
@user-wk1ix1gm1p
@user-wk1ix1gm1p 2 жыл бұрын
@@ambrose_vevo137 😆😆😆
@user-dk3ss9ts7n
@user-dk3ss9ts7n 4 ай бұрын
Njoo.chukue huyu wakwang anamsikiliza mama yk
@neemamsaki1111
@neemamsaki1111 Жыл бұрын
My coach Mungu akubariki
@asmaalhabsiya9652
@asmaalhabsiya9652 2 жыл бұрын
Shukran sana kaka joel mungu akubariki maneno yako mazur sana
@njekutyleyan
@njekutyleyan Жыл бұрын
😂😂😂bad boy ni watu wa kuogopa Sana 🤣
@luciasoko9026
@luciasoko9026 13 күн бұрын
,Mimi ninaye mwenye Tabia kama hiz karibia zote
@ashudahiza7871
@ashudahiza7871 2 жыл бұрын
Nimefanyiwa hayo mengi sana na huyo yote nashukur nimetoka
@teychriss3248
@teychriss3248 3 жыл бұрын
No 4&5 ndiye niyenae Sasa ! Keeeero
@hidayakisensi2747
@hidayakisensi2747 2 жыл бұрын
🤣
@johnsonkibadeni5053
@johnsonkibadeni5053 3 жыл бұрын
Bad boy balaa aiseee😂😂
@mwakalukwafredy3720
@mwakalukwafredy3720 3 жыл бұрын
Nakushukuru sana kwa elimu hii nzuri ila nami nimecheka hapo kwa badboy
@langatkipkikrui2047
@langatkipkikrui2047 3 жыл бұрын
Eee!!wapo kabisaa kaka,hasa hapo pa egomaniac mam😁😁😁😁
@fridahk96
@fridahk96 Жыл бұрын
Sidhaani Kama wanajiona kuwa wako hivyo Ila ni wengi sana
@glorianyambua1348
@glorianyambua1348 2 ай бұрын
MUNGU akubariki sana,, tangu njue channel yako nmesaidika sana na kujua aina za watu na category zao
@keniajama3631
@keniajama3631 Жыл бұрын
Asante Sana kaka kwa mafunzo mazuri mimi nilikimbia kulingana na tabia kama izo.
@revolutionfilmsproduction9643
@revolutionfilmsproduction9643 Жыл бұрын
😅 umenifurahisha Sana kaka, kweli hayo yapo. Mimi nilijionea hao watoto wa Mama
@jonaskahatano7249
@jonaskahatano7249 2 жыл бұрын
No.4 ya kwangu kabisaa.
@enockshayo9688
@enockshayo9688 2 жыл бұрын
Vijana ambao hawajaoa basi wajifunze kwa hili ndio wajitoe kwa miguu ya mama zao na wasimamie nyumba zao wenyewe.
@gracejonh4022
@gracejonh4022 2 жыл бұрын
Hapo kwa akina bad boy ni kituko mh bora na mama 's boy 😄😄😄😄
@akidasalim3859
@akidasalim3859 3 жыл бұрын
Kwa hiyo kosa ni karibu na mama yk
@lydiaedwin3998
@lydiaedwin3998 3 жыл бұрын
Huyo mume wangu kabisaa, anajali yakwako tuu, hata misiba ikitokea kwetu atakama amepokea mshahara. Hawezi kusapot chochote Ila itokee jiran wa Kijijin kwao kaumwa ata kukopa atakopa
@mahmoodalghefeili5370
@mahmoodalghefeili5370 3 жыл бұрын
yaan we acha tu
@ggvv9970
@ggvv9970 Жыл бұрын
Minajipata kila nimpataye nimoja waapo sijui nifanyenje 😂😂😂😂 ndio uwa nakufatilia ili nijiliwaze❤
@pacyntirampeba4620
@pacyntirampeba4620 3 жыл бұрын
Asante sana mwalimu
@jaccquelinemakungu1777
@jaccquelinemakungu1777 Жыл бұрын
Kuna wanaodharau wanawake na kuwapa maneno mabaya
@stephenthuranira5619
@stephenthuranira5619 Жыл бұрын
Nina chembèchembe za 3 and 4 wooi mungu saidia
@rayansaldivar2796
@rayansaldivar2796 Жыл бұрын
Mimi nikutana na number 5. Aise ............ Nipo karibu ya kukimbia
@teklakibamtura2534
@teklakibamtura2534 Жыл бұрын
Perfect man kama Adam hawa wapo wengi.
@rahmahalhaithamiy2432
@rahmahalhaithamiy2432 3 жыл бұрын
Ni kwel kabisa
@sarahcharles2473
@sarahcharles2473 Жыл бұрын
Asant kwa somo zr
@rahmahrr4471
@rahmahrr4471 Ай бұрын
Aise kaka wankumbusha nlvyo mpiga vibao vya uso mme wangu alvyo ni chit akaenda kusema na mamake😅😅😅 wafanya mchezo na asira
@emeraldmaeda6792
@emeraldmaeda6792 2 жыл бұрын
JOEL am married to the last on the list and its a nightmare najaribu kuwaeleza ndugu ninacho pitia ina kuwa ngumu nime shukuru ume fafanuwa kwa kiswahili kizuri ili niki share waelewe halafu hawa shauriki watu wa namna hiyo ni ngumu sana
@anthonywilliam3977
@anthonywilliam3977 3 жыл бұрын
Hongera sana
@MariamBahat
@MariamBahat 3 ай бұрын
Mimi ni huyo no5 nifanyeje hayuko care katika mambo yangu lakini yako anataka yawe no1 kwangu mm hataki kujua
@emmymo2683
@emmymo2683 3 жыл бұрын
Mimi ndoa yangu ndoivoivo Yani Kama ulikuwepo nyumbani kwangu
@isayamaswayaga5914
@isayamaswayaga5914 Жыл бұрын
Bro umetisha Mungu aendelee kukusaidia
@pendojeremiah9111
@pendojeremiah9111 2 жыл бұрын
Me nilishawahi kukutana na Mama's boy kiukweli nilimwacha ndani y mwezi mmoja,for sure wanakera🤣🤣
@emmamoshi855
@emmamoshi855 2 жыл бұрын
Umenigusa nimemkimbia mume wangu kwa tabia ya Mama's boy
@kumekuchaonlinetv
@kumekuchaonlinetv 2 жыл бұрын
Emma msamehe bana ili maisha yaendelee!! 😁😁😋😋
@neemangali8674
@neemangali8674 3 жыл бұрын
Uwiii, he has all five
@hadijahamza8567
@hadijahamza8567 2 жыл бұрын
Yaani kweli kabisa kaka
@salmanoorhashim5450
@salmanoorhashim5450 3 ай бұрын
Kweli kabisa
@magrethjohn4929
@magrethjohn4929 Жыл бұрын
Duuuh uncle joel huyo Mr perfect ni hatar sana siyo uongo sikujal km nlmpeleka kwe2 kudadeki yaliponishinda nikasepa na tulikaa kwenye relationship kwa 6 years tangu chuo lakin sikujal
@kitengealmas4085
@kitengealmas4085 Жыл бұрын
Hiyo ya mwisho yamenikuta mimi nilivumilia kwa miaka 17 nimeshindwa nimeondoka asante mtumishi
@liberatusjackson5045
@liberatusjackson5045 8 ай бұрын
Huna hakiri m17 yote sasa. Unaenda wp
@great-african903
@great-african903 2 жыл бұрын
Hapo hapo kwa badest boy
@derrikdesertman4564
@derrikdesertman4564 3 жыл бұрын
Sasa avae kama kina Cardi B na Nicky Minaj nimwabgalie tu... Nampiga mikanda.. Anatakiwa avae kama Mwanamke wa Kiafrika wa zamani
@kitengealmas4085
@kitengealmas4085 Жыл бұрын
Iyo ya mwisho ni majanga nimemuacha nimeshindwa
@SonySony-hx5yd
@SonySony-hx5yd Жыл бұрын
Yeah nlikutan namwanaume ,anokufanya mtumwa,anauza viwanja nammbo kibao hkushrikishi ,taarifa unaziskia kwa mama ake au dada zake,au rafiki yake,nliona haina haja tulimwagikana
@ahz6907
@ahz6907 3 жыл бұрын
Ututumie na ya aina ya wanawake wanaokimbiwa na wanaume
@joelnanauka
@joelnanauka 3 жыл бұрын
Sawa Sawa
@glorianyambua1348
@glorianyambua1348 2 ай бұрын
Kweli kuna watu wana tabia hizo, mimi nlikuwa na mume Ana tabia hizo zote ilibidii nmtoroke
@magrethmushi9731
@magrethmushi9731 3 жыл бұрын
Nimejifunza kitu mwalimu
@OdenGreen
@OdenGreen 21 күн бұрын
Ukweli mtupuu
@tausimatala1529
@tausimatala1529 2 жыл бұрын
Jamani mume wangu yupo ivyo ila inauma
@naomimwahosi8177
@naomimwahosi8177 3 жыл бұрын
☹️☹️☹️ aiseeee kuna watu wavumilivu jamani.....kwa haya nimesikia mh
@annajohn1978
@annajohn1978 2 жыл бұрын
Hizo zote anazo mume wangu nasasa hivi nimemkimbia Mana inakufanya ujione mfu.
@ninjaisma7983
@ninjaisma7983 3 жыл бұрын
Ongelea kuhusu wanawake sasa wanaokimbiwa na wanaume..utakuwa umefanya haki
@amissasifa3826
@amissasifa3826 3 жыл бұрын
Nikweli kabsa mwalimu
@mwanashahussein6829
@mwanashahussein6829 Жыл бұрын
Hi yaani nilipitia nanishakimbia tayari nasasa naongopa kudeti tena maana sijui nitapata waaina ngani tena
@kizymussa6202
@kizymussa6202 3 жыл бұрын
Kaka me nimetokea kupenda Sana masomo yako Kaka nakuombea maisha malef
@devothasimbi6495
@devothasimbi6495 3 жыл бұрын
Jamani Mimi wangu anazo zoooote nimemkata tena mahakamani na Hana hâta rushusa ya kufika kwangu,hasa na nne na ya mwisho Kwa ujumla vyote anavyoa anavyo sio rahisi kuishi na mwanamme wa aina hiyo.
@kumekuchaonlinetv
@kumekuchaonlinetv 2 жыл бұрын
Devotha kwa nn usimsamehe ili maisha yaendelee? Hamkubahatika kupata watoto?
@kumekuchaonlinetv
@kumekuchaonlinetv 2 жыл бұрын
Devotha kwa nn usimsamehe ili maisha yaendelee? Hamkubahatika kupata watoto?
@devothasimbi6495
@devothasimbi6495 2 жыл бұрын
@@kumekuchaonlinetv Nina watoto naye wawili n'a wa tatu wake kutokea kwa mwanamke mwingine.tena WA kwake Hugo ninayebkuanzia akiwa na miaka Saba SASA ana miaka kumi naa Tano je huo si msamaha . Ada Kula maradhi mimi n'a shule sio lelemama .Mama wa moto Hana habari.
@kumekuchaonlinetv
@kumekuchaonlinetv 2 жыл бұрын
@@devothasimbi6495 Duuuhh! Kwa kweli wewe ni mke mwema sana,yaani umeweza kulea hata mtoto wa mwenziyo-MWENYEZI MUNGU ATAKULIPA MARA ELFU ZAIDI!! 👏👏👏👏🙏🙏🙏🙏🙏
@devothasimbi6495
@devothasimbi6495 2 жыл бұрын
@@kumekuchaonlinetv Amina sio kwa uwezo wangu ni nguvu ya Mungu .
@aash4145
@aash4145 Жыл бұрын
Jaman badboy ndo sitak hata kumuona ktk mahusiano heee😂😂😂😂majanga
Aina 9 Za Wanawake Watata
13:50
Joel Nanauka
Рет қаралды 105 М.
Dr. Chris Mauki: Ukiyaona haya, hata kama unampenda, mwache aende
10:14
НЫСАНА КОНЦЕРТ 2024
2:26:34
Нысана театры
Рет қаралды 1 МЛН
Finger Heart - Fancy Refill (Inside Out Animation)
00:30
FASH
Рет қаралды 25 МЛН
LIFE WISDOM : VITA YA MAPENZI  - JOEL NANAUKA
14:48
Joel Nanauka
Рет қаралды 16 М.
Vitu Vinavyowakera  Wanawake - Joel Nanauka
8:50
Joel Nanauka
Рет қаралды 180 М.
Maswali 7 wasiyopenda kuulizwa Wanaume - Joel Nanauka
9:21
Joel Nanauka
Рет қаралды 26 М.
LIFE WISDOM : FUNGA JERAHA, ZUIA DAMU - JOEL NANAUKA
11:54
Joel Nanauka
Рет қаралды 7 М.
JINSI YA KUTUMIA MUDA WAKO ILI UFANIKIWE KWA HARAKA | Victor Mwambene.
16:15
Dr. Chris Mauki: Mambo 5 ya kuepuka katika mahusiano na ndoa
8:20
DALILI HATARISHI KWENYE UPENDO - JOEL NANAUKA
8:33
Joel Nanauka
Рет қаралды 128 М.