Ahsante I'm still growing everyday, MUNGU wa Mbinguni akakuangazie nuru za uso wake na kukufadhili✋🏻
@NickGamba-ft8tl13 күн бұрын
Asanteee Mwalimu Arthur Joel
@godfreygerase87132 ай бұрын
Naaam mwalim mm sina elimu saaana lakini nina uwezo wa kuongeza mawazo na ushauli kwa watu na namshukulu mungu nimekupata mwalim wa kunifungua ubongo zaidi kuongeza ujuzi zaidi!! Na naongezea apo kama una mpango wa kufika at top bas nakushaulu usigeuke kuangali nyuma utasimama nyuma kuna wengi wanalia utawaonea uluma nawewe kubaki pale ulipofikia sogea ufanikiwe ludi umpe msaada!! Asante mwalim joel mungu akubaliki❤🙏
@user-fi2im7bt5g2 ай бұрын
Nimejikuta mm Ni wakwanza kabisa leo.... Alhamdullilah....Kaka Joel nyumban waninibeza na kunizalau wananitania leo ujamsikiliza uyo Kaka yako wakinikuta nakisikiliza wanamwambia mtoto Wang mdog mama jako ndo yupo biz kumsikiliza mjomba wako.kifup wananizarau mno lkn mm nawaambia mutashuudi kwa macho yenu inshaallah....Kaka yangu mungu akubalik
@godfreygerase87132 ай бұрын
Naaam mwalim ni mtu anaelezea kuusu ayo akikudhalau uyo ongeza bidii zaid na maarifa kama somo la leo kushinda waza kama mtu mshindi ipo siku utafanikisha jambo lako nguvu moja tukutane at top🎉
@joelnanauka2 ай бұрын
Hongera kwa kuendelea kujifunza, watayaona matokeo, endelea kujifunza
@fridamwalongo98922 ай бұрын
Asante saana kaka Joel Nanauka Mungu akubariki sana Hakika mafundisho yako yamenivusha mnoo
@user-jt3yw1gz2j2 ай бұрын
Kaka joel hongera sana kuna mda naona kama nimechelewa kuanza jambo langu maana nasemwa san na ndug zangu hawataki nifate ndoto yangu wanataka niwasikilize wao
@user-jt3yw1gz2j2 ай бұрын
Kaka joel hongera sana kuna mda naona kama nimechelewa kuanza jambo langu maana nasemwa san na ndug zangu hawataki nifate ndoto yangu wanataka niwasikilize wao kuliko ninavyojiona mimi....
@salomemrembo74822 ай бұрын
Naam Najifunza kila siku jambo jipya kwako mungu Hazidi kukutumiya. Kwa faida ya watu wake shalom
@hidayaismail-fk1js10 күн бұрын
the task of the winners is to see how they can win
@ELIAWINGAMWASHA-iw9xq7 күн бұрын
Ndasha unaongea point na ushabiki
@user-he9tb1gy1v2 ай бұрын
Shukhurani sana umenifunza sana
@petermunuo1657Ай бұрын
Ahsante sana brother Joel Nanauka mungu akubariki sana
@eliasludamila46002 ай бұрын
Mungu azidi kukutumia na kukutunza Mwana wa Mungu
@NdombNdombafoxxАй бұрын
Thanks GOD bless you
@Willybright-zb9nc28 күн бұрын
i get u 💡
@Jrmontaiza26 күн бұрын
Thank you 🙏
@MagrethJoseph-fc6sgАй бұрын
Asante sana kaka nazid kujifunza kila siku na nazid kuboresha biashara na maisha yangu ya kazi kupitia wewe Mungu akubariki sana sana kaka yangu🙏🏼🙏🏼🙏see me at the top💪💪
@yohanageorgekika2240Ай бұрын
Asante kwa somo nzuru mungu akubarika kaka Joel.
@DottombwanaАй бұрын
Thanks Kaka sitachoka kukushukuru🙏🏽Naendelea kujifunza✍️kuna mahali nilikwama lakini Leo nainuka tena💪
@Irene-rt4bf2 ай бұрын
Joel ndugu yanguvhii kazi yako iko na capital
@user-tv5zd9tf4cАй бұрын
Asante sana najifunza vitu vingi sana kutoka kwako ♥️
@user-ox6oz9xr6lАй бұрын
Nashukuru bro najifunza vitu vingi Sana mwenyezi MUNGU akulinde
@user-hz3rb7vc1xАй бұрын
Asante Sana Joel Nana uka
@chamiapolnalyАй бұрын
Mwalimu ubarikiwe sanaa
@josephtesha872Ай бұрын
Asantee nimejifunza🙏
@janetmbwana5532 ай бұрын
Shukran sana 🙏🙏
@AbdallahFahmАй бұрын
Unaupiga mwingi brother
@emmanuelmwandu.3126Ай бұрын
Ahsante sana brother, nimejifunza
@FunnygraphiteАй бұрын
Congratulations Mr Joel, God bless you, good work, receive my gift 🎁👋
@GraceSteven-qq5hn2 ай бұрын
Nimejifunza kitu asant
@ladslauspius4845Ай бұрын
Kazi nzuri
@pelagiamachalo33502 ай бұрын
Ubarikiwe kaka
@user-zy4cm7od4h2 ай бұрын
Shukran kk Joel nanauka 🙏🤝
@RitherLivigha-blessedАй бұрын
Asante broo💪
@niriacatering1722 ай бұрын
Asante
@alexlucas15712 ай бұрын
🙏🙏
@jhstationery52202 ай бұрын
sauti
@atuwenekesalia85712 ай бұрын
Ansate kaka nimepata kitu
@HalimaAmadi2 ай бұрын
❤❤❤❤
@nyiranzimami7282 ай бұрын
👌👌💯👍
@user-cq3bv3ln5x2 ай бұрын
Hakika
@ramadhanmkenda59182 ай бұрын
Kila hatua dua
@RogathoMangililwe2 ай бұрын
Nami na jifunza kitu kiongoz ila naomba endelea kutujenga nakama ingewezekana naomba hata namba ya mawasiliano mwalimu