UNAWEZAJE KUONGOZA BILA KUTUMIA CHEO AU NAFASI - JOELNANAUKA

  Рет қаралды 38,288

Joel Nanauka

Joel Nanauka

9 ай бұрын

🔥🔥🔥 Unataka KUJIFUNZA Zaidi? Nenda hapa: joelnanauka.selar.co 🔥🔥🔥

Пікірлер: 56
@leonidafatson882
@leonidafatson882 9 ай бұрын
The problem of being a lion in the jungle is that no one will ask you in the morning how are you doing. Kwasababu huwa tuna amini simba haumwi ,simba hachoki , simba haishiwi nguvu, simba Hana matatizo. So if you're strongest person in your family, hakuna mtu atapata muda wa kukuuliza unaendeleaje afya yako, hakuna mtu atakuuliza ulifanya checkup, kwasababu wana amini wewe ni mtu imara na hodari. Matokeo yake you will spend a good time of your life kwenye investment ya watu wengine, alafu utagundua wewe huja invest kwako na muda unapohitaji watu wengine, hawatajitoa kama wewe ulivyojitoa kwao. Alafu utalaumu na kulaani. Lakini tatizo hapo sio Lao ni lako. Binadamu ni wabinafsi so put yourself first wengine watakuja baada ya wewe kuwa umekuwa settled.
@felixmsale9244
@felixmsale9244 9 ай бұрын
😅
@daudilaurian3111
@daudilaurian3111 7 ай бұрын
000000
@chancekambale3498
@chancekambale3498 4 ай бұрын
Umejitahidi 😂
@rev.livingstoneelihuruma-fk7es
@rev.livingstoneelihuruma-fk7es 4 ай бұрын
Exactly! Powerful said
@OmaryShaban-tp9hd
@OmaryShaban-tp9hd 29 күн бұрын
Asante sanaa kwakuniongezea kitu .... Wewe ndiee kioo changu ,naomba nikuitee mwalim wangu naitaji nijifunze vingi kuoitia ww
@charlesoputi7101
@charlesoputi7101 9 ай бұрын
Though it was women conference but we men also have benefited a lot especially me here. God bless you brother. @kenya
@amanigeorge-xe2gb
@amanigeorge-xe2gb 9 ай бұрын
Nimependa hii sa moja lakujifunza
@juliusjohnii7823
@juliusjohnii7823 9 ай бұрын
Kadri ninavyokusikiliza hatua zangu zinaimalika saaana,,💪💪💪👏👏👏🤝🤝🤝 kira la heri kutoka kwa Mungu liwe juu yako,,, amen.
@lazarorojha7042
@lazarorojha7042 9 ай бұрын
Hakika MB zangu hazijaenda Bure nimejifunza mengi xaaana kutoka kwako Nanauka
@joelnanauka
@joelnanauka 9 ай бұрын
Ameen Ameen
@efraimumwailunga5282
@efraimumwailunga5282 9 ай бұрын
This is so powerful Nimejifunza kitu kikubwa sana katika hili somo
@MohamedIbrahim-bn1gz
@MohamedIbrahim-bn1gz 23 күн бұрын
Mashaalah
@Yohana-tt3sn
@Yohana-tt3sn 9 ай бұрын
Neem iwe juu Yako Joel
@BukelebeTv
@BukelebeTv 9 ай бұрын
Kaka Joel Mungu akubariki sana
@jamilaathumani5481
@jamilaathumani5481 6 ай бұрын
Kwanza mungu kwanza alafu ndo mtu sahihi
@Udindigwa
@Udindigwa 9 ай бұрын
Mwenyezi Mungu Asimame Nawe Uzidi Kutujenga Unamchango Mkubwa SANA Ndani Ya Nch Yetu Ya Tanzania na Hata Nje Ya Tanzania
@jasminenorman3744
@jasminenorman3744 27 күн бұрын
You are a full package
@user-ux3vl6rj9j
@user-ux3vl6rj9j 9 ай бұрын
Naskia vzur San kwa maneno yako
@isaacmwailinga8921
@isaacmwailinga8921 8 ай бұрын
Ahsante Sana kaka You're Future Awaits You
@marthabrayson7328
@marthabrayson7328 9 ай бұрын
Aiiiiiiiih! Blue ni mimi kabisa😂 asantee kwa somo zuri👏 Mungu akulinde tuendelee kupata madini
@mohamedismail2662
@mohamedismail2662 9 ай бұрын
Mungu akubariki sana
@mwarikimwariki2653
@mwarikimwariki2653 8 ай бұрын
Sawa
@alyaniabdallahmwalimu2785
@alyaniabdallahmwalimu2785 9 ай бұрын
Stay blessed Mafunzo yamenyooka JN.
@user-ru1in1sl9d
@user-ru1in1sl9d 4 ай бұрын
Nimependa sana hili somo bro!Mungu akubariki sana
@neemamaganga9774
@neemamaganga9774 9 ай бұрын
Mimi nilikuwa ninadhani watu kama Joel wangepewa nafasi kubwa katika kuelimisha jamii. Mfano kwa sasa wanatumiwa wasanii kuburudisha tu wanaimba nyimbo za matusi tu ambazo hazina mchango mzuri kwenye ubongo wa watu .
@neemamaganga9774
@neemamaganga9774 9 ай бұрын
Serikali ingewatumia watu kama Joel walau hata mara chache kutembea nao kwenye maeneo tofauti kwenye washa. Wangesaidia vijana wengi kujifunza vitu. Nakumbuka siku ya madawa ya kulevya alichukuliwa diamond kuburudisha ambapo hata nyimbo alizoimba haziendani na kupinga matumizi ya madawa ya kulevya. Badala yake msanii anakuwepo kama ushawishi wa watu kufika ila hakuna wanachojifunza.
@sweetbertmbowe3284
@sweetbertmbowe3284 6 ай бұрын
Nice mdogo wangu,nakuelewa sana
@KichereTheDataScientist
@KichereTheDataScientist 9 ай бұрын
thanks much
@ailennkya892
@ailennkya892 9 ай бұрын
God bless you life coach
@omanjalan582
@omanjalan582 9 ай бұрын
Asante sana mr joel hua nakuelewa saana
@mohammedrashid2906
@mohammedrashid2906 9 ай бұрын
Ahsante
@hildahmathew7800
@hildahmathew7800 8 ай бұрын
Asante kwa somo zuri.....nahitaji kujifunza zaidi kuhusu negotion
@agnesspaul1866
@agnesspaul1866 5 ай бұрын
❤❤ Ubarikiwe mnoooo
@user-qn7xd2uu8j
@user-qn7xd2uu8j 9 ай бұрын
Asante sana kaka
@dennisrwelamira1259
@dennisrwelamira1259 6 ай бұрын
Kweli mdogo wangu unakipaji. Nimefurahia presentations zako. Kweli nimenufaika
@davidtumbo7034
@davidtumbo7034 6 ай бұрын
blessings👏
@user-cx3xg9vq2d
@user-cx3xg9vq2d 9 ай бұрын
Asante
@rabanphotostudionyakanazi_4115
@rabanphotostudionyakanazi_4115 9 ай бұрын
We joel jamani..
@-mv5f
@-mv5f 2 ай бұрын
Ni mwamba huyu
@nkwabison
@nkwabison 9 ай бұрын
☑️
@MCmakore
@MCmakore 9 ай бұрын
Mwalimu ahsante
@user-hd4tg3wt1u
@user-hd4tg3wt1u 4 ай бұрын
hum vrement 😮
@husseinsalehe9511
@husseinsalehe9511 9 ай бұрын
wow
@lampadshigonko3006
@lampadshigonko3006 9 ай бұрын
mimi napenda nihudhurie mikutano ila sjui inafanyika wap
@MwanaishaHemed-xi6rj
@MwanaishaHemed-xi6rj 9 ай бұрын
Asante sana
@jasminerashidi2782
@jasminerashidi2782 6 ай бұрын
Pastor Joel mie nqpataje Hilo darasa lako na ili hali sipo Tanzania
@faudhiasalum7279
@faudhiasalum7279 9 ай бұрын
✍️
@muddyhamza9606
@muddyhamza9606 8 ай бұрын
Nimejipata kumbe mimi Blue na Gold😂
@byishimongirvmufasha6973
@byishimongirvmufasha6973 9 ай бұрын
Joel nanauka tunakufuatilia American tunatamani sikumoja use huku tukuone.
@titusk.kariuki5510
@titusk.kariuki5510 9 ай бұрын
Akifika nijulishe.
@joelnanauka
@joelnanauka 9 ай бұрын
Namahukuru Mungu, tuendelee kuombeana nitafika siku Moja
@fredkangethe7497
@fredkangethe7497 9 ай бұрын
​@@joelnanaukahuku Kenya na ujuaji wetu twakuthamini sana
@joelnanauka
@joelnanauka 9 ай бұрын
@@fredkangethe7497nashukuru sanaa
@ismailmussa3327
@ismailmussa3327 5 ай бұрын
Napendekeza uwe unauza ideas za vitabu vyako kwa Makampuni au Mashirika ya Movies na Tamthilia naimani kuna mabadiliko tutayaona kwenye tasnia ya filamu Tanzania
@user-yb7kx7hk9i
@user-yb7kx7hk9i 21 күн бұрын
I totally agree yaan management yake iwatafute
Jinsi ya kutImiza malengo yako kwenye ulimwengu wa Sasa.
55:40
Joel Nanauka
Рет қаралды 102 М.
THE GIANT KILLER - JOEL NANAUKA
25:33
Joel Nanauka
Рет қаралды 26 М.
Вечный ДВИГАТЕЛЬ!⚙️ #shorts
00:27
Гараж 54
Рет қаралды 14 МЛН
Increíble final 😱
00:37
Juan De Dios Pantoja 2
Рет қаралды 115 МЛН
Мы никогда не были так напуганы!
00:15
Аришнев
Рет қаралды 5 МЛН
THEY made a RAINBOW M&M 🤩😳 LeoNata family #shorts
00:49
LeoNata Family
Рет қаралды 20 МЛН
Joel Nanauka - Vitu Vinavyozuia Watu Wasifikie Malengo Yao
35:09
CHANGAMOTO YA ENEO LA FEDHA KWENYE NDOA/MAHUSIANO - JOEL NANAUKA
49:41
EPUKA MAMBO HAYA - JOEL NANAUKA
9:19
Joel Nanauka
Рет қаралды 99 М.
Jinsi ya kujiandaa kuwa mjasiriamali kabla ya kuacha kuajiriwa.
59:26
Personal Finance Hub
Рет қаралды 17 М.
Je,Wewe Una Maono Gani Kwenye Maisha Yako?
46:51
Joel Nanauka
Рет қаралды 176 М.
Вечный ДВИГАТЕЛЬ!⚙️ #shorts
00:27
Гараж 54
Рет қаралды 14 МЛН