The problem of being a lion in the jungle is that no one will ask you in the morning how are you doing. Kwasababu huwa tuna amini simba haumwi ,simba hachoki , simba haishiwi nguvu, simba Hana matatizo. So if you're strongest person in your family, hakuna mtu atapata muda wa kukuuliza unaendeleaje afya yako, hakuna mtu atakuuliza ulifanya checkup, kwasababu wana amini wewe ni mtu imara na hodari. Matokeo yake you will spend a good time of your life kwenye investment ya watu wengine, alafu utagundua wewe huja invest kwako na muda unapohitaji watu wengine, hawatajitoa kama wewe ulivyojitoa kwao. Alafu utalaumu na kulaani. Lakini tatizo hapo sio Lao ni lako. Binadamu ni wabinafsi so put yourself first wengine watakuja baada ya wewe kuwa umekuwa settled.
@felixmsale92449 ай бұрын
😅
@daudilaurian31117 ай бұрын
000000
@chancekambale34984 ай бұрын
Umejitahidi 😂
@rev.livingstoneelihuruma-fk7es4 ай бұрын
Exactly! Powerful said
@OmaryShaban-tp9hd29 күн бұрын
Asante sanaa kwakuniongezea kitu .... Wewe ndiee kioo changu ,naomba nikuitee mwalim wangu naitaji nijifunze vingi kuoitia ww
@charlesoputi71019 ай бұрын
Though it was women conference but we men also have benefited a lot especially me here. God bless you brother. @kenya
@amanigeorge-xe2gb9 ай бұрын
Nimependa hii sa moja lakujifunza
@juliusjohnii78239 ай бұрын
Kadri ninavyokusikiliza hatua zangu zinaimalika saaana,,💪💪💪👏👏👏🤝🤝🤝 kira la heri kutoka kwa Mungu liwe juu yako,,, amen.
@lazarorojha70429 ай бұрын
Hakika MB zangu hazijaenda Bure nimejifunza mengi xaaana kutoka kwako Nanauka
@joelnanauka9 ай бұрын
Ameen Ameen
@efraimumwailunga52829 ай бұрын
This is so powerful Nimejifunza kitu kikubwa sana katika hili somo
@MohamedIbrahim-bn1gz23 күн бұрын
Mashaalah
@Yohana-tt3sn9 ай бұрын
Neem iwe juu Yako Joel
@BukelebeTv9 ай бұрын
Kaka Joel Mungu akubariki sana
@jamilaathumani54816 ай бұрын
Kwanza mungu kwanza alafu ndo mtu sahihi
@Udindigwa9 ай бұрын
Mwenyezi Mungu Asimame Nawe Uzidi Kutujenga Unamchango Mkubwa SANA Ndani Ya Nch Yetu Ya Tanzania na Hata Nje Ya Tanzania
@jasminenorman374427 күн бұрын
You are a full package
@user-ux3vl6rj9j9 ай бұрын
Naskia vzur San kwa maneno yako
@isaacmwailinga89218 ай бұрын
Ahsante Sana kaka You're Future Awaits You
@marthabrayson73289 ай бұрын
Aiiiiiiiih! Blue ni mimi kabisa😂 asantee kwa somo zuri👏 Mungu akulinde tuendelee kupata madini
@mohamedismail26629 ай бұрын
Mungu akubariki sana
@mwarikimwariki26538 ай бұрын
Sawa
@alyaniabdallahmwalimu27859 ай бұрын
Stay blessed Mafunzo yamenyooka JN.
@user-ru1in1sl9d4 ай бұрын
Nimependa sana hili somo bro!Mungu akubariki sana
@neemamaganga97749 ай бұрын
Mimi nilikuwa ninadhani watu kama Joel wangepewa nafasi kubwa katika kuelimisha jamii. Mfano kwa sasa wanatumiwa wasanii kuburudisha tu wanaimba nyimbo za matusi tu ambazo hazina mchango mzuri kwenye ubongo wa watu .
@neemamaganga97749 ай бұрын
Serikali ingewatumia watu kama Joel walau hata mara chache kutembea nao kwenye maeneo tofauti kwenye washa. Wangesaidia vijana wengi kujifunza vitu. Nakumbuka siku ya madawa ya kulevya alichukuliwa diamond kuburudisha ambapo hata nyimbo alizoimba haziendani na kupinga matumizi ya madawa ya kulevya. Badala yake msanii anakuwepo kama ushawishi wa watu kufika ila hakuna wanachojifunza.
@sweetbertmbowe32846 ай бұрын
Nice mdogo wangu,nakuelewa sana
@KichereTheDataScientist9 ай бұрын
thanks much
@ailennkya8929 ай бұрын
God bless you life coach
@omanjalan5829 ай бұрын
Asante sana mr joel hua nakuelewa saana
@mohammedrashid29069 ай бұрын
Ahsante
@hildahmathew78008 ай бұрын
Asante kwa somo zuri.....nahitaji kujifunza zaidi kuhusu negotion
@agnesspaul18665 ай бұрын
❤❤ Ubarikiwe mnoooo
@user-qn7xd2uu8j9 ай бұрын
Asante sana kaka
@dennisrwelamira12596 ай бұрын
Kweli mdogo wangu unakipaji. Nimefurahia presentations zako. Kweli nimenufaika
@davidtumbo70346 ай бұрын
blessings👏
@user-cx3xg9vq2d9 ай бұрын
Asante
@rabanphotostudionyakanazi_41159 ай бұрын
We joel jamani..
@-mv5f2 ай бұрын
Ni mwamba huyu
@nkwabison9 ай бұрын
☑️
@MCmakore9 ай бұрын
Mwalimu ahsante
@user-hd4tg3wt1u4 ай бұрын
hum vrement 😮
@husseinsalehe95119 ай бұрын
wow
@lampadshigonko30069 ай бұрын
mimi napenda nihudhurie mikutano ila sjui inafanyika wap
@MwanaishaHemed-xi6rj9 ай бұрын
Asante sana
@jasminerashidi27826 ай бұрын
Pastor Joel mie nqpataje Hilo darasa lako na ili hali sipo Tanzania
@faudhiasalum72799 ай бұрын
✍️
@muddyhamza96068 ай бұрын
Nimejipata kumbe mimi Blue na Gold😂
@byishimongirvmufasha69739 ай бұрын
Joel nanauka tunakufuatilia American tunatamani sikumoja use huku tukuone.
@titusk.kariuki55109 ай бұрын
Akifika nijulishe.
@joelnanauka9 ай бұрын
Namahukuru Mungu, tuendelee kuombeana nitafika siku Moja
@fredkangethe74979 ай бұрын
@@joelnanaukahuku Kenya na ujuaji wetu twakuthamini sana
@joelnanauka9 ай бұрын
@@fredkangethe7497nashukuru sanaa
@ismailmussa33275 ай бұрын
Napendekeza uwe unauza ideas za vitabu vyako kwa Makampuni au Mashirika ya Movies na Tamthilia naimani kuna mabadiliko tutayaona kwenye tasnia ya filamu Tanzania