🔴LIVE: CROWN SPORTS. ALMAS KASONGO, GEOF LEA, PAUL MKAI. HANS RAFAEL

  Рет қаралды 78,718

Crown Media

Crown Media

5 күн бұрын

Habari za michezo kwa kina, mashabiki na uchambuzi mzito mzito, exclusive interviews

Пікірлер: 133
@elgiusjohanes9190
@elgiusjohanes9190 2 күн бұрын
Evance anajuwa sana ameongeza kitu cha tofauti ukiacha hayo majina makubwa hongeren crown kwa kutuletea kipaji kipya 🙌
@emmanuelnkinda3924
@emmanuelnkinda3924 2 күн бұрын
Wawooow!! nawapata vizuri kutoka Shinyanga
@jumanjoro782
@jumanjoro782 2 күн бұрын
Congratulations crown fm Kwa usajili huu wa Mzee wa SWADAKTA WA SWADAKTA PAUL MKAI amekutana na mwanae HANS RAFAEL
@isayachisongela9493
@isayachisongela9493 2 күн бұрын
Paul Mkai Huyu Jamaa ni Balaaa, yaaani Jamaa wote Ni Cleam mno
@AthumaniNyange
@AthumaniNyange 2 күн бұрын
Crown sport Iko pow sana tunaomba ifike kwetu Dodoma tunapenda❤❤❤
@Elihurumamathew
@Elihurumamathew 2 күн бұрын
Kiba hela anayo ila yeye nikama gsm hapigi kelele wala hajazi mabaunsa wakumlinda nawenye hela nyingi wengi hawana kelele😂😂
@user-pi1st6pj3w
@user-pi1st6pj3w 2 күн бұрын
Mkai anajua sana usajili mzuri
@hamisihemedi5170
@hamisihemedi5170 2 күн бұрын
Mambo nimoto❤❤❤❤❤❤ Crown
@KelvinMushi-rp6vv
@KelvinMushi-rp6vv 2 күн бұрын
mbona wasafi inakufa, mkai we ni hatar san kwenye sports bila kumwacha hansi
@husseinc
@husseinc 2 күн бұрын
kitu kipya kikiingia kipe mda kwanza. kadri muda unavyokwenda ndio utajua hizi pumba au mchele clown.
@salumabdallah2990
@salumabdallah2990 2 күн бұрын
​@@husseincbado hapo unaongea kiushabik😂
@NajimaJuma
@NajimaJuma 2 күн бұрын
Mkai Hana Raha ni bas2 afu ukimchek Hans nikama vile ana Fanya Buttle na usafini wakat Bado anakop kwa Ambangile brother listen Wasafi till on the top There like Tie in the sky........
@salumabdallah2990
@salumabdallah2990 Күн бұрын
@@NajimaJuma ilikuwa ila sio sasa
@MussaHashim-g4t
@MussaHashim-g4t 2 күн бұрын
Mm nawaombeaa mungu ck moja muwe kituoo Cha kwanza Tanzania kwakutoa habali zenye mauzuii sahihi kwakila lika mungu awatanguliee
@pappilonfar
@pappilonfar 2 күн бұрын
Paul mkai..bonge moja la usajir
@user-bv7lx6vj8u
@user-bv7lx6vj8u 2 күн бұрын
Mmepatia sana,tatizo wale Jamaa tu
@AllySeleman-co6km
@AllySeleman-co6km 2 күн бұрын
Mkali anajua sana kutagaza michezoo ogeleni crown kwa usajili wa mkali
@LobikiekiMarko
@LobikiekiMarko 2 күн бұрын
KENYAAAAAA NAIROBI MTAA NI DANDORA PHASE 2
@dicksontimotheo7617
@dicksontimotheo7617 2 күн бұрын
saf kabisa kiba umetutoa kimasomaso tulikuwa tunateseka sana tulinyanyasika sana na hii ni crown media namba moja tanzania mpaka sasa najiulia tuliambiwa kiba hana hela sasa redio haina matangazo izo hela za kuwalipa hawa jamaa alikiba anatoa wap??????????????
@HassanTwacy
@HassanTwacy 2 күн бұрын
Crown media kwenye ubora wakee ❤❤❤❤❤
@gadafimuemede2985
@gadafimuemede2985 2 күн бұрын
Nawapata sana from 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿
@VagaTz
@VagaTz 2 күн бұрын
Hik ndy kipindi bor san kuliko vote
@officialcentowiz4719
@officialcentowiz4719 2 күн бұрын
ivi mnafahau kuwa oscar oscar ni mchambuzi mzur tuu sema kule alipo ndo tatizo niamini mimi siku moja mtakuja ona maneno yangu 💪
@sharifahabsi5004
@sharifahabsi5004 2 күн бұрын
Mashaallah powmkal
@RamadhaniKrjunior
@RamadhaniKrjunior 2 күн бұрын
Dah nawakubali sana wote hans mkai jof lea upande mwingne Ahmed nasri ambangile kitenge jaman kama usajili tupeni madini kwenye soka letu tutwafuatilia kotekote
@filbertnyoni2352
@filbertnyoni2352 2 күн бұрын
HUYU JUMA AYO YUPO KAMA MGANGA WA KIENYEJI HAFAI KIPINDI CHA MICHEZO,NAFIKIRI ATAFUTIWE KIPINDI AWE ANAFANYA MAHOJIANO NA WAGANGA WAKIENYEJI NA WACHAWI,HAPO SPORTS HAPAMFAI KABISAAAA
@JosephMutambala
@JosephMutambala 2 күн бұрын
Number one crown
@HassanTwacy
@HassanTwacy 2 күн бұрын
Crown media kwenye ubora wakee ❤❤❤
@spensajansa
@spensajansa 2 күн бұрын
Kutazama tyu kucomment aaah
@MudyDayo
@MudyDayo 2 күн бұрын
😆😆
@TryphoneGotham
@TryphoneGotham 2 күн бұрын
🤣🤣🤣
@mohamedmbalazi748
@mohamedmbalazi748 2 күн бұрын
Bongo ni kuiga na kupaste wasafi walianza kwa kuchukua watangazaji EFM. Hawa nao wanachukua wasafi. Jambo zuri ila mtaani nako wapo watu wengi hawana ajira wawaamin watakuwa wakubwa tu
@kenyzach9124
@kenyzach9124 2 күн бұрын
brother hiyo ni biashara.! hapo kipindi kimeanza unaona kabisa hakina wadhamini, underground ni ngumu sana kutangaza kipindi kikawa kikubwa mpaka kuvutia wadhamini kuwekeza. so, kwa kuweka hao watu wenye uzoefu inasaidia kuvutia show na kuwavutia wadhamini,,, kumbuka wadhamini ndio wanaleta thamani ya kipindi.
@user-do1ge4fd3r
@user-do1ge4fd3r 2 күн бұрын
Bro umeongea kitu kikubwa sana Ww no mtu was maana sana​@@kenyzach9124
@albertkatuga2434
@albertkatuga2434 Күн бұрын
Unateseka ukiwa kijiji kipi😂😂
@abeidmayanga809
@abeidmayanga809 Күн бұрын
Mbona mkayi kama unafuraha sana huku safi keep up broo sikuiz mkono kinywani kwanza love siyo ishuuu😂😂😂😂
@molyrics1213
@molyrics1213 2 күн бұрын
Mtotooo kautaaaaaka 💥
@barakamfilinge6943
@barakamfilinge6943 2 күн бұрын
Nampenda sana Paul Mkai akiongoza kipindi siyo yule Juma Ayo
@abrahamchengula8137
@abrahamchengula8137 2 күн бұрын
Mkiendelea kuchambua mambo kindani na ukweli na msiweke watu wenye eitha kuiponda Simba au Yanga hakutakuwa na maana KAMA WAJINGA WASAFI
@alicenice1711
@alicenice1711 2 күн бұрын
Hapa ni nyumbani 😂😂🎉
@YusuphMohamed-pq8pz
@YusuphMohamed-pq8pz Күн бұрын
Ee bhn nawapata kutoka magomeni, mpe hai jof lea saiv namuelewa sana mana kule alipokuwa alikua anatafta samaki kwenye mwili wa nyoka saiv mambo saaaafi nimpe eshima yake,, shikamooo kak jofu akika umetisha sana,,
@TalkiAhmadi-wz6cj
@TalkiAhmadi-wz6cj 15 сағат бұрын
Tuna wakubali sana mbno kwenye vin'gamuz vya azam tv hatuwaon
@IbrahimEboue
@IbrahimEboue Күн бұрын
Crown juu na wafatilia nikiwa africa ya kusini
@JumaSango-yo8bj
@JumaSango-yo8bj 2 күн бұрын
Sana wanangu wa crown 👑
@AmosBarnabas-wl1yl
@AmosBarnabas-wl1yl 2 күн бұрын
Noma sana
@gordiansoko9113
@gordiansoko9113 2 күн бұрын
Siku hizi kazi ya utangazaji ni sawa na bar maid leo yuko Kimara bar kesho utamkuta Manzese tiptop.
@Zaynab-ny6gr
@Zaynab-ny6gr Күн бұрын
Kila kazi lazima uangalie maslahi
@princekassimtz5848
@princekassimtz5848 2 күн бұрын
Congratulations 🎉 0:27
@utamutv_
@utamutv_ 2 күн бұрын
Kwan hao yangu wanataka nn jmn Kila mtu wanamtaka yeye
@SamwelKakintwa
@SamwelKakintwa 2 күн бұрын
Uchambuzi wenu ni nzuri kwa club ya Simba,kusajili mchezaji Bila kuangalia mfumo wa simba.
@OmaryMagazine-b2j
@OmaryMagazine-b2j 2 күн бұрын
Ebwana hap ninyumban
@user-ur9pz5lp6o
@user-ur9pz5lp6o 2 күн бұрын
Geof alimlenga GSM kuhusu upangaji wa matokeo "Kasongo kamkwepa vizuri"
@ramadhanizuberi2540
@ramadhanizuberi2540 2 күн бұрын
Yes hii ndo radio yetu pendwa
@kamonaboy1113
@kamonaboy1113 2 күн бұрын
🔥🔥🔥
@user-td4le3xf7h
@user-td4le3xf7h 2 күн бұрын
Toka makambako Town hapa weji
@DenisSalary-k6y
@DenisSalary-k6y 2 күн бұрын
Da,watu wa nguvu sana ,,hapa ni nyumbniii
@johnndiga
@johnndiga Күн бұрын
nawapata vizuri nikiwa mbeya
@PopTiger-br2nh
@PopTiger-br2nh 2 күн бұрын
Goood crown
@emmanuelkituma
@emmanuelkituma 2 күн бұрын
🎉🎉🎉
@MashakaAthumaniAthumanimashaka
@MashakaAthumaniAthumanimashaka 2 күн бұрын
Miminafikir Kostounion Watapata Matatizo Kwasabab Zakisheria Lakini Kwasababu Kimtaani Nisawa Ilkesi Ipo Nawatajuta
@MabeleMakene
@MabeleMakene 2 күн бұрын
nawafatilia sana kipindi kipo hot sana ila kwa kilazo simba wangetoa at kwa mkopo
@MalapaHassanor
@MalapaHassanor 2 күн бұрын
Kiba bado salama ngare mwanadada anajua yule mchukue kaka
@festongailo1082
@festongailo1082 2 күн бұрын
Oi oi oi tupo pamoja mpaka badaee sana
@NajimaJuma
@NajimaJuma 2 күн бұрын
I never come to Appreciate Hans Coz uchambuzi wake umejikita kiushabiki mie ni Yanga but hans ni mnafikiiiiiii kajawa na Uyanga Daily mchezaji anasajiliwa kutokana na Namba uongo mtupuuuu ww
@ZakariaMachibula
@ZakariaMachibula 2 күн бұрын
🔥🔥
@MwinyialiMtali
@MwinyialiMtali 2 күн бұрын
Mnatisha saana
@user-ve8yy6rj2v
@user-ve8yy6rj2v 2 күн бұрын
The media to the world
@JacobMwegero
@JacobMwegero 2 күн бұрын
Safi kabsa crown
@user-qz8gn6bn6r
@user-qz8gn6bn6r 2 күн бұрын
Nomaa
@NemesMasawe
@NemesMasawe 2 күн бұрын
Uchambuz mzur sanaaa
@HairuIssa-f9y
@HairuIssa-f9y 2 күн бұрын
Crown fire fire
@user-qo9ho6he8b
@user-qo9ho6he8b Күн бұрын
leo sasa ndo mnenifurahisha mana wachambuzi wangu wotemmenea apo studio joffureya hansi rafael poul mkai atari sana kama simba ijayo naona watu wakizima viredio vyao 😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅
@MkamiMavika
@MkamiMavika 2 күн бұрын
Saa ngap kipindi Chao kinaanza
@videozaaj1069
@videozaaj1069 2 күн бұрын
Background😢😢😢mbaya
@shazilimasoka4051
@shazilimasoka4051 2 күн бұрын
Watangazaji ote wanajuwa Sana Sana nafulaiya Sana
@HusseinAziz-p1i
@HusseinAziz-p1i 2 күн бұрын
Mkai hatariiiii
@djmarashi2095
@djmarashi2095 2 күн бұрын
asee munajua Sana kweli mumekuja kufanya mageuz ya kweli nawakubali san
@ommykiss7049
@ommykiss7049 2 күн бұрын
Mkai unajua sana kaka
@NemesMasawe
@NemesMasawe 2 күн бұрын
Yan had rahaaa
@georgeemmanuel8523
@georgeemmanuel8523 Күн бұрын
Background ya ndani tunaomba mmbadilishe ikiwezekana inaharibu video yaani haionekani vizuri
@LuganoMwakalo
@LuganoMwakalo Күн бұрын
Kweli njaa ni hatari
@user-vx9xb7cb2q
@user-vx9xb7cb2q Күн бұрын
❤❤❤
@bbyrey2089
@bbyrey2089 2 күн бұрын
❤️❤️
@clarencesichila9497
@clarencesichila9497 2 күн бұрын
Baleke ni mchezaji mzuri kuliko pa omar jobe
@mcmambo8774
@mcmambo8774 2 күн бұрын
Safii crown
@WiliamTomas-oo9kb
@WiliamTomas-oo9kb 21 сағат бұрын
Sasa ivi nimehama wasafi niko uku crown kuna utamu wa mkai uku na kijana wake hans
@honestgroup2116
@honestgroup2116 2 күн бұрын
Safi sanaa
@kidawajuma9597
@kidawajuma9597 2 күн бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@Hilalisebatv
@Hilalisebatv Күн бұрын
Asikwambie mtu crown tamu
@alexmwajombe749
@alexmwajombe749 Күн бұрын
Nawapata kutoka mazinde mkowa watanga
@HanceFlic
@HanceFlic 2 күн бұрын
🔥
@mohdsaad2736
@mohdsaad2736 2 күн бұрын
❤❤❤❤😊😊😊😊
@idybwoytz8485
@idybwoytz8485 2 күн бұрын
Mapinduzii 🇹🇿🇿🇦🫡💯🙌
@user-ey4tb1sq7p
@user-ey4tb1sq7p Күн бұрын
Kings fire
@joemtaki5167
@joemtaki5167 2 күн бұрын
442 😂 HANS muongo muongo ila anaupiga mwingi big up
@naslimtz1247
@naslimtz1247 2 күн бұрын
Safi sana
@NajimaJuma
@NajimaJuma 2 күн бұрын
Wasafi never die coz Paul mkai Role model Ake Ni Yusuphu mkule huyo hans Role model wake Ni Ambangile so wasafil till on the top Top.....Guys wasafi ni too much Levels
@BimkubwaMohd-ef6hr
@BimkubwaMohd-ef6hr 2 күн бұрын
Kikeke products...
@ChamaClassic
@ChamaClassic 22 сағат бұрын
Muko vizuri sana
@PeterMarosha
@PeterMarosha 2 күн бұрын
Hapa Ni Nyumbani
@Zaynab-ny6gr
@Zaynab-ny6gr Күн бұрын
Bado 2 Ahmed na kitenge
@MohamediHamisi-oq2kv
@MohamediHamisi-oq2kv 2 күн бұрын
Bado mmoja Tunu Hasan she
@richardmazikumguku
@richardmazikumguku 2 күн бұрын
Hiii hiii
@Ndenza
@Ndenza 2 күн бұрын
Mmi ni shabik wa Simba na wasafi sjui machoz yangu yarakauka lin😭😭😭😭😭😭🤣
@TwalibuAlbaamiryShoka
@TwalibuAlbaamiryShoka 2 күн бұрын
Pomkai umewakimbia wasafi
@JumaMakala-xf5nb
@JumaMakala-xf5nb 2 күн бұрын
Mleteni Osika tupate sport comedian, au mbwiga mbwigike
@EricMgeni
@EricMgeni 19 сағат бұрын
Kule yanga uku crown media 😂😂😂😂amuogopi
@MohamedMhina-ez1mk
@MohamedMhina-ez1mk 2 күн бұрын
Mbn wachamuzi wawasafi wanakimbia shida nn pesa au akuna wasafi nn
@jacksondamian4347
@jacksondamian4347 2 күн бұрын
Niko narudia kipindi maana crown sport napata kile nataka
@ashrafumbawala
@ashrafumbawala Күн бұрын
Paul mkai vs Hans rafael
@anastahiliutawala3879
@anastahiliutawala3879 Күн бұрын
Kibu angeachwa tu
@user-vf5pp2wn1f
@user-vf5pp2wn1f 2 күн бұрын
Imetulia San jmn Hadi laha san
small vs big hoop #tiktok
00:12
Анастасия Тарасова
Рет қаралды 34 МЛН
Вечный ДВИГАТЕЛЬ!⚙️ #shorts
00:27
Гараж 54
Рет қаралды 14 МЛН
HOW DID HE WIN? 😱
00:33
Topper Guild
Рет қаралды 30 МЛН
PAUL MKAI ALIVYOTAMBULISHWA CROWN SPORTS LEO
6:08
Crown Media
Рет қаралды 44 М.
Как Тайсон расстроил Хабиба#shorts
0:37
Я ММА
Рет қаралды 5 МЛН
JANGDA KIM G'ALABA QOZONDI? 😧
0:56
OCTAGON UZB
Рет қаралды 1,1 МЛН