Habari za michezo kwa kina, mashabiki na uchambuzi mzito mzito, exclusive interviews
Пікірлер: 133
@elgiusjohanes91902 күн бұрын
Evance anajuwa sana ameongeza kitu cha tofauti ukiacha hayo majina makubwa hongeren crown kwa kutuletea kipaji kipya 🙌
@emmanuelnkinda39242 күн бұрын
Wawooow!! nawapata vizuri kutoka Shinyanga
@jumanjoro7822 күн бұрын
Congratulations crown fm Kwa usajili huu wa Mzee wa SWADAKTA WA SWADAKTA PAUL MKAI amekutana na mwanae HANS RAFAEL
@isayachisongela94932 күн бұрын
Paul Mkai Huyu Jamaa ni Balaaa, yaaani Jamaa wote Ni Cleam mno
@AthumaniNyange2 күн бұрын
Crown sport Iko pow sana tunaomba ifike kwetu Dodoma tunapenda❤❤❤
@Elihurumamathew2 күн бұрын
Kiba hela anayo ila yeye nikama gsm hapigi kelele wala hajazi mabaunsa wakumlinda nawenye hela nyingi wengi hawana kelele😂😂
@user-pi1st6pj3w2 күн бұрын
Mkai anajua sana usajili mzuri
@hamisihemedi51702 күн бұрын
Mambo nimoto❤❤❤❤❤❤ Crown
@KelvinMushi-rp6vv2 күн бұрын
mbona wasafi inakufa, mkai we ni hatar san kwenye sports bila kumwacha hansi
@husseinc2 күн бұрын
kitu kipya kikiingia kipe mda kwanza. kadri muda unavyokwenda ndio utajua hizi pumba au mchele clown.
@salumabdallah29902 күн бұрын
@@husseincbado hapo unaongea kiushabik😂
@NajimaJuma2 күн бұрын
Mkai Hana Raha ni bas2 afu ukimchek Hans nikama vile ana Fanya Buttle na usafini wakat Bado anakop kwa Ambangile brother listen Wasafi till on the top There like Tie in the sky........
@salumabdallah2990Күн бұрын
@@NajimaJuma ilikuwa ila sio sasa
@MussaHashim-g4t2 күн бұрын
Mm nawaombeaa mungu ck moja muwe kituoo Cha kwanza Tanzania kwakutoa habali zenye mauzuii sahihi kwakila lika mungu awatanguliee
@pappilonfar2 күн бұрын
Paul mkai..bonge moja la usajir
@user-bv7lx6vj8u2 күн бұрын
Mmepatia sana,tatizo wale Jamaa tu
@AllySeleman-co6km2 күн бұрын
Mkali anajua sana kutagaza michezoo ogeleni crown kwa usajili wa mkali
@LobikiekiMarko2 күн бұрын
KENYAAAAAA NAIROBI MTAA NI DANDORA PHASE 2
@dicksontimotheo76172 күн бұрын
saf kabisa kiba umetutoa kimasomaso tulikuwa tunateseka sana tulinyanyasika sana na hii ni crown media namba moja tanzania mpaka sasa najiulia tuliambiwa kiba hana hela sasa redio haina matangazo izo hela za kuwalipa hawa jamaa alikiba anatoa wap??????????????
@HassanTwacy2 күн бұрын
Crown media kwenye ubora wakee ❤❤❤❤❤
@gadafimuemede29852 күн бұрын
Nawapata sana from 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿
@VagaTz2 күн бұрын
Hik ndy kipindi bor san kuliko vote
@officialcentowiz47192 күн бұрын
ivi mnafahau kuwa oscar oscar ni mchambuzi mzur tuu sema kule alipo ndo tatizo niamini mimi siku moja mtakuja ona maneno yangu 💪
@sharifahabsi50042 күн бұрын
Mashaallah powmkal
@RamadhaniKrjunior2 күн бұрын
Dah nawakubali sana wote hans mkai jof lea upande mwingne Ahmed nasri ambangile kitenge jaman kama usajili tupeni madini kwenye soka letu tutwafuatilia kotekote
@filbertnyoni23522 күн бұрын
HUYU JUMA AYO YUPO KAMA MGANGA WA KIENYEJI HAFAI KIPINDI CHA MICHEZO,NAFIKIRI ATAFUTIWE KIPINDI AWE ANAFANYA MAHOJIANO NA WAGANGA WAKIENYEJI NA WACHAWI,HAPO SPORTS HAPAMFAI KABISAAAA
@JosephMutambala2 күн бұрын
Number one crown
@HassanTwacy2 күн бұрын
Crown media kwenye ubora wakee ❤❤❤
@spensajansa2 күн бұрын
Kutazama tyu kucomment aaah
@MudyDayo2 күн бұрын
😆😆
@TryphoneGotham2 күн бұрын
🤣🤣🤣
@mohamedmbalazi7482 күн бұрын
Bongo ni kuiga na kupaste wasafi walianza kwa kuchukua watangazaji EFM. Hawa nao wanachukua wasafi. Jambo zuri ila mtaani nako wapo watu wengi hawana ajira wawaamin watakuwa wakubwa tu
@kenyzach91242 күн бұрын
brother hiyo ni biashara.! hapo kipindi kimeanza unaona kabisa hakina wadhamini, underground ni ngumu sana kutangaza kipindi kikawa kikubwa mpaka kuvutia wadhamini kuwekeza. so, kwa kuweka hao watu wenye uzoefu inasaidia kuvutia show na kuwavutia wadhamini,,, kumbuka wadhamini ndio wanaleta thamani ya kipindi.
@user-do1ge4fd3r2 күн бұрын
Bro umeongea kitu kikubwa sana Ww no mtu was maana sana@@kenyzach9124
@albertkatuga2434Күн бұрын
Unateseka ukiwa kijiji kipi😂😂
@abeidmayanga809Күн бұрын
Mbona mkayi kama unafuraha sana huku safi keep up broo sikuiz mkono kinywani kwanza love siyo ishuuu😂😂😂😂
@molyrics12132 күн бұрын
Mtotooo kautaaaaaka 💥
@barakamfilinge69432 күн бұрын
Nampenda sana Paul Mkai akiongoza kipindi siyo yule Juma Ayo
@abrahamchengula81372 күн бұрын
Mkiendelea kuchambua mambo kindani na ukweli na msiweke watu wenye eitha kuiponda Simba au Yanga hakutakuwa na maana KAMA WAJINGA WASAFI
@alicenice17112 күн бұрын
Hapa ni nyumbani 😂😂🎉
@YusuphMohamed-pq8pzКүн бұрын
Ee bhn nawapata kutoka magomeni, mpe hai jof lea saiv namuelewa sana mana kule alipokuwa alikua anatafta samaki kwenye mwili wa nyoka saiv mambo saaaafi nimpe eshima yake,, shikamooo kak jofu akika umetisha sana,,
@TalkiAhmadi-wz6cj15 сағат бұрын
Tuna wakubali sana mbno kwenye vin'gamuz vya azam tv hatuwaon
@IbrahimEboueКүн бұрын
Crown juu na wafatilia nikiwa africa ya kusini
@JumaSango-yo8bj2 күн бұрын
Sana wanangu wa crown 👑
@AmosBarnabas-wl1yl2 күн бұрын
Noma sana
@gordiansoko91132 күн бұрын
Siku hizi kazi ya utangazaji ni sawa na bar maid leo yuko Kimara bar kesho utamkuta Manzese tiptop.
@Zaynab-ny6grКүн бұрын
Kila kazi lazima uangalie maslahi
@princekassimtz58482 күн бұрын
Congratulations 🎉 0:27
@utamutv_2 күн бұрын
Kwan hao yangu wanataka nn jmn Kila mtu wanamtaka yeye
@SamwelKakintwa2 күн бұрын
Uchambuzi wenu ni nzuri kwa club ya Simba,kusajili mchezaji Bila kuangalia mfumo wa simba.
@OmaryMagazine-b2j2 күн бұрын
Ebwana hap ninyumban
@user-ur9pz5lp6o2 күн бұрын
Geof alimlenga GSM kuhusu upangaji wa matokeo "Kasongo kamkwepa vizuri"
@ramadhanizuberi25402 күн бұрын
Yes hii ndo radio yetu pendwa
@kamonaboy11132 күн бұрын
🔥🔥🔥
@user-td4le3xf7h2 күн бұрын
Toka makambako Town hapa weji
@DenisSalary-k6y2 күн бұрын
Da,watu wa nguvu sana ,,hapa ni nyumbniii
@johnndigaКүн бұрын
nawapata vizuri nikiwa mbeya
@PopTiger-br2nh2 күн бұрын
Goood crown
@emmanuelkituma2 күн бұрын
🎉🎉🎉
@MashakaAthumaniAthumanimashaka2 күн бұрын
Miminafikir Kostounion Watapata Matatizo Kwasabab Zakisheria Lakini Kwasababu Kimtaani Nisawa Ilkesi Ipo Nawatajuta
@MabeleMakene2 күн бұрын
nawafatilia sana kipindi kipo hot sana ila kwa kilazo simba wangetoa at kwa mkopo
@MalapaHassanor2 күн бұрын
Kiba bado salama ngare mwanadada anajua yule mchukue kaka
@festongailo10822 күн бұрын
Oi oi oi tupo pamoja mpaka badaee sana
@NajimaJuma2 күн бұрын
I never come to Appreciate Hans Coz uchambuzi wake umejikita kiushabiki mie ni Yanga but hans ni mnafikiiiiiii kajawa na Uyanga Daily mchezaji anasajiliwa kutokana na Namba uongo mtupuuuu ww
@ZakariaMachibula2 күн бұрын
🔥🔥
@MwinyialiMtali2 күн бұрын
Mnatisha saana
@user-ve8yy6rj2v2 күн бұрын
The media to the world
@JacobMwegero2 күн бұрын
Safi kabsa crown
@user-qz8gn6bn6r2 күн бұрын
Nomaa
@NemesMasawe2 күн бұрын
Uchambuz mzur sanaaa
@HairuIssa-f9y2 күн бұрын
Crown fire fire
@user-qo9ho6he8bКүн бұрын
leo sasa ndo mnenifurahisha mana wachambuzi wangu wotemmenea apo studio joffureya hansi rafael poul mkai atari sana kama simba ijayo naona watu wakizima viredio vyao 😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅
@MkamiMavika2 күн бұрын
Saa ngap kipindi Chao kinaanza
@videozaaj10692 күн бұрын
Background😢😢😢mbaya
@shazilimasoka40512 күн бұрын
Watangazaji ote wanajuwa Sana Sana nafulaiya Sana
@HusseinAziz-p1i2 күн бұрын
Mkai hatariiiii
@djmarashi20952 күн бұрын
asee munajua Sana kweli mumekuja kufanya mageuz ya kweli nawakubali san
@ommykiss70492 күн бұрын
Mkai unajua sana kaka
@NemesMasawe2 күн бұрын
Yan had rahaaa
@georgeemmanuel8523Күн бұрын
Background ya ndani tunaomba mmbadilishe ikiwezekana inaharibu video yaani haionekani vizuri
@LuganoMwakaloКүн бұрын
Kweli njaa ni hatari
@user-vx9xb7cb2qКүн бұрын
❤❤❤
@bbyrey20892 күн бұрын
❤️❤️
@clarencesichila94972 күн бұрын
Baleke ni mchezaji mzuri kuliko pa omar jobe
@mcmambo87742 күн бұрын
Safii crown
@WiliamTomas-oo9kb21 сағат бұрын
Sasa ivi nimehama wasafi niko uku crown kuna utamu wa mkai uku na kijana wake hans
@honestgroup21162 күн бұрын
Safi sanaa
@kidawajuma95972 күн бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@HilalisebatvКүн бұрын
Asikwambie mtu crown tamu
@alexmwajombe749Күн бұрын
Nawapata kutoka mazinde mkowa watanga
@HanceFlic2 күн бұрын
🔥
@mohdsaad27362 күн бұрын
❤❤❤❤😊😊😊😊
@idybwoytz84852 күн бұрын
Mapinduzii 🇹🇿🇿🇦🫡💯🙌
@user-ey4tb1sq7pКүн бұрын
Kings fire
@joemtaki51672 күн бұрын
442 😂 HANS muongo muongo ila anaupiga mwingi big up
@naslimtz12472 күн бұрын
Safi sana
@NajimaJuma2 күн бұрын
Wasafi never die coz Paul mkai Role model Ake Ni Yusuphu mkule huyo hans Role model wake Ni Ambangile so wasafil till on the top Top.....Guys wasafi ni too much Levels
@BimkubwaMohd-ef6hr2 күн бұрын
Kikeke products...
@ChamaClassic22 сағат бұрын
Muko vizuri sana
@PeterMarosha2 күн бұрын
Hapa Ni Nyumbani
@Zaynab-ny6grКүн бұрын
Bado 2 Ahmed na kitenge
@MohamediHamisi-oq2kv2 күн бұрын
Bado mmoja Tunu Hasan she
@richardmazikumguku2 күн бұрын
Hiii hiii
@Ndenza2 күн бұрын
Mmi ni shabik wa Simba na wasafi sjui machoz yangu yarakauka lin😭😭😭😭😭😭🤣
@TwalibuAlbaamiryShoka2 күн бұрын
Pomkai umewakimbia wasafi
@JumaMakala-xf5nb2 күн бұрын
Mleteni Osika tupate sport comedian, au mbwiga mbwigike
@EricMgeni19 сағат бұрын
Kule yanga uku crown media 😂😂😂😂amuogopi
@MohamedMhina-ez1mk2 күн бұрын
Mbn wachamuzi wawasafi wanakimbia shida nn pesa au akuna wasafi nn
@jacksondamian43472 күн бұрын
Niko narudia kipindi maana crown sport napata kile nataka