Mbona unaroho nzuri mweshimiwa Kama urivyo uko wapi nikuone ata sura Kama unampenda Kama Mimi gonga like hapa
@jafarmlawa90825 жыл бұрын
Tatzo nyie mabakwa nyie mna kela sana mna miliki maeneo makubwa na hamuendelezi majingaaaa sana
@nazarenajoseph26954 жыл бұрын
Hakika Magu ulimuona Ally Hapy mtetezi wa masikini anayejibu hata msg za masikini wakuu wote wazuri ila kupokea sim mtihani big up Mkuu wetu Mimi niko dar lakini nakufuatilia sana hongera.
@mariamm27244 жыл бұрын
Jembe Letu la iringa hilo pendaga sana wewe mheshimiwa, nipo ughaibun huku na sichokagi kuangalia mlikutana yako ,naahidi lazima nikirudi salama ni lazima tu nikutafute nikupe pongezi zako love so much.
@fatmakarata2605 жыл бұрын
I see you my brother CHEU am proud of you. Mungu azid kukuongoza
@almasymusa67364 жыл бұрын
Nakukubali Hapi na yule wa tabora mungu awasimamie ktk utendaji wenu wa kazi
@noxlosingida23694 жыл бұрын
Na yule wa Arusha hawa watu wa 3 wananikoshaga sana
@noxlosingida23694 жыл бұрын
Na yule wa Arusha hawa watu wa 3 wananikoshaga sana
@mtanzaniamzalendo82885 жыл бұрын
HAPI ni best RC Tanzania ni mtu Wa haki pamoja na JOHN MONGERA mungu hawatangulie muwe na afya njema siku zote
@klystry12344 жыл бұрын
GEOFFREY CHIKAMBA kuna shule inaitwa Ali hapi dar
@shijamayala81274 жыл бұрын
GEOFFREY CHIKAMBA john mongera mmmmh
@vumiliabakari60503 жыл бұрын
Naomba namba yako mheshimiwa
@reemangoko25504 жыл бұрын
Baba pole kwa kazi mpaka usiku
@elizabethcharles8754 жыл бұрын
Hahaa Vijana mnakwama wap tafuten vya kwenu sio vya urithi
@davidmendrad47494 жыл бұрын
kweli hizi ni nyakati za mwisho kanisa linafanya utapeli
@reemangoko25504 жыл бұрын
Baba LA kazi nakutazama vinzuri xasa
@severinifulgensi26865 жыл бұрын
Nasikitika hadi kanisa linaingizwa kwenye zulma kweli mungu atakaa mahali hapoo?
@mossesjoromba4005 жыл бұрын
Safi sana mkuu wa mkoa Iringa
@jenyyusuph49734 жыл бұрын
tz sasa masikini happy happy
@lizynyeze75215 жыл бұрын
Uyoo mzee ni mjanja mjanja sana
@janesuma21935 жыл бұрын
mim ni mkristo nawaomba kkkt wampe uyo mzee kiwanja chake dhulma ni zambi
@venamlowe35565 жыл бұрын
It is not fair wanaonea wanyonge, huyo mwingine hata mkuu wa moja anamjua you can tell he is lying.
@nathalieswedy36534 жыл бұрын
Uyu aje dar mueshimiwa
@aybusaidi67194 жыл бұрын
Dar makonda Arusha gambo mosh ana mngwira tabora mwangili je pwani ninani ,? Tanga mbona kimya nako ni Nani chapeni kazi vijana munguyupo akubarikini sana
@rahmamashaallah23555 жыл бұрын
Mkuu wa mkoa mzur jamani kama roh yake
@sijarikaseka37045 жыл бұрын
nakukubari sana pamoja na Mkuu wa mkoa tabora
@teddymwageni17634 жыл бұрын
Hawa wachungaji vipi? Wanashindwa Kula na kipofu? Bora wangeongea vizuri tu na angewauzia kuliko kudhurumu
@mahamedismail6015 жыл бұрын
Huni mfano wakuigwa sio uwe kiongozii jina vitendo Ni muhim
@silverjoseph45775 жыл бұрын
Hapi Ana roho nzuri Kama sura yake very humble and smart
@mangegervas96514 жыл бұрын
Gud saana Mkuu Wa mkoa Wa iringa
@mmbarcelona23845 жыл бұрын
hilo la kanisa lime nivunja mbavu😆😆😆
@maufundi50375 жыл бұрын
Unatakiwa uwe mkuu wa mkoa dar es salaam
@venamlowe35565 жыл бұрын
Njaa zinawasumbua, shame on you!! Tamaa tu za dunia hii tunayopita tu.
@venamlowe35565 жыл бұрын
Hawa ndio wanaongea kiswahili kizuri. Sio wale wanasema kwa majina.
@datydioclea84034 жыл бұрын
Makonda ivi huwa anamuona uyu Kaka jmn
@SuperKibwana5 жыл бұрын
Safi sana kwa kweli.
@salmaabdi50964 жыл бұрын
Safi sana kazinzuri sana
@fatoomfatoom55905 жыл бұрын
Ushukuru sisi wengine Mungu alituona hakutupa uongozi ningekupiga makofi ww mchungaji tapeli hlf unajiita mtumishi wa Mungu kudadeki
@angeljasson43764 жыл бұрын
Kazi nzur mkuu
@sabinashabani97425 жыл бұрын
Sikuizi kunawazi kabisa
@fridajohn51225 жыл бұрын
I have a crush on this guy 🙈🙈🙈🙈🙈🙈🙊🙊🙊🙊
@angeljasson43764 жыл бұрын
Hahaha ww km mm🙈
@venamlowe35565 жыл бұрын
What has Matusi got to do with the land, si mumlete huyo mzee wa miaka 95? Malangali juu!!! Ndio maana mnawaonea kwa sababu ni watoto.
@melkizedekiwiliam55334 жыл бұрын
jaman huyo mkuu wa mkoa wa Iringa anafaa, ni kifaa, maan hachoki kusikiliza kero za watu, safiiiiiiiiii.
@ifruitx20965 жыл бұрын
Huku kusoma wana soma ili watapeli watu badala ya kutafuta chake mtu wanasoma wakitapeli😁😁 bora wengine sisi 8leave's na tuna zetu za halali na maisha mazuri na mikebe barabarani
@imeldabamba37795 жыл бұрын
iFruit X20 😀😀😀😀👍👍👍👍
@naamohamed99645 жыл бұрын
Kaz ipo hapo
@teddymwageni17634 жыл бұрын
Jamani hapi nakupendaga buree
@ifruitx20965 жыл бұрын
Mic zinatuangusha leo bwana
@friedkinglyimo82075 жыл бұрын
Ni kwere huyu jamaa
@stephanokanyika63215 жыл бұрын
Hebu igeni mfano huo wa mkuu wa mkoa wa iringa wakuu wa mikoa mingine vipi mbona hamuna ubunifu wa wakuu wa mkoa
@issasaid97515 жыл бұрын
Jamani naomba mnijuze meneja wa NMB na mwanasheria wake nn kmeendelea?
@prospermsanzi88155 жыл бұрын
Yuko lockup
@wendelipwera75825 жыл бұрын
Wako ndani pamoja na Muhindi waoo
@papayatnzania10055 жыл бұрын
Safi sana wacha waisome number hasa hiyo gabachori
@huldanjiro74195 жыл бұрын
nakushukur Rc wa iringa kwa kz nzur,uko mbal nakupenda bur
@sabinashabani97425 жыл бұрын
Tena wanao kufanya wachungaji mi siwapendi kabisa
@zaidishabani57455 жыл бұрын
Huu niudini mbona kwawengine katatua hapo hapo
@ngometvarusha40305 жыл бұрын
Kwa waislamu hawagi wakali kama wanavyo shutumu wachungaji au makanisa
@sharonyasin75215 жыл бұрын
huyu mzee ni tapeli ata maongez yake
@janesuma21935 жыл бұрын
mbona unakatakata
@a.8565 жыл бұрын
Bibi anazungunza kama ebitoke😅
@nancematata13295 жыл бұрын
Doa&Mum W hahaaa
@salmaoriginaloriginal64785 жыл бұрын
😂😂
@venamlowe35565 жыл бұрын
Mchungaji halafu muongo!! I am Christian but I am sorry, you love the world more than God, shame on you.
@venamlowe35565 жыл бұрын
I don't believe him. Baba kubwa la mwaka sabini? Lol! Mnawaonea tu vijana wa watu. Si ukamchukue baba yao, toa pesa akaletwe muheshimiwa jamani msionee vijana. Defence mechanism mtu mkorofi utamjua tu, sasa mkuu wa mkoa ushahidi wake na yeye uko wapi?
@hasnasaif10755 жыл бұрын
Mkuu wamkoa angali huyu mzee anaonekana tapeli
@saidfundikila65555 жыл бұрын
Hasna Saif boya wewe hujuwi ulitendalo mzee anaushahid baba ake alimuazima mchungaji anakomaa lakanisa sasa hauwoni mchungaji nitapeli
@tatukachingwe22905 жыл бұрын
Nipeni bc namba ya muheshimiwa happ ,mn ninaic km ninakelokelokelokelokelooooooo😂😂😂😂
@faridaadamu27764 жыл бұрын
Tatu Kachingwe 😂😂😂
@elizabethcharles8754 жыл бұрын
Hahaaaaa
@zaidishabani57455 жыл бұрын
Hapa mkuu umeonesha uzaifu umeficha sauti Nakuto amli sahihi naushaidi upo hili nikosa mkuu naniubaguzi kesi zote umetoa amli ww nasio mapatano hili to kwel hawatakua radhi makafir namayahudi adi muwafate ampe eneo lake nasio kufanyiwa kz
@mtakamwasambili96605 жыл бұрын
Mtaka f mwasambili Nimekubali utendaji wa Rais wangu kichwa
@elizabethcharles8754 жыл бұрын
Kaaaa mapepo ni watu
@sabinashabani97425 жыл бұрын
Hivi hawa bakwata ni watu gani? Jaman nisaindieni make kirakona hawa watu kilakona wanakesi??
@josephgomalo415 жыл бұрын
Bakwata wanataka nchi iwe ni kiislamu.. sasa wasipoleta hodhi za ardhi watatusilimu vipi..?
@sabinashabani97425 жыл бұрын
@@josephgomalo41 mhuuuu haya makubwa kamando hivo
@fatumamilimo19365 жыл бұрын
Yaani sina hamu nao baba yetu alipewa kiwanja mwaka 1998 Karibu na msikiti na babangu akaanza kujenga mpaka kamaliza ikawa Bado bati tu.. lakini alivyofariki fariki mwaka2018 wakatudhulumu wakidai ni mali ya msikiti loo sina hata hamu nao😂😂😂
@anifanyoni90365 жыл бұрын
@@josephgomalo41 acha uongo wewe alokuambia bakwata wanataka nchi iwe ya kiislamu muulize vizuri
@anifanyoni90365 жыл бұрын
Kesi ni kawaida sana sasa labda niulize tu aliemiliki kuanzia 1987 na 2007 yupi alitangulia na nani katapel mwenzie hapo