Kiukweli mweshimiwa Hapi mungu akulinde akupe hekima na busara ktk kazi zako uko vizuri sana naamini utafika mbali
@jumannemaginga12175 жыл бұрын
I like this kind of leadership Rc for real you are doing very well PLEASE KEEP IT UP!!!! I WILL MEET YOU SOON FOR CITIZEN'S ISSUES''
@rochhelmond79255 жыл бұрын
good job may God Bless this RC he stands right
@ezekiamliwa76595 жыл бұрын
Sinaneno juu yako Mheshimiawa nimekupenda bureee karibu Iringa yetuuu.
@henrymsigwa59505 жыл бұрын
Nakukubali Ally Hapi mkuu wa mkoa wangu.god bless you
@aizohimself85375 жыл бұрын
Kazi nzuri mkuu wa mkoa kaka Ally Hapi kwa kuzungumza na wananchi na kutatua kero kuliko kukaa oficn tyuuu na kula kiyoyozi
@mwitamnanka32645 жыл бұрын
hongera sana kiongoz watu kama ninyi ndo mnaotakiwa kwenye hii nchi tumechezewa kweli kweli, na viongoz wapo tu kwenye maeneo yao ya kazi
@mparemusa97874 жыл бұрын
Napenda sana viongozi Kama wewe ambao wako stlet kwa wananchi ,kwaiyo mheshimiwa we endelea kupiga kazi kiukweli unasimama kwenye nafasi ambayo mungu amekuweka kwakutenda haki kwa wananchi wanyonge hata ivyo hata raisi wetu wa jamhuri ya muungano wa Tanzania magufuri anapenda sana viongozi wanaofanya kazi Kama wewe !
@majidsuleiman4935 Жыл бұрын
Mheshimiwa viongzi wenzio Kaa nao meza 1 usiwaadhirishe Kwa maneno
@sengendotwaha93334 жыл бұрын
Thanks for good governance
@abuudharishahidy30745 жыл бұрын
Mkuu Allah Akulinde na Akupe makazi mema poeponi
@ConfusedBirdNest-np2vn5 ай бұрын
Hongera MH Rc Tunataka Viongozi kama wewe
@lucymsuya77355 жыл бұрын
Mkuu WA Mkoa WA Iringa Ali Hapi nakupa hongera kwA kazi nzuri unayo ifanya Wewe ni pacha wake na rais wetu magufuli naona mungu amekushusha kutoka mbinguni tunge pata wakuu wa mikoa kumi kama wewe hakika taifa letu lingekuwa na maendeleo mpaka lingelemewa asanteeeeeeeeee!
@petermabula545 жыл бұрын
MWESHIMIWA UMETISHA SANA SAF SANA
@elifansiakwesso61044 жыл бұрын
Hongera sana Rc Happy kazi nzuri sana.
@salmaabuubakar93235 жыл бұрын
Mweshimiwa Ally natama uhamie singida ukawaweke sawa hapo hospitality ya mkoa nihatari
@ramadhanichaulembo13295 жыл бұрын
kwakweli ali hapi wewe ni kiongozi mimi nimetamani unavo tatua kelo huyo mganga ana hujumu serekali ishikiwe adui wa sera
@jamilakizya77923 жыл бұрын
Mafisadi wataanza majungu piga kazi kaka nimekupenda wawo kazi yao kutetea maovu mungu atakusimamia tekeleza majukum yako mungu atakutetea
@bahatiboniphace26135 жыл бұрын
tupate wapi mtu kama huyu ambae Mungu anakaa ndani yake mh.happy Yale unayoyatetea Mungu atakufikisha mbali
@AlexisAjwantos3 ай бұрын
Nakuitaga mokozi wa wanainchi nakupenda
@relaxchinese41035 жыл бұрын
Masha Allah nime mpenda bule huyu hapy
@fadhumoyusuf70924 жыл бұрын
Allah amlinde na fitina
@muriithipaul85594 жыл бұрын
Your good in your leadership
@sarahlydia26354 жыл бұрын
Just love your hard work
@AliM-di8dz5 жыл бұрын
Jamani nimempenda mheshimiwa hapi tenda haki baba ,
@mparemusa97874 жыл бұрын
Katika vitu ambavyo huwa navipenda kuviona kwa viongozi wengi nikuona wanapenda kutenda haki na kuwatetea wananchi wanyonge Kuna wimbi kubwa sana la viongozi wananyonyaji wanaowakandamiza wananchi kwaiyo mheshimiwa endelea kuwanyoosha hao na mungu wa mbinguni atakulinda kwa Kula Vita itakayoinuka kwako mheshimiwa RC HAPI
@joycechaula53324 жыл бұрын
Mheshimiwa Fanya kazi tusaidie wana Iringa tunanyanyaswa sana naviongozi wa ngazi zachini .Nakuomba utembelee nakijiji cha ilamba kilolo ukasikilize kero zawanchi
@abelbaraka2634 жыл бұрын
Kwa nini nyie wana TV munaona mubana sauti sometimes nayie wawatumbue
@josephsimiyu52115 жыл бұрын
Happi kweli ninapendezwa na uongozi wako wa busara.
@maryshativa97765 жыл бұрын
Hakika nimekukubali sana wewe ni kiongozi wa mfano
@abuudharishahidy30745 жыл бұрын
Hivii ndioi haki inavyofatiliwa safi sana mkuu inafurahisha na kuzunisha hawa wanyonge kuwaona pamoja sana
@AlexisAjwantos3 ай бұрын
Mwamba unafaa ku simamiya dunia hasa Africa
@jumasongoro27664 жыл бұрын
Hawa ndowanafaaa kuongoza mikoa Yaan mh rais angekuwa na wakuu wa mikoa kumi kama huyuuuuu ally hapi nchi ingenyoooka hongera xna mh mkuu wa mkao kwakaz Nzur unayoifanya Njooo kigoma bhna
Mimi sio mu Tanzania ira nafatifia kazi nzuri za watanzania ka Wewe ba ma Rehemu uril kutengeneza kwakweri unatenda kazi nzuri mungu akubariki sana
@priscadaniel73 жыл бұрын
Mkuu Nakuja unipe kazi
@txsoundsrecord36635 ай бұрын
Tunaomba raisi samia ampeleke hap awe mkuu wamkoa katavi
@richardfranco47185 ай бұрын
Mkubwa mkao filings hapi naomba nikupgie niongee na wew
@rainnahmlundi12665 жыл бұрын
Hii nimeipenda kama hujamfanyia kazi mwananchi shidazake ofs papo kwa papo
@marijanimohamed76195 жыл бұрын
Safi. Kaka nakuoendaga una chana tu ukweli.
@zefamange72815 жыл бұрын
HAPI NI MKUU WA MKOA WA UKWELI, ANAFIT AWAMU YA TANO
@marymabubakar16464 жыл бұрын
Ni,kizuti,zaidi,ally,happy,ni,,mwanashetia
@josephmateru88925 жыл бұрын
Jaman Watanzania Wenzangu Kuna Viongozi Wanania Njema Lakin tatizo Ni njiagan Wanatumia Kutatua Matatizo
@samsonmwaipwisi3135 жыл бұрын
Joseph Materu duu
@berthamakortha8387 Жыл бұрын
Alafu mijitu ilio litaya tokea 47 wanamapesa mpaka nnje za nchi na bado wataka vyeo hiii sheria kama sio Zuonevuuu huo acheni bwana. Mnapendelea sana zambiiiii mnooo aibuu sana
@saidiselemani77864 жыл бұрын
Kinamama wambeyaaa kicheko gani hichooooo au nunamtamani mkuuuuuuuuu
@henrychacha78835 жыл бұрын
Tanzania tunahitaji MA RC kama Hapi,;Makonda na Mongela. Nchi imeoza.
@user-zh2tc1ly8h5 ай бұрын
Jembe la kaz
@mukhusinrwekaza45365 жыл бұрын
Wakuu wa mikoa mingine Mko wapi ? Mbona nyie Mko kimya tunaitaji tujifunze kupitia mifano Kama hii. Kila mkuu wa mkoa akfanya kazi Itaonekana. Tumechelewa jamani, wanyooshe mkuu wa mkoa tushachoka khaaa, Walikuw wamezoea
Ally Happy ufanye juu chin uje ugombee mkoa wa Tanga wilaya lushoto kuna matatizo mno wananchi wanafia njia hospital hamna barabara hakuna pesa za kodi kila dayle zinatozwa
@mtengulerashid78685 жыл бұрын
inawezekana we we goston tokauzaliwe.hujatembea.maana.naona unapost chenga toka hapaulipo.tembea.uone
@jubilatesamweli28745 жыл бұрын
Lakini kweli kuna watu wananyanyasa wenzao sababu ya vihela vyao,nchi hii ilikuwa imefika mbali na kuirudisha ni ngumu kweli kweli maana wazalendo wa kweli ni wachache sana nchi hii!!
@denniskiango69015 жыл бұрын
Kweli kaka
@delsonandrea52235 жыл бұрын
Hivi inagoma kwenye simu yngu tu au make sielew
@peteramini61265 жыл бұрын
Chris kuna tofaut gan ya mkuu wa wilaya na DC
@jeysenbenedict5 жыл бұрын
District commissioner (DC) ni mkuu WA wilaya kwa kingereza... Lkn haina utofauti....ni lugha tu apo mzee
Tanga,kigoma,Singida,katavi,Ruvuma,Lindi,Mtwara,Pwani nk wakuu wa mikoa mko wapi!!!!??
@johnothman81545 жыл бұрын
Mwakahuu tutaona mengi
@mohamedomarhasan53775 жыл бұрын
John Othman Ali Hapi endelea kuwasaidia wanyonge hii nchi mahakamani hakuna haki naona ajabu sana Mkuu wa mkoa anafanya kazi ya hakimu nchi imevurugwa sana Hapi ni mtu mmoja tu anashughulikia mkoa mmoja wa Iringa je mambo mengine mikoani atashughulikia Nani nchi yenyewe kubwa wanyanyasaji wengi wasio na huruma wanataka mtu afe kwa ulafi wao
Kuna baadhi ya mikoa wko peponi wengine tuko jehanamu Hongeren Iringa
@perpetuakessy36034 жыл бұрын
Ally Hapi tunaomba uwape wakuu wa mikoa mingi mbinu zk kwn mikoa mingine ni shida Hongera Ally Hapi Jembe toka Iringa
@mohgamhooga12704 жыл бұрын
Millard ayo naww some time naww unadoda,,,ss ndio nn hapa ulichotuletea ubadhilifu tu wa mb zang najutaa
@mahmadougronkjaer83165 жыл бұрын
kwa wale wanaoijua kihesa weka comment yako ueleze kihesa ipi unaijua.. mi naanza kihesa mafifi, kihesa ngome, iringa girls
@josephsanduli.52165 жыл бұрын
Tunaomba uende na iringa V kule mlowa watu tunapigwa hela na serikali yetu
@omarjuma93095 жыл бұрын
Ukisema ukweli kwa binadamu unakuwa mubaya. Usiogope alihapi , yesu mwenyewe alitenda miujiza watu waliona kwa macho, lkn aliteswa nakutundikwa msalabani, imekuwa wewe,? Piga kazi binadamu hawana wema.
@ishaqanahodah6645 жыл бұрын
wanyooshe mpk waelewe mkuu na wakuu wengn wanatakiwa kujifunza kupitia kwako mkuu
@omisangabatony95105 жыл бұрын
Mungu wangu bariki viongozi wetu Tanzania
@AlexisAjwantos3 ай бұрын
Rc mokozi
@sarahwanjala66015 жыл бұрын
MKweli hatakiwi kabisa lakini sema baba
@jumasongoro27664 жыл бұрын
Yaan mkuu unatisha xna
@cvanocharles60015 жыл бұрын
Mh Mkuu wa mkoa Piga kaziiii
@freemankalalu35315 жыл бұрын
Yaani JPM hakukosea mtetezi wa maskini kama mm
@ashamganga66365 жыл бұрын
Jmn hivi hii sauti ni sim yangu au had kwenu
@bimaisarankamia41535 жыл бұрын
Sauti my mitambo ya milady.inazingua sjui kwa nn
@brysonmgaya85315 жыл бұрын
Kwa wote man
@klystry12344 жыл бұрын
Asha Mganga kote
@mugbilmerey39595 жыл бұрын
W.nchi kwa njia hii,wakuu wa mikoa wengine waige mfano wa mh.hapi na makonda,watenge ktk wiki angalau cku moja kuckiliza kero za watu.
@mugbilmerey39595 жыл бұрын
Mh.mkuu wa mkoa wa moro,kwa heshima fuata nyayo za wakuu hawa.tuna kero za ardhi manispaa yako haki haitekelezwi miaka 4 mtu unaidai manispaa.
@khatibumwalimu5915 жыл бұрын
Msigwa unaona kazi hiyo inayofanyika? Wewe unataka kitu gani? Agawe pesa au awajengee? Wewe umelanika 2020 ludi kanisani
@francisibrahim22065 жыл бұрын
Khatibu Mwalimu Hahahahaaa, mwambie kabisa aanze kukarabati kanisa lake mapema!
@AliM-di8dz5 жыл бұрын
Mchakamchaka
@rainnahmlundi12665 жыл бұрын
Good
@saidsalmin12485 жыл бұрын
Alli hapi wanyooshe
@gastorymsaki56895 жыл бұрын
Mi hata sielewi kabisaa. Hii c kazii tenaa.
@mapenzi_tz15115 жыл бұрын
Yaani uonevu kw mzee km huyo Alafu,, Wavuta bangi wa Chadema wanasema sio Haki kuwatumbua ni Haki Gani ipo kw Mungu kumuonea mama km huyo Hadi mtoto kafa Daaaaaah!! Chadema Mungu Anawaona MBUNGE kazi yake kuongea Bangi tu
@akilikarama33315 жыл бұрын
safi sana mkuu unatiniza neno lacheo ni dhamana sasa unatimix
@martiasngatunga54205 жыл бұрын
we we.ally.safi.ilinga.utunyeshe.mpaka.tukuelewe.
@marijanimohamed76195 жыл бұрын
Unawajibika kaka. Mwache yule mbunge anaekusema vibaya nimjinga tu mzarau wewe piga. Kazi
@samsonmwaipwisi3135 жыл бұрын
Duu kazi ip ali hapi
@vivianchawe75615 жыл бұрын
Hapi oyeeeee
@jamaliddiin93575 жыл бұрын
wakuu wa mikoa wengine wamalala tuu hasa huko tanga
@hamiskhalfan47325 жыл бұрын
Tanga pamerogwa
@fredinandnjarita37814 жыл бұрын
nimekukubali mheshimiwa
@samsonmwaipwisi3135 жыл бұрын
Cha ajabu wote wanaoshtaki ni wanachama wa ccm hivi duu
@mohamedgilala84235 жыл бұрын
Kuma wewe
@samsonmwaipwisi3135 жыл бұрын
Mohamed Gilala Akili huna humu matusi hayaruhusi sawa jiulize ulitokea wapi sawa busara ni nzuri brother