Safi sana! WE WIN TOGETHER,WE LOSE TOGETHER!!! WHAT A STATEMENT! Underated comment!! Hiyo Yanga!
@user-sf1ne6tk4u20 күн бұрын
wawoooo iyo nzuriii kaka
@hussenmissembe758420 күн бұрын
Karibu sana mwamba wa lusaka
@AMINIELIHAALI-xv1rd20 күн бұрын
Hii ya baleke kali
@chiefnumborecords481920 күн бұрын
Ndiyo baba viunbe Wa ajabu ni marehemu Hayati John Pombe magufuli marehemu Steven Kanumba marehemu Ruge Mutahaba ,eng Hersi said ,Haji Sande Manara Diamondi platinum hao watu daaaah ni waajabu sana
@user-bt6ep3yb2h20 күн бұрын
Walimwita aende dubai ili kumshawishi asaini simba mwamba kawatolea nje.
@user-fg8hg9fe1w20 күн бұрын
Hii sifa Sasa balleke tena😂😂
@marcobulili434120 күн бұрын
Usajiri wa chama na Bakeke binafsi sijafurahi kabisa!
@marcobulili434120 күн бұрын
Simba hawana kombe au ubingwa uliowapeleka shirikisho. Waishukuru yanga!
@errydeo886520 күн бұрын
Yanga HATUJENGI TIMU,TUNABORESHA! USAJILI WA YANGA NI WA CAFCL! PRAYERS WITH QUALITY N EXPERIENCE!!? bongo mpira hamjaujua!
@albertmlay834220 күн бұрын
Mume wa mwenyewe unaongea hivyo ila hamtaamini SIMBA itawafunga ngao ya Jamii NBC mtafungwa na SIMBA nyie YANGA
@user-yk2mr1uu5i20 күн бұрын
Wazeeee wa makombo
@matiankomola239120 күн бұрын
Ni matamu sana, Hayo ni madini! Wacha yaliwe!
@JosephMallya-qh6cf20 күн бұрын
Baleke wa nn bwana😢
@rajabmsinzia171520 күн бұрын
Beleke ni bonge la Mshambuliaji ndugu
@japhetisraelsmafie99720 күн бұрын
Kumbe ndo maana mnaitwa mwiko nyumani,,vyura bhana,mnalete aibu ,mnasubiri simba wachezaji wakichoka mnaona mmefaidi.. Hivi huyu nyumbu abajulikana kama nani anae ongea
@matiankomola239120 күн бұрын
wanapochoka huko! ndivyo Wanavyokuwa vifaa kwetu.
@errydeo886520 күн бұрын
Mtangazaji JIONGEZE KWA HIYO MAN CITY,ARSENAL, LIVER POOL BARCA ,MADRID WAKIENDA PRESEASON USA ,ASIA UARABUNI INA MAANA,HUKO NDO KUNA FACILITIES NZURI!? PRESEASON ni ya kibiashara Zaidi kama hujui! Hizi timu zikienda nchi fulani PRESEASON ni kujitangaza ,kutafuta mashabiki ,wafuasi na wapenzi wapya pia kutoa fursa mashabiki wa nchi hizo kuona wachezaji wapya na wazamani na vitu kama hivyo ! Ts not abt facilities! Wabongo fanyieni research na Wewe kama mwandishi uwe na uwezo wa kukosoa na kuelimisha watu!