#MadeinTanzania

  Рет қаралды 174,579

Xtreme Media

Xtreme Media

4 жыл бұрын

Hapa hapa katika Tanzania yetu, kuna kiwanda kinachotoa suluhisho la kuondoa ugumu wa kujenga na kutumia rasilimali nyingi katika ujenzi. Teknolojia ya Mega Panel, inayotumia Maboya kutengeneza nyumba kama hizi na unaambiwa kuta zake hudumu kwa miaka 85-100.
⠀⠀
Usikose kufuatilia Made in Tz Show katika Clouds TV
Kila Jumatano saa 2:30 Usiku:
Kila Jumapili saa 9:30 Alasiri (Marudio)
SUBSCRIBE CHANNEL HII KUPATA INFOS ZAIDI!!!

Пікірлер: 472
@hidayaswai3119
@hidayaswai3119 3 жыл бұрын
Guys I real appreciate you. Na nimependa. Mjenzi mtarajiwa natamani sana kuwapata. Nawapataje
@johanesjofrey2105
@johanesjofrey2105 3 жыл бұрын
Viwanda km hivi viwe ving Tanzania ili hata sisi vijana tuweze kufikia malengo yetu. Kazi nzuri
@montanaprime
@montanaprime 3 жыл бұрын
Tanzania tupo vizuri sikuhizi. Naipenda sana nchi yangu.
@sofiakhan9706
@sofiakhan9706 3 жыл бұрын
We are in speed 20% now keep road clear ahead Tanzania coming by 80% ahead so welcome to Tanzania friends let's boost us more
@iammarwa
@iammarwa 3 жыл бұрын
i would love to show the AFRICAN Diaspora THIS, Invite me.
@officialyohanamalisa1873
@officialyohanamalisa1873 6 ай бұрын
Salute kwa hawa jamaa. I wish ningewafahamu mapema, tatizo hamujitangazi mnakaa ndani kama utumbo, use media to advertise. Mbona mko vizuri aisee. 🙌🙌🙌
@dewaweshawakening9977
@dewaweshawakening9977 3 жыл бұрын
Very Educative and informative stuff thank you and keep up the amazing work
@rickkariuki4523
@rickkariuki4523 3 жыл бұрын
from Kenya proud of Tanzania
@sarahwamboko2041
@sarahwamboko2041 3 жыл бұрын
Ziko kenya kirio project ilianza 7yrs ago in kenya
@mannabu9333
@mannabu9333 3 жыл бұрын
@@sarahwamboko2041 alie kuuliza nan
@happynicholaus6474
@happynicholaus6474 3 жыл бұрын
@@sarahwamboko2041 umeulizwa
@marianakapeller4699
@marianakapeller4699 3 жыл бұрын
@@mannabu9333 ha ha ha...
@JK-bi2jl
@JK-bi2jl 4 жыл бұрын
Beautiful. Made in Africa. I admire African innovation. From Nairobi Kenya.
@picsandvidstv1348
@picsandvidstv1348 3 жыл бұрын
This isn’t African invention my dear. They built these in Australia also, sold at a higher cost then in less than 10years they started leaking. Do some research before buying these kind of houses.
@rumeyswairshad8308
@rumeyswairshad8308 3 жыл бұрын
Mashaa Allah Zavutia kweli ,, zikiwa gharama yke iko nafuu kuliko za kawaida afdhali kujenge ii jmni
@barakarobert9516
@barakarobert9516 3 жыл бұрын
Ukiona mambo kama haya unajickia kifuraha furani moyoni" ww ni mzalendo" unauzalendo na nchi yako
@osamashakeeb7194
@osamashakeeb7194 3 жыл бұрын
Masha Allah kazi nzuri sana nimeipenda ❤
@ramazaniekenya8312
@ramazaniekenya8312 3 жыл бұрын
Waaah it so amazing, nataka kujuwa wanauzaje nyummba moja , naitaji bei kwaaraka
@harounali9057
@harounali9057 4 жыл бұрын
Nchi za Wenzetu zilizo endelea kwa kuwa nchi zao ni za baridi wana tumia hayo mloita maboya au wall panels kuweka kati kati baina ya block wall na bricks wall hizo panel huwekwa kati kati kuzuwia baridi. Nawapongeza wa Tanzania 🇹🇿 kwa kazi nzuri 👍
@user-gv3si2mv3l
@user-gv3si2mv3l Жыл бұрын
Saudia wanaeka mbao alaf inapakwa rangi huwez jua mpaka ugonge
@Moses_Mash
@Moses_Mash 4 жыл бұрын
Great editing $ narration, thumbs up mister
@muritujamlick5534
@muritujamlick5534 2 жыл бұрын
Thank you so much for this show. An eye opener
@nalotayecamara5423
@nalotayecamara5423 3 жыл бұрын
I really appreciate your video thanks u 😘 brother
@Diana-cn6cf
@Diana-cn6cf 3 жыл бұрын
Kazi nzuri... Tanzania inaweza
@yusufhassan5
@yusufhassan5 4 жыл бұрын
Old is gold ! Matofali is the best...... haya Material za kisasa , Moto ukiwaka hapo , nyumba yote ni kwisha !
@jacksonmawole4029
@jacksonmawole4029 4 жыл бұрын
Kiwanda chao kimetengenezwa na tofali zetu za mchanga
@khalidgugu4964
@khalidgugu4964 4 жыл бұрын
@@jacksonmawole4029 haaaaa
@yusufhassan5
@yusufhassan5 4 жыл бұрын
@@jacksonmawole4029 kweli 😂😂.
@Mpakauseme
@Mpakauseme 3 жыл бұрын
@@jacksonmawole4029 🤣🤣🤣🤣🤣
@hallin9561
@hallin9561 3 жыл бұрын
Nje unapiga plasta ndio maana wameweka wire mesh
@jeanboscomunyarurembo3490
@jeanboscomunyarurembo3490 3 жыл бұрын
Asante kutuwonyesha hii tekinlogia ya kipekee Tanzania
@davidmagundu2285
@davidmagundu2285 4 жыл бұрын
Interesting!
@HustlaDY
@HustlaDY 3 жыл бұрын
Beautiful design
@mariamwakabuta1034
@mariamwakabuta1034 3 жыл бұрын
Du miezi sita kazi nzuri, basi nikiwaajiri kwa nyumba moja watamaliza sîku 7
@jj4chizel
@jj4chizel 3 жыл бұрын
From 🇺🇬🇺🇬🇺🇬... Nice
@kamanda007
@kamanda007 4 жыл бұрын
Safi sana, na kwa taarifa tuu kwa wasojua nchi nyingi sana duniani zilizoendelea Kama USA or Canada waliacha kabisa kutumia matofali kujenga nyumba, Ni msingi tuu ndio wanatumia cement, huu Ni uwekezaji mzuri sana and big up to mtangazaji na mwekezaji
@aminapazi3694
@aminapazi3694 4 жыл бұрын
kamanda007 ishu ni imara? Achana nambo ya Europe au Marekani, labda wao wanafanya hivyo kwa vile wana uhaba wa rasilimali ya mchanga je
@mansooralmahruqi885
@mansooralmahruqi885 4 жыл бұрын
USA ama canada waliacha kutumia tofali sababu ya baridi.
@Mpakauseme
@Mpakauseme 10 ай бұрын
Haujui sababu unalabwajika tu
@kamanda007
@kamanda007 10 ай бұрын
@@Mpakauseme baridi na gharama mbuzi wewe, matofali sio lazima, kuna material mbadala maelfu za kujenga nyumba imara na zinazodumu, mmelala sana washamba nyie
@upendoirenmattoke9860
@upendoirenmattoke9860 4 жыл бұрын
Good journalism, great presentation Sasali👌🏽👍🏽
@mariamayenga5867
@mariamayenga5867 4 жыл бұрын
Kazi nzuri sana nimependa .. kweli Tanzania tuko juu
@gmstv2043
@gmstv2043 4 жыл бұрын
That's an old technology innovated by Chinese
@mohamnedsalum2150
@mohamnedsalum2150 4 жыл бұрын
Tecnologia nzuri
@owlbig
@owlbig 3 жыл бұрын
Nice interview ❤️🇧🇮
@gideon_maina
@gideon_maina 3 жыл бұрын
Impressive. I hope this technology gets adopted quickly in Kenya to reduce the high construction costs.
@picsandvidstv1348
@picsandvidstv1348 3 жыл бұрын
These houses are useless my dear, better save and build a durable houses. Hizi ni kama zile nyumba za makuti. With heavy rains they will start leaking!
@robertmuiga5255
@robertmuiga5255 3 жыл бұрын
Visit KOTO in mlolongo,NHS in katani,they have been using this technology
@djumoja
@djumoja 3 жыл бұрын
Build an earth home instead
@eliasnavytanga
@eliasnavytanga 2 жыл бұрын
@@picsandvidstv1348 Garbage. We don't need a concrete houses in East Africa. Zanzibar stone town is the evidence. The whole town is clay and stone walls.
@nathanjunior7694
@nathanjunior7694 4 жыл бұрын
Good video presentation
@maddproff
@maddproff 4 жыл бұрын
Wow !
@Watema23
@Watema23 4 жыл бұрын
Nyumba nyingi hapa USA zinajengwa na materials kama hizo..na zina dumu miaka mingi sana. Nilikuwa natafuta kampuni kama hizi kwakuwa ni njengea nyumba kwa materials hiyo.
@geoffreymwangi6627
@geoffreymwangi6627 4 жыл бұрын
Hapo sawa mko Wa-Tz.
@geoffreymwangi6627
@geoffreymwangi6627 4 жыл бұрын
Tafadhali mtupe namba ya simu Nyinyi Megapanel.
@gracenestory9384
@gracenestory9384 4 жыл бұрын
Nice or a nice 💙💙💙💙
@dulabori9922
@dulabori9922 3 жыл бұрын
Kazi mzuri hongereni wasi wasi wangu ubora wa ukuta mtu akipiga nyundo si anakuwa ndani moja kwa moja
@abdulpeter7460
@abdulpeter7460 3 жыл бұрын
God bless Tanzania
@maigathomas2353
@maigathomas2353 3 жыл бұрын
Mko vizuri et
@hhabusinesspro
@hhabusinesspro 3 жыл бұрын
Does anybody know where these are houses are built in dar-es-salaam?
@yohanahbyzehomba1352
@yohanahbyzehomba1352 3 жыл бұрын
Amaizing
@christiankambuga9338
@christiankambuga9338 4 жыл бұрын
Yaaa nimekubali
@sudiyahya9276
@sudiyahya9276 4 жыл бұрын
Goood job
@ritchiexanti9587
@ritchiexanti9587 3 жыл бұрын
Nimegundua wengi wanaoponda hii tech ni wale ambao washagharamika mihela kibao kujengea tofali halaf leo hii wanaona kuwa kuna namna nyingine ambayo ni very cheap bas wanaumia kinyama🤣🤣🤣
@Catherineflorian1997
@Catherineflorian1997 3 жыл бұрын
🤣🤣
@danielmuchi8196
@danielmuchi8196 4 жыл бұрын
Impressive
@kassimmanaramalika8592
@kassimmanaramalika8592 3 жыл бұрын
Sasa hapo mungu atunusuru na panya tu basi lakini mambo mazuri Kazi nzuri Alhamdulillahi maishaallah
@kimstvonline6411
@kimstvonline6411 4 жыл бұрын
Nilikuwa nasubiri sana hii technology
@karimhamisi4627
@karimhamisi4627 3 жыл бұрын
Kumbe zile nyumba tunazoziona kwenye movie star emekimbia na kupiga ukuta anatokea njee ndio hizi
@mohamedmaulidi5319
@mohamedmaulidi5319 3 жыл бұрын
hahahaaas
@blandinamnyinga8318
@blandinamnyinga8318 3 жыл бұрын
🤣🤣🤣
@worldcuisine9102
@worldcuisine9102 3 жыл бұрын
😄
@fatmaali4794
@fatmaali4794 3 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@samniza1763
@samniza1763 3 жыл бұрын
Tatizo hayo makabati yapo juu sana. Itabidi niwapigie picha makabati ya kwangu jikoni ili niwaonyeshe wakati wa kunijengea ya kwangu.
@abdulsimbarakiye4145
@abdulsimbarakiye4145 3 жыл бұрын
Hongera sana Katikaujenzi mpya wa kisasa simba kutoka uholenza
@rithersospeterkati2303
@rithersospeterkati2303 3 жыл бұрын
Mmm Amen Tanzania.
@daudimaniseli759
@daudimaniseli759 4 жыл бұрын
Safi sana tz tunaweza hata wao walianza kama hivyo Leo hiii wapo kwenye atrantis,discovery na ma air buss Leo hivyo ipo siku kunamtanza nia atajitoa ufahamu atabuni machine ya kuyeyusha.
@agreyaloyce432
@agreyaloyce432 4 жыл бұрын
Information zao inakuwaje
@jayaron218
@jayaron218 3 жыл бұрын
Ujenzi wa marekani ,,izo nyumba waga zinakawiya sana adi miaka 150
@noelmgulusi6707
@noelmgulusi6707 4 жыл бұрын
Ili iwe rahisi kuelewa ukuta wa 20 by 20 utagarimu pesa ngapi kwa kutumia Mega panel ukilinganisha na kwa tofali ni ngapi
@crissxavery2887
@crissxavery2887 3 жыл бұрын
Yaani ww jamaaa umeng'ang'a na scandal moja wakati huu ujenzi upo kila mahali, ivi ujenzi wa matofali huna skendo, au maghorofa ya magufuli umesahau, embu punguza kuwakatisha watu tamaa, mghorofa kibao ya tofali yanamatatizo.
@crissxavery2887
@crissxavery2887 3 жыл бұрын
@simply pash ...
@merymichael5513
@merymichael5513 3 жыл бұрын
Cjaelewa
@josephshayo5493
@josephshayo5493 Ай бұрын
Nilikua na swali. Sawa natumia Material nyumba idumu miaka 100 but matofali nyumba inadumu like forever. Sio kwamba tofali zitabaki kuwa bora. Coz miaka 100 ni two to three generation.
@mamahustru
@mamahustru 3 жыл бұрын
Sasa mbona kiwanda chenyewe hawakujenga kutumia hizo panels, lakini wametumia tofali ?
@samkariuki9424
@samkariuki9424 3 жыл бұрын
Mfinyanzi hulia gaeni
@mukra44
@mukra44 3 жыл бұрын
Wamekodi eneo hawajajenga hicho kiwanda
@gilbertcfc2959
@gilbertcfc2959 3 жыл бұрын
mara nyingi wenye viwanda huwa wanakodi ma godown na sio kujenga wao.
@namirihamisi3899
@namirihamisi3899 3 жыл бұрын
Labda kwa sababu ulianza ujenzi wa kiwanda ndio wakapata kutengeneza hivyo vifaa vya ujenzi.
@victoriamabele7671
@victoriamabele7671 4 жыл бұрын
Naomba na. ya simu kwa mawasiliano na mlipo.
@noelkaaya2433
@noelkaaya2433 4 жыл бұрын
tofali bado ni bora zaidi
@thelistener8357
@thelistener8357 3 жыл бұрын
Wow. Nice
@xtreme-media
@xtreme-media 3 жыл бұрын
Thank you! Cheers!
@christiankambuga9338
@christiankambuga9338 3 жыл бұрын
Nimekubalii wazeeubunifu mzuri
@yohanaernest8552
@yohanaernest8552 3 жыл бұрын
Inapendeza
@thelistener8357
@thelistener8357 3 жыл бұрын
Rahisi lakni hamujaongelea bei
@napendamuzikiilovemusic5840
@napendamuzikiilovemusic5840 4 жыл бұрын
Nice one
@barakamponda914
@barakamponda914 4 жыл бұрын
Arusha tunakuhitaji raja namba ya simu
@afyayangutv6015
@afyayangutv6015 3 жыл бұрын
Bei gan nyumba
@MegaAlexison
@MegaAlexison 3 жыл бұрын
Hii sasa naona marekani ndani ya africa big up my africa ninaswali unaweza jenga nyumba hizi burundi that’s my question
@priscalameck8700
@priscalameck8700 4 жыл бұрын
Je imara kweli
@bunukhalifa7074
@bunukhalifa7074 3 жыл бұрын
Do you have a branch in Kenya
@MegaAlexison
@MegaAlexison 3 жыл бұрын
Ilala
@zaharahasan1912
@zaharahasan1912 3 жыл бұрын
Watoto wakikuwa watabomoa kwa miaka hiyo zitakuwa za kizaman .Watajenga za kwao za kisasa kwa mda huo
@partnersah8802
@partnersah8802 4 жыл бұрын
Hizi ndo za kwenye movie zile mtu akipiga ngumi ukuta unavunjika
@vinuthagangadharan4171
@vinuthagangadharan4171 4 жыл бұрын
Uzuri mimi nimeshuhudia huo ujenzi ni mzuri sana wanasema pia hazina joto
@ritchiexanti9587
@ritchiexanti9587 3 жыл бұрын
@@vinuthagangadharan4171 nimegundua wengi wanaoponda hii tech ni wale ambao washagharamika mihela kibao kujengea tofali halaf leo hii wanaona kuwa kuna namna nyingine ambayo ni very cheap bas wanaumia kinyama🤣🤣🤣
@movieindustry9253
@movieindustry9253 3 жыл бұрын
Hata jamaaa wanapatikanaje boss
@xtreme-media
@xtreme-media 3 жыл бұрын
Asante kwa kufuatilia Made in Tanzania, mawasiliano Mr. Jonathan 0653 592322. Endelea kufuatilia fursa mbali mbali kwenye #MadeinTanzani.
@bahatimwangoka649
@bahatimwangoka649 3 жыл бұрын
Alafu wao wamejenga kiwanda kwa tofari za block hahaha
@jumakaswelele3143
@jumakaswelele3143 3 жыл бұрын
Unafanya kazi kubwa Sana kutujuza vitu ambavyo tunavuona ila hatujuwi niwapi vyapatikana ila mzee big Sam ivyo viatuvyako mzee baba nimaalum kwaajili ya viwandani maana kila maali uwendako nikiatu ichoicho ha ha ha ha
@dominicklema1835
@dominicklema1835 Жыл бұрын
Naitaji kujua zaidi kuhusu I program
@billysquad488
@billysquad488 3 жыл бұрын
Kiwanda yenyewe haijajengwa na maboya yenyewe mumetumia matofali
@BenCheck-jx9lo
@BenCheck-jx9lo 3 жыл бұрын
Naona yanfaa kwenye partitioning
@bsrabbitfarm
@bsrabbitfarm 3 жыл бұрын
Gharama za ujenzi zipoje kwa nyumba ya vyumba 3 au 4?
@rashid3175
@rashid3175 3 жыл бұрын
Namba zenu
@calvinjoseph
@calvinjoseph 3 жыл бұрын
Me nataka kujenga nyumba kama hii
@sultanhamad4924
@sultanhamad4924 4 жыл бұрын
Usiombe Moto ushike hapo
@hidayaswai3119
@hidayaswai3119 3 жыл бұрын
Naombeni kuwa ambassador wenu kanda ya ziwa. I am serious na nina hakika tutafanya kazi. How can I get you
@ritchiexanti9587
@ritchiexanti9587 3 жыл бұрын
wanaotafuta contact hizi hapa......Mobile No. +255 785 676 207 Email: mega@mega.co.tz
@margarethjoseph1971
@margarethjoseph1971 2 жыл бұрын
Naomba no ya simu.
@dionsangoa1428
@dionsangoa1428 3 жыл бұрын
Hakuna nilichoelewa hapa kama comedian tuu 🙃🙃🙇🏿
@keagleeagle821
@keagleeagle821 3 жыл бұрын
Mngeweka kwenye discription box kujua tunawapata wapi
@kingj9606
@kingj9606 4 жыл бұрын
Mbona hamsemi contacts zenu, au mtu akihitaji hii huduma mnapatikana kwa mtandao au connections gani?
@peterdarlington6599
@peterdarlington6599 5 ай бұрын
In terms of durability, block houses generally tend to be more durable than panel houses. Block houses are typically constructed using materials like concrete, brick, or stone, which offer strong resistance to weathering, impacts, and other environmental factors. Panel houses, on the other hand, are often made of materials like wood, steel, or composite panels, which may not provide the same level of durability as solid masonry construction.
@ibrahimmohamed1994
@ibrahimmohamed1994 3 жыл бұрын
Yeah inabidi watanzania tubadilike tuishi kisasa zaidi wanaoponda hao wanaishi kizamani sanaa.
@ubahamisi431
@ubahamisi431 Ай бұрын
Hongereni kazi nzuri ,vp mtu akiwa nje ya tz?
@samiramohammed9758
@samiramohammed9758 2 жыл бұрын
Habari zenu naitaji namba ya simu tafadhali
@wiljoe22
@wiljoe22 3 жыл бұрын
Nimejaribu kupata namna ya kuwaapata wanakiwanda hiki bila kupata jawabu. Jamani msitulet down. twazitaka contacts haraka
@elibarikijustine4546
@elibarikijustine4546 3 жыл бұрын
How about columns?!
@joels.orinda6352
@joels.orinda6352 Жыл бұрын
Eti kwa technology hii kujenga nyumba ya vyumba 4 ni cost how much hivi
@dulabori9922
@dulabori9922 3 жыл бұрын
Hizi ni rafiki wa mazingira na pia ni salama kwa matetemeko ya ardhi
@abbytaurus652
@abbytaurus652 4 жыл бұрын
Panya anazuiliwaje ktk hizo panel
@BenLeeBl
@BenLeeBl 3 жыл бұрын
Ukiwek sumu
@caseyjason-ws3fr
@caseyjason-ws3fr 3 жыл бұрын
Hahahahahha Maswali mengi yaanaitaji majibu
@mimifineliving2022
@mimifineliving2022 4 жыл бұрын
Kama ni bora kuliko tofali mbona msingi ni was matofali?
@mrfix6596
@mrfix6596 4 жыл бұрын
Tofali ndiyo mpango, wangeweka maboya ingeruka hiyo😂😂😂
@frankfromtanzania
@frankfromtanzania 4 жыл бұрын
Swali lako nmelikubali
@muciomi
@muciomi 4 жыл бұрын
Maboya hayana ugumu wa kutosha kushikilia uzito wa nyumba (compressive strength) na unyevunyevu wa ardhi wakati wa mvua utadhoofisha msingi wa maboya. Maboya kwenye msingi yanatumika tu kama heat and sound insulator.
@BigZhumbe
@BigZhumbe 4 жыл бұрын
Ndio ubora unapojia...... matofali ndo msingi na juu kunaboreshwa
@Mpakauseme
@Mpakauseme 3 жыл бұрын
@@mrfix6596 🤣🤣🤣🤣🤣
@mathayokingomela5658
@mathayokingomela5658 4 жыл бұрын
Hawa jamaa mi nawakubali sana na mimi niliwahi kua mtaalam wao wa kuyajenga ni lahis na inachukua muda mfupi kuyajenga
@erickmahujilo4643
@erickmahujilo4643 4 жыл бұрын
Kwa makadirio inaweza ikawa bei gani kwa nyumba ya vyumba viwili
@laynerngole2119
@laynerngole2119 3 жыл бұрын
Nyumba ya vyumba vitano makadirio garama sh ngapi?
@omarysebastian3208
@omarysebastian3208 4 жыл бұрын
Kwa watu tunaojenga kwa mafungu . Itakuaje ? Leo nimenunua tofali 100 kesho mchanga lori 1.Anyway good idea
@ilovejesus9303
@ilovejesus9303 3 жыл бұрын
🤔🤗😄😄
@abellmawio8694
@abellmawio8694 2 жыл бұрын
Na je interloçk zinawez3kana nà kupàtikàna?
@fatmaali4794
@fatmaali4794 3 жыл бұрын
🤔🤔🤔Mim nyumba yangu najenga na matofali weeeeee
@Tiffany340
@Tiffany340 4 жыл бұрын
Mmh baada ya miaka Mia itakuwaje..weeee tupangee 🤗🤔
@allymsalum7199
@allymsalum7199 3 жыл бұрын
Safi sana iyo imekaa vzur ila wale wanaohtaji designs za ndani na urembo wa nyumba bac to follow instagram mydreamhouse11 kwa kazi zetu au whatsapp no 0683357507 karibun sana
UJENZI KWA TEKNOLOJIA YA HYDRAFORM UNAVYOPUNGUZA GHARAMA
27:50
Shirika la Nyumba la Taifa
Рет қаралды 34 М.
ОСКАР vs БАДАБУМЧИК БОЙ!  УВЕЗЛИ на СКОРОЙ!
13:45
Бадабумчик
Рет қаралды 5 МЛН
HOW DID HE WIN? 😱
00:33
Topper Guild
Рет қаралды 44 МЛН
Heartwarming: Stranger Saves Puppy from Hot Car #shorts
00:22
Fabiosa Best Lifehacks
Рет қаралды 21 МЛН
The Emmedue Single Panel: core of the Emmedue Advanced Building System
4:53
Make your own water filter and never buy drinking water again.
18:36
Jon Jandai Life is Easy
Рет қаралды 6 МЛН
Battery  low 🔋 🪫
0:10
dednahype
Рет қаралды 3,8 МЛН
WATERPROOF RATED IP-69🌧️#oppo #oppof27pro#oppoindia
0:10
Fivestar Mobile
Рет қаралды 19 МЛН
Отдых для геймера? 😮‍💨 Hiper Engine B50
1:00
Easy Art with AR Drawing App - Step by step for Beginners
0:27
Melli Art School
Рет қаралды 13 МЛН
Игровой Комп с Авито за 4500р
1:00
ЖЕЛЕЗНЫЙ КОРОЛЬ
Рет қаралды 2,2 МЛН