Made IN Tanzania- Nyerere Day Special
20:33
Пікірлер
@suleimanAmur
@suleimanAmur 8 күн бұрын
'
@suleimanAmur
@suleimanAmur 8 күн бұрын
habari naitwa sleimani natokea pemba napenda sana sanaa yauchoraji na mm nahitaji kujiunga
@suleimanAmur
@suleimanAmur 8 күн бұрын
habari
@ubahamisi431
@ubahamisi431 Ай бұрын
Hongereni kazi nzuri ,vp mtu akiwa nje ya tz?
@loycemalima7490
@loycemalima7490 Ай бұрын
Gharama ya ujezi wanyumba kama iliyoonyeshwa hapo ni ngapi?
@Lazoboy-zm4jx
@Lazoboy-zm4jx Ай бұрын
Na weza kupata suru wali kwajumla
@josephshayo5493
@josephshayo5493 Ай бұрын
Nilikua na swali. Sawa natumia Material nyumba idumu miaka 100 but matofali nyumba inadumu like forever. Sio kwamba tofali zitabaki kuwa bora. Coz miaka 100 ni two to three generation.
@haji352
@haji352 2 ай бұрын
KWANINI MATERIAL YA JEANS YASITENGENEZWE HAPA HAPA NCHINI WAKATI TUNA PAMBA BORA .INATAKIWA SERIKALI IWAHIMIZE MATAJIRI WA TZ WAWE WANAT ENGENEZA MATERIAL HAPA NCHINI NA MACHINE ZINAPATIKANA HUKO TAIWAN ,CHINA NA THAILAND
@edwinismail9401
@edwinismail9401 2 ай бұрын
sasa website yao ipo wapi
@NinaAntoine
@NinaAntoine 2 ай бұрын
Naonba nanba zenu na Address yenu
@user-ze8kh1hd1z
@user-ze8kh1hd1z 5 ай бұрын
Nitawapataje? Yaani ofisi zenu zipo wapi? Naomba contact zenu?
@user-ze8kh1hd1z
@user-ze8kh1hd1z 5 ай бұрын
Hili mimi nataka ku- supply chakula cha mifugo
@rithamremi5515
@rithamremi5515 5 ай бұрын
Swali langu ni moja mbona kiwanda chao wametumia tofali za kawaida badala ya kutumia za kwao...
@peterdarlington6599
@peterdarlington6599 5 ай бұрын
In terms of durability, block houses generally tend to be more durable than panel houses. Block houses are typically constructed using materials like concrete, brick, or stone, which offer strong resistance to weathering, impacts, and other environmental factors. Panel houses, on the other hand, are often made of materials like wood, steel, or composite panels, which may not provide the same level of durability as solid masonry construction.
@confredsangija1796
@confredsangija1796 6 ай бұрын
hapa tutatoa pongezi kwa tanzania na viwanda,pongezi sana sana.shida mawasiliano ya simu au vyovyote hakuna,shida yetu sasa ni namna ya kuisambaza hii tecnolojia ili kila mtu aifahamu na aweze kufanya huu ujenzi ndio itakuwa mtiani.yaan baada ya hapa iiiitakuwa kmya kuwapata ni kama kuutafuta mkojo wa kuku. je wameishia hapo tu? ngoja tuone
@officialyohanamalisa1873
@officialyohanamalisa1873 6 ай бұрын
Salute kwa hawa jamaa. I wish ningewafahamu mapema, tatizo hamujitangazi mnakaa ndani kama utumbo, use media to advertise. Mbona mko vizuri aisee. 🙌🙌🙌
@deograsiaskiowi
@deograsiaskiowi 6 ай бұрын
Niteknoljia nzuri ila kwa macho naona kama kwa mlalahoi bado sizani kama ata mudu
@user-vb7gq7gw5q
@user-vb7gq7gw5q 7 ай бұрын
Nitumie no ya simu ninawahitaji
@emmanueltuppa5459
@emmanueltuppa5459 9 ай бұрын
Contact???
@Mpakauseme
@Mpakauseme 10 ай бұрын
Wabongo tunapenda kuvishana sana 😂 hayo mabody utumia kutengeneza restaurants saloon nk na sehemu zakibiashara pamoja na viwanja vyakukodisha ufanya hivyokwasababu hiwe lahisi kuvunja yani temporary kama atakuja mpangaji mpya au ardhi kutumika kwa shughuli zingine pia shughuli nyingine utumika kwakukata vyumba baada kuta kujengwa kwa matofali au zege na hivyo zaidi katika majengo yakupangisha , so kama mimi haunitanganyi 😂😂😂
@PrincePaulIowa
@PrincePaulIowa 10 ай бұрын
Je ni imara? Yaani wezi wakipiga sururu si ni rahisi kuvunja? Pia gari likigonga nyumba si inaanguna kirahisi? Au? Naomba mnifahamishe… huyu ansema boya panels, sasa hii kweli imara?
@warialangandossi
@warialangandossi 10 ай бұрын
Naomba no yenu ya simu
@warialangandossi
@warialangandossi 10 ай бұрын
Wapendwa wangu Mungu awabariki,Sasa mpo wapi Nina mabox maboya manner na jiko la gesi na washing machine ,nataka kuuza ,nauzaje? Je ninyi mnapokea,Asante naomba no yenu ya simu na majibu Asante
@nestormsigwa8551
@nestormsigwa8551 10 ай бұрын
Tupate contacts pls na namna ya kuwapata.
@De_lima98
@De_lima98 11 ай бұрын
Sasa mbona ukuta wa kiwanda umetengenezwa na tofali
@user-po8hz7xw9j
@user-po8hz7xw9j 11 ай бұрын
Zinauzwaje
@ulirkimsacky
@ulirkimsacky Жыл бұрын
My name is Ulirki Msacky,thank for bringing us industries,I am asking for a job at the factory
@AngelusMgaya
@AngelusMgaya Жыл бұрын
Nahitaji bomba 1.5" lolu 30 na 2" lolu 10 nazipataje nipo njombe
@user-ju7tv6oo2b
@user-ju7tv6oo2b Жыл бұрын
kzfaq.info/get/bejne/oZtodqaVnOC7qac.html
@user-ju7tv6oo2b
@user-ju7tv6oo2b Жыл бұрын
kzfaq.info/get/bejne/oZtodqaVnOC7qac.html
@user-ju7tv6oo2b
@user-ju7tv6oo2b Жыл бұрын
kzfaq.info/get/bejne/oZtodqaVnOC7qac.html
@francismadoshi8529
@francismadoshi8529 Жыл бұрын
Mkoa wa tabora, Unyanyembe kuna maembe mengi sana. Waende kule kuwaekeza kiwanda cha maembe ya Unyanyembe!!!
@benjamincharles2606
@benjamincharles2606 Жыл бұрын
Kax vp
@SalvataMrosso-yr7fm
@SalvataMrosso-yr7fm Жыл бұрын
Naomba namba za simu
@chosenfrank4286
@chosenfrank4286 Жыл бұрын
Contact please
@chosenfrank4286
@chosenfrank4286 Жыл бұрын
Naomba namba ya mtalaam
@dominicklema1835
@dominicklema1835 Жыл бұрын
Naitaji kujua zaidi kuhusu I program
@mehboobkarmali5211
@mehboobkarmali5211 Жыл бұрын
Can I have phone number
@ndukulusudikucho_
@ndukulusudikucho_ Жыл бұрын
Habari nzuri Ila kama kweli mtangazaji alikuwa na Nia ya kufanya Marketing ya huruma zao mwanzo Mwisho hakuna mawasiliano shida nini? Na ukisoma comments wadau wanauliza mawasiliano lakini kimyaa
@sifuelylyamuya9698
@sifuelylyamuya9698 Жыл бұрын
Tunahitaji kujua gharama halisi ya ujenzi...umemis hiko kipengele
@musajulias8424
@musajulias8424 Жыл бұрын
Debe 6 shingapi
@musajulias8424
@musajulias8424 Жыл бұрын
Debe 6 shingapi
@ali-nk2vd
@ali-nk2vd Жыл бұрын
tupe nmb zako
@hassanjuma6510
@hassanjuma6510 Жыл бұрын
Hello samahani naitaji kujiunga n mimi kwamajina naitwa hassani
@joels.orinda6352
@joels.orinda6352 Жыл бұрын
Eti kwa technology hii kujenga nyumba ya vyumba 4 ni cost how much hivi
@simonjoel6633
@simonjoel6633 Жыл бұрын
Kiwanda hiki taali tumetambua kipo kibaha mawasiliano vipi kama mteja anahitaji mzigo?
@young_eminant
@young_eminant Жыл бұрын
Bei ya boyaa
@abuuayoubayoub9260
@abuuayoubayoub9260 Жыл бұрын
Sioni wafanyakazi wakiume humu naona wakike tu
@rewardmsauye6804
@rewardmsauye6804 Жыл бұрын
Sam mm nataka hao jamaa wanijengee nawapateje
@abuuramadhan8093
@abuuramadhan8093 Жыл бұрын
Tuvitangaze bc jmn mbona matangazo yamekua madogo san