Mtangazaji ingekuwa vyema ungetembea nayo hii ishu Ili tujue mwisho wake @millard ayo
@MasaiLaizer29 күн бұрын
Well done Doto Mungu akulindee Yaani uko very smart ungesoma zaidi ingekuwaje. Slaa do something. Yaani watu hawana utu kabisa siku hizii wizii tuu.well done Doto we pray for you
@aishabagayo61619 күн бұрын
Mh. Jerry Slaa, Tunaomba huyu mtt apatiwe msaada jamani! Mungu amlinde, he is very brave.
@ShamimuKanju19 күн бұрын
Dogo uko vzr Mwenyeezi Mungu akufanyie wepesi
@mugishamajeba962829 күн бұрын
Sema dogo uko sawa kabisa japo una elimu ya kawaida pambana dogo mungu atakusaidia
@Zaburi-28 күн бұрын
Mungu/MUNGU sio mungu
@ShkiruIsmail28 күн бұрын
waziri slaa huwa ni mzito kupokea simu
@josephatjordan215028 күн бұрын
Ni MUNGU
@joycemmassi504627 күн бұрын
Daah jaman IGP, Waziri husika wasaidieni hii familia kabisa
Ila bado ana nafasi ya kusoma miaka kumi na tisa (19) bado ni mdogo
@chande2k25029 күн бұрын
Allah atajalia KHERI mdogo WNG HAKI yenu itapatikana kikubwa DUA NA IBADA Kwa mwenyezi mungu kila JAMBO linawezekana na HAKI ya Mtu cku zote haipotei
@caesar774529 күн бұрын
Dogo anajielezea vizuri sana
@user-qo8eu1br6f12 күн бұрын
Tena Angekuwa amesoma cjui angekuwaje Nimempenda buree
@kekiplus1andonly23 күн бұрын
Kijana anaonekana yupo makini sana,mbona hakuendelezwa kimamoso jamani😢😢😢😢namuombea baada ya haya yote aweze kurudi shule tena,he has a bright future,
@aminathaabubakarmasoud56528 күн бұрын
Dogo kichwani yupo very smart ❤
@user-uo8xw9kr4b29 күн бұрын
Wakat wanamkopesha hawakumtaarifu washampa pesa ndio wanampigia mweny nyumba si nikichekesho hicho.
@wamburasungura681227 күн бұрын
Ila ukisikiliza sana hii stori utaona mke Wa marehemu anaonekana alikuwa na mahusiano na mkopaji na ndiyo maana alipata sababu za kugushi hati ila pia wakopeshaji walihusika sana Ila mama mwenye Nyumba anaonekana ana mahusiano na muhusika
@devothasimbi649524 күн бұрын
Ikiwa umemsikiliza kwa makini Huyu mjukuu usingefikiri kama hivi,ameeleza wazi walikuwa karibu sana tôkea enzi za babu Yake hajafariki,usisahau watanzania Wana desturi ya kumuamini MTU haraka Sana na kuonyesha nyaraka mhuhimu kwenye maisha Yao binafsi.
@ellentukiko569916 күн бұрын
Dogo uko very SMART, uko vizuri sana, umejieleza vizuri sana, Mungu ATAWAPIGANIA, penye UKWELI, uongo hujitenga.
@jacksonwilson577229 күн бұрын
Huyu dogo ni class seven lakin akili yake ni zaid ya D mbili. MUNGU awatangulie tu maana hii dunia ina mazegere sana kwa kweli.
@eddynaeem670827 күн бұрын
nyie benki wapumbavu nini kama kutapeliwa mumetapeliwa nyinyi musitafute kuwadhulumu maskini za mungu mimi niliokuwa si jaji basi najuwa sasa mtu kaweka dhamana kitu sio chake kwa njia ya udanganyifu enyie mutaingia motoni kwa ujinga
@GilbertNhigula22 күн бұрын
Du inasikitisha Sana !.
@matildamneney110221 күн бұрын
Mungu amsaidie huyu kijana
@user-qo8eu1br6f12 күн бұрын
Yaani cjui hata nikwanini hukupara Elimu zaidi, Mungu amfanyie wepesi Ameen
@user-xh7xf2ki3r28 күн бұрын
Mh Jerry Slaa nakuomba msaidie huyu mtoto doto anapambana kwa ajili ya familia yake Allah akusimamieni kwa hilo
@lucypatrick783028 күн бұрын
Dr slaa tunakuamini wananchi, huna upendeleo, nina imani ushamsikia huyu mtoto😊
@safiyasafiya501429 күн бұрын
Kumfikia waziri Dr jerry silaa ndio mtihani Millard angemsaidia kumuonbea kwa waziri wampokee doto akifika haki atapata sila Hana unafiki
@renatusblandes113128 күн бұрын
Angekuwa Makonda angelitatua kwa uharaka maana mkuu wa mkoa wa hapa amelala
@KassimAlly-xp4dz24 күн бұрын
Yupo busy na madada poa kesi yake itafatiliwa
@betsebamwenda437912 күн бұрын
Hahahahahaha mweeee Mungu atusaidie kufungua ufahamu mana mambo ni mengi
@Baba_Ben.2 күн бұрын
Na sehemu kama hizi ndo umuhimu wake huwa unaonekana
@chiniyamuti28 күн бұрын
I like this kind of interview, the journalist just guide the other guy to explain his case and not try to outshine the guy.
@ireneboniventure743429 күн бұрын
Jamani huyu mtoto ana akili sanaa
@annaurassa708222 күн бұрын
Elimu haina mwisho maombi yangu huyu mtoto aendelezwe kielimu
@AngelaAndrew-rf1ho22 күн бұрын
Pole mama Samia. Una kazi ku bwa na hawa watendaji. Wameamua kushiba na kutojali chochote .Mungu akuzidishie hekima mama
@anthonygenge436615 күн бұрын
Daaah Dogo yuko bright sana, kma cyo std7 vile😊
@betsebamwenda437912 күн бұрын
Yaani kuna watu ni majasiri kupita wasomi wenyewe Mungu awe upande wako na akutangulie katika hii kesi. Mlilie Mungu wako yuko atakusaidia
@fattymusa485721 күн бұрын
Hongera kijana ( uko vizuri). Mungu ndiye mwamuzi. Utashinda.
@floralyimo415927 күн бұрын
MNGETUONYESHA NA NYUMBA “ POLENI SANA MH RAIS ATAKUSAIDIA USILIE MDOGO WETU NA UNAVYO ONEKANA UNA STRESS HADI UMEZEEKA KABLA YA UMRI WAKO BE BLESSED 🙏🏾
@KassimAlly-xp4dz24 күн бұрын
Nina uhakika ww ni mwanamke uloandika hii comment 😂❤
@MrishoMindu-zq7mz23 күн бұрын
Tena ni mchaga Mmachame anataka kujua thamani ya Nyumba akili yote ni kwenye mali. We Nyumba haikuhusu ionyeshwe itakusaidia nini? Amezeeka kwa akili Mbovu unatamani atoe nomber za simu umtafute kwa mali za urithi. Mdangali mkubwa.
@monalisaally438722 күн бұрын
@@MrishoMindu-zq7mzhapo kwa wamachame 😂😂😂
@aishahamis160919 күн бұрын
Usimwambie mtoto wa mwenzio amezeeka kwa stress Mungu ndie muumba wa yote kama umejaaliwa baby face mshukuru Mungu na sio kukufuru hujafa hujaumbika usimuonyeshee kidole binadam mwenzio na kumuhukumu hata akikuonyesha hiyo picha ya nyumba utamsaidia nini ? Kapuku wewe chunga kauli zako
@mtemionlinetv62269 күн бұрын
Nyumba ya kuchukuliwa mkopo wa M200 siyo ya kitoto brother
@kekiplus1andonly23 күн бұрын
Mmmmh makubwa,Mwenyezi Mungu mtie nguvu
@MargrethjonesmshanaКүн бұрын
Yaaaqqqni kijana ni genius yaasni very smart angesomaa jamanii,kweli mchungaji kimaro wakijitonyama amesema wenye akili wasaidiwe , wasitupwee kijana yuko vizuriii❤
@MobileDawat12 күн бұрын
Watanzania,mumeanza kuona absent ya Doctor Magufuli?
@florenciamassawe492527 күн бұрын
Eee Mwenyezi Mungu weka wepesi katika jambo hili ili haki ya hii familia ipatikane.
@user-hl6bg9zz8u29 күн бұрын
Na ukifatilia inaweza kugundulika muhalifu ni mfanyakazi au alikuwa mfanya kazi wa serikali!!! Hii ndiyo Tanzania yetu😢
@allymsafi171628 күн бұрын
Baba yake mstaafu wa ikulu na ndugu yake anafanya kazi ikulu mpakq sasa changamoto kwa dogo watu wana ikimbia hyo kesi
@dinnaemily272726 күн бұрын
Aksante kaka mtangazaji Mungu akutunze
@kadijaa777117 күн бұрын
Usilie brother munataisimamia haki haki ya mtu haizami utafaulu tuu kikubwa pambana na ww ninmwanasheria mzuri sana uae weza elezea kitu mtu akaelewa pole ina uma na ww bado mdogo sana hili jambo nila wakubwa lkn mungu kakuchaguq ww usimamie in sha Allah utafaulu raisi samia suluhu na waziri wa aridhi mumuone huyu kijana tafadhali na ushauri pia kwa familia sithakabadhi za nyumba original zihifadhiwe vyema na zisitolewe kupewa mtu kiholela mungu akulinde popote uendapo kaka na munakutqngulie upate haki yenu kwa uwezo wawenyezi mungu amiin nawapenda wenzetu watanzania from Kenya
@zabibubashiri303429 күн бұрын
Nimekupenda sana kaka kijana wa class 7 education kweli yuko hivi lakini kuna kijana wa elim ya Chuo hamfikii huyu kijana perfect
haswaaa...yaani huyu serikiali ingempelekea shule kitdogo tuu angekuwa msaada baada ya haya kumtokea
@eliezasamwel489129 күн бұрын
We @femidahaya4882 huwezi amini yule kijana aliyejiita wakili ndio ukoo mzima tunamtegemea kwa mambo yote ya kisheria tangu enzi za ukoloni amekuwa msaada sana🤔
@aliciamwalimu58229 күн бұрын
Hata mie jmn naic nisingeweza kujieleza hivyo,mama ampe tu kitengo huyo
@femidayahaya488229 күн бұрын
@@eliezasamwel4891Karne ya Ngapi Mulianza kumtumia😃
@aliciamwalimu58229 күн бұрын
Apewe ulinzi pia watampoteza soon
@Ally-dc5tz19 күн бұрын
kweli kabisa
@zainabzain343412 күн бұрын
Hata. Mie nimewaza hivyo
@Eleonora-ei6yx7 күн бұрын
Tena iwe haraka jamani alindwe huyu dogo
@RajabuDangi-qv2uo29 күн бұрын
Hapo dogo pambana mungu atasaidia
@danielthomas9609Күн бұрын
Dah Dogo huyu anajua kujieleza Excellent, kwa maana hiyo naagiiza kesi yake ishughulikiwe haraka na haki ipatikane
@aboudasilver654129 күн бұрын
Sasa km Rais ameiona barua kwanini Asingepiga cm Kwa wazuri wake jamani daaaaah wanyonge wanakosaga haki zao sana
@user-nb2jw4km6f29 күн бұрын
Yani nimemuonea huruma pesa wamekula wengine nyumba yaoiuzwe
@jumaally426328 күн бұрын
Wanyonge tutanyongwa sana. Waziri kwaninj asipigiwe cm. Inarudishwa barua
@joycemmassi504627 күн бұрын
Jaman Rais Samia naye anachoka Sasa uko wapi muhimu wa wasaidizi anaowachagua?? Yaan hao wote Barua zilikopita wafukuzwe kazi tu hawafai hata kidogo ni sababu huyu kijana hana Watu wakubwa nyuma yake hata simu
@kazikazini104227 күн бұрын
Una hakika aliiona? Kuna panga pangua nyngi zimetokea miezi miwili katika jumba jeupe miezi hii miwili
@KassimAlly-xp4dz24 күн бұрын
Utaratibu nahisi
@stanleymhozi759020 күн бұрын
Pole MTT Mungu atakusaidia
@fatumamramba781320 сағат бұрын
Mungu atawasimamia mtoto huyu kwakweli ni kichwa .hayo alioyapambania ni tofauti na umri wake mw.mungu ajaalie mmmh hatari😢
@jaydendady239929 күн бұрын
Mhe.Jerry Slaa tenda haki kwa hawa Watanzania
@CraudiaKing16 күн бұрын
Dogo uko vizr mungu atakusaidia haki yenu itapatikana
@musakasingo59428 күн бұрын
Huyu kijana atashinda tuu,yaan Mungu ni mkuu, jipe moyo mkuu,ushindi upo
@hanifamziray27729 күн бұрын
Polensn umejua kujieleza vzr mungu yupo
@PhilipoMwasha29 күн бұрын
Mtu anamtafuta mtuhumiwa aliegushi alafu unamwambia mlalamikaji atoe pesa milioni Moja na nusu za Nini na igp tupo na anasikia vijana wake,mi nasema kila jeshi la polisi Hamna kitu😊
@mpjackson954329 күн бұрын
HAKIMU ALIE TOA HUKUMU HANA SIFA YAKUWA HAKIMU HAUWEZI TOA HUKUMU NAKUWAPA UMILIKI BANK NYUMBA ILI HALI KUNA UHAKIKA WA KUGHUSHI NYARAKA ,"PAUL MAKONDA UKO WAPI BABA WEWE NDIE MSAADA WA TAIFA HILI .
@noahchepe803622 күн бұрын
makonda ni mtu wa maauzi ya fasta harembi. Ila Sasa yey tayari ni mkuu wa mkoa Arusha. Angekua dar uenda angemsaidiaa
@vickyshayo788013 сағат бұрын
Daaa Mungu metetee huyu mtoto Mhe Jerry mtenda haki msaidie huyo mtoto
@donaldmpagaze980323 күн бұрын
Mungu awaguse viongozi wetu watende haki kwa hii familia kwasababu wao wapo kutuhudumia sisi wanyonge mnyonge mnyongeni lakini haki yake apewe Mungu awabariki viongozi wetu waihukumu kesi hii kwa haki Aaamina
@eckreygelard779129 күн бұрын
Very painful 😢, dogo usikate tamaa viongozi wamesikia. You are very smart l can't imagine. Waziri Mh. Slaa fanya jambo haraka kabla Nyumba haijauzwa.
@siashayo867629 күн бұрын
Mshauri kwanza wakate rufaa ili benki wasiuze nyumba. Then waendelee kupambana kwa kutumia silaha zote. Kuna tatizo kwenye hiyo hukumu km kweli Bibi hakusaini mahali popote. Unless kile alichosaini siku ameitwa benki ndiyo ilikuwa kutoa ridhaa hati yake itumike
@josephmwabange963323 күн бұрын
Inaweza kuwa , na hata hivyo ni utapeli tu na utagundikika , maana huwezi chukua advantage kwa kutoelewa kwa mtu .
@tidomilinga375023 сағат бұрын
Hizi benk nazo zinapoteza Imani kabisa
@PatrickMathew-lq9fj29 күн бұрын
Dah inauma sanaa kuna haki zinapotea
@hawaelymaricca760228 күн бұрын
Dogo usiogope Mungu ameshakuona muda sii mrefu waziri silaa mpenda haki namtetezi Wawa nyonge atakufikia soon
@stevenmulenda454529 күн бұрын
Pia ITU ng we she ria ya kuwanyoosha mahakim wanaoonekana Sana viashiria cya rushwa Mao washitakiwe wakitoa hukumu kinyume na maadili Mara 2 Pia Nata wat u Wa ardhi kamishna na bwana ardhi na wenyeviti Wa mitaa wanaohusika na kusimamia na kuuza wore washitakiwe na adhabu I we Kali kuanzia fa in I mi 5 na kuendelea ah kifungo kuanzia miaka 3 hadi 10 kea Hi yo wabunge watunge sheria
@stanleymhozi759020 күн бұрын
MTT Mzr anaakili nimeipenda sana Mungu amfungulie njia pasipo nanjia
@aishahamis160919 күн бұрын
Emen
@njuka351529 күн бұрын
Tunaomba Sana Sheria mmusaidie huyu kijana jamani
@simonjoshua123329 күн бұрын
Watu ni wanyang'anyi wa Mali za watu tena bila hata kumwogopa mungu duuh hii dunia mungu atutetee
@boscomwangosi104228 күн бұрын
Yaan nduguyangu huyu mtu utakua anasali anaenda kanisani au msikitini.
@user-sb7lz9xp4v28 күн бұрын
Aisee mtoto ana akili huyuuu dah❤❤❤
@glorykastai399629 күн бұрын
Kwani hao watu wananini hadi washindikane kwenye vyombo vya sheria au ndio yule aliyesemaga ameiweka serikali mfukoni mwalimu Nyerere akamtimua, shida watu wengi wanasoma si kwaajili ya kuisaidia jamii yao ni kwaajili ya masilahi yao binafsi ndio maana haki inapindishwa
@jedidahbintidaudi824129 күн бұрын
Glory, Mungu Aturehemu..ndo maana watu wakiaga dunia kwa maumivu mnoo
@boscomwangosi104228 күн бұрын
Wanahela.
@nugwafortunatus308324 күн бұрын
Wana hela
@dn.n498329 күн бұрын
Jamani jamani ni kweli movie kweli watu unyama gani ni ujambazi mavho macho Rais wasaidia kweli Waziri Ardhi wasaidia hii hatari sana sana
@KassimAlly-xp4dz24 күн бұрын
Haki siku zote inasimama In Shaa Allah haki yk itapatikana ila kuna mchezo apo na mzee wake uyo alie foji nyaraka na yy anahusika na uyo anaefanya kazi Ikulu na yy anahusika kwa kuipija calender hii kesi
@bettyruhaza28569 күн бұрын
Pole sana mwanangu , Mungu akutetee haki itendeke
@user-sp4lk2ry2b25 күн бұрын
Mungu mwenyewe asimamie hii kesi na muheshimiwa Rais Muone kijana huu na haki itendeke
@afraeliazaelayo29 күн бұрын
Pole sana mjukuu. Maelezo yako kama ni ya kweli, Mungu Atatenda. Kwa Uongozi wa Nchi yetu tulionao kwa wakati huu haki yenu mtaipata. Hii Nchi yetu inasimamia Sheria na Haki kwa sasa Mungu Watangulie.
@mussakimaro558829 күн бұрын
Dogo umeshinda hiyo kesi hao benk ni wangese sana WAZIRI SLAA NAKUPA KAZI KWA KODI YANGU NAYOLIPA ILI UPATE MSHAHARA MALIZA KESI YA DOGO HLF MUMTAFUTIE KAZI YA KUFANYA DOGO ANA DEGREE YA MITAANI
@user-sv3sv4xd1q29 күн бұрын
Kwa kweli very Smart anajuwa kujieleza angesoma angefika mbali sana
@maymunamakungu626518 күн бұрын
Kwa kweli
@user-sp4jr4vw6t29 күн бұрын
Hongera mtoto unaongea vzr jamani una akili jamani asaidiwe
@Eleonora-ei6yx7 күн бұрын
Mpendwa nenda kwenye maombi tu suala zito hilo
@aliciamwalimu58229 күн бұрын
Duuu kijana yuko vzr sana ana content
@eliambowe257629 күн бұрын
dogo anamiaka 19 lakini elimu ya chuo kikuu na experience yakutosha😊
@seneu.212813 күн бұрын
Hivi kwanini tunalipa Kodi? Kama ukienda polisi kupata huduma unatakiwa kutoa pesa ili mtuhumiwa akakamatwe yaani jeshi letu limejihalalisha kufanya biashara
@alluedward925910 күн бұрын
Dahhhh
@kuntaalkinte541515 күн бұрын
dah dogo Ma Shaa Allah amenyoosha maelezo safi sana Allah Allah awajaalie mpate haki yenu Mh Rais wasaidie raia wako.
@happyrichards3198 күн бұрын
Watu wanapewa dhamana na hawasaidii wananchi...mawaziri 3 na bado hawajashughulikia kesi...Rushwa inatembea ili watapeliwe...Mungu awasaidie
@zahrababygarl156817 күн бұрын
Ila viongozi wa Tanzania ni wa hovyo sana haki iko wazi lakini mizungusho mingi, kiuzwe hicho kiwanda walipe pesa za watu pole sana mdogo angu dunia sio mbaya ila binadamu ndio wabaya
@Commentsplus29 күн бұрын
Kijana la 7 ila anaakili mingi
@winifridakasibu290016 күн бұрын
Hii kesi angeishika makonda ni sekunde inaisha tu
@rachelndaki564210 күн бұрын
Kiukweli upo ver god kama muhtm wa chuo frani ivii ila swara lako mtafute makonda naimani litaisha na mwenyez MUNGU akusaidie sana nakuombea 🤲🤲
@RajabuDangi-qv2uo29 күн бұрын
Mmmh hii kiboko
@zitongwang627821 күн бұрын
Mungu asimame UPANDE wenu Doto mdogo wangu na mpate msaada 🙏🙏🙏🙏
@TitomapolosooКүн бұрын
Inauma sana mungu atakutetea
@petermuganda732228 күн бұрын
Hongela sana dogo unaongea umenyooka vizuri sana.....
@soloartist_ivanvespalusind160924 күн бұрын
Imagine kuna wengi wana stuation kama hiyo lakini hawana mtu wa kuwasemea au kuwapambania kama huyu dogo
@daudifungo552112 күн бұрын
Std 7 km Chuo Kikuu Mungu Akulinde ,Akuepushe na Hao Walioghushi Chukua Rb Kabisa ,Omba Ulinzi Pole Mdg Wangu .
@user-jj3tq1rh4p29 күн бұрын
daa jamani hapa haki ya wanyonge iko wapi mungu
@FatumaMamlo-st8pj29 күн бұрын
😢😢😢yamenikuta mie hayo kakaangu kakopea mkopo nyumba yangu bila mie kujua nawauliza bank alikuja.anakigezo gani kukopea pesa wapo kimya inaumiza sana nyaraka nazo mimi.yani bank haitabiriki
@fahadfaraj647429 күн бұрын
Sasa mbona hiyo sio kesi ukimtafuta wakili
@abdulnaseermrisho434229 күн бұрын
Hamna kesi hapo
@user-xl4io3or7r28 күн бұрын
We tulia huo utajiri. Wakiuza nyumba yako tu Kama taarifa za hati zinakusoma wewe Basi benki wanalo. Watakulipa mihela na nyumba utabaki nayo. Tulia
@jostamzxkaole311318 күн бұрын
Aimple iyo:: bank wabakua wamekula shoti..kakaako anaenderea kuagiza chipx adi atakapo kamatwa..
@neemansasu976127 күн бұрын
Kwa maelezo tu wanashindwa kutenda haki kwa kuwa ndugu wako Ikulu
@IsmailChengula27 күн бұрын
Mungu akusimamie mwanangu
@graceshayo576310 күн бұрын
Hii issue inaonekan kun watu wenye nguvu lkn huyu kijan yupo smart serikali ikinyamaza kutakuj kutokea mauwaji ya maan
@nsiamasawe457829 күн бұрын
Waziri wa ardhi akiona hii matapeli wamekwisha
@tinnahagustinolyelu424710 күн бұрын
Akili si mpaka usome tuu jamani anajieleza vzr saana
@majaliwamussa926828 күн бұрын
Polisi vipi waombe pesa yote hiyo, kwenda kumkamata muhalifu? Polisi haina pesa?
@MatildeBjelland28 күн бұрын
Wanatoa wap?
@abdull_hafidh28 күн бұрын
Dah!!! Inauma sana mnatoa pesa na mhalifu amekumbia dah Hii nchi kuna namna ya kumpa makonda
@lwagamwakalinga803825 күн бұрын
Hahaaaaa kwani wewe ni mgeni Jerusalem hii !
@ramakira789528 күн бұрын
Daa inaumiza sana mm ninaiman kubwa sana na wazir nimtu mnyenyekevu sana kwahil sinahofu na atalimaliza na wote mtashangaa🙏🙏🙏
@user-sl1ko9me7u15 күн бұрын
HUU UTAPELI WA MIKOPO YA DHAMANA ZA NYUMBA UNAWAHUSISHA SANA MAAFISA WA ARDHI NA BENKI ZINAZOKOPESHA....INSHAALLAH MH. RAIS SAMIA NA MH. WAZIRI SILAA WATAWASAIDIA.....KIJANA MUNGU YUKO NA WENYE HAKI.
@ablahammngano48992 күн бұрын
Dah! Mamb haya yapoo na ndio maana watu wanakuwa na Roho mbaya msaidie mtt huyooo
@jeremiahcharles602729 күн бұрын
Mungu anatusaidia ,tusihofu kuhusu system za duniani
@alluedward925910 күн бұрын
Dah namataman ungekuwa arusha makonda angemaliza dakika0 ila kwahawa wengine mhu mungu tu aingilie kati
@user-eu1wq8bn9y29 күн бұрын
Muheshimiwa😢😢slaa
@user-hw1vd8qk1q16 күн бұрын
Jamani hii Kali Sana dhulma ya wazi wazi. Dogo pambana upate haki yenu Mungu atakusimamia na haki yenu mtaipata Inshaallah. Haki ya mtu haipotei mtaipata tuu.
@salmauae22614 күн бұрын
Mtafute makonda mungu muinue makonda awe lahisi
@jedidahbintidaudi824129 күн бұрын
Kijana anajua kujieleza kweli yaani. n mtangazaji anauliza vizuri ili asituache. ila atujajua umri wa Mkwabi mtuhumiwa
@user-dq1vo6kv9q25 күн бұрын
Dogo yuko smart sanasana mnooooooo
@iluminatamgamba923121 күн бұрын
Yaani huu mchezo upo sana wafanyakazi wa benki wanahusika sana kwa kufoji mikopo