Aisee umenichekesha sana hapa mtu anaposema "kwenye vitu vyangu mimi siyo mtu ni mnyama! " hahaha, nimebarikiwa sana, ubarikiwe mtumishi
@elizamwaikasu43672 жыл бұрын
Niko kwenye hard time,,sasa ndo nimewajua watu vizuri,wanaonipambania ni wale sijawah kuwadhania...thanx joel
@leylahleylah45992 жыл бұрын
Ni kweli kakangu..kuna mtu nilimkopesha pesa zangu one milion tangu mwaka jana October mpka hivi hajanirudishia pesa zangu...na hivi nipo mbali ananijibu atakavyo moyo wangu unauma sana😢😢😢😭😭 namshtakia Allah
@highzacknnko96852 жыл бұрын
Pole malipo ni hapahapa yaaani atavuna alichokipanda
@leylahleylah45992 жыл бұрын
@@highzacknnko9685 Ameen kaka
@silimashinji938 Жыл бұрын
Nkushauri tyu pesa siyo yakumkopesha mtu Kuna na jib Moja sinaa kuepuka maugomvi
@herojax7495 Жыл бұрын
Inauma sana😢
@marthajuma84112 жыл бұрын
Aisee hii imenikuta pale niliposhuka kimaisha hata yule mtu ambaye alikuwa karibu sana na Mimi aliniona kama cjawahi kumsaidia Wala kumfichia aibu yoyote katika maisha yake alinigeuka na kuniona nisiye mfaa kwa chochote hata kauli nazopewa utafikiri ckuwahi kutana naye duuuu inauma sana
@mohamedkondo63922 жыл бұрын
I learned alot through this!! Mimi Ni mwanafunzi and my best friend alichaguliwa kuwa head boy recently!! Ila amebadilika Sana, he is so sensitive and fragile , ata sielewiiii amepatwa na nini!! Ila nilichojifunza Ni kwamba sikumjua vizuri Ni mtu wa aina gani! Nashukuru Sana for the lesson 🙏🏾🙏🏾
@happymaxwell67642 жыл бұрын
Dah yaani kama upo kwenye maisha yangu, sijui cha kuelezea Ila wamenifundisha kujisimamia . Ni bora kuliko masimango
@nassoromussa24232 жыл бұрын
Mwl. Joel, kuna wengine unawajuwa zaidi pale tu unapofanikiwa.
@juliethscott11292 жыл бұрын
Uko sawa Joel yaani kila unachofundisha huwa kinanipa kutatua matatizo yangu barikiwa
@justinebaada90792 жыл бұрын
Yaani hzo zote nimeshakutana nazo na hakika zimenifanya niwajue kwa undani watu wangu wa karibu
@saidesalimo14972 жыл бұрын
Nikweli kabisa my brother watu hao wapo wengi Sana tena sana
@user-pi1st6pj3wАй бұрын
Asante sana MUNGU Baba Wa Mbinguni Akubariki nimejifunza
@teddytonny21822 жыл бұрын
Hapoo kwenye kushuka kimaisha halloo! Nlijikuta npo mwenyewe 😃😃 ila Mungu n mwema 🙏
@highzacknnko96852 жыл бұрын
Halaf wanaanza kusema utakuwa unalaana au umetenda dhambi au utakuwa umechezea hela
@ponsianaprotas8990 Жыл бұрын
Asante sana Joel. Naomba tu kusema, mtu yeyote yule, anamkera sana mwingine au wengine, pale anapotoa ahadi halafu hatimizi. Kwa mfano, anakopa halafu harudishi Kwa wakati waliokubaliana au Kwa namna walivyokubaliana, au kuwa na lugha Ile aliyokuja nayo wakati anakopa. Hapo ndipo mkopaji anapochokoza nyuki kwenye mzinga.
@mwanaidihassan58682 жыл бұрын
Hii imenikuta kabisa tena kwa watu wa karibu sana tena ndugu. Am still learning from you thanks alots
@daniellepari45252 жыл бұрын
Ndugu joeli kwanza ahsante sana kwa elimu yako ya bure mungu Akubariki sana mana unanipa moyo sana hali kama hiii imekua ikinitesa kwa mda mrefu sana mimi nipo inje ila cha ajabu marafiki wengi hata ndugu na wengine tumekua wote na wengine niliwategemea ila ndo wamekua wadui
@catherineshangali4704 Жыл бұрын
@@daniellepari4525 h
@ndobeheshija41762 жыл бұрын
Heshima sana kwako sir Joel nanauka 🙏🙏
@mwanaimaabdallah78252 жыл бұрын
Joel Nanauka🥰
@magrethpanga2062 Жыл бұрын
Joe nakubaliana na maneno yako,kwanza kabla haujawa karibu na mtu nakufanyajanaye kazi naye bado haujamfahamu alivyo ,Mimi hapa ninafanya bishara na mtu nilimuomba anifundishe biashara ila toka nimekuwa naye karibu ndio nimejua ni mtu aina gani kwanza hataki nifanikiwe ananiibia vibaya Sana sio mwaaminifu
@ramadhanalmashamza3458 Жыл бұрын
Mimi nililiazima kitu kwa ndugu yangu ila kwa bahati mbaya kile kitu kilidhurika kidogo hivyo yule ndugu sikuamini maneno aliyosema sio kabisa na nilivyomdhania asante sana kwa sasa namjua tabia yake halisi ubarikiwe sana kaka
@winfridaadam7951 Жыл бұрын
Aseee ..kaka angu umenigusaa sanaa hakikaa pesa zimefanya mtu nilie kuwaa nimemuanini kumbe sivyoo kabisaa kanitaeli ..ubarikiwe sanaa Joel Mungu akubariki sanaaaa kwamafundishoo yako maanaa unazidi kunifunguaa maishaa yangu.🙏🙏🙏
@cliffkingi2 жыл бұрын
Aiseee Bhna Joel kaka unaweza sana kabisaaaa. Umeongea ukweli kabisaa yamenikuta Mara kibao
@idirishassan67692 жыл бұрын
You teach me aloat my friend thank you brother 🤛
@suemundati1765 Жыл бұрын
Yaaaannnniiii. Hmmm... ishi ujioneee Umeongea 100% Nilivopata matatizo yalionishusha kimaisha niliwajua walionizunguka. Ninamshukuru Mungu, kwa mafunzo hayo .. japo nilikuwa shocked na kuumia sana. Well, cèst la vie! God Bless You!
@mamalamama7010 Жыл бұрын
Sipo kwenye kumlaumu mtu hata mimi napodhulumiwa Mali yangu ya halali nabadilika Siwi mpole tena
@saumusanjiama69914 ай бұрын
Hatamimi
@user-xl6tn8fn1x3 ай бұрын
hayo unayoyasema ni kweli kabisa kuna shemeji ya nilimpatia pesa yangu ili tufanye biashara mwisho wa siku alikuja kunikataa kabisa
@mussalulenga99392 жыл бұрын
Hakika unajua kuchimba mambo
@samohazakwani68992 жыл бұрын
Habari za leo, shkrn sana brother kwa somo zuri sana, yalinikuta nilikopa vitu kwa mtu wangu wa karibu ambaye tulikuwa tunafahamiana vizuri. Nikachelewa kumlipa, ilitokea kitu baina yetu, ikawa sababu ya kunidhalilisha na kuniongezea pesa zaidi anazodai, kwakweli utamjua mtu unapokuwa na muamala na yeye. Somo zuri sana. Binaadamu hubadilika mara moja kwa tamaa. Shkrn.
@safisimkoko19322 жыл бұрын
Kaka dawa yaden nikulipa pole kwayaliokukuta
@moseskasakulilo9262 жыл бұрын
Kaka fikiria kama wew ndo ulikuwa umekopesha ingekuaje
@allymohamed4764 Жыл бұрын
Asante kwa somo zuri Joe, binafsi nililifahamu somo hili kitambo sana na imepelekea mpaka sasa sina rafiki hata mmoja ktk maisha yangu maana niliwatest na wamefeli wote na sijutii , najua rafiki wa kweli ipo siku atakuja ni swala la muda. Asante kwa maarifa kaka.
@neemajoseph79612 жыл бұрын
Kabisa kaka ujakosea asante sana kwa elimu unayotupa# Your My HERO#
@alghamsalim39522 жыл бұрын
Umeniliza kwa hakika
@paulinacherement25342 жыл бұрын
Hakika binadamu wengine ni mtihani ila tukiwajua hawatupi shida asante brother kwa somo zuri
@husnamohamed9245 Жыл бұрын
Nimejifundisha mengi sana kutoka kwako yaani unatusaidia kwa kweli
@muhsinsalum8009 Жыл бұрын
Nakushuka pia wanahusika zaidi wake zetu
@estamwatukuju67192 жыл бұрын
Asante Sana broo,, nashukuru kwa SoMo zuri,, mambo yapo katika jamii Kuna wakati unakuta hata ndugu wa karibu tunajikuta hatujawafahamu vemaaa
@magrethqamunga60522 жыл бұрын
Asante sana, hayo yote yalishanikuta, I'm still learning
@enelebowden23732 жыл бұрын
Joeli habari yako,, na mchango hapo,, nazani ni muda halisi wa watu kujijua kwamba wao ni kina nani na kwanini wako duniani na hii itaondoa hali ya ubinafsi/ kujipenda zaidi hivo itapunguza matatizo kama hayo,, halafu lazima mtu aanze yeye kubadilika ili matokeo yoyote aweze kuyaelewa toka kwa mwenzake,,,
@vievemollel53142 жыл бұрын
Asante kwa somo zuri sana. Nimejifunza kitu kutoka kwako ubarikiwe sana mwalimu
@melesianageorge20122 жыл бұрын
Hakika ukweli mtupu,Mungu akubariki kakayangu
@ipyanamwakapola21762 жыл бұрын
Kwa hili somo kaka joel shikamoo, umegusa kwenye mwasho.
@nalihkb89062 жыл бұрын
I like it and nmejifunza meng bro
@saumusanjiama69914 ай бұрын
hio imenikuta nkweli kabisa❤
@allenmdimi81052 жыл бұрын
Yaani brother joel nanauka unapiga mulemule umenigusa sana leo
@nanotosimon79212 жыл бұрын
ubarikiwe sana kwa ujumbe nzuriii now nishajua namna ya kuwafahamu🙏
@abdulrahmanhassan92542 жыл бұрын
Shukran sana mwalimu kwa somo zuri
@petermusa47452 жыл бұрын
Hapo kwenye kupitia changamoto umenigusa maana nilipata ajari nikavunjika mkono hakika watu walijitenga namimi hata uliye mdhania kwamba ni mtuwako wa karibu alikaa mbali kutokana na changamoto nilizopitia hapondipo niliwajua binadamu vizuri, ila nashukuru MUNGU kwasasa naendelea vizuri.
@grace-neemabuninange-bujik911710 ай бұрын
Thanks a lot nilichelewa kulijua hili yamenikuta hayo yote
@johnbanda66012 жыл бұрын
Daaa hili ni jambo la msingi sana katika hata uchaguzi wa marafiki
@frankmasanja44472 жыл бұрын
Ubarikiwe sana Broo Kwa SoMo zuri
@teddylameck212 жыл бұрын
Umenifundisha kitu aiseee yaani dah shukrani sanaa aiseee
@selemanijuma5462 жыл бұрын
Nilipo fukuzwa kazi marafiki wote walinikimbia mungu akubariki Joel unagusa maisha yangu bro
@rothndayiragije98392 жыл бұрын
Brother Joel Kwa kweli Huwa najengwa sana na mafundisho unayo tupa. Mimi kuhusu mafundisho haya, ninakitu kilitokea kwa kuwa Na deni ya mtu paka akaniona Mimi muongo. Si Kwamba nilipenda kukutomlipa Lakini sikufanikisha. Sasa niji behave namna gani mbele zake
@muhsinsalum8009 Жыл бұрын
Kwenye Cheo hapo wanawake wanahusika saana.
@shodristvtv61212 жыл бұрын
Duh brother imenigusa nimekumbuka mbali
@vailetheanyambilile97492 жыл бұрын
Jamani kweli kabisaaa yani daaah Mungu ana munona
@agnesngowi1754 Жыл бұрын
Somo ni lizuri sana.Hongera sana kaka kwa nondo zako.
@mussadismass93062 жыл бұрын
Umenufungua ubarikiw sana kaka Joel
@injilitv31042 жыл бұрын
Big up sana Teacher !!
@leticiampeka14882 жыл бұрын
Asante, somo zuri sana🙏
@moraakelly11912 жыл бұрын
this is the reason why i dont have friends only my child
@yohaniboniface5832 жыл бұрын
Inauma Sana nirifiwa na mke nikakimbiwa na kila mtu nikawajua watu
@furahayabwana61272 жыл бұрын
MERCI MON FRÈRE. 💯
@lameckmbembati66362 жыл бұрын
Nakupata sana brother ushauli wako naufanyia kaz sana
@salamahamadisudi19125 ай бұрын
Mm nimewajuwa binadamu ukiwa vizuri kipesa kimaisha wingi wao hujifanya wazuri na wenye upendo ila nilikuja kuwajuwa vizuri nilipo ishiwa sikupata hata wakunisaidia ila kwa sasa wanaomba tena msaada kwangu lkn mm sitowi sababu hukumbuka ule wakati walipo kuwa wakinicheka nimesmua bora waniite mbaya
Aaiissee hapo kwenye kushuka kimaisha ni 100% kila kitu kinakaa wazi.
@yusufuheri65242 жыл бұрын
Hakika Mr Joel nanauka video zako zimenifanya niamini matatizo ni chipsi kuku mbele ya matatizo ya watu wengine
@kelvinbernard54532 жыл бұрын
Asante sana mwalimu Mungu azidi kukutumia .
@mussalulenga99392 жыл бұрын
MUNGU AKUPE MAISHA MAREFU JUZI TULIKUA WOOTE MWANZA
@yumbujackson8692 жыл бұрын
Mungu akubarik bro somo zur
@festofeisag3922 жыл бұрын
Thanks nivitu ambavyo skiwai fkilia kabisa
@paulinacherement25342 жыл бұрын
Mungu wangu wa huruma akuhifadhi
@happyombay30202 жыл бұрын
Thenkx bro for ure information
@saikokibona89022 жыл бұрын
Barikiwa sana bro,hapa tayari nimeshawabaini watu kwa kutumia vigezo vyako nahisi kama nitakosa marafiki kabisa
@cliffkingi2 жыл бұрын
Aise nimejua Watu sasa thanks
@mwashaabdallah14432 жыл бұрын
Ww ni nomaaaaa
@mossesezekiel78622 жыл бұрын
Umenena mnenaji gd job!!!
@latefalatefa26642 жыл бұрын
Nikweli kabisa mimi kunawatu wa2 nimewakopesha pesa mmoja laki 8 namwingine laki 5 lakini hawataki kabisa kunilejeshea na moja hayupo kabisa online mimi na kabidhi Mungu anitendee sawasawa namapenzi yake
@gracekagoma3231 Жыл бұрын
Tujifunze kutokana na mataifa yaliyoendelea..Hukopesha benki tu
@kizazijeur75182 жыл бұрын
Nashukuru sana dr nanaukq umenifungua sana
@lizzybahati3739 Жыл бұрын
Unasema kweli kabisa
@salomekyomo23072 жыл бұрын
Asante sana, ujumbe mzuri
@paulinacherement25342 жыл бұрын
SUBHANNA LLAH alhamdulillah ALLAH AKBAR
@mathewseverine99622 жыл бұрын
Yeeees ni sahihi kabsa
@venturebown69832 жыл бұрын
Bless up broo
@fayeezomary65632 жыл бұрын
MashaAllah
@shakirakhamis62862 жыл бұрын
Do! Me cku moja niko na vits ya jamaa yangu nikagongwa na boda mlangoni maneno yaliyomtoka nilenda kuipiga langi ila mda huo gari ilikuwa na pass kila kona leo imenigusa
@ynyynyyny Жыл бұрын
Ni kweli kipimo mikubwa Pesa jamani!!
@augustinoeliud87142 жыл бұрын
Nmepata mafunzo mazuri sana 🤝
@azizakwileka16412 жыл бұрын
Hiyo ya kwanza imenikuta kwakweli...
@kilalakaila9762 Жыл бұрын
Mungu akubaliki sana🙏
@asedeustace16952 жыл бұрын
Kwel kabisa bro
@masoudsururu73852 жыл бұрын
Thanks kwa elimu yako kaka
@frankivo17202 жыл бұрын
Big up broo
@paulinacherement25342 жыл бұрын
Thanks my brother that's fact +250
@faithmngongo33932 жыл бұрын
Hakika kabisa asante
@juliusmkapa41812 жыл бұрын
Umeonge ukweli Kabisa
@hamuhadallas5651 Жыл бұрын
Mm mkewangu kwenye pesa anakua mkali sana . na yukotayari kuachana wala hajali mumeishi miaka mingapi . Hem nipeni ushauri nifanyeje ili awe anatulia ktk hili.
@bernadetachari7648 Жыл бұрын
Nilikua sinakazi lakinitanghu nilipata kazi marafikizanghu hawakufurahia,hatawatu wafamilia pia