Maeneo 4 Ya Kumjua Mtu Vizuri - Joel Nanauka

  Рет қаралды 120,345

Joel Nanauka

Joel Nanauka

2 жыл бұрын

🔥🔥🔥 Unataka KUJIFUNZA Zaidi? Nenda hapa: joelnanauka.selar.co 🔥🔥🔥

Пікірлер: 198
@jimmyjohn8184
@jimmyjohn8184 2 жыл бұрын
Aisee umenichekesha sana hapa mtu anaposema "kwenye vitu vyangu mimi siyo mtu ni mnyama! " hahaha, nimebarikiwa sana, ubarikiwe mtumishi
@elizamwaikasu4367
@elizamwaikasu4367 2 жыл бұрын
Niko kwenye hard time,,sasa ndo nimewajua watu vizuri,wanaonipambania ni wale sijawah kuwadhania...thanx joel
@leylahleylah4599
@leylahleylah4599 2 жыл бұрын
Ni kweli kakangu..kuna mtu nilimkopesha pesa zangu one milion tangu mwaka jana October mpka hivi hajanirudishia pesa zangu...na hivi nipo mbali ananijibu atakavyo moyo wangu unauma sana😢😢😢😭😭 namshtakia Allah
@highzacknnko9685
@highzacknnko9685 2 жыл бұрын
Pole malipo ni hapahapa yaaani atavuna alichokipanda
@leylahleylah4599
@leylahleylah4599 2 жыл бұрын
@@highzacknnko9685 Ameen kaka
@silimashinji938
@silimashinji938 Жыл бұрын
Nkushauri tyu pesa siyo yakumkopesha mtu Kuna na jib Moja sinaa kuepuka maugomvi
@herojax7495
@herojax7495 Жыл бұрын
Inauma sana😢
@marthajuma8411
@marthajuma8411 2 жыл бұрын
Aisee hii imenikuta pale niliposhuka kimaisha hata yule mtu ambaye alikuwa karibu sana na Mimi aliniona kama cjawahi kumsaidia Wala kumfichia aibu yoyote katika maisha yake alinigeuka na kuniona nisiye mfaa kwa chochote hata kauli nazopewa utafikiri ckuwahi kutana naye duuuu inauma sana
@mohamedkondo6392
@mohamedkondo6392 2 жыл бұрын
I learned alot through this!! Mimi Ni mwanafunzi and my best friend alichaguliwa kuwa head boy recently!! Ila amebadilika Sana, he is so sensitive and fragile , ata sielewiiii amepatwa na nini!! Ila nilichojifunza Ni kwamba sikumjua vizuri Ni mtu wa aina gani! Nashukuru Sana for the lesson 🙏🏾🙏🏾
@happymaxwell6764
@happymaxwell6764 2 жыл бұрын
Dah yaani kama upo kwenye maisha yangu, sijui cha kuelezea Ila wamenifundisha kujisimamia . Ni bora kuliko masimango
@nassoromussa2423
@nassoromussa2423 2 жыл бұрын
Mwl. Joel, kuna wengine unawajuwa zaidi pale tu unapofanikiwa.
@juliethscott1129
@juliethscott1129 2 жыл бұрын
Uko sawa Joel yaani kila unachofundisha huwa kinanipa kutatua matatizo yangu barikiwa
@justinebaada9079
@justinebaada9079 2 жыл бұрын
Yaani hzo zote nimeshakutana nazo na hakika zimenifanya niwajue kwa undani watu wangu wa karibu
@saidesalimo1497
@saidesalimo1497 2 жыл бұрын
Nikweli kabisa my brother watu hao wapo wengi Sana tena sana
@user-pi1st6pj3w
@user-pi1st6pj3w Ай бұрын
Asante sana MUNGU Baba Wa Mbinguni Akubariki nimejifunza
@teddytonny2182
@teddytonny2182 2 жыл бұрын
Hapoo kwenye kushuka kimaisha halloo! Nlijikuta npo mwenyewe 😃😃 ila Mungu n mwema 🙏
@highzacknnko9685
@highzacknnko9685 2 жыл бұрын
Halaf wanaanza kusema utakuwa unalaana au umetenda dhambi au utakuwa umechezea hela
@ponsianaprotas8990
@ponsianaprotas8990 Жыл бұрын
Asante sana Joel. Naomba tu kusema, mtu yeyote yule, anamkera sana mwingine au wengine, pale anapotoa ahadi halafu hatimizi. Kwa mfano, anakopa halafu harudishi Kwa wakati waliokubaliana au Kwa namna walivyokubaliana, au kuwa na lugha Ile aliyokuja nayo wakati anakopa. Hapo ndipo mkopaji anapochokoza nyuki kwenye mzinga.
@mwanaidihassan5868
@mwanaidihassan5868 2 жыл бұрын
Hii imenikuta kabisa tena kwa watu wa karibu sana tena ndugu. Am still learning from you thanks alots
@daniellepari4525
@daniellepari4525 2 жыл бұрын
Ndugu joeli kwanza ahsante sana kwa elimu yako ya bure mungu Akubariki sana mana unanipa moyo sana hali kama hiii imekua ikinitesa kwa mda mrefu sana mimi nipo inje ila cha ajabu marafiki wengi hata ndugu na wengine tumekua wote na wengine niliwategemea ila ndo wamekua wadui
@catherineshangali4704
@catherineshangali4704 Жыл бұрын
@@daniellepari4525 h
@ndobeheshija4176
@ndobeheshija4176 2 жыл бұрын
Heshima sana kwako sir Joel nanauka 🙏🙏
@mwanaimaabdallah7825
@mwanaimaabdallah7825 2 жыл бұрын
Joel Nanauka🥰
@magrethpanga2062
@magrethpanga2062 Жыл бұрын
Joe nakubaliana na maneno yako,kwanza kabla haujawa karibu na mtu nakufanyajanaye kazi naye bado haujamfahamu alivyo ,Mimi hapa ninafanya bishara na mtu nilimuomba anifundishe biashara ila toka nimekuwa naye karibu ndio nimejua ni mtu aina gani kwanza hataki nifanikiwe ananiibia vibaya Sana sio mwaaminifu
@ramadhanalmashamza3458
@ramadhanalmashamza3458 Жыл бұрын
Mimi nililiazima kitu kwa ndugu yangu ila kwa bahati mbaya kile kitu kilidhurika kidogo hivyo yule ndugu sikuamini maneno aliyosema sio kabisa na nilivyomdhania asante sana kwa sasa namjua tabia yake halisi ubarikiwe sana kaka
@winfridaadam7951
@winfridaadam7951 Жыл бұрын
Aseee ..kaka angu umenigusaa sanaa hakikaa pesa zimefanya mtu nilie kuwaa nimemuanini kumbe sivyoo kabisaa kanitaeli ..ubarikiwe sanaa Joel Mungu akubariki sanaaaa kwamafundishoo yako maanaa unazidi kunifunguaa maishaa yangu.🙏🙏🙏
@cliffkingi
@cliffkingi 2 жыл бұрын
Aiseee Bhna Joel kaka unaweza sana kabisaaaa. Umeongea ukweli kabisaa yamenikuta Mara kibao
@idirishassan6769
@idirishassan6769 2 жыл бұрын
You teach me aloat my friend thank you brother 🤛
@suemundati1765
@suemundati1765 Жыл бұрын
Yaaaannnniiii. Hmmm... ishi ujioneee Umeongea 100% Nilivopata matatizo yalionishusha kimaisha niliwajua walionizunguka. Ninamshukuru Mungu, kwa mafunzo hayo .. japo nilikuwa shocked na kuumia sana. Well, cèst la vie! God Bless You!
@mamalamama7010
@mamalamama7010 Жыл бұрын
Sipo kwenye kumlaumu mtu hata mimi napodhulumiwa Mali yangu ya halali nabadilika Siwi mpole tena
@saumusanjiama6991
@saumusanjiama6991 4 ай бұрын
Hatamimi
@user-xl6tn8fn1x
@user-xl6tn8fn1x 3 ай бұрын
hayo unayoyasema ni kweli kabisa kuna shemeji ya nilimpatia pesa yangu ili tufanye biashara mwisho wa siku alikuja kunikataa kabisa
@mussalulenga9939
@mussalulenga9939 2 жыл бұрын
Hakika unajua kuchimba mambo
@samohazakwani6899
@samohazakwani6899 2 жыл бұрын
Habari za leo, shkrn sana brother kwa somo zuri sana, yalinikuta nilikopa vitu kwa mtu wangu wa karibu ambaye tulikuwa tunafahamiana vizuri. Nikachelewa kumlipa, ilitokea kitu baina yetu, ikawa sababu ya kunidhalilisha na kuniongezea pesa zaidi anazodai, kwakweli utamjua mtu unapokuwa na muamala na yeye. Somo zuri sana. Binaadamu hubadilika mara moja kwa tamaa. Shkrn.
@safisimkoko1932
@safisimkoko1932 2 жыл бұрын
Kaka dawa yaden nikulipa pole kwayaliokukuta
@moseskasakulilo926
@moseskasakulilo926 2 жыл бұрын
Kaka fikiria kama wew ndo ulikuwa umekopesha ingekuaje
@allymohamed4764
@allymohamed4764 Жыл бұрын
Asante kwa somo zuri Joe, binafsi nililifahamu somo hili kitambo sana na imepelekea mpaka sasa sina rafiki hata mmoja ktk maisha yangu maana niliwatest na wamefeli wote na sijutii , najua rafiki wa kweli ipo siku atakuja ni swala la muda. Asante kwa maarifa kaka.
@neemajoseph7961
@neemajoseph7961 2 жыл бұрын
Kabisa kaka ujakosea asante sana kwa elimu unayotupa# Your My HERO#
@alghamsalim3952
@alghamsalim3952 2 жыл бұрын
Umeniliza kwa hakika
@paulinacherement2534
@paulinacherement2534 2 жыл бұрын
Hakika binadamu wengine ni mtihani ila tukiwajua hawatupi shida asante brother kwa somo zuri
@husnamohamed9245
@husnamohamed9245 Жыл бұрын
Nimejifundisha mengi sana kutoka kwako yaani unatusaidia kwa kweli
@muhsinsalum8009
@muhsinsalum8009 Жыл бұрын
Nakushuka pia wanahusika zaidi wake zetu
@estamwatukuju6719
@estamwatukuju6719 2 жыл бұрын
Asante Sana broo,, nashukuru kwa SoMo zuri,, mambo yapo katika jamii Kuna wakati unakuta hata ndugu wa karibu tunajikuta hatujawafahamu vemaaa
@magrethqamunga6052
@magrethqamunga6052 2 жыл бұрын
Asante sana, hayo yote yalishanikuta, I'm still learning
@enelebowden2373
@enelebowden2373 2 жыл бұрын
Joeli habari yako,, na mchango hapo,, nazani ni muda halisi wa watu kujijua kwamba wao ni kina nani na kwanini wako duniani na hii itaondoa hali ya ubinafsi/ kujipenda zaidi hivo itapunguza matatizo kama hayo,, halafu lazima mtu aanze yeye kubadilika ili matokeo yoyote aweze kuyaelewa toka kwa mwenzake,,,
@vievemollel5314
@vievemollel5314 2 жыл бұрын
Asante kwa somo zuri sana. Nimejifunza kitu kutoka kwako ubarikiwe sana mwalimu
@melesianageorge2012
@melesianageorge2012 2 жыл бұрын
Hakika ukweli mtupu,Mungu akubariki kakayangu
@ipyanamwakapola2176
@ipyanamwakapola2176 2 жыл бұрын
Kwa hili somo kaka joel shikamoo, umegusa kwenye mwasho.
@nalihkb8906
@nalihkb8906 2 жыл бұрын
I like it and nmejifunza meng bro
@saumusanjiama6991
@saumusanjiama6991 4 ай бұрын
hio imenikuta nkweli kabisa❤
@allenmdimi8105
@allenmdimi8105 2 жыл бұрын
Yaani brother joel nanauka unapiga mulemule umenigusa sana leo
@nanotosimon7921
@nanotosimon7921 2 жыл бұрын
ubarikiwe sana kwa ujumbe nzuriii now nishajua namna ya kuwafahamu🙏
@abdulrahmanhassan9254
@abdulrahmanhassan9254 2 жыл бұрын
Shukran sana mwalimu kwa somo zuri
@petermusa4745
@petermusa4745 2 жыл бұрын
Hapo kwenye kupitia changamoto umenigusa maana nilipata ajari nikavunjika mkono hakika watu walijitenga namimi hata uliye mdhania kwamba ni mtuwako wa karibu alikaa mbali kutokana na changamoto nilizopitia hapondipo niliwajua binadamu vizuri, ila nashukuru MUNGU kwasasa naendelea vizuri.
@grace-neemabuninange-bujik9117
@grace-neemabuninange-bujik9117 10 ай бұрын
Thanks a lot nilichelewa kulijua hili yamenikuta hayo yote
@johnbanda6601
@johnbanda6601 2 жыл бұрын
Daaa hili ni jambo la msingi sana katika hata uchaguzi wa marafiki
@frankmasanja4447
@frankmasanja4447 2 жыл бұрын
Ubarikiwe sana Broo Kwa SoMo zuri
@teddylameck21
@teddylameck21 2 жыл бұрын
Umenifundisha kitu aiseee yaani dah shukrani sanaa aiseee
@selemanijuma546
@selemanijuma546 2 жыл бұрын
Nilipo fukuzwa kazi marafiki wote walinikimbia mungu akubariki Joel unagusa maisha yangu bro
@rothndayiragije9839
@rothndayiragije9839 2 жыл бұрын
Brother Joel Kwa kweli Huwa najengwa sana na mafundisho unayo tupa. Mimi kuhusu mafundisho haya, ninakitu kilitokea kwa kuwa Na deni ya mtu paka akaniona Mimi muongo. Si Kwamba nilipenda kukutomlipa Lakini sikufanikisha. Sasa niji behave namna gani mbele zake
@muhsinsalum8009
@muhsinsalum8009 Жыл бұрын
Kwenye Cheo hapo wanawake wanahusika saana.
@shodristvtv6121
@shodristvtv6121 2 жыл бұрын
Duh brother imenigusa nimekumbuka mbali
@vailetheanyambilile9749
@vailetheanyambilile9749 2 жыл бұрын
Jamani kweli kabisaaa yani daaah Mungu ana munona
@agnesngowi1754
@agnesngowi1754 Жыл бұрын
Somo ni lizuri sana.Hongera sana kaka kwa nondo zako.
@mussadismass9306
@mussadismass9306 2 жыл бұрын
Umenufungua ubarikiw sana kaka Joel
@injilitv3104
@injilitv3104 2 жыл бұрын
Big up sana Teacher !!
@leticiampeka1488
@leticiampeka1488 2 жыл бұрын
Asante, somo zuri sana🙏
@moraakelly1191
@moraakelly1191 2 жыл бұрын
this is the reason why i dont have friends only my child
@yohaniboniface583
@yohaniboniface583 2 жыл бұрын
Inauma Sana nirifiwa na mke nikakimbiwa na kila mtu nikawajua watu
@furahayabwana6127
@furahayabwana6127 2 жыл бұрын
MERCI MON FRÈRE. 💯
@lameckmbembati6636
@lameckmbembati6636 2 жыл бұрын
Nakupata sana brother ushauli wako naufanyia kaz sana
@salamahamadisudi1912
@salamahamadisudi1912 5 ай бұрын
Mm nimewajuwa binadamu ukiwa vizuri kipesa kimaisha wingi wao hujifanya wazuri na wenye upendo ila nilikuja kuwajuwa vizuri nilipo ishiwa sikupata hata wakunisaidia ila kwa sasa wanaomba tena msaada kwangu lkn mm sitowi sababu hukumbuka ule wakati walipo kuwa wakinicheka nimesmua bora waniite mbaya
@josephinekahangwa2992
@josephinekahangwa2992 2 жыл бұрын
🙌✍️Ni kweli kiongozi asante sana,Madeni yanaongeza maadui.
@testarguy8609
@testarguy8609 2 жыл бұрын
Aaiissee hapo kwenye kushuka kimaisha ni 100% kila kitu kinakaa wazi.
@yusufuheri6524
@yusufuheri6524 2 жыл бұрын
Hakika Mr Joel nanauka video zako zimenifanya niamini matatizo ni chipsi kuku mbele ya matatizo ya watu wengine
@kelvinbernard5453
@kelvinbernard5453 2 жыл бұрын
Asante sana mwalimu Mungu azidi kukutumia .
@mussalulenga9939
@mussalulenga9939 2 жыл бұрын
MUNGU AKUPE MAISHA MAREFU JUZI TULIKUA WOOTE MWANZA
@yumbujackson869
@yumbujackson869 2 жыл бұрын
Mungu akubarik bro somo zur
@festofeisag392
@festofeisag392 2 жыл бұрын
Thanks nivitu ambavyo skiwai fkilia kabisa
@paulinacherement2534
@paulinacherement2534 2 жыл бұрын
Mungu wangu wa huruma akuhifadhi
@happyombay3020
@happyombay3020 2 жыл бұрын
Thenkx bro for ure information
@saikokibona8902
@saikokibona8902 2 жыл бұрын
Barikiwa sana bro,hapa tayari nimeshawabaini watu kwa kutumia vigezo vyako nahisi kama nitakosa marafiki kabisa
@cliffkingi
@cliffkingi 2 жыл бұрын
Aise nimejua Watu sasa thanks
@mwashaabdallah1443
@mwashaabdallah1443 2 жыл бұрын
Ww ni nomaaaaa
@mossesezekiel7862
@mossesezekiel7862 2 жыл бұрын
Umenena mnenaji gd job!!!
@latefalatefa2664
@latefalatefa2664 2 жыл бұрын
Nikweli kabisa mimi kunawatu wa2 nimewakopesha pesa mmoja laki 8 namwingine laki 5 lakini hawataki kabisa kunilejeshea na moja hayupo kabisa online mimi na kabidhi Mungu anitendee sawasawa namapenzi yake
@gracekagoma3231
@gracekagoma3231 Жыл бұрын
Tujifunze kutokana na mataifa yaliyoendelea..Hukopesha benki tu
@kizazijeur7518
@kizazijeur7518 2 жыл бұрын
Nashukuru sana dr nanaukq umenifungua sana
@lizzybahati3739
@lizzybahati3739 Жыл бұрын
Unasema kweli kabisa
@salomekyomo2307
@salomekyomo2307 2 жыл бұрын
Asante sana, ujumbe mzuri
@paulinacherement2534
@paulinacherement2534 2 жыл бұрын
SUBHANNA LLAH alhamdulillah ALLAH AKBAR
@mathewseverine9962
@mathewseverine9962 2 жыл бұрын
Yeeees ni sahihi kabsa
@venturebown6983
@venturebown6983 2 жыл бұрын
Bless up broo
@fayeezomary6563
@fayeezomary6563 2 жыл бұрын
MashaAllah
@shakirakhamis6286
@shakirakhamis6286 2 жыл бұрын
Do! Me cku moja niko na vits ya jamaa yangu nikagongwa na boda mlangoni maneno yaliyomtoka nilenda kuipiga langi ila mda huo gari ilikuwa na pass kila kona leo imenigusa
@ynyynyyny
@ynyynyyny Жыл бұрын
Ni kweli kipimo mikubwa Pesa jamani!!
@augustinoeliud8714
@augustinoeliud8714 2 жыл бұрын
Nmepata mafunzo mazuri sana 🤝
@azizakwileka1641
@azizakwileka1641 2 жыл бұрын
Hiyo ya kwanza imenikuta kwakweli...
@kilalakaila9762
@kilalakaila9762 Жыл бұрын
Mungu akubaliki sana🙏
@asedeustace1695
@asedeustace1695 2 жыл бұрын
Kwel kabisa bro
@masoudsururu7385
@masoudsururu7385 2 жыл бұрын
Thanks kwa elimu yako kaka
@frankivo1720
@frankivo1720 2 жыл бұрын
Big up broo
@paulinacherement2534
@paulinacherement2534 2 жыл бұрын
Thanks my brother that's fact +250
@faithmngongo3393
@faithmngongo3393 2 жыл бұрын
Hakika kabisa asante
@juliusmkapa4181
@juliusmkapa4181 2 жыл бұрын
Umeonge ukweli Kabisa
@hamuhadallas5651
@hamuhadallas5651 Жыл бұрын
Mm mkewangu kwenye pesa anakua mkali sana . na yukotayari kuachana wala hajali mumeishi miaka mingapi . Hem nipeni ushauri nifanyeje ili awe anatulia ktk hili.
@bernadetachari7648
@bernadetachari7648 Жыл бұрын
Nilikua sinakazi lakinitanghu nilipata kazi marafikizanghu hawakufurahia,hatawatu wafamilia pia
@nadirmahfoudh1812
@nadirmahfoudh1812 2 жыл бұрын
Nakubaliana na wewe 100%
@tedyokachu5013
@tedyokachu5013 2 жыл бұрын
Nimegundua naishi ma watu sio kabisa Dr😢🙆🏾‍♂️
@edwardsostenes8048
@edwardsostenes8048 2 жыл бұрын
sahihi kabisa Bro
@gracekagoma3231
@gracekagoma3231 Жыл бұрын
Ndiyo wazungu hawakopeshani pesa.
LIFE WISDOM : IJUE NGUVU ILIYOPO NDANI YAKO - JOEL NANAUKA
15:34
Joel Nanauka
Рет қаралды 16 М.
SIRI KUBWA 6 ZA KUFANIKIWA KWENYE MAISHA | Victor Mwambene.
23:41
Victor Mwambene
Рет қаралды 7 М.
Nastya and SeanDoesMagic
00:16
Nastya
Рет қаралды 33 МЛН
WHAT’S THAT?
00:27
Natan por Aí
Рет қаралды 14 МЛН
НРАВИТСЯ ЭТОТ ФОРМАТ??
00:37
МЯТНАЯ ФАНТА
Рет қаралды 7 МЛН
KUGUNDUA KUSUDI LA MAISHA YAKO: JOEL NANAUKA
11:19
Joel Nanauka
Рет қаралды 10 М.
KUSUDI LA MAISHA YAKO - JOEL NANAUKA EPISODE 02
10:00
Family of Praying Women
Рет қаралды 9 М.
Wajue Maadui 4 Kwenye Maisha Yako
7:49
Joel Nanauka
Рет қаралды 142 М.
JINSI YA KUJENGA MIKONDO MINGI YA KIPATO na Edmund Munyagi
21:18
Edmund Munyagi
Рет қаралды 36 М.
VIGEZO VYA KUJUA WATU SAHIHI - JOEL NANAUKA
7:23
Joel Nanauka
Рет қаралды 47 М.
Vitu Vinavyopoteza Focus Yako Kwenye Maisha - Joel Nanauka
14:16
Hamasika Tv
Рет қаралды 53 М.
Nastya and SeanDoesMagic
00:16
Nastya
Рет қаралды 33 МЛН