Rais wangu 2020,kama unamkubali lissu gonga like hapa
@amanistephano52085 жыл бұрын
Hafidhi Athumani rais ni magufuli had 2025 na hapo atatawal mwingin ila sio lusu na ukawa. ccm mbele kwa mbele
@hafidhiathumani91565 жыл бұрын
@@amanistephano5208 2020 utakua umepotea kama utaweka ndio kwa ccm
@gracetitus99635 жыл бұрын
Hafidhi wewe una kura moja tu. Good luck kama hiyo kura moja itampa urais.
@jenifakalinga68195 жыл бұрын
Huyu jamaa hana spirit ya uongozi. Anaonekana amejaa chuki na visasi.
@hafidhiathumani91565 жыл бұрын
@@jenifakalinga6819 wala sio chuki na visasi anaongea ukweli mtupu jenifa
@mirajilugoda70915 жыл бұрын
Wakwanza mwenyewe gonga likes kwa mzee Lissu kama unamkubali
@ismailnkumbi98645 жыл бұрын
Miraji Selemani
@ashambwana19415 жыл бұрын
nchi,kafu
@lucaspaul73085 жыл бұрын
this man is too brilliant..saluti sana
@neemasanga4165 жыл бұрын
dada wewe ni mtangazaji haswaaa! mungu akubariki sana.
@reganzawadi49655 жыл бұрын
Akili kubwa, wakili msomi, karibu sana Tanzania.
@fredymushy96745 жыл бұрын
Lisu unaishi kwenye mioyo ya watanzani walio wengi
@markosamuel64905 жыл бұрын
List Yangu ya wabunge ninao wakubali Mimi binafsi bila kujari chama chochote top ten : (1) freeman mbowe (2)zitto Zuberi kabwe (3)Peter msigwa (4)Livingston lusinde (5)Hussein bashed (6)Abdlallah ulega (7)Nape Nauye (8)Esther bulaya (9) waziri Wa katiba na sheria Palamagamba kabudi (10)Goodluck mlinga
@margarethpolepole74383 жыл бұрын
Wewe kivuruge unatumiwa sasa ni marehemu Rais wetu magufuli wewe kila kitu unamshutumu kila kitu afanyacho cha maendeleo ulikuwa unampiga vita s
@clementdiyay15444 жыл бұрын
Tundu Lisu your a good example to other politicians in Tanzania actually I appreciate you.
@eliasayasini14665 жыл бұрын
Kusema ukweli niliahidi kuto piga kula tena ila Lissu ndio mtu peke ambae naimani nae kwenye siasa
@mzeewajambo82935 жыл бұрын
Kama mimi tu nliahid kutopga ten ila jamaa ntampgia
@lutherking36665 жыл бұрын
Sure
@gorgonusshayo9205 жыл бұрын
Eliasa Yasini . mpaka nmesisimuka. Umeongea.
@foztz22495 жыл бұрын
Nakuunga mkono
@ayubuyusuph63885 жыл бұрын
Ww haunaakili kabisa unauchungu nanchi pekeyako?
@sir_ENOCKMACHA5 жыл бұрын
Upinge usipinge,mheshimiwa Lissu ana akili sana,anajua kuijenga hoja,maswali ya muandishi ya kimtego,ila mzee lissu anaakili kupambanua....kama unayetizama una akili timamu.....pambanua alivyosema fulani amefanya uzuri kwa kuwa mtu pekee anayetunza haki za binadamu,mtazamaji pambanua vizuri
@gracetitus99635 жыл бұрын
Machas utajuwaje Lissu Ana akiri ukiwa wewe mwenyewe huna?
@noelymlimbila11705 жыл бұрын
Fact
@sir_ENOCKMACHA5 жыл бұрын
@@gracetitus9963 wewe una matatizo ya akili,karibu kwenye mti
@mohamedramadhani41895 жыл бұрын
MACHAS OFFICIAL SITE u are right
@shabannyankuli88075 жыл бұрын
grace titus i like it grace titus
@shebybrown90715 жыл бұрын
weeeeeee atininiiiii......raisi 2020 nimmojatuu magufuli please like kwa magufuli ........
@anitaprincess42905 жыл бұрын
Mwenyez mungu akulinde na hao watu wasio julikana 2020 kura yangu Unayo tayar Tanzania ya sasa ni yawatu wasio julikana mauaji ya kutisha utekaji wa watu dah mungu inusuru Tanzania
@aurora2010ist5 жыл бұрын
Kweli kaka, hakika huwezi jua thamani ya kitu hadi ukikose, hatukujua thamani ya uhuru, sasa tunaijua barabara.
@shaibuhamisi87155 жыл бұрын
asante da zuhura kwa interview nzuri..
@babazizu12555 жыл бұрын
Ccter anamuuliza maswali ya mantk Sana na lissu anajibu ipasavyo Ahsnte Sana Lissu
@brunomhagama18805 жыл бұрын
yale maswali magum sana ukiangalia zuhura kama anaegemea sana sehem moja iv ila lissu yuko very bright kujib na wala hapanik
@rajabkisebengo94063 жыл бұрын
@@babazizu1255 ipo mijitu inasema anaulizwa kingine anajibu kingine wakat wenye akili timamu wameona alivyofanya vya maana ni ivyo sasa hata wana habari wenyewe wanaogopa kumuuliza maswali mkulu sababu hafikiki japo yupo karibu tu
@labannigaluss3355 жыл бұрын
pole sana tund urais kagombe singida
@charleserasto99915 жыл бұрын
labanni galuss pole sana
@hadijasalum20565 жыл бұрын
@@charleserasto9991 huko singida kumshinda kakimbia seuze Tz?
@tanunewstz5 жыл бұрын
Wapinzani hawana la kuwambia watanzania wamebaki kubwabwaja tu kwakua wasionekane wakiwa kimya pia lissu nadhani ndie mbunge asiejielewa kuliko wabunge ote ni mpuuzi tu hawezi kua mtu asieona maendeleo anayoyaleta JPM th president of TANZANIANS
@ibrahimwerejuma48165 жыл бұрын
Hapa kazi tu
@yunusabdulwallace38015 жыл бұрын
Lissu mjinga sana.ataka kila linalofanywa kuchunguza tukio lake lisemwe hadharani? Anatumiwa na wazungu huyu watanzania tuwe makini.
@Nyanda5062 ай бұрын
Tudu upo sahihi sana kaka..Mungu yupo na wewe daima
@naseebalmas59135 жыл бұрын
Utasubiri sana, wapiga kura halali tunasongesha gurudumu na hatutumiwi na wamataifa.
@alquinmadoro60905 жыл бұрын
Welcome back home Tundu lissu
@edwardlutema88005 жыл бұрын
Lazima niwe mkweli ili niwe huru siasa za tundu lisu nazichukia sana pale anaposema Tanzania Tususiwe,Tunyimwe misaada,Tuzomewe wewe ni msaliti wa nchi yetu mama Tanzania hautufai
@saidbanga5 жыл бұрын
Kuna Elimu ya maneno na Elimu ya Vitendo watu wengi tunashindwa kutofautisha wasomi tulionao wanatumia vichwa vywao na elimu zao katika vitendo au maneno..!! Wapo ambao wakiongea wanajua kupanga hoja na utapenda lakini vitendo zero na wapo ambao hawajui kuongea ila ukimpa atende kwa kutumia elimu yake utapenda..!! Tanzania Watanzania...!! Kila mtu anafalsafa yake katika maisha huwezi taka falsafa zako wewe wengine wazikubali hata uwe mwema kiasi gani watu watakupinga tu... ikiwa mitume ilipingwa Mwenyezi Mungu Mwenyewe watu wanampinga Vipi mimi nawewe...?
@gipsonjaphet8615 жыл бұрын
Kwa kweli BBC uko good
@joojombi40545 жыл бұрын
Umeulizwa mazury aliyo yafanya mpk sasa unajibu pumba. Hata humuogopi mungu aisee. Pole saana
@emanuelthomas23795 жыл бұрын
Huna Sera Ikungi imekuchoka wewe unaleta maneno... Au tukupe maendeleo ya Ikungi??
@abdulswamad28595 жыл бұрын
good very good lisu ukosawa ulicho kizungumza.
@nellystermutta63725 жыл бұрын
.
@samsonngakama87654 жыл бұрын
Mungu humlinda mtu muovu ili mtu mwema anapo balikiwa abaki akijionea kwa macho, lysu si wa kwanza kuwa mgumu wa nafsi toka enzi mungu aliwafanya watu kama hawa wawepo ili Taifa litambue mtu wa Mungu kwa wakati wake, sasa ni zama za JPM, lysu tulizana kabisa, wazoee mitume wengine sio kwa mtume huyu mteule wa Taifa letu.
@barakambisa965 жыл бұрын
2020 president to be,thumbs up who Appreciate
@sweetbahati5 жыл бұрын
Mh Lissu is my president 2020...God bless you sir
@brightonshakila64065 жыл бұрын
Hahaaaahaaaaah
@nazarethkaanani5455 жыл бұрын
Zuhura yunus hongera sana mama unaijua kaz yako una uliza swali ya msingi sana alafu namuona msomi ana potea kabisa kwenye point. Narudia tena ita chukua miaka 100 CCM kutawala coz wapinzani wake Bado hawajielewi nini wanacho kitafuta
@halimamshana8605 жыл бұрын
Fact!!!!
@salehkhamis3435 жыл бұрын
Akili zako zimekaa sehem ya hajakubwaa
@africatanzaniatours4 жыл бұрын
@@salehkhamis343mavi kweli wewe
@pascalijacobo73274 жыл бұрын
G
@pascalijacobo73274 жыл бұрын
K
@evansm88025 жыл бұрын
I respect this lawyer
@princebaissa25065 жыл бұрын
ufai kuwa raisi bola mwenyekiti wa singida vijijini
@issazakaria97044 жыл бұрын
Good sana Zuhura Yunusu wewe ni international journalist nakukubari sana mama
@nicolausjoseph36705 жыл бұрын
Saf sana mh lisu karb tz ila kuwa makini
@fadhilmwami14785 жыл бұрын
Napenda kazi zenu bbc..mko vzuri..Ila nina maoni kwenye picha zaidi.. Overshoulder na medium close up ni chaguzi chache sana kwa picha..kungekua na long shot..close up ya mtangazaji wakati anasikiliza na close up ya source pia wakat anasikiliza ingependeza zaidi..
@emmanueltesha56125 жыл бұрын
Kila rais anaepita nakumaliza mda wake akija mwengine mnasema bora aliyepita.uhuru waliulilia lybia nakusema ghadafi hafai lakin tazama Leo lybia Vita Kila Leo.hatukatai katiba Ila mkubali kile ninachofanywa
@ahmedjaluu9395 жыл бұрын
Emmanuel teshx a
@rashidtwaha76995 жыл бұрын
Nashangaa waTZ limbuken wanaomuunga mkono huyu mtu dunian hakuna nchi yenye amani na uhuru kama tz...ndio HAPA KAZI TU Mwenzio kaja na hamasa kua watz tusilalie maskio tupije kazi
@muhajiryayub74065 жыл бұрын
Wahenga walisema akili nyingi zinaondoa maalifa, Mheshimiwa Lisu ukipata nafasi nyingine yataje mengi uliosema Rais Magufuli ameyafanya na sio malalamiko
@davidchesco525 жыл бұрын
MUHAJIRY AYUB daaaah kweli yan akili imezid maarifa yamekimbia
@edisonmjema26204 жыл бұрын
Yanayo fanyika siyo hisani mzee nikodi zetu
@gervasyemba4405 жыл бұрын
Kati ya watu ambao wanaiharibu jamii ni wasomi ambao fani zao huzigeuza kuwa mtaji. Watanzania hawahitaji hayi Lissu wanataka maendeleo kiuchumi, kumbuka freedom na economy ukivitumia vibaya utakuta haviendani. Nyumbani ukiwa na uhuru wa kila mtu afanye atakavyo utazalisha wezi, vibaka, changudua, wazembe, walalamikaji n.k Mataifa mengi yaliyoendelea yalitenganisha uhuru na uchumi. Hata marekani yenyewe HAKI ZA BINADAMU mdomoni kiutendaji hapana kitu. Wamarekani milioni 400 wanaamuliwa nani awe rais na watu 538 tu. Wanajua asilimia kubwa uhuru huharibu mind za watu na kuzalisha non profitable generation. Tundu lissu tunahitaji economic strategies kulinasua taifa letu sio hayo unayoyasema ambayo walioyaanzisha hawayaamini pia. Ufaransa kaweka ndani waandamanaji hajui haki za binadamu????
@rashidiasantemwalimngandil48905 жыл бұрын
Gervas Yemba safi sana nimekuelewa
@tisamokebule3024 жыл бұрын
Tukae chini tujitafakali kama nchi naiona chuki zaidi baina ya viongozi na baina ya wana siasa faida za chuki ni maumivu au kutesana uone mfano Wa Tundulisu Mungu atusaidie Watanzania
@bonifacebenny27335 жыл бұрын
Maswali mazuri sana ya Zuhura Yunus ila hujajibu hata moja... ungejibu vyema ungejiweka kwenye nafasi nzuri sana ya kuaminika ila sasa umepiga propaganda hadi mwandishi amebakia kukushangaa tu...
@jamessadala33655 жыл бұрын
Boniface Benny akili xenu mpaka ujikwae ndo ufikili kamaanisha nn koo ni vigum xana kwaakili ako kumwelewa
@estheregito44985 жыл бұрын
Wakati mwingine kumuelewa ndo inakuwa tabu
@ramadeguzman86955 жыл бұрын
Tundu lissu utashinda urais 2020 mungu yupo pamoja na wewe
@muhammadsalim79364 жыл бұрын
Ndoto hizo
@elinazasendoro99515 жыл бұрын
You are born to be a leader the next president tz 2020
@yonattwo50835 жыл бұрын
Mimi kura yangu lazima nikupe umeacha hata Mwanangu nimemuita Tundu Lisu maana niliona kimuita Lisu haitaleta maana
@yusuphhalili21065 жыл бұрын
Tundu lissu anacho kisema nichakweli kabisa mungu amjaalie tundu lissu
@florajoseph35505 жыл бұрын
pipoooooz walioko humu jamani Lissu 2020👣
@laurencekipamet20424 жыл бұрын
Lissu 2020
@rajabkisebengo94063 жыл бұрын
Power Lisu 2020
@fredinarndmashauri15005 жыл бұрын
Unanena hekima nzito sana. Mungu akulinde ndoto zako zitimie juu ya taifa hili. Uhuru ni kitu cha thamani.
@florafilbert98175 жыл бұрын
Magufuli is the best
@aridiyahya80495 жыл бұрын
Sisi raia tuko free na tunafanya kazi. Labda wanasiasa hawako free tena na propaganda zao. Ufree tulionao unatutosha ukizidi hapo basi ni uharibifu. Hata mwizi akiiba anataka awe free asikamatwe. Hata mtu akitukana au akapiga anataka awe free.
@barick5 жыл бұрын
Unafaa kua Raisi wetu Mungu yu mwema tuko pamoja sana
@ayoubmogassa87545 жыл бұрын
kwani lin aliwawai kusema yeye ni mungu?lissu kama vile ana mambo yake binafsi na mkuu wa nchi
@Felix722825 жыл бұрын
Utasubiri sana. Urais utausikia redioni
@agnessnkugwe6153 жыл бұрын
Asante Mungu kwa uhai wa Lisu
@nyandaboyagayaa29645 жыл бұрын
Welcome LISSU nwanaharakati wa Tz na Africa..MUNGU akusaidie my Future Presdent
@nguzomudy90855 жыл бұрын
lisu pole sana kwa kushambuliwa na risasi nanazidi kukuombea dua uzidi kuimarika naamini ipo siku utatutumikia watanzania wote ukiwa ndio rahisi mpenda haki na msema kweli
@yusuphmohammad13855 жыл бұрын
Brother we njoo tu upumzike huku rais ni mmoja tu magu 2025 Hatuimbi wimbo mwengine... Ni heri ya alieanza na matokeo tunayaona kuliko mpya atakae anza na sifuri
@gracegrace62004 жыл бұрын
Dakitari wangu, lugha ya Mobutu Seseko. Kaa huko huko, hatukuhitaji Tanzania. Rais MAGUFULI ana jukumu la kuangalia maisha ya Watanzania millioni 55 Tundu Lissu sio mmojawapo.
@kasimugullum58625 жыл бұрын
Karibusana tanzania, tunakutakia kheri nyingi
@m.amanitv85345 жыл бұрын
Mwenye Akili finyu kama ya Tundu Lisu Like hapa
@josephinekicheleri8603 жыл бұрын
Kwa kweli lissu maswali unayoiliza yanakusuta. Wew uwezi kuongoz nchi hii gombea iraisi ubergiji wazungu wakuchague.ona jinsi maswali yalivyokuelemea ....umeshindwq kujibu .
@nicholaschalle82885 жыл бұрын
Lissu Umetikisa Mti ambao alikuwa nyoka juu yake, na amedondoka na kuchanika tumbo,
@alexanderhassan37475 жыл бұрын
Nguvu zakuzunguka ulaya unapata, lakini nguvu za kuja Tanzania Huna!!!??
@brysonnicholaus53695 жыл бұрын
Huna jipya
@johngibson3089 Жыл бұрын
Asante Lissu
@chaggaboy84135 жыл бұрын
karibu kamanda wetu lisu
@jozuerwetabula40395 жыл бұрын
naiona libya tz kwa mbaliiiiiii mungu tusaidie cc.
@eddynyaki55395 жыл бұрын
Magufuli mpaka 2025
@bilalimursali76184 жыл бұрын
Haswaaa
@tanunewstz5 жыл бұрын
Jamaa anahic kama kakosewa kuzaliwa TANZANIA wapinzani tumewanywesha dawa yao sasa wamekua waropokaji CCM na DR JPM OYEEEE
@jafarinapinda59855 жыл бұрын
Mungu akubark kk angu kwa ndoto zko
@benjaminwerema87585 жыл бұрын
Tundu umefeli kwakila kitu bora ungeachana nahayo mambo ufanye kilimo naufugaji
@musabombo67985 жыл бұрын
your presdent of the republick of Tz love you lissu
@ngalawekikohingalawekikohi47685 жыл бұрын
Good
@jafetzmwacha15035 жыл бұрын
2020--oyeee Lisu oyeeeeeh piople 🏁
@semanasitv83035 жыл бұрын
kura 2020 kwako ✌✌✌
@petermakungu54005 жыл бұрын
Huyu jamaa akili yake sasa hivi sawa na chid Benz maana anaulizwa kingine anajibu kingine
@cipladapretty86173 жыл бұрын
@@petermakungu5400 😂😂😂😂😂😂 hata tungempa nchi angetuuza
@hamisimgama86825 жыл бұрын
Njaatu inakusimbua wee pumzika ,hufai kuwa rais hunasifa hata robo.
@husenihamza23925 жыл бұрын
Hamisi M Gama hafai kabisa
@h.alshidhani89714 жыл бұрын
Huyu ni msomi na anafaa kuiongoza nchi
@florafilbert98175 жыл бұрын
Tundulisu abaki huko asituchafuliee nchi na siasa zake chafuu anajizungumziaga yeye tuu
@bahatevagre9334 жыл бұрын
Godbless you Lissu ,ww ni MTU ulieteuliwa na Mungu
@abelyjastin94245 жыл бұрын
Penda sana Lissu Rudi Tanzania Muujiza unaoishi,
@josephnchunga12472 жыл бұрын
Huyo jamaa ukimsikia majibu yake anaonekana ukimpa nchi anaweza kudhalau kila mtu.
@godisgreat18455 жыл бұрын
Tanzania bado haijawa na mahitaji ya kuwa na raisi kama wewe tidhaibiwa sana na wewe uko hapa papa baki huko huko kwa unowakuwadia mwehu wewe ukiea raisi wewe mimi najiua kabla hujaapishwa
@Mcsceo5 жыл бұрын
Unadeserve 2020 nitakupigia kura mzee
@gracegrace62002 жыл бұрын
Hii ni miaka miwili iliyopita. Sasa Zuhura Yunusi yuko Ikulu. Tundu Lissu bado anaota Ubeligiji. Atangoja sana.
@amanimathias1095 жыл бұрын
Amna kitu unajua unapindisha maneno tu urais gombea ukouko unapotibiwa manes wakupe kura
@bockernyarusahi36555 жыл бұрын
Amani Mathias endelea kutapatapa kama kawaida yenu
@leopoldmwesa69685 жыл бұрын
Nyie mnaokula bure ipo cku itawajeukia ndomana unaongea ivyo kama umekunywa maji ya bonde la muhimbili
@mathiusthomas30745 жыл бұрын
Kisimi chako
@leopoldmwesa69685 жыл бұрын
@@mathiusthomas3074 ✌✌✌
@leopoldmwesa69685 жыл бұрын
Inamanisha maji ya bonde la muhimbili ndio unayokunywa
@hamishasan77375 жыл бұрын
Huyu jamaa sioni anatusaidia nn anaongeaga mambo yanayomuhusu mwenyewe
@florafilbert98175 жыл бұрын
Kabisaaaa
@mgallason...56864 жыл бұрын
Mbinafsi akumbuke hao wabelgiji wameifanyeje DRC na walimfanyaje Patrice Lumumba.
@talibsaid80813 жыл бұрын
Yaani huyu jamaa hampendi Magufuli kwa sababu zake yaani hakuoona hata jambo zuri moja
@mkemia_magege58165 жыл бұрын
Nani anakula Katiba!? Nani atakula Sera!? Nani atakula misingi ya katiba!? Wewe Lisu acha maneno mengi ya kulialia tunaenda vizuri tu na Uhuru tunaona na Kazi twapiga siye! Usitafute kick za kisiasa kupitia Magufuli wewe Komaa na Matibabu kwanza Mungu akujaliye utembee mwenyewe kurudi nyumbani uje kufanyakazi kwa maendeleo ya Taifa na familia yako
@ibrahimkherry68175 жыл бұрын
nakukubali tundulisu
@juliskifanyi43795 жыл бұрын
We fala sana lissu yupo juu
@aronshivoo94425 жыл бұрын
kwa akili ulizo nazo lissu ni vyema kama ungeshirikiana na raisi wetu magufuli kwa pamoja ili tuijenge nchi,mambo mengine hujileta mbeleni.Kuikashfu serikali wakati uchumi wetu wenyewe bado mdogo,mi naona kama ni kujisahau TULIJENGE TAIFA MKUU
@josephmolle5 жыл бұрын
Mungu ni bariki
@nessa48995 жыл бұрын
Tundu lisu anaeleza ukweli kabisa sijui kwanini watu hamuelewi kwamba shida ni system ya Tanzania lazima ibadirishwe.
@hadijasalum20565 жыл бұрын
Ukimuelewa ww na nyumbu wenzako inatosha
@eliankya32725 жыл бұрын
Imeonyesha wazi kuwa waponzani awana tena sera ukiniuliza uhuru unaodaiwa aupo mpaka nashindwa kuwaeliwa ama uhuru wa kuiba hela za uma
@mathiusthomas30745 жыл бұрын
Inahitaji uwe na shule ndio utaelewa lisu ameongea kitu gani uo uhuru wa kuiba hera za uma kawaulize wakuli ma wa korosho
@deolekule16915 жыл бұрын
Kwa kuwa wewe mbumbumbu na kilaza huwezi kujua uhuru anaoongelea lissu.hata uhuru wa kutoa mawazo ni uhuru,hata uhuru wa kuchagua viongozi tunaowataka ni uhuru,hata kumkosoa kiongozi pia ni uhuru au unataka mtu agungwe pingu ndio ujue hayupo huru? Mawazo yako yakifungiwa gerezani ni mbaya kuliko kiwiliwili chako kikiwa ndani.
@dennisnjonanje625 жыл бұрын
@@mathiusthomas3074 tuambie wewe uliyesoma, Uhuru gani mnaoutaka?
@dennisnjonanje625 жыл бұрын
@@deolekule1691 kuna mawazo na kashifa, wapinzani wamejaa kashifa na si mawazo
@amanistephano52085 жыл бұрын
Deo Lekule maranying wapinzan wamejaa jazba na criticizm wala sio critics. ndo maan had leo mmeshindw kutawal. koz hamn mbinu na sera za kutosha. subirin had 2050 ndo mtapata akili. tuachen tutawale
@loner_wolf3 жыл бұрын
Lissu bana, eti hakuna uchunguzi wakati huyo dereva tu ambaye ni mtuhumiwa nambari moja mmemficha wenyewe, kimsingi ninyi mnajua kilichotokea..... Unataka tu kuchafua serikali yetu ambayo iko kazini kuleta maendeleo
@pesangwasalim52583 жыл бұрын
Kweli huyu alipata bora elimu😁😁😁 yaani anaongea pumba tupu
@ramadhanirashid77985 жыл бұрын
Tanzania hakuna mapambano upumbavu mtupu hufai hata kuwa mwenyekiti
@haibreus20055 жыл бұрын
Maku www
@undulealipipi47065 жыл бұрын
Endelea kutumika akili mkuu, wanaotumia nguvu hawakuwezi hata kidogo. Walijua utakufa lakini Mungu anajua lini akuchukue lakini sio mwanadam. Uzima wako unawachanganya mana wanatetemeka sabu utawashindatu.
@khalidkhan83895 жыл бұрын
Nice video
@meshackelias28935 жыл бұрын
the role mode of tanzanian
@ommymziray30645 жыл бұрын
Magufuli ndo raisi wangu kafanya Mambo makubwa kwa Sasa Tz nimoja Kat ya nch5 Africa inayopandisha uchumi kwa kasi
@salummmessi79884 жыл бұрын
Inatosha ss ni mda wa mabadiko wacha watuuwe tundu lisu president
@isaacmafole21365 жыл бұрын
Umepata kula yangu 2020 mh. Tundu lisu
@denisikichuyakichuya86275 жыл бұрын
Sawa Kiongozi
@johnkirenga29155 жыл бұрын
Lissu uwe mwangalifu. Waandishi wengine hutumika na state. Maswali yao ni propaganda
@zaharanijuma64105 жыл бұрын
Mbona unazungumzia haki za binadam hasa nadhani unatetea ushoga
@barakamollel21095 жыл бұрын
Watanzania wamemuona Mungu kupitia Lisu..wametambua Mungu sio mtu ila ni Top wa yote,,Ashukuriwe Mungu muweza wa kila kitu
@linusmagezi83984 жыл бұрын
Siwezi kukupa kura yangu Magufuli anatosha
@jaziyujumarajabu80975 жыл бұрын
Tungeona Uhuru wa wananchi wa Singida kwanza. Lisu huwezi kusema chochote kwa sasa!
@poatv38985 жыл бұрын
Akili zako kazichunguze
@binswamadumkumbwa66865 жыл бұрын
kwani Uhuru wa wananchi wa singida uko chini ya lisu au uko chini ya serikali iliyoshika dola?au umeambiwa kua wananchi wasingida pekee hawana Uhuru ,Huyo lisu hakuwa huru mpaka kupigwa risasi ataweza kuleta Uhuru unaouhitaji KWA hoja yako.