No video

MUNGU ATAINGILIA KATI MAMBO YAKO? | PR.DAVID MMBAGA -

  Рет қаралды 59,747

MAHUBIRI TV

MAHUBIRI TV

Күн бұрын

Пікірлер: 107
@stivininjingo504
@stivininjingo504 3 ай бұрын
Wow pr. Mbaga unanibariki sana, najitahidi kuyaishi mafundisho Yako, 1 ya faida niliyoipata, nilikuwa na vidonda vya tumbo kwisha, maumivu ya uti wa mgongo kwisha, kwa kufyeka tu mazingira ya kanisa na kuyasafisha Kila j. Pili. Barikiwa sana
@barnnettarus1672
@barnnettarus1672 Ай бұрын
Kwa namna gani vidonda vya tumbo zilipona ndugu? . Nielimishe natamani kupata nafuu pia
@maureenmgeni
@maureenmgeni 3 ай бұрын
Nimebarikiwa sana kwa somo hili. Sifa na Utukufu ni kwa Mungu Baba Mwenyezi mwenye Upendo usio kifani kwani hutusamehe makosa yetu na kututakasa dhambi zetu kwa Damu Ya Yesu KRISTO BWANA NA MWOKOZI WA MAISHA YETU. AMINA.
@SamuelMwambene
@SamuelMwambene 3 ай бұрын
Asante kaka pasta Mungu awe pamoja nawe,
@joshuaolomi3762
@joshuaolomi3762 2 ай бұрын
Toa sadaka Sasa dadaa tuma hata M pesa
@FiniasEliya-my2zd
@FiniasEliya-my2zd Ай бұрын
@@joshuaolomi3762 kwani somo likikubariki nilazima utoe sadaka
@rayman111
@rayman111 3 ай бұрын
Kwa mara ya kwanza nimepata live Hapa kutoka Australia. Nabarikiwa sana , Mungu aendelee kukuinua ktk viwango vya juu zaidi. Ubarikiwe na Bwana mtumishi
@fatumachagudadui3138
@fatumachagudadui3138 26 күн бұрын
Najiskia kubarikiwa kupitia somo hili naaamini Mungu anaenda kufungua njia naam naenda kupata ajira serikalini kwa jina la Yesu kristo navunja maagano ya kichawi niliofanya na niliofanyiwa na wazazi wangu kwa waganga wa kienyeji roho ya kukataliwa naikataa katika jina LA yesu kuanzia sasa Mimi ni kiumbe kipya!
@elizabethasha1677
@elizabethasha1677 3 ай бұрын
Niombe Pastor nimefika mwisho naitwa Elizabeth,umekua ukiniombea nashukuru.Mimi ni mkenya. Niombee neema ya Bwana inifunike na Yesu anionekani kwa rehema zake katika ndoa yangu,Watoto wangu na Mume wangu,yaani familia yangu,Atufungue,atuondolee mambo ya giza na kwenye mateka ya shetani. Asante
@mullerrbn4852
@mullerrbn4852 11 күн бұрын
Natumaini unaendelea vizuri mtu wa Mungu
@AsaMtuli
@AsaMtuli 6 күн бұрын
Balikiwa
@user-tr6vq5ld5o
@user-tr6vq5ld5o 3 ай бұрын
Ubarikiwe mchungaji. Nilikutana na mhadhiri ambaye hats sauti yangu alikuwa hataki kuisikia. Uifanya mawasilisho ya kazi ukisoma sentensi mbili anakuambia stop mpe mwingine .Marks zake Sasa Dio usiseme.Nashukuru kwa kufunuliwa hili.Mungu nipiganie
@williamjumbe1988
@williamjumbe1988 3 ай бұрын
Hili SoMo , pastor umeyagusa maisha yangu, Yani ile mtu unachukiwa ukiwa unasoma duhu, mpaka lecture Yuko radhi akuharibie wewe ambae ndo upo chuo mpaka wizarani hili usichomoze maishani, unaweza chukiwa na kila unae kutana nae , tuombee mungu atupe roho ya kibali kukataliwa imetosha, make Vita ni nzito imetutesa miaka pastor,
@mariamaswani832
@mariamaswani832 3 ай бұрын
Nakushukuru pastor kwa mafundisho yako. Fundisho hili limenigusa sana linahusu maisha yangu na family yangu naomba uniombee nitoke kwenye roho za mizimu mungu akubariki sana
@margaretwanjiru9096
@margaretwanjiru9096 3 ай бұрын
Kwa kweli umenifundisha mambo mengi Hadi imebadili maisha yangu Barikiwa na bwana
@AchelKwizera
@AchelKwizera 3 ай бұрын
Mungu alinde vyombo vyenu iki tuendeley kusikiriza Habari njema ,,mim niko burundi nanijifunza mengi kilakukicha kupitia mahubiri TV, ila natamani siku moja nikutane na pr David Mbaga. Happy sabbath
@user-gx6nk6wg4j
@user-gx6nk6wg4j 3 ай бұрын
Nafurahia kuona kwamba kuna mtu wa nyumbani tunakutania hapa kwenye hii meza kupata maneno ya MUNGU hakika tuzidi kubarikiwa haya maneno akawe na nguvu katika maisha yetu hivyo ile siku itakapo fika tuwe miongoni mwa wale watakae mpokea YESU KRISTO kwa shangwe na furaha tele
@MaryWanjiku-tr8ji
@MaryWanjiku-tr8ji 3 ай бұрын
Pastor Mimi huwanikiomba naongea dimi nsaidia
@PresciousGold
@PresciousGold 3 ай бұрын
Amen amen nimebarikiwa sana mtumish mungu aendelee kukupa nguvu 🙏🙏🙏
@user-sr3rn1ty9g
@user-sr3rn1ty9g 3 ай бұрын
Preacher naomba utusaidie kujua nguvu ya msalaba maana 2na struggling katk kujua nguvu ya mungu barikiwa sanaa
@amosmonary
@amosmonary 3 ай бұрын
Hili nalo ni la kwangu , for sure God is working through you Mchungaji. I have really struggled to finish my education but still in vain ,
@ambonisefesto1416
@ambonisefesto1416 3 ай бұрын
Pr huwa nakukubali sana shuhuda zako huwa zinanipa moto wa imani lakini changamoto yangu kubwa ni magonjwa kwangu na mume wangu na upandewa watoto wangu
@elienew3788
@elienew3788 3 ай бұрын
Amina amina Mungu azidi kukutia nguvu Mtumishi wa Mungu na barikiwa sana nkiwa Lebanon
@sintasamwel9473
@sintasamwel9473 Ай бұрын
Pastor ubarikiwe zaid Kwa ujumbe huu mzuri wenye kutia nguvu,, naimani kupitia neno hili nimewekwa huru. AMINA
@user-hc4jv8uz5b
@user-hc4jv8uz5b 3 ай бұрын
Hili somo ni la kwangu kabxa.Barikiwa sana pastor wangu.
@lilianeerica3318
@lilianeerica3318 3 ай бұрын
Ninaisubiri kwa hamu🙏🙏🙏🙏
@lennyfrank
@lennyfrank 3 ай бұрын
Ameen Ameen
@williambega7810
@williambega7810 3 ай бұрын
Ubarikiwe pasta nakupenda sana Mungu akuzidishe mara Elfu Elfu
@speciozakaloli
@speciozakaloli 3 ай бұрын
Imani katika Yesu Kristu
@HildaNyabate-vd2br
@HildaNyabate-vd2br 19 күн бұрын
I have been blessed so much l am listening from Kenya Nakuru county
@leahwainaina4396
@leahwainaina4396 3 ай бұрын
Amen
@asiri-romy-simba3671
@asiri-romy-simba3671 2 ай бұрын
Hero Wangu ni Jeremiah,the man who was not Afraid.
@phanemochache352
@phanemochache352 3 ай бұрын
This is powerful! Following from Nairobi.
@sylviesaidi5740
@sylviesaidi5740 3 ай бұрын
Nikumbuke kwamaombi pia pastor 🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻
@user-dv2ky6ve7u
@user-dv2ky6ve7u 26 күн бұрын
Mungu akubariki sana pastor umekuwa mbaraka sana kwa watu wengi
@shaniachanceline2751
@shaniachanceline2751 3 ай бұрын
Amen! God is great ❤❤❤❤❤❤❤
@Blop95
@Blop95 2 ай бұрын
Mambo mazito Sana. Asante Kwa hili neno
@MarthaTosh
@MarthaTosh 2 ай бұрын
Mungo na habariki mtumishi wake,hii ibada ni Zuri hallelujah kwa masihi aliyemtuma
@edmondndayisenga8624
@edmondndayisenga8624 9 күн бұрын
Nashukuru Mungu kwa ajiri Yako mcun 1:09:21 1:09:22
@AKAMARUSUBO
@AKAMARUSUBO 19 күн бұрын
Mungu akuKumbuke maana wewe wanena yaliyo sahii
@fatumachagudadui3138
@fatumachagudadui3138 26 күн бұрын
Hata Mimi natamani Mungu wako awe Mungu wangu
@EnockMASABO
@EnockMASABO 15 күн бұрын
Kila siku hutuletea mambo mapya sasa niombee sana barikiwa❤
@FrenkNgurukah-vi2mc
@FrenkNgurukah-vi2mc 3 ай бұрын
Amina sana mtumishi🎉
@MarimaAlez-kc5rj
@MarimaAlez-kc5rj 3 ай бұрын
mungu habarikiwe😂 hakubariki nawewe pia hanibariki namimi kwanzia leo Mimi nimushindi wazambi kwanzia sasa Hadi mirere
@Trizah-254-e
@Trizah-254-e 3 ай бұрын
AMEN
@jeikary8767
@jeikary8767 3 ай бұрын
Hii story yko inani furahiaanga sana mungu akubariki
@rosemutesi6626
@rosemutesi6626 28 күн бұрын
Mtumishi wa Mungu Nimeenda kukufwatilia sana hivi hivi karibuni, nimejiona kabisa unasema na maisha yangu kabisa Mungu akuongezee upako.
@mahenzosamuelmahenzo7353
@mahenzosamuelmahenzo7353 3 ай бұрын
niko kazini lakini nafuatilia mafundishisho yako nabarikiwa sana mungu atubariki sote
@maseaJoe8676
@maseaJoe8676 3 ай бұрын
Asante Yesu Amen Amen Amen 🙌🤲
@zilperatieno5722
@zilperatieno5722 28 күн бұрын
Ahsante kwa mafundisho mazuri na ufafanuzi wa maandiko.
@Ungwamissi
@Ungwamissi 3 ай бұрын
Amennn❤❤❤
@BensonMurithi-vr7ii
@BensonMurithi-vr7ii 2 ай бұрын
To God be the glory
@user-ns1jw3rl3g
@user-ns1jw3rl3g 19 күн бұрын
Shukrani sana kwa mafundiksho hii,inaongezea nguvu
@rahimajuma5306
@rahimajuma5306 2 ай бұрын
Mungu akubariki sana
@ZaharaKamota
@ZaharaKamota 3 ай бұрын
Unanibariki sana mtumishi wa Mungu, Mungu akuzidishe
@elizabethmatiko9794
@elizabethmatiko9794 2 ай бұрын
Nimebarikiwa sana mtumishi wa Mungu 🙏
@BonnyErnest
@BonnyErnest 19 күн бұрын
Mungu awabarik nyote
@ElibarickAllex
@ElibarickAllex 2 ай бұрын
thank you lord
@centrinenafula5147
@centrinenafula5147 Ай бұрын
Amen 🙏
@estergasaya6935
@estergasaya6935 2 ай бұрын
Amina
@JaluoOdera
@JaluoOdera 2 ай бұрын
MUNGU akubariki sana
@mussacharles5311
@mussacharles5311 Ай бұрын
MUNGU akubariki sana mtumishi.
@jasuminsele7538
@jasuminsele7538 2 ай бұрын
Nabarikiwa Sana na mafundisho yako wewe ni Mwalimu,Mungu akubariki
@GastonMunyembabazi-tx1oh
@GastonMunyembabazi-tx1oh Ай бұрын
Asante kwa mafundisho ya kujenga batu kimbiliya
@user-sj3xu6he5k
@user-sj3xu6he5k 2 ай бұрын
Mungu akubariki
@mlishohadija6923
@mlishohadija6923 3 ай бұрын
Amen ubarikiwe sana PR
@YoshuaJoseph
@YoshuaJoseph Ай бұрын
Nimebakiwa na mafundisho Yako sana.
@esthernkwabi1675
@esthernkwabi1675 2 ай бұрын
Nimebarikiwa na somo hili BWANA Akubariki sana.
@omankadara6418
@omankadara6418 2 ай бұрын
Ameen
@edmondndayisenga8624
@edmondndayisenga8624 9 күн бұрын
Asante kwa mafundisho
@purity134
@purity134 3 ай бұрын
Blessings pastor
@estershedrack530
@estershedrack530 2 ай бұрын
Grorry to God Ubarikiwe saana pastor
@VenerandaKundi-ph4hg
@VenerandaKundi-ph4hg 2 ай бұрын
Asante mtumishi wa mungu akubariki na akulinde mafundisho yako safi
@jescaissay2871
@jescaissay2871 2 ай бұрын
Umenisaidia sana mchungaji
@DeborahChristopher-th6nl
@DeborahChristopher-th6nl Ай бұрын
Nimebarikiwa sana nimepata kitu hapa
@ElijahMosong
@ElijahMosong 3 ай бұрын
Nikumbuke pst kwa maombi biashara yngu iko jini
@sthazelallan8392
@sthazelallan8392 2 ай бұрын
Amina sana..nimebarikiwa na mahubiri
@BlaisetajiriTajiri-kg6ji
@BlaisetajiriTajiri-kg6ji 3 ай бұрын
Mungu tu aku bariki pasta
@zabronemmanuel-eo1om
@zabronemmanuel-eo1om 3 ай бұрын
Amina pastor
@feadamagessa889
@feadamagessa889 2 ай бұрын
Nashuhudia kuwa Mungu anaendelea taratibu kuingilia mambo yangu
@magrethsindabaha1851
@magrethsindabaha1851 2 ай бұрын
Yohana
@user-zt9fp8cp5s
@user-zt9fp8cp5s 3 ай бұрын
Naitwa imani nko geita umenibarik saana karbu geita kwenye makambi ya mwezi 7 Bomba mbir geita natamani kukuona laiv
@maryaugustor6983
@maryaugustor6983 2 ай бұрын
Shalom mchungaji huko ni mbali sasa tutapata je hiyo kitabu mchungaji?
@sylviesaidi5740
@sylviesaidi5740 3 ай бұрын
Nime furai san kweli 🎉😂😂😂❤
@JumanneWila
@JumanneWila 3 ай бұрын
😂😂
@ruthsimon5846
@ruthsimon5846 2 ай бұрын
Namtafuta huyu mchungaji, anapatikana wapi
@MahubiriPrMmbaga
@MahubiriPrMmbaga 2 ай бұрын
Ubarikiwe +255 755 932 283
@lucymwegoha7400
@lucymwegoha7400 21 күн бұрын
Samuel
@KwihaAthanas
@KwihaAthanas 2 ай бұрын
Samweli
@michealkasyama5065
@michealkasyama5065 Ай бұрын
Pasta mbaga mmMungu akubariki
@SuzanShayo
@SuzanShayo Ай бұрын
MUNGU AKUBARIKI BABA UMEGUSA MAISHA YANGU
@calvinjoseph
@calvinjoseph 3 ай бұрын
Pastor, kwahiyo mpaka wanafunzi wake wote walikimbia 😅
@user-jq4zh1tm3g
@user-jq4zh1tm3g 3 ай бұрын
Naomba.mchungaj.uniombee.vita.nikubw.ninamiaka.kama.nane.sijaenda.nnyumbani.niko.inje.yainchi.siamin.katika.uchawi
@danielkkyuma1836
@danielkkyuma1836 Ай бұрын
kidogo pastor, unieleze kwanza hapa kwa haya maelezo: " melkizedek anasemwa kuwa hana wazazi kwa sababu ya ukuhani wake ktk israel na wakati yeye hana histori yoyote ktk ukoo wa walawi ambao ndio makuhani, ndo maana Yesu katajwa kuwa kuhani kama yeye sababu melkizedek alikuwa mtu kawaida aliefanya kazi ya ukuhani kama mlawi na nasaba yake haitajwi ktk orodha ya walawi " . Haya maelezo unayaonaje?
@user-pg5kf2ec2i
@user-pg5kf2ec2i 2 ай бұрын
Nuhu
@olphanyamweya3154
@olphanyamweya3154 3 ай бұрын
Shunjaa ni Lazarus
@kiungulias
@kiungulias 3 ай бұрын
Mfalme wa salemu bado sija mjua vizuli jamani heb nisaidieni
@Godwin-v6p
@Godwin-v6p Ай бұрын
.
@maryaugustor6983
@maryaugustor6983 2 ай бұрын
SASA NAULIZA MCHUNGAJI ATA KAMA TUKO MAKANISA YA SANAMU?
@GastonMunyembabazi-tx1oh
@GastonMunyembabazi-tx1oh Ай бұрын
Kwanini mataifa inakamatiya kuile kuponya sikuya Sabato kuwa kutosha sheriya ?
@leahwainaina4396
@leahwainaina4396 Ай бұрын
Amen
@user-qv4oo6di1d
@user-qv4oo6di1d 3 ай бұрын
Amina
@elizabethgodfreytondo3052
@elizabethgodfreytondo3052 2 ай бұрын
Amen
@lulusenzia4807
@lulusenzia4807 2 ай бұрын
Amen
@Calton898
@Calton898 3 ай бұрын
Amen
UFUNGUO WA KUFUNGUA MAMBO MAGUMU (OFFICIAL VIDEO)
52:11
MAHUBIRI TV
Рет қаралды 76 М.
#UKIJUA SIRI HII OMBA LOLOTE |PR.DAVID MMBAGA|
1:21:18
MAHUBIRI TV
Рет қаралды 42 М.
If Barbie came to life! 💝
00:37
Meow-some! Reacts
Рет қаралды 65 МЛН
Бутылка Air Up обмани мозг вкусом
01:00
Костя Павлов
Рет қаралды 2,7 МЛН
Little brothers couldn't stay calm when they noticed a bin lorry #shorts
00:32
Fabiosa Best Lifehacks
Рет қаралды 18 МЛН
SILAHA KUBWA YA KUVUNJA MADHABAHU || PR DAVID MMBAGA
56:10
Ikwabe Injili tv
Рет қаралды 21 М.
AKLAT NI MATEO
3:19:12
READ SCRIPTURES
Рет қаралды 1,3 МЛН
MAMBO YA KUZINGATIA SIKU HIZI ZA MWISHO - Rabbi Abshalom Longan
59:27
Beit Abraham ( Nyumba ya Abraham)
Рет қаралды 6 М.
HII NDIO SIRI  YA KUJENGA NYUMBA YA BWANA
57:24
MAHUBIRI TV
Рет қаралды 16 М.
PLAY THIS MIDNIGHT BATTLE PRAYER EVERY NIGHT AS YOU SLEEP | APOSTLE JOSHUA SELMAN
3:57:37
KUTENGENEZA UTAJIRI WA WATU FULL VIDEO - JOEL NANAUKA
49:41
Joel Nanauka
Рет қаралды 35 М.
UJASIRI WA MAOMBI | PR  DAVID MMBAGA (OFFICIAL VIDEO)
1:05:35
MAHUBIRI TV
Рет қаралды 75 М.
If Barbie came to life! 💝
00:37
Meow-some! Reacts
Рет қаралды 65 МЛН