UFUNGUO WA KUFUNGUA MAMBO MAGUMU (OFFICIAL VIDEO)

  Рет қаралды 74,846

MAHUBIRI TV

MAHUBIRI TV

Жыл бұрын

Пікірлер: 197
@ccbajaspara2174
@ccbajaspara2174 Жыл бұрын
Ndugu yangu David kuna kitu niliwai kugundua sijui kama wasikilizaji wako au wewe mwenyewe umewai kujua yaani kila usimamapo mbele ya watu kufudisha siwewe uwa unaongea ila roho wa mungu aliye ndani yako.hili linanifanya nakusikiliza kwa makini tena zaidi.
@MahubiriPrMmbaga
@MahubiriPrMmbaga Жыл бұрын
Mungu atukuzwe kwa hilo
@cliffrmmbaga9157
@cliffrmmbaga9157 Жыл бұрын
@@MahubiriPrMmbaga AMEN! AMEN! AMEN...
@siratz3323
@siratz3323 Жыл бұрын
Amina 🙏
@EasterEmanuel-wh9dz
@EasterEmanuel-wh9dz Жыл бұрын
AMINA
@tumaininestory4037
@tumaininestory4037 Жыл бұрын
Aminaa
@user-yj8sz9kj9x
@user-yj8sz9kj9x 16 күн бұрын
wa chungaji Mungu wetu awa bariki sana na awa linde na aendeleye kuwapa nguvu ya ku tupatiya nguvu ya ku tegemeya Meenyezi Mungu❤🙏
@PeterCharles-yc7tn
@PeterCharles-yc7tn Ай бұрын
Ndio mchungaji nimepewa nguvu mpya sana kutoka kwako mim nimama mtilie nilikua napika chakula siuz lakin siku hizi mungu amefunga milango na madirisha mpaka nashangaa
@SarahSamatwa
@SarahSamatwa 3 ай бұрын
Sina meno zuri la kusema.bali naomba Mwenyezi Mungu azidi sana kukutunza.unatuokoa.jina la Bwana lihimidiwe.
@batagyakikayaga7665
@batagyakikayaga7665 Жыл бұрын
Mungu anisaidiye nikutane na Yesu katika uthaifu wangu wa imani.
@EleenLihavi
@EleenLihavi 3 ай бұрын
Mm kwa familia ndiye nitakae ibuka na baraka
@haddasahestara7543
@haddasahestara7543 Жыл бұрын
Pastor, Mungu akubariki Sana Sana kwa somo hili. Jana tulipoomba, niliweka Nia thabiti. Leo nimeamka nikiwa mtu mpya kabisa kimwili kiroho na kiafya. Ninamshukuru Sana MUNGU kwa ajili yako. Mungu aendelee kukubariki nasi tupokee yale akufunuliayo kwa UTUKUFU wa jina lake. Amen 🙏.
@MahubiriPrMmbaga
@MahubiriPrMmbaga Жыл бұрын
Mungu atukuzwe
@priscajasper3781
@priscajasper3781 Жыл бұрын
Ameeeen
@monicahkamau9550
@monicahkamau9550 2 ай бұрын
Amen mungu atukuzwe
@annajohn2077
@annajohn2077 Жыл бұрын
Barikiwa sanaaaaa mtumishi wa MUNGU YESU azidi kukutumia kuongoa roho 🙏
@janekuriain580
@janekuriain580 Жыл бұрын
Amen..kweli ni Mungu Mimi kwanza nabarikiwa sana na mahubiri Yako umenisaidia pakubwa sana 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@MahubiriPrMmbaga
@MahubiriPrMmbaga Жыл бұрын
Amen
@user-ls2gl6js9k
@user-ls2gl6js9k 6 ай бұрын
Mungu azidishe maneno yake kinywani mwako tupate kukua na kuongezeka kiroho.Mungu akutunze
@user-ik5vx8bt1u
@user-ik5vx8bt1u 6 ай бұрын
Jofrey msengi anateswa na nguvu za giza,naomba apate uponyaji kwa jina la YesuKristo,kupitia wewe pastor.imani yangu itamponya aliko huko.,mungu wangu nisaidie.
@mathiasvano6508
@mathiasvano6508 8 ай бұрын
Na itwa Mathias. Mchungaji mimi huwa nasikiliza mafundishoyako , kunamambo ambayo yananijega Mungu akubariki.
@MahubiriPrMmbaga
@MahubiriPrMmbaga 8 ай бұрын
Mungu akubariki
@saumukarisa9873
@saumukarisa9873 Жыл бұрын
Asante pastor David mbaga umenifanya nmepata nguvu mpya kuendelea kii Imani... from Kenya
@MahubiriPrMmbaga
@MahubiriPrMmbaga Жыл бұрын
Amen
@user-sj3nv3gv1b
@user-sj3nv3gv1b Жыл бұрын
nimepata badiliko ndani yomo mungu awepamoja nasi
@jonahwaweru5681
@jonahwaweru5681 Жыл бұрын
Hello Pastor...am jonah waweru from Kenya nafuatilia sana sermons zako na kwa kweli nmebalikiwa...nlikuwa najiona mdhambi sana mpaka nkishindwa kuomba...but umenifunza kwamba mungu anachukia dhambi lakini unatupenda zaidi....I thank God sasa nawexa kuomba na magumu yote yenye nlikuwa napitia amenionyesha njia ....sasa imani yangu iko imara....naomba uniombee mungu aanisaindie nisirudi kwa dhambi tena....ubarikiwe zaidi pastor....glory be to God.
@MahubiriPrMmbaga
@MahubiriPrMmbaga Жыл бұрын
Mungu atukuzwe saana kwa ushuhuda huu
@user-zh3oo5yi8o
@user-zh3oo5yi8o 4 ай бұрын
Àm really blessed by your teachings pastor
@blessedtumaini516
@blessedtumaini516 8 ай бұрын
Bwana Yesu Kristo naomba unipe nia thabiti na neema, neema ya kutosha kupenya na kukufikia Wewe katika jina la Yesu Kristo Amina na Amina Haleluya.
@rockcephas4787
@rockcephas4787 Жыл бұрын
Tuned from Lodwar Kenya
@christinengola6016
@christinengola6016 Жыл бұрын
Mungu akulinde
@calistercamilus2223
@calistercamilus2223 Жыл бұрын
🙏
@dorcusamisi2926
@dorcusamisi2926 9 ай бұрын
Hallelujah Hallelujah Hallelujah Hallelujah AMEN Utukuvu kwa YESU KRISTO USIFIWE MILELE YESU
@emilynekesa1475
@emilynekesa1475 Жыл бұрын
Pastor!lazima nipenye nifikie ushindi wangu.Pass I like your massage from God.Ryiadhi Saudi
@MahubiriPrMmbaga
@MahubiriPrMmbaga Жыл бұрын
Amen
@user-sd6bo1xs2z
@user-sd6bo1xs2z 7 ай бұрын
Asante pastor neno hili limenipa hatua nalimenifundisha Sana sitateseka tena maana Christo nivyote Imani ndio funguo neno limenfunza kabisa ubarikiwe Sana Na Mungu akupe Maisha marefu uzidi kuhubiria watu, wengi ❤
@victorjohn8671
@victorjohn8671 Жыл бұрын
Pastor nabarikiwa sana na haya mahubiri,yamenipa ujasiri mkubwa sana ktk imani,ubarkiwe mtumishi wa mungu
@miriammenyo6875
@miriammenyo6875 Жыл бұрын
Amen
@lidyapendomollel1439
@lidyapendomollel1439 Жыл бұрын
PR .Mungu akusaidie sana.Usiache kunena...unatugusa,unaimarisha Imani yangu,unanifanya no pate nguvu mpya Tena ya kusonga MBELE keep roho.Mungu akupe haja za moyo WAKO.
@MahubiriPrMmbaga
@MahubiriPrMmbaga Жыл бұрын
Amen
@joviethikokugonza2793
@joviethikokugonza2793 Жыл бұрын
Amina mtumishi nimebarkiwa sana Kila nilipotaka kwende mbele za Mungu sheteni ananiletea orodha ya dhambi zangu zote mpaka nashindwa kuomba ila kuanzia Leo ntakuwa na ujasili mbele za Mungu
@merryjohn9391
@merryjohn9391 7 ай бұрын
Pastor nakushuku sana somo rako limenigusa sana tena sana upande wakusamehe mzazi utazani unanifaham mpaka nimedondosha chozi Mungu aendelee kukupaka mafuta
@bonimasero649
@bonimasero649 14 күн бұрын
Mbaga nikiangali masoma yako ssnzi nabarikiwa
@kilungumsabaha3891
@kilungumsabaha3891 Жыл бұрын
Nimebarikiwa sanaa na Neno la leo ninakupata mubashara kutoka Muscat Oman Mwenyezi Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu Asante kwa Mahubiri mazuri
@joelfrancis2181
@joelfrancis2181 Жыл бұрын
Nimebarikiwa
@RachealMndambi-kv9sd
@RachealMndambi-kv9sd 9 ай бұрын
Lov u Pr.Mungu amekutuma kututia moyo na kuinua kiwango chetu cha Imani.BARIKIWA
@Geoffrey_sabato
@Geoffrey_sabato 7 ай бұрын
1 year ila ujembe ni wa leo🙌
@mshigilakarume4425
@mshigilakarume4425 Жыл бұрын
Historia ni ndefu siwez elezea kila ktu ila kw ufupi kila ninapokutana na changamoto za maisha masomo yako hunisahihisha mara kwa mara. USHAURI WANGU Madaktari wa akiri,lishe na walimu wa elimu ya kiroho wanahitajika kwa haraka sana katika kizazi hiki cha kuangamia kwa kukosa MAARIFA
@MahubiriPrMmbaga
@MahubiriPrMmbaga Жыл бұрын
Kweli
@enockmwinuka9837
@enockmwinuka9837 Жыл бұрын
Mungu ashukuriwe kwa mafunuo ya utukufu wa Jina kāke na ukombozi wake kwetu ktk KRISTO Yesu.
@edouardnsenga6793
@edouardnsenga6793 Жыл бұрын
Asante pasta ninapata nguvu mipango yangu inapata jibu kwasababu naamini hiyo.from D.R.C.LUBUMBASHI.Mungu akubariki
@mwendakalunyu3933
@mwendakalunyu3933 Жыл бұрын
Nimekusikia Na nikafutia njia za kwako kwa kweli biashara SAA hii nimeanza kuona inanieendea vizuri kwa kweli mungu in wa ajabu
@MahubiriPrMmbaga
@MahubiriPrMmbaga Жыл бұрын
Amen
@NapendaKakore-gg3no
@NapendaKakore-gg3no 8 ай бұрын
PR Mungu akubariki mafundisho yako yananipa ujasir nataman wakati wa maombi nami niwepokama kuna uwezo 🙏🙏🙏🙏
@nellyrebiam3095
@nellyrebiam3095 Жыл бұрын
Huwa namfwatilia Sana huyu mtu wa Mungu.Mungu akubariki
@zeliageorge3311
@zeliageorge3311 Жыл бұрын
Pastor kwa jinsi ulivyokubali kuwa wakala wa Kristo ktk kufufua mioyo iliyozimia, Hakika Mungu akukumbuke ktk uzima wa milele naamini umeandaliwa taji nyingi, Mungu wetu akupe ushindi mkuu.
@mtallmedia7499
@mtallmedia7499 Жыл бұрын
Nashukuru sana pastor I'm always motivated by your sermons Remember me in prayers I'm yearning to be spiritually stable bt bado....pray for me
@alexdominick3541
@alexdominick3541 Жыл бұрын
Namushukuru Sana Mungu kwa ujumbe wako mtumishi wa Mungu nimefunguliwa bwana azidi kukutumia.
@janekwada6805
@janekwada6805 9 ай бұрын
Amen ubarikiwe
@mangawas5723
@mangawas5723 Жыл бұрын
Nina mushukuru sana Bwana yesu nilifunguliwa na yesu kupitia mutumishi wake Pastor David Mubaga Mungu akubariki sana na akuwezeche sana ninakuombeya mutumishi .
@wellneemawelle5774
@wellneemawelle5774 8 ай бұрын
Naitwa neema leo nimegungua kumbe kunakitu ninacho yani Neema natamani kuishi nikitambua mimi ni Neema kama jinalangu
@wellneemawelle5774
@wellneemawelle5774 8 ай бұрын
Unaongea vitu vilivyo jificha sana mtu akikusikiliza na ataacha uovu maramoja. Tanzania tungekusikiliza wote akika Mahakamani kesi zisingepatika kabsa kabsa😢
@sifaeljoseph3248
@sifaeljoseph3248 Жыл бұрын
Amina napokea uponyaji kutoka kwa Yesu.
@baluhyaandrew1564
@baluhyaandrew1564 Жыл бұрын
Mapito yetu mazito,magumu na ya kutisha hayana nguvu iwapo neema ya Mungu tutaitegemea kwa Imani bila MASHAKA.
@godfreymsyomi4289
@godfreymsyomi4289 Жыл бұрын
Hakika mchangaji mwenyez Mungu amekufanya uwe baraka kwetu ili tufunguliwe
@beatricemarwa6731
@beatricemarwa6731 Жыл бұрын
Asante Mungu kwa Neno holi nimepona maumivu yaliyokuwa yananisumbua. Asante Pokea shukurani yangu hii ndogo kama shukurani yangu kwa uponyaji huu
@joycemashikolo9096
@joycemashikolo9096 Жыл бұрын
😀😀😀😀😀😀😀😀ila David akiri yako unaijua mwenywe hapo kwenye nywele za mzungu umeniua mbavu mimi
@MahubiriPrMmbaga
@MahubiriPrMmbaga Жыл бұрын
😂
@babycherokal1229
@babycherokal1229 Жыл бұрын
Pastor mimi ni babycher still naamini mahubiri yako niombee roho wa Bwana awe Nami aniponye katika kweli
@elizaphankamando1836
@elizaphankamando1836 Жыл бұрын
Ubarikiwe san, na atukuzwe Mungu anaekutumia wew hutulisha neno lake, Amina
@kissanselu8569
@kissanselu8569 Жыл бұрын
Asante yesu kwa hubiri zuri nimebalikiwa Mungu atusaidie kiburi
@hawamusumba431
@hawamusumba431 Жыл бұрын
Tangu ni tambua kuwa naweza jiombea and prophesy to my life and my family nilikataa maombe eti God sent me my destiny helper l want to be a destiny to someone mapenzi ya Mungu yatimia
@constancenimbona7550
@constancenimbona7550 Жыл бұрын
Kuna kitu nimegunduwa na sema Asante mtumishi wamungu
@ahaziamtemela-ys5et
@ahaziamtemela-ys5et 6 ай бұрын
Mungu akubariki
@sifaeljoseph3248
@sifaeljoseph3248 Жыл бұрын
Kwenye maombi naomba tusaidie kwa maombi mtumishi wa Mungu amfungue macho baba yangu akaweze kuona tena. Mn akiombew anaona alafu hali yakutokuona inarudi tena. Ametumia dawa sana no improvement.Ubarikiw kwa utume wako. Turiani morogoro ninakupata vyema.
@MahubiriPrMmbaga
@MahubiriPrMmbaga Жыл бұрын
Mungu atende muujiza
@amosikalebu6978
@amosikalebu6978 Жыл бұрын
Amen,,, nami naona muujizaa mkubwaaa pastor hakika Mungu ni mkuuu
@bernadethafrancis1498
@bernadethafrancis1498 Жыл бұрын
Napenda sana mahubili yako mchungaji yananitia nguvu sana natamani siku moja uje kwenye makambi ya huku kwetu naamini utaongoa roho nyingi,Mungu akubariki sana mchungaji ww na familia yako.Amen
@leticiabaziwani5234
@leticiabaziwani5234 Жыл бұрын
Mchungaji ninapokusikiliza hasa somo lililokuwa linasema vizuizi vikubwa vya baraka nilijihisi sifai naomba uniombe nipate hekima natamani kuongea nawe inbox ili unipe ushauri wa mambo fulani.
@ObadiaDaniel
@ObadiaDaniel 2 ай бұрын
Nabarikiwa sana,Bwana akibariki zaidi ili tubarikiwe zaidi.
@JOHNKKULULINDA-pc6gy
@JOHNKKULULINDA-pc6gy Жыл бұрын
UNA ROHO FAFANUZI, LAKINI ZAIDI YA NI KUELIMISHA !!! AMEN. ROHO TAMBUZI I NAWE.
@slamafamily5720
@slamafamily5720 9 ай бұрын
Amen Amen barikiwa sana pastor nabarikiwa sana
@saramss7262
@saramss7262 Жыл бұрын
Barikiwaa SANA mtumishii Bwana akuinuwe Akupiganiye SANA
@eliudimwashilindi3823
@eliudimwashilindi3823 Жыл бұрын
Ee Mungu lehema zako na zidumu milele barikiwa mtumishi wa BWANA
@brahelmakalla9760
@brahelmakalla9760 Жыл бұрын
Barikiwa sana pasta mungu akuongoze kila jambo, nimebarikiwa sana🙏
@HolloKibishi-nt5ui
@HolloKibishi-nt5ui 5 ай бұрын
I will come and testify that I am healed this Saturday my faith says so
@pendomartin1809
@pendomartin1809 Жыл бұрын
Amina mafundisho Yako yamenijenga kiimani barikiwa sana
@optimumtv8298
@optimumtv8298 Жыл бұрын
ASANTE mtumishi umenisaidia.
@user-zs9kr3tc5x
@user-zs9kr3tc5x 9 ай бұрын
Asante sana Leo nimefunguliwa naomba mungu anisaidie kuliishi meno ubarikiwe kionhoz
@johnsonmisheto9422
@johnsonmisheto9422 11 ай бұрын
Barikiwa sana mchungaji nimeguswa na somo
@lucydamas4712
@lucydamas4712 Жыл бұрын
Pr katika wenye dhambi ndimi mkuu wao naomba uniombee nipate kufunguliwa tumbo na kuzaa Naamini katika nguvu za Yesu.
@MahubiriPrMmbaga
@MahubiriPrMmbaga Жыл бұрын
Mungu akutendee muujiza
@sifaeljoseph3248
@sifaeljoseph3248 Жыл бұрын
Mungu akubariki Mchungaji ninabarikiw na mafundisho yako.
@priscathadei4343
@priscathadei4343 Жыл бұрын
Amina! Masomo yako yamekuwa mbaraka kwangu pamoja na kurudi nyuma ila nimepata nguvu ya kusimama
@cristinekenya1050
@cristinekenya1050 Жыл бұрын
Barikiwa pastor, nmetambua magumu ninayoyapitia Yana faida kubwa kwangu
@getrudenabwayo4754
@getrudenabwayo4754 Жыл бұрын
😭😭😭😭😭Nahisi nguvu zikinijaza, nmekuwa wa kujikinga na mawazo ya uovu wangu, Lakin nmeshuka chini Mungu anikange na anirehemu, nimekuwa nikitamani kuimba nyimbo za deliverance nikikumbuka dhambi zangu napata Tena nmeishiwa iyo roho ya UIMBAJI, Lakin Leo Ubarikiwe Sana Mtumishi umenifungua masikio na macho ya ndani ooh✍️✍️👂👂👂🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾
@cliffrmmbaga9157
@cliffrmmbaga9157 Жыл бұрын
AMEN
@kambiremsy5327
@kambiremsy5327 Жыл бұрын
Amina ubarikiwe sana nasomo hili zuri mtu wa mungu,
@evansmaranga6632
@evansmaranga6632 Жыл бұрын
Thanks pastor, remember me in prayer on my spiritual journey and life debt difficulties. May God bless you continually to touch more souls for God.
@leticiabaziwani5234
@leticiabaziwani5234 Жыл бұрын
Leticia baziwani; Pr ninabarikiwa maana umenifundisha mambo mengi ambayo natamani niyatende maishani MUNGU akubariki sana naomba uniombe niwe mtu wa kunyenyekea na kuwa na hekima katika ndoa yangu haiko salama
@liberataelisha9786
@liberataelisha9786 Жыл бұрын
Asante endelea kubarikiwa mungu akutumie kadiri apendavyo.....nimepata kitu kipya nguvu ya kushuhudia
@tilaboymatata3411
@tilaboymatata3411 8 ай бұрын
Hongera mtumishi ubarikiwe
@betrs5285
@betrs5285 10 ай бұрын
Amen Yesu nisaidie siwezi bila ww
@angelinanewland165
@angelinanewland165 Жыл бұрын
Barikiwa mtumishi wa Mungu nimeelewa, asante sana
@saumukarisa9873
@saumukarisa9873 Жыл бұрын
Asante sana pastor mungu akubariki kwa hili neno
@user-ql8kz5nq6r
@user-ql8kz5nq6r Жыл бұрын
Mungu akupe maisha makefu from uganda
@salumuomari4403
@salumuomari4403 8 ай бұрын
Pr. Nabarikiwa sana pia ninashida naitaji maombi pamoja na family yangu
@telesphoryphocusy3032
@telesphoryphocusy3032 Жыл бұрын
Amen nashukuru mtumishi kwa maombi yako
@user-fu7ep9tr1b
@user-fu7ep9tr1b 5 ай бұрын
Nimepokea funguo za kupokea kufungua magumu
@ccbajaspara2174
@ccbajaspara2174 Жыл бұрын
Amina brother mbaga YESU asifiwe
@eugenianafutal9748
@eugenianafutal9748 Жыл бұрын
Asantekwasomo zurimchungaji umenitia moyo mtoto akiendashule anaumwaakirudi nyumbani anakuamzima ninaamini kupitamafundisho hayahii haliitakomakwajinalaYesu mwananguataponanaatarudi shuleni nanafasiyakehatafeliatafauru naawewakwazasikuzooote kwenyemasomoyake keajinalaYesuamina barikiwasana mchungajiMunguakulinde
@josephsosythenes6029
@josephsosythenes6029 Жыл бұрын
Nabarikiwa sana na mahubiri yako ubarikiwe sana
@lilianmugyabuso8908
@lilianmugyabuso8908 Жыл бұрын
Nabarikiwa sana na mahubiri yako mtumishi wa Mungu
@officialgabriel7535
@officialgabriel7535 Жыл бұрын
Amen and Amen,,napokea neema ya kuenda Japan,,
@nyangoma775
@nyangoma775 Жыл бұрын
MUNGU akubariki sana mtumishi
@Joycependopendo-dv2tb
@Joycependopendo-dv2tb 8 ай бұрын
Amen kwa mafundisho mazuri
@user-ql8kz5nq6r
@user-ql8kz5nq6r Жыл бұрын
Mungu akupe maisha malefu from uganda
@listonekipkemoi1221
@listonekipkemoi1221 Жыл бұрын
God bless you David,I really blessed with your preaching.
@macklinakabyazi3036
@macklinakabyazi3036 Жыл бұрын
Ahante mtumishi kwa kutulisha neno la Mungu
@estherjonas8466
@estherjonas8466 9 ай бұрын
Mungu ukatuponye mimi na Mume wangu.
@pendosengerema
@pendosengerema Жыл бұрын
Asante sana pastor mmbaga mungu akubariki sana
@destinyfamilymelodiesdfm4003
@destinyfamilymelodiesdfm4003 Жыл бұрын
Barikiwa mtumishi 👌
@aminatuarira8171
@aminatuarira8171 Жыл бұрын
Pastor your so blessed
@innocomtv5115
@innocomtv5115 Жыл бұрын
Asante sana kabisa Tangu nikufwate hapa nabarikiwa sana
@rebeccaphilemon6878
@rebeccaphilemon6878 Жыл бұрын
Nabarikiwa sana na mahubiri haya na ninahisi kubadilika ki fikra.
@marcellahmariga5453
@marcellahmariga5453 Жыл бұрын
Amen. Am blessed and lifted up.. Thanks pastor for the massage
@saramss7262
@saramss7262 Жыл бұрын
No mtumishii Bwana akuinuwe SANA
@hellendourissa
@hellendourissa Жыл бұрын
Amen Mungu pekee wa Kutukuzwa
@metrinemunialo4037
@metrinemunialo4037 Жыл бұрын
Mungu akubariki sana, thank you 🙏
MUNGU ATAINGILIA KATI MAMBO YAKO? | PR.DAVID MMBAGA -
1:23:37
MAHUBIRI TV
Рет қаралды 47 М.
Sigma Kid Hair #funny #sigma #comedy
00:33
CRAZY GREAPA
Рет қаралды 30 МЛН
New model rc bird unboxing and testing
00:10
Ruhul Shorts
Рет қаралды 23 МЛН
Я нашел кто меня пранкует!
00:51
Аришнев
Рет қаралды 5 МЛН
BAADHI YA SABABU KWANINI WACHAWI WAKUSHAMBULIE!!!
59:58
MAHUBIRI TV
Рет қаралды 190 М.
#LIVE; Pr David Mbaga. Ndoa yenye Furaha.
17:39
Sanga Richa
Рет қаралды 2,4 М.
USIPUUZE NDOTO HIZI MWAKA 2022. Na Mch. David Mbaga
1:40:01
SAVP TV
Рет қаралды 50 М.
The Essentials of Prayer | E M Bounds | Free Christian Audiobook
3:55:37
Aneko Press - Christian Audiobooks
Рет қаралды 1 МЛН
مناظرة القرن بين الإسلام والمسيحية
3:38:31
PLAY THIS MIDNIGHT BATTLE PRAYER EVERY NIGHT AS YOU SLEEP | APOSTLE JOSHUA SELMAN
3:57:37
Sigma Kid Hair #funny #sigma #comedy
00:33
CRAZY GREAPA
Рет қаралды 30 МЛН