Ee Mungu mwingi wa neema na rehema endelea kumlinda mtumishi wako na kila baya lililokusudiwa kwake Ili aendelee kulihubiri neno lako
@ruthezra23272 ай бұрын
Mungu anatupenda sana ingawa tulipotezewa hili pendo kupitia vitisho ...ila Mungu amekutumia mchungaji kutuleta Tena karibu naye..
@neemasamwel8968Ай бұрын
Mungu Mtakatifu wa Bwana Yesu Kristo nakushukuru sana sana kwa neno lako
@samuelLoyanai2 ай бұрын
napenda mafundisho yako Sana Niko turkana kenya mahali mafuta imegunduliwa.naitwa Samuel estoo
@user-ye1dt2eb8u2 ай бұрын
Man of God, tukuomba Killa neno lako unalo litamka, ututamkie na kitabu chenyewe, tujisomee pia sisi, tufundisha na wengine hawako Kwa mtandao, tunakupenda sana frm taveta border kenya.tuonekanie Kwa hilo
@rechaelnjeri32992 ай бұрын
Nabarikiwa nikiwa saudi Arabia ❤❤❤
@TabizaAa2 ай бұрын
mbona nabarikiwa jamani 🙏🙏🙏 Mungu akuzidishie mhubiri aki❤❤❤❤❤
@SixGenge2 ай бұрын
Amina pastor Bwana amesema nami leo!!! Ubarikiwe Sana na Bwana ww na familia yako
@Joycependopendo-dv2tb7 күн бұрын
Amen nabarikiwa na mafundisho haya na kila ninaposikiliza mahubiri yako mtumshi na zidii kuongezeka kiroho na pia kiimani hakika Mungu wa mbinguni akubariki na pia akulinde siku zote
@PaulMakona25 күн бұрын
Amina mungu akuongezee neema mtumishii❤❤❤❤
@faustermtavangu82122 ай бұрын
Asante Yesu kwa mafundisho yako kupitia mchungaji nimepona mambo mengi sana sana .kwa sasa naomba wanangu wapate uzazi salama Mungu awaondolee vifungo vya kila aina.
@GrinaSanga3 күн бұрын
Mungu akubariki utokapo na uingiapo Mchungaji
@RachelJosiah-x1u22 күн бұрын
Mungu akutie nguvu zaidi na zaidi katika utumishi aliokuitia
@Mathias-yi5bo2 ай бұрын
Mungu akubariki pastor ❤ hakika nimebarikiwa sana na kupitia mahubir na maombi haya Mungu naomba amponge rafiki yang anasumbuliwa na ampe afya njema kupitia mfungo huu nlofunga cku ya leo AMEN 🙏🙏🙏🙏
@benaharuna-bo1sf2 ай бұрын
Asante mung mkuu kw kinitendea mamb makuu na ya ajabu ushukiriwe mile na milele amen
@josephngigi42112 ай бұрын
Amen blessed prince, brother in one palace kingdom of the holy almighty living God hareluyah I'm following you in Qatar.
@OdiliaJumbeАй бұрын
Ubarikiwe mtumishi wa mungu mahubiri yako yamenisaidia sana mungu azidi kukutumia kwa ufalme wake
@user-ps7fy2oj7i2 ай бұрын
Amina tena Amina mimi ni mtoto Wa Mungu nimebalikiwaaaaaaaaa❤❤❤❤❤❤❤❤
@MarimaAlez-kc5rj2 ай бұрын
nashukuru kwamugiza wababa yangu baba nakushukuru kwajina ra yesu Kirito nahamini tena nà hamini
@lucianyerembe56913 күн бұрын
Itoshe kusema ubarikiwe Pr.
@devothasimbi64952 ай бұрын
Nimebarikiwa na nimejifunza kitu kinaenda kubadirisha maisha yangu umekuwa mbaraka mkubwa kwangu Mungu akuzidishie palipopungua ubarikiwe tena na tena nakufuatilia nikiwa Ufaransa
@mlishohadija69232 ай бұрын
Amen and Amen Mungu akubariki PR nabarikiwa na mafundisho mazuri Mungu azidi kukufunulia zaidi 🙏🙏
@aliaaliamint8545Ай бұрын
Bwanangu yuko na hio Roho yakutozaa sijui tumsaidieje ,,Ubarikiwe sana mtumishi kwa mafundisho mazuri
@user-um1wq3df7t2 ай бұрын
❤pastor mmbaga unanibariki sana ... Mungu azidi kukuinua ili uinue wengine ...
@MarimaAlez-kc5rj2 ай бұрын
mungu nakushukuru kwabaraka urizo nibariki kwanzia leo Hadi mirere baba asnte kwajina ra yesu kristo Amen
@rebaccaewoi88822 ай бұрын
Napendwa na babangu jila lake ni MUNGU🙏🙏
@LucyJack-ks4xpАй бұрын
May God please you pastor, you have been a blessing to me and my family.
@MELIANAMAIRARYA-fr4xcАй бұрын
Pastor ubarikiwee sana kwa mafundisho yako mazuri, mm naomba uniombee niweze kuhudumu, maana nimepangiwa kuhudumu ila siwezi
@justinenangabo48432 ай бұрын
Good preachings, mm ni Nangabo Justine nafuatilia ibaada yako ni nzuri inagusa mioyo ya watu namm pia, very good,
@MerCi-yl5tq2 ай бұрын
Napenda mafundisho yko sana nko Saudia , Ubarikiwe sana nautukumbke kwa maombi Amen Amen and amen 🙏
@SarahNamwila-ec7el2 күн бұрын
Amen amen amen
@luciasteven33142 ай бұрын
AMEN ❤ NAOMBA MSAADA JAMAN KITABU SIRI Y MAOMBI YALIOJIBIWA NAKIPATA WAP PLZ. NAOMBA MSAADA NIELEKEZENI NIPO DAR TEGETA
@deborahtengan2072 ай бұрын
AMEN IM BLESSED,MIMI NI MTOTO WA MUNGU NA KILA JEMA NI LANGU🙏🙏
@user-ys3oy1li2d24 күн бұрын
Ameen mungu akubariki
@maureenkahito62272 ай бұрын
i have a testimony i listened to this nd i listened and followed nd i prayed and i was answered my prayer that i was praying for years and praise to GOD FOR EVERYTHING PASTOR BE BLESSED FOR THE WORD OF GOD I BELIEVE ND TRUST IN GOD IN ALL MY LIFE
@NailejilejIressa2 ай бұрын
Namshukuru Mungu kwa ajili ya mafundisho yako, naona Mungu anaongea na mimi kupitia mafundisho.
@user-dk3xi4pz7oАй бұрын
Amina nabarikiwa sana pasig Mingu na Akullide sana
@MtejaWanguАй бұрын
Mungu akulinde na kukuhekimisha zaidi pastor
@janethgreysonmakengomakeng41452 ай бұрын
Nabarikiwa Sana na Mafundisho yako Mchungaji Mmbaga Ubarikiwe Sana
@gideonlazaro329026 күн бұрын
Kuna muda nasikia kutokwa na mazoezi yananitoka,ahsante Mungu kunishndia dhambi iliyokuwa inanisumbua muda mrefu
@LightnessMsollah2 ай бұрын
ubarikiwe saana mtumishi kwa kaz ya bwana🙏🙏
@RuthNabwire-zw8op2 ай бұрын
Mungu akulinde Kwa kazi nzuri pastor
@nadinekatungu69872 ай бұрын
Asante kwa mahubiri mtumishi wa mungu abarikiwe ,mungu atuwezeshe kujua kitambulisho chetu
@shaniachanceline27512 ай бұрын
Amen!❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@eunicenyandiko13892 ай бұрын
Barikiwa mtumishi wa Mungu,kwa fundisho nzuri Amina ❤❤🎉🎉
@elizabethmwambai4802 ай бұрын
Ni mimi hapa pastor niombee ubarikiwe Qatar from Kenya
@melodiusmwango83622 ай бұрын
Pastor ubarikiwe atassi tuko Pali tuko na jangamoto ya mandeni tuombe pastor ubarikiwe
@waltergekone38792 ай бұрын
Me 2
@user-bh4xt2up7j2 ай бұрын
Amen pastor nimepokea.Mungu akubariki🙏🙏🙏💎💎
@esterngalilwamartine68772 ай бұрын
Mungu akutumie zaidi na zaidi ❤❤nabarikiwa sana
@EverlyneAjayo2 ай бұрын
Am blessed so much from Kenya kisumu
@carolinemwugusi89452 ай бұрын
Amen Amen Amen
@emanueleugen9212 ай бұрын
Pastor unaoeleweka sana mungu akubriki sana
@everinemasoka69232 ай бұрын
Amen Amen ubarikiwe mtumishi wa Mungu
@hbdina2 ай бұрын
🇹🇿🇹🇿🇹🇿Asante sana Baba yangu Mungu Jehovah Muhumbaji wangu kwa mamlaka ya kiuchumi,afya ya Roho na mwili na upendeleo wako kwa family yetu na kunipa mke na familia yangu.Nakushukuru kwa jina la Yesu Kristu Amina
@user-lr7jy7pj3s2 ай бұрын
Baba mungu nitamshukuru daima Asante mchungaji kwa hili somo ubarikiwe nimejifunza kitu kwenye hili somo maana maombi yangu mara nyingi huwa narudia naomba kiunyonge saingine huwa ata nimelala naomba kisahau sahau Asante mungu kwa kuniskilizisha hili somo
@lifeofvicky912 ай бұрын
Andika Mungu kwa herufi kubwa huyo mwengine ni shetani
@linethowire7031Ай бұрын
Nabarikiwa nikiwa Mwanza Kirumba,asante Pastor kwa neno..Mungu azidi kukutumian kama chombo...
@dagradaonlinetvАй бұрын
I am so blessed directly from d Dodoma Almighty God protect you, pastor
@JaneMakokha-bm1xd2 ай бұрын
Amen... Barikiwa mchungaji
@EphrahimMnyiwa2 ай бұрын
Mungu akubariki m2mishi wangu
@omankadara64182 ай бұрын
Amina pasita ubarikiwe sana Mungu akubariki mno
@LawrenceWanjala-to9hi2 ай бұрын
Pasta ,,napenda mahubiri yako,,,mungu akusaidie
@user-cr1nk1zc5s2 ай бұрын
Mungu Ahsante Kwa kila jambo 🙏🏽
@user-sd6bo1xs2z2 ай бұрын
Amen Amen Amen 🙏🙏🙏 ubarikiwe mchungaji
@waltergekone38792 ай бұрын
AMEN
@phylismutinda45302 ай бұрын
Mchungaji mungu na akubariki sana
@rachelraphael13552 ай бұрын
Ameeeeeeeen
@user-pq9be8re6i2 ай бұрын
Amen 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙌
@priscaminayo27242 ай бұрын
Mimi Ni mtoto Wa Mungu, kila mema Na kila jema Ni langu 🙏.
@selanyangweso1032 ай бұрын
Thank you
@SarahMasika-vc2hp2 ай бұрын
Mungu akubariki
@blandinanoah4612 ай бұрын
AMINA 🙏🙏🙏🙏
@donaldsalim54882 ай бұрын
Following from voi.
@maureenmgeni2 ай бұрын
Amina na Amina.
@fgdt64532 ай бұрын
Mimi ni mtoto wa Mungu,Amina
@user-nv2ii9eu4j2 ай бұрын
Amen
@theresearcheronlinetv36492 ай бұрын
MUNGU abariki kazi hii ya Ufalme wake; Tuzidi kuandaliwa kwa Uzima wa Milele
@user-hk4vl6ic2i2 ай бұрын
nabarikiwa sana
@blandinanoah4612 ай бұрын
Amina 🙏🙏
@FrancisMaelezokitabwire2 ай бұрын
Amina🙏
@Ungwamissi2 ай бұрын
Amennn🙏🏾🖤
@WiliburodJosephАй бұрын
Naitwa sitaniley pasita MUNGU wambinguni AKUBALIKI nimejua jinsi yakuomba
@user-ou6ls5ws9jАй бұрын
Mahubiri yakonikonayasikiriz niko Burundi naomba mufundishohay yakae moyonikwang Mungu anifumbuwe maconion
Pastor maombi na mahubiri yako yameniinua katika kiwango hiki had kiingine am in Saudi 🇸🇦 huwa naweka earphone kwa masikio naweka kofia ili hawa watu wasione alafu naifungulia mahubiri yako na simu naiweka kwa room bora kuzikiza kuliko kuwatch uchumbe unifikie
@MahubiriPrMmbaga2 ай бұрын
Ameee
@jeremiaisowe444315 күн бұрын
Yohana 15:7
@jeremiaisowe444315 күн бұрын
Mathayo 7:7
@jeremiaisowe444315 күн бұрын
Luka 11:1
@justinenangabo48432 ай бұрын
Justine nangabo nikiwa nairobi, kenya
@RahimaShujaa2 ай бұрын
Mimi ni mtoto wa Mungu napendwa
@ZawadiItaji2 ай бұрын
Pasta nachukuru kwafundisho ila naomba musaada wamaombi kwamajina nizawadi naishi congo
@justinamusyoka4986Ай бұрын
Kwa nini picture za mwanzo zaonyesha wazungu? Watu wa Biblia ni weusi wa Africa sio wazungu. They lied to us ...brainwashed us.
@user-kz8dd4ek5c2 ай бұрын
0:19 😢😢😢😢❤🙏
@user-kz8dd4ek5c2 ай бұрын
Nabarikiwa sana, napatanguvu kupitia mafundisho yako, Mungu akupe maisha marefu🙏
@joerystiven7762 ай бұрын
Umenifumbua machoyakiroho
@laridistrict47102 ай бұрын
nabarikiwa naomba somo liwe downloadable ili nisikilize baadaye vizuri
@ShukuruElodie-mi9gj2 ай бұрын
Toka RDC nasi tu na barikiwa sana na ma hubiri yako Mchungaji, Mungu aendeleye kuku tumiya kuokowa kondoo zake
@WiliburodJosephАй бұрын
Pasita wewe hunapatikanapi pole nakazi yamungu ila hubalikiwe namba yasimu
@josephinesanita49042 ай бұрын
Bwana yesu asifiwe mchungaji, nko na swali, je mkristo anaweza toa hongo ili apate kazi??
@foncetecelectricalandelect342 ай бұрын
Kinacho anzishwa kwa pesa kinalindwa kwa pesa na kinacho anzishwa kwa maombi kinalindwa kwa maombi chagua mwenyewe
@user-ye1dt2eb8u2 ай бұрын
Big No oo
@rechaelnjeri32992 ай бұрын
Apana
@maryjohn50572 ай бұрын
Hapana ni dhambi Ina bidi uombe ili mungu akupe mwenyewe soma Mathayo 7:7
@luciasteven33142 ай бұрын
AMEN ❤ NAOMBA MSAADA JAMAN KITABU SIRI Y MAOMBI YALIOJIBIWA NAKIPATA WAP PLZ. NAOMBA MSAADA NIELEKEZENI NIPO DAR TEGETA