Nabarikiwa sana na mahubiri Mungu azidi kukutumia pia hua nakuombea kwenye maombi yng
@bitishoriziki11132 жыл бұрын
Ahhhha pasta una chesha kbs
@benedictojakobo44252 жыл бұрын
Kiukweli Mimi napenda mafundisho yako Sana tu, mungu akubariki ninge litamani siku moja ukaribie uku kwet bunda mara🙏
@saighilunyangusi49862 жыл бұрын
Hakika napata uelewa niliokuwa sina. Barikiwa sana pasta na timu nzima ya mahubiritv. Songeni mbele mmekingwa na nguvu za Mungu hata kusudi litimie. Wasikilizaji na watazama nawaombea mfungulie macho ya kiroho myaone na kuelewa tunayoletewa ya mapenz ya Mungu.
@alicenyakawa20622 жыл бұрын
Thank you pastor Mmbaga for the encouraging sermon, really there is surprising benefits from your teachings. May God bless you and gives you strength
@MahubiriPrMmbaga2 жыл бұрын
Amen
@kabaranamaganga66462 жыл бұрын
@@MahubiriPrMmbaga Tafadhali mwambie pastor nina shida ya maombi nina tatizo la presha ya kupanda na moyo kupanuka.
@MahubiriPrMmbaga2 жыл бұрын
Pole sana. Tunakuombea . Mtumie ujumbe wa Whatspp +255 755 932 283
@kingdullah78432 ай бұрын
ww ni mwalimu wa kwel nimekuelewa sana mungu akulipe mema
@mshigilakarume44252 жыл бұрын
Ubarikiwe sana mtumishi wa mungu
@mussatete26182 жыл бұрын
Barikiwa sana Mtumishi, kunamida huwa unachekesha kweli na hiyo mifano😆😆😆😆🙏
@niwagwenemayeye9722 жыл бұрын
Somo zuri sana Mwenyezi Mungu atusaidie kusimama imara na kuelewa
@esthermboje89592 жыл бұрын
Nabarikiwa Sana na masomo yako mungu akubariki mtumishi
@phylliskiendekiende17832 жыл бұрын
Blessed here in Kenya
@raelsarange6382 жыл бұрын
Mtumishi be blessed may God strengthen you I have learned a lot from you be blessed once more 🙏🙏
@clintonjeah28606 ай бұрын
Pastor Mbagga tuko pamoja sana
@salimkatana67212 жыл бұрын
Somo zuri sana.
@divvanajohnson48952 жыл бұрын
Nitaomba kuingia mbinguni, Kwa BWANA
@bitishoriziki11132 жыл бұрын
Amen amene kbs
@jolemerci21552 жыл бұрын
Mutumishi Wa mungu nakufata kutoka omani nisaidie sana mawazo yakushindwa ya itoke sababu mimi mawazo yangu yote inakuwaka nawoga kusema nitashindwa ku fanya jombo najikaza ya itoke ila mawazo hayo hayanitoke ila ku endelea ku sikia mafundisho yako nitafanyikiwa amina
@raelbosibori7131 Жыл бұрын
Im happy pastor sababu nimesonga kiwango ingine kwa maisha be blessed
@juharazanzi9972 жыл бұрын
Amina Mungaji barikiwa sanaa
@MN-hi8ll2 жыл бұрын
Nabarikiwa na neno la Mungu
@luciasteven64412 жыл бұрын
NAJIONA NI MWENYE NEEMA KUBWA....KUFUATILIA MAFUNDISHO YA MCH....MBAGA......YANI HII NEEMA SIIFANANISHI N CHOCHOTE....ASANTE MUNGU KWA NEEMA HII🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@benmurphy89272 жыл бұрын
Pastor naomba siku utoe somo namna ya kusoma biblia sababu watu wengi tunasoma kama kitab cha hadith
@MahubiriPrMmbaga2 жыл бұрын
Noted
@paulinekisorio90982 жыл бұрын
@@MahubiriPrMmbaga Hello pastor . Thanks kwa today message.🙏 I listen to this video by open dairy on the tales of two messiah. How true is this 🙄🙄. Tena this video by the same Topic their God is not our God
@samuliharunk7782 Жыл бұрын
Nime balikiwa saana nahubili hili nanina zidi kuujuwa ukuu wa Mungu kupitia masomohaya Mungu akubaliki,
@FloraNnko3 ай бұрын
Mungu akubariki pr nimekuelewa vizuri barikiwa
@aloycegasper51882 жыл бұрын
Ahsante sana mchungaji Mbaga umenipa nguvu na namna ya kusikiliza sauti ya Roho Mtakatifu
@lydiahsarange74302 жыл бұрын
Amina mjungaji kwa usemi wa hakima na maarifa ya hali ya juu.asante sana na mungu azidi kkuongeza saidi
@agatheminani98072 жыл бұрын
Ahsante kwa mafundisho mazuri baba mchungaji,Mungu wa mbinguni akubariki
@brunomirambi87922 жыл бұрын
HATA MIMI ULISHA NIFUNDISHA NIMETUMIA NA MUNGU HAJAWAHI KUNIANGUSHA KTK HILI LA KUFUKUZA PEPO KWA HILI MUNGU AMEKUWA MKUBWA SANA KTK MAISHA YANGU.
@divvanajohnson48952 жыл бұрын
Mungu akutie nguvu Mtumishi wa bwana
@rhinakiza2 жыл бұрын
Amina pastor nilipo ngoduwa siri hio najivunia huo Baba Yesu
@ekelaalex94112 жыл бұрын
Amen Pastor
@rausoni11 ай бұрын
Mungu,akubariki,sana,mchungaji
@melvinnakhungu25042 жыл бұрын
Amen
@victoriajames61902 жыл бұрын
Amina
@jebetkiplagat8352 жыл бұрын
Umeniogoa kwa alama ya 666 nilikuwa natakikana wakati nilisikia maubiri yako nikaona wanakusemea why oh my God niombe jina langu nitolewe Mimi ni kiplagat chebet nko Saudi Arabia pliz pray for me
@williammussa56212 жыл бұрын
Nimemuona kijana Makala apo...mtu makini sana
@shaniaking75252 жыл бұрын
Mungu akubarik nimekupenda huna ubaguzi wa dini wala kashfa,
@strongmummy5802 жыл бұрын
Surely pastor what you spoke reality in ourselves, all this nimeshudhia kabisa
@gracedickson69262 жыл бұрын
Nabarikiwa sana na Haya mahubiri 🙏🏼🙏🏼🙏🏼
@nsajigwakipembe27632 жыл бұрын
Mungu Baba ni mwema xna somo zuri
@fridayuda9577 Жыл бұрын
Nimebarikiwa Sana na mahubiri haya mwenyezi akuzidishie tuendelee kujifunza zaidi
@bitishoriziki11132 жыл бұрын
Barikiwa mtumishi wam🤲🤲🤲🤲🤝🤝🙏🙏❤❤ngu
@dianasmachera54132 жыл бұрын
Amen 🙏 🙏 🙏
@brightonngerere55882 жыл бұрын
Pr unanibarik mungu mwema akubariki
@busaramduma5812 жыл бұрын
Amina mchungaji
@golasrichard44002 ай бұрын
Be blessed..
@salumuathumani22172 жыл бұрын
mchungaji mbaga uwa nakuelewa sana
@faustianwali-mutekulwa88783 ай бұрын
❤amen
@ChanceBariziraVital-cv5jx3 ай бұрын
Pasita nakuomba utusaidie.kwaswalilinalo sumbua jeyesu ni mweusi
@divvanajohnson48952 жыл бұрын
na spiritual connection
@jackplaymacheku30215 ай бұрын
Amen🙇♂️🙇♂️
@ndakipetro4502 Жыл бұрын
Mchungaji nashindw kujiunga na App ya mhubir tv
@stacylinckonstacy4776 Жыл бұрын
Amen...be blessed man of God
@maureenkemei92542 жыл бұрын
Amina sana nimejifunza kutoka kwako tangu nikusikiliza ni nikujifunza kila siku na kwa kweli limezaa matunda. Asante Sana Mungu akubariki.
@ruthaminga95252 жыл бұрын
Amen 🙏
@zenalzen89972 жыл бұрын
Amen be blessed
@user-ur1eq9uh8o11 ай бұрын
Somo nzuri
@emanuelayo67232 жыл бұрын
Mchungaji na ni mwalimu , nakuombea Mungu aendelee kua ndani yako, nabarikiwa na kila msg inayo pitishwa kwako na Mungu mwenyewe,
@learnenglishandfrench49102 жыл бұрын
Asante baba mchungaji kwa maombi mazuri
@alexmushi941610 ай бұрын
Piere liquid
@brynwalk44892 жыл бұрын
Amen amen
@mossesjoseph22022 жыл бұрын
GLORY TO GOD.
@karlgabrielwilfredkalivuba9272 жыл бұрын
Glory to God
@irenejoseph59252 жыл бұрын
AMENI kubwa
@divvanajohnson48952 жыл бұрын
Yani Kama mie nikilazimisha vitu ninakomaaaa
@richardcastromzena5136 Жыл бұрын
29:58 epigenetics
@susanolambo97232 жыл бұрын
Biblia inamaanisha nini inapoasema kwa mfano wake na kwa sura yake? Msaada wa kueleweshwa
@user-vi7db5sj8x Жыл бұрын
Mtumishi wa Mungu natamani kujifunza zaidi, ninapopata wateja wengi namshukuru Mungu aliyetupa riziki maana Mungu ndiye ngawaji wa riziki, nikimpunguzia mwenzangu wateja maanake namuelekeza Mungu kuwa umesahau jirani yangu?