Mimi ni Mzaliwa wa kwanza kwa cheo nina ushuhuda aisee maisha si rahisi tunayoyapitia ni Mungu tu ajuaye... Ila ukimtumainia Mungu na kumtanguliza katika kila jambo kuna vile anakufungulia njia za mibaraka. Kutoa kwako ndivyo Mungu anapozidi kukufungulia njia. Tujifunze kuto kunung'unika sana pale tunapokua na majukumu mengi nyumba yetu...Tujifunze kurudi miguuni pa bwana na kuomba na kumwachia Mungu atende sawasawa na mapenzi yake🙏🙏
@user-wy6cs8kj4y12 күн бұрын
Amen 🙏asante sana muhubiri mahubiri yako,mafundisho yako yamenigusa katika maisha ninayo pitia kwa sasa na ninaamini mungu ameshughulika si mzaliwa wa kwanza laki katika kibali cha mungu nikama wa kwanza
@claudiabasili4486Ай бұрын
Dear first born siku zote MUNGU anawafanyia njia.much love to them
@aumamadina710012 сағат бұрын
He said not all first Borns are God's first born
@ambonisefesto1416Ай бұрын
Mungu wetu wa Mbinguni akubariki mchungaji wangu huwa unanitia Moyo Sana nimekuwa nikiandamwa kazini mpaka nilitamani kuacha kazi lakini Mungu akanipa akili ya kwenda shule afisa utumishi wangu alinikatalia lakini Mungu alimtumia bosi mwingine akaongea na mwajiri wangu akabaki anashangaa akasema sijamkatalia mtu kwenda shule hivyo mwishoni nikapewa barua ya ruhusa na baada ya Mimi kuondoka nikapigiwa simu kuwa Yule bosi wako amehamishea nampenda Sana huyu Mungu wa muujiza kwangu❤❤❤
@2packmakavelShakur-tr3cuАй бұрын
Ninakushukiru YESU kwa njia ya Mchungaji Mmbaga ninaamini utanipatia hitaji langu la kumuoa mchumba wangu kwa jina la YESU Amina
@user-um1wq3df7tАй бұрын
pastr mmbaga umenibadilisha maneno yako ni salaha kuna nguvu katika mahubiri yako ubarikiwe sana
@abigaelmwadena2262Ай бұрын
Amen barikiwa sana. Kwa somo hili naomba Mungu anibadilishe
@BushiriAmisi-i7z23 күн бұрын
Amen Mungu akubariki sana mchungaji
@mush337Ай бұрын
Napenda mahubiri yako sana,kile kinachonileta hapa sio nyimbo Wala mahubiri ya mtu mwingine ila yako
@edwardmugendi-hb1tjАй бұрын
anza na kumuabdu
@stivininjingo504Ай бұрын
Dear pastor MMBAGA, Ukweli unagusa maisha yangu najisikia kutiwa nguvu kwa masomo haya ninayojifunza, kupitia wewe, nilitamani kupotezea, na kukubali kushindwa ila Sasa nitasimama, na MUNGU.
@MahubiriPrMmbagaАй бұрын
Mungu akutie nguvu
@esternaftari903216 күн бұрын
Jipe moyo mpendwa unaanzaje kumkosa Mungu kwa ajiri ya changamoto endelea mbele kila lenye mwanzo lina mwisho
@mariamaswani832Ай бұрын
Asante mchungaji kwa somo kwa kweli kila fundisho linafana na maisha yangu halisi niombe niwe pia mimi niweze kufanya kazi shambani mwa bwana
@reubenomandi1272Ай бұрын
Most touching sermon ever!
@feadamagessa889Ай бұрын
Mungu akubariki sana pr kweli Mimi na shambuliwa sana nilikuwa sijui , Mungu anisaidie sana
@PeterCharles-yc7tnАй бұрын
Mchungaji kwakweli mim hua naandamwa sana nimekua nasingiziwa vitu nawatu wangu wakaribu hata mume wangu je hilinalo no agano au nitatizo lingine nisaidie mungu akubariki
@viddamgeneka8881Ай бұрын
Yaanii!
@esternaftari903216 күн бұрын
Ndiyo ni agano ndiyo maana Mungu anakuweka drsn
@SuzanaNyandaАй бұрын
AMEN HAKIKA nmebarikiwa na mafundisho ya roho mtakatifu Asante YESU
@user-nc6cv9sc2hАй бұрын
Bwana yesu asifiwe pasta mungu akubariki sana aya mahubiri ni yangu umenifariji sana
@RachaelMbeyu5 күн бұрын
Asante sana kwa somo la leo mungu atutangulie kwa kila jambo tunahitaji yesu atuongoze kwa kila hatua
@NeemaLadslausАй бұрын
Par,mungu akubariki yaan mafundisho yako yamenitia moyo na nguvu Katika maisha ya kiimani mungu akubariki Sana ninabarikiwa Sana
@maureenmgeniАй бұрын
Mwenyezi Mungu azidi kukuinua na kukubariki zaidi na kukutumia katika kuvuna nafsi zake. Aminaa.
kweli mchngaji Kama wakati huu majukumu yanayonilazimu kutoa Kwa ndugu nikijumlisha namwaga tofali na kuanza kujenga lakin nitatoa na kujenga Bado na hakuna wa kumueleza shida zangu na wakati mengne wakiniomba nakopa hawajui
@VeronicahNyabokeАй бұрын
Amen, pastor God bless you
@MisangoSamson29 күн бұрын
Ushukuriwe mchungaji kwa ujumbe wako Mungu akubariki
@WilieliminaZachariaАй бұрын
Amina nabarikiwa Sana mungu akuinue zaidi na akulinde
@MichaelMhangwa-ip1ssАй бұрын
Ameeeen pr. Bwana akubariki Sana
@mlishohadija6923Ай бұрын
Mungu akutetee mema pr kwa masoma haya mazuri
@nengajoseph242125 күн бұрын
Hakika some hili limenigusa sana pr Mungu akubariki sana.
@PreciousWatson-kc2xsАй бұрын
Amen ubarikiwe san
@ObadiahRuto-z1j20 күн бұрын
Amen ubarikiwe pstr
@esterpeter855624 күн бұрын
Pastor una moyo mzuri mweupe peee! YESU akutunze baba
@zainabkase932412 күн бұрын
Pastor majirani wangu wana nichukia sana niombee
@perisbosibori8524Ай бұрын
AMEN! I've listened to the message a bit late but it has built my faith and blessed me greatly. GOD bless you Pastor for teachings are ever timely and have changed my life in an amazing way 🙏🏻 🙌🏻.
@kaitirajosephatАй бұрын
Hivi PR mbn unanisema Mimi Siku 1 Kaka angu mkubwa aliniomba mpaka pesa ya mchango wa Kikao cha Familia 😂😂😂 daaah!! Mtu analalamika kabisa Yesu wangu😅
@maseaJoe8676Ай бұрын
Mtumishi asante sana barikiwa
@festojuma7659Ай бұрын
Mchungaji hapa umenijenga sana unacho sema kime nigusa sana Mungu akubalik
@uwezom7914Ай бұрын
Amen Asante kwa neno
@Trizah-254-eАй бұрын
Niombee Pastor na watoto wangu
@sylviesaidi5740Ай бұрын
Nimebarikiwa sn na ilisomo maombi Mungu aka nikumbuke na Mimi
@user-dk3xi4pz7oАй бұрын
Amina
@RahimaShujaaАй бұрын
NAOMBA maombi ya talaka iniondokee niwe n upendo na mume wangu Chrispus motto awachane na mpango wa kando
@MahubiriPrMmbagaАй бұрын
Ninakuombea
@margarethpeter6762Ай бұрын
Mungu akubarik Sana Pastor hakika Wewe ni Baraka kwa kizazi chetu tuishio Leo.
@theresiamwanamkejasiri6510Ай бұрын
Mungu Akusaidie sana na awarudishie upendo
@user-ye1dt2eb8uАй бұрын
@@MahubiriPrMmbaga, pastor, pray for me, also, ndoa ndoa Mchungaji mipango ya kando inatutesa sana, na tuombe aje kwanza, tuwasamehe au tuwabariki, au tuwalaani .
@theresearcheronlinetv3649Ай бұрын
@@margarethpeter6762Umeona eeeeh! Tuwe tunamuombea MUNGU amvalishe mamlaka yake! Ili wengi tubarikiwe na kuokolewa🔥🔥🔥
@agneskhakali2069Ай бұрын
Amen Amen
@ReginaGalus25 күн бұрын
Pastor nahtaji kubarikiwa ni mbeba agano kwa haya nayopitia inaonyesha dhairi naomba niongoze katika maombi
@user-qi3zs4zb2c18 күн бұрын
Amina pastor
@ElizanaBahati7 күн бұрын
Amen 🎉🎉
@user-wg2gd2nl6c25 күн бұрын
Amina mtumishi
@MariamMZIMBA-zf5ev18 күн бұрын
Nimimi kwakweli ila nina vita kubwa sana ya kiroho inayo fanya nishindwe kukomboa familia yangu Ktk familia nimepata neema ya kokoka ni mimi napigwa vita na familia nzima
@peninahmoraa8419Ай бұрын
Mungu akutendee na akuongeze hekima
@user-ep9by3ui1vАй бұрын
Alléluia 🙌🙏
@JoyKerubo2013Ай бұрын
Pastor uombee mzaliwa wa kwanza wa kwangu anayeitwa Brian apate kazi.. kutoka Kenya
@josephhakizimanamuganza222Ай бұрын
Jambo muchungaji nafaidika sana kupitiya mahubiri
@josephinemapande522118 күн бұрын
Mungu azidi kukutunza ili tufaidike namafundisho yako yatubariki niombee nipone kiroho nakimwili
@AidaChamaa-wi3hgКүн бұрын
Mungu niajalie nipate mume wangu sitaki wa mtu😢😢
@bernadethansanzugwanko77898 күн бұрын
Mchungaji, ubarikiwe sana kwa mafundisho yako. Naomba namba yako uokoe maisha ya mwanangu yanateketea
@jeremiaisowe444316 күн бұрын
Usiruhusu woga utawale maisha Yako.
@sylviaomwenga874023 күн бұрын
Amen amen amen 🙏🙏🙏🙏🙏🙌
@LareineAzizaАй бұрын
😢 achukuriwe MUNGU maana yeye nimwema kwetu kila leo
@IsaacJohn-qq7hmАй бұрын
😂ubarikiwe pr mungu akutie nguv
@totoothindi4233Ай бұрын
Pastor niombee niko na case kesho kotini...nimelala kwa cell
@amosmomanyi096Ай бұрын
Mungu ndiye mtetezi wa kwako
@totoothindi4233Ай бұрын
Nashukuru sana majabu ya metendeka nilikua nawekwa mpaka Bond imekuwa cancelled just from nowhere a lawyer mwenye sijui akakuja na file wakati last ikisomwa niende sasa remand for 3months Lawyer akanitetea...kwa sasa nko free nimepewa date ya 25 September 2024...zidi kuniombea Pastor napitia magumu.. Nashukuru sana kwa miracle imefanyika leo ...kwa kweli nimeona mkono wa Bwana
@MarthaToshАй бұрын
Mungu awe upande wako
@emanuelymittango37415 сағат бұрын
Amina kubwa kwako mchungaji
@sylviaomwenga874023 күн бұрын
Asante sana baba wangu naomba uzidi kuwa nami siku zote zamaisha yangu
@sirpleasurebАй бұрын
INJILI NJEMA,ATUKUZWE BWANA.
@annbonareri14 күн бұрын
Amen
@user-gv4pc9if2uАй бұрын
Now no more blood of Jesus particularly in Tanzania but Yap, the teaching. By Heri
@user-ji2pg2vq1i19 күн бұрын
Amen amen
@nonemodeisti3740Ай бұрын
Amen 🙏 🙏
@emmanuelmbwambo657126 күн бұрын
SAWA mchungaji (akhsante).🙏
@Trizah-254-eАй бұрын
AMEN
@ChanceBariziraVital-cv5jxАй бұрын
Lakinipasita je nahaowai silaheri niwakweli ambaowakohapo.isilaheli
@ElizabethMheziАй бұрын
Amen🙏
@patyflaviank5199Ай бұрын
Pastor naomba namba ya kutuma sadaka....
@user-pl6et5uu6wАй бұрын
Sasa nimekuelewa kabisa mungu naomba unisamehe,nimesahau majukumu yangu ktk BOMA letu naanza Kaz rasmi,ameen
@jacklineantonymasaga851716 күн бұрын
Umenibari na kunifundisha
@jeremiaisowe444316 күн бұрын
Baki naMungu maana kupitia Mungu kunakufanikiwa.
@GraceZunda22 күн бұрын
Ameeeen
@paulivo7072Ай бұрын
Ameen
@gelardjames2595Ай бұрын
AMEN 🙏
@MASANZAJANVIER29 күн бұрын
Deborah uriyo 27:23
@tabithamasesa7390Ай бұрын
Hapo ni wapi jamani
@laridistrict4710Ай бұрын
niombee kuna vita vikali nilichobeba bwana akipanue kabisa kiwe baraka kwa wengi
@KalabaKlbАй бұрын
Nahitaji icho kitabu cha kusikiya sauti ya mungu
@peninahmoraa8419Ай бұрын
Yaani utasikia tena na tena
@mrsdeborahurioАй бұрын
Ni ukweli kabisa!
@neemamsalege632522 күн бұрын
Naomba namba ya pastor mbaga pleass!!!!!
@sylviesaidi5740Ай бұрын
Nihitaji maombi ya kunipa kiu ya maombi please postor
@boscoShamaАй бұрын
Nakupata
@RahelRaulenskahilo6 сағат бұрын
Mtumishi niombee roho yaunzinzi iniachilie
@mariahaloyce5190Ай бұрын
Ameeen
@magesamatiku7506Ай бұрын
Nawezaje kupata namba za simu za Pasta huyu
@edwardmnyuku4105Ай бұрын
😅😅😮😮😮😮 1:04:40 😮
@Trizah-254-eАй бұрын
Pastor ombea msichana wangu mkubwa alikuwa mwerdvu lakini siku hizi amerudi nyumba mbali Sana.
@MASANZAJANVIER29 күн бұрын
DEBORAH URIYO 29:48
@feiswalsalim211715 күн бұрын
sasa hawa maa bwana wakuwakupaga mopago ilikuuza sukari kwa kutumia mkowa mojja or kutia kuza sukari kwa wilaya mooja sasa watatumia idia yamgu kupuguza bei ya sukari kwa killa mkowa
@dsgroup6093Ай бұрын
Pastor ninashida na namba yako
@jeremiaisowe444316 күн бұрын
Usirudishwe nyuma nawanaokuchukia
@MASANZAJANVIER29 күн бұрын
DEBORAH URIYO
@reginaburetta2304Ай бұрын
Je somo hili linamwendelezo mana nautafta sijauona
@cristinajeremiah245026 күн бұрын
Yananihusu
@maryAndrew728Ай бұрын
Ni mama yangu amenitumia nisikilize video hii, na 😢 hii wiki yote naota nasoma secondary, na naota watu niliosoma nao chuo, mchungaji ,!