#mahubiri

  Рет қаралды 48,024

MAHUBIRI TV

MAHUBIRI TV

Ай бұрын

Пікірлер: 127
@gracej876
@gracej876 Ай бұрын
Mimi ni Mzaliwa wa kwanza kwa cheo nina ushuhuda aisee maisha si rahisi tunayoyapitia ni Mungu tu ajuaye... Ila ukimtumainia Mungu na kumtanguliza katika kila jambo kuna vile anakufungulia njia za mibaraka. Kutoa kwako ndivyo Mungu anapozidi kukufungulia njia. Tujifunze kuto kunung'unika sana pale tunapokua na majukumu mengi nyumba yetu...Tujifunze kurudi miguuni pa bwana na kuomba na kumwachia Mungu atende sawasawa na mapenzi yake🙏🙏
@user-wy6cs8kj4y
@user-wy6cs8kj4y 12 күн бұрын
Amen 🙏asante sana muhubiri mahubiri yako,mafundisho yako yamenigusa katika maisha ninayo pitia kwa sasa na ninaamini mungu ameshughulika si mzaliwa wa kwanza laki katika kibali cha mungu nikama wa kwanza
@claudiabasili4486
@claudiabasili4486 Ай бұрын
Dear first born siku zote MUNGU anawafanyia njia.much love to them
@aumamadina7100
@aumamadina7100 12 сағат бұрын
He said not all first Borns are God's first born
@ambonisefesto1416
@ambonisefesto1416 Ай бұрын
Mungu wetu wa Mbinguni akubariki mchungaji wangu huwa unanitia Moyo Sana nimekuwa nikiandamwa kazini mpaka nilitamani kuacha kazi lakini Mungu akanipa akili ya kwenda shule afisa utumishi wangu alinikatalia lakini Mungu alimtumia bosi mwingine akaongea na mwajiri wangu akabaki anashangaa akasema sijamkatalia mtu kwenda shule hivyo mwishoni nikapewa barua ya ruhusa na baada ya Mimi kuondoka nikapigiwa simu kuwa Yule bosi wako amehamishea nampenda Sana huyu Mungu wa muujiza kwangu❤❤❤
@2packmakavelShakur-tr3cu
@2packmakavelShakur-tr3cu Ай бұрын
Ninakushukiru YESU kwa njia ya Mchungaji Mmbaga ninaamini utanipatia hitaji langu la kumuoa mchumba wangu kwa jina la YESU Amina
@user-um1wq3df7t
@user-um1wq3df7t Ай бұрын
pastr mmbaga umenibadilisha maneno yako ni salaha kuna nguvu katika mahubiri yako ubarikiwe sana
@abigaelmwadena2262
@abigaelmwadena2262 Ай бұрын
Amen barikiwa sana. Kwa somo hili naomba Mungu anibadilishe
@BushiriAmisi-i7z
@BushiriAmisi-i7z 23 күн бұрын
Amen Mungu akubariki sana mchungaji
@mush337
@mush337 Ай бұрын
Napenda mahubiri yako sana,kile kinachonileta hapa sio nyimbo Wala mahubiri ya mtu mwingine ila yako
@edwardmugendi-hb1tj
@edwardmugendi-hb1tj Ай бұрын
anza na kumuabdu
@stivininjingo504
@stivininjingo504 Ай бұрын
Dear pastor MMBAGA, Ukweli unagusa maisha yangu najisikia kutiwa nguvu kwa masomo haya ninayojifunza, kupitia wewe, nilitamani kupotezea, na kukubali kushindwa ila Sasa nitasimama, na MUNGU.
@MahubiriPrMmbaga
@MahubiriPrMmbaga Ай бұрын
Mungu akutie nguvu
@esternaftari9032
@esternaftari9032 16 күн бұрын
Jipe moyo mpendwa unaanzaje kumkosa Mungu kwa ajiri ya changamoto endelea mbele kila lenye mwanzo lina mwisho
@mariamaswani832
@mariamaswani832 Ай бұрын
Asante mchungaji kwa somo kwa kweli kila fundisho linafana na maisha yangu halisi niombe niwe pia mimi niweze kufanya kazi shambani mwa bwana
@reubenomandi1272
@reubenomandi1272 Ай бұрын
Most touching sermon ever!
@feadamagessa889
@feadamagessa889 Ай бұрын
Mungu akubariki sana pr kweli Mimi na shambuliwa sana nilikuwa sijui , Mungu anisaidie sana
@PeterCharles-yc7tn
@PeterCharles-yc7tn Ай бұрын
Mchungaji kwakweli mim hua naandamwa sana nimekua nasingiziwa vitu nawatu wangu wakaribu hata mume wangu je hilinalo no agano au nitatizo lingine nisaidie mungu akubariki
@viddamgeneka8881
@viddamgeneka8881 Ай бұрын
Yaanii!
@esternaftari9032
@esternaftari9032 16 күн бұрын
Ndiyo ni agano ndiyo maana Mungu anakuweka drsn
@SuzanaNyanda
@SuzanaNyanda Ай бұрын
AMEN HAKIKA nmebarikiwa na mafundisho ya roho mtakatifu Asante YESU
@user-nc6cv9sc2h
@user-nc6cv9sc2h Ай бұрын
Bwana yesu asifiwe pasta mungu akubariki sana aya mahubiri ni yangu umenifariji sana
@RachaelMbeyu
@RachaelMbeyu 5 күн бұрын
Asante sana kwa somo la leo mungu atutangulie kwa kila jambo tunahitaji yesu atuongoze kwa kila hatua
@NeemaLadslaus
@NeemaLadslaus Ай бұрын
Par,mungu akubariki yaan mafundisho yako yamenitia moyo na nguvu Katika maisha ya kiimani mungu akubariki Sana ninabarikiwa Sana
@maureenmgeni
@maureenmgeni Ай бұрын
Mwenyezi Mungu azidi kukuinua na kukubariki zaidi na kukutumia katika kuvuna nafsi zake. Aminaa.
@MarimaAlez-kc5rj
@MarimaAlez-kc5rj Ай бұрын
Pr Amina Asante kwabaraka nazo pokea nabarikiwa nikiwa zambia mungu abudiwe.
@FarajaMtavangu
@FarajaMtavangu Ай бұрын
kweli mchngaji Kama wakati huu majukumu yanayonilazimu kutoa Kwa ndugu nikijumlisha namwaga tofali na kuanza kujenga lakin nitatoa na kujenga Bado na hakuna wa kumueleza shida zangu na wakati mengne wakiniomba nakopa hawajui
@VeronicahNyaboke
@VeronicahNyaboke Ай бұрын
Amen, pastor God bless you
@MisangoSamson
@MisangoSamson 29 күн бұрын
Ushukuriwe mchungaji kwa ujumbe wako Mungu akubariki
@WilieliminaZacharia
@WilieliminaZacharia Ай бұрын
Amina nabarikiwa Sana mungu akuinue zaidi na akulinde
@MichaelMhangwa-ip1ss
@MichaelMhangwa-ip1ss Ай бұрын
Ameeeen pr. Bwana akubariki Sana
@mlishohadija6923
@mlishohadija6923 Ай бұрын
Mungu akutetee mema pr kwa masoma haya mazuri
@nengajoseph2421
@nengajoseph2421 25 күн бұрын
Hakika some hili limenigusa sana pr Mungu akubariki sana.
@PreciousWatson-kc2xs
@PreciousWatson-kc2xs Ай бұрын
Amen ubarikiwe san
@ObadiahRuto-z1j
@ObadiahRuto-z1j 20 күн бұрын
Amen ubarikiwe pstr
@esterpeter8556
@esterpeter8556 24 күн бұрын
Pastor una moyo mzuri mweupe peee! YESU akutunze baba
@zainabkase9324
@zainabkase9324 12 күн бұрын
Pastor majirani wangu wana nichukia sana niombee
@perisbosibori8524
@perisbosibori8524 Ай бұрын
AMEN! I've listened to the message a bit late but it has built my faith and blessed me greatly. GOD bless you Pastor for teachings are ever timely and have changed my life in an amazing way 🙏🏻 🙌🏻.
@kaitirajosephat
@kaitirajosephat Ай бұрын
Hivi PR mbn unanisema Mimi Siku 1 Kaka angu mkubwa aliniomba mpaka pesa ya mchango wa Kikao cha Familia 😂😂😂 daaah!! Mtu analalamika kabisa Yesu wangu😅
@maseaJoe8676
@maseaJoe8676 Ай бұрын
Mtumishi asante sana barikiwa
@festojuma7659
@festojuma7659 Ай бұрын
Mchungaji hapa umenijenga sana unacho sema kime nigusa sana Mungu akubalik
@uwezom7914
@uwezom7914 Ай бұрын
Amen Asante kwa neno
@Trizah-254-e
@Trizah-254-e Ай бұрын
Niombee Pastor na watoto wangu
@sylviesaidi5740
@sylviesaidi5740 Ай бұрын
Nimebarikiwa sn na ilisomo maombi Mungu aka nikumbuke na Mimi
@user-dk3xi4pz7o
@user-dk3xi4pz7o Ай бұрын
Amina
@RahimaShujaa
@RahimaShujaa Ай бұрын
NAOMBA maombi ya talaka iniondokee niwe n upendo na mume wangu Chrispus motto awachane na mpango wa kando
@MahubiriPrMmbaga
@MahubiriPrMmbaga Ай бұрын
Ninakuombea
@margarethpeter6762
@margarethpeter6762 Ай бұрын
Mungu akubarik Sana Pastor hakika Wewe ni Baraka kwa kizazi chetu tuishio Leo.
@theresiamwanamkejasiri6510
@theresiamwanamkejasiri6510 Ай бұрын
Mungu Akusaidie sana na awarudishie upendo
@user-ye1dt2eb8u
@user-ye1dt2eb8u Ай бұрын
​@@MahubiriPrMmbaga, pastor, pray for me, also, ndoa ndoa Mchungaji mipango ya kando inatutesa sana, na tuombe aje kwanza, tuwasamehe au tuwabariki, au tuwalaani .
@theresearcheronlinetv3649
@theresearcheronlinetv3649 Ай бұрын
@@margarethpeter6762Umeona eeeeh! Tuwe tunamuombea MUNGU amvalishe mamlaka yake! Ili wengi tubarikiwe na kuokolewa🔥🔥🔥
@agneskhakali2069
@agneskhakali2069 Ай бұрын
Amen Amen
@ReginaGalus
@ReginaGalus 25 күн бұрын
Pastor nahtaji kubarikiwa ni mbeba agano kwa haya nayopitia inaonyesha dhairi naomba niongoze katika maombi
@user-qi3zs4zb2c
@user-qi3zs4zb2c 18 күн бұрын
Amina pastor
@ElizanaBahati
@ElizanaBahati 7 күн бұрын
Amen 🎉🎉
@user-wg2gd2nl6c
@user-wg2gd2nl6c 25 күн бұрын
Amina mtumishi
@MariamMZIMBA-zf5ev
@MariamMZIMBA-zf5ev 18 күн бұрын
Nimimi kwakweli ila nina vita kubwa sana ya kiroho inayo fanya nishindwe kukomboa familia yangu Ktk familia nimepata neema ya kokoka ni mimi napigwa vita na familia nzima
@peninahmoraa8419
@peninahmoraa8419 Ай бұрын
Mungu akutendee na akuongeze hekima
@user-ep9by3ui1v
@user-ep9by3ui1v Ай бұрын
Alléluia 🙌🙏
@JoyKerubo2013
@JoyKerubo2013 Ай бұрын
Pastor uombee mzaliwa wa kwanza wa kwangu anayeitwa Brian apate kazi.. kutoka Kenya
@josephhakizimanamuganza222
@josephhakizimanamuganza222 Ай бұрын
Jambo muchungaji nafaidika sana kupitiya mahubiri
@josephinemapande5221
@josephinemapande5221 18 күн бұрын
Mungu azidi kukutunza ili tufaidike namafundisho yako yatubariki niombee nipone kiroho nakimwili
@AidaChamaa-wi3hg
@AidaChamaa-wi3hg Күн бұрын
Mungu niajalie nipate mume wangu sitaki wa mtu😢😢
@bernadethansanzugwanko7789
@bernadethansanzugwanko7789 8 күн бұрын
Mchungaji, ubarikiwe sana kwa mafundisho yako. Naomba namba yako uokoe maisha ya mwanangu yanateketea
@jeremiaisowe4443
@jeremiaisowe4443 16 күн бұрын
Usiruhusu woga utawale maisha Yako.
@sylviaomwenga8740
@sylviaomwenga8740 23 күн бұрын
Amen amen amen 🙏🙏🙏🙏🙏🙌
@LareineAziza
@LareineAziza Ай бұрын
😢 achukuriwe MUNGU maana yeye nimwema kwetu kila leo
@IsaacJohn-qq7hm
@IsaacJohn-qq7hm Ай бұрын
😂ubarikiwe pr mungu akutie nguv
@totoothindi4233
@totoothindi4233 Ай бұрын
Pastor niombee niko na case kesho kotini...nimelala kwa cell
@amosmomanyi096
@amosmomanyi096 Ай бұрын
Mungu ndiye mtetezi wa kwako
@totoothindi4233
@totoothindi4233 Ай бұрын
Nashukuru sana majabu ya metendeka nilikua nawekwa mpaka Bond imekuwa cancelled just from nowhere a lawyer mwenye sijui akakuja na file wakati last ikisomwa niende sasa remand for 3months Lawyer akanitetea...kwa sasa nko free nimepewa date ya 25 September 2024...zidi kuniombea Pastor napitia magumu.. Nashukuru sana kwa miracle imefanyika leo ...kwa kweli nimeona mkono wa Bwana
@MarthaTosh
@MarthaTosh Ай бұрын
Mungu awe upande wako
@emanuelymittango3741
@emanuelymittango3741 5 сағат бұрын
Amina kubwa kwako mchungaji
@sylviaomwenga8740
@sylviaomwenga8740 23 күн бұрын
Asante sana baba wangu naomba uzidi kuwa nami siku zote zamaisha yangu
@sirpleasureb
@sirpleasureb Ай бұрын
INJILI NJEMA,ATUKUZWE BWANA.
@annbonareri
@annbonareri 14 күн бұрын
Amen
@user-gv4pc9if2u
@user-gv4pc9if2u Ай бұрын
Now no more blood of Jesus particularly in Tanzania but Yap, the teaching. By Heri
@user-ji2pg2vq1i
@user-ji2pg2vq1i 19 күн бұрын
Amen amen
@nonemodeisti3740
@nonemodeisti3740 Ай бұрын
Amen 🙏 🙏
@emmanuelmbwambo6571
@emmanuelmbwambo6571 26 күн бұрын
SAWA mchungaji (akhsante).🙏
@Trizah-254-e
@Trizah-254-e Ай бұрын
AMEN
@ChanceBariziraVital-cv5jx
@ChanceBariziraVital-cv5jx Ай бұрын
Lakinipasita je nahaowai silaheri niwakweli ambaowakohapo.isilaheli
@ElizabethMhezi
@ElizabethMhezi Ай бұрын
Amen🙏
@patyflaviank5199
@patyflaviank5199 Ай бұрын
Pastor naomba namba ya kutuma sadaka....
@user-pl6et5uu6w
@user-pl6et5uu6w Ай бұрын
Sasa nimekuelewa kabisa mungu naomba unisamehe,nimesahau majukumu yangu ktk BOMA letu naanza Kaz rasmi,ameen
@jacklineantonymasaga8517
@jacklineantonymasaga8517 16 күн бұрын
Umenibari na kunifundisha
@jeremiaisowe4443
@jeremiaisowe4443 16 күн бұрын
Baki naMungu maana kupitia Mungu kunakufanikiwa.
@GraceZunda
@GraceZunda 22 күн бұрын
Ameeeen
@paulivo7072
@paulivo7072 Ай бұрын
Ameen
@gelardjames2595
@gelardjames2595 Ай бұрын
AMEN 🙏
@MASANZAJANVIER
@MASANZAJANVIER 29 күн бұрын
Deborah uriyo 27:23
@tabithamasesa7390
@tabithamasesa7390 Ай бұрын
Hapo ni wapi jamani
@laridistrict4710
@laridistrict4710 Ай бұрын
niombee kuna vita vikali nilichobeba bwana akipanue kabisa kiwe baraka kwa wengi
@KalabaKlb
@KalabaKlb Ай бұрын
Nahitaji icho kitabu cha kusikiya sauti ya mungu
@peninahmoraa8419
@peninahmoraa8419 Ай бұрын
Yaani utasikia tena na tena
@mrsdeborahurio
@mrsdeborahurio Ай бұрын
Ni ukweli kabisa!
@neemamsalege6325
@neemamsalege6325 22 күн бұрын
Naomba namba ya pastor mbaga pleass!!!!!
@sylviesaidi5740
@sylviesaidi5740 Ай бұрын
Nihitaji maombi ya kunipa kiu ya maombi please postor
@boscoShama
@boscoShama Ай бұрын
Nakupata
@RahelRaulenskahilo
@RahelRaulenskahilo 6 сағат бұрын
Mtumishi niombee roho yaunzinzi iniachilie
@mariahaloyce5190
@mariahaloyce5190 Ай бұрын
Ameeen
@magesamatiku7506
@magesamatiku7506 Ай бұрын
Nawezaje kupata namba za simu za Pasta huyu
@edwardmnyuku4105
@edwardmnyuku4105 Ай бұрын
😅😅😮😮😮😮 1:04:40 😮
@Trizah-254-e
@Trizah-254-e Ай бұрын
Pastor ombea msichana wangu mkubwa alikuwa mwerdvu lakini siku hizi amerudi nyumba mbali Sana.
@MASANZAJANVIER
@MASANZAJANVIER 29 күн бұрын
DEBORAH URIYO 29:48
@feiswalsalim2117
@feiswalsalim2117 15 күн бұрын
sasa hawa maa bwana wakuwakupaga mopago ilikuuza sukari kwa kutumia mkowa mojja or kutia kuza sukari kwa wilaya mooja sasa watatumia idia yamgu kupuguza bei ya sukari kwa killa mkowa
@dsgroup6093
@dsgroup6093 Ай бұрын
Pastor ninashida na namba yako
@jeremiaisowe4443
@jeremiaisowe4443 16 күн бұрын
Usirudishwe nyuma nawanaokuchukia
@MASANZAJANVIER
@MASANZAJANVIER 29 күн бұрын
DEBORAH URIYO
@reginaburetta2304
@reginaburetta2304 Ай бұрын
Je somo hili linamwendelezo mana nautafta sijauona
@cristinajeremiah2450
@cristinajeremiah2450 26 күн бұрын
Yananihusu
@maryAndrew728
@maryAndrew728 Ай бұрын
Ni mama yangu amenitumia nisikilize video hii, na 😢 hii wiki yote naota nasoma secondary, na naota watu niliosoma nao chuo, mchungaji ,!
@MahubiriPrMmbaga
@MahubiriPrMmbaga Ай бұрын
Mungu akufungue
@BushiriAmisi-i7z
@BushiriAmisi-i7z 23 күн бұрын
Amen Mungu akubariki sana mchungaji
@user-wf1cj3dl4t
@user-wf1cj3dl4t Ай бұрын
Amina
UJASIRI WA MAOMBI | PR  DAVID MMBAGA (OFFICIAL VIDEO)
1:05:35
MAHUBIRI TV
Рет қаралды 72 М.
🔴 Rehoboth Glory Revival | Rev. Dr. M A Varughese | July 18th Thursday Evening Session
2:38:16
CAM REHOBOTH REVIVAL CHURCH, BAHRAIN
Рет қаралды 312
WHAT’S THAT?
00:27
Natan por Aí
Рет қаралды 12 МЛН
Heartwarming moment as priest rescues ceremony with kindness #shorts
00:33
Fabiosa Best Lifehacks
Рет қаралды 36 МЛН
MUNGU ATAINGILIA KATI MAMBO YAKO? | PR.DAVID MMBAGA -
1:23:37
MAHUBIRI TV
Рет қаралды 47 М.
SAFARI YA KUELEKEA MAONO YAKO |PR.DAVID MMBAGA| #live
1:03:20
MAHUBIRI TV
Рет қаралды 31 М.
Kitabu cha Zaburi - Sura ya 1 Hadi 150
4:15:34
Biblia Takatifu
Рет қаралды 25 М.
SILAHA KUBWA YA KUVUNJA MADHABAHU || PR DAVID MMBAGA
56:10
Ikwabe Injili tv
Рет қаралды 15 М.
🔴#LIVE! MITIHANI MITATU ILI KUFIKIA MAFANIKIO YAKO II Mch. David A. Mmbaga
52:55
Dodoma Central SDA online TV
Рет қаралды 54 М.
#MAANDALIZI YA AHADI ZA AGANO | PR. DAVID MMBAGA | SIKU YA 3
1:18:45
PLAY THIS MIDNIGHT BATTLE PRAYER EVERY NIGHT AS YOU SLEEP | APOSTLE JOSHUA SELMAN
3:57:37
Hatumtafuti Mungu kwasababu tunashida  " Ezra 8 : 21 - 23 ".  Rev. Abiud Misholi
1:19:10
WHAT’S THAT?
00:27
Natan por Aí
Рет қаралды 12 МЛН