“Maji yake hubadilika rangi” - Tazama maajabu ya Ziwa Ngosi lililoko Mbeya, Tanzania

  Рет қаралды 149,404

Azam TV

Azam TV

5 жыл бұрын

AZAM TV YAWA YA KWANZA KULIFIKIA ZIWA NGOSI: Moja kati ya vivutio vikubwa vya utalii mkoani Mbeya ni Ziwa Ngosi. Hili ni ziwa la pili kwa ukubwa barani Afrika linalotokana na mlipuko wa Volacano. Miongoni mwa maajabu ya ziwa hili ni maji yake kubadilika rangi.
Ziwa hili linapatikana katika hifadhi ya misitu ya Poroto iliyoko wilayani Rugwe, takriban kilometa 30 kutoka Mbeya Mjini.
Azam TV kimekuwa ni chombo cha kwanza kufika katika ziwa hilo, ambapo kikosi chake kimechanja mbuga na kuupasua msitu huo hadi kulifikia Ziwa hilo na kukutana na wahifadhi wa Ziwa hilo katika Hifadhi asilia ya Milima Rungwe.
Wahifadhi hao wameeleza chanzo na asili ya jina la ziwa hilo. Wameeleza chimbuko na kuwataja watu waliolivumbua. Yaani simulizi kamili ya kutokea kwake iko hapa.
Pia hiki kama kivutio cha utalii kimelinufaisha vipi taifa hadi sasa?
Tazama Makala hii inayosimuliwa na Salim Mhando.

Пікірлер: 204
@musasamwel9578
@musasamwel9578 5 жыл бұрын
mimi ni msafwa wakijiji cha iwalanje mbeya vijijini kwetu nijilani kabisa kufika kwenye hilo ziwa hakika ukifika hautatamani kuondoka nipazuli sanasana
@heletuuabdalla9434
@heletuuabdalla9434 4 жыл бұрын
Hongereni sana munastahili pongezi sana na poleni pia ila zaidi I'm so proud to be born in Africa
@willymosses1612
@willymosses1612 5 жыл бұрын
hongereni sana Azam nim epapenda hapo.....siku moja nitafika hapo ziwani maana navutiwa sana na uzuri wa nchi yangu Tanzania (urithi wangu)
@erickmahujilo4643
@erickmahujilo4643 5 жыл бұрын
Nchi yetu ni nzuri sana ila kuna watu wachache sana ambao wanataka kutuharibia,hao wasiojulikana ndio shida sana,ila Mungu katupendelea sana
@chancemtitu1852
@chancemtitu1852 5 жыл бұрын
Tunahaki ya kutambua na kuthamini vya kwetu Viva Tz
@dennischeyo1302
@dennischeyo1302 5 жыл бұрын
The green City Mbeya Tz home sweet home oyeeee
@ayubunangigi829
@ayubunangigi829 3 жыл бұрын
Salim muhando m/mungu akulaze mahali pema pepon aamin,,ulikuwa mtangazaji mahili wa azam tv media bora tanzania
@marlonmwakalinga2252
@marlonmwakalinga2252 5 жыл бұрын
wow safi sana nduguzangu kwa kuweza kufika hapo katika ziwa lenye kivutio kikubwa ,wana Mbeya Tunajivunia sana hii ziwa pia niwaombe hata Tukuyu pia kuna vivutio vingi pia muweze kutembelea ikiwemo daraja la Mungu
@tonayden5431
@tonayden5431 Жыл бұрын
Nimezaliwa tukuyu lakin cjawai fika hapo tulikuwa tunaambiwa na bb kuwa kuna majini hapo ukifka hapo unavutwa na kuzamishwa ilipelekea kuigopa ht kusogea hapo.......hd leo niko mwanza nataman sku moja nirud nikaone...proud Africa
@fawziaabdurrahman2251
@fawziaabdurrahman2251 5 жыл бұрын
huo mlima sio mchezo. presenter wakiwa kule chini mimi nasema 'mkumbuke mtarudi juu tena...' wapresenter wazuri kabisa wanapendeza na pia presentation yao nzuri sana hongera. nimetamani nami nifike hapo....inshallah one day
@waukweelinikkon6555
@waukweelinikkon6555 5 жыл бұрын
Hilo ziwa ni nouma,watu wanafika wanaishia hapo juu,kushuka chini ni mteremko mkali,na ukifanikisha kushuka kupanda mtihani,ila Hata ukiwa Kwa juu ziwa linaonekana vizuri sana,inapendeza sana
@lovenessibrahimu6730
@lovenessibrahimu6730 5 жыл бұрын
Nimemiss jaman Salim Mhando R. I. P my friend
@maryseriah157
@maryseriah157 4 жыл бұрын
we alikufa huyu jaman wewe
@mufamozmufash166
@mufamozmufash166 5 жыл бұрын
Serikali wamelitupa ziwa hili, ilipaswa kuwe na barabara zikuingia mpaka karibu na ziwa Kisha vidaraja vizuri vyakushukia mpaka kugusa maji ya ziwa
@kilirombo4603
@kilirombo4603 Жыл бұрын
Fika Rombo kilimanjaro utakutana na ziwa lingine la volcano. Hakuna mto unaoingia wala kutoa maji kuyagusa maji utateremka mteremko zaid ya dk 20 kutoka juu
@jumaazuberi9317
@jumaazuberi9317 5 жыл бұрын
MAASHAALLAH ALLAH azidishe neema katika nchi yetu. Ila Kama mgeweza kurusha clip Kama hizi na ikawa inasikika sauti ya mtangazaji tu ingekua poa mkaondoa hizo ala za miziki. Hii nikutokana na baadh ya maeneo huwezi warushia chip Kama hizi zenye ala za miziki hawatatizama
@kilosaconservation565
@kilosaconservation565 5 жыл бұрын
Najivunia vivutio vya nchi yangu Tanzania.
@ezekielcharles9285
@ezekielcharles9285 Жыл бұрын
Safi sana tujue vitu tulivyo navyo tzd
@benedictaman936
@benedictaman936 5 жыл бұрын
Nilifanikiwa kufika hapo mwaka 2016 ni sehemu nzuri sana ya kihistoria
@frankchande9514
@frankchande9514 2 жыл бұрын
Beautiful
@bukorimalima662
@bukorimalima662 5 жыл бұрын
Fantastic
@judithhelman3574
@judithhelman3574 5 жыл бұрын
Nakumbuka tulienda trip za shule Pandahill chini ya uangalizi wa mwalimu madevu.... Watu tulitelemka kwa matako usiombe mida wa kupanda sasa.... Utatupa hata nguo uliyovaaa😂😂😂😂😂
@vascogomano8089
@vascogomano8089 5 жыл бұрын
😂😂😂😂😂kumbe na ww umesoma ph kma mm😂😂 ila sijafika
@mwalingosimon847
@mwalingosimon847 4 жыл бұрын
Hahaaaa
@shedrackmwaipopo9427
@shedrackmwaipopo9427 3 жыл бұрын
Noma
@hassanhassan1019
@hassanhassan1019 2 жыл бұрын
Noma Sana .. hongereni kwa kufika chini... Najua kasheshe yake
@anuaromary4267
@anuaromary4267 5 жыл бұрын
Thanks
@salehsuleiman1218
@salehsuleiman1218 5 жыл бұрын
Napenda sana utangazaj wako kaka nakukubal sana Allah akupe ubunif zaid
@estherkoya8410
@estherkoya8410 5 жыл бұрын
Asante MUNGU 🙏🙏🙏
@qaboossaid2259
@qaboossaid2259 5 жыл бұрын
Sifa nyengine ni kua pana dhahabu tena ipo kwene lake shower.
@eyumededu2948
@eyumededu2948 3 жыл бұрын
Nakupenda Tanzania yangu najivunia kuzaliwa Afrika Ninakupenda kwa moyo wetu nakutakia amani na mshimano
@ericndeki9522
@ericndeki9522 5 жыл бұрын
May your Soul.Rest in eternal.Peace Salim😢
@lusajokafuko3450
@lusajokafuko3450 Жыл бұрын
Weee Salimu ndio yupi Huyo aliefariki 😳
@SKILLS360TV
@SKILLS360TV 5 жыл бұрын
Nimeipenda sana Mbeya OK ILA PITIA HAPA KUONA UCHAFU UKIGEUZWA KUWA MAPAMBO YA NDANI ili kuni sapoti SUBSCRIBE channel hii Bofya kapicha kushoto
@omarynassor6313
@omarynassor6313 5 жыл бұрын
Zuri sanamungu mkubwa niuzieni hilo
@waryobamahunyo4990
@waryobamahunyo4990 5 жыл бұрын
Aisee maajabu kweli,ziwa Lina ramani ya afrika tena na visiwa kama vya unguja na Pemba,jamani tangazeni vivutio hivi tupate pesa.
@chimumaziku3186
@chimumaziku3186 3 жыл бұрын
We are the Rich Tanzania
@syliviussmgenyi344
@syliviussmgenyi344 5 жыл бұрын
Nimeipenda
@benardseme7445
@benardseme7445 5 жыл бұрын
Hongereni mnafanya kazi nzuri
@lutulalihim1585
@lutulalihim1585 4 жыл бұрын
Allah Akulaze mahala pema. Brother salum muando
@miriamabinery5695
@miriamabinery5695 5 жыл бұрын
Tanzania tumshukuru tuu Mungu kwakweli sababu ametupatia viingi sana ,twapaswa kumshukuru
@csongole5799
@csongole5799 4 жыл бұрын
Nakumbuka mama alikuwa akinipa vistor vya zamani kuhusu ziwa hilo lakini mpaka nilifika jamani aliposikia nimeenda alitamani kufaa bp hahahaha selela buanaaa😍😍😍
@floridacharles7601
@floridacharles7601 4 жыл бұрын
Cso Ngole jmn nikwer mpk mm mzee jemsi mwaselela alinikataz kbsaaaa nisiende
@mapenzisefu5943
@mapenzisefu5943 5 жыл бұрын
that good
@teychriss3248
@teychriss3248 5 жыл бұрын
Hili ziwa ili kulifaidi ilibidi wawekezaji waweke vile vitreni Vya juu aisee kama nchi zilizoendelea ila kwa shughuli hiyo hapo tutaishia kuliona KZfaq tu!
@salehemigoko3035
@salehemigoko3035 3 жыл бұрын
Masha Allah , Ziwa Lina Mvuto Mzuri Sasa Tengenezeni Ngazi kwa Washukao Kwa Miguu
@uzuriwabure6204
@uzuriwabure6204 3 жыл бұрын
Wenzetu kama china uko wangeteneza ngazi apo ata barabara mpaka apo ziwani na madaraja ya juu ya kamba na mbao ili kivutia vyema watarii
@prophetessepifania8316
@prophetessepifania8316 2 жыл бұрын
Oya eeeh Mungu noma iyo K2 n Africa kbs
@frankmwafifi6712
@frankmwafifi6712 5 жыл бұрын
Uyole mbeya sweet home
@ezekielcharles9285
@ezekielcharles9285 Жыл бұрын
Safi sana azamu
@ggmaths9636
@ggmaths9636 5 жыл бұрын
Dr!!!
@omaryyusuph3251
@omaryyusuph3251 5 жыл бұрын
Wahifadhi tengenezeni miundo mbinu ya njia ili watu wafike kwa urahisi sasa emagine wanawake na watoto watawezaje kufika wakati huyo big kajuta kushuka ziwani?
@musasamwel9578
@musasamwel9578 5 жыл бұрын
usipende kusimuliwa hiliziwa nikivutio kikubwa cha tanzania kwanza lina lamani ya Afulika hakika nipazuli sana
@waryobamahunyo4990
@waryobamahunyo4990 5 жыл бұрын
Nimeipenda sana hii,endeleni kuleta vitu kama hivi hii,mimea ni viumbe hai na wanyama ni viumbe hai pia.
@diamondgeyser7987
@diamondgeyser7987 5 жыл бұрын
Miundo mbinu ya Barabara ni muhimu itengenezwe ili kuvutia watalii na wawekezaji na pia in vizuri ziwepo boats za kutembeza watalii na restaurants... Pia kama kuna samaki ni vizuri kuhamasisha utalii wa uvuvi
@songasn4718
@songasn4718 5 жыл бұрын
Huyo mtatilo ni mwanaume Wa Dar halisi
@lovenessibrahimu6730
@lovenessibrahimu6730 5 жыл бұрын
Utukufu Mungu aliyejuu nilifika mnamo 31.08.2013
@evelinaibenson8297
@evelinaibenson8297 5 жыл бұрын
Dah! kwa bibi paleee
@csongole5799
@csongole5799 4 жыл бұрын
Hahahaaaa umenifurahishaaa
@floridacharles7601
@floridacharles7601 4 жыл бұрын
Evelinai Benson unvituk ww
@salmasaidi2875
@salmasaidi2875 5 жыл бұрын
Shukran sana ila ni hatari barabara mbovu sana
@frankmare1708
@frankmare1708 4 жыл бұрын
Nilifika hapo mwaka 2015 mwezi 3, niliinjoi sana ila miguu iliniuma sana safari ya kufika hapo kileleni sio mchezo tena ukifika kileleni unaanza safari ya kushuka ziwani...lo ooh! Pazuri sana
@nureyna629
@nureyna629 5 жыл бұрын
Angalau na visiwa vya unguja na pemba vimo humo kwenye ziwa 😂😂.. Ziwa lenye Ramani ya Africa
@moviesseries9923
@moviesseries9923 5 жыл бұрын
😂😂😂
@janewilison6982
@janewilison6982 4 жыл бұрын
Kweli Mungu wa ajabu
@fadhiliakida8609
@fadhiliakida8609 4 жыл бұрын
Makala nzuri nimeipenda sana na hongereni sana Azam TV kwa hilo, kitu kimenisikitisha ni kwamba, mlipofika chini ziwani nilitegemea hata mngeyashika maji na kutaste ladha mbali ya kuwa mmetuambia kuwa ni ladha ya chumvi, lakini kwa nini hamjatuthibitishia kwa kuya taste? Lakini pia nilitegemea baada ya kufika ziwani mkatuonyesha vilivyomo ziwani kwa karibu zaidi ili kunishawishi nije kutembelea, otherwise mmefanya kazi nzuri, mapungufu madogo madogo kama hayo next time jitahidini mnayarekebisha
@uzuriwabure6204
@uzuriwabure6204 3 жыл бұрын
Nikwel kabisa
@uzuriwabure6204
@uzuriwabure6204 3 жыл бұрын
Vyombo tatizo waifadhi wanatakiwa wajenge camp kuwe na boti ya kuwatembeza watarii kama kuna kauwoga kidogo, kukiwa na boti utafiti utafanyika usiku kwakutega mitambo ijulikane kunamaajabu gani mengine usiku mkubwa, je chini ya kina cha maji kupoje? Je ao samaki kweli wapo waishije ula nn maficho yao yakowapi ? Maana ziwa alina ata gugu maji ndio maana tulitaman kuona kamera ishuke majini ipite taratibu tuone vyema, au ata darubin tosa kwenye maji tuone viumbe hai uko chini
@kamgomoli3650
@kamgomoli3650 5 жыл бұрын
Nimewahi tembelea hilo ziwa mwaka 2010. Kutoka hapo juu linapoonekana hadi chini kabsa kwenye maji ni nomaaa tulitumia kama saa 1 hv. Kuna miteremko ya kutisha.Ni nomaaa ila ni kuzuri sn cha msingi ukienda huko usisahau kubeba maji na chakula hasa biscut.
@julianachengula351
@julianachengula351 5 жыл бұрын
Kweli bwana mpaka ukayakute maji ni mbali sana ukiwa mliman panaonekana pafup anza kushuka utaelewatu ila lazuli sana
@nkwabitz233
@nkwabitz233 5 жыл бұрын
Ridhwaniiiii
@wazeerkahirafaadhil7455
@wazeerkahirafaadhil7455 Жыл бұрын
Hahaha ATI ngombe zimeenda bondeni.. amechoka na utumwa anamalengo ya kuwa boss...
@dennischeyo1302
@dennischeyo1302 5 жыл бұрын
Naiona kawetere
@womenkilimanjaro298
@womenkilimanjaro298 4 жыл бұрын
Wow , i love it, ,
@koylaempire2135
@koylaempire2135 5 жыл бұрын
Muziki Ni kelele tupu ambao umeharibu ladha ya video nzuri sana....poleni
@rodgersgingila9367
@rodgersgingila9367 5 жыл бұрын
apo JKT inahusika... sio kwa vikwazo hvo..
@felixmdoe6644
@felixmdoe6644 3 жыл бұрын
Ethiopia Wana Ziwa linaitwa Debrezeti na Tana
@winniepeter212
@winniepeter212 2 жыл бұрын
Muacheni Mungu aitwe Mungu
@kinghenry5511
@kinghenry5511 5 жыл бұрын
Africa tumebarikiwa vitu vizuri ila akili zetu zero
@ottoraphael2309
@ottoraphael2309 5 жыл бұрын
Nimeshawahi kufika hapo hadi kugusa maji... Kama afya yako haijakaa poa sikushauri kwenda
@isacknkyah2456
@isacknkyah2456 5 жыл бұрын
Otto Raphael kwa nn coz cjakuelewa
@zamzamhassan4159
@zamzamhassan4159 5 жыл бұрын
em nifafanulie
@barakaemmanuel9614
@barakaemmanuel9614 5 жыл бұрын
iko poa
@csongole5799
@csongole5799 4 жыл бұрын
Mumewasahauu mashetani wenye mguu mmoja jamani wanatusumbua usiku tukilala kwa Bibi😁😁
@farajamwashimahanmeiptagud6477
@farajamwashimahanmeiptagud6477 4 жыл бұрын
😂😂😂😂😂 shetan mwenye mguu mmojq umenikumbusha mbali
@twilikashilongo7887
@twilikashilongo7887 5 жыл бұрын
Usalama upoje? Mana lipo milimani na lipo msituni pia, unaweza panga kuja kutembea kuangalia maajabu ya Mungu aliyotujalia Tanzania ukaishia kutekwa ama kuishia mikononi mwa watu wabaya.
@begaca
@begaca 5 жыл бұрын
ZIWA ILO NALIKUBALI KWELI ANEEEEEE
@salehsuleiman1218
@salehsuleiman1218 5 жыл бұрын
Nimefrah kwa utafit wenu
@e-siryahyer788
@e-siryahyer788 5 жыл бұрын
Charles hirary..
@hassanturky7511
@hassanturky7511 5 жыл бұрын
Wekeni usafi,na usalama was jeshi hapo. Bila hivo watakuja wengine kufanya hivyo.
@alialesry5131
@alialesry5131 5 жыл бұрын
Mmmm watu wakishaanza kwenda huko kutembea...... Na watu wasiojulikana watahamia huko kila siku mtakuwa mnatekwa shaurizenu mimi siendi hata kwa Bommmm
@teophilnorbert6749
@teophilnorbert6749 5 жыл бұрын
ali alesry hahahaaaa lol
@Salma-xh9un
@Salma-xh9un 5 жыл бұрын
Sana pazuri lakin tengenezeni njia za kutebelea.
@kebo2155
@kebo2155 4 жыл бұрын
.. Tanzania siyo Kongo...
@manish-fp1fb
@manish-fp1fb 5 жыл бұрын
Kama hayo maji yanahakisi ramani ya africa how come visiwa viwe ndani ya eneo la bara....
@zamoyonigerimia7647
@zamoyonigerimia7647 5 жыл бұрын
manish haujaelewa ndugu yangu sikiliza tena
@manish-fp1fb
@manish-fp1fb 5 жыл бұрын
@@zamoyonigerimia7647 huenda na wewe haujanilewa....sikatai muonekano wake kufanana na ramani ya Africa.. ila hiyo ya visiwa ni out of context.
@tausilifestyle795
@tausilifestyle795 5 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂watu wako hoi kabisa kwa kutembea ndo mazoezi lakini
@TRAVELANDTASTETANZANIA
@TRAVELANDTASTETANZANIA 5 жыл бұрын
Wenzetu huku sehemu kama hizo wanatengeneza na kuhakikisha zinafikika kwa urahisi.....barabara nzuri na Usafiri wa Uhakika.... Ni pazuri Mno....
@edwardandrea9766
@edwardandrea9766 3 жыл бұрын
Hilo Ziwa Ngosi chanzo chake cha maji huwa yanatoka wapi.
@suleimanmazrui6942
@suleimanmazrui6942 5 жыл бұрын
Hilo ziwa liko powa Sanaa ila uongo kwenye Ramani ya Bara la Africa Visiwa vya Unguja na Pemba havimo kabisa musitudanganje.
@kebo2155
@kebo2155 4 жыл бұрын
... Sisi tunaviweka kwa vile ni visiwa vyetu... Tanzania oyeee 💯💯
@uwimanaraoul6824
@uwimanaraoul6824 5 жыл бұрын
Mmmh jamani hamuogopi kunkatwa na nyoka!
@ottoraphael2309
@ottoraphael2309 4 жыл бұрын
Misitu ya milimani sehemu za baridi hainaga nyoka
@johnkimune8348
@johnkimune8348 5 жыл бұрын
rip bro i miss your voice
@braxedafiroza2444
@braxedafiroza2444 4 жыл бұрын
John kimune ni yupi hapo aliyefariki?
@topesafi9742
@topesafi9742 4 жыл бұрын
Salim ndo alikufa,,aliyetangaza mwanzon wakiwa wanaanza safari ya kwenda.
@salimbinargan9658
@salimbinargan9658 3 жыл бұрын
Hata hajui kufanya mazingira ya utalii kuwa mazuri mmekuwa kienyeji anyeji sana munaupa wizara ya utalii aibu sana lazima kuwe na njia irekebiswa hata mgeni akija awe na furaha akitembea hamjui hata kubuni kutumia akili
@salimdoctor691
@salimdoctor691 5 жыл бұрын
Safi ili jitahidini kutengeneza manidhri itakuwa bora zaidi
@faizadulla8663
@faizadulla8663 5 жыл бұрын
Sasa kwa njia mbaya kama hii mutapata wapi watalii
@shamsahussen1059
@shamsahussen1059 5 жыл бұрын
I love you Tanzania nchi yangu Tanzania nzuri Sana
@gemkachar
@gemkachar 5 жыл бұрын
Watafikaje watali ilhali njia ya kuenda kwa miguu mbovu staili hiyo.Ukipata jeraha huko chini unaachwa kuliwa na chatu au fisi. Msimu wa mvua hapapitiki hata kwa miguu. Tumieni nguvu kazi hapo mbeya muboreshe njia tuje kutembea.
@peterjairours7194
@peterjairours7194 3 жыл бұрын
Huu ni mlima mkali Sana na unamawe makubwa sana
@kamgomoli3650
@kamgomoli3650 5 жыл бұрын
Kwa hiyo miti siyo viumbe hai? Acheni elimu ya kumeza na kukalili halafu kufauru mtihani. Ona unavyoaibika sasa!Hii ndo product ya elimu ya bongo ukimuuliza elimu yake utasikia ana Master au PHD.
@hhonest9553
@hhonest9553 5 жыл бұрын
Abby Adams mshkaji hajui kama mti unahema.Noma✌️
@benardseme7445
@benardseme7445 5 жыл бұрын
Nadhani wanahitaji pongezi kuliko kupondwa hivi, ni makosa ya kiubinadamu
@alphaxardmugabo7848
@alphaxardmugabo7848 5 жыл бұрын
basi abby na ww ulivyokalilishwa kutofautisha vyitu ndo basi ukajikuta mwalimu wa kila kitu hicho ni kiswahili tu ila sio utaalamu wake bro
@halfahalfa9728
@halfahalfa9728 5 жыл бұрын
+Benard Seme Tatizo wabongo mnajifanya wajuaji sana wakati alichotuhabarisha huenda hukijui hapo awali 😕😕😕😕😕
@jumasaid6073
@jumasaid6073 5 жыл бұрын
Wachaga hao,wamechaguana kiukabila kutoka wizara ya mali asili na utalii ,ukifuatilia utakuta juu ya hao viazi kuna kigogo wa kichaga ndio aliowaweka hapo,wachaga ni noma!!
@musasamwel9578
@musasamwel9578 5 жыл бұрын
mimi nimefika hakika nipazuli sana jamani
@mikelampkin7418
@mikelampkin7418 4 жыл бұрын
liko pw
@lilianemily856
@lilianemily856 5 жыл бұрын
Salim mhando 😢😢
@lyilyanmussa5433
@lyilyanmussa5433 3 жыл бұрын
Wajina Lilia n
@aishaomar4318
@aishaomar4318 5 жыл бұрын
Hali ya usalama ikoje uko .mambo ya snek snek
@emmanuelmdavire6466
@emmanuelmdavire6466 5 жыл бұрын
apo sasa
@ottoraphael2309
@ottoraphael2309 4 жыл бұрын
Misitu ya milimami sehemu za baridi hainaga snake
@kadogojoseph4199
@kadogojoseph4199 5 жыл бұрын
mbona dogo sana hivi ili liitwe ziwa linatakiwa kuwa na ukubwa gani maana kuna mabwawa makubwa kama hilo ziwa.
@shedrackmwaipopo7253
@shedrackmwaipopo7253 3 жыл бұрын
Mtangazaji ni ziwa ngosi sio ngozi
@thomastairo2021
@thomastairo2021 5 жыл бұрын
next time muende ziwa chala
@goodtimeemmanuel9263
@goodtimeemmanuel9263 5 жыл бұрын
Kuonga vipi hapo
@maryseriah157
@maryseriah157 4 жыл бұрын
burdan sana nmefurah mno chibonge amepata tab mno
@kassimjuma8713
@kassimjuma8713 5 жыл бұрын
xf xana
@justincharles6531
@justincharles6531 4 жыл бұрын
mkoa wa mbeya ni mkoa wenye vivutio vingi ispokua avitangazwi
@goodluckmgimba903
@goodluckmgimba903 4 жыл бұрын
Anaefaham garam za kuingilia lake ngos
@uzuriwabure6204
@uzuriwabure6204 3 жыл бұрын
Sio mchezo kabisa
@hassanturky7511
@hassanturky7511 5 жыл бұрын
Sasa musije kujiuza,au kuviuza viwanja vyenu kwa wageni wanaopenda kutawala. Kama wazungu. Duniani watu wanaopenda kutawala no wazungu.ambao washatutawala. Na naona wanakuja Tena kututawala .
@kenethmswakala9669
@kenethmswakala9669 5 жыл бұрын
ziwa lapili kwa ukubwa linalotokana na vorkano
@musasamwel9578
@musasamwel9578 5 жыл бұрын
kwetu pazuli
FAHAMU HISTORIA YA ZIWA KISIBA -MBEYA -RUNGWE MASOKO
22:08
BALOZI ONLINE TV
Рет қаралды 11 М.
Summer shower by Secret Vlog
00:17
Secret Vlog
Рет қаралды 11 МЛН
Задержи дыхание дольше всех!
00:42
Аришнев
Рет қаралды 3,5 МЛН
Best Toilet Gadgets and #Hacks you must try!!💩💩
00:49
Poly Holy Yow
Рет қаралды 16 МЛН
Maajabu ya Kyamwilu, Machakos County
5:40
NTV Kenya
Рет қаралды 421 М.
SE1 EP4 Asili na Historia ya Mkoa wa Mbeya
8:13
Tanzania travel show
Рет қаралды 2 М.
UJUE MLIMA KIFO JUU YA MLIMA HANANG/WATU WASHINDWA KUUPANDA
5:56
Wasafi Media
Рет қаралды 46 М.
UTANI WA MCHEKESHAJI MPOKI KWA WANAWAKE WANAOVAA MAWIGI
10:26
Millard Ayo
Рет қаралды 382 М.
JIWE LA MAAJABU UKARA LINACHEZA NA KUTOA SAUTI - HADUBINI YA TBC
16:30
Gangana Info Channel
Рет қаралды 903 М.
Watuhumiwa wa Uchawi waibua Kasheshe kwenye Mkutano
10:31
Edwin Moshi
Рет қаралды 70 М.
Jionee Maajabu ya Ziwa Ngosi
8:24
MbeyaYetuOnlineTV
Рет қаралды 47 М.
Хотели бы провести такой день с подругой? 😍
0:56
Вика Андриенко 2.0
Рет қаралды 1 МЛН
Вот так охота
0:15
Охота в России LIVE
Рет қаралды 603 М.
Бушмен и бабуин. В поисках воды.
0:42
BERMUDA
Рет қаралды 11 МЛН
Он решил проверить свои силы💪🏾
0:28
FilmBytes
Рет қаралды 1,7 МЛН
Bobcat Moves Quick & Acquires Lunch
0:10
Nature is Metal
Рет қаралды 6 МЛН