Makonda unauweza uongozi kabisa,kwa namna unavosaidia watu bila kubagua .Hongera sana
@MagrethMallya-we8ui29 күн бұрын
Tukubaliane tuuu, hii nchi rushwa ni kubwa sana, bora tukubaliane takukuru haijulikani inafanya kazi gani. Bora mkuu wa mkoa una huruma, wengi wakishapewa hela maskini hanaga haki.
@frankwarembosaloon531629 күн бұрын
MIMI MUNGU I wangu akupe uraisi mankonda
@KimanguShemwaliko-ht2jr29 күн бұрын
Wanajuana wote ndio maana hakuna majibu sahihi,nchi ngumu sana hii,tutafika pale tu tutakapojitambua
@BedaKungulucheАй бұрын
Makonda,mimi nakosaga cha kuongea kwako.Kwa jinsi unavyojali Haki za wanyonge🙏
@petromahenge4377Ай бұрын
Kha hatari uongozi huu khaa
@user-wi8og3sv4j27 күн бұрын
Ukiona mkuu anatetea ushetani kama huuo ujue dini yao ni moja nae hufanya hivyo maana majambazi hupendana wap kwa wao! Kongole makonda
@user-wi8og3sv4j27 күн бұрын
Sliyeaminiwa na rais mwenyewe anakuwa mlaghai wa uhai wa mtu tupo salama kweli?