Huyu jamaa atakuja kua Rais kwenye hii nchi,haya maneno yangu naombeni myaweke mahali Kuna siku isiyokua mbali sana.
@lisokimecholobi945128 күн бұрын
Mkuu umetisha mungu azidi kukuweka
@user-jf1sq7lk4gАй бұрын
Good job
@hafsalucky108825 күн бұрын
❤❤❤💯 Tanzanian icon
@MahdouMombaАй бұрын
Kwanini wakuu wa mikoa mengine msiwe kama huyu mwamba hapa, wakuu wa mikoa mnakwama wapii, chukueni hiii spirit muiokoe nchi, nchi inahitaji maendeleoo, tuko nyuma sana, tuko nyuma ya muda.
@rashidlwengo694025 күн бұрын
💪
@francohaule-ci7iiАй бұрын
Umenifanya nifurahi
@JacksonMtese-gn4soАй бұрын
I think this is similar to UPDF
@athumanikadaika5817Ай бұрын
Jembe kazini.
@mariamshabani7107Ай бұрын
❤❤❤❤❤❤
@johnnziku5810Ай бұрын
Good
@JosefuSwaiАй бұрын
Sasa jeshi likifanya biashara na sisiraia tufanye Nini unakuta jeshi linafanya biashara ya baa siyo vitu adimu hata matofali viwanda vya tofali ni vingii kuliko wateja pia baa siyo hitaji la msingi Wala ukumbi wa harusi tuachieni sisi raia jamani na Kodi zetu ndio zinazo walipa yie Sasa mnatunyanga Tena wateja acheni serikali ikusanye Kodi isifanye biashara pamoja na vyombo vya ulinzi
@gatsonmatiko8000Ай бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤
@josephlorri431Ай бұрын
Hii approach ya makonda kwa miradi mikubwa ya serikali ni kama ya JPM..kutumia vikosi vya jeshi. Kwa mpango huo ni vigumu pesa kuja kwa wananchi...makampuni wananchi itumike kufanya miradi mikubwa..watalipa kodi,wataajiri vijana, watauza vyakula nk ili kuongeza mzunguko wa pesa mtaani