MAKONDA: "Ni Aibu Mwanajeshi au Askari kuwa Masikini" TUMIENI FURSA

  Рет қаралды 9,338

HABARIMPYA TV

HABARIMPYA TV

Ай бұрын

Пікірлер: 14
@hefintus
@hefintus Ай бұрын
Huyu jamaa atakuja kua Rais kwenye hii nchi,haya maneno yangu naombeni myaweke mahali Kuna siku isiyokua mbali sana.
@lisokimecholobi9451
@lisokimecholobi9451 28 күн бұрын
Mkuu umetisha mungu azidi kukuweka
@user-jf1sq7lk4g
@user-jf1sq7lk4g Ай бұрын
Good job
@hafsalucky1088
@hafsalucky1088 25 күн бұрын
❤❤❤💯 Tanzanian icon
@MahdouMomba
@MahdouMomba Ай бұрын
Kwanini wakuu wa mikoa mengine msiwe kama huyu mwamba hapa, wakuu wa mikoa mnakwama wapii, chukueni hiii spirit muiokoe nchi, nchi inahitaji maendeleoo, tuko nyuma sana, tuko nyuma ya muda.
@rashidlwengo6940
@rashidlwengo6940 25 күн бұрын
💪
@francohaule-ci7ii
@francohaule-ci7ii Ай бұрын
Umenifanya nifurahi
@JacksonMtese-gn4so
@JacksonMtese-gn4so Ай бұрын
I think this is similar to UPDF
@athumanikadaika5817
@athumanikadaika5817 Ай бұрын
Jembe kazini.
@mariamshabani7107
@mariamshabani7107 Ай бұрын
❤❤❤❤❤❤
@johnnziku5810
@johnnziku5810 Ай бұрын
Good
@JosefuSwai
@JosefuSwai Ай бұрын
Sasa jeshi likifanya biashara na sisiraia tufanye Nini unakuta jeshi linafanya biashara ya baa siyo vitu adimu hata matofali viwanda vya tofali ni vingii kuliko wateja pia baa siyo hitaji la msingi Wala ukumbi wa harusi tuachieni sisi raia jamani na Kodi zetu ndio zinazo walipa yie Sasa mnatunyanga Tena wateja acheni serikali ikusanye Kodi isifanye biashara pamoja na vyombo vya ulinzi
@gatsonmatiko8000
@gatsonmatiko8000 Ай бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤
@josephlorri431
@josephlorri431 Ай бұрын
Hii approach ya makonda kwa miradi mikubwa ya serikali ni kama ya JPM..kutumia vikosi vya jeshi. Kwa mpango huo ni vigumu pesa kuja kwa wananchi...makampuni wananchi itumike kufanya miradi mikubwa..watalipa kodi,wataajiri vijana, watauza vyakula nk ili kuongeza mzunguko wa pesa mtaani
Why Is He Unhappy…?
00:26
Alan Chikin Chow
Рет қаралды 84 МЛН
这是王子儿子吗
00:27
落魄的王子
Рет қаралды 20 МЛН
Идеально повторил? Хотите вторую часть?
00:13
⚡️КАН АНДРЕЙ⚡️
Рет қаралды 15 МЛН
#MAKONDA" MAJONZI YAMETAWALA ARUSHAV WATU WAVAMIA OFISI ZA MKOA
29:56