Nikweli unajiuliza hao machinga miaka yote hawakui kuwa wafanyabiashara wao kila mwaka ni mmachinga
@gabrielmurro713419 күн бұрын
Wanamitaji mikubwa wamachinga kuliko hata wamiliki wa maduka na hawataki frem kwasababu wanapata faida na hawalipi kod ,hawalipi service leavy , hawanunui machine hawalipi kodi ya pango
@dicksonkilupa225818 күн бұрын
Wapo wenye mitaji mikubwa ila siyo wote cha msingi serikali ione namna bora ya upangaji na ukusanyaji kodi usioonea mtu, kwa mfano mimi nina mil 2 tu nikafungua mangi shop naambiwa nilipie leseni ila machinga hata mil 10 halipii kitu wala leseni hana. Ipo siku maduka yatatolewa barabarani ili wawe machinga wote.
@japharyidrissa61399 күн бұрын
Sijamalizia kusoma ila ulicho andika ni ukweli mtupe 💯
@alexanderabdul329820 күн бұрын
Nikweli machinga anakuwa na ghara la kuifadhi bidhaa sio sawa