Mambo kama haya hata mahakama muda mwingine ni usumbufu tu anahitajika KIONGOZI jasirii na mwadilifu ndio suluhisho kuu Hongera sana makonda Kwa kazi nzuri
@pancraskazimoto3028Ай бұрын
Mh mkuu wa mkowa umebeba moyo wa imani kubwa MUNGU akubariki sanaaa.
@latinustumsime7351Ай бұрын
Kaka chapa kaz una andaliwa kuwa rais wa kesho mungu akupe maisha marefu kaka
@mamasalhatАй бұрын
Makonda mungu akusimamie naona kabisa una fata nyayo ya marehemu kipenzi chetu magufuli❤
@MagrethMallya-we8uiАй бұрын
Sina namna nzuri ya kusema, ila ninaamini kwamba Mungu anakuona Makonda, Akubariki , akupe wepesi kwa Kila hatua.
@dorahmushi-we6tsАй бұрын
Ameen
@solomondanny-1507Ай бұрын
Unawasaidia sana kwa kweli. MUNGU akubariki sana.
@MagrethMallya-we8uiАй бұрын
Rais Rais Rais Rais unaona anachofanya Mwanao Makonda? Mpe cheo kikubwa atutumikie vizuri.
@VisiongospelchoirАй бұрын
Makonda Mungu akulinde ww siyo mtu wakawaida ww ndi mtu wa mungu
@dismasmariananga4776Ай бұрын
Nadhan makonda ata akifa Leo Kwa mungu moja Kwa moja @ yaan dah mungu akupe nguvu makonda
@BoisDonkoil-rk8lrАй бұрын
Mungu ampe uzima kwaajili ya taifa na familia yake ya kesho
@3Dee_51Ай бұрын
Imagine hii nchi iwe na makonda kumi
@KennethMgona-jy4vcАй бұрын
Mambo yange kua levo
@user-hi9ze6xm8uАй бұрын
Makonda Mtu wa Maana Sana Mungu Akulinde
@PAMA3542Ай бұрын
Makoda mungu akusaidie daima akupe furaha daima na maamuzi ya busara zaidi
@dorahmushi-we6tsАй бұрын
T M U Mungu azidi kukulinda wewe na wanasheria wako na kila anayekuunga mkono.. Namuomba Mungu Zab 35 ikawe upande wako kwa jina la Yesu.
Hakika kazi unayofanya nikbwa Sanaa Mungu akusimamie
@weshanrose7899Ай бұрын
Hei, Mheshmiwa makonda, nakutolea kofia kwa kazi nzuri unafanya.👏👏👏👏. I wish we had leaders like you.
@hawakiza6067Ай бұрын
Makonda Mwenyezi Mungu akujalie Upate Nuru ya kuwa muislam ❤
@elibaricksadock9562Ай бұрын
Khaaaa wee chizi kweli
@AnamariaMahengeАй бұрын
😂😂😂😂
@edisonemmanuel-Ай бұрын
Kwa kweli mh makonda sijuhi niseme nini kwako ila tu MUNGU akulinde ni nani angesimama namna hii kuyasikiliza matatizo ya wananchi hakika umeteuliwa na mungu.. na atakulinda daima
@georgeascona5457Ай бұрын
natamani sana uwe rais siku moja au uwe mkuu wa mikoa yote unafanya kazi nzuri sana
@SmallkitaleАй бұрын
Kenya must copy this
@IbrahimHaruna-ef7tjАй бұрын
Mungu akubariki sana mkuu wa mkoa wa arusha
@paulowilliam3319Ай бұрын
hakika makonda unasikiliza wanyonge mungu akupe miaka mia zaid
@frankemmanuel5239Ай бұрын
Kiongoz wangu Bora kabisa
@VeronicaMsengaАй бұрын
Ila kama kote kuna udhurumaji ARUSHA shkamoooo
@SmallkitaleАй бұрын
This man is great and God will bless you more
@husseinbachwa8372Ай бұрын
Mh Makonda we ni Zawadi Kwa Watanzania. Mungu akubariki sana.
@husseinbachwa8372Ай бұрын
Kwa jinsi unavyosaidia wanyonge Kiongozi upewe Nchi baada ya Mh Raisi mama Samia...
@MashakaSamuel-zv4srАй бұрын
Mungu akutunze daima
@CAGGethsemaneCenterАй бұрын
Mungu akupe wepesi wa kazi
@dorahmushi-we6tsАй бұрын
Saa uponyaji ni sasa❤ Mungu azidi kukuinuaaaa
@TheopistaAloyce-ht8kr27 күн бұрын
Tisha sana makonda MUNGU aenselee kukupigania
@VERONICALAIZER-vt3uiАй бұрын
Mungu akupe maisha marefu mh
@OleLucasАй бұрын
Mungu awasaidie watanzania
@annazacharianmko4657Ай бұрын
Mungu akulinde mheshimiwa makonda
@toyimwamedi6460Ай бұрын
Jamani .makonda serekali imuhongeze mshahara ahendeleye kazi nzuri
@emeldamodest7039Ай бұрын
Hongera sana mkuu wa mkoa wa arusha
@mamasalhatАй бұрын
Allah Akbar Tanzania yetu ck hizi watu wamejawa na roho mbaya uwenevu mwingi ukatili mwingi yaani imebadilika mno
@ChiefHekeАй бұрын
Nikitizama clip za makonda nimeona nakungundua,kuwa watanzania wengi wanashida sabab viongozi wengi wamewapa visogo wananchi ,hii niabu kwa nchi yetu,..vijana wasomi wa nchi hii mnatuangusha sana...
@hamzafishten9560Ай бұрын
Allah akulipe brother tungekapa kiongozi kama wewe kwetu burundi tungefurai kabisa
@TitoRufizi-xb2ubАй бұрын
Haya yote ni matokeo ya uozo wa serikali,viongozi hawawajibiki ndo maana kelo ni nyingi sana
@FATUMAPASKALАй бұрын
Mwenyezmung akufanyie weprs
@jalinachilala8465Ай бұрын
Napenda wamburu wanavyoongea huwa wananivutia sana❤❤❤
@SmallkitaleАй бұрын
Because people are safer and we have leaders
@jabirshomar8247Ай бұрын
MUNGU AKUONGOZE NA AKULINDE SANA
@eliyalaiza6768Ай бұрын
Huyu jamaa anapambana sna maungu azidi kumpigania
@AlexanderKibona-os2btАй бұрын
Mungu anafanya kaz sio makaniasani tu km tulivozoea
@JosephAlex-pm7rpАй бұрын
Safi sana P M
@monicamichael-sr4kxАй бұрын
jamani mungu akutetee makonda
@georgematola2447Ай бұрын
MAKONDA UTABARIKIWA HADI USHANGAE, MUNGU AZIDI KUKUPA ULINZI ZAIDI
@dayana5513storyАй бұрын
Hakika Mungu nimwema
@israelimarco6465Ай бұрын
najikuta nalia hivi watumishi na wanasiasa mbona naona mkimuiga
MUNGU AKULINDE MAKONDA KWA MOYO HUO NAJUA NI MUNGU AMEKUTUMA
@chandarotv7649Ай бұрын
Chapa kazi kiongozi kazi Yako ni njema sana ,ww ni Mchungaji mwema
@user-lm5fu5tu5zАй бұрын
Ndio maana magufuli alikuwa kesi zingine anaziamua hapohapo hakuna Cha mahakama Wala nini
@rosesilio9008Ай бұрын
Jamani nimeamini raisi wa nnchi hana shida ila hawa wa chini ndo wanaotunyanyasa
@user-eb3sr5wi5vАй бұрын
Kujieleza ni elimu sanaaa
@majaliwamwamengo8604Ай бұрын
Rais wa wanyonge Mungu awe nawe katika Kila jambo
@eliasthomas1547Ай бұрын
Makonda mtu wa maana kabisa anajua.
@MagrethEmmanuel-qn4udАй бұрын
Jamani kabila langu niwabishi na tunapenda kesi yakusumbua watu 😮😮
@ElizansyengeАй бұрын
Ajali ya singida
@israelimarco6465Ай бұрын
makonda Mungu awe mtetezi wako kama utapata muda wa kusoma sms yangu nikutie moyo kwamba Kila ulichokianzisha Mungu awe mfariji
@kulwankuba2785Ай бұрын
Hivi hizi mahakama uwa wanasaidia watu vipi?si Bora mahakama zitolewe zote wabaki wa kuu wa mikoa kutuhudumia.
@scollantandu2350Ай бұрын
😢😢😢😢😢
@LovelyOmbreSky-pu4jtАй бұрын
Alafuu unakutalijitu linamchikia makonda nazanilitakuwa ni lishetanizee
@janethngowi1058Ай бұрын
Mmmmh!
@devothaignatius5256Ай бұрын
Wewe mama mbn uelewi umepewa nafasi umejieleza unaulizwa swali unaongea mengine dah nimejikta namuulumia makonda mpaka ameshindwa aseme nn?
@rogerabdallah439Ай бұрын
Mpeni maji kidogo
@UmayyaNkya-ze3riАй бұрын
Mackini 😢😢
@user-gn8ny8yw3uАй бұрын
Rais wetu ajae
@FridaMmariАй бұрын
Anaendaga Tanga kufanya nini? mwambieni Haki ya mtu haithulumiwi kichawi
@ZuhuraRajab-vw9ebАй бұрын
Uyu jamaa naomba agombe urais atatisha balah atakuwa kama magu ase
@anafikamugisha8834Ай бұрын
Makonda chapa KAZI
@DominikiKristianiАй бұрын
mawazili wako na v8
@babuuosama8752Ай бұрын
BAADA YA MIAKA KUMI YA MAMA SAMIA " WATANZANIA PINGA KURA YAKO MAKONDA RAIS NA SLAA MAKAMU WA RAIS AMA MTUNDU LISU NA HALIMA MUDEE ....... ? VOTE 🗳 NOW "
@kilogreekachananawatuwasio4054Ай бұрын
MAHAKAMA ZETU MTU ATAPELEKEWA SAMANSI YA MAHAKAMA VIPI WAKATI JALADA ALIJAFIKA MAHAKAMANI 😂
Chama tawala NDIO kinaunda serikal, the head of state Toka chama tawala NDIO anateua MAJAJI....mkuu WA mkoa mteule WA Rais......Who to blame who to praise !! Inabidi tujitafute sana
@gloryshayo9966Ай бұрын
Yaani Hadi watu waelewe hapoo ni shughuli
@collincarlos7433Ай бұрын
Mchngj wa badae hyu
@mnolamanyendi4956Ай бұрын
Mkiambiwa selekari ya CCM imeshindwa kuongoza
@petromgaya1746Ай бұрын
Imeshindwa nn nyie vijana wenye bongo za mavi ndio mnaongea ujinga embu kakojoe ulale 😅🚮
@user-hd5bg8qw1bАй бұрын
HATA HIVYO VYA MA UNAVYOVITAKA NDIIO WALEWALE BORA NA C CM KAZI INA ONEKANA.HAO WANATUKANA TU