MAOMBI YA KUZUIA HABARI MBAYA MAISHANI MWAKO // FUTA KABISA

  Рет қаралды 13,763

SIRI ZA BIBLIA

SIRI ZA BIBLIA

10 ай бұрын

Zab 31:15
Nyakati zangu zimo mikononi mwako; Uniponye na adui zangu, nao wanaonifuatia.
Maarifa ya Ki-Mungu
@SIRI ZA BIBLIA
www.sirizabiblia.com
+255 758 708 804
linktr.ee/sirizabiblia
Instagram Account
/ siri_za_biblia
SADAKA YAKO YA KUCHANGIA INJILI IFIKE MBALI ZAIDI:
M-PESA +255 758 708804 INNOCENT MASHAURI
CRDB ACC: 0152523574100 INNOCENT LEONARD MASHAURI

Пікірлер: 114
@lilianleonard8106
@lilianleonard8106 10 ай бұрын
MUNGU NI MWEMA SANA HALLELUYAH AMETUEPUSHA SIKU YA JANA NA AJALI MBAYA SANA 🙏🙏 NAMSHUKURU SANA MUNGU
@judithnjunwa6668
@judithnjunwa6668 10 ай бұрын
Huenda niisingeuza Leo kwenye biashara yangu,,,,ila MUNGU amenipa wateja,,, asante yesu
@pendomarco8928
@pendomarco8928 10 ай бұрын
nakushukuru Mungu wangu asante
@user-hl2kn6si2i
@user-hl2kn6si2i 10 ай бұрын
AMEN AMEN,nafuta kila maneno mabaya yaliyotamkwa juu yangu iwe kwa kujuwa au kwa kutokujuwa,iwe na ninaowafaham au nisiowafaham kwa mamlaka ya jina la YESU KRISTO WANAZALETI 🙏🙏
@LekisosionNangenoi-dz3kq
@LekisosionNangenoi-dz3kq 10 ай бұрын
Amen and Amen Nakataa maneno yaliotamkwa juu yangu kwajina kuu Yesu Kristo aliehai na imekuwa
@kitambalazadock7078
@kitambalazadock7078 10 ай бұрын
Nakataa habari mbaya kwenye ndoa yangu katika jina la yesu 🙏
@lilianeerica3318
@lilianeerica3318 10 ай бұрын
Ooo Lord Thank u kwakusaidia kinywa changu kutokuwai kujitamkia hata neno moja baya ila kama kuna popote niliwai nikasahau naomba upatakase kwa damu yako yesu ❤❤
@naryzmalilo571
@naryzmalilo571 10 ай бұрын
Maneno yaliyotamkwa kinyume na mapenzi yako juu yangu ninayafuta kwa damu ya Yesu
@gracekunambi7438
@gracekunambi7438 10 ай бұрын
Natangaza habari njema katika uzao wangu. Amen
@pascalinakiimay462
@pascalinakiimay462 10 ай бұрын
Naji uganisha na haya mambi katika jina la Yesu kristo
@anthonyjonny8427
@anthonyjonny8427 10 ай бұрын
Wuuui Mungu wangu Mungu wa mathambau ya esiri za bibilia nisamehe
@christinestemi1684
@christinestemi1684 10 ай бұрын
Naomba maneno yote yaliyotamkwa kwangu kwa watoto wangu yote mabaya yafutwe kwa damu yayesu
@ElizabethAkinyi-ox7rf
@ElizabethAkinyi-ox7rf 10 ай бұрын
Amen and Amen 🙏🙏🙏
@BernadethaChigenda-pz5vn
@BernadethaChigenda-pz5vn 10 ай бұрын
Mungu akubariki mtumishi umenivusha kupitia haya maombi nimetambua ctakiwi kutamka kitu chochote kilicho kibaya kwenye familia yangu
@user-qc1bk5zn8w
@user-qc1bk5zn8w 10 ай бұрын
nakataa kila taarafa mbaya katika jina la yesu
@user-qc1bk5zn8w
@user-qc1bk5zn8w 10 ай бұрын
🎉 Amina
@magdalenacharles8833
@magdalenacharles8833 10 ай бұрын
Amen,Asante YESU🙏
@Sabinajosephndunguru-xq9lc
@Sabinajosephndunguru-xq9lc 10 ай бұрын
Amen amen amen🙏🙏🙏🙏
@joycepatofondo
@joycepatofondo 10 ай бұрын
Nafuta maneno nilijitamkia nikiwa mdgo kwamba sitaki kuolewa nafuta Mungu niajalie siku Moja nipate mwenza wa maisha mwenye tutaishi katika njia zako n kuenenda kwa kukupendeza n tuwe n maelewano 🙏🙏🙏🙏
@christinestemi1684
@christinestemi1684 10 ай бұрын
Nafuta kila habari mbaya kwamba sitafaulu yashindwe kwajina layesu nipate kibali kwa damu yayesu kristo 🙌
@judithmkodo6892
@judithmkodo6892 10 ай бұрын
Shalom Nimebarikiwa Mno 🙏
@beatricetumaini6364
@beatricetumaini6364 10 ай бұрын
Ameeeen Ameeen mtumishi barikiwa sana😊
@aminajuma1156
@aminajuma1156 10 ай бұрын
Ameen mtumishi
@upendovicent5376
@upendovicent5376 10 ай бұрын
Ahsante mungu kwakunikomboa mm pamoja nafamilia yangu..hakunatena habalimbaya kwajina layesu amina
@emmahmaclean1175
@emmahmaclean1175 10 ай бұрын
Amina mtumishi wa mungu
@moseskulola6913
@moseskulola6913 Ай бұрын
Here's mungu nijalie nisimame na wewe mungu
@jemimahkarauki-ho8db
@jemimahkarauki-ho8db 10 ай бұрын
Amen 🙏
@everlynkilimba3963
@everlynkilimba3963 10 ай бұрын
BWANA YESU ni mwema SANA siku zote ana HABARI NJEMA kwetu.Habari mbaya tunazifuta kwa Damu ya YESU KRISTO.❤❤❤❤❤
@jacksoldier3025
@jacksoldier3025 10 ай бұрын
Amen asante mungu
@happinessmtitu4485
@happinessmtitu4485 10 ай бұрын
Nafuta Kila maneno mabaya yaliyotamkwa kwenye maisha yangu, hata kama nimejitamkia Mimi mwenyewe au watu wengine ninaowajua na nisiowajua nayafuta kwa Damu ya Yesu!
@dollamtui5849
@dollamtui5849 10 ай бұрын
Asante Bwana Yesu kwa habari njema nakushukuru Bwana Yesu kwa kufuta matamko yoyote mabaya niliyowahi kujitamkia au kutamkiwa au kuwatamkia watoto wangu nayafuta kwa damu ya Yesu iliomwagika pale msalabani ameen
@irinenjombo3368
@irinenjombo3368 4 ай бұрын
Ameeeeeen natangaza habari njema kwenye maisha yangu na watoto wangu, ubarikiwe sana Mtumishi wa Mungu 🙏🙏
@user-cg3uj2vn2h
@user-cg3uj2vn2h 4 ай бұрын
Âmen Amen bwana yesu asifiwe
@annnziu6809
@annnziu6809 9 ай бұрын
Amen Amen mafuta rahana sote nilitamukiwa na andui zangu in Jesus name
@maurindeus
@maurindeus 10 ай бұрын
Amen
@lydiab495
@lydiab495 10 ай бұрын
Amen in jesus
@veronicajohn2705
@veronicajohn2705 10 ай бұрын
God 👏
@DativaAssey-lo3hn
@DativaAssey-lo3hn Ай бұрын
Nafuta maneno mabaya Kwa jina la yesuuu kristu
@user-rh9ei6gv1v
@user-rh9ei6gv1v 9 ай бұрын
Amen barikowa sana mutumshi wamungu nashuru sana
@user-iv5ec5gj1v
@user-iv5ec5gj1v Ай бұрын
Asante Mungu wangu
@shazzysymon6835
@shazzysymon6835 10 ай бұрын
Asante roho mtakatifu
@domingosj
@domingosj 7 ай бұрын
Ubarukiwe sana mtumishi,
@user-uz5yv6zy8u
@user-uz5yv6zy8u 3 ай бұрын
Ee Mungu nilinde na maneno ya nayo tamkwa kinyume na mapenzi yako
@margaretmumby2411
@margaretmumby2411 4 ай бұрын
A prayer request to you pastor innocent..nahitaji maombi more than..maisha yangu iko hatarini😢! # pastor innocent na Siri za bibilia tearm nibebeni na maombi 😢
@gabrielhonlat4043
@gabrielhonlat4043 10 ай бұрын
Nakwenda kufuta kila laaana ya maneno katika jina la yesuu.
@joyceshiyo7257
@joyceshiyo7257 10 ай бұрын
Nikweli kabisa dada yangu alinitamkia maneno mabaya na yamenikuta kweli na yananitesa sana
@margaretmumby2411
@margaretmumby2411 10 ай бұрын
Thank you Lord
@alicethobias932
@alicethobias932 5 ай бұрын
Narudi nyumbani kwa jina la Yesu
@OrestaLuambano-bh8gp
@OrestaLuambano-bh8gp 10 ай бұрын
Nafuta maneno yote mabaya niliyo tamkiwa mimi na familia yangu ktk JINA LA YESU
@dianacute2836
@dianacute2836 10 ай бұрын
Amen Amen and Amen
@eliapendakiondo9229
@eliapendakiondo9229 8 ай бұрын
Aman amen
@nurundumo7587
@nurundumo7587 6 ай бұрын
Amina kubwa
@sabinaleonce8243
@sabinaleonce8243 10 ай бұрын
Amina Mungu akubari Mtumishi
@happinessmtitu4485
@happinessmtitu4485 10 ай бұрын
Ameen
@esterkimalio8846
@esterkimalio8846 10 ай бұрын
Amen and Amen
@user-gn3ln6ce4z
@user-gn3ln6ce4z 10 ай бұрын
Amen 🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@rosemaryowory5710
@rosemaryowory5710 10 ай бұрын
Maneno yote niliyotamka kwa kinywa changu n wengine ninafuta kwa damu ya YESU KRISTO 🙏
@user-xr2cf2tz3r
@user-xr2cf2tz3r 3 ай бұрын
Amen 🙏🙏🙏
@nurundumo7587
@nurundumo7587 6 ай бұрын
Amina nabarikiwa sana
@abigaelmwadena2262
@abigaelmwadena2262 10 ай бұрын
Ameen barikiwa sana
@RoroRoserororo
@RoroRoserororo 10 ай бұрын
Amen and amen
@sharifamakasy6087
@sharifamakasy6087 10 ай бұрын
Nafta maneno niliyo jitamkia na niliyotamkiwa ka tamu ya yesu ameni
@mariamakunga8808
@mariamakunga8808 7 ай бұрын
Ameen hakika nimepona
@blessedmajojojo387
@blessedmajojojo387 10 ай бұрын
Ps 31:15
@furahahonorine8055
@furahahonorine8055 10 ай бұрын
Aaaaaamiiina
@edithaabel7858
@edithaabel7858 10 ай бұрын
Nafuta maneno yote mabaya niliyojitamkia niliyowatamkia watoto wangu na ndugu zangu na yote tuliyotamkiwa na adui zetu nayafuta kwa Damu ya Yesu kristu, Amina.
@tatusaid3934
@tatusaid3934 10 ай бұрын
🤲🤲 amen and ameeen
@dorisbernard4836
@dorisbernard4836 Ай бұрын
Hii ujumbe ni yangu kabisa nikiwa mdogo mamaangu aliniambia nitaoleka mboma kumi akuna pahali nitaioleka nikae saai nimeoleka mbona ya inne niko na watoto wa inne kila mtoto na babaake kwa saai niko na watoto wangu sina mwanaume nikipata mtu anipeleke kwao alfu aende kwetu nikipata mtoto tunaashana natoka sikai uko saai ndio mamaangu anasema aliongea lakini akuwa anajua itatendeka kupitia hii maombi laana nilitamkiwa sikatoke kwa njina la yesu 🙏🙏🙏🙏
@francoise17
@francoise17 10 ай бұрын
Amen 😊
@cobtechgiants
@cobtechgiants 10 ай бұрын
Nafuta kila maneno Mabaya nilio tamka au kutamkiwa na watu nafuta kwa jina la YESU kristo wa nazaleti
@CalistaShayo-sy7pg
@CalistaShayo-sy7pg 10 ай бұрын
Asante bwana hata kwa kunikumbusha
@user-sarah1sarah
@user-sarah1sarah 10 ай бұрын
Huyo ni mimi huwa ata najitamukiya mwenyewe 😢eeee mungu Asante kwa neno lako🙏🙏🙏🙏
@mariahabokea2085
@mariahabokea2085 10 ай бұрын
Amen and Amen.
@emilywamalwa5938
@emilywamalwa5938 10 ай бұрын
Yote yenye wazazi wangu walinitamkia ninaikataa nakuifuta na damu ya Yesu kristo in Jesus name amen,amen🙏🙏🙏🙏mtumishi Mungu akubariki.
@alicemwaka3762
@alicemwaka3762 10 ай бұрын
Emeeen
@annagodwin412
@annagodwin412 10 ай бұрын
Nafuta maneno yote mabaya niliyojitamkia mm mwenyewe au na mtu mwingine /au kuwatamkia wanangu ktk Jina la YESU KRISTO aliye Hai ! Ameen 🔥🔥🔥
@rithamalisa4636
@rithamalisa4636 10 ай бұрын
Amina naamin nimepokea kwa jina la yesu wa nazareti AMENI🙏
@janehabakuki4564
@janehabakuki4564 10 ай бұрын
Ninakataa kila matamshi juu yangu watoto wangu waliotamka yashidwe kwajina la Yesu maneon makari kiywani mwangu yashidwe
@liddydeSalt4773
@liddydeSalt4773 10 ай бұрын
Shalom and Amen 🙏 🙌 👏
@esthercharo695
@esthercharo695 7 ай бұрын
Àmen
@marymaria6544
@marymaria6544 10 ай бұрын
Ninafuta chochote nilichojitamkia mwenyewe,pia nilichotamuka Kwa watoto wangu,hatakilichotamkwa Kwa familia yangu chochote kibaya bila kujua Na hatakujua.nafuta Kwa damu YA yesu Kristo amen
@pendomosha1469
@pendomosha1469 10 ай бұрын
🤲🤲🙏🙏
@LazaroMollel-zw2of
@LazaroMollel-zw2of 9 ай бұрын
🙏🙏🙏🙏
@judithnjunwa6668
@judithnjunwa6668 10 ай бұрын
Jamani wazazi,,,,,maneno Yana nguvu,,,,tunene mazuri jamani
@judithnjunwa6668
@judithnjunwa6668 10 ай бұрын
Amen amen
@dariageorge1448
@dariageorge1448 10 ай бұрын
Maneno mabaya yote yanayotamkwa kwa akili ya familia yangu mayafuta kwa jina la yesu
@rebeccabrown5135
@rebeccabrown5135 10 ай бұрын
Amen ❤
@edinahmasea1603
@edinahmasea1603 10 ай бұрын
Asante Yesu kwa kutukomboa na watoto wangu. Amen Amen Amen Lord Amen
@marymaria6544
@marymaria6544 10 ай бұрын
Amen amen asante yesu.asante mungu kwakuniweka Salama pamoja Na kilakitu changu mikononi mwako.ubarikiwe sana mtumishi Kwa Haya mafundisho roho mtakatifu alioachilia kwako.
@florencekwekwe1993
@florencekwekwe1993 10 ай бұрын
AMEN 🙏 AMEN be blessed
@gabrielhonlat4043
@gabrielhonlat4043 10 ай бұрын
Amen mtumishi kwa somo zuri.nakwenda kufuta kila matamko niliyosema. na kusemewa na watu wabaya katika jina la yesu nisaidie yesu Amen.
@gukawafly
@gukawafly 10 ай бұрын
Power in prayers those know God 🙏
@mosesmaganga1548
@mosesmaganga1548 10 ай бұрын
Nafuta kila nilichokitamka na nilichotamkiwa na mtu yeyote kibaya Kwa damu ya yesu kristu🙏🙏
@sharonatienoolweny
@sharonatienoolweny 10 ай бұрын
Ameeeeen ninatamka Baraka in Jesus name
@perisriziki1592
@perisriziki1592 10 ай бұрын
Ameeeen and Ameeeen
@user-sarah1sarah
@user-sarah1sarah 10 ай бұрын
Amen 🙇🙇🙇🙌
@linet6663
@linet6663 10 ай бұрын
Ameeen 🙏🙏, barikiwa sana mtumishi wa Mungu 🙏🙏..am so much blessed through your teachings and prayers... your teachings strengthens my Faith day by day I thank God for everything 🙏🙏🙏
@sirizabiblia5276
@sirizabiblia5276 10 ай бұрын
It's my pleasure @LINET
@linet6663
@linet6663 10 ай бұрын
@@sirizabiblia5276 be blessed mtumishi wa Mungu 🙏🙏
@FaidaWilly-du8ts
@FaidaWilly-du8ts 10 ай бұрын
Amen amen mtumishi,damu ya yesu inisafishe na mimi
@JoannaWilliam-gw8fy
@JoannaWilliam-gw8fy 10 ай бұрын
Amina lakini nilikuwa naomba ushauri, Kuna kipindi nilikuwa naokot ela shilling 10000 na ni kila baad ya miaka miwili au mitatu lazima nikote. Ina maana gani?? had hapa nilipo nimetafta kazi mpaka nimechokaa sipat hata mahusiano yenyewe ni ngumu kwanguuu, na kuota upo sehemu unakuta Kuna mtu anafanya kazi ya mgahawa lakini kwenye sufuria la wali unakutana na ela na mala y pili niliota chini y karai Kuna miambili ko selewi an mtumishi wa mungu nisaidieni
@sirizabiblia5276
@sirizabiblia5276 10 ай бұрын
Tuma meseji au piga simu, namba ipo hapo
@user-vl9kb3es5i
@user-vl9kb3es5i 10 ай бұрын
Amen 🙏
@nonomarrina1437
@nonomarrina1437 10 ай бұрын
Amen
LIVE: MAOMBI YA KUANGUSHA NGOME ZA ADUI MAISHANI MWAKO
31:50
SIRI ZA BIBLIA
Рет қаралды 8 М.
DALILI ZA KUKUJULISHA UNASHAMBULIWA KIROHO || PST. GEORGE MUKABWA || 15/06/2023
1:34:04
Pastor George Mukabwa (JRC Church)
Рет қаралды 418 М.
Homemade Professional Spy Trick To Unlock A Phone 🔍
00:55
Crafty Champions
Рет қаралды 59 МЛН
МАМА И STANDOFF 2 😳 !FAKE GUN! #shorts
00:34
INNA SERG
Рет қаралды 3,8 МЛН
MABADILIKO HUJA NA MAUMIVU/USIACHE KUOMBA-VUMILIA
9:51
SIRI ZA BIBLIA
Рет қаралды 15 М.
LIVE: MABAYA YASIKUPATE WEWE // MAOMBI YA USIKU
38:44
SIRI ZA BIBLIA
Рет қаралды 20 М.
MADHARA YA ROHO ZA UZINZI ZINAA NA UASHERATI
1:43:50
ADM Ministries
Рет қаралды 8 М.
KAULI ZA KUTAMKA KWENYE MAOMBI YAKO ILI UJIBIWE HARAKA
14:35
SIRI ZA BIBLIA
Рет қаралды 38 М.
MAOMBI YA ASUBUHI, FANYA MAOMBI HAYA KABLA UJAENDA KAZINI.  ANZA SIKU NA BWANA
5:04
PASTOR GODWIN NDELWA - MAOMBI NI DAWA
Рет қаралды 17 М.
UNAPOCHOKA,NANI ANAKUBEBA KATIKA MAOMBI?? // MUHIMU SANA
37:41
SIRI ZA BIBLIA
Рет қаралды 84 М.
BWANA ATAWAPIGA ADUI ZAKO MBELE YAKO // MAOMBI
16:53
SIRI ZA BIBLIA
Рет қаралды 28 М.
LIVE: MAOMBI YA USIKU WA MANANE // MBINGU ZINAFUNGUKA
1:12:54
SIRI ZA BIBLIA
Рет қаралды 89 М.
#LIVE: MAOMBI YA KUOMBA PESA KWA MUNGU // Monday 20,2024
1:30:37
SIRI ZA BIBLIA
Рет қаралды 5 М.