Barikiwa sana mtumishi wa MUNGU kwa kusimamia agano takatifu Hilo MUNGU awasimamie sana
@vogellukanka13332 жыл бұрын
Ila tuwen makin sana sana. Hakuna userious hapa naona maruweruwe tu
@jessymathias45352 жыл бұрын
Amina, mchungaji masanja endelea na kazi ya mungu, usisikilize maneno ya adui za mungu maadamu mungu amekuita umtumikie,songa mbele
@user-pg8uk7vw3m5 ай бұрын
Mambo masanja
@RobsonAnthony-cx3wvАй бұрын
God bless you pastor
@anordmbembela69402 жыл бұрын
Good servant of God ,as Yesu ndye njia keel na uzma! Ubarikiwa
@mpangaladickson68373 ай бұрын
Acheni kumuhukumu mtu.maandiko yanasema usihukum usije nawe ukahukumiwa......mungu ndie aliyemwita afanye kazi yake.
@jeanmjimmy2 жыл бұрын
Ongera sana vijana, kazi njema mbarikiwe kwa jina la Yesu Masiya. Mungu awasaidiye muishi kwa amani na mdumu kwenye ndoa mpaka kifo kitakapo watenganisha.
@lydiamgollo98992 жыл бұрын
Big up pastor Masanja.
@osgentertainmentdancers89242 жыл бұрын
Kazi nzuri sana hii uliyoifanya bishop
@agesag.m24762 жыл бұрын
Wonderful proceeding .
@sabrinaandrew42453 ай бұрын
Nimefurahi mtumishi Kwa kuto tamka ktk shida na Raha.🎉🎉🎉🎉🎉hujawaungamanisha agano la shida na raha🎉🎉🎉❤
@kefaphilipo80602 жыл бұрын
Balikiwa kweli inapendeza mchungaji kwa hao wawiilii Mungu awatunze
@tawiso_online_tv.Ай бұрын
Hamna wito hapa😂
@amanjr56352 жыл бұрын
Hongera sana mtumishi wa Mungu. Pia hongera nyingi kwa Musa , Apatae mke amepata kitu chema🔥🔥
@nestorymsacky68382 жыл бұрын
Tofautisha comedy na Mungu, uwezi sema comedy ni mungu, masanja kutumia comedy akiwa madhabahuni ni sawa labda inaweza fanya watu wakaelewa neno zaidi ya akiwa serious
@joelmsawile17182 жыл бұрын
Safiiiiiiiii sanaaaaa pastor
@lilyrose79832 жыл бұрын
Barikiwa sana Mtumishi wa Mungu.Kazi yako ni njema sana👏👏
@bahatimbembela18252 жыл бұрын
Hongera kijana Ila jikaze ndoa mh
@jonsongabriel9372 жыл бұрын
Barikiwa katika jina la Yesu kristo
@rithakuyala99512 жыл бұрын
Mungu aitunze hii ndoa
@dunstannyange75092 жыл бұрын
Hapo hakuna mchungaji zaid ya ujinga ujinga tu, yan sasa hv din imeiingiliwa kwel kwel yan kila mtu ni mchungaji
@ntibashimadicksonyingo3922 жыл бұрын
Masanja cheni za nn?
@mwanaiddicosmas79462 жыл бұрын
Ongera sana kaka
@sabrinaaron42122 жыл бұрын
eti Ni yeyeeee 🤣🤣🤣🤣Mungu akaitunze inshallah
@lovegodmunisi10062 жыл бұрын
Masanja ameitwa na Mungu mwenyewe, kwa kusud maalum
@lydiaemmanuel78932 жыл бұрын
MUNGU gani anaeruhusu mchungaji kuvaa cheni simhikum lakin Yesu alisema jifunzen kwangu
@peteveprosper71862 жыл бұрын
@@lydiaemmanuel7893 uliona wapi akitaza
@cafejohn3582 Жыл бұрын
Mwenyezi mungu utuhurumiye
@MS.independent89342 жыл бұрын
Biarusi wa jinaaa jmn😌 Mariam
@adeladaudi87802 жыл бұрын
Mungu tuhurumie lkn haya lazima yawepo ili maandiko yatimie
@martinkisha63072 жыл бұрын
Uko sawa
@misheckmrk88482 жыл бұрын
🔥🔥🔥🔥💕🤝
@ednamasud26132 жыл бұрын
🤣🤣🤣 ni yeyeeee!!
@evaristmrope2 жыл бұрын
Amen
@levinyaosi35562 жыл бұрын
Kiburi chako ndo hasara kwako brother
@user-ur5mq5em3f4 ай бұрын
balikiwa sana wanandoa mmenikumbusha mbali
@nyororotherock55672 жыл бұрын
💜💜💜💜💜
@user-ii9qx9ii5p4 ай бұрын
Wewe uliyekomenti kuwa aache mzaa madhabauni wewe nana mpaka huuu kumu atatengenezwa na Mungu aliye muita si binadamu
@edinamadebele973 Жыл бұрын
Hivi huyo mke wa katibu akiangalia hii kwa sasa anajisikiaje jamani, Mungu amsaidie tu kwakweli
@seciliakayombo48452 жыл бұрын
Ongera kwakazi njema
@williamoscar66572 жыл бұрын
Sijaona kma kweli kuna roho mtakatifu kwa masanja... hakika sio kila kanisa ni la mungu
@evoteclimited23192 жыл бұрын
Kwani wewe unaangalia mavazi, mwonekano na namna anavyoongea? Au unaangalia ujumbe na matendo yake? Usihukumu usije ukahukumiwa, maana anaye hukumu ni Mungu peke ake.
@williamoscar66572 жыл бұрын
@@evoteclimited2319 hata shetani ana maneno mazuri sna kuliko hata ambyo ww unayajua.... lakin kuwa mtumish wa mung ni kuwa mtauwa mbele yamacho ya bwana mtu aliyeacha yote naye akijkana na kumfuata mungu... aliyeacha utu wake wa zaman na kuuvaa utu mpya..... usijedanganya kwa maneno ya watu hata yule mwovu mkuu anamaneno mazur zaid ya unavfkir..
@matswelopelemphela96762 жыл бұрын
Umetumia kipimo gani?
@Zaburi-2 жыл бұрын
Mungu/MUNGU nasio mungu
@ffrank67542 жыл бұрын
mung huangalia ndani ila sis binadamu tunaangalia nje ww umeonaj km hkn roho mtakatif
@kacimonpoint45982 жыл бұрын
Get it be done
@tanstudiotv2 жыл бұрын
Mwanza mwanza! Mtumishi feel free church tunataka Mwanza
@tulimlawa86082 жыл бұрын
Kwaiyo sio mpaka kifo kiwatenganishe au ckuizi co mpaka kifo
@veronicabenezeth66022 жыл бұрын
Mwenye wivu aokoke
@irenesangawe63662 жыл бұрын
Amenii
@peterchonya39382 жыл бұрын
Ameni
@nsiaelieza95682 жыл бұрын
Masanja ukiwa madhabahu usitumie tonic ya komed. Kaa madhabahuni kwa utulivu. Chagua kuwa comedian au kuwa Mchungaji. Huwezi kutumikia mabwana 2.
@claraedwardmalingumu35652 жыл бұрын
Hata mie cpendi kabisaaa cyo ucha mungu huo
@afrohomeofsuccess23592 жыл бұрын
@@claraedwardmalingumu3565 kwan wachungaji hutumia sauti zao wawapo mazabahuni au wana sauti zao za kbumba
@labanbishirabandi37402 жыл бұрын
Wewe unataka aongee nini
@ezekieljackline3903 Жыл бұрын
Pande zote mbili zimakubaliana this ndoa ( wazazi
@justinsindani-zq2jl Жыл бұрын
Masanja mpaka sasa una nyimbo ngap?
@johnngowi21032 жыл бұрын
Amina
@jaberjohn75562 жыл бұрын
Masanja l love your job but kindly tell the bride and groom always to look at each other in the face, to make assurance of what they are talking.To look down is not good idea.
@@francismangula2715 l think you have no awareness. Period
@francismangula27152 жыл бұрын
You lack some knowledge brother.
@issaramadhan74562 жыл бұрын
Vizuri mtumishi
@majaliwamahenge36582 жыл бұрын
🙏🙏
@joyelia53562 жыл бұрын
musa and mariam khadija and yusufu
@rutashubanyuma45462 жыл бұрын
Caption haijakaa mujarabu ukisema ntacheka wakati ni jambo la serious nashangaa!
@happinesszabron76352 жыл бұрын
Utawaepuka wengine wote na kubaki nayeye peke yake wote NDIO Imeisha hyo
@adamsibora9991 Жыл бұрын
Akujibu mkeo ndo alikuwa anajua
@GraceJaphet-fr4jt2 ай бұрын
Ameni.
@emmycondrad97062 жыл бұрын
🤣😂😂👏👏
@gvmstudio56592 жыл бұрын
ndoaa
@michaelmagige46692 жыл бұрын
That's a business like another business,je wanaenda na sheria na ushuhuda wa iman ya yesu? Cku yesu akirud kuna watumish wengine atawakataa!! Watadai tulitoa mapepo,tuliponya,yesu atawakibu ondoken cwajui!!!
@francismangula27152 жыл бұрын
Kosa liko wapi?..
@emmanuelmwamlima10272 жыл бұрын
Usihuku usije ukahukumiwa
@khdigahk42462 жыл бұрын
Mussa na mariam wafikaje kufunga ndoa kanisani😅😅😅😅
@fanikiwamhapa42362 жыл бұрын
Hatuja elewa maana yako
@edithafrancis70572 жыл бұрын
Majina yapo pande zote kwa wakristo na msikitin
@fanikiwamhapa42362 жыл бұрын
Majina haya Yana patikana ndani ya Biblia,vitabu vingine vimeiba ndan ya Biblia,,Ila Kuna baadhi ya vitabu vimediriki kubadili mpaka majina mengne kwa kiwahofia wafuasi wao,mfano km jina la Yohana wa kwenye Biblia wanamuita (Yahaya) n .k
@antonthomas8072 жыл бұрын
Unamuulizanani au una jiuliza mwenyewe
@sebonikegobi6244 Жыл бұрын
Wamefika kama wengine
@donaldtadeodontado9991 Жыл бұрын
Na shida ndio ilianzia hapa Sasa ..........
@venitarugemalila9290 Жыл бұрын
Hawa wamama nao watoto mbele kila muda muna haribu tukio
@peterfrank42992 жыл бұрын
Amina Piga kazi masanja
@gasperamoxi43302 жыл бұрын
Yes
@matukiomedia1912 жыл бұрын
Kama igizo hilo
@mwangosmgs64712 жыл бұрын
Mtumshi🥰
@edojoseph42732 жыл бұрын
Hao maharus hiyoo sio ndoa ni uhuni nyie wazinifu tu mbele za Mungu
@issacklyandala7023 Жыл бұрын
HII NIFUJO TU, NO UTUMISHI HAPA
@kadijahajali39182 жыл бұрын
Bass
@mohamedalawyi83362 жыл бұрын
Sawa ni Moses na Mary . Musa na Mariam wanaowana Msikitini sio Kanisani .
@francisemmanuel15512 жыл бұрын
Hayo ni majina tu ila ya na maanisha Musa na Mariam kwafano wewe katika kabila lako unamwitaje Mungu waarabu wanamuita Allah wazungu wanamuita God
@mashashamsimba47402 жыл бұрын
Hiv hapo kunajasho kweli mbona kuna fen
@fatimaabdulla69672 жыл бұрын
😂😂😂😂😂🙄🙄🙄Wanadamu Mna kazi kweli kweli
@briankatani87652 жыл бұрын
Matapeli bhana
@khanniebaraka15152 жыл бұрын
Hahaha
@mlawimweusi92192 жыл бұрын
Nan kakutapel
@agathathobias86902 жыл бұрын
Kama rahis katapel na wewe
@issacklyandala7023 Жыл бұрын
ATI ASKOFU!!!!!!
@childofgod44122 жыл бұрын
Mke wa pilipili naye ni pastor🤔🤔
@josephurupia46532 жыл бұрын
😆😃😃😃☹️😢
@rachaelkazimili40922 жыл бұрын
Huyo dada muone hivyohivyo tu ni muombaji mzuri sana
@akxakalapa89502 жыл бұрын
@@rachaelkazimili4092 shida ya sisi watanzania tunapenda kum judge mtu bila kumjua kiundani ila kwa mm nakaona ni ka dada kenye imani sana mbele za Mungu
@sebonikegobi6244 Жыл бұрын
Pole yake manake hiyo kazi siyo mchezo Mungu amsaidie
@mandejumanne64292 жыл бұрын
Ni yeye
@kadijahajali39182 жыл бұрын
Heee
@justinsindani-zq2jl Жыл бұрын
Pete haina maana yoyote kwenye ndoa
@charlessitta82472 жыл бұрын
Mchungaji Safi Sana. Naamin one day ntatokea hapo church. Location wapi ?
@fatmaayoubfatmaayoub88822 жыл бұрын
Lipo kinondoni Leaders ukifika hapo Leaders uwanjani utaona kibao chake napia kam unatokea makumbusho unashuka kituo cha kontena unashuka na njia hd ufike benk ya Kcb utaona kibao chake pia ila kam unatokea maeneo ya kariakoo unapanda gar za masaki unashuka ubalozi wa ufaransa ukishuka tu pia unaona bango lake la kanisa la masanja FEEL FREE CHARCH Utakuwa umefika kabisa kanisani kwake karibu
@sabastianraymond.63832 жыл бұрын
YAANI HATA SAUTI YAKO MASANJA NI KIUSANII MUOGOPE MUNGU ONGEA KWA HESHIMA.NDOA NA IHESHIMIWE NA WATU WOTE.
@joycenyakiha81212 жыл бұрын
Ahahahahaahha
@sweetluc26602 жыл бұрын
Wamependeza Mungu awe nawo kila siku
@kingsforchange10392 жыл бұрын
You don't know God well.. Masanja ni Mtumishi wa Mungu na milele hata kwa kuzungumzaje he speaks God words and powerfull.
@farajachesco9852 жыл бұрын
Roho mbaya tu inakusumbua ww
@kingsforchange10392 жыл бұрын
@@farajachesco985 anamatatizo huyu nae.
@jacobelikana16242 жыл бұрын
Hagg uliorusiwa na askofu mmeionna
@nicianezekiel91442 жыл бұрын
Chap xana
@latinusdominic76252 жыл бұрын
Eti Askofu???
@rabsontryphon92542 жыл бұрын
Unataka awe vp
@silyvesterlameck97542 жыл бұрын
Kiukweli2 masanja unaniboa hiyo cheni wanayo vaa waganga wakienyeji
@childofgod44122 жыл бұрын
Yaani na mimi nimeuangalia mh haya tumuachie Mungu mwenyewe
@godfreywilliam96732 жыл бұрын
Usihukumu ndugu
@joyelia53562 жыл бұрын
@@godfreywilliam9673 hajui lakini mungu anaendelea kumtengeneza ataachaga tu
@user-ot2io4cy6w2 жыл бұрын
Kwan Waganga wanavaaga cheni na umejua kama wanavaaga cheni au na wewe ni Mganga au unaendaga kuaguliwa huko🤷🏾♂️🤷🏾♂️🤷🏾♂️
@jaliamwasomola55182 жыл бұрын
Mungu tusaidie na wew pia mmmm
@waytvtz25492 жыл бұрын
Masanja kusema la ukweli wewe ni comedian upastor umevamia kwa nyuma
@kephahusseni33312 жыл бұрын
Zuchu nyumba ndoga
@sabastianraymond.63832 жыл бұрын
HAKUKUA PETE EDENI. NINYI MMETOA WAPI? NA KWA ANDIKO LIPI?
@sweetluc26602 жыл бұрын
Pete ni ishala tu ya Upendo Hakuna kwenye Andiko ndugu yangu
@pendobaharia72272 жыл бұрын
Pete Ni ishara ya kua mtu kaoa au kaolewa
@lovegodmunisi10062 жыл бұрын
Msiongee neno juu ya huyu jamaa, huyu ameitwa na Mungu mwenyewe