#LEOTENA MAMA AWEKWA MTEGONI, YUPI NI MTOTO WAKO KATI YA HAWA, ''HATUJAONANA KWA MIAKA 30''
Пікірлер: 110
@user-fz1ph3cn4s21 күн бұрын
Baba kamtunza mtoto vizuri sana. Happy fathers' day.
@user-eu6ql9zl7n4 күн бұрын
Nashukuru Mungu Kwa mbeba maono wa kipindi hik watangazaj wote Kwa ujumla na mmilik wa hii clouds Fm
@user-lm8ji4tz2r29 күн бұрын
Nipo mozambiq nakipenda sana hiki kpindi kwa sababu Mimi ni muhanga nilipotezana na mama miaka 25 nikiona hua ninalia hongereni sana kwa kazi mzuri🎉🎉🎉❤❤❤❤
@masterhptv406529 күн бұрын
Hongera Rose rafiki yangu kumpata mama, ntakuja nyumbani kukupongeza
@enockmaige893629 күн бұрын
Utabarikiwa
@ansifridmkongoja333729 күн бұрын
Hongereni kwa kipindi kizur sema Mama yuko vizuri kwenye kutumia kipaza
@user-xc4or2vp6l28 күн бұрын
Dada Gea napenda, anavyoongea kwa staha/ kwa kutulia. Yaan taratibu. Vipindi vingi yuko hivi. Maua yako hayo🎉🎉🎉🎉🎉
@aminaomary556729 күн бұрын
Bibi amechukia sana rohoni furaha yake ndogo sana:sio kama akina MAMA Mwita. Ongeren sana akina dada Gea❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Kwa kweli hiki kipindi huwa kinanitoa machozi sana hongera sana mama kumpata mtt wako Rose mauwa yako❤❤❤
@user-ii1tc7gt9r29 күн бұрын
Ila sisi wakerewe na wajita ndo zetu kuwatenganisha watoto na mama zo tunaongoza
@samuelmuhindosivamwanza498821 күн бұрын
Mbarikiwe sana. Mnafanya kazi nzuri. Ila ikiwezekana ule mziki unasumbua. Kama ikiwezekana, usitishwe wakati watu wanaongea.
@user-xh7xf2ki3r21 күн бұрын
Allah awabark sana hakika mnawasaidia na azidi kiinua zaidi hii clouds na wafanyakazi wake Allahumma Aamiyn
@anenragnesmunis849018 күн бұрын
Anafana na mama yake 😊
@solomondanny-150726 күн бұрын
Mnyiramba mwenzetu unatuangushaaaaaa.
@darajalakidatukilomgi236229 күн бұрын
Babu amekuja kama hakuna baya alilofanya kutoroka na mtoto
@taturajabukhalfani795325 күн бұрын
😂
@KAHINDITV13 күн бұрын
😅😅😅😅😅
@CristinLyanga28 күн бұрын
Wa kwetu mama nimekupata' mwana wane' songela zigizigi.
@halimamremi537526 күн бұрын
MM NILIONA SURA TANGU MWANZO NI WA KATI SURA KAFANANA NA MAMA YAKE JAMANI WANAUME WENGINE NI SHIIDAA TUU😂😢😅
@jaliamkubilasidi18 күн бұрын
Ooooo jomoni hongeraaa sana mama rozi kwa kumpata mwana nani kama maaaamaaaa
@esthercharles-zq1lc2 күн бұрын
Hata mm nisingekuwa na furaha na yeye kamtorosha mtoto akiwa mdogo sana
@annastaziarenatus80464 күн бұрын
Mimi naitwa a nastazia namtafuta baba yangu anaitwa piusi mlema tangu mwaka 19720
@user-eb6ct7ks3wСағат бұрын
To be sincerely babu aliboa!!!
@GetrudeRashid-be8bs25 күн бұрын
Mtu na mtt wake,cheki alivyomjua m wanae,,,mtu chake bwaaa🎉🎉🎉
@janneferisaya8322 күн бұрын
Bibi wanyumbani kabisa 🙏🏼 wasongela zigizigi
@Teresa-25523 күн бұрын
Bibi hajafurahia huyu mzee😂😂😂😂
@user-yd6xh1mr1kАй бұрын
Mungu azidi kuwakutanisha na wengine jamani😢
@fathimamct23222 күн бұрын
Buie ni watangazaji hqlafu mnaharibu lugha Heahima Yako ndio.nn na mama Ako myumbani unamsalimia hivyo heahima Yako mama hujui mzazi wa mwezio ni mzazi wako piya Acheni manjonjo yenu bwana
@sleeprelaxation8431Ай бұрын
Bibi bado ana maumivu
@asiansky976728 күн бұрын
Kweli
@user-xd9ye7wk6c27 күн бұрын
Kabisaa yaani Kama ni mm ntakalo mfanya huyo mbaba
@halimaoman872629 күн бұрын
Kipindi hiki cha laha leo huwa kinatowa machozi sana kwa jinsi watoto walivyotengana na wazazi wao wa kike na hii yote wanatusababishia awa waume tulizaa nao ndio wanatusababishia tusiwaone watto wetu
@matridamwalyoyo173529 күн бұрын
Katokea kwetu
@user-rm9iz3yi5c26 күн бұрын
Hongera sana
@GladnessJohnLewis11 күн бұрын
Namtafuta mdogo anaitwa frenk tarimo alitoroshwa na baba yake huko rombo baada ya mama yetu kufariki
@user-ii1tc7gt9r29 күн бұрын
Kama ningekua mm ningempiga na kiatu huyo baba
@eggysulle798826 күн бұрын
😂😂😂
@FaridaMngerezaКүн бұрын
Iza iza iza
@Moscow92425 күн бұрын
Jamani mi namtafuta wifiyangu anaitwa Hindu Husen Hajji waliachana na kakayangu na aliondoka na mtoto mdogo anaitwa Sada na alimwacha mtoto mmoja anaitwa selemani naomba kamayupo hai mwanae sele anamtafuta aje Tabora
@aziza909329 күн бұрын
❤❤❤
@Allygibison12 күн бұрын
Put the music off or down a bit as you guys telk
@ruthmuja7792Ай бұрын
❤
@SuzanFelix-mo8fq27 күн бұрын
Daah dadangu angejalibu iki kipindi uwenda angemuona baba yake au mdogo wake imani😢
@user-qg2sw9bj2i23 күн бұрын
Nawaza ivi kuna mtu atamchukua mwanangu akiwa na miaka 2 namm namuangalia
@rehemakanyere418812 күн бұрын
Sijui yaaani basi tu
@ruthmuja7792Ай бұрын
🎉
@magrethmathayo280029 күн бұрын
mtu kashakwambia hawezi kumtambua hivyo mpaka alama unamlazimisha
@MonaJuma-cp3jg26 күн бұрын
Kimeniliza kweli hikikipindi😭😭😭
@abdulkhalim947515 күн бұрын
Bibi kamaindi kbsaaaa hahaha dah
@rehemaabdy283027 күн бұрын
Nimelia
@hashakishabani489623 күн бұрын
Daaa kafanana na mamaake sana
@ruthmuja7792Ай бұрын
Bibi ana kinyongo 😂
@nancyg866429 күн бұрын
😂😂😂
@user-ck3sj6ni4z25 күн бұрын
Mwenyewe nisingemsalimia 😏
@user-ml8jd5xg1r25 күн бұрын
❤❤❤❤🎉🎉
@mussanangumi173414 күн бұрын
Mimi Nina mtoto wa marehem Dada yangu ananisumbua anamtafuta baba yake anaitwa seif nimtu wa pemba
@fatmamohammed834625 күн бұрын
hiki kipindi ni kizuri lonnmie kila nikikiangalia huwa nalia kuna uchungu fulani hivi naupata🎉🎉🎉
@user-bz6ru7sk7u14 күн бұрын
Hivi Hawa wazazi wanakuaga wap miaka 30 kweli alafu mama hasaaa jamani
@halimaoman872629 күн бұрын
Bibi mmempotezea furaha yake yote baada ya kutokea katika kipindi kutokea bibi mudi yote imepotea
@eggysulle798826 күн бұрын
😂😂😂anawaza mbal
@leokamil628428 күн бұрын
Acheni kuweka huo mziki
@Wilbadi22 күн бұрын
Sis sio milima tutakutan
@user-lx8nl8hh3f25 күн бұрын
Ila inauma
@user-ky2do8fn1w23 күн бұрын
Mama znaongea kibembe
@HawaAhmed-yj8wo29 күн бұрын
Sasa kwanini hilo libaba liliiba mtoto?
@MsAggie528 күн бұрын
Ndo zao! Wengi waliopo hapo wababa waliwaiba wakafa. Inauma wakiwa wakubwa Kwa nini wasiwaambie ukweli? Ukatili huu, seri
@FloraMarinyo28 күн бұрын
Tabia mbayaaa sana yakumpokonya mtoto kwa mama yk
@michaelthobias996728 күн бұрын
Ila mama akikaa na mtt ndio sawa acheni ubinafsi mtt ni wazazi wote
@michaelthobias996728 күн бұрын
Kaka mtt ni WA mwanamke peke yake mwanaume wa Nini ktk upatikanaji wake
@HawaAhmed-yj8wo28 күн бұрын
@@michaelthobias9967 huyo Baba alitakiwa kufanya jitihada watoto wawe wanaenda kumsalimia mama yao japo wakati wa likizo
@user-th9nc2om2x26 күн бұрын
Acheni muziki
@aziza909329 күн бұрын
Safuy san kwakipidi
@aminaabdalla994929 күн бұрын
katikati
@ellahjonas48816 күн бұрын
Acheni kuniliza jamani
@ghhhhy181229 күн бұрын
Uyo mtot kafany ni Chek 😂😂kama mazim
@georgedaniel496229 күн бұрын
Mama miyeyusho kinoma unalia unasogeza maik ili sauti isikike
@Aminahlamranl420-hw2ie28 күн бұрын
😂😂😂
@MsAggie528 күн бұрын
Labda alifikiri ndo inavyotakiwa 😂
@MsAggie528 күн бұрын
Mama ana hasira ona anatazama pembeni hataki hata kumuangalia. Baba anashindwa hata kuomba msamaha?
@hyacintagugu714 күн бұрын
Yaani😂😂😂
@user-sy4wf5ll4o20 күн бұрын
😅😅 nimefrai mama ana Lia anaweka maik mdomon
@hyacintagugu714 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂mama Ni nomaaaa
@mariyamsalalah820427 күн бұрын
Weee nalia bas tu
@FloraMarinyo28 күн бұрын
Geita inaonekana mnatabia zakuwapokonya wamama watoto
@mouldykomba185227 күн бұрын
Saana sio tabia nzur hao wababa wana tabia mbaya
@user-pn7qg8jb1e27 күн бұрын
Jamani nimesikia mma kaqoqa kiluqa nimemwelewa
@HOLINESSPIUSE-gv8ud24 күн бұрын
Nakwambia udadisi Wa redioni NI kujitoa mno
@ReginaThomasLongwe-qf4qs24 күн бұрын
Rose anafanana na mama yake
@hyacintagugu714 күн бұрын
Sana
@GetrudaChagu18 күн бұрын
Dada Kaka shkamoni mm ninamtafuta Dada yangu mariamu juma shabani yupo dare Salam naomba mnisaidie kutafuta mana tuliachana wadogo sana
@TeleziaSimbeye-fm3zw16 күн бұрын
Ilikuwaje wakapotezana???
@Aminahlamranl420-hw2ie28 күн бұрын
Bib amemkwepa babu jamaniii huruma
@MsAggie528 күн бұрын
Mie ningemtia ngumi 😂😂
@MaryCaroly-zl1ei24 күн бұрын
😂😂😂😂
@user-do1ug7de3g22 күн бұрын
Inakuwaje hembu tuambieni ili tusiwe na maswali ya kwanini