#LEOTENA

  Рет қаралды 50,235

CLOUDSMEDIA

CLOUDSMEDIA

Ай бұрын

#LEOTENA MAMA AWEKWA MTEGONI, YUPI NI MTOTO WAKO KATI YA HAWA, ''HATUJAONANA KWA MIAKA 30''

Пікірлер: 110
@user-fz1ph3cn4s
@user-fz1ph3cn4s 21 күн бұрын
Baba kamtunza mtoto vizuri sana. Happy fathers' day.
@user-eu6ql9zl7n
@user-eu6ql9zl7n 4 күн бұрын
Nashukuru Mungu Kwa mbeba maono wa kipindi hik watangazaj wote Kwa ujumla na mmilik wa hii clouds Fm
@user-lm8ji4tz2r
@user-lm8ji4tz2r 29 күн бұрын
Nipo mozambiq nakipenda sana hiki kpindi kwa sababu Mimi ni muhanga nilipotezana na mama miaka 25 nikiona hua ninalia hongereni sana kwa kazi mzuri🎉🎉🎉❤❤❤❤
@masterhptv4065
@masterhptv4065 29 күн бұрын
Hongera Rose rafiki yangu kumpata mama, ntakuja nyumbani kukupongeza
@enockmaige8936
@enockmaige8936 29 күн бұрын
Utabarikiwa
@ansifridmkongoja3337
@ansifridmkongoja3337 29 күн бұрын
Hongereni kwa kipindi kizur sema Mama yuko vizuri kwenye kutumia kipaza
@user-xc4or2vp6l
@user-xc4or2vp6l 28 күн бұрын
Dada Gea napenda, anavyoongea kwa staha/ kwa kutulia. Yaan taratibu. Vipindi vingi yuko hivi. Maua yako hayo🎉🎉🎉🎉🎉
@aminaomary5567
@aminaomary5567 29 күн бұрын
Bibi amechukia sana rohoni furaha yake ndogo sana:sio kama akina MAMA Mwita. Ongeren sana akina dada Gea❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@floraflora5964
@floraflora5964 26 күн бұрын
hee umenikumbusha baba mwita
@user-rn9lk1ck7m
@user-rn9lk1ck7m 14 күн бұрын
​@@floraflora5964kkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkk
@SharifaOman-bf1bn
@SharifaOman-bf1bn 29 күн бұрын
Kipindi. Ķimetulia. Vizuri. Mwijaku. Hayupo. Wamekelele. Aende. Salama. Kwakweli. Kipndi. Kimependeza. ❤❤
@enockmaige8936
@enockmaige8936 29 күн бұрын
😂😂😂😂
@bahatibushiri1610
@bahatibushiri1610 29 күн бұрын
Umewaza kama mimi simpendi misifa mingi
@scholamodestus9386
@scholamodestus9386 28 күн бұрын
😂😂😂 akawapigie kelele huko mbele kwa mbele
@user-xd9ye7wk6c
@user-xd9ye7wk6c 27 күн бұрын
😂😂😂 yupo Dubai anakula bata
@christaoman8890
@christaoman8890 24 күн бұрын
Kwa kweli hiki kipindi huwa kinanitoa machozi sana hongera sana mama kumpata mtt wako Rose mauwa yako❤❤❤
@user-ii1tc7gt9r
@user-ii1tc7gt9r 29 күн бұрын
Ila sisi wakerewe na wajita ndo zetu kuwatenganisha watoto na mama zo tunaongoza
@samuelmuhindosivamwanza4988
@samuelmuhindosivamwanza4988 21 күн бұрын
Mbarikiwe sana. Mnafanya kazi nzuri. Ila ikiwezekana ule mziki unasumbua. Kama ikiwezekana, usitishwe wakati watu wanaongea.
@user-xh7xf2ki3r
@user-xh7xf2ki3r 21 күн бұрын
Allah awabark sana hakika mnawasaidia na azidi kiinua zaidi hii clouds na wafanyakazi wake Allahumma Aamiyn
@anenragnesmunis8490
@anenragnesmunis8490 18 күн бұрын
Anafana na mama yake 😊
@solomondanny-1507
@solomondanny-1507 26 күн бұрын
Mnyiramba mwenzetu unatuangushaaaaaa.
@darajalakidatukilomgi2362
@darajalakidatukilomgi2362 29 күн бұрын
Babu amekuja kama hakuna baya alilofanya kutoroka na mtoto
@taturajabukhalfani7953
@taturajabukhalfani7953 25 күн бұрын
😂
@KAHINDITV
@KAHINDITV 13 күн бұрын
😅😅😅😅😅
@CristinLyanga
@CristinLyanga 28 күн бұрын
Wa kwetu mama nimekupata' mwana wane' songela zigizigi.
@halimamremi5375
@halimamremi5375 26 күн бұрын
MM NILIONA SURA TANGU MWANZO NI WA KATI SURA KAFANANA NA MAMA YAKE JAMANI WANAUME WENGINE NI SHIIDAA TUU😂😢😅
@jaliamkubilasidi
@jaliamkubilasidi 18 күн бұрын
Ooooo jomoni hongeraaa sana mama rozi kwa kumpata mwana nani kama maaaamaaaa
@esthercharles-zq1lc
@esthercharles-zq1lc 2 күн бұрын
Hata mm nisingekuwa na furaha na yeye kamtorosha mtoto akiwa mdogo sana
@annastaziarenatus8046
@annastaziarenatus8046 4 күн бұрын
Mimi naitwa a nastazia namtafuta baba yangu anaitwa piusi mlema tangu mwaka 19720
@user-eb6ct7ks3w
@user-eb6ct7ks3w Сағат бұрын
To be sincerely babu aliboa!!!
@GetrudeRashid-be8bs
@GetrudeRashid-be8bs 25 күн бұрын
Mtu na mtt wake,cheki alivyomjua m wanae,,,mtu chake bwaaa🎉🎉🎉
@janneferisaya83
@janneferisaya83 22 күн бұрын
Bibi wanyumbani kabisa 🙏🏼 wasongela zigizigi
@Teresa-255
@Teresa-255 23 күн бұрын
Bibi hajafurahia huyu mzee😂😂😂😂
@user-yd6xh1mr1k
@user-yd6xh1mr1k Ай бұрын
Mungu azidi kuwakutanisha na wengine jamani😢
@fathimamct232
@fathimamct232 22 күн бұрын
Buie ni watangazaji hqlafu mnaharibu lugha Heahima Yako ndio.nn na mama Ako myumbani unamsalimia hivyo heahima Yako mama hujui mzazi wa mwezio ni mzazi wako piya Acheni manjonjo yenu bwana
@sleeprelaxation8431
@sleeprelaxation8431 Ай бұрын
Bibi bado ana maumivu
@asiansky9767
@asiansky9767 28 күн бұрын
Kweli
@user-xd9ye7wk6c
@user-xd9ye7wk6c 27 күн бұрын
Kabisaa yaani Kama ni mm ntakalo mfanya huyo mbaba
@halimaoman8726
@halimaoman8726 29 күн бұрын
Kipindi hiki cha laha leo huwa kinatowa machozi sana kwa jinsi watoto walivyotengana na wazazi wao wa kike na hii yote wanatusababishia awa waume tulizaa nao ndio wanatusababishia tusiwaone watto wetu
@matridamwalyoyo1735
@matridamwalyoyo1735 29 күн бұрын
Katokea kwetu
@user-rm9iz3yi5c
@user-rm9iz3yi5c 26 күн бұрын
Hongera sana
@GladnessJohnLewis
@GladnessJohnLewis 11 күн бұрын
Namtafuta mdogo anaitwa frenk tarimo alitoroshwa na baba yake huko rombo baada ya mama yetu kufariki
@user-ii1tc7gt9r
@user-ii1tc7gt9r 29 күн бұрын
Kama ningekua mm ningempiga na kiatu huyo baba
@eggysulle7988
@eggysulle7988 26 күн бұрын
😂😂😂
@FaridaMngereza
@FaridaMngereza Күн бұрын
Iza iza iza
@Moscow924
@Moscow924 25 күн бұрын
Jamani mi namtafuta wifiyangu anaitwa Hindu Husen Hajji waliachana na kakayangu na aliondoka na mtoto mdogo anaitwa Sada na alimwacha mtoto mmoja anaitwa selemani naomba kamayupo hai mwanae sele anamtafuta aje Tabora
@aziza9093
@aziza9093 29 күн бұрын
❤❤❤
@Allygibison
@Allygibison 12 күн бұрын
Put the music off or down a bit as you guys telk
@ruthmuja7792
@ruthmuja7792 Ай бұрын
@SuzanFelix-mo8fq
@SuzanFelix-mo8fq 27 күн бұрын
Daah dadangu angejalibu iki kipindi uwenda angemuona baba yake au mdogo wake imani😢
@user-qg2sw9bj2i
@user-qg2sw9bj2i 23 күн бұрын
Nawaza ivi kuna mtu atamchukua mwanangu akiwa na miaka 2 namm namuangalia
@rehemakanyere4188
@rehemakanyere4188 12 күн бұрын
Sijui yaaani basi tu
@ruthmuja7792
@ruthmuja7792 Ай бұрын
🎉
@magrethmathayo2800
@magrethmathayo2800 29 күн бұрын
mtu kashakwambia hawezi kumtambua hivyo mpaka alama unamlazimisha
@MonaJuma-cp3jg
@MonaJuma-cp3jg 26 күн бұрын
Kimeniliza kweli hikikipindi😭😭😭
@abdulkhalim9475
@abdulkhalim9475 15 күн бұрын
Bibi kamaindi kbsaaaa hahaha dah
@rehemaabdy2830
@rehemaabdy2830 27 күн бұрын
Nimelia
@hashakishabani4896
@hashakishabani4896 23 күн бұрын
Daaa kafanana na mamaake sana
@ruthmuja7792
@ruthmuja7792 Ай бұрын
Bibi ana kinyongo 😂
@nancyg8664
@nancyg8664 29 күн бұрын
😂😂😂
@user-ck3sj6ni4z
@user-ck3sj6ni4z 25 күн бұрын
Mwenyewe nisingemsalimia 😏
@user-ml8jd5xg1r
@user-ml8jd5xg1r 25 күн бұрын
❤❤❤❤🎉🎉
@mussanangumi1734
@mussanangumi1734 14 күн бұрын
Mimi Nina mtoto wa marehem Dada yangu ananisumbua anamtafuta baba yake anaitwa seif nimtu wa pemba
@fatmamohammed8346
@fatmamohammed8346 25 күн бұрын
hiki kipindi ni kizuri lonnmie kila nikikiangalia huwa nalia kuna uchungu fulani hivi naupata🎉🎉🎉
@user-bz6ru7sk7u
@user-bz6ru7sk7u 14 күн бұрын
Hivi Hawa wazazi wanakuaga wap miaka 30 kweli alafu mama hasaaa jamani
@halimaoman8726
@halimaoman8726 29 күн бұрын
Bibi mmempotezea furaha yake yote baada ya kutokea katika kipindi kutokea bibi mudi yote imepotea
@eggysulle7988
@eggysulle7988 26 күн бұрын
😂😂😂anawaza mbal
@leokamil6284
@leokamil6284 28 күн бұрын
Acheni kuweka huo mziki
@Wilbadi
@Wilbadi 22 күн бұрын
Sis sio milima tutakutan
@user-lx8nl8hh3f
@user-lx8nl8hh3f 25 күн бұрын
Ila inauma
@user-ky2do8fn1w
@user-ky2do8fn1w 23 күн бұрын
Mama znaongea kibembe
@HawaAhmed-yj8wo
@HawaAhmed-yj8wo 29 күн бұрын
Sasa kwanini hilo libaba liliiba mtoto?
@MsAggie5
@MsAggie5 28 күн бұрын
Ndo zao! Wengi waliopo hapo wababa waliwaiba wakafa. Inauma wakiwa wakubwa Kwa nini wasiwaambie ukweli? Ukatili huu, seri
@FloraMarinyo
@FloraMarinyo 28 күн бұрын
Tabia mbayaaa sana yakumpokonya mtoto kwa mama yk
@michaelthobias9967
@michaelthobias9967 28 күн бұрын
Ila mama akikaa na mtt ndio sawa acheni ubinafsi mtt ni wazazi wote
@michaelthobias9967
@michaelthobias9967 28 күн бұрын
Kaka mtt ni WA mwanamke peke yake mwanaume wa Nini ktk upatikanaji wake
@HawaAhmed-yj8wo
@HawaAhmed-yj8wo 28 күн бұрын
@@michaelthobias9967 huyo Baba alitakiwa kufanya jitihada watoto wawe wanaenda kumsalimia mama yao japo wakati wa likizo
@user-th9nc2om2x
@user-th9nc2om2x 26 күн бұрын
Acheni muziki
@aziza9093
@aziza9093 29 күн бұрын
Safuy san kwakipidi
@aminaabdalla9949
@aminaabdalla9949 29 күн бұрын
katikati
@ellahjonas4881
@ellahjonas4881 6 күн бұрын
Acheni kuniliza jamani
@ghhhhy1812
@ghhhhy1812 29 күн бұрын
Uyo mtot kafany ni Chek 😂😂kama mazim
@georgedaniel4962
@georgedaniel4962 29 күн бұрын
Mama miyeyusho kinoma unalia unasogeza maik ili sauti isikike
@Aminahlamranl420-hw2ie
@Aminahlamranl420-hw2ie 28 күн бұрын
😂😂😂
@MsAggie5
@MsAggie5 28 күн бұрын
Labda alifikiri ndo inavyotakiwa 😂
@MsAggie5
@MsAggie5 28 күн бұрын
Mama ana hasira ona anatazama pembeni hataki hata kumuangalia. Baba anashindwa hata kuomba msamaha?
@hyacintagugu7
@hyacintagugu7 14 күн бұрын
Yaani😂😂😂
@user-sy4wf5ll4o
@user-sy4wf5ll4o 20 күн бұрын
😅😅 nimefrai mama ana Lia anaweka maik mdomon
@hyacintagugu7
@hyacintagugu7 14 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂mama Ni nomaaaa
@mariyamsalalah8204
@mariyamsalalah8204 27 күн бұрын
Weee nalia bas tu
@FloraMarinyo
@FloraMarinyo 28 күн бұрын
Geita inaonekana mnatabia zakuwapokonya wamama watoto
@mouldykomba1852
@mouldykomba1852 27 күн бұрын
Saana sio tabia nzur hao wababa wana tabia mbaya
@user-pn7qg8jb1e
@user-pn7qg8jb1e 27 күн бұрын
Jamani nimesikia mma kaqoqa kiluqa nimemwelewa
@HOLINESSPIUSE-gv8ud
@HOLINESSPIUSE-gv8ud 24 күн бұрын
Nakwambia udadisi Wa redioni NI kujitoa mno
@ReginaThomasLongwe-qf4qs
@ReginaThomasLongwe-qf4qs 24 күн бұрын
Rose anafanana na mama yake
@hyacintagugu7
@hyacintagugu7 14 күн бұрын
Sana
@GetrudaChagu
@GetrudaChagu 18 күн бұрын
Dada Kaka shkamoni mm ninamtafuta Dada yangu mariamu juma shabani yupo dare Salam naomba mnisaidie kutafuta mana tuliachana wadogo sana
@TeleziaSimbeye-fm3zw
@TeleziaSimbeye-fm3zw 16 күн бұрын
Ilikuwaje wakapotezana???
@Aminahlamranl420-hw2ie
@Aminahlamranl420-hw2ie 28 күн бұрын
Bib amemkwepa babu jamaniii huruma
@MsAggie5
@MsAggie5 28 күн бұрын
Mie ningemtia ngumi 😂😂
@MaryCaroly-zl1ei
@MaryCaroly-zl1ei 24 күн бұрын
😂😂😂😂
@user-do1ug7de3g
@user-do1ug7de3g 22 күн бұрын
Inakuwaje hembu tuambieni ili tusiwe na maswali ya kwanini
@rashidkishk8726
@rashidkishk8726 18 күн бұрын
Kwann natoa machozi Sasa.. 😢
@hyacintagugu7
@hyacintagugu7 14 күн бұрын
Huzuni jamani
@rehemaabdy2830
@rehemaabdy2830 27 күн бұрын
Kampatia mtu chake jaman
@user-vv3et8xy2x
@user-vv3et8xy2x 27 күн бұрын
Ila babu
@hafsalucky1088
@hafsalucky1088 13 күн бұрын
❤❤❤
бесит старшая сестра!? #роблокс #анимация #мем
00:58
КРУТОЙ ПАПА на
Рет қаралды 3,5 МЛН
I Can't Believe We Did This...
00:38
Stokes Twins
Рет қаралды 76 МЛН
МАМА И STANDOFF 2 😳 !FAKE GUN! #shorts
00:34
INNA SERG
Рет қаралды 4,5 МЛН
He sees meat everywhere 😄🥩
00:11
AngLova
Рет қаралды 11 МЛН
BARNABA AMTOLEA UVIVU MAMA MKWE/AMEZIDI/NAONGEZA MKE WA PILI
14:59
Dizzim Online
Рет қаралды 45 М.
БОЛЬШОЙ ПЕТУШОК #shorts
0:21
Паша Осадчий
Рет қаралды 8 МЛН
Me: Don't cross there's cars coming
0:16
LOL
Рет қаралды 12 МЛН
BABY Comedy : Gift for baby💔
0:41
BABY Comedy
Рет қаралды 4,8 МЛН
Такого они не видели😱😍
0:55
Следы времени
Рет қаралды 1,5 МЛН
WHO LAUGHS LAST LAUGHS BEST 😎 #comedy
0:18
HaHaWhat
Рет қаралды 14 МЛН