MATAJIRI TANO TANZANIA 2024 || Top 5 matajiri wakubwa zaidi Tanzania 2024

  Рет қаралды 213,993

Top5 tz

Top5 tz

7 ай бұрын

MATAJIRI WAKUBWA ZAIDI TANZANIA 2024
Leo nimefurahi kukuletea video ya kusisimua kuhusu wasanii matajiri zaidi Tanzania
Subscribe to Top5Tz: / top5tz
Kwenye video hii tunakutajia listi ya matajiri wasanii mwaka huu 2023
Tutajibu maswali yako yote kama:
nani tajiri namba moja tanzania?
nani msanii mkubwa tanzania?
msanii gani tajiri tanzania?
wasanii matajiri tanzania forbes?
wasanii matajiri duniani?
nani tajiri namba moja tanzania?
wasanii matajiri tanzania 2022?
wasanii matajiri tanzania 2023?
Na mengine mengi. Pata taarifa hizi na nyingi zaidi hapa kwenye chaneli yetu ya yotube.
TOP 5 MATAJIRI WAKUBWA TANZANIA :
Wasanii na magari yao
• TOP 5 WASANII WENYE MA...
• Listi ya magari ya bei...
• WASANII MATAJIRI TANZA...
Angalia video zetu zingine hapa:
VIpengele vyetu
0:15 Number 5
0:58 Number 4
1:37 Number 3
2:11 Number 2
2:58 Number 1
4:10 Like comment and subscribe
#Tanzania #TanzanianMusic #BongoFlava #AfricanMusic #TanzaniaMpya #TanzaniaMusicIndustry #Wasafi #DiamondPlatnumz #Harmonize #Rayvanny #Bongo #Afrobeats #WCB #TanzaniaYaSasa #TanzaniaTheBeautiful #TanzaniaUnforgettable #TanzaniaSwahiliCulture #TanzaniaWildlife #TanzaniaTravel #TanzaniaSafari #ExploreTanzania #TanzaniaTourism #TanzaniaNaturalBeauty
#wasanii #matajiri #diamondplatnumz #harmonize #tiktok #alikiba #utajiri

Пікірлер: 139
@fatmasalim8293
@fatmasalim8293 2 ай бұрын
Mungu awahifadhi yarab amen 🙏
@SalminRahis-kd9sv
@SalminRahis-kd9sv Ай бұрын
We kuma ni bora uwe shoga maana akuna unachojua
@nassormessi-zk5cz
@nassormessi-zk5cz 6 ай бұрын
Apo number moja Said salim Bakhresa mbona nyumba za fumba Boat kilimanjaro hujazitaja tajir hawez kugombania Ubunge wala tajir hatekwi
@ramahaji2395
@ramahaji2395 13 күн бұрын
Ingia google nawe acha ubishi
@RabiaIddi-ci2uz
@RabiaIddi-ci2uz 4 ай бұрын
na mimi taingia soon kwenye hii orodha
@remidusmwanandenje-yy5gs
@remidusmwanandenje-yy5gs 20 күн бұрын
Umenisahau namimi wee jamaa mtoa ripoti unazingua🙏🇹🇿
@nassormessi-zk5cz
@nassormessi-zk5cz 6 ай бұрын
Hamuwez kuja Zanzbar kma hamjapanda Zanzbar One au Kilimanjaro halafu fyoko fyoko Bakhresa yuko juu Mungu amzidishie Amin
@CynthiaEsekon-s6u
@CynthiaEsekon-s6u 5 күн бұрын
Bless
@abdulhakhashim764
@abdulhakhashim764 2 ай бұрын
Yaaah .!no1 ni bakharesa .. 💪👍
@henrynuhu2557
@henrynuhu2557 6 ай бұрын
miaka 2 mbele ntamuona Simba la masimba dangote
@FatnaAlly-go7yt
@FatnaAlly-go7yt 2 ай бұрын
Oooh allah tujaalie kila la kheri mola wangu mtukufu na utuweke sehemu salama pa kumjua allah
@jaxmkada6797
@jaxmkada6797 4 ай бұрын
We muongo na takwimu zakoooo.
@user-th9ut7ro8p
@user-th9ut7ro8p 4 ай бұрын
Kweli Bakhresa anastahili kuwa namba moja.
@theplateboy-ym9xz
@theplateboy-ym9xz 3 ай бұрын
Voici cette artiste il est connu sous le nom thę plåtę bøy mais de son vrai nom c'est ndombe kaba Ezéchiel ii connais bien chanté c l'artiste chanteur danser compositeur il et congolais de père et de mère 🇨🇩🇨🇩📀📀
@samiboybb
@samiboybb 7 күн бұрын
Nme ipenda
@user-ql6fg3bs8y
@user-ql6fg3bs8y 3 ай бұрын
Wee bado sana
@JaphetyLubasha-vw5hr
@JaphetyLubasha-vw5hr 6 ай бұрын
😂😂😂 tatzoo la KZfaq waongooo sana yaan daaahh 😊
@JacobNikolaus-oy2ld
@JacobNikolaus-oy2ld 2 ай бұрын
Ko tufanyaje
@AdiliLadislaus
@AdiliLadislaus 3 ай бұрын
Mafuruki kashafariki
@frankmajila7632
@frankmajila7632 6 ай бұрын
Watu bwana, jamaa kasema anazaidi ya mabus 30. kiswahili ni kigumu sana
@khalfanseif8027
@khalfanseif8027 13 күн бұрын
Uongo Mtupu Huna Focus Kabisa
@KINGSAGENCYCOMPANYLTD
@KINGSAGENCYCOMPANYLTD Ай бұрын
Jamaa liongo sana. Kwanza Ally Mfuruki alishakufa
@msafiriomary893
@msafiriomary893 7 ай бұрын
Wizi tuuu
@frankmwinuka3413
@frankmwinuka3413 6 ай бұрын
Vipi Gsm ni wa ngapi kwa utajiri?
@user-cj7oo7mi1x
@user-cj7oo7mi1x Ай бұрын
Msanii gani anaongoza utajili Tanzania
@aediayumgo8546
@aediayumgo8546 24 күн бұрын
Rich mavoko
@user-so5jf8nf3e
@user-so5jf8nf3e 7 ай бұрын
Liongo kweli ilo
@iddkaoneka7485
@iddkaoneka7485 3 ай бұрын
Rostam ni Mfursi(Muiran na sio mhindi)
@noeljacob9644
@noeljacob9644 24 күн бұрын
We jamaa mwongo Sana kama hapo et Rostam kawekeza kwenye Vodacom 😂😂 Rostam yupo tigo na zantel siyo vocadom
@aaroneu07
@aaroneu07 3 ай бұрын
Ally Mufuruki ni Marehemu. Kafariki muda sana. Hii list ni takataka.
@user-um8xn4ge4i
@user-um8xn4ge4i Ай бұрын
Daaa kweli bongo maskini khaaa matsjiri wote hamna mwenye utajiri wa bilion 5 USA dollars mhhh alafu hawa wahindi ndio ma sponsorship wa CCM tutafika tukiwa tumechoka bongo nchi maskini sana africa kumbe
@mr.jcubic1554
@mr.jcubic1554 14 күн бұрын
Matajili
@user-cu9mj3xj8x
@user-cu9mj3xj8x 6 ай бұрын
N I utajiri cash, auvitu
@SimionMajaliwa-wg8xi
@SimionMajaliwa-wg8xi 2 ай бұрын
Msenge wew tengua kauli kwa kusema ngozi nyeus
@user-my5yp6xx5s
@user-my5yp6xx5s 6 ай бұрын
acheni ukuma wenu
@kibambiibrahim5714
@kibambiibrahim5714 3 күн бұрын
Alishakufa tangu mwaka 2024 Mbona hujasoma?
@benjaminchakwe9815
@benjaminchakwe9815 7 ай бұрын
Ety abood anamabasi 30 tu 😂😂😂wasenge tu nyinyi
@Chettymlambalipsi-lb9km
@Chettymlambalipsi-lb9km 7 ай бұрын
😮😮😂😂😂😂
@davisfidelis4149
@davisfidelis4149 5 ай бұрын
Ana zaidi ya 100
@mohamedimiraji5495
@mohamedimiraji5495 6 ай бұрын
Tunaomb na list ya maskini watano TZ
@swedywamba5535
@swedywamba5535 5 ай бұрын
Lazima watatoka dodoma wote wa5
@EnocyDaud-xt8vj
@EnocyDaud-xt8vj 5 ай бұрын
Wa kwanza ni wewe
@mohamedimiraji5495
@mohamedimiraji5495 5 ай бұрын
@@EnocyDaud-xt8vj Ama kweli wewe ni hewa kabisa. Ndio matatizo ya maskini wa kitanzania mtu akiwa maarufu tu Basi kwao ndiye tajiri namba moja😅
@bakaribakari6444
@bakaribakari6444 2 ай бұрын
​@@swedywamba5535😂😂😂 kwa nn
@SaidMaganga-yi4ez
@SaidMaganga-yi4ez Ай бұрын
Apo kwenye namba moja uongo wa kwanza ni bakherasa
@user-uo9tq8cc7q
@user-uo9tq8cc7q 3 ай бұрын
Wewe bwege hizo takwimu umezipata kwa utafiti Gani?
@rayisadesigns2646
@rayisadesigns2646 7 ай бұрын
Kaka fanya utafiti tena... hata huyo Rostam siyo mhindi kabisaaa
@frankngoloka5416
@frankngoloka5416 6 ай бұрын
Huyu fala Bado kabisa Rudi shule
@mwitanyahiri4586
@mwitanyahiri4586 2 ай бұрын
Mo hawezi kuwa na hiyo hela
@hilarymark7583
@hilarymark7583 7 ай бұрын
Ally Mafuruki alifariki 2019
@kassimjakaya6991
@kassimjakaya6991 4 ай бұрын
Ndiomana nikamuliza
@MandoliiMoshi
@MandoliiMoshi 27 күн бұрын
We n fala kiazi ww
@MwandosyaMajele
@MwandosyaMajele 3 ай бұрын
Mayele 0:23
@babaabro8847
@babaabro8847 7 ай бұрын
Gsm vp 😮😮
@gibsonjosephat6352
@gibsonjosephat6352 5 ай бұрын
GSM anatengeneza magodoro
@danielmweta8716
@danielmweta8716 6 ай бұрын
Kweli nyie manyumbu kweli yaani abood anampita pesa oil com,wold oil na cameli oil acheni upotoshaji
@MayanziBubinza
@MayanziBubinza 6 күн бұрын
GSM wa yanga a.k.a. Utopolo yuko wapi?
@alisalimo2861
@alisalimo2861 6 ай бұрын
Ww muogo😊
@habibrizzyone
@habibrizzyone Ай бұрын
Takwimu zako za kifala
@user-lg7yl8zr1o
@user-lg7yl8zr1o 6 ай бұрын
Kumanyoko
@davisfidelis4149
@davisfidelis4149 5 ай бұрын
Ana asili ya Uajemi,Iran
@FransisLaurenti
@FransisLaurenti 3 ай бұрын
Gsm anashika nafasiyangapa ndugu
@KilimanjaroBand
@KilimanjaroBand 2 ай бұрын
Hii list katoa mkundu kwake
@talalballeth4330
@talalballeth4330 2 ай бұрын
Hujui lolote angalia unachojua
@salehkhamiss2449
@salehkhamiss2449 5 ай бұрын
we falaa ali mafuruki kafariki mwaka 2020 akiwa na utajiri wa dola million 100 pekee
@user-br1fc9xn2u
@user-br1fc9xn2u 3 ай бұрын
Kwa abood umechemka hata kumi Bora hayumo fanya utafiti vzr Tanzania wengi wamemzid
@hajimnubi4581
@hajimnubi4581 6 ай бұрын
Rostam aziz ana asili ya kihindi?? We jamaa wewe Afu ali mfuruki ni marehemu
@kassimjakaya6991
@kassimjakaya6991 4 ай бұрын
Nashangaa
@AginesKihoo-zw3yf
@AginesKihoo-zw3yf 5 ай бұрын
Mo ni Simba Simba ni mo hatariii tupu
@Marjeby
@Marjeby Ай бұрын
Nyiee vipi aiseee miwe mnafanya research kabla yakuandaa hizi documents zenu hivi umetoa wapi tarifa kuwa Rostam ni muhindi lakini pia nani kakwambia Abdulaziz Aboud ana miaka 61 hapo maana ni moja tu kuwa hujafanya research yoyote umekurupuka tuu
@exaudyjm5170
@exaudyjm5170 5 ай бұрын
1 uyo ndio 2 kaka acha zako
@user-fo5bg6tv5s
@user-fo5bg6tv5s 5 ай бұрын
Waongo asas na abud
@angelsulle7177
@angelsulle7177 5 ай бұрын
Mungu uniepushe na utajiri wa majini kinachonipa Amani kitokee kwako na ktk mikono ulonipa wewe
@davisfidelis4149
@davisfidelis4149 5 ай бұрын
Hakika! Matajiri wengi TZ utajiri wao mh!
@MuhsinJuma-wo2bg
@MuhsinJuma-wo2bg Ай бұрын
Ww ni msenge tuu nani alikuambia kuhusu pesa zao hawa matajir
@user-dk5kk4rf3v
@user-dk5kk4rf3v 6 ай бұрын
Mailing au mzima mfuruki
@OfficialMsamiboy-zh4tu
@OfficialMsamiboy-zh4tu 6 ай бұрын
Tajir ni Mungu pekee yake.
@alencleophace2182
@alencleophace2182 6 ай бұрын
Stop your poverty mentality brother
@KulwaKisansa
@KulwaKisansa 5 ай бұрын
Upewe ulinzi kaka
@erodasterrichard1535
@erodasterrichard1535 5 ай бұрын
Mhhh.....mjomba, uongo umezid
@hashimmwipallo120
@hashimmwipallo120 7 ай бұрын
Uyu boya anakalili
@SNIPER_ZOMBIE
@SNIPER_ZOMBIE 4 ай бұрын
duh acha uongo bro😂
@Meky-of9vy
@Meky-of9vy 2 ай бұрын
Ww ni mshabik wa Simba ulomuweka moo juu na bakhresa ukamshusha chini
@dinamossy5149
@dinamossy5149 6 ай бұрын
Fanya utafiti kabla ya kuandika,usipotoshe watu
@mndewaog990
@mndewaog990 20 күн бұрын
We huyo ali mafuruki mbn ashafariki
@kassimjakaya6991
@kassimjakaya6991 4 ай бұрын
Naomba kuliza ally mafuruki Bado yupo hai?
@kismarthashvan
@kismarthashvan 6 ай бұрын
Basi 30 unaakili matakoni😂😂😂
@kamamussa6792
@kamamussa6792 4 ай бұрын
Hahah kwamba Rostam Aziz ni muhindi 😂😂😂😂, halafu Huyo number tatu alifariki siku nyingi, we wa mchongo
@user-se2xp8vv4h
@user-se2xp8vv4h 6 ай бұрын
E
@ramadhaniomary7083
@ramadhaniomary7083 6 ай бұрын
Kama mnajua tuambieni nyinyi basi jamaa anatupa takwimu wengine mnasema muongo
@hamzamfyagidzi6344
@hamzamfyagidzi6344 2 ай бұрын
Et utajiri wa mo trion4 cash Sasa wewe huoni kama anakwambia Usiku wakati jua lina waka Amiliki trion5 cash Amekuwa banck
@NadeemKhan-zo8dc
@NadeemKhan-zo8dc 7 ай бұрын
Msenge kwli muongo
@Chettymlambalipsi-lb9km
@Chettymlambalipsi-lb9km 7 ай бұрын
😂😂😂🎉
@user-ok9ls1qs7x
@user-ok9ls1qs7x 5 ай бұрын
Moo bakhalesa amuwezi musitudanganye
@hamadhamis9763
@hamadhamis9763 7 ай бұрын
ivi we jamaa unaakili kweli
@salehkhamiss2449
@salehkhamiss2449 5 ай бұрын
uyu jamaa n fala na anaisi dola billion moja n makalio kila mty anaeza kua nayo mafuruki amefrik miaka 4 ilopita af ety abood ana 1billion usdollar!???😂😂
@salehkhamiss2449
@salehkhamiss2449 5 ай бұрын
uyu jamaa n fala na anaisi dola billion moja n makalio kila mty anaeza kua nayo mafuruki amefrik miaka 4 ilopita af ety abood ana 1billion usdollar!???😂😂
@salehkhamiss2449
@salehkhamiss2449 5 ай бұрын
uyu jamaa n fala na anaisi dola billion moja n makalio kila mty anaeza kua nayo mafuruki amefrik miaka 4 ilopita af ety abood ana 1billion usdollar!???😂😂
@salehkhamiss2449
@salehkhamiss2449 5 ай бұрын
uyu jamaa n fala na anaisi dola billion moja n makalio kila mty anaeza kua nayo mafuruki amefrik miaka 4 ilopita af ety abood ana 1billion usdollar!???😂😂
@salehkhamiss2449
@salehkhamiss2449 5 ай бұрын
uyu jamaa n fala na anaisi dola billion moja n makalio kila mty anaeza kua nayo mafuruki amefrik miaka 4 ilopita af ety abood ana 1billion usdollar!???😂😂
@Jumapili-ws5em
@Jumapili-ws5em Ай бұрын
Acha uongo wa kitapeli mo azidi backilesa acha zako
@user-du1ls3zf4s
@user-du1ls3zf4s 5 ай бұрын
Kwendraaaaa acha kutudanganya ww
@kassimjakaya6991
@kassimjakaya6991 4 ай бұрын
Achane uongo
@user-ls6bd6ft4v
@user-ls6bd6ft4v 5 ай бұрын
Ali mufuruki alifariki miaka kadhaa iliyopita!..
@user-ce8qf3nc3s
@user-ce8qf3nc3s 6 ай бұрын
Acha uongo ww izo takeimu za uongo moo pesa za mtoto wakilinton nusu ya pesa ya chensiar chriton ww hujui lolotr
@masoudnzowa4608
@masoudnzowa4608 4 ай бұрын
Sio kweli.. Rostam ni Tajiri kuliko unavyohisi then asili yake ni iran na sio India
@victorombay6625
@victorombay6625 3 ай бұрын
Rostam ni Mlebanon
@victorombay6625
@victorombay6625 3 ай бұрын
Ni Mtanzania mwenye asili ya Lebanon
@user-vy8tb2hq9w
@user-vy8tb2hq9w 6 ай бұрын
Siokweri wengine umechapia
@starkidwamoro8775-n5e
@starkidwamoro8775-n5e 4 ай бұрын
km nani amechapia hapo
@user-th5ji7wh5q
@user-th5ji7wh5q 6 ай бұрын
Oya acha uwongo mo anamzidi baresa
@RichardKatani
@RichardKatani 3 ай бұрын
Ali Mfuruki alishafariki nani anamilki makampuni yake?
@WilsonLuvinga
@WilsonLuvinga 2 ай бұрын
Tupate kuona malizake
@majaliwamajaliwa4407
@majaliwamajaliwa4407 7 ай бұрын
We mjingaa kweli
@Chettymlambalipsi-lb9km
@Chettymlambalipsi-lb9km 7 ай бұрын
😂😂😂
@user-lw8uk6xw2h
@user-lw8uk6xw2h Ай бұрын
et huyu ni ngozi nyeusi mavi yako
@ElishaSolomoni-kc4zk
@ElishaSolomoni-kc4zk 6 ай бұрын
Jinga xna.
@mussamgonola3983
@mussamgonola3983 7 ай бұрын
Kweli jamaa ni Muongo ros
@user-yw3qh6qj8g
@user-yw3qh6qj8g 3 ай бұрын
Muongo
@jumaally8387
@jumaally8387 6 ай бұрын
We jamaa acha usenge basi,sasa ndio uongo gani huu!?
@gibsonjosephat6352
@gibsonjosephat6352 5 ай бұрын
Hao ndio matajiri hata ukiwabadilisha badilisha utakuta ni haohao.
@ChescoMsigwa
@ChescoMsigwa 21 күн бұрын
Mm hamjaniweka iyo takwimu ni fake
@davisfidelis4149
@davisfidelis4149 5 ай бұрын
Mh! Chanzo cha taarifa? Manake hadi kucululate utajiri wa mtu in monetary terms ni kazi aisee,na sidhani kama tushafika huko!
@MuuYascohy-oc7os
@MuuYascohy-oc7os 7 ай бұрын
We msenge acha kupotosha watu Mafuruki alishafariki,alaf et Abood anagar 30 we umezaliwa jana ?? Abood anagar zaid ya 100
@nasirmohamed1589
@nasirmohamed1589 7 ай бұрын
Hata mm nimeshangaa aboud tangu miaka ya 90 ana basi 30 tu huyu fala kweli
@rayisadesigns2646
@rayisadesigns2646 7 ай бұрын
Sio hayo tu pia ana malori kibao
@qariuzzamaantanzania7074
@qariuzzamaantanzania7074 Ай бұрын
Taarifa nyingi c kamilifu.....
@user-rh2ul6hb8i
@user-rh2ul6hb8i 6 ай бұрын
Acha uongo. Mbwa wewe
@samsonwaanda7568
@samsonwaanda7568 6 ай бұрын
Mfuruki mbona alishatangulia mbele ya haki
@shabanisaid3972
@shabanisaid3972 6 ай бұрын
wewe ni muongo sana eti bakheresa anautajiri wa usd1400 amekuwa namba mbili na mo deuji anatajiri wa usd 1300 amekuwa namba 1 moja wewe ni kivuluge kweli naona unapigwa mbata
Самый Молодой Актёр Без Оскара 😂
00:13
Глеб Рандалайнен
Рет қаралды 4 МЛН
Became invisible for one day!  #funny #wednesday #memes
00:25
Watch Me
Рет қаралды 59 МЛН
New model rc bird unboxing and testing
00:10
Ruhul Shorts
Рет қаралды 23 МЛН
ТАМАЕВ УНИЧТОЖИЛ CLS ВЕНГАЛБИ! Конфликт с Ахмедом?!
25:37
Kauli 10 Tata za Magufuli Lazima Uzikumbuke Kabla Ya Uchaguzi 2020
7:20
Top Stories Tanzania
Рет қаралды 3,1 МЛН
Tanzania yaiacha mdomo wazi Uingereza, Kulikoni?
1:55
Habari za UN
Рет қаралды 58 М.
Кого она вытащила из воды?😱
0:51
Следы времени
Рет қаралды 2,1 МЛН
Bacho Ne Ye Kar Liya 😱🥲
0:13
Sunnyy Rawal
Рет қаралды 10 МЛН