MAZAO 3 YENYE MUDA MFUPI ADI KUVUNWA

  Рет қаралды 36,753

AGALUS  TV

AGALUS TV

4 жыл бұрын

kilimo Cha matango ,bamia na mbogamboga

Пікірлер: 86
@MkutubyTheboy
@MkutubyTheboy Ай бұрын
Masoko ndiyo kikwazo kaka mimi issa rajab
@AGALUSTV
@AGALUSTV Ай бұрын
Ngoja tuzid kutafuta masoko zaid
@user-nb1if3dp1s
@user-nb1if3dp1s 4 ай бұрын
Tango likiwa tiyar kulichuma utajuaj mkuu
@AGALUSTV
@AGALUSTV 4 ай бұрын
Vipele vidogo vidogo itaanza potea.
@francismartin2938
@francismartin2938 4 жыл бұрын
Hongera nimehelea soma
@AGALUSTV
@AGALUSTV 4 жыл бұрын
Thnx kaka utekelezaji mwema
@eyksaz3677
@eyksaz3677 4 жыл бұрын
Ahsante kwa video nzuri
@AGALUSTV
@AGALUSTV 4 жыл бұрын
Amina
@lidyanchimbi1466
@lidyanchimbi1466 2 жыл бұрын
Asante maelekezo ni mazuri
@AGALUSTV
@AGALUSTV 2 жыл бұрын
Pa 1🤝🙏
@kppolice6336
@kppolice6336 4 жыл бұрын
good keep it up dear
@AGALUSTV
@AGALUSTV 4 жыл бұрын
Thanks
@ashangonyani7989
@ashangonyani7989 3 жыл бұрын
Asante nashukuru kwa ujumbe
@AGALUSTV
@AGALUSTV 3 жыл бұрын
Barikiwa sana🙏🙏🙏
@kassmmohamed2912
@kassmmohamed2912 3 жыл бұрын
Nawezaje kujua kama tango limekomaa
@AGALUSTV
@AGALUSTV 3 жыл бұрын
Apo ni kwa kubonyeza tu ukiona gumu ujue limekomaa , pia tango teke lina vinundu kama vipele Ivi lililo komaa inakua soft
@user-sd6kd4lx1y
@user-sd6kd4lx1y 11 ай бұрын
Namba za cm vipi
@AGALUSTV
@AGALUSTV 11 ай бұрын
TUNAKUTUMIA
@aminamohamed5251
@aminamohamed5251 3 жыл бұрын
Habar kaka nahitaji kuanza kilimo cha matango naomba mawasiliano yako tafadhali
@AGALUSTV
@AGALUSTV 3 жыл бұрын
0765467484
@aminamohamed5251
@aminamohamed5251 3 жыл бұрын
Barikiwa kaka nitakupigia
@nolimittvonline6822
@nolimittvonline6822 Жыл бұрын
Napenda kulima Sanaa natafuta shamba lakin bdo sijapata
@AGALUSTV
@AGALUSTV Жыл бұрын
Upo wpi
@nolimittvonline6822
@nolimittvonline6822 Жыл бұрын
@@AGALUSTV Niko dar pugu
@AGALUSTV
@AGALUSTV Жыл бұрын
OK tafuta kaplot tu Ata robo heka tu miche 1000
@nolimittvonline6822
@nolimittvonline6822 Жыл бұрын
@@AGALUSTV nashukuru Leo nimepata robo heka ivyo kesho naenda kulifanyia usafi
@AGALUSTV
@AGALUSTV Жыл бұрын
Karibu sana
@pauloyame5882
@pauloyame5882 2 жыл бұрын
Mimi matango yangu yanashambuliwa na wadudu. Je natakiwa nitumie dawa ngani
@pauloyame5882
@pauloyame5882 2 жыл бұрын
Au ni sumu ngani mi bora
@AGALUSTV
@AGALUSTV 2 жыл бұрын
Sumu ZOTE ni bora ndugu. Hutegemea aina ya tatzo lako. Ushauri wetu MUONE mtaalam wa pembejeo umuoneshe aina ya ugonjwa ktk Mimea yako tu naamini atakupa Tia dawa nzuri tu🙏🏿🤝✍️
@flozzykenya7018
@flozzykenya7018 4 жыл бұрын
Good work
@AGALUSTV
@AGALUSTV 2 жыл бұрын
Good too🙏🤝
@rehemahramadhani3428
@rehemahramadhani3428 3 жыл бұрын
mbegu .za. bamia. kwa. dar .es. salam. nazipata. maduka. yp
@AGALUSTV
@AGALUSTV 3 жыл бұрын
Mbegu zinapatikana maduka ya Pembe jeo. Aina ya mbegu mchek tu muuza duka
@chichibabe846
@chichibabe846 Жыл бұрын
Naweza otesha zao gani sehemu kama SAME pls
@AGALUSTV
@AGALUSTV Жыл бұрын
Mazao ni mengi ndugu kwani uko hakuna wanaolima ndugu
@chichibabe846
@chichibabe846 Жыл бұрын
@@AGALUSTV mimi sikai uko ndo maana sijui ni mazao gani yatakayo vumilia ukame
@AGALUSTV
@AGALUSTV Жыл бұрын
Mihogo, mtama, mahindi pia wanalima ndugu
@carolinebitutu3694
@carolinebitutu3694 4 жыл бұрын
Jamani ningekuwa na shamba. Ningekimbia na kuanza kilimo papo hapo.
@AGALUSTV
@AGALUSTV 4 жыл бұрын
Shamba Ata la kukodi ndugu
@revinamwakalenga3050
@revinamwakalenga3050 4 жыл бұрын
Hongera sana kazi nzuri
@AGALUSTV
@AGALUSTV 4 жыл бұрын
Asante Sana
@weisikorugemalila4905
@weisikorugemalila4905 3 жыл бұрын
Weka namba yako taf
@AGALUSTV
@AGALUSTV 3 жыл бұрын
Tunapatikana pia facebook kwa page Agalus Tv
@abuujibriltv5233
@abuujibriltv5233 Жыл бұрын
Vipi kama nikiweka mbegu ya chainizi Kwenye tuta moja kwa moja bila kuotesha kitalu?
@AGALUSTV
@AGALUSTV Жыл бұрын
Sawa tu waweza
@henryallyassani4058
@henryallyassani4058 2 жыл бұрын
Habari
@AGALUSTV
@AGALUSTV 2 жыл бұрын
Nzuri Karibu🙏🙏🙏
@jitaJackson
@jitaJackson 2 жыл бұрын
Mbegu nzuri ya Tango na yenye soko ni ipi??
@AGALUSTV
@AGALUSTV 2 жыл бұрын
Hydrid yeyote
@bonionlinetv6816
@bonionlinetv6816 4 жыл бұрын
Nzuri
@AGALUSTV
@AGALUSTV 4 жыл бұрын
Asante
@davidguantai-em4on
@davidguantai-em4on Жыл бұрын
Kiswahili ngumu
@AGALUSTV
@AGALUSTV Жыл бұрын
🤔🙏you may ask by English where you would not understand
@lidyanchimbi1466
@lidyanchimbi1466 2 жыл бұрын
Changamoto gani unaweza kutana unapolima kipindi cha masika?
@AGALUSTV
@AGALUSTV 2 жыл бұрын
Magonjwa y ukungu, mbolea kupotea na soko uweza kua si zur maana mengi yatakua sokoni🙏🤝
@TEACHER.CLEOPHAS
@TEACHER.CLEOPHAS 2 жыл бұрын
Shwari
@AGALUSTV
@AGALUSTV 2 жыл бұрын
Pa1🙏🙏
@mariammadebe6599
@mariammadebe6599 3 жыл бұрын
Asante sana Kwa somo
@AGALUSTV
@AGALUSTV 3 жыл бұрын
Asante nawe Barikiwa🙏🙏🙏
@Lukamgidange
@Lukamgidange 3 жыл бұрын
Je Ni kwenye udongo wa Aina gani?
@AGALUSTV
@AGALUSTV 3 жыл бұрын
Tifu tifu unaopitisha maji
@hereethswai4351
@hereethswai4351 3 жыл бұрын
Naomba no yako boss
@AGALUSTV
@AGALUSTV 3 жыл бұрын
Noted
@AGALUSTV
@AGALUSTV 3 жыл бұрын
0765467484
@marianamontoedi1318
@marianamontoedi1318 3 ай бұрын
Mambo sf
@AGALUSTV
@AGALUSTV 3 ай бұрын
Pamoja ndugu
@aroncharles6548
@aroncharles6548 3 жыл бұрын
Je matango kwenye baridi yanakubali? Na daw ya ukungu napaswa kupigia kwa mda gani?
@AGALUSTV
@AGALUSTV 3 жыл бұрын
Yana kubali tena vizuri tu. Ukungu hutegemea hali ya hewa yaweza kua mara 1, baada ya wiki 2 pia mara 1 kila wiki na hata mara 2, kwa wiki
@aroncharles6548
@aroncharles6548 3 жыл бұрын
@@AGALUSTV asante mkuu npo manyara-mbulu kuna baridi sanaa nkahofu kuw inaweza kuyadhuru je ni mbegu gani itafaa? Kwenye ukanda huu wa manyara mbulu
@AGALUSTV
@AGALUSTV 3 жыл бұрын
Kaulize mbegu za hybrid f1, za matango zinazouzwa ukanda wa uko
@aroncharles6548
@aroncharles6548 3 жыл бұрын
@@AGALUSTV asante boss Je matango yana msimu kama vile eti mda fulan ukipanda yanasumbu kutoa matunda ?
@mariamm2724
@mariamm2724 3 жыл бұрын
Ivi masoko Yapo kaka kwa.ajili.ya tango?
@AGALUSTV
@AGALUSTV 3 жыл бұрын
Yapo ndugu yategemea mazingira unayoishi
@mariamm2724
@mariamm2724 3 жыл бұрын
@@AGALUSTV iringa ndoo home kaka, na ndoo nitalima huko.
@AGALUSTV
@AGALUSTV 3 жыл бұрын
Ok 👌 good mazingira ya iringa yanaruhusu
@mariamm2724
@mariamm2724 3 жыл бұрын
@@AGALUSTV na soko pia iringa lipo??
@AGALUSTV
@AGALUSTV 3 жыл бұрын
Matango kila eneo yanaliwa kuna vitu tu utatakiwa kujua ili. Utime soko tutashirikishana ndugu
@zakariamalambughi4639
@zakariamalambughi4639 4 жыл бұрын
Mazingira ya baridi je VP matango yanakubali? Mfano tukuyu
@AGALUSTV
@AGALUSTV 4 жыл бұрын
Yanakubali ila zingatia dawa za ukungu
@ernestthomas3866
@ernestthomas3866 3 жыл бұрын
Je mboga za kwenye kitalu ,unafanyaje ili upate kitalu?
@AGALUSTV
@AGALUSTV 3 жыл бұрын
Sijakuelewa ndugu ili upate kitalu
@ernestthomas3866
@ernestthomas3866 3 жыл бұрын
@@AGALUSTV kwenye video yako ya mazao matatu,kuna mboga zinazopandwa kwanza ili kupata kitalu,hivyo unafanyaje ili kupata kitalu na kwa muda gani unahisi kitalu kiko tayari?
@AGALUSTV
@AGALUSTV 3 жыл бұрын
Ok mbegu kwenye kitalu mboga nyingi ni wik 3 hadi 4 then miche upelekwa shambani 🙏🙏Pia kuhusu kitalu ni mbegu za mboga husika zinauzwa ndyo unaenda kuotesha kwenye kitalu naomba kama hutaelewa jinsi ya kuwatika kitalu niambie tutaelekezana
Summer shower by Secret Vlog
00:17
Secret Vlog
Рет қаралды 8 МЛН
Heartwarming Unity at School Event #shorts
00:19
Fabiosa Stories
Рет қаралды 21 МЛН
Nilianza na Kuku 8 wa Kienyeji, Lakini Nimezalisha Kuku wa Kienyeji 300
10:37
Growing Corn on the Terrace, How to Grow Corn at Home for Beginners
10:02
EXCLUSIVE NA NICOLE NAJISHUGULISHA NA KILIMO NALIMA SANA MATANGO
3:12
JINSI YA KUPATA KUKU 100 WA KIENYEJI KWA MIEZI 3 TU
10:29
AGALUS TV
Рет қаралды 38 М.