Mimi matango yangu yanashambuliwa na wadudu. Je natakiwa nitumie dawa ngani
@pauloyame58822 жыл бұрын
Au ni sumu ngani mi bora
@AGALUSTV2 жыл бұрын
Sumu ZOTE ni bora ndugu. Hutegemea aina ya tatzo lako. Ushauri wetu MUONE mtaalam wa pembejeo umuoneshe aina ya ugonjwa ktk Mimea yako tu naamini atakupa Tia dawa nzuri tu🙏🏿🤝✍️
@flozzykenya70184 жыл бұрын
Good work
@AGALUSTV2 жыл бұрын
Good too🙏🤝
@rehemahramadhani34283 жыл бұрын
mbegu .za. bamia. kwa. dar .es. salam. nazipata. maduka. yp
@AGALUSTV3 жыл бұрын
Mbegu zinapatikana maduka ya Pembe jeo. Aina ya mbegu mchek tu muuza duka
@chichibabe846 Жыл бұрын
Naweza otesha zao gani sehemu kama SAME pls
@AGALUSTV Жыл бұрын
Mazao ni mengi ndugu kwani uko hakuna wanaolima ndugu
@chichibabe846 Жыл бұрын
@@AGALUSTV mimi sikai uko ndo maana sijui ni mazao gani yatakayo vumilia ukame
@AGALUSTV Жыл бұрын
Mihogo, mtama, mahindi pia wanalima ndugu
@carolinebitutu36944 жыл бұрын
Jamani ningekuwa na shamba. Ningekimbia na kuanza kilimo papo hapo.
@AGALUSTV4 жыл бұрын
Shamba Ata la kukodi ndugu
@revinamwakalenga30504 жыл бұрын
Hongera sana kazi nzuri
@AGALUSTV4 жыл бұрын
Asante Sana
@weisikorugemalila49053 жыл бұрын
Weka namba yako taf
@AGALUSTV3 жыл бұрын
Tunapatikana pia facebook kwa page Agalus Tv
@abuujibriltv5233 Жыл бұрын
Vipi kama nikiweka mbegu ya chainizi Kwenye tuta moja kwa moja bila kuotesha kitalu?
@AGALUSTV Жыл бұрын
Sawa tu waweza
@henryallyassani40582 жыл бұрын
Habari
@AGALUSTV2 жыл бұрын
Nzuri Karibu🙏🙏🙏
@jitaJackson2 жыл бұрын
Mbegu nzuri ya Tango na yenye soko ni ipi??
@AGALUSTV2 жыл бұрын
Hydrid yeyote
@bonionlinetv68164 жыл бұрын
Nzuri
@AGALUSTV4 жыл бұрын
Asante
@davidguantai-em4on Жыл бұрын
Kiswahili ngumu
@AGALUSTV Жыл бұрын
🤔🙏you may ask by English where you would not understand
@lidyanchimbi14662 жыл бұрын
Changamoto gani unaweza kutana unapolima kipindi cha masika?
@AGALUSTV2 жыл бұрын
Magonjwa y ukungu, mbolea kupotea na soko uweza kua si zur maana mengi yatakua sokoni🙏🤝
@TEACHER.CLEOPHAS2 жыл бұрын
Shwari
@AGALUSTV2 жыл бұрын
Pa1🙏🙏
@mariammadebe65993 жыл бұрын
Asante sana Kwa somo
@AGALUSTV3 жыл бұрын
Asante nawe Barikiwa🙏🙏🙏
@Lukamgidange3 жыл бұрын
Je Ni kwenye udongo wa Aina gani?
@AGALUSTV3 жыл бұрын
Tifu tifu unaopitisha maji
@hereethswai43513 жыл бұрын
Naomba no yako boss
@AGALUSTV3 жыл бұрын
Noted
@AGALUSTV3 жыл бұрын
0765467484
@marianamontoedi13183 ай бұрын
Mambo sf
@AGALUSTV3 ай бұрын
Pamoja ndugu
@aroncharles65483 жыл бұрын
Je matango kwenye baridi yanakubali? Na daw ya ukungu napaswa kupigia kwa mda gani?
@AGALUSTV3 жыл бұрын
Yana kubali tena vizuri tu. Ukungu hutegemea hali ya hewa yaweza kua mara 1, baada ya wiki 2 pia mara 1 kila wiki na hata mara 2, kwa wiki
@aroncharles65483 жыл бұрын
@@AGALUSTV asante mkuu npo manyara-mbulu kuna baridi sanaa nkahofu kuw inaweza kuyadhuru je ni mbegu gani itafaa? Kwenye ukanda huu wa manyara mbulu
@AGALUSTV3 жыл бұрын
Kaulize mbegu za hybrid f1, za matango zinazouzwa ukanda wa uko
@aroncharles65483 жыл бұрын
@@AGALUSTV asante boss Je matango yana msimu kama vile eti mda fulan ukipanda yanasumbu kutoa matunda ?
@mariamm27243 жыл бұрын
Ivi masoko Yapo kaka kwa.ajili.ya tango?
@AGALUSTV3 жыл бұрын
Yapo ndugu yategemea mazingira unayoishi
@mariamm27243 жыл бұрын
@@AGALUSTV iringa ndoo home kaka, na ndoo nitalima huko.
@AGALUSTV3 жыл бұрын
Ok 👌 good mazingira ya iringa yanaruhusu
@mariamm27243 жыл бұрын
@@AGALUSTV na soko pia iringa lipo??
@AGALUSTV3 жыл бұрын
Matango kila eneo yanaliwa kuna vitu tu utatakiwa kujua ili. Utime soko tutashirikishana ndugu
@zakariamalambughi46394 жыл бұрын
Mazingira ya baridi je VP matango yanakubali? Mfano tukuyu
@AGALUSTV4 жыл бұрын
Yanakubali ila zingatia dawa za ukungu
@ernestthomas38663 жыл бұрын
Je mboga za kwenye kitalu ,unafanyaje ili upate kitalu?
@AGALUSTV3 жыл бұрын
Sijakuelewa ndugu ili upate kitalu
@ernestthomas38663 жыл бұрын
@@AGALUSTV kwenye video yako ya mazao matatu,kuna mboga zinazopandwa kwanza ili kupata kitalu,hivyo unafanyaje ili kupata kitalu na kwa muda gani unahisi kitalu kiko tayari?
@AGALUSTV3 жыл бұрын
Ok mbegu kwenye kitalu mboga nyingi ni wik 3 hadi 4 then miche upelekwa shambani 🙏🙏Pia kuhusu kitalu ni mbegu za mboga husika zinauzwa ndyo unaenda kuotesha kwenye kitalu naomba kama hutaelewa jinsi ya kuwatika kitalu niambie tutaelekezana