MKASA WA DADA WA KAZI ALIYE PEWA MIMBA NA BOSS WAKE (MUME WA MTU)

  Рет қаралды 4,221

Mbengo Tv

Mbengo Tv

11 күн бұрын

Пікірлер: 29
@azzaalhabsi1505
@azzaalhabsi1505 5 күн бұрын
Mama mwenye nyumba hakuwa na nia mbaya na wewe.wewe ulikuwa na roho ya uchawi kutaka kumvunjia ndoa yake hali yakuwa hajakukosea.sasa mungu amekulaani uliyo tegemea yamkute mwenzio yamekukuta wewe.na ukiendelea kufatafafa ndoa yao utapata usicho kitegemea.rudi kijijini ulee mtto wako hata yatima wanakuwa bila wazazi.usilie umalaya wako ndio uliokuponza. Umechimba shimo ukaingia mwenyewe.😂😂😂😂😂
@marymanoni5536
@marymanoni5536 8 күн бұрын
Yani ww ni malaya tu 😂😂 usituchoshe mkubwa ivyo ulidanganywa nn ulitaka mwenyewe yani hawa wadada wa kazi wengi mnajisahsu mnatamani kuwa mama mwenye nyumba ndio mnaalibu iyo imekula kwakooooooo lea tu mwanaoooo msaada kwa uyo mwanaume ukingangania utakutesaaaa
@aminaolver9114
@aminaolver9114 9 күн бұрын
Dada pole sana ila naomba usidanganyike tena yaani mwanaume alikudanganya uongo ulio onekana lkn ulishindwa kuuchanganua wacha kwenda kuharibu mahusiano ya watu au nyumba ya watu ambazo tamaa zako na roho ya kumshusha mwenzako ili wewe upande Mungu hapendi tafuta kazi lea mwanao miaka 3 unaweza kabisa kufanya biashara ukamtunza mwisho wa ubaya ni aibu na hao ndio wanaume pole sana
@angonzamujunangoma8775
@angonzamujunangoma8775 8 күн бұрын
Pole kwa changamoto,kipindi hicho ulikuwa ma ulimbukeni,tafuta maisha dada
@souvenirweber7169
@souvenirweber7169 9 күн бұрын
Sasa kwanini usiseme ndio unasema yeah na kingereza hukijui yaani waswahili mna tatizo kubwa kichwani
@nillap767
@nillap767 9 күн бұрын
🇰🇪 poverty is like punishment for a crime you did not commit 😢
@jeanmusamba8448
@jeanmusamba8448 5 күн бұрын
hahahha ulikuwa unakatika unadhani unamwagia mwajia unampa mdogo na na kukata mauno unategemea nini?wala si issue kabisa
@user-ck3gw7ok7r
@user-ck3gw7ok7r 3 күн бұрын
Umalaya mbaya nyiee kunalakujifunza hapa
@kulthumsaif2856
@kulthumsaif2856 6 күн бұрын
Pumbavu nyooooo😏😏😏kenge ww Amuache mkewe kisa eti mwanaume wangu wa kwanza Lia mpaka ufe
@hadijahadija4699
@hadijahadija4699 8 күн бұрын
Unalia.nn.pumbavu.yani.ndomana.munarongwa
@jeanmusamba8448
@jeanmusamba8448 5 күн бұрын
hahahahhahah dada Hadija noma sana hahahhahahah
@rayaabdul-gm3hc
@rayaabdul-gm3hc Күн бұрын
Ndio mana sitaki dada wa kazi .wanaume hawariziki bora afanye nje huko lakini linarudi nyumbani..lakini sio kumletea nyama ndani
@safiyasafiya5014
@safiyasafiya5014 3 күн бұрын
Dunia inazunguuka uliyomtakia mwenzio yamekurudia mwenzio kamuoa na anamchit kwake wewe ndio nani roho mbaya loo selfish wewe mshenzi msiongopee shetani ye mwenyewe shetani😂
@adammjomba5814
@adammjomba5814 5 күн бұрын
Hiyo NI hasara kubwa sana kwanini hamtaki kazi ya kilimo ?? Zamani mabinte walijishuhulusha sana na kilimo na baada ya mda wengi wao hupata wanaume na kuolewa then hupata family zao sio kuzuruka na kupata mimba zisio tarajiwa na kua singles mother
@rose76312
@rose76312 9 күн бұрын
Mmmmmhh!!!! Unafanya dhambi kwa ajili ya familia??
@safiyasafiya5014
@safiyasafiya5014 3 күн бұрын
Huyo bwana pia mshenzi ungemwambia mke wake ajue anaishi na jini wa aina gani maskini huyo mama dhambi yake nini niboracuishi bila mme kuliko hiko li balaa ukute ndio kazi yake kwa kina dada wa kazi
@shakilamasoud2983
@shakilamasoud2983 5 күн бұрын
Atajijua, avune alichopanda
@Leylah-pz5sc
@Leylah-pz5sc 8 күн бұрын
Familia haijakupush ufanye zinaa ni umalaya wako tu
@marymanoni5536
@marymanoni5536 8 күн бұрын
Kweli umalaya wako tu na uyo kafiki yako awe makini utalala na bwana akeee
@irenembura8045
@irenembura8045 9 күн бұрын
Ama kweli tamaa zinapeleka wasichana pabaya!!! Na unatamka Mungu akupe nguvu wakati wewe ni Msaliti???
@zayanazayana5518
@zayanazayana5518 2 күн бұрын
Hivyo ndio wanavofanya wa dada wa kazi wakienda Arabuni Wanatamani wamtoe mama mwenye nyumba waolewe wao, kinackowapeleka ni umalaya Hawana nia ya kazi, wana nia ya kutembea na baba mwenye nyumba, wana nia mbaya, na inawarudia wenyewe
@mukeshimanataussi6939
@mukeshimanataussi6939 9 күн бұрын
Wewe binding Sasa unakuja kutenganisha ndowa kweli? Hatakuowa hata ufanye je?
@hadijahadija4699
@hadijahadija4699 8 күн бұрын
Yani.mungu.atakulani
@marryngaiza2061
@marryngaiza2061 7 күн бұрын
DADA POLE KWA KUTOTIMIZA MALENGO YAKO, SHETANI ALIINGILIA KATI(YULE BABA) . MTEGEMEE MUNGU MLEE MTT. MFAHAMISHE MJE WAKE YOTE YALIYOTOKEA ILI AJUE KUWA CHANZO NI MUME WAKE. MUNGU AWE NAWE. POLE
@valenakomba9218
@valenakomba9218 6 күн бұрын
Kwani hiyo Mumbai alirushiwa kama risasi ? Si walikubaliana?
@AnnaMariaKiimbila
@AnnaMariaKiimbila 9 күн бұрын
Aaaa
@jerusabasweti7212
@jerusabasweti7212 9 күн бұрын
Lakini si yu were being pd
@jerusabasweti7212
@jerusabasweti7212 9 күн бұрын
The devil is a liar
Мы никогда не были так напуганы!
00:15
Аришнев
Рет қаралды 6 МЛН
🤔Какой Орган самый длинный ? #shorts
00:42
DUDU BAYA ACHUKIZWA NA KIBOKO YA WACHAWI, ONA AIVYO MUUMBUA
14:43
BABA YANGU KIPOFU Full episode/15/ #love
50:40
BabaJoan
Рет қаралды 322 М.