Majibu ya Propaganda zinazosambazwa na Maadui kuwa tunafuata mwezi wa Saudia tu na sio mwezi wa kimataifa.
Пікірлер: 20
@user-wf8eb6nm4s3 ай бұрын
Mtume amesema fungeni Kwa kuona sio watu wafalaki wamesema basi hakuna haha ya kuangalia mwenzi tuwasikilize watu wa falaki
@salumngakonda21823 ай бұрын
Nyinyi hamueleweki
@GSaleh-xr3vn3 ай бұрын
Je mtume,maswahaba,wanazuoni na waislam wa kabla ya mwak 1986 waliwezaje kufuat mwezi wa kimataif?
@hilalkhalfan14523 ай бұрын
Muongo BARAHIANI, hukuwahi kufunga isipokuwa na saudia
@user-fu6qu6dd4x3 ай бұрын
Mwezi ni mmoja just ni moja kwanini kukiwa na kasoro kama hizo msifate
@BilalAbubakar-uf1qp3 ай бұрын
Achana n yemen n iraq tunataka jibu kwa nn hamkufungua wakati mwezi umeonekana mali n nigeria au nyie kimataifa mnafuata nchi za kiarabu tu ukiandama afrika sio kimataifa em kuwa muwazi ucpindishe maneno bana
@shamsuddin45823 ай бұрын
Umemsikiliza mwanzo mpaka mwisho?
@eshrash23533 ай бұрын
Naona hapa hakuna ukweli. Hata wakati wa kuingia mwezi wa Ramadhan watu wa Falak walisema mwezi hauwezi onekana Saudia. Lakini ajabu walitangaza kuonekana na hawa jamaa wakafuata.
@xxl52393 ай бұрын
Haswaaaaaaaa❤❤❤❤❤ Unafiki wao umefika kikomo, hana haya huyu wala aibu, na isitoshe sio mara moja wala mbili wala tatu watu wa Falaki wamesema kuwepo Istihala ya kuonekana, ila Saudia wanatangaza na hawa vibushuti vibwengo wanafunga au kufunguwa, wala hawasemi hatufati Saudia kwasababu kuna istihala ya kuonekana mwezi kwa mujibu wa Ulamaa wa Falaki. HUYU USO USHAYOLEWA HAYA.
@shamsuddin45823 ай бұрын
Akhi naomba jina la clip inayodhihirisha kuwa wanachuoni wa falak walisema Saudia mwezi usingeweza kuonekana wakati wa mwanzo wa kufunga
@xxl52393 ай бұрын
@@shamsuddin4582 Je umeomba clip ya Wanazuoni wa Falaki waliosema kwamba hakuna uwezekano wa kuandama ili tuukadhibishe mwandamo wa Niger 🇳🇪? Au unataka ya upande wa pili tu wakati huko umetosheka bila ya kuwepo hiyo clip ambayo sasa unataka kuifanya kuwa ndio dalili?
Nimejitahidi kusikiliza sana kujua sababu ya kwa nini Hawakufuata mali ila sijapata chochote, mwezi umeonekana mali hawajafuata wanafuata wanazuoni wa falak😂😂😂
@MB-yq3ty3 ай бұрын
BARAHIYAN NAKO UNAOGOPA NINI SEMA NDIO TUNAFUATA SAUDIA SHIDA NINI WAO WAPO MAKINI KWENYE JAMBO LA MWEZI . Pia Tanzania bara mwezi haukuonekana ilikuwaje BAKWATA hamkukamilisha 30
@user-qm2of7vd3k3 ай бұрын
Hawa jamaa hawana ukweli wowote Hawa ni watu wakuleta farakano wa umma wa kiislamu kwenye nchi moja kwaadai ya kufuata Sunna za mtume s.a.w na kumsingizia mtume urongo fungeni kwa kuona mwezi nafungueni kwa kuona wala hakuna hadithi iliyo kuja inayosema fungeni kwa mwezi wa arabuni kama ipo tuleteee
@MB-yq3ty3 ай бұрын
@@user-qm2of7vd3k Hakuna Uarabu wala Uafrika kwenye suala la dini Jiulize wewe uliposikia kwamba fungeni kwa kuonekana mwezi na fungueni kwa kuonekana eneo hilo lilikuwa linazungumziwa Nchi moja kwa maana ya mipaka ya kikoloni au?.
@abdulimapande42653 ай бұрын
Huna maajabu yoyote wewe ni mpotoshaji tu
@user-fu6qu6dd4x3 ай бұрын
Salim hataki kusema kweli hawa wanafata Soudia na hana cho chose vha kutuambia hawa ni Pro Saudia vinginevo ni uongo na ni Unafiki. Je kama mwezi utapatwa Saudia au po pote isiwe Africa jee Mtasali Sala ya kupatwa kwa mwezi?