Mbowe namuheshimu sana ila hapa pakuwa anamtaja MAGUFULI ndio huwa wanafeli ,aachane na JPM kbs yule alikuwa ni kiongozi Bora kuwahi kutoka hpa Tz.
@halimamasai2234Ай бұрын
Unaongea kama ulikwepo na unaushidi halafu jina la Magufuli ulikome kabisa wacha makufuli alale kwa amani kama nye hamana sera kazi yenu ni kutoa tarifa kama alvyosema komando Makonda 🤣🤣
@salimalaquimane3077Ай бұрын
Tena akome akome akome Papa ame pumzka muachen
@florencemeza6540Ай бұрын
We KENGEZA KOMA TENA KOMA KABISAAA MTETEA TUMBO SHENZI ZAKO
@georgesteven5185Ай бұрын
Kwakuwa anae ongelewa siyo mama yako Wala baba yako Wala dada yako ndomaana unaongea ushubwada wako
@jumaahagu4764Ай бұрын
Ila kila anayehusika na unyama huu kuteka kutesa kuua hasa kwa mtu anayetetea haki bula kujali dini yake au hana dini ajue naye mungu anamsubir kwa msimpeleke vyombo vya sheria
@emmanuelmwandu.3126Ай бұрын
Ukimtaja tu magufuli umejipunguzia mambo makubwa sana. Halafu hilo kwa chadema, hawajawahi kujua kama ni doa kubwa huwa linawapunguzia thamani kwa watu. Magufuli anaaminika na watu wengi zaidi, ukimsema wanakuona ni miongoni mwa watu usiyependa mafanikio aliyoyafanya magufuli. Hivyo jifunzeni kurekebisha hapo, watu watawaelewa zaidi kuliko kumdharau JPM
@husseincАй бұрын
kijana wanafunzi wa chuo aleyekuwa chama cha zitto kabwe abdul nondo alijidai katekwa na kwenda mafichoni mkoani
@gracemairusya2950Ай бұрын
Magufuli hakuwahi kumfanya hivi mtu hata siku moja na hutapata kula hata kidogo kumsema magu
@husseincАй бұрын
r.i.p shujaa dr jonh pombe magufuli
@husseinmkanga7794Ай бұрын
Nyinyi kama hamtamuacha Magufuri mtapiga kelele sana hamtashinda uchaguzi. Kumsema Magufuri kunawafurahisha baadhi ya chadema tatizo lenu hamfanyi tafiti Magufuri bado anakubalika sana na ana wapiga kura wengi kupita CCM na chadema.
@nelsonnyamleАй бұрын
IPO SIKU ATATEKWA MWANAO NDIPO UTAJUA VIZURI JUU YA MANENO YAKO YA KUKEJELI WATU
Wakuu tuambieni bado ni mwenda zaka au tumtazamie mwingine ?
@zebedayokatamaduni9676Ай бұрын
Kamanda tuko pamoja
@rahimsadru-ct4ot22 күн бұрын
Msigwa alisema Hili jitu halifai ht kdg ,,limegeuza chama cha Baba yake
@andrewkissava9184Ай бұрын
Ninyi mnaye msema vibaya mbowe akiri zenu hazipo vizuri kama mbowe anasema juu ya suala la utekaji halafu ninyi mnaona sawa basi ninyi ni mAchawa ya mama kilemba
@user-oz4gz8kq9eАй бұрын
Wewe paka ulitaka watu wasiseme kwaajili ya matukio yasemee yapi?
@cheiknamouna2058Ай бұрын
Police osterbay kuna cctv tunaomba uchunguzi ✌️
@elidiustudoy2640Ай бұрын
Ila watu 😢😢
@adelinelyaruu3036Ай бұрын
HAKI HUINUA TAIFA
@alfrediaugustino1026Ай бұрын
Kunaaja ya kulinda
@nelsonnyamleАй бұрын
MUNGU WANGU SHUGHULIKA NA WALIOTENDA UBAYA HUU
@salimalaquimane3077Ай бұрын
We mzee koma kumtaja taja magufur tena koma
@andrewkissava9184Ай бұрын
Kwanini asitajwe magufuli na wakati magufuli ndo mwasisi wa utekaji?
@elishakayagwa9371Ай бұрын
Yaani moja ya chama ambacho kimepoteza dira ni Chadema yaani badala ya kubanana na mambo ya sasa mko busy na mtu ambae kashafariki. Huo ujinga kweli kweli 😂😂😂
@freddykulwa8190Ай бұрын
Awa awana mpya kutekwa kulinzia tanzania wana sela ngaja wanasumbili matukio mbando la pina
@user-lt1nr4tk9rАй бұрын
Acha upimbi wewe
@GodfreyOswardАй бұрын
Tanzania ni nchi nzuri sana, ukisikia hayo unaogopa sana. Mambo yote chini ya jua ni ubatili tu. Mahakama zipo kwa nini wasikamate mtu akashitakiwa?.