MBOWE AFUNGUKA MAZITO SAKATA LA UTEKAJI wa "SATIVA", AMTAJA HAYATI MAGUFULI LIVE,.......

  Рет қаралды 7,925

HABARIMPYA TV

HABARIMPYA TV

Ай бұрын

Пікірлер: 35
@sosomokobiasharamgaya3020
@sosomokobiasharamgaya3020 Ай бұрын
Haki iko wapi Tanzania,?tnajifichaa kwenye kivuli cha Tanzania nchi Ya Amani,pole sna Mwanaharakati Sativah
@rahimsadru-ct4ot
@rahimsadru-ct4ot 22 күн бұрын
Hili Chaga ngese Sana,,,Samia angelifunga tu
@gracemairusya2950
@gracemairusya2950 Ай бұрын
Wakati wa magufuli haikuwa hivi hii ni enzi ya ulimboka
@SaimonMrema
@SaimonMrema Ай бұрын
Udhalim,utekaji unyangaji nauonevu nizao laserikali dhalim
@alexvenas2699
@alexvenas2699 Ай бұрын
Inauma sana
@SuleAmber-lw2tx
@SuleAmber-lw2tx Ай бұрын
Mbowe namuheshimu sana ila hapa pakuwa anamtaja MAGUFULI ndio huwa wanafeli ,aachane na JPM kbs yule alikuwa ni kiongozi Bora kuwahi kutoka hpa Tz.
@halimamasai2234
@halimamasai2234 Ай бұрын
Unaongea kama ulikwepo na unaushidi halafu jina la Magufuli ulikome kabisa wacha makufuli alale kwa amani kama nye hamana sera kazi yenu ni kutoa tarifa kama alvyosema komando Makonda 🤣🤣
@salimalaquimane3077
@salimalaquimane3077 Ай бұрын
Tena akome akome akome Papa ame pumzka muachen
@florencemeza6540
@florencemeza6540 Ай бұрын
We KENGEZA KOMA TENA KOMA KABISAAA MTETEA TUMBO SHENZI ZAKO
@georgesteven5185
@georgesteven5185 Ай бұрын
Kwakuwa anae ongelewa siyo mama yako Wala baba yako Wala dada yako ndomaana unaongea ushubwada wako
@jumaahagu4764
@jumaahagu4764 Ай бұрын
Ila kila anayehusika na unyama huu kuteka kutesa kuua hasa kwa mtu anayetetea haki bula kujali dini yake au hana dini ajue naye mungu anamsubir kwa msimpeleke vyombo vya sheria
@emmanuelmwandu.3126
@emmanuelmwandu.3126 Ай бұрын
Ukimtaja tu magufuli umejipunguzia mambo makubwa sana. Halafu hilo kwa chadema, hawajawahi kujua kama ni doa kubwa huwa linawapunguzia thamani kwa watu. Magufuli anaaminika na watu wengi zaidi, ukimsema wanakuona ni miongoni mwa watu usiyependa mafanikio aliyoyafanya magufuli. Hivyo jifunzeni kurekebisha hapo, watu watawaelewa zaidi kuliko kumdharau JPM
@husseinc
@husseinc Ай бұрын
kijana wanafunzi wa chuo aleyekuwa chama cha zitto kabwe abdul nondo alijidai katekwa na kwenda mafichoni mkoani
@gracemairusya2950
@gracemairusya2950 Ай бұрын
Magufuli hakuwahi kumfanya hivi mtu hata siku moja na hutapata kula hata kidogo kumsema magu
@husseinc
@husseinc Ай бұрын
r.i.p shujaa dr jonh pombe magufuli
@husseinmkanga7794
@husseinmkanga7794 Ай бұрын
Nyinyi kama hamtamuacha Magufuri mtapiga kelele sana hamtashinda uchaguzi. Kumsema Magufuri kunawafurahisha baadhi ya chadema tatizo lenu hamfanyi tafiti Magufuri bado anakubalika sana na ana wapiga kura wengi kupita CCM na chadema.
@nelsonnyamle
@nelsonnyamle Ай бұрын
IPO SIKU ATATEKWA MWANAO NDIPO UTAJUA VIZURI JUU YA MANENO YAKO YA KUKEJELI WATU
@PhilipoMwita-wc1ku
@PhilipoMwita-wc1ku Ай бұрын
KWAVILE sio wewe uliotekwa Wala aliotekwa sio ndugu Yako ...endelea
@dativachuwa3566
@dativachuwa3566 21 күн бұрын
Usimtaje Magu wewe leta sera zako
@SmilingCityMap-xb9md
@SmilingCityMap-xb9md Ай бұрын
Wakuu tuambieni bado ni mwenda zaka au tumtazamie mwingine ?
@zebedayokatamaduni9676
@zebedayokatamaduni9676 Ай бұрын
Kamanda tuko pamoja
@rahimsadru-ct4ot
@rahimsadru-ct4ot 22 күн бұрын
Msigwa alisema Hili jitu halifai ht kdg ,,limegeuza chama cha Baba yake
@andrewkissava9184
@andrewkissava9184 Ай бұрын
Ninyi mnaye msema vibaya mbowe akiri zenu hazipo vizuri kama mbowe anasema juu ya suala la utekaji halafu ninyi mnaona sawa basi ninyi ni mAchawa ya mama kilemba
@user-oz4gz8kq9e
@user-oz4gz8kq9e Ай бұрын
Wewe paka ulitaka watu wasiseme kwaajili ya matukio yasemee yapi?
@cheiknamouna2058
@cheiknamouna2058 Ай бұрын
Police osterbay kuna cctv tunaomba uchunguzi ✌️
@elidiustudoy2640
@elidiustudoy2640 Ай бұрын
Ila watu 😢😢
@adelinelyaruu3036
@adelinelyaruu3036 Ай бұрын
HAKI HUINUA TAIFA
@alfrediaugustino1026
@alfrediaugustino1026 Ай бұрын
Kunaaja ya kulinda
@nelsonnyamle
@nelsonnyamle Ай бұрын
MUNGU WANGU SHUGHULIKA NA WALIOTENDA UBAYA HUU
@salimalaquimane3077
@salimalaquimane3077 Ай бұрын
We mzee koma kumtaja taja magufur tena koma
@andrewkissava9184
@andrewkissava9184 Ай бұрын
Kwanini asitajwe magufuli na wakati magufuli ndo mwasisi wa utekaji?
@elishakayagwa9371
@elishakayagwa9371 Ай бұрын
Yaani moja ya chama ambacho kimepoteza dira ni Chadema yaani badala ya kubanana na mambo ya sasa mko busy na mtu ambae kashafariki. Huo ujinga kweli kweli 😂😂😂
@freddykulwa8190
@freddykulwa8190 Ай бұрын
Awa awana mpya kutekwa kulinzia tanzania wana sela ngaja wanasumbili matukio mbando la pina
@user-lt1nr4tk9r
@user-lt1nr4tk9r Ай бұрын
Acha upimbi wewe
@GodfreyOsward
@GodfreyOsward Ай бұрын
Tanzania ni nchi nzuri sana, ukisikia hayo unaogopa sana. Mambo yote chini ya jua ni ubatili tu. Mahakama zipo kwa nini wasikamate mtu akashitakiwa?.
Secret Experiment Toothpaste Pt.4 😱 #shorts
00:35
Mr DegrEE
Рет қаралды 40 МЛН
EVOLUTION OF ICE CREAM 😱 #shorts
00:11
Savage Vlogs
Рет қаралды 13 МЛН
Double Stacked Pizza @Lionfield @ChefRush
00:33
albert_cancook
Рет қаралды 129 МЛН
EXCLUSIVE: HUYU NDIO PRODUCER MIKKA MWAMBA
25:11
Millard Ayo
Рет қаралды 156 М.
LEMA AWAVAA NAPE NA MAKONDA ''WANAWENGE HAWA''
4:35
Msomi News
Рет қаралды 15 М.
Secret Experiment Toothpaste Pt.4 😱 #shorts
00:35
Mr DegrEE
Рет қаралды 40 МЛН